Mercedes-Benz C200 imekuwa miongoni mwa gari inayo kimbiliwa sana na vija sikuhizi hapa mjini, Sasa nimekuletea review yake.
Kwanza hizi gari za mercedes benz ni gari flani zenye mwonekano wa Kiutu Uzima 🔥 🔥., nakubaliana na wewe Naomba tugusie kidogo na Jaguar XF
Hasante sana snash tunazid kupata unyama na kuyajua zaidi magari
Snash ume fanya vizuri sana👍🏾💯💯
hii ukitaka nunua tafuta ///Amg ni best ku upgrade almost everthing
Ukinunua hii gari make sure unapesa yakuimaintain
Kawaida sana
C200 ni sawa na Ist iliyochangamka
Unaikosea
Wese ni kisoda🔥🔥🔥🔥🔥
Nafikri Mercedes Benz C200 Kompressor ni nzuri kuliko BMW 200 series au Crown Athlet
Usilinganishe Benz na Crown broo
Acha kuivunjia heshima Benz kaka
Wa kwanza Mr snash leo
NAIPENDA BENZI KWASABABU NGUMU HATA UKIPATA AJALI KUNA ASILIMIA NYINGI ZA KUPONA
Classic man cars
Nice review!!! Ila hapo kwenye alivyoelezea engines Kompressor na Turbo Charged kidogo amechanganya mambo.
Nan atajua n Mercedes Benz bhn (will you notice??)😅😅😅😅
Hiyo ya kiharufu ni kweli, kabisa umenikumbusha mbali kweli 😂
Huyo ni mjerumani mzeeeee😂😂😂
Million28 inakuwa ni zero kilometer aw vp
PURE GERMAN ENGINEERING!
Sana
Asee me video bila kale kamlio chako siwezagi kuskiliza fanya ukiwa waelezea uweke asee
Android radio wanaweka siku hizi
its so cheap 28 million . tanzania gari ziko cheap kuliko kenya.
yap hio ni bara ila zanzibar ni rahisi sana kuliko hata tanganyika au tanzania bara
Broo macbook M3 imetoka Mbona utufanyii
Kwa sisi tunaofanya kazi mikoani tupo off-road vipi inafaaaaa????
Mazda ushafanyia review?
English
Gusia audi A8L ya 2019
Poa poa
Most tanzanians cannot afford that mercedes benz
Пікірлер: 33
Kwanza hizi gari za mercedes benz ni gari flani zenye mwonekano wa Kiutu Uzima 🔥 🔥., nakubaliana na wewe Naomba tugusie kidogo na Jaguar XF
Hasante sana snash tunazid kupata unyama na kuyajua zaidi magari
Snash ume fanya vizuri sana👍🏾💯💯
hii ukitaka nunua tafuta ///Amg ni best ku upgrade almost everthing
Ukinunua hii gari make sure unapesa yakuimaintain
@Hamy1109
6 ай бұрын
Kawaida sana
C200 ni sawa na Ist iliyochangamka
@arnoldmambali3770
8 ай бұрын
Unaikosea
@mswaki_newstz
20 күн бұрын
Wese ni kisoda🔥🔥🔥🔥🔥
Nafikri Mercedes Benz C200 Kompressor ni nzuri kuliko BMW 200 series au Crown Athlet
@kefapopo1630
8 ай бұрын
Usilinganishe Benz na Crown broo
@donkaloza6985
8 ай бұрын
Acha kuivunjia heshima Benz kaka
Wa kwanza Mr snash leo
NAIPENDA BENZI KWASABABU NGUMU HATA UKIPATA AJALI KUNA ASILIMIA NYINGI ZA KUPONA
Classic man cars
Nice review!!! Ila hapo kwenye alivyoelezea engines Kompressor na Turbo Charged kidogo amechanganya mambo.
Nan atajua n Mercedes Benz bhn (will you notice??)😅😅😅😅
Hiyo ya kiharufu ni kweli, kabisa umenikumbusha mbali kweli 😂
@mswaki_newstz
20 күн бұрын
Huyo ni mjerumani mzeeeee😂😂😂
Million28 inakuwa ni zero kilometer aw vp
PURE GERMAN ENGINEERING!
Sana
Asee me video bila kale kamlio chako siwezagi kuskiliza fanya ukiwa waelezea uweke asee
Android radio wanaweka siku hizi
its so cheap 28 million . tanzania gari ziko cheap kuliko kenya.
@farhanixhaka2840
8 ай бұрын
yap hio ni bara ila zanzibar ni rahisi sana kuliko hata tanganyika au tanzania bara
Broo macbook M3 imetoka Mbona utufanyii
Kwa sisi tunaofanya kazi mikoani tupo off-road vipi inafaaaaa????
Mazda ushafanyia review?
English
Gusia audi A8L ya 2019
@snashtz
8 ай бұрын
Poa poa
Most tanzanians cannot afford that mercedes benz