Wow Usinunue Toyota RAV4 2020 Kabla Hujatizama Hii Video!

Ғылым және технология

Leo nakuleta Toyota RAV4 2020, Fahamu utamu wa gari hili na mapungufu yake.
Toyota Raize 2022 • Hii Gari Ukiweka Lita ...
FAHARI MOTORS (T) LTD / faharimotors_sales

Пікірлер: 41

  • @frankrecordpool834
    @frankrecordpool834 Жыл бұрын

    Dream car yangu

  • @alphoncebujiku1960
    @alphoncebujiku1960 Жыл бұрын

    bro snash mung akupe maisha marefu

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 Жыл бұрын

    That car comes with dual fuel system (port injected and direct injected fuel) why that design? Direct injected fuel system is for fuel efficiency and powerful combustion...but since direct injection of fuel ipo na weakness ya kutengeneza carbon kwenye njia ya hewa kutokana na PCV system, basi ku sort tatizo hilo ndo maana wakaweka na mfumo wa port injection ambapo mafuta yanapitia kwenye port inapopita hewa ili kuondoa carbon kwenye njia ya hewa..ndo maana injini yake inapiga kelele ikiwa inatumia direct injection, but muda ambapo inatumia port injection basi engine noise hupungua..lakini pia ipo nia gearbox ya cvt ambaYo ni tofauti na traditional cvt gear box.. (hizi ni tech za muhimu sana kuongelea kwenye rav 4 hii mkuuu)

  • @thobiasbukali9008
    @thobiasbukali900811 ай бұрын

    Wewe huwezi linganisha na Rav 4 2020, na huo uchafu wako. Ipe heshima Rav 4.

  • @hamzaseneda5251
    @hamzaseneda5251 Жыл бұрын

    Apo kwenye kufungua buti umebugi bro...hiyo boot ni electric just una press inafunguka yenyewe😂

  • @ibrahimmwonga5365
    @ibrahimmwonga536511 ай бұрын

    Bei gani hiyo rav 4 ya 2020

  • @daviddeus6437
    @daviddeus6437Ай бұрын

    Njoo na review ya ford ranger make unajua kueleza kweli napenda knona video zako

  • @petermbogo8661
    @petermbogo86614 ай бұрын

    Kaka ni kweli Engine ya 1990Cc inatengeneza HP 500..

  • @youngkingtz9863
    @youngkingtz9863 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥

  • @icesue6613
    @icesue661311 ай бұрын

    Jamaa muongo kabisa. Utaalamu huo bado hunao.

  • @muzoribrah1510
    @muzoribrah151011 ай бұрын

    Snash bro naomba review ya annimation ile spider man across the spider verse

  • @mthename8759
    @mthename8759 Жыл бұрын

    Bro uko very speak anae shindwa kukuelewa uy n bumbuwazi kabsa 🤠

  • @Al-julanda
    @Al-julanda11 ай бұрын

    toa review ya toyota harrier 2014

  • @daviddeus6437
    @daviddeus6437Ай бұрын

    Fanya review ya Toyota harria new model

  • @mundhirfarid7250
    @mundhirfarid7250 Жыл бұрын

    😂😂 snash bana kwa kuwaonea wabongo so pw eti ni gari ya watu 5 lkn kibongo bongo ata watu 7 😂😂😅 sema brother unajua sana asante pia kwa kutujuza tulokua hatuyajui 🙏

  • @snashtz

    @snashtz

    Жыл бұрын

    😂😂🙏🏽

  • @masoudissa7419
    @masoudissa741911 ай бұрын

    Next time jaribu kutest wireless charging na vitu vingine kabla ya kufanya main review ili uwe na information za uhakika

  • @DBARAKAMRINGO
    @DBARAKAMRINGO11 ай бұрын

    @snash hapo ulipokua umeweka simu its true ni wireless charge ila kwenye hiz gari 2019 and 2020 sinashida ya kuchelewa kusence uwepo wa simu na kuanza kucharge plus kwenye spare tire zipo ambazo zinakuja nazo the issue is ni TRIM AU PACKAGE GANI umenunua boss otherwise nice review

  • @hassanlikwenangu8471

    @hassanlikwenangu8471

    11 ай бұрын

    Bei gani hii gari plz

  • @gracenkembo8318

    @gracenkembo8318

    11 ай бұрын

    HIZO NAMBA ZENU HAXIONEKANI VIZURI

  • @selemannamkiliya
    @selemannamkiliya10 ай бұрын

    Bei ikoje

  • @chrispindevan3952
    @chrispindevan395211 ай бұрын

    Tunaomba review ya G wagon

  • @stephaniabenjamini2848
    @stephaniabenjamini28484 ай бұрын

    Hallow hii ni bei gani

  • @swalehsuleinam4669
    @swalehsuleinam46698 ай бұрын

    Sinashi hiy gan hamun otomatiki hiz gar

  • @user-mx2tx5eg9x
    @user-mx2tx5eg9x11 ай бұрын

    Gari Haina spear tyre halafu Bado unasema sio tatizo? Very poor advertising 😅😅

  • @husseinchambau3015
    @husseinchambau3015 Жыл бұрын

    Ni gar inaweza kutembea rafroad au ni chombo ya lami tu

  • @snashtz

    @snashtz

    Жыл бұрын

    Pote pote boss

  • @fellisianholle9431
    @fellisianholle943111 ай бұрын

    Nikweli unavyosema lita moja kwa klmt 18?

  • @Kevjoseful
    @Kevjoseful11 ай бұрын

    Muongo. Hakuna Rav4 ya HP 500. Umeboa

  • @EsterMasaga
    @EsterMasaga11 ай бұрын

    Hiyo rangi yake inaitwaje

  • @user-dd1jq7vw2r
    @user-dd1jq7vw2r10 ай бұрын

    Tunaomba maana ya ECO MODE,EV MODE KWENYE MAGARI

  • @AW-vt9pw

    @AW-vt9pw

    10 ай бұрын

    Eco = Economic ya petroli

  • @user-dd1jq7vw2r

    @user-dd1jq7vw2r

    10 ай бұрын

    @@AW-vt9pw matumizi yake au maelezo yake wakat gan wakuwasha na wakat gan siyo yakutumika

  • @user-oe8ee5tw7l
    @user-oe8ee5tw7l Жыл бұрын

    Nimependa bei yake ipo chini san

  • @hassanlikwenangu8471

    @hassanlikwenangu8471

    11 ай бұрын

    Inauzwa hela ngapi??

  • @daudmasawe4459
    @daudmasawe445911 ай бұрын

    Tatiz unaongea San bey gan

  • @yussuftwaha2924
    @yussuftwaha2924 Жыл бұрын

    Snash hebu tupe habari kuhusu CHATGPT

  • @bravo_man
    @bravo_man Жыл бұрын

    Snash naomba tofauti ya SCION XA na TOYOTA IST

  • @denistimoth7843
    @denistimoth784311 ай бұрын

    Jaribu kureview na subaru outback kuanzia ya mwaka 2011

  • @hassanlikwenangu8471
    @hassanlikwenangu847111 ай бұрын

    Bei ikoje??

  • @songweforecast9685

    @songweforecast9685

    11 ай бұрын

    MIL 85

Келесі