Leo nakuleta Toyota RAV4 2020, Fahamu utamu wa gari hili na mapungufu yake. Toyota Raize 2022 • Hii Gari Ukiweka Lita ... FAHARI MOTORS (T) LTD / faharimotors_sales
Жүктеу.....
Пікірлер: 41
@frankrecordpool834 Жыл бұрын
Dream car yangu
@alphoncebujiku1960 Жыл бұрын
bro snash mung akupe maisha marefu
@tanzaniacarschannel6975 Жыл бұрын
That car comes with dual fuel system (port injected and direct injected fuel) why that design? Direct injected fuel system is for fuel efficiency and powerful combustion...but since direct injection of fuel ipo na weakness ya kutengeneza carbon kwenye njia ya hewa kutokana na PCV system, basi ku sort tatizo hilo ndo maana wakaweka na mfumo wa port injection ambapo mafuta yanapitia kwenye port inapopita hewa ili kuondoa carbon kwenye njia ya hewa..ndo maana injini yake inapiga kelele ikiwa inatumia direct injection, but muda ambapo inatumia port injection basi engine noise hupungua..lakini pia ipo nia gearbox ya cvt ambaYo ni tofauti na traditional cvt gear box.. (hizi ni tech za muhimu sana kuongelea kwenye rav 4 hii mkuuu)
@thobiasbukali900811 ай бұрын
Wewe huwezi linganisha na Rav 4 2020, na huo uchafu wako. Ipe heshima Rav 4.
@hamzaseneda5251 Жыл бұрын
Apo kwenye kufungua buti umebugi bro...hiyo boot ni electric just una press inafunguka yenyewe😂
@ibrahimmwonga536511 ай бұрын
Bei gani hiyo rav 4 ya 2020
@daviddeus6437Ай бұрын
Njoo na review ya ford ranger make unajua kueleza kweli napenda knona video zako
@petermbogo86614 ай бұрын
Kaka ni kweli Engine ya 1990Cc inatengeneza HP 500..
@youngkingtz9863 Жыл бұрын
🔥🔥🔥
@icesue661311 ай бұрын
Jamaa muongo kabisa. Utaalamu huo bado hunao.
@muzoribrah151011 ай бұрын
Snash bro naomba review ya annimation ile spider man across the spider verse
@mthename8759 Жыл бұрын
Bro uko very speak anae shindwa kukuelewa uy n bumbuwazi kabsa 🤠
@Al-julanda11 ай бұрын
toa review ya toyota harrier 2014
@daviddeus6437Ай бұрын
Fanya review ya Toyota harria new model
@mundhirfarid7250 Жыл бұрын
😂😂 snash bana kwa kuwaonea wabongo so pw eti ni gari ya watu 5 lkn kibongo bongo ata watu 7 😂😂😅 sema brother unajua sana asante pia kwa kutujuza tulokua hatuyajui 🙏
@snashtz
Жыл бұрын
😂😂🙏🏽
@masoudissa741911 ай бұрын
Next time jaribu kutest wireless charging na vitu vingine kabla ya kufanya main review ili uwe na information za uhakika
@DBARAKAMRINGO11 ай бұрын
@snash hapo ulipokua umeweka simu its true ni wireless charge ila kwenye hiz gari 2019 and 2020 sinashida ya kuchelewa kusence uwepo wa simu na kuanza kucharge plus kwenye spare tire zipo ambazo zinakuja nazo the issue is ni TRIM AU PACKAGE GANI umenunua boss otherwise nice review
@hassanlikwenangu8471
11 ай бұрын
Bei gani hii gari plz
@gracenkembo8318
11 ай бұрын
HIZO NAMBA ZENU HAXIONEKANI VIZURI
@selemannamkiliya10 ай бұрын
Bei ikoje
@chrispindevan395211 ай бұрын
Tunaomba review ya G wagon
@stephaniabenjamini28484 ай бұрын
Hallow hii ni bei gani
@swalehsuleinam46698 ай бұрын
Sinashi hiy gan hamun otomatiki hiz gar
@user-mx2tx5eg9x11 ай бұрын
Gari Haina spear tyre halafu Bado unasema sio tatizo? Very poor advertising 😅😅
@husseinchambau3015 Жыл бұрын
Ni gar inaweza kutembea rafroad au ni chombo ya lami tu
@snashtz
Жыл бұрын
Pote pote boss
@fellisianholle943111 ай бұрын
Nikweli unavyosema lita moja kwa klmt 18?
@Kevjoseful11 ай бұрын
Muongo. Hakuna Rav4 ya HP 500. Umeboa
@EsterMasaga11 ай бұрын
Hiyo rangi yake inaitwaje
@user-dd1jq7vw2r10 ай бұрын
Tunaomba maana ya ECO MODE,EV MODE KWENYE MAGARI
@AW-vt9pw
10 ай бұрын
Eco = Economic ya petroli
@user-dd1jq7vw2r
10 ай бұрын
@@AW-vt9pw matumizi yake au maelezo yake wakat gan wakuwasha na wakat gan siyo yakutumika
@user-oe8ee5tw7l Жыл бұрын
Nimependa bei yake ipo chini san
@hassanlikwenangu8471
11 ай бұрын
Inauzwa hela ngapi??
@daudmasawe445911 ай бұрын
Tatiz unaongea San bey gan
@yussuftwaha2924 Жыл бұрын
Snash hebu tupe habari kuhusu CHATGPT
@bravo_man Жыл бұрын
Snash naomba tofauti ya SCION XA na TOYOTA IST
@denistimoth784311 ай бұрын
Jaribu kureview na subaru outback kuanzia ya mwaka 2011
Пікірлер: 41
Dream car yangu
bro snash mung akupe maisha marefu
That car comes with dual fuel system (port injected and direct injected fuel) why that design? Direct injected fuel system is for fuel efficiency and powerful combustion...but since direct injection of fuel ipo na weakness ya kutengeneza carbon kwenye njia ya hewa kutokana na PCV system, basi ku sort tatizo hilo ndo maana wakaweka na mfumo wa port injection ambapo mafuta yanapitia kwenye port inapopita hewa ili kuondoa carbon kwenye njia ya hewa..ndo maana injini yake inapiga kelele ikiwa inatumia direct injection, but muda ambapo inatumia port injection basi engine noise hupungua..lakini pia ipo nia gearbox ya cvt ambaYo ni tofauti na traditional cvt gear box.. (hizi ni tech za muhimu sana kuongelea kwenye rav 4 hii mkuuu)
Wewe huwezi linganisha na Rav 4 2020, na huo uchafu wako. Ipe heshima Rav 4.
Apo kwenye kufungua buti umebugi bro...hiyo boot ni electric just una press inafunguka yenyewe😂
Bei gani hiyo rav 4 ya 2020
Njoo na review ya ford ranger make unajua kueleza kweli napenda knona video zako
Kaka ni kweli Engine ya 1990Cc inatengeneza HP 500..
🔥🔥🔥
Jamaa muongo kabisa. Utaalamu huo bado hunao.
Snash bro naomba review ya annimation ile spider man across the spider verse
Bro uko very speak anae shindwa kukuelewa uy n bumbuwazi kabsa 🤠
toa review ya toyota harrier 2014
Fanya review ya Toyota harria new model
😂😂 snash bana kwa kuwaonea wabongo so pw eti ni gari ya watu 5 lkn kibongo bongo ata watu 7 😂😂😅 sema brother unajua sana asante pia kwa kutujuza tulokua hatuyajui 🙏
@snashtz
Жыл бұрын
😂😂🙏🏽
Next time jaribu kutest wireless charging na vitu vingine kabla ya kufanya main review ili uwe na information za uhakika
@snash hapo ulipokua umeweka simu its true ni wireless charge ila kwenye hiz gari 2019 and 2020 sinashida ya kuchelewa kusence uwepo wa simu na kuanza kucharge plus kwenye spare tire zipo ambazo zinakuja nazo the issue is ni TRIM AU PACKAGE GANI umenunua boss otherwise nice review
@hassanlikwenangu8471
11 ай бұрын
Bei gani hii gari plz
@gracenkembo8318
11 ай бұрын
HIZO NAMBA ZENU HAXIONEKANI VIZURI
Bei ikoje
Tunaomba review ya G wagon
Hallow hii ni bei gani
Sinashi hiy gan hamun otomatiki hiz gar
Gari Haina spear tyre halafu Bado unasema sio tatizo? Very poor advertising 😅😅
Ni gar inaweza kutembea rafroad au ni chombo ya lami tu
@snashtz
Жыл бұрын
Pote pote boss
Nikweli unavyosema lita moja kwa klmt 18?
Muongo. Hakuna Rav4 ya HP 500. Umeboa
Hiyo rangi yake inaitwaje
Tunaomba maana ya ECO MODE,EV MODE KWENYE MAGARI
@AW-vt9pw
10 ай бұрын
Eco = Economic ya petroli
@user-dd1jq7vw2r
10 ай бұрын
@@AW-vt9pw matumizi yake au maelezo yake wakat gan wakuwasha na wakat gan siyo yakutumika
Nimependa bei yake ipo chini san
@hassanlikwenangu8471
11 ай бұрын
Inauzwa hela ngapi??
Tatiz unaongea San bey gan
Snash hebu tupe habari kuhusu CHATGPT
Snash naomba tofauti ya SCION XA na TOYOTA IST
Jaribu kureview na subaru outback kuanzia ya mwaka 2011
Bei ikoje??
@songweforecast9685
11 ай бұрын
MIL 85