MUONEKANO WA NDANI NA NJE WA TRENI ZA MWENDOKASI "INTERNET NI BURE, SPEED NI KASI"

Пікірлер: 339

  • @_born84
    @_born844 ай бұрын

    With this new railway Tz is set to be a serious logistics hub in Africa . Congratulations Watanzania!

  • @nzizajovinpaul4955
    @nzizajovinpaul49554 ай бұрын

    Tanzania nchi tajiri na Mama samia atasababisha wananchi wapate usafiri Mzuri. ❤❤❤ Keep Moving forward Tanzania.

  • @martinisadru9899
    @martinisadru98994 ай бұрын

    Dr, Samia yupo vizuri, na hatuna shaka nae, maana alikua pacha wa jpm, shida ni Yale mafisadi yalio chini yake.

  • @anoldjose7793

    @anoldjose7793

    4 ай бұрын

    Tuyataje au tuyaache😂😂

  • @user-kk9jn8dp9m

    @user-kk9jn8dp9m

    4 ай бұрын

    Yataje

  • @J4UPro
    @J4UPro4 ай бұрын

    Hongera sana baba huko uliko

  • @HassanMoha-rc8oq
    @HassanMoha-rc8oq4 ай бұрын

    Hongera nchi ya Tanzania Hongera mama samia songa mbele kwa kujenga Tanzania 🇹🇿

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u4 ай бұрын

    MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI 💪💪💪🇹🇿 Hakika Raisi Dkt John MAGUFULI alitengeneza ALAMA icon ambayo haitasahaulika milele na Taifa 🇹🇿 na DUNIA 💪💪💪💪

  • @salimsaid9852
    @salimsaid98524 ай бұрын

    Hongera sana Mama Samiha.Treni zimependeza sana ila hofu yangu ni suala La usafi sijui tumejipangaje.na Walichofeli Waandishi wa habari kwenye hii dhiara ya majaribio hawakuwauliza wakurugenzi juu ya suala la USAFI.

  • @user-oz6zp8fr1c
    @user-oz6zp8fr1c4 ай бұрын

    Maua maua ndugu yetu Hayati Magufuli. Pumzika kwa Amani Baba

  • @sultansallah8772

    @sultansallah8772

    4 ай бұрын

    Ndio nn

  • @rosemaryjoseph7929

    @rosemaryjoseph7929

    4 ай бұрын

    AMBACHO HUJAKIJUA NI KIPI@@sultansallah8772

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    18 күн бұрын

    Machoko utayajua humu

  • @victormbagga1821
    @victormbagga18214 ай бұрын

    Usafi please na utunzani Sio mauchafu kutupwa ovyo

  • @vero57
    @vero574 ай бұрын

    Asante sana magufuli, ndiyo leo wamemaliza kazi ya train 🚉

  • @edwinmakingi3631

    @edwinmakingi3631

    4 ай бұрын

    Bado hawajamaliza, bado sana

  • @halunimnenwa5224

    @halunimnenwa5224

    4 ай бұрын

    Uyo dada anasema asane laisi samia kwa kulinda kibarua chake ionekane samia ndo anafanya kaz hii lakin kwenye comet ni magufuli2 we ka na uyo samia wako

  • @ramadhanimtetu3656

    @ramadhanimtetu3656

    4 ай бұрын

    Hongera Mama Samia kwa kazi nzuri

  • @ramadhanimtetu3656

    @ramadhanimtetu3656

    4 ай бұрын

    ​@@halunimnenwa5224 Na wewe nenda chato kakae na huyo Magufuli wako

  • @maniamba.tz_

    @maniamba.tz_

    4 ай бұрын

    Hongera Mama Samia kwa mwendelezo na Kupiga hatua mbele

  • @user-ir5mc7vk8b
    @user-ir5mc7vk8b4 ай бұрын

    Asante Mungu kwa neema hii ya usafiri huu hii hakika ni hatua kubwa Sana

  • @davidluangisa4515
    @davidluangisa45154 ай бұрын

    Wahoooo am exceedingly humbled am profoundly honoured in My President 's leadership. Her Excellency Samia Suluhu Hassan...

  • @KomboHajj

    @KomboHajj

    4 ай бұрын

    Ongea kiswahili wew

  • @idrisadalluc4498
    @idrisadalluc44984 ай бұрын

    Kuna vingi vya kumuiga mzee wetu magufuli mungu amsamee baazi yamakosa yake🙏🙏

  • @J4UPro

    @J4UPro

    4 ай бұрын

    Hakuna aliyekamilika mkuu.

  • @lameckmagunya7013
    @lameckmagunya70134 ай бұрын

    Hongera kwa serikari

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi59853 ай бұрын

    Rais SH.Kazi nzuri endelea hivi hivi kuipatia maendeleo makubwa nchi yako Tanzania ndo nyumbani tutazunguka huko tutarudi nyumbani Tanzania.Big up SH,My president.

  • @seifwashule274
    @seifwashule2744 ай бұрын

    big question is! je tutaweza kuendeleza na kutunza, au itakuwa kama mabasi ya mwendokasi☹

  • @user-yi8qv1lg5e
    @user-yi8qv1lg5e4 ай бұрын

    KAZI IENDELEE 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @jkifutu7936
    @jkifutu79364 ай бұрын

    Baba magufuri tutakukumbuka 😢😢😢 daima

  • @TwoBrother-tc2cu

    @TwoBrother-tc2cu

    4 ай бұрын

    Tusiwe wabinafsi,magufuli kweli alianzisha lkn si wapo walioendeleza!kwanini wote tusiwapongeze?

  • @peaceisrael8158

    @peaceisrael8158

    4 ай бұрын

    Hakika Jembe letu baba upumzike kwa amani , amina🎉🎉🎉

  • @user-zy6vq6lz7z
    @user-zy6vq6lz7z4 ай бұрын

    Jembe Magufuli aliona mbali , iko poa sana

  • @Calex-the-Pilot
    @Calex-the-Pilot4 ай бұрын

    Ningependekeza Rangi ya viti vya Bussiness ibadilishwe au ifanyiwe ubunifu ipendeze, rangi moja tu tena ya orange haiji kabisa! Viti vya Economy vina muonekano mzuri kuliko vya Bussiness!

  • @robertmkude8234
    @robertmkude82344 ай бұрын

    Thanks JPM & SSH

  • @harounkiyungi7288
    @harounkiyungi72884 ай бұрын

    Hongera sana Tz hongera Mama yetu Samia hongera Watanzania wote kwa ushirikiano na mapokezi mazuri

  • @mamasalhat
    @mamasalhat4 ай бұрын

    mashaAllah kama ndege❤

  • @ZawadianaMwangosi-is2jm
    @ZawadianaMwangosi-is2jm2 ай бұрын

    Hongera mama samia

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum76854 ай бұрын

    Hasante marehemu maghufuri kwa kuanzisha treni hii na hongera mama samia kwa kukamilisha treni kufanyakazi leo

  • @evansokemwa6587
    @evansokemwa65874 ай бұрын

    kweli tanzania imendelea sana kuliko kenya pongezi wa bongo

  • @martinstarford6209

    @martinstarford6209

    4 ай бұрын

    lazima mtaje Kenya

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u4 ай бұрын

    PONGEZI kubwa kwa Raisi Dkt John pombe MAGUFULI

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo4 ай бұрын

    Magufuli hayupo kimwili lakini bado anaendelea kufanya kazi

  • @susanmauno8207
    @susanmauno82074 ай бұрын

    Congratulation tanzanian thats a big step

  • @jkomedikaduli
    @jkomedikaduli4 ай бұрын

    Maguuu maua yake huko mbinguni amen

  • @letthedeadburythedead2148

    @letthedeadburythedead2148

    4 ай бұрын

    Nani kakwambia yupo mbinguni

  • @dullahmmebela5624

    @dullahmmebela5624

    4 ай бұрын

    Mimi nimesema!!!​@@letthedeadburythedead2148

  • @adkajisi4536

    @adkajisi4536

    4 ай бұрын

    @@letthedeadburythedead2148 basi huko aliko

  • @piusgadau6328

    @piusgadau6328

    4 ай бұрын

    Kila kitu magu, magu nyie mnazani hakuna mwingine angeweza kufanya hivo...

  • @radhiaomary5591

    @radhiaomary5591

    4 ай бұрын

    @@piusgadau6328kumbuka yy ndo kaanzisha

  • @jbmaru96
    @jbmaru964 ай бұрын

    Much better than Kenya big up wooooohoooooo

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    4 ай бұрын

    is Coming

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi4 ай бұрын

    Kama lengo ni kumpongeza hayati Magu basi na Mh SSH apewe maua walikua wote.Tusisahau hio plz😂😂👏👏👏

  • @rasjamal9854
    @rasjamal98544 ай бұрын

    R I P Magufukuli uliyo achaa bado na endelea Kwa wa Tanzania Allah akupe Nuru uko uliko Sleep well still remember you comred

  • @maftahmusa9513

    @maftahmusa9513

    4 ай бұрын

    hili ni wazo la jakaya ndie alieanzisha maqufuli akarithi rejeeni historia

  • @user-fl3fb5gh6b

    @user-fl3fb5gh6b

    4 ай бұрын

    Atii wazo la kikwete,mbona alishindwa

  • @maftahmusa9513

    @maftahmusa9513

    4 ай бұрын

    @@user-fl3fb5gh6b alishindwa wapi wewe wafadhili wakwanza katika ujenzi huu wa reli ni nani aliewashauri au ulikua bado unanyoya?

  • @awadhsalim2680

    @awadhsalim2680

    4 ай бұрын

    ​@@user-fl3fb5gh6bna huyo magu wenu pia kashinda. Bisamia oyee. Magu kazi yake alikuwa ni kufilisi watu tu

  • @MursalLusinde

    @MursalLusinde

    4 ай бұрын

    Lazma ujue kwamba sio kila mpango mkakati unapo pangwa na serikali ni lazma ufanyike kwa wakati huo huo hasa ktk miradi mikubwa ya kimkakati inahitaji umakini wa hali ya juu ikiwezekana yanakusanywa maoni juu ya kilicho wasilishwa hivyo basi wala usikatae hii miradi mikubwa ya nchi inakuwepo ila utekelezaji wake ndo huchua muda wazo linakuja awamu ya 6 ila utekelezaji unakuja awamu hata ya 8​@@user-fl3fb5gh6b

  • @user-kg2fe7dd2v
    @user-kg2fe7dd2v4 ай бұрын

    Nampongesa rais wetu samia , hakika hajatuangusha , huyu ni kiongoz kwelikwel

  • @BakariIssa-nx3yf
    @BakariIssa-nx3yf4 ай бұрын

    Magu hooooyeeee mungu akupunguzie adhabu uko ulipo wameaanza kujaribu miladiyako baba ila wameiijumusana Sina uakika Kama watamaliza Kama ulivyotaka iwe baba watu wanaujumusana miladiyako

  • @evancymassawekenya7521
    @evancymassawekenya75214 ай бұрын

    Tanzania congratulations and I hope magufuli alifanya makubwa walio achiwa wanatekeleza vizuri kazi iliyo bakia kongole Mama samia

  • @khadujifuad9360
    @khadujifuad93604 ай бұрын

    Nawaza huo mgao wa umeme sasa?

  • @ismailisungura3491
    @ismailisungura34914 ай бұрын

    Tuta kukumbuka daima JPM congratulations jembe

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u4 ай бұрын

    PONGEZI kubwa Ziende kwa Raisi wetu DKT John pombe MAGUFULI 💪💪🇹🇿🫡

  • @twalebleboss9687
    @twalebleboss96874 ай бұрын

    VERY COOL..Lakini nimeshangaa kuona katika VIDEO HII kwenye dakika ya 3:32 ....UTAONA TRENI IKIWA NJIANI KWENYE MWENDO HUKU BAADHI YA MILANGO IKIWA WAZI.....Huku EUROPE HAKUNA TRENI YA UMEME INAYOWEZA KUFANYA KITUKO KAMA HICHO...#USALAMA KWANZA ... NI KOSA KUBWA HATA IKIWA NI MAJARIBIO...HAIRUHUSIWI....

  • @jaffjeff6912

    @jaffjeff6912

    3 ай бұрын

    Ndio Bongo hii mzazi acha tu

  • @salimshuba5804
    @salimshuba58044 ай бұрын

    160kph ni ndogo sana kwa tren ya umeme...inabid iwe kuanzia 200kph na zaid

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco83504 ай бұрын

    Msingemuua mwamba mpaka Leo tungekuwa mbali sana ... Rip malume Magu walikuua ili wanifanye wao ndio walioleta maendeleo

  • @awadhsalim2680

    @awadhsalim2680

    4 ай бұрын

    Pole😅

  • @robertphilip385

    @robertphilip385

    4 ай бұрын

    Yule mjinga na yeye aliua wengi anaeua Kwa upanga nayeye atauwawa Kwa upanga kwahiyo utetee ujinga

  • @mancholotrasco8350

    @mancholotrasco8350

    4 ай бұрын

    @@robertphilip385 alimuua nani Kwa ujinga acha kusifia wapumbavu wanaojiita viongoz wakat wanakula rushwa tu ... Hayo maendeleo unayoyaona Leo ni mipango ya magufuri yote ... Mnasifia kiongoz anaueshindwa kubalance bei ya sukari na miunodombinu ya umeme nchi gani hiyo

  • @robertphilip385

    @robertphilip385

    4 ай бұрын

    @@mancholotrasco8350 Ben sanane nawengine wengi alijaribu kumua Lisu mungu akakataa likafa yeye jinga kabisa

  • @robertphilip385

    @robertphilip385

    4 ай бұрын

    @@mancholotrasco8350 Ben sanane nawengine wengi alijaribu kumua Lisu mungu akakataa likafa yeye jinga kabisa

  • @outzone66
    @outzone664 ай бұрын

    Huyo alikwenda kunawa kwenye fountain tap itakuwa haijui matumizi yake. Hiyo ni kwa matumizi ya kunywa maji

  • @TwoBrother-tc2cu

    @TwoBrother-tc2cu

    4 ай бұрын

    Mh!umemuona kumbe?

  • @user-uo8xw9kr4b

    @user-uo8xw9kr4b

    4 ай бұрын

    Ndio wanatakiwa wawafundishe abiria jinsi yakutumia vitu vilivyomo humo ndani bila hivyo ni shida.

  • @mwinyimatopa2283
    @mwinyimatopa22834 ай бұрын

    Hongera Sana Kwa serikali na za kipekee Kwa magufuli huko aliko

  • @user-xk8nc2ii2u
    @user-xk8nc2ii2u4 ай бұрын

    Hongera sana kazi inaendelea

  • @youngrich6661
    @youngrich66614 ай бұрын

    Tanzania on top

  • @timotheeciza1592
    @timotheeciza15924 ай бұрын

    Hongera sana président Samia na heshima kubwa sana kwa malehemu Magufuli

  • @nassrabarwani1548
    @nassrabarwani15484 ай бұрын

    Tuitunze jamani tuwache Uswahili na tuwe na nidhamu big up Tanzania!

  • @Keytv254
    @Keytv2544 ай бұрын

    Tanesco naye ni nani😂😂😂

  • @anoldjose7793

    @anoldjose7793

    4 ай бұрын

    Hawamjui vzr.. Ye yuko pale anawazoom tu😂😂

  • @jumashedafa
    @jumashedafa4 ай бұрын

    Mama fanyen kwel tok dar to arusha kabla ya afcon itakuw mmechez...watu watatak kutalii zaid kupitia tren

  • @KiongoziMwandamizi

    @KiongoziMwandamizi

    4 ай бұрын

    👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @clememallya4257
    @clememallya42574 ай бұрын

    MAGUFULI ❤R.I.P

  • @user-mz2wx5dt9v
    @user-mz2wx5dt9v4 ай бұрын

    Magufur mungu akutunze pastor

  • @KapuliMkayala
    @KapuliMkayala2 ай бұрын

    Ongeleni sana

  • @ABUBAKAROMAR-vz7jl
    @ABUBAKAROMAR-vz7jl4 ай бұрын

    Kusema kweli mumetushinda yetu ya kenya

  • @awadhsalim2680
    @awadhsalim26804 ай бұрын

    Mama Samia namba one tz. Hana ubaguzi yy ni kazi kazi. Wenye roho nyeusi wabakinazo tu.

  • @miltonjohn9779

    @miltonjohn9779

    4 ай бұрын

    Samia kafanya Nini wew boya!

  • @awadhsalim2680

    @awadhsalim2680

    4 ай бұрын

    @@miltonjohn9779 boya mwenyewe mkundu mweusi kama nyani. Ww huwezi kuona kafanya nini kwani roho yako inachuki binafsi. Chuki zinamfanya mtu awe kipofu.

  • @franssmoses6791
    @franssmoses67914 ай бұрын

    Amna treni hapa temepigwa kwa wenzetu izo ni treni za kubeba mizigo muonekano wa nje kama semi trela

  • @abdallahomary515
    @abdallahomary5154 ай бұрын

    Mnajitoa ufahamu mwanzilishi hatajwi kabisa,

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi59853 ай бұрын

    Yeah! Tanzania kila la heri na maendeleo.

  • @ArcadoBaliseka-yt5ox
    @ArcadoBaliseka-yt5ox4 ай бұрын

    Tren yenyewe yamwaka 70 tunataka treni ya mchongoko sio hiyo

  • @whatisthetruth.8793

    @whatisthetruth.8793

    4 ай бұрын

    tumba hilo la kizamani

  • @adkajisi4536

    @adkajisi4536

    4 ай бұрын

    @@whatisthetruth.8793 lakini hili tumba pia hatukuwa nalo

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl

    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl

    4 ай бұрын

    I si ya mtumba ya mtumba mabeewa yamefika yale ya gorofa bado vichwa

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum72794 ай бұрын

    Naomba kazi

  • @exprodigitaltechtv5571
    @exprodigitaltechtv55714 ай бұрын

    ziitwe JPM rail ways hilo jina la mwendokasi limekaa kishamba sana

  • @Iam_mgahivevo
    @Iam_mgahivevo4 ай бұрын

    Ishu ni yatadumu au ndio wahusika watachukua Salio la wamiliki wa mabasi ili wayauwe ili wapate wateja kwenye mabasi

  • @user-uo8xw9kr4b

    @user-uo8xw9kr4b

    4 ай бұрын

    Hilo nalo neno na mafundi wanaojua kuyarekebisha wanao au mpaka watoke nje.

  • @kevoowade2794
    @kevoowade27944 ай бұрын

    Nice one

  • @manish-fp1fb
    @manish-fp1fb3 ай бұрын

    Hizo siti za Watu watatu hapana aisee.... sijui watakuwa wanapima watu kg.....

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum72794 ай бұрын

    Magu❤❤😢

  • @adamuselemani6173
    @adamuselemani61734 ай бұрын

    Hamna treni treni wamesha ichakachua ilitakiwa ije ya kufanana na ndege Hiyo ndio mwendo Kasi,,,Sasa hii Kama ya kwenda kigoma 😮😮😮😮😅

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda25544 ай бұрын

    Nakupenda Tanzania

  • @user-cf9fc1eh3n
    @user-cf9fc1eh3n4 ай бұрын

    Ethiopia is electric ⚡ boss

  • @boazmvellah6286
    @boazmvellah62864 ай бұрын

    Mbona za wenzetu hazipo hv au zile ni za Gesi😂😂😂😂

  • @whatisthetruth.8793

    @whatisthetruth.8793

    4 ай бұрын

    mtumba huu 🤣🤣🤣 ulikuwa ushatupwa wao wameenda kuununua

  • @adkajisi4536

    @adkajisi4536

    4 ай бұрын

    Samahani mwenzako yupi 😂

  • @KiongoziMwandamizi

    @KiongoziMwandamizi

    4 ай бұрын

    Mwenzako yupi? Hatuwezi kua grade moja hapa duniani labda mbinguni😂😂😂

  • @adkajisi4536

    @adkajisi4536

    4 ай бұрын

    @@KiongoziMwandamizi hata mbinguni hawezi kalia kiti cha Musa,

  • @user-mw3pc5vm9k
    @user-mw3pc5vm9k3 ай бұрын

    Hakika yapendeza sana

  • @Kabwela776
    @Kabwela7764 ай бұрын

    Tatizo watanzania wengi sio wastaarabu na wachafu wape mwezi tu treni itakuwa kama choo

  • @haggaiandagile6232

    @haggaiandagile6232

    4 ай бұрын

    Hapa ndio shida inapoanza ukawaida, kuchukulia vitu poa, kuharibu vitu...natamani wachapwe viboko hawa wachafuzi

  • @martinstarford6209
    @martinstarford62094 ай бұрын

    Ethiopia ndio ilikuwa nchi ya kwanza east africa kutumia reli ya umeme

  • @Zannah690

    @Zannah690

    4 ай бұрын

    Ethiopia haipo east africa

  • @edwinmakingi3631
    @edwinmakingi36314 ай бұрын

    Daima tutakukumbuka Magu, wala sikwa mabaya.

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po4 ай бұрын

    Dada unaongea points tupu😊😊😊

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael81584 ай бұрын

    RIP Magufuli🎉

  • @Mollelmichal
    @Mollelmichal4 ай бұрын

    Kama umeme ndo mnakta hivi sasa hii treni itakuwaje

  • @andrewmashika3756
    @andrewmashika37564 ай бұрын

    Hongera TRC. Hio full a/c ikipata hitilafu madirisha yanaweza kushushwa?

  • @husseinallysuleiman4657
    @husseinallysuleiman46574 ай бұрын

    Kuwe na viatu maalum vyakupandia maana navyowajua wabongo ilo kapeti litajaa mchanga wiki tu namaganda ya karanga maana mwingine atanunua mahindi asafiri huku anatafuna ainjoi safari

  • @salmamlokela1987

    @salmamlokela1987

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u4 ай бұрын

    Yani Hii Train ina viti kama Vya Ndege

  • @isaacmusa2977
    @isaacmusa29774 ай бұрын

    😂😂😂ata hawa wamegongwa pia...

  • @lupamwakyusa1582
    @lupamwakyusa15824 ай бұрын

    R I P Magufuli 💪, japo sidhan kama ndo ilikua aina ya mabehewa uliyoyakusudia na mda ulioupanga kuanza kufanyakazikwa trenii

  • @thedaveiknow.
    @thedaveiknow.4 ай бұрын

    This is way better than the kenyan SGR..and for way cheap..Uhunye alituosha manze😢

  • @brysonkaale3003

    @brysonkaale3003

    4 ай бұрын

    Kama Uhuru aliwaosha,Ruto atawakatakata Kama kitunguu.

  • @Kabwela776
    @Kabwela7764 ай бұрын

    Hongera sana Mama Samia , yeyote leo atakayekutukana Mama Samia Mimi ninaye 😊

  • @jactonmoris3034
    @jactonmoris30344 ай бұрын

    Bale kigamboni Ile Panton Kuna TV sijui Ile TV inafanya kazi gani hiii miaz kumi na Moja napita na mv hapa kazi tv Ile sijui wausika wapo kaburini😊

  • @amospotievents960

    @amospotievents960

    4 ай бұрын

    Itawaka kipindi cha kampen kuwa mtulivu😂😂😂😂

  • @anordmwesiga8717
    @anordmwesiga87174 ай бұрын

    Mbona muda ni mrefu sana..dar to moro dk 90 ni nyingi sana..

  • @adkajisi4536

    @adkajisi4536

    4 ай бұрын

    Ilibidi iwe 90mn

  • @ngulathfundikira4205

    @ngulathfundikira4205

    4 ай бұрын

    Bas tutafanya dakika 9

  • @betyjoseph6812

    @betyjoseph6812

    4 ай бұрын

    ​@@adkajisi4536😂😂 ilibidi iwe 90 mn badala ya dk 90

  • @user-jw3gi6nn2i
    @user-jw3gi6nn2i4 ай бұрын

    Tumetoka Mbali Nakumbuka.Nimewahi Kupanda Treni Ya Makaa Yamawe Nikitoka Mombo Kwenda Arusha Nikiwa Mdogo Na Marehemu Bibi Yangu Nikaja Kupande Tofauti Na Ile Nikiwa Mkubwa Na Leo TZ Tunaingia Ya Kutumia Umeme Kweri Tumepiga Hatua IPO Siku Nahiyo Nitaipanda

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria28104 ай бұрын

    Bayaaa! Eti kutoka dar to moro masaa matano!! C bora Nipande abood

  • @melau_tz
    @melau_tz4 ай бұрын

    Nauli bei gani?

  • @khamissaleh921
    @khamissaleh9214 ай бұрын

    Zitsenda mpaka Nsirobi?

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja19954 ай бұрын

    M'mungu ailinde Tran hii amen🙏

  • @barrynzeyimana6270

    @barrynzeyimana6270

    4 ай бұрын

    Mungu harindi train bari ninyi msiharibu train hiyo. Kwakua mungu hatokushika mkono usiharibu kama unataka kuharibu.

  • @bilid4128
    @bilid41284 ай бұрын

    Hiyo ya economy ina Changamoto kidogo ,mtu wa dirishani akitaka kutoka ataleta usumbufu kwa aliyekaa pembeni yake

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander11704 ай бұрын

    Hii safi sana, nchi inasonga mbele. Dar to Morogoro kwa dk 90? Itakuwa inakimbia sana. Safi sana hii.

  • @user-ix4uc3et8p
    @user-ix4uc3et8p4 ай бұрын

    Hunger sn Tanzania km alivyosema JPM Tz ni nchi Tajikistan basically ht kulipwa mshaha kwa mtu m1 m1 inawezekana. DHAHABU,ALMASI , BANDARI NA MBUGA ZA WANYAMA ,

  • @gazzomaster9462
    @gazzomaster94624 ай бұрын

    Magu angekuepo Hadi leo bongo ingekua inakalibia kufanana na South Africa

  • @jonijomk3107

    @jonijomk3107

    4 ай бұрын

    🤪🤪🤪🤪🤪🤪

  • @khadujifuad9360

    @khadujifuad9360

    4 ай бұрын

    Amka ukakojoe ulale naona bado umelala

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir2624 ай бұрын

    Kuna watu utawakuta hongera JPM kwani unazani bila ya yeye Tungefanya.Kila kitu inawezekana bila ya JPM.Hata Rais Samia naweza kufanya

  • @brysonkaale3003
    @brysonkaale30034 ай бұрын

    Mimi nina wasiwasi mkubwa kwenye usafi wa ndani na nje ya treni,na ubora wa huduma zote,tukifeli hapo kwa muda mfupi treni itakuwa haitamaniki kabisa!

  • @user-hu8fj2uf8e
    @user-hu8fj2uf8e4 ай бұрын

    Bora nipande Lori halichelewi kukata umeme porini 🤣🤚

  • @swaloweddingcollection
    @swaloweddingcollection3 ай бұрын

    Kwa SISI watu wa mbeya 😢 inakuwaje

  • @piusjaphet2760
    @piusjaphet27604 ай бұрын

    Msifieni basi na JPMagufuli huyo ndio mwamba aliye tufumbua macho na kuweka kifua mbele

  • @fortidaskashaigili7496
    @fortidaskashaigili74964 ай бұрын

    Mfundishe watu ustaarabu Sasa, na ninyi pia muwe wastaarabu, lkn keep nyume na hilo jata hizo meza zitakiwa viti au stand za mizigo

Келесі