MUONEKANO WA NDANI NA NJE WA TRENI ZA MWENDOKASI "INTERNET NI BURE, SPEED NI KASI"
Жүктеу.....
Пікірлер: 339
@_born844 ай бұрын
With this new railway Tz is set to be a serious logistics hub in Africa . Congratulations Watanzania!
@nzizajovinpaul49554 ай бұрын
Tanzania nchi tajiri na Mama samia atasababisha wananchi wapate usafiri Mzuri. ❤❤❤ Keep Moving forward Tanzania.
@martinisadru98994 ай бұрын
Dr, Samia yupo vizuri, na hatuna shaka nae, maana alikua pacha wa jpm, shida ni Yale mafisadi yalio chini yake.
@anoldjose7793
4 ай бұрын
Tuyataje au tuyaache😂😂
@user-kk9jn8dp9m
4 ай бұрын
Yataje
@J4UPro4 ай бұрын
Hongera sana baba huko uliko
@HassanMoha-rc8oq4 ай бұрын
Hongera nchi ya Tanzania Hongera mama samia songa mbele kwa kujenga Tanzania 🇹🇿
@user-de2rg9kk7u4 ай бұрын
MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI 💪💪💪🇹🇿 Hakika Raisi Dkt John MAGUFULI alitengeneza ALAMA icon ambayo haitasahaulika milele na Taifa 🇹🇿 na DUNIA 💪💪💪💪
@salimsaid98524 ай бұрын
Hongera sana Mama Samiha.Treni zimependeza sana ila hofu yangu ni suala La usafi sijui tumejipangaje.na Walichofeli Waandishi wa habari kwenye hii dhiara ya majaribio hawakuwauliza wakurugenzi juu ya suala la USAFI.
@user-oz6zp8fr1c4 ай бұрын
Maua maua ndugu yetu Hayati Magufuli. Pumzika kwa Amani Baba
@sultansallah8772
4 ай бұрын
Ndio nn
@rosemaryjoseph7929
4 ай бұрын
AMBACHO HUJAKIJUA NI KIPI@@sultansallah8772
@walidmgonja3644
18 күн бұрын
Machoko utayajua humu
@victormbagga18214 ай бұрын
Usafi please na utunzani Sio mauchafu kutupwa ovyo
@vero574 ай бұрын
Asante sana magufuli, ndiyo leo wamemaliza kazi ya train 🚉
@edwinmakingi3631
4 ай бұрын
Bado hawajamaliza, bado sana
@halunimnenwa5224
4 ай бұрын
Uyo dada anasema asane laisi samia kwa kulinda kibarua chake ionekane samia ndo anafanya kaz hii lakin kwenye comet ni magufuli2 we ka na uyo samia wako
@ramadhanimtetu3656
4 ай бұрын
Hongera Mama Samia kwa kazi nzuri
@ramadhanimtetu3656
4 ай бұрын
@@halunimnenwa5224 Na wewe nenda chato kakae na huyo Magufuli wako
@maniamba.tz_
4 ай бұрын
Hongera Mama Samia kwa mwendelezo na Kupiga hatua mbele
@user-ir5mc7vk8b4 ай бұрын
Asante Mungu kwa neema hii ya usafiri huu hii hakika ni hatua kubwa Sana
@davidluangisa45154 ай бұрын
Wahoooo am exceedingly humbled am profoundly honoured in My President 's leadership. Her Excellency Samia Suluhu Hassan...
@KomboHajj
4 ай бұрын
Ongea kiswahili wew
@idrisadalluc44984 ай бұрын
Kuna vingi vya kumuiga mzee wetu magufuli mungu amsamee baazi yamakosa yake🙏🙏
@J4UPro
4 ай бұрын
Hakuna aliyekamilika mkuu.
@lameckmagunya70134 ай бұрын
Hongera kwa serikari
@alfinmbilinyi59853 ай бұрын
Rais SH.Kazi nzuri endelea hivi hivi kuipatia maendeleo makubwa nchi yako Tanzania ndo nyumbani tutazunguka huko tutarudi nyumbani Tanzania.Big up SH,My president.
@seifwashule2744 ай бұрын
big question is! je tutaweza kuendeleza na kutunza, au itakuwa kama mabasi ya mwendokasi☹
@user-yi8qv1lg5e4 ай бұрын
KAZI IENDELEE 🎉🎉🎉🎉🎉
@jkifutu79364 ай бұрын
Baba magufuri tutakukumbuka 😢😢😢 daima
@TwoBrother-tc2cu
4 ай бұрын
Tusiwe wabinafsi,magufuli kweli alianzisha lkn si wapo walioendeleza!kwanini wote tusiwapongeze?
@peaceisrael8158
4 ай бұрын
Hakika Jembe letu baba upumzike kwa amani , amina🎉🎉🎉
@user-zy6vq6lz7z4 ай бұрын
Jembe Magufuli aliona mbali , iko poa sana
@Calex-the-Pilot4 ай бұрын
Ningependekeza Rangi ya viti vya Bussiness ibadilishwe au ifanyiwe ubunifu ipendeze, rangi moja tu tena ya orange haiji kabisa! Viti vya Economy vina muonekano mzuri kuliko vya Bussiness!
@robertmkude82344 ай бұрын
Thanks JPM & SSH
@harounkiyungi72884 ай бұрын
Hongera sana Tz hongera Mama yetu Samia hongera Watanzania wote kwa ushirikiano na mapokezi mazuri
@mamasalhat4 ай бұрын
mashaAllah kama ndege❤
@ZawadianaMwangosi-is2jm2 ай бұрын
Hongera mama samia
@selemanisalum76854 ай бұрын
Hasante marehemu maghufuri kwa kuanzisha treni hii na hongera mama samia kwa kukamilisha treni kufanyakazi leo
@evansokemwa65874 ай бұрын
kweli tanzania imendelea sana kuliko kenya pongezi wa bongo
@martinstarford6209
4 ай бұрын
lazima mtaje Kenya
@user-de2rg9kk7u4 ай бұрын
PONGEZI kubwa kwa Raisi Dkt John pombe MAGUFULI
@patrickKitambo4 ай бұрын
Magufuli hayupo kimwili lakini bado anaendelea kufanya kazi
@susanmauno82074 ай бұрын
Congratulation tanzanian thats a big step
@jkomedikaduli4 ай бұрын
Maguuu maua yake huko mbinguni amen
@letthedeadburythedead2148
4 ай бұрын
Nani kakwambia yupo mbinguni
@dullahmmebela5624
4 ай бұрын
Mimi nimesema!!!@@letthedeadburythedead2148
@adkajisi4536
4 ай бұрын
@@letthedeadburythedead2148 basi huko aliko
@piusgadau6328
4 ай бұрын
Kila kitu magu, magu nyie mnazani hakuna mwingine angeweza kufanya hivo...
@radhiaomary5591
4 ай бұрын
@@piusgadau6328kumbuka yy ndo kaanzisha
@jbmaru964 ай бұрын
Much better than Kenya big up wooooohoooooo
@trophywilson7211
4 ай бұрын
is Coming
@KiongoziMwandamizi4 ай бұрын
Kama lengo ni kumpongeza hayati Magu basi na Mh SSH apewe maua walikua wote.Tusisahau hio plz😂😂👏👏👏
@rasjamal98544 ай бұрын
R I P Magufukuli uliyo achaa bado na endelea Kwa wa Tanzania Allah akupe Nuru uko uliko Sleep well still remember you comred
@maftahmusa9513
4 ай бұрын
hili ni wazo la jakaya ndie alieanzisha maqufuli akarithi rejeeni historia
@user-fl3fb5gh6b
4 ай бұрын
Atii wazo la kikwete,mbona alishindwa
@maftahmusa9513
4 ай бұрын
@@user-fl3fb5gh6b alishindwa wapi wewe wafadhili wakwanza katika ujenzi huu wa reli ni nani aliewashauri au ulikua bado unanyoya?
@awadhsalim2680
4 ай бұрын
@@user-fl3fb5gh6bna huyo magu wenu pia kashinda. Bisamia oyee. Magu kazi yake alikuwa ni kufilisi watu tu
@MursalLusinde
4 ай бұрын
Lazma ujue kwamba sio kila mpango mkakati unapo pangwa na serikali ni lazma ufanyike kwa wakati huo huo hasa ktk miradi mikubwa ya kimkakati inahitaji umakini wa hali ya juu ikiwezekana yanakusanywa maoni juu ya kilicho wasilishwa hivyo basi wala usikatae hii miradi mikubwa ya nchi inakuwepo ila utekelezaji wake ndo huchua muda wazo linakuja awamu ya 6 ila utekelezaji unakuja awamu hata ya 8@@user-fl3fb5gh6b
@user-kg2fe7dd2v4 ай бұрын
Nampongesa rais wetu samia , hakika hajatuangusha , huyu ni kiongoz kwelikwel
@BakariIssa-nx3yf4 ай бұрын
Magu hooooyeeee mungu akupunguzie adhabu uko ulipo wameaanza kujaribu miladiyako baba ila wameiijumusana Sina uakika Kama watamaliza Kama ulivyotaka iwe baba watu wanaujumusana miladiyako
@evancymassawekenya75214 ай бұрын
Tanzania congratulations and I hope magufuli alifanya makubwa walio achiwa wanatekeleza vizuri kazi iliyo bakia kongole Mama samia
@khadujifuad93604 ай бұрын
Nawaza huo mgao wa umeme sasa?
@ismailisungura34914 ай бұрын
Tuta kukumbuka daima JPM congratulations jembe
@user-de2rg9kk7u4 ай бұрын
PONGEZI kubwa Ziende kwa Raisi wetu DKT John pombe MAGUFULI 💪💪🇹🇿🫡
@twalebleboss96874 ай бұрын
VERY COOL..Lakini nimeshangaa kuona katika VIDEO HII kwenye dakika ya 3:32 ....UTAONA TRENI IKIWA NJIANI KWENYE MWENDO HUKU BAADHI YA MILANGO IKIWA WAZI.....Huku EUROPE HAKUNA TRENI YA UMEME INAYOWEZA KUFANYA KITUKO KAMA HICHO...#USALAMA KWANZA ... NI KOSA KUBWA HATA IKIWA NI MAJARIBIO...HAIRUHUSIWI....
@jaffjeff6912
3 ай бұрын
Ndio Bongo hii mzazi acha tu
@salimshuba58044 ай бұрын
160kph ni ndogo sana kwa tren ya umeme...inabid iwe kuanzia 200kph na zaid
@mancholotrasco83504 ай бұрын
Msingemuua mwamba mpaka Leo tungekuwa mbali sana ... Rip malume Magu walikuua ili wanifanye wao ndio walioleta maendeleo
@awadhsalim2680
4 ай бұрын
Pole😅
@robertphilip385
4 ай бұрын
Yule mjinga na yeye aliua wengi anaeua Kwa upanga nayeye atauwawa Kwa upanga kwahiyo utetee ujinga
@mancholotrasco8350
4 ай бұрын
@@robertphilip385 alimuua nani Kwa ujinga acha kusifia wapumbavu wanaojiita viongoz wakat wanakula rushwa tu ... Hayo maendeleo unayoyaona Leo ni mipango ya magufuri yote ... Mnasifia kiongoz anaueshindwa kubalance bei ya sukari na miunodombinu ya umeme nchi gani hiyo
@robertphilip385
4 ай бұрын
@@mancholotrasco8350 Ben sanane nawengine wengi alijaribu kumua Lisu mungu akakataa likafa yeye jinga kabisa
@robertphilip385
4 ай бұрын
@@mancholotrasco8350 Ben sanane nawengine wengi alijaribu kumua Lisu mungu akakataa likafa yeye jinga kabisa
@outzone664 ай бұрын
Huyo alikwenda kunawa kwenye fountain tap itakuwa haijui matumizi yake. Hiyo ni kwa matumizi ya kunywa maji
@TwoBrother-tc2cu
4 ай бұрын
Mh!umemuona kumbe?
@user-uo8xw9kr4b
4 ай бұрын
Ndio wanatakiwa wawafundishe abiria jinsi yakutumia vitu vilivyomo humo ndani bila hivyo ni shida.
@mwinyimatopa22834 ай бұрын
Hongera Sana Kwa serikali na za kipekee Kwa magufuli huko aliko
@user-xk8nc2ii2u4 ай бұрын
Hongera sana kazi inaendelea
@youngrich66614 ай бұрын
Tanzania on top
@timotheeciza15924 ай бұрын
Hongera sana président Samia na heshima kubwa sana kwa malehemu Magufuli
@nassrabarwani15484 ай бұрын
Tuitunze jamani tuwache Uswahili na tuwe na nidhamu big up Tanzania!
@Keytv2544 ай бұрын
Tanesco naye ni nani😂😂😂
@anoldjose7793
4 ай бұрын
Hawamjui vzr.. Ye yuko pale anawazoom tu😂😂
@jumashedafa4 ай бұрын
Mama fanyen kwel tok dar to arusha kabla ya afcon itakuw mmechez...watu watatak kutalii zaid kupitia tren
@KiongoziMwandamizi
4 ай бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏
@clememallya42574 ай бұрын
MAGUFULI ❤R.I.P
@user-mz2wx5dt9v4 ай бұрын
Magufur mungu akutunze pastor
@KapuliMkayala2 ай бұрын
Ongeleni sana
@ABUBAKAROMAR-vz7jl4 ай бұрын
Kusema kweli mumetushinda yetu ya kenya
@awadhsalim26804 ай бұрын
Mama Samia namba one tz. Hana ubaguzi yy ni kazi kazi. Wenye roho nyeusi wabakinazo tu.
Amna treni hapa temepigwa kwa wenzetu izo ni treni za kubeba mizigo muonekano wa nje kama semi trela
@abdallahomary5154 ай бұрын
Mnajitoa ufahamu mwanzilishi hatajwi kabisa,
@alfinmbilinyi59853 ай бұрын
Yeah! Tanzania kila la heri na maendeleo.
@ArcadoBaliseka-yt5ox4 ай бұрын
Tren yenyewe yamwaka 70 tunataka treni ya mchongoko sio hiyo
@whatisthetruth.8793
4 ай бұрын
tumba hilo la kizamani
@adkajisi4536
4 ай бұрын
@@whatisthetruth.8793 lakini hili tumba pia hatukuwa nalo
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
4 ай бұрын
I si ya mtumba ya mtumba mabeewa yamefika yale ya gorofa bado vichwa
@faudhiasalum72794 ай бұрын
Naomba kazi
@exprodigitaltechtv55714 ай бұрын
ziitwe JPM rail ways hilo jina la mwendokasi limekaa kishamba sana
@Iam_mgahivevo4 ай бұрын
Ishu ni yatadumu au ndio wahusika watachukua Salio la wamiliki wa mabasi ili wayauwe ili wapate wateja kwenye mabasi
@user-uo8xw9kr4b
4 ай бұрын
Hilo nalo neno na mafundi wanaojua kuyarekebisha wanao au mpaka watoke nje.
@kevoowade27944 ай бұрын
Nice one
@manish-fp1fb3 ай бұрын
Hizo siti za Watu watatu hapana aisee.... sijui watakuwa wanapima watu kg.....
@faudhiasalum72794 ай бұрын
Magu❤❤😢
@adamuselemani61734 ай бұрын
Hamna treni treni wamesha ichakachua ilitakiwa ije ya kufanana na ndege Hiyo ndio mwendo Kasi,,,Sasa hii Kama ya kwenda kigoma 😮😮😮😮😅
@omarybakunda25544 ай бұрын
Nakupenda Tanzania
@user-cf9fc1eh3n4 ай бұрын
Ethiopia is electric ⚡ boss
@boazmvellah62864 ай бұрын
Mbona za wenzetu hazipo hv au zile ni za Gesi😂😂😂😂
@whatisthetruth.8793
4 ай бұрын
mtumba huu 🤣🤣🤣 ulikuwa ushatupwa wao wameenda kuununua
@adkajisi4536
4 ай бұрын
Samahani mwenzako yupi 😂
@KiongoziMwandamizi
4 ай бұрын
Mwenzako yupi? Hatuwezi kua grade moja hapa duniani labda mbinguni😂😂😂
@adkajisi4536
4 ай бұрын
@@KiongoziMwandamizi hata mbinguni hawezi kalia kiti cha Musa,
@user-mw3pc5vm9k3 ай бұрын
Hakika yapendeza sana
@Kabwela7764 ай бұрын
Tatizo watanzania wengi sio wastaarabu na wachafu wape mwezi tu treni itakuwa kama choo
@haggaiandagile6232
4 ай бұрын
Hapa ndio shida inapoanza ukawaida, kuchukulia vitu poa, kuharibu vitu...natamani wachapwe viboko hawa wachafuzi
@martinstarford62094 ай бұрын
Ethiopia ndio ilikuwa nchi ya kwanza east africa kutumia reli ya umeme
@Zannah690
4 ай бұрын
Ethiopia haipo east africa
@edwinmakingi36314 ай бұрын
Daima tutakukumbuka Magu, wala sikwa mabaya.
@ContentSmartphone-rq6po4 ай бұрын
Dada unaongea points tupu😊😊😊
@peaceisrael81584 ай бұрын
RIP Magufuli🎉
@Mollelmichal4 ай бұрын
Kama umeme ndo mnakta hivi sasa hii treni itakuwaje
@andrewmashika37564 ай бұрын
Hongera TRC. Hio full a/c ikipata hitilafu madirisha yanaweza kushushwa?
@husseinallysuleiman46574 ай бұрын
Kuwe na viatu maalum vyakupandia maana navyowajua wabongo ilo kapeti litajaa mchanga wiki tu namaganda ya karanga maana mwingine atanunua mahindi asafiri huku anatafuna ainjoi safari
@salmamlokela1987
4 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-de2rg9kk7u4 ай бұрын
Yani Hii Train ina viti kama Vya Ndege
@isaacmusa29774 ай бұрын
😂😂😂ata hawa wamegongwa pia...
@lupamwakyusa15824 ай бұрын
R I P Magufuli 💪, japo sidhan kama ndo ilikua aina ya mabehewa uliyoyakusudia na mda ulioupanga kuanza kufanyakazikwa trenii
@thedaveiknow.4 ай бұрын
This is way better than the kenyan SGR..and for way cheap..Uhunye alituosha manze😢
@brysonkaale3003
4 ай бұрын
Kama Uhuru aliwaosha,Ruto atawakatakata Kama kitunguu.
@Kabwela7764 ай бұрын
Hongera sana Mama Samia , yeyote leo atakayekutukana Mama Samia Mimi ninaye 😊
@jactonmoris30344 ай бұрын
Bale kigamboni Ile Panton Kuna TV sijui Ile TV inafanya kazi gani hiii miaz kumi na Moja napita na mv hapa kazi tv Ile sijui wausika wapo kaburini😊
@amospotievents960
4 ай бұрын
Itawaka kipindi cha kampen kuwa mtulivu😂😂😂😂
@anordmwesiga87174 ай бұрын
Mbona muda ni mrefu sana..dar to moro dk 90 ni nyingi sana..
@adkajisi4536
4 ай бұрын
Ilibidi iwe 90mn
@ngulathfundikira4205
4 ай бұрын
Bas tutafanya dakika 9
@betyjoseph6812
4 ай бұрын
@@adkajisi4536😂😂 ilibidi iwe 90 mn badala ya dk 90
@user-jw3gi6nn2i4 ай бұрын
Tumetoka Mbali Nakumbuka.Nimewahi Kupanda Treni Ya Makaa Yamawe Nikitoka Mombo Kwenda Arusha Nikiwa Mdogo Na Marehemu Bibi Yangu Nikaja Kupande Tofauti Na Ile Nikiwa Mkubwa Na Leo TZ Tunaingia Ya Kutumia Umeme Kweri Tumepiga Hatua IPO Siku Nahiyo Nitaipanda
@gabrielzakaria28104 ай бұрын
Bayaaa! Eti kutoka dar to moro masaa matano!! C bora Nipande abood
@melau_tz4 ай бұрын
Nauli bei gani?
@khamissaleh9214 ай бұрын
Zitsenda mpaka Nsirobi?
@Kuminamoja19954 ай бұрын
M'mungu ailinde Tran hii amen🙏
@barrynzeyimana6270
4 ай бұрын
Mungu harindi train bari ninyi msiharibu train hiyo. Kwakua mungu hatokushika mkono usiharibu kama unataka kuharibu.
@bilid41284 ай бұрын
Hiyo ya economy ina Changamoto kidogo ,mtu wa dirishani akitaka kutoka ataleta usumbufu kwa aliyekaa pembeni yake
@edwinalexander11704 ай бұрын
Hii safi sana, nchi inasonga mbele. Dar to Morogoro kwa dk 90? Itakuwa inakimbia sana. Safi sana hii.
@user-ix4uc3et8p4 ай бұрын
Hunger sn Tanzania km alivyosema JPM Tz ni nchi Tajikistan basically ht kulipwa mshaha kwa mtu m1 m1 inawezekana. DHAHABU,ALMASI , BANDARI NA MBUGA ZA WANYAMA ,
@gazzomaster94624 ай бұрын
Magu angekuepo Hadi leo bongo ingekua inakalibia kufanana na South Africa
@jonijomk3107
4 ай бұрын
🤪🤪🤪🤪🤪🤪
@khadujifuad9360
4 ай бұрын
Amka ukakojoe ulale naona bado umelala
@sleifikhajjir2624 ай бұрын
Kuna watu utawakuta hongera JPM kwani unazani bila ya yeye Tungefanya.Kila kitu inawezekana bila ya JPM.Hata Rais Samia naweza kufanya
@brysonkaale30034 ай бұрын
Mimi nina wasiwasi mkubwa kwenye usafi wa ndani na nje ya treni,na ubora wa huduma zote,tukifeli hapo kwa muda mfupi treni itakuwa haitamaniki kabisa!
@user-hu8fj2uf8e4 ай бұрын
Bora nipande Lori halichelewi kukata umeme porini 🤣🤚
@swaloweddingcollection3 ай бұрын
Kwa SISI watu wa mbeya 😢 inakuwaje
@piusjaphet27604 ай бұрын
Msifieni basi na JPMagufuli huyo ndio mwamba aliye tufumbua macho na kuweka kifua mbele
@fortidaskashaigili74964 ай бұрын
Mfundishe watu ustaarabu Sasa, na ninyi pia muwe wastaarabu, lkn keep nyume na hilo jata hizo meza zitakiwa viti au stand za mizigo
Пікірлер: 339
With this new railway Tz is set to be a serious logistics hub in Africa . Congratulations Watanzania!
Tanzania nchi tajiri na Mama samia atasababisha wananchi wapate usafiri Mzuri. ❤❤❤ Keep Moving forward Tanzania.
Dr, Samia yupo vizuri, na hatuna shaka nae, maana alikua pacha wa jpm, shida ni Yale mafisadi yalio chini yake.
@anoldjose7793
4 ай бұрын
Tuyataje au tuyaache😂😂
@user-kk9jn8dp9m
4 ай бұрын
Yataje
Hongera sana baba huko uliko
Hongera nchi ya Tanzania Hongera mama samia songa mbele kwa kujenga Tanzania 🇹🇿
MAGUFULI MAGUFULI MAGUFULI 💪💪💪🇹🇿 Hakika Raisi Dkt John MAGUFULI alitengeneza ALAMA icon ambayo haitasahaulika milele na Taifa 🇹🇿 na DUNIA 💪💪💪💪
Hongera sana Mama Samiha.Treni zimependeza sana ila hofu yangu ni suala La usafi sijui tumejipangaje.na Walichofeli Waandishi wa habari kwenye hii dhiara ya majaribio hawakuwauliza wakurugenzi juu ya suala la USAFI.
Maua maua ndugu yetu Hayati Magufuli. Pumzika kwa Amani Baba
@sultansallah8772
4 ай бұрын
Ndio nn
@rosemaryjoseph7929
4 ай бұрын
AMBACHO HUJAKIJUA NI KIPI@@sultansallah8772
@walidmgonja3644
18 күн бұрын
Machoko utayajua humu
Usafi please na utunzani Sio mauchafu kutupwa ovyo
Asante sana magufuli, ndiyo leo wamemaliza kazi ya train 🚉
@edwinmakingi3631
4 ай бұрын
Bado hawajamaliza, bado sana
@halunimnenwa5224
4 ай бұрын
Uyo dada anasema asane laisi samia kwa kulinda kibarua chake ionekane samia ndo anafanya kaz hii lakin kwenye comet ni magufuli2 we ka na uyo samia wako
@ramadhanimtetu3656
4 ай бұрын
Hongera Mama Samia kwa kazi nzuri
@ramadhanimtetu3656
4 ай бұрын
@@halunimnenwa5224 Na wewe nenda chato kakae na huyo Magufuli wako
@maniamba.tz_
4 ай бұрын
Hongera Mama Samia kwa mwendelezo na Kupiga hatua mbele
Asante Mungu kwa neema hii ya usafiri huu hii hakika ni hatua kubwa Sana
Wahoooo am exceedingly humbled am profoundly honoured in My President 's leadership. Her Excellency Samia Suluhu Hassan...
@KomboHajj
4 ай бұрын
Ongea kiswahili wew
Kuna vingi vya kumuiga mzee wetu magufuli mungu amsamee baazi yamakosa yake🙏🙏
@J4UPro
4 ай бұрын
Hakuna aliyekamilika mkuu.
Hongera kwa serikari
Rais SH.Kazi nzuri endelea hivi hivi kuipatia maendeleo makubwa nchi yako Tanzania ndo nyumbani tutazunguka huko tutarudi nyumbani Tanzania.Big up SH,My president.
big question is! je tutaweza kuendeleza na kutunza, au itakuwa kama mabasi ya mwendokasi☹
KAZI IENDELEE 🎉🎉🎉🎉🎉
Baba magufuri tutakukumbuka 😢😢😢 daima
@TwoBrother-tc2cu
4 ай бұрын
Tusiwe wabinafsi,magufuli kweli alianzisha lkn si wapo walioendeleza!kwanini wote tusiwapongeze?
@peaceisrael8158
4 ай бұрын
Hakika Jembe letu baba upumzike kwa amani , amina🎉🎉🎉
Jembe Magufuli aliona mbali , iko poa sana
Ningependekeza Rangi ya viti vya Bussiness ibadilishwe au ifanyiwe ubunifu ipendeze, rangi moja tu tena ya orange haiji kabisa! Viti vya Economy vina muonekano mzuri kuliko vya Bussiness!
Thanks JPM & SSH
Hongera sana Tz hongera Mama yetu Samia hongera Watanzania wote kwa ushirikiano na mapokezi mazuri
mashaAllah kama ndege❤
Hongera mama samia
Hasante marehemu maghufuri kwa kuanzisha treni hii na hongera mama samia kwa kukamilisha treni kufanyakazi leo
kweli tanzania imendelea sana kuliko kenya pongezi wa bongo
@martinstarford6209
4 ай бұрын
lazima mtaje Kenya
PONGEZI kubwa kwa Raisi Dkt John pombe MAGUFULI
Magufuli hayupo kimwili lakini bado anaendelea kufanya kazi
Congratulation tanzanian thats a big step
Maguuu maua yake huko mbinguni amen
@letthedeadburythedead2148
4 ай бұрын
Nani kakwambia yupo mbinguni
@dullahmmebela5624
4 ай бұрын
Mimi nimesema!!!@@letthedeadburythedead2148
@adkajisi4536
4 ай бұрын
@@letthedeadburythedead2148 basi huko aliko
@piusgadau6328
4 ай бұрын
Kila kitu magu, magu nyie mnazani hakuna mwingine angeweza kufanya hivo...
@radhiaomary5591
4 ай бұрын
@@piusgadau6328kumbuka yy ndo kaanzisha
Much better than Kenya big up wooooohoooooo
@trophywilson7211
4 ай бұрын
is Coming
Kama lengo ni kumpongeza hayati Magu basi na Mh SSH apewe maua walikua wote.Tusisahau hio plz😂😂👏👏👏
R I P Magufukuli uliyo achaa bado na endelea Kwa wa Tanzania Allah akupe Nuru uko uliko Sleep well still remember you comred
@maftahmusa9513
4 ай бұрын
hili ni wazo la jakaya ndie alieanzisha maqufuli akarithi rejeeni historia
@user-fl3fb5gh6b
4 ай бұрын
Atii wazo la kikwete,mbona alishindwa
@maftahmusa9513
4 ай бұрын
@@user-fl3fb5gh6b alishindwa wapi wewe wafadhili wakwanza katika ujenzi huu wa reli ni nani aliewashauri au ulikua bado unanyoya?
@awadhsalim2680
4 ай бұрын
@@user-fl3fb5gh6bna huyo magu wenu pia kashinda. Bisamia oyee. Magu kazi yake alikuwa ni kufilisi watu tu
@MursalLusinde
4 ай бұрын
Lazma ujue kwamba sio kila mpango mkakati unapo pangwa na serikali ni lazma ufanyike kwa wakati huo huo hasa ktk miradi mikubwa ya kimkakati inahitaji umakini wa hali ya juu ikiwezekana yanakusanywa maoni juu ya kilicho wasilishwa hivyo basi wala usikatae hii miradi mikubwa ya nchi inakuwepo ila utekelezaji wake ndo huchua muda wazo linakuja awamu ya 6 ila utekelezaji unakuja awamu hata ya 8@@user-fl3fb5gh6b
Nampongesa rais wetu samia , hakika hajatuangusha , huyu ni kiongoz kwelikwel
Magu hooooyeeee mungu akupunguzie adhabu uko ulipo wameaanza kujaribu miladiyako baba ila wameiijumusana Sina uakika Kama watamaliza Kama ulivyotaka iwe baba watu wanaujumusana miladiyako
Tanzania congratulations and I hope magufuli alifanya makubwa walio achiwa wanatekeleza vizuri kazi iliyo bakia kongole Mama samia
Nawaza huo mgao wa umeme sasa?
Tuta kukumbuka daima JPM congratulations jembe
PONGEZI kubwa Ziende kwa Raisi wetu DKT John pombe MAGUFULI 💪💪🇹🇿🫡
VERY COOL..Lakini nimeshangaa kuona katika VIDEO HII kwenye dakika ya 3:32 ....UTAONA TRENI IKIWA NJIANI KWENYE MWENDO HUKU BAADHI YA MILANGO IKIWA WAZI.....Huku EUROPE HAKUNA TRENI YA UMEME INAYOWEZA KUFANYA KITUKO KAMA HICHO...#USALAMA KWANZA ... NI KOSA KUBWA HATA IKIWA NI MAJARIBIO...HAIRUHUSIWI....
@jaffjeff6912
3 ай бұрын
Ndio Bongo hii mzazi acha tu
160kph ni ndogo sana kwa tren ya umeme...inabid iwe kuanzia 200kph na zaid
Msingemuua mwamba mpaka Leo tungekuwa mbali sana ... Rip malume Magu walikuua ili wanifanye wao ndio walioleta maendeleo
@awadhsalim2680
4 ай бұрын
Pole😅
@robertphilip385
4 ай бұрын
Yule mjinga na yeye aliua wengi anaeua Kwa upanga nayeye atauwawa Kwa upanga kwahiyo utetee ujinga
@mancholotrasco8350
4 ай бұрын
@@robertphilip385 alimuua nani Kwa ujinga acha kusifia wapumbavu wanaojiita viongoz wakat wanakula rushwa tu ... Hayo maendeleo unayoyaona Leo ni mipango ya magufuri yote ... Mnasifia kiongoz anaueshindwa kubalance bei ya sukari na miunodombinu ya umeme nchi gani hiyo
@robertphilip385
4 ай бұрын
@@mancholotrasco8350 Ben sanane nawengine wengi alijaribu kumua Lisu mungu akakataa likafa yeye jinga kabisa
@robertphilip385
4 ай бұрын
@@mancholotrasco8350 Ben sanane nawengine wengi alijaribu kumua Lisu mungu akakataa likafa yeye jinga kabisa
Huyo alikwenda kunawa kwenye fountain tap itakuwa haijui matumizi yake. Hiyo ni kwa matumizi ya kunywa maji
@TwoBrother-tc2cu
4 ай бұрын
Mh!umemuona kumbe?
@user-uo8xw9kr4b
4 ай бұрын
Ndio wanatakiwa wawafundishe abiria jinsi yakutumia vitu vilivyomo humo ndani bila hivyo ni shida.
Hongera Sana Kwa serikali na za kipekee Kwa magufuli huko aliko
Hongera sana kazi inaendelea
Tanzania on top
Hongera sana président Samia na heshima kubwa sana kwa malehemu Magufuli
Tuitunze jamani tuwache Uswahili na tuwe na nidhamu big up Tanzania!
Tanesco naye ni nani😂😂😂
@anoldjose7793
4 ай бұрын
Hawamjui vzr.. Ye yuko pale anawazoom tu😂😂
Mama fanyen kwel tok dar to arusha kabla ya afcon itakuw mmechez...watu watatak kutalii zaid kupitia tren
@KiongoziMwandamizi
4 ай бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏
MAGUFULI ❤R.I.P
Magufur mungu akutunze pastor
Ongeleni sana
Kusema kweli mumetushinda yetu ya kenya
Mama Samia namba one tz. Hana ubaguzi yy ni kazi kazi. Wenye roho nyeusi wabakinazo tu.
@miltonjohn9779
4 ай бұрын
Samia kafanya Nini wew boya!
@awadhsalim2680
4 ай бұрын
@@miltonjohn9779 boya mwenyewe mkundu mweusi kama nyani. Ww huwezi kuona kafanya nini kwani roho yako inachuki binafsi. Chuki zinamfanya mtu awe kipofu.
Amna treni hapa temepigwa kwa wenzetu izo ni treni za kubeba mizigo muonekano wa nje kama semi trela
Mnajitoa ufahamu mwanzilishi hatajwi kabisa,
Yeah! Tanzania kila la heri na maendeleo.
Tren yenyewe yamwaka 70 tunataka treni ya mchongoko sio hiyo
@whatisthetruth.8793
4 ай бұрын
tumba hilo la kizamani
@adkajisi4536
4 ай бұрын
@@whatisthetruth.8793 lakini hili tumba pia hatukuwa nalo
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
4 ай бұрын
I si ya mtumba ya mtumba mabeewa yamefika yale ya gorofa bado vichwa
Naomba kazi
ziitwe JPM rail ways hilo jina la mwendokasi limekaa kishamba sana
Ishu ni yatadumu au ndio wahusika watachukua Salio la wamiliki wa mabasi ili wayauwe ili wapate wateja kwenye mabasi
@user-uo8xw9kr4b
4 ай бұрын
Hilo nalo neno na mafundi wanaojua kuyarekebisha wanao au mpaka watoke nje.
Nice one
Hizo siti za Watu watatu hapana aisee.... sijui watakuwa wanapima watu kg.....
Magu❤❤😢
Hamna treni treni wamesha ichakachua ilitakiwa ije ya kufanana na ndege Hiyo ndio mwendo Kasi,,,Sasa hii Kama ya kwenda kigoma 😮😮😮😮😅
Nakupenda Tanzania
Ethiopia is electric ⚡ boss
Mbona za wenzetu hazipo hv au zile ni za Gesi😂😂😂😂
@whatisthetruth.8793
4 ай бұрын
mtumba huu 🤣🤣🤣 ulikuwa ushatupwa wao wameenda kuununua
@adkajisi4536
4 ай бұрын
Samahani mwenzako yupi 😂
@KiongoziMwandamizi
4 ай бұрын
Mwenzako yupi? Hatuwezi kua grade moja hapa duniani labda mbinguni😂😂😂
@adkajisi4536
4 ай бұрын
@@KiongoziMwandamizi hata mbinguni hawezi kalia kiti cha Musa,
Hakika yapendeza sana
Tatizo watanzania wengi sio wastaarabu na wachafu wape mwezi tu treni itakuwa kama choo
@haggaiandagile6232
4 ай бұрын
Hapa ndio shida inapoanza ukawaida, kuchukulia vitu poa, kuharibu vitu...natamani wachapwe viboko hawa wachafuzi
Ethiopia ndio ilikuwa nchi ya kwanza east africa kutumia reli ya umeme
@Zannah690
4 ай бұрын
Ethiopia haipo east africa
Daima tutakukumbuka Magu, wala sikwa mabaya.
Dada unaongea points tupu😊😊😊
RIP Magufuli🎉
Kama umeme ndo mnakta hivi sasa hii treni itakuwaje
Hongera TRC. Hio full a/c ikipata hitilafu madirisha yanaweza kushushwa?
Kuwe na viatu maalum vyakupandia maana navyowajua wabongo ilo kapeti litajaa mchanga wiki tu namaganda ya karanga maana mwingine atanunua mahindi asafiri huku anatafuna ainjoi safari
@salmamlokela1987
4 ай бұрын
😂😂😂😂
Yani Hii Train ina viti kama Vya Ndege
😂😂😂ata hawa wamegongwa pia...
R I P Magufuli 💪, japo sidhan kama ndo ilikua aina ya mabehewa uliyoyakusudia na mda ulioupanga kuanza kufanyakazikwa trenii
This is way better than the kenyan SGR..and for way cheap..Uhunye alituosha manze😢
@brysonkaale3003
4 ай бұрын
Kama Uhuru aliwaosha,Ruto atawakatakata Kama kitunguu.
Hongera sana Mama Samia , yeyote leo atakayekutukana Mama Samia Mimi ninaye 😊
Bale kigamboni Ile Panton Kuna TV sijui Ile TV inafanya kazi gani hiii miaz kumi na Moja napita na mv hapa kazi tv Ile sijui wausika wapo kaburini😊
@amospotievents960
4 ай бұрын
Itawaka kipindi cha kampen kuwa mtulivu😂😂😂😂
Mbona muda ni mrefu sana..dar to moro dk 90 ni nyingi sana..
@adkajisi4536
4 ай бұрын
Ilibidi iwe 90mn
@ngulathfundikira4205
4 ай бұрын
Bas tutafanya dakika 9
@betyjoseph6812
4 ай бұрын
@@adkajisi4536😂😂 ilibidi iwe 90 mn badala ya dk 90
Tumetoka Mbali Nakumbuka.Nimewahi Kupanda Treni Ya Makaa Yamawe Nikitoka Mombo Kwenda Arusha Nikiwa Mdogo Na Marehemu Bibi Yangu Nikaja Kupande Tofauti Na Ile Nikiwa Mkubwa Na Leo TZ Tunaingia Ya Kutumia Umeme Kweri Tumepiga Hatua IPO Siku Nahiyo Nitaipanda
Bayaaa! Eti kutoka dar to moro masaa matano!! C bora Nipande abood
Nauli bei gani?
Zitsenda mpaka Nsirobi?
M'mungu ailinde Tran hii amen🙏
@barrynzeyimana6270
4 ай бұрын
Mungu harindi train bari ninyi msiharibu train hiyo. Kwakua mungu hatokushika mkono usiharibu kama unataka kuharibu.
Hiyo ya economy ina Changamoto kidogo ,mtu wa dirishani akitaka kutoka ataleta usumbufu kwa aliyekaa pembeni yake
Hii safi sana, nchi inasonga mbele. Dar to Morogoro kwa dk 90? Itakuwa inakimbia sana. Safi sana hii.
Hunger sn Tanzania km alivyosema JPM Tz ni nchi Tajikistan basically ht kulipwa mshaha kwa mtu m1 m1 inawezekana. DHAHABU,ALMASI , BANDARI NA MBUGA ZA WANYAMA ,
Magu angekuepo Hadi leo bongo ingekua inakalibia kufanana na South Africa
@jonijomk3107
4 ай бұрын
🤪🤪🤪🤪🤪🤪
@khadujifuad9360
4 ай бұрын
Amka ukakojoe ulale naona bado umelala
Kuna watu utawakuta hongera JPM kwani unazani bila ya yeye Tungefanya.Kila kitu inawezekana bila ya JPM.Hata Rais Samia naweza kufanya
Mimi nina wasiwasi mkubwa kwenye usafi wa ndani na nje ya treni,na ubora wa huduma zote,tukifeli hapo kwa muda mfupi treni itakuwa haitamaniki kabisa!
Bora nipande Lori halichelewi kukata umeme porini 🤣🤚
Kwa SISI watu wa mbeya 😢 inakuwaje
Msifieni basi na JPMagufuli huyo ndio mwamba aliye tufumbua macho na kuweka kifua mbele
Mfundishe watu ustaarabu Sasa, na ninyi pia muwe wastaarabu, lkn keep nyume na hilo jata hizo meza zitakiwa viti au stand za mizigo