SIKU YA PILI, ABIRIA WAZIDI KUMIMINIKA SAFARI ZA SGR DAR - MORO
Жүктеу.....
Пікірлер: 96
@ndukulusudikucho_3 күн бұрын
Hongereni Serikali sikivu kwa kuleta mambo haya mazuri kwa wananchi, Mungu ibarik Tanzania, Mwenyezi Mungu mpe afya na nguvu SSH
@zobakazizi763722 күн бұрын
Barabara za morogoro kuelekea station ni mbaya sana. Tanroad wanafanya kazi kwa mazoea.
@starjay3052
21 күн бұрын
😁😁🤣🤣 hii ndio bongo kaka
@starjay3052
21 күн бұрын
unataka vitu vizuli kwani upo uraya
@jabirikilagilile9799
21 күн бұрын
Sanaaaa
@Kabwela77622 күн бұрын
Watanzania hawana utamaduni wa kupanga foleni yaani tabia za vijiweni wafundisheni kupanga foleni Na tengenezeni matangazo ya kuwaonya abiria kuhusu uhabiribifu wa miundo mbinu ya ndani ya train
@kwisa4899
21 күн бұрын
wazo zuri sana
@kiatu
20 күн бұрын
Ustaarabu kwetu ni changamoto
@vt-kn6qf
19 күн бұрын
Please TRC mkajifunze Airport mifumo ya habiria kuweka foleni kuhelekea kwenye mabehewa Please 🙏 icho sio kituo cha daladala please
@user-sj3wf5vz7l22 күн бұрын
Shirika lilikuwa limekufa. Namkumbuka magufuli kwa kufufua hili shirika. Hongera mama samia kwa kumaliza kazi ipasavyo. 5 tena kwako mama❤
@rahmaomary5134
20 күн бұрын
Mradi wa SGR ulizinduliwa kipindi cha raisi wanne
@sundaystanley5322
20 күн бұрын
@@rahmaomary5134unafikiri nani atakuelewa na maneno yako,hata kama ulikuwa humpend jpm,tutamkumbuka tu
@deven.oauditx7547
19 күн бұрын
@@rahmaomary5134Pro-Magufuli hawataki kukubali kuwa mradi ulibuniwa na mchakato ulianzishwa na Kikwete.
@herodiduma9906
18 күн бұрын
Mipango yote ni awamu ya 3 utekekezaji awamu wa 5
@fadhilisecha426822 күн бұрын
kikubwa mradi uwe na mwendelezo. ni project nzur sana KIUCHUMI
@selemankishema578022 күн бұрын
Wenye mabasi mjipange msihujumu tu 😂😂😂
@kwisa4899
21 күн бұрын
Hawawezi kwasababu usafiri huo ni single railway truck labda ingekua Doubled truck railway
@kwisa489922 күн бұрын
Muwafunze wa TANZANIA KUPANGA FOLENI MAANA HAWANA ADABU TOFAUTI NA NCHI ZINGINE NA HIYO NDIO INDICATOR YA KUJUA NI MTANZANIA JITAHIDI KUWAPIGIA KELELE KUHUSU HILO NI TABIA INAYO CHUKIZA SANA
@beaugosseadam6831
22 күн бұрын
Kila kitu hutona na Malezi pamoja na Tabia njema ya kujifunza. Wabongo wengi Malezi na Tabia zao ni za vijiweni. Hata Wasomi au Viongozi ukiwaangalia utaona dalili za ushamba tuuu
@kwisa4899
22 күн бұрын
hii tabia kwa wa Tanzania imekuwa ni kero sana ilitakiwe iwe kaulimbiu ya kitaifa kwa sababu hii tambia inaambatana na rushwa unakuta mtu kakukuta Dukani anataka audumiwe yeye kwanza inachukiza sana
@atkentravelafrica4361
22 күн бұрын
Jambo jema na la kupendeza sana, Lakini kuna jambo moja la muhimu nalo ni mizogo ya abiri. Handleling ya mizigo ya abiria bado utaratibu wake haujazingatiwa vizuri na trc. Mzigo yote inapaswa kuwekwa lable na kuwa rapped na kuhifadhiwa katika behewa la mizigo. Sasa hapa naona tusha Beba na box zenye kuku katika behewa za abiria.
@kwisa4899
21 күн бұрын
@@atkentravelafrica4361TRC ingebakia kwene ku deal na usafiri hudumu zingine wangeachia Private sector ,itakufa na uchafu utakuwa kama walivyo shindwa kuendesha uwanja wa Taifa na Mwendo kasi wanajua kuazisha miradi tu lakini kuendeleza na kusimamia ni 000000000000000000
@UnitedAfrica-uw9ct22 күн бұрын
USAFI WATANZANIA USAFI CHONDE CHONDE.......! , msije na mizigo ya mihogo na ndizi humo sio mahala pake.....
@user-fl3fb5gh6b22 күн бұрын
Rip jpm
@iddrashid705422 күн бұрын
Mikoa ifungue vituo vya mabasi karibu na stedheni za SGR ilikusaidia wasafiri watakao kuwa wanashuka kuunganisha na safari barabara pia za kuenda stesheni ziboreshwe isije kuwa mtu unasafiri Dar Dodoma 4hrs halafu stesheni mpaka stendi ya mabasi 2hrs
@alexifunya754822 күн бұрын
Twende na wakati tukate tiketi online
@HABIBHASSAN-wf5mr18 күн бұрын
Hongera SANA mama SAMIA KWA KUKAMILISHA ULICHO WAAHIDI WA TZ KWAMBA KAZI IENDELEE NA KWELI
@rashdiyange775821 күн бұрын
Daaaa kiukwer mimi izo ofice zao kama irport daa bonge la dude seeeeeee mpka laaa 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Jitahidini kutumia technology watu waweze kukata online na kupata ticket kabisa kusiwepo mwingiliano na watu, inasaidia kuweka mazingira mazuruli ya kuepuka msongamano
@kisutabora5914
22 күн бұрын
Pia wawafikirie abiria waliopo nchi za nje kufanya booking kirahisi. Sasa hivi haiwezekani, lazima kujiandikisha, ila abiria wa nje mtandao inawagomea, hauruhusu, si nzuri kwa watalii
@bonaventuralupogo214922 күн бұрын
Online website haifanyi kazi
@shaban6644
22 күн бұрын
Online ipo Kwa maboresho, tunaenda Na physical kwanza.
@kisutabora5914
22 күн бұрын
@@shaban6644 muwafikirie watalii wa nchi za nje iwe rahisi pia kwao kujiandikisha mtandaoni. Sasa hivi haiwezekani hata akiweka email
@mcback4384
21 күн бұрын
@@shaban6644miaka yote mnafanya majaribio ya nini? Incompetence kabisa
@kwisa4899
21 күн бұрын
ulitegemea itafanya kazi 😂😂😂😂
@Beauthoms22 күн бұрын
Keep it up trc
@Kim19onlinetv22 күн бұрын
Mwalim Humphrey siku nyingi sana MWALIMU wangu uko wapi?
@user-pi8ln3fe3n22 күн бұрын
ongereni sana maendereo mazuri lakini mngefanya vitumike vitambulisho hata vyakupigia kura sio nida peke yake kunawengine hawana nida
@IkoUwasi-it6qy
21 күн бұрын
sasa hujui kuwa NIDA ndio cha kupigia kura ndio maana kimebeba vitu vingi
@mcback4384
21 күн бұрын
Hapakuwa hata na haja ya NIDA, wangesema number yako tu ya simu, hakuna number ya simu isio na NIDA
@carolinamushi631620 күн бұрын
Hongera sana Raisi wetu kwa kazi nzuri. Mungu ibariki Tanzania 🙏
Haya mabox mngezuia abiria kuingia nayo ndani ya train mngeruhusu mabegi tu
@kanchanananayakkara895918 күн бұрын
Such a beautiful train❤
@bnyangoma21 күн бұрын
Kwa nini inatakiwa NIDA namba?
@ambokilemussa351810 күн бұрын
sisi wa Mbeya lringa na Njombe ngosha alitutenga😢
@magorymara551521 күн бұрын
Hili shirika wasipouzingatia usafi basi itakuwa ni kwa mapenzi yao wenyewe make kila kitu wamerahisishiwa ni sheria tu ndo wanatakiwa kuziweka kwa pande zote kwa abiria mpaka wafanyakazi ili tusijeonekana wa hovyo kama nchi
@FredyVincent95175385245621 күн бұрын
Ili kuboresha ustaarabu TRC watengeneze mabehewa yenye sehemu za mizigo ya Watanzania . Hatuwezi kuacha asili watanzania hupewa zawadi za chakula na kadhalika( yawepo mabehewa maalum ya kubebea zawadi zao)
@bongohackss9 күн бұрын
Thanks to Magufuli, RIP dady
@majatamsafiri517 күн бұрын
Watanzania ni vema kushirikiana katika kutunza miondombinu ya reli yetu ili endelee kuwa bora
@ernestsinje970021 күн бұрын
Kwa kweli ni Hatua
@ambokilemussa351810 күн бұрын
mwafrika anaitwa pelegrin!!!!!
@alfredmhana23522 күн бұрын
Wamiliki wa mabasi wapunguze vurungu zawo kwa baraba.hiyo Haina foleni au eti kumsubiki kiwete Apite kwanza.
@kisutabora591422 күн бұрын
Siti la watu 3, linasimama kila kituo
@tezuramziray870021 күн бұрын
Inapendeza ila tunaomba teknolojia ichukue nafasi yake. Online tunakataje
@allymganga322314 күн бұрын
Ruti ziko 2 moja ndio hii ya saa 10 ya asubui inakuwa saa ngapi
@tanzcanmediatv447314 күн бұрын
Mifumobya card vipi hongereni
@joevang468522 күн бұрын
r.i.p jpm
@samsonmweta504019 күн бұрын
Tunaomba ratiba iwe wazi tujipange kufanya utalii 😂
@MashakaMagesa13 күн бұрын
Itunzeni hiyo miundombinu idumu Rip Jpm
@mwajumabandula612213 күн бұрын
Sasa km huna NIDA huendi 😢😢
@mahamudumbaruku523718 күн бұрын
Kwaiyo kama auna namba ya nida autaweza pata tiketi.
@tanzcanmediatv447314 күн бұрын
Rip magu dah
@user-ze6lx9ng6s19 күн бұрын
Shida ni ufisadi tu nchi hii, RIP JPM
@Prishnakdrama21 күн бұрын
kwn watu wasikate online????
@user-fb5tj5zy4z22 күн бұрын
Daraja la walalahoi likoje, tuonesheni jinsi watu wanavyokaa kwenye daraja la chini
@rashidmsuya5721
22 күн бұрын
Si ndo ilo uchumi
@HassaniMzee22 күн бұрын
Naomba maelekezo jinsi ya kukata tiketi mtandaoni
@Japanese-lz1or22 күн бұрын
Dahhh sasa mabsi yangu niamishe ruti sasa
@filamupictures9349
22 күн бұрын
subiri nikutajie sababu kadhaa za mabasi kuendelea kuwepo hiyo route ya dar moro, 1. mabasi yanatoka mapema kuliko hiyo treni, baai la kwanza la moro dar ni saa kumi na moja kamili asubuhi linatoka na giza, na hadi saa tatu upo Dar, wakati treni ya moro dar ni saa mbili, 2. stesheni ya Dar ipo mbali na maeneo mengi mji, maeneo mengi watu wataamua kupanda basi, kwasababu foleni za kwenda posta zitaendelea kupoteza muda vilevile. 3. mabasi hayana ratiba, sasa hivi basi la dar moro dar linaondoka linapojaa yani kama daladala, na tiketi unakatia mlangoni mwa basi, mambo ya kusafiri kwa muda maalum kutakuwa na watu ambao wana safari za ghafla, na wengine wataona usumbufu , wataendelea kupanda basi,
@salumalriyamy
22 күн бұрын
@@filamupictures9349Pia usisahau kuwa Kuna factor ya convenience, kwa mfano mtu anataka ashuke kimara Moja kwa Moja badala ya kushuka town then achukue taxi, Pia Kuna wakati ambapo treni haipo kwenye ratiba, imejaa, au umekimbiwa.. Yani kuwaza kuwa treni inaua mabasi ni kujinyima ufikiri
@mcback4384
21 күн бұрын
@@filamupictures9349hata hivyo hakungetokea mabasi yasiwepo kabisa lakini huwezi pinga kwamba hawa abiria wote unaowaona hapa walikua ni wa mabasi kabla SGR haijaanza operation
@exaverysimon106422 күн бұрын
SAF SANA ...... MITANO TENA
@sunguraally245622 күн бұрын
Kwa Mteja ambae hana kitambulisho cha NIDA ila NAMBA ya NIDA anayo,anaruhusiwa kukata TIKET?
@jerryjohn803021 күн бұрын
Hii ni kuipa mda kama mwendokasi 😂😂
@mcback4384
21 күн бұрын
Ubovu wa huduma ya mwendokasi ni basi chache, hii mzee trains sio chache, kuna ambazo ni doubldeck zenyewe hata mzigoni bado hazijaingia
@ahmedronga758321 күн бұрын
Km huna nida uwezi safir?
@nicolausminja68922 күн бұрын
🤔TRC kumenoga!
@nsajimwasege6820 күн бұрын
NIDA inahusikaje na mtz kusafiri Dar Moro?
@straitnews344122 күн бұрын
Kwa ticket online zipo au hazipo
@UnitedAfrica-uw9ct
22 күн бұрын
Hakuna ticket online ndio kwanza wanapambana kufanya tovuti ifanye kazi
@iathumani
22 күн бұрын
Tickets online zipo acha kujibu usichojua. Nimekata online two times.
@UnitedAfrica-uw9ct
22 күн бұрын
@@iathumani juzi imebidi niende pale station kukata ticket kwa hiyo najua ninacho kisema , na nimeongea na mtu wa ICT TRC ame confirm bado site yao haiko tayari usitete ujinga...kila mtu anataka huduma nzuri....kama ATCL wana mfumo mzuri wa Ticket wao TRC kwanini wanachelewa kuanzisha jambo ambalo linawaletea pesa kirahisi...i wasted one hour trying to get a ticket.
@karyori6922 күн бұрын
Mbona online booking hamna nyie vp?
@kisutabora5914
22 күн бұрын
Upon. Ingia/tafuta/google sgrticket.trc.co.tz
@godlistenmnkeni2454
22 күн бұрын
Online booking ipo
@shedrackmutalemwa731021 күн бұрын
Mtandaoni unakataje ticket
@iddrashid705422 күн бұрын
Usafiri uwe 24hrs
@kwisa4899
21 күн бұрын
Hakuna kitu kama hicho Duniani
@fidelfidel-jz4iw20 күн бұрын
Hizo electronic mbona kuna mtu kasimama wakati ni machine yenyewe inafunguka au ni mhovu hizo machine!!!!?
Пікірлер: 96
Hongereni Serikali sikivu kwa kuleta mambo haya mazuri kwa wananchi, Mungu ibarik Tanzania, Mwenyezi Mungu mpe afya na nguvu SSH
Barabara za morogoro kuelekea station ni mbaya sana. Tanroad wanafanya kazi kwa mazoea.
@starjay3052
21 күн бұрын
😁😁🤣🤣 hii ndio bongo kaka
@starjay3052
21 күн бұрын
unataka vitu vizuli kwani upo uraya
@jabirikilagilile9799
21 күн бұрын
Sanaaaa
Watanzania hawana utamaduni wa kupanga foleni yaani tabia za vijiweni wafundisheni kupanga foleni Na tengenezeni matangazo ya kuwaonya abiria kuhusu uhabiribifu wa miundo mbinu ya ndani ya train
@kwisa4899
21 күн бұрын
wazo zuri sana
@kiatu
20 күн бұрын
Ustaarabu kwetu ni changamoto
@vt-kn6qf
19 күн бұрын
Please TRC mkajifunze Airport mifumo ya habiria kuweka foleni kuhelekea kwenye mabehewa Please 🙏 icho sio kituo cha daladala please
Shirika lilikuwa limekufa. Namkumbuka magufuli kwa kufufua hili shirika. Hongera mama samia kwa kumaliza kazi ipasavyo. 5 tena kwako mama❤
@rahmaomary5134
20 күн бұрын
Mradi wa SGR ulizinduliwa kipindi cha raisi wanne
@sundaystanley5322
20 күн бұрын
@@rahmaomary5134unafikiri nani atakuelewa na maneno yako,hata kama ulikuwa humpend jpm,tutamkumbuka tu
@deven.oauditx7547
19 күн бұрын
@@rahmaomary5134Pro-Magufuli hawataki kukubali kuwa mradi ulibuniwa na mchakato ulianzishwa na Kikwete.
@herodiduma9906
18 күн бұрын
Mipango yote ni awamu ya 3 utekekezaji awamu wa 5
kikubwa mradi uwe na mwendelezo. ni project nzur sana KIUCHUMI
Wenye mabasi mjipange msihujumu tu 😂😂😂
@kwisa4899
21 күн бұрын
Hawawezi kwasababu usafiri huo ni single railway truck labda ingekua Doubled truck railway
Muwafunze wa TANZANIA KUPANGA FOLENI MAANA HAWANA ADABU TOFAUTI NA NCHI ZINGINE NA HIYO NDIO INDICATOR YA KUJUA NI MTANZANIA JITAHIDI KUWAPIGIA KELELE KUHUSU HILO NI TABIA INAYO CHUKIZA SANA
@beaugosseadam6831
22 күн бұрын
Kila kitu hutona na Malezi pamoja na Tabia njema ya kujifunza. Wabongo wengi Malezi na Tabia zao ni za vijiweni. Hata Wasomi au Viongozi ukiwaangalia utaona dalili za ushamba tuuu
@kwisa4899
22 күн бұрын
hii tabia kwa wa Tanzania imekuwa ni kero sana ilitakiwe iwe kaulimbiu ya kitaifa kwa sababu hii tambia inaambatana na rushwa unakuta mtu kakukuta Dukani anataka audumiwe yeye kwanza inachukiza sana
@atkentravelafrica4361
22 күн бұрын
Jambo jema na la kupendeza sana, Lakini kuna jambo moja la muhimu nalo ni mizogo ya abiri. Handleling ya mizigo ya abiria bado utaratibu wake haujazingatiwa vizuri na trc. Mzigo yote inapaswa kuwekwa lable na kuwa rapped na kuhifadhiwa katika behewa la mizigo. Sasa hapa naona tusha Beba na box zenye kuku katika behewa za abiria.
@kwisa4899
21 күн бұрын
@@atkentravelafrica4361TRC ingebakia kwene ku deal na usafiri hudumu zingine wangeachia Private sector ,itakufa na uchafu utakuwa kama walivyo shindwa kuendesha uwanja wa Taifa na Mwendo kasi wanajua kuazisha miradi tu lakini kuendeleza na kusimamia ni 000000000000000000
USAFI WATANZANIA USAFI CHONDE CHONDE.......! , msije na mizigo ya mihogo na ndizi humo sio mahala pake.....
Rip jpm
Mikoa ifungue vituo vya mabasi karibu na stedheni za SGR ilikusaidia wasafiri watakao kuwa wanashuka kuunganisha na safari barabara pia za kuenda stesheni ziboreshwe isije kuwa mtu unasafiri Dar Dodoma 4hrs halafu stesheni mpaka stendi ya mabasi 2hrs
Twende na wakati tukate tiketi online
Hongera SANA mama SAMIA KWA KUKAMILISHA ULICHO WAAHIDI WA TZ KWAMBA KAZI IENDELEE NA KWELI
Daaaa kiukwer mimi izo ofice zao kama irport daa bonge la dude seeeeeee mpka laaa 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗
Safi sana! Mfanyabiashara unatoka Moro asbh unashuka steshen unaingia Kariakoo unafanya yako then unageuza kiurahisi
Jitahidini kutumia technology watu waweze kukata online na kupata ticket kabisa kusiwepo mwingiliano na watu, inasaidia kuweka mazingira mazuruli ya kuepuka msongamano
@kisutabora5914
22 күн бұрын
Pia wawafikirie abiria waliopo nchi za nje kufanya booking kirahisi. Sasa hivi haiwezekani, lazima kujiandikisha, ila abiria wa nje mtandao inawagomea, hauruhusu, si nzuri kwa watalii
Online website haifanyi kazi
@shaban6644
22 күн бұрын
Online ipo Kwa maboresho, tunaenda Na physical kwanza.
@kisutabora5914
22 күн бұрын
@@shaban6644 muwafikirie watalii wa nchi za nje iwe rahisi pia kwao kujiandikisha mtandaoni. Sasa hivi haiwezekani hata akiweka email
@mcback4384
21 күн бұрын
@@shaban6644miaka yote mnafanya majaribio ya nini? Incompetence kabisa
@kwisa4899
21 күн бұрын
ulitegemea itafanya kazi 😂😂😂😂
Keep it up trc
Mwalim Humphrey siku nyingi sana MWALIMU wangu uko wapi?
ongereni sana maendereo mazuri lakini mngefanya vitumike vitambulisho hata vyakupigia kura sio nida peke yake kunawengine hawana nida
@IkoUwasi-it6qy
21 күн бұрын
sasa hujui kuwa NIDA ndio cha kupigia kura ndio maana kimebeba vitu vingi
@mcback4384
21 күн бұрын
Hapakuwa hata na haja ya NIDA, wangesema number yako tu ya simu, hakuna number ya simu isio na NIDA
Hongera sana Raisi wetu kwa kazi nzuri. Mungu ibariki Tanzania 🙏
@MashakaMagesa
13 күн бұрын
Kazi ya JPM ungesema Rip Jpm
SAFI SANA. NCHI INAPAA
Tujitahd folen zisiwepo kama Air port kazi nzuri
Daa wapo wanaotuna hatuna macho wanatuminisha selikali haijafanya chochote cha maendeo
Haya mabox mngezuia abiria kuingia nayo ndani ya train mngeruhusu mabegi tu
Such a beautiful train❤
Kwa nini inatakiwa NIDA namba?
sisi wa Mbeya lringa na Njombe ngosha alitutenga😢
Hili shirika wasipouzingatia usafi basi itakuwa ni kwa mapenzi yao wenyewe make kila kitu wamerahisishiwa ni sheria tu ndo wanatakiwa kuziweka kwa pande zote kwa abiria mpaka wafanyakazi ili tusijeonekana wa hovyo kama nchi
Ili kuboresha ustaarabu TRC watengeneze mabehewa yenye sehemu za mizigo ya Watanzania . Hatuwezi kuacha asili watanzania hupewa zawadi za chakula na kadhalika( yawepo mabehewa maalum ya kubebea zawadi zao)
Thanks to Magufuli, RIP dady
Watanzania ni vema kushirikiana katika kutunza miondombinu ya reli yetu ili endelee kuwa bora
Kwa kweli ni Hatua
mwafrika anaitwa pelegrin!!!!!
Wamiliki wa mabasi wapunguze vurungu zawo kwa baraba.hiyo Haina foleni au eti kumsubiki kiwete Apite kwanza.
Siti la watu 3, linasimama kila kituo
Inapendeza ila tunaomba teknolojia ichukue nafasi yake. Online tunakataje
Ruti ziko 2 moja ndio hii ya saa 10 ya asubui inakuwa saa ngapi
Mifumobya card vipi hongereni
r.i.p jpm
Tunaomba ratiba iwe wazi tujipange kufanya utalii 😂
Itunzeni hiyo miundombinu idumu Rip Jpm
Sasa km huna NIDA huendi 😢😢
Kwaiyo kama auna namba ya nida autaweza pata tiketi.
Rip magu dah
Shida ni ufisadi tu nchi hii, RIP JPM
kwn watu wasikate online????
Daraja la walalahoi likoje, tuonesheni jinsi watu wanavyokaa kwenye daraja la chini
@rashidmsuya5721
22 күн бұрын
Si ndo ilo uchumi
Naomba maelekezo jinsi ya kukata tiketi mtandaoni
Dahhh sasa mabsi yangu niamishe ruti sasa
@filamupictures9349
22 күн бұрын
subiri nikutajie sababu kadhaa za mabasi kuendelea kuwepo hiyo route ya dar moro, 1. mabasi yanatoka mapema kuliko hiyo treni, baai la kwanza la moro dar ni saa kumi na moja kamili asubuhi linatoka na giza, na hadi saa tatu upo Dar, wakati treni ya moro dar ni saa mbili, 2. stesheni ya Dar ipo mbali na maeneo mengi mji, maeneo mengi watu wataamua kupanda basi, kwasababu foleni za kwenda posta zitaendelea kupoteza muda vilevile. 3. mabasi hayana ratiba, sasa hivi basi la dar moro dar linaondoka linapojaa yani kama daladala, na tiketi unakatia mlangoni mwa basi, mambo ya kusafiri kwa muda maalum kutakuwa na watu ambao wana safari za ghafla, na wengine wataona usumbufu , wataendelea kupanda basi,
@salumalriyamy
22 күн бұрын
@@filamupictures9349Pia usisahau kuwa Kuna factor ya convenience, kwa mfano mtu anataka ashuke kimara Moja kwa Moja badala ya kushuka town then achukue taxi, Pia Kuna wakati ambapo treni haipo kwenye ratiba, imejaa, au umekimbiwa.. Yani kuwaza kuwa treni inaua mabasi ni kujinyima ufikiri
@mcback4384
21 күн бұрын
@@filamupictures9349hata hivyo hakungetokea mabasi yasiwepo kabisa lakini huwezi pinga kwamba hawa abiria wote unaowaona hapa walikua ni wa mabasi kabla SGR haijaanza operation
SAF SANA ...... MITANO TENA
Kwa Mteja ambae hana kitambulisho cha NIDA ila NAMBA ya NIDA anayo,anaruhusiwa kukata TIKET?
Hii ni kuipa mda kama mwendokasi 😂😂
@mcback4384
21 күн бұрын
Ubovu wa huduma ya mwendokasi ni basi chache, hii mzee trains sio chache, kuna ambazo ni doubldeck zenyewe hata mzigoni bado hazijaingia
Km huna nida uwezi safir?
🤔TRC kumenoga!
NIDA inahusikaje na mtz kusafiri Dar Moro?
Kwa ticket online zipo au hazipo
@UnitedAfrica-uw9ct
22 күн бұрын
Hakuna ticket online ndio kwanza wanapambana kufanya tovuti ifanye kazi
@iathumani
22 күн бұрын
Tickets online zipo acha kujibu usichojua. Nimekata online two times.
@UnitedAfrica-uw9ct
22 күн бұрын
@@iathumani juzi imebidi niende pale station kukata ticket kwa hiyo najua ninacho kisema , na nimeongea na mtu wa ICT TRC ame confirm bado site yao haiko tayari usitete ujinga...kila mtu anataka huduma nzuri....kama ATCL wana mfumo mzuri wa Ticket wao TRC kwanini wanachelewa kuanzisha jambo ambalo linawaletea pesa kirahisi...i wasted one hour trying to get a ticket.
Mbona online booking hamna nyie vp?
@kisutabora5914
22 күн бұрын
Upon. Ingia/tafuta/google sgrticket.trc.co.tz
@godlistenmnkeni2454
22 күн бұрын
Online booking ipo
Mtandaoni unakataje ticket
Usafiri uwe 24hrs
@kwisa4899
21 күн бұрын
Hakuna kitu kama hicho Duniani
Hizo electronic mbona kuna mtu kasimama wakati ni machine yenyewe inafunguka au ni mhovu hizo machine!!!!?