SIKU YA PILI, ABIRIA WAZIDI KUMIMINIKA SAFARI ZA SGR DAR - MORO

Пікірлер: 96

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_3 күн бұрын

    Hongereni Serikali sikivu kwa kuleta mambo haya mazuri kwa wananchi, Mungu ibarik Tanzania, Mwenyezi Mungu mpe afya na nguvu SSH

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi763722 күн бұрын

    Barabara za morogoro kuelekea station ni mbaya sana. Tanroad wanafanya kazi kwa mazoea.

  • @starjay3052

    @starjay3052

    21 күн бұрын

    😁😁🤣🤣 hii ndio bongo kaka

  • @starjay3052

    @starjay3052

    21 күн бұрын

    unataka vitu vizuli kwani upo uraya

  • @jabirikilagilile9799

    @jabirikilagilile9799

    21 күн бұрын

    Sanaaaa

  • @Kabwela776
    @Kabwela77622 күн бұрын

    Watanzania hawana utamaduni wa kupanga foleni yaani tabia za vijiweni wafundisheni kupanga foleni Na tengenezeni matangazo ya kuwaonya abiria kuhusu uhabiribifu wa miundo mbinu ya ndani ya train

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    21 күн бұрын

    wazo zuri sana

  • @kiatu

    @kiatu

    20 күн бұрын

    Ustaarabu kwetu ni changamoto

  • @vt-kn6qf

    @vt-kn6qf

    19 күн бұрын

    Please TRC mkajifunze Airport mifumo ya habiria kuweka foleni kuhelekea kwenye mabehewa Please 🙏 icho sio kituo cha daladala please

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l22 күн бұрын

    Shirika lilikuwa limekufa. Namkumbuka magufuli kwa kufufua hili shirika. Hongera mama samia kwa kumaliza kazi ipasavyo. 5 tena kwako mama❤

  • @rahmaomary5134

    @rahmaomary5134

    20 күн бұрын

    Mradi wa SGR ulizinduliwa kipindi cha raisi wanne

  • @sundaystanley5322

    @sundaystanley5322

    20 күн бұрын

    ​@@rahmaomary5134unafikiri nani atakuelewa na maneno yako,hata kama ulikuwa humpend jpm,tutamkumbuka tu

  • @deven.oauditx7547

    @deven.oauditx7547

    19 күн бұрын

    ​@@rahmaomary5134Pro-Magufuli hawataki kukubali kuwa mradi ulibuniwa na mchakato ulianzishwa na Kikwete.

  • @herodiduma9906

    @herodiduma9906

    18 күн бұрын

    Mipango yote ni awamu ya 3 utekekezaji awamu wa 5

  • @fadhilisecha4268
    @fadhilisecha426822 күн бұрын

    kikubwa mradi uwe na mwendelezo. ni project nzur sana KIUCHUMI

  • @selemankishema5780
    @selemankishema578022 күн бұрын

    Wenye mabasi mjipange msihujumu tu 😂😂😂

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    21 күн бұрын

    Hawawezi kwasababu usafiri huo ni single railway truck labda ingekua Doubled truck railway

  • @kwisa4899
    @kwisa489922 күн бұрын

    Muwafunze wa TANZANIA KUPANGA FOLENI MAANA HAWANA ADABU TOFAUTI NA NCHI ZINGINE NA HIYO NDIO INDICATOR YA KUJUA NI MTANZANIA JITAHIDI KUWAPIGIA KELELE KUHUSU HILO NI TABIA INAYO CHUKIZA SANA

  • @beaugosseadam6831

    @beaugosseadam6831

    22 күн бұрын

    Kila kitu hutona na Malezi pamoja na Tabia njema ya kujifunza. Wabongo wengi Malezi na Tabia zao ni za vijiweni. Hata Wasomi au Viongozi ukiwaangalia utaona dalili za ushamba tuuu

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    22 күн бұрын

    hii tabia kwa wa Tanzania imekuwa ni kero sana ilitakiwe iwe kaulimbiu ya kitaifa kwa sababu hii tambia inaambatana na rushwa unakuta mtu kakukuta Dukani anataka audumiwe yeye kwanza inachukiza sana

  • @atkentravelafrica4361

    @atkentravelafrica4361

    22 күн бұрын

    Jambo jema na la kupendeza sana, Lakini kuna jambo moja la muhimu nalo ni mizogo ya abiri. Handleling ya mizigo ya abiria bado utaratibu wake haujazingatiwa vizuri na trc. Mzigo yote inapaswa kuwekwa lable na kuwa rapped na kuhifadhiwa katika behewa la mizigo. Sasa hapa naona tusha Beba na box zenye kuku katika behewa za abiria.

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    21 күн бұрын

    ​@@atkentravelafrica4361TRC ingebakia kwene ku deal na usafiri hudumu zingine wangeachia Private sector ,itakufa na uchafu utakuwa kama walivyo shindwa kuendesha uwanja wa Taifa na Mwendo kasi wanajua kuazisha miradi tu lakini kuendeleza na kusimamia ni 000000000000000000

  • @UnitedAfrica-uw9ct
    @UnitedAfrica-uw9ct22 күн бұрын

    USAFI WATANZANIA USAFI CHONDE CHONDE.......! , msije na mizigo ya mihogo na ndizi humo sio mahala pake.....

  • @user-fl3fb5gh6b
    @user-fl3fb5gh6b22 күн бұрын

    Rip jpm

  • @iddrashid7054
    @iddrashid705422 күн бұрын

    Mikoa ifungue vituo vya mabasi karibu na stedheni za SGR ilikusaidia wasafiri watakao kuwa wanashuka kuunganisha na safari barabara pia za kuenda stesheni ziboreshwe isije kuwa mtu unasafiri Dar Dodoma 4hrs halafu stesheni mpaka stendi ya mabasi 2hrs

  • @alexifunya7548
    @alexifunya754822 күн бұрын

    Twende na wakati tukate tiketi online

  • @HABIBHASSAN-wf5mr
    @HABIBHASSAN-wf5mr18 күн бұрын

    Hongera SANA mama SAMIA KWA KUKAMILISHA ULICHO WAAHIDI WA TZ KWAMBA KAZI IENDELEE NA KWELI

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange775821 күн бұрын

    Daaaa kiukwer mimi izo ofice zao kama irport daa bonge la dude seeeeeee mpka laaa 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗

  • @williamssempoli2294
    @williamssempoli229422 күн бұрын

    Safi sana! Mfanyabiashara unatoka Moro asbh unashuka steshen unaingia Kariakoo unafanya yako then unageuza kiurahisi

  • @jamalimussa4928
    @jamalimussa492822 күн бұрын

    Jitahidini kutumia technology watu waweze kukata online na kupata ticket kabisa kusiwepo mwingiliano na watu, inasaidia kuweka mazingira mazuruli ya kuepuka msongamano

  • @kisutabora5914

    @kisutabora5914

    22 күн бұрын

    Pia wawafikirie abiria waliopo nchi za nje kufanya booking kirahisi. Sasa hivi haiwezekani, lazima kujiandikisha, ila abiria wa nje mtandao inawagomea, hauruhusu, si nzuri kwa watalii

  • @bonaventuralupogo2149
    @bonaventuralupogo214922 күн бұрын

    Online website haifanyi kazi

  • @shaban6644

    @shaban6644

    22 күн бұрын

    Online ipo Kwa maboresho, tunaenda Na physical kwanza.

  • @kisutabora5914

    @kisutabora5914

    22 күн бұрын

    @@shaban6644 muwafikirie watalii wa nchi za nje iwe rahisi pia kwao kujiandikisha mtandaoni. Sasa hivi haiwezekani hata akiweka email

  • @mcback4384

    @mcback4384

    21 күн бұрын

    ​@@shaban6644miaka yote mnafanya majaribio ya nini? Incompetence kabisa

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    21 күн бұрын

    ulitegemea itafanya kazi 😂😂😂😂

  • @Beauthoms
    @Beauthoms22 күн бұрын

    Keep it up trc

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv22 күн бұрын

    Mwalim Humphrey siku nyingi sana MWALIMU wangu uko wapi?

  • @user-pi8ln3fe3n
    @user-pi8ln3fe3n22 күн бұрын

    ongereni sana maendereo mazuri lakini mngefanya vitumike vitambulisho hata vyakupigia kura sio nida peke yake kunawengine hawana nida

  • @IkoUwasi-it6qy

    @IkoUwasi-it6qy

    21 күн бұрын

    sasa hujui kuwa NIDA ndio cha kupigia kura ndio maana kimebeba vitu vingi

  • @mcback4384

    @mcback4384

    21 күн бұрын

    Hapakuwa hata na haja ya NIDA, wangesema number yako tu ya simu, hakuna number ya simu isio na NIDA

  • @carolinamushi6316
    @carolinamushi631620 күн бұрын

    Hongera sana Raisi wetu kwa kazi nzuri. Mungu ibariki Tanzania 🙏

  • @MashakaMagesa

    @MashakaMagesa

    13 күн бұрын

    Kazi ya JPM ungesema Rip Jpm

  • @fredyjunior6961
    @fredyjunior696122 күн бұрын

    SAFI SANA. NCHI INAPAA

  • @jumaibrahimu1341
    @jumaibrahimu134121 күн бұрын

    Tujitahd folen zisiwepo kama Air port kazi nzuri

  • @RamadhaniZuberi-qs7xv
    @RamadhaniZuberi-qs7xv21 күн бұрын

    Daa wapo wanaotuna hatuna macho wanatuminisha selikali haijafanya chochote cha maendeo

  • @Kabwela776
    @Kabwela77622 күн бұрын

    Haya mabox mngezuia abiria kuingia nayo ndani ya train mngeruhusu mabegi tu

  • @kanchanananayakkara8959
    @kanchanananayakkara895918 күн бұрын

    Such a beautiful train❤

  • @bnyangoma
    @bnyangoma21 күн бұрын

    Kwa nini inatakiwa NIDA namba?

  • @ambokilemussa3518
    @ambokilemussa351810 күн бұрын

    sisi wa Mbeya lringa na Njombe ngosha alitutenga😢

  • @magorymara5515
    @magorymara551521 күн бұрын

    Hili shirika wasipouzingatia usafi basi itakuwa ni kwa mapenzi yao wenyewe make kila kitu wamerahisishiwa ni sheria tu ndo wanatakiwa kuziweka kwa pande zote kwa abiria mpaka wafanyakazi ili tusijeonekana wa hovyo kama nchi

  • @FredyVincent951753852456
    @FredyVincent95175385245621 күн бұрын

    Ili kuboresha ustaarabu TRC watengeneze mabehewa yenye sehemu za mizigo ya Watanzania . Hatuwezi kuacha asili watanzania hupewa zawadi za chakula na kadhalika( yawepo mabehewa maalum ya kubebea zawadi zao)

  • @bongohackss
    @bongohackss9 күн бұрын

    Thanks to Magufuli, RIP dady

  • @majatamsafiri5
    @majatamsafiri517 күн бұрын

    Watanzania ni vema kushirikiana katika kutunza miondombinu ya reli yetu ili endelee kuwa bora

  • @ernestsinje9700
    @ernestsinje970021 күн бұрын

    Kwa kweli ni Hatua

  • @ambokilemussa3518
    @ambokilemussa351810 күн бұрын

    mwafrika anaitwa pelegrin!!!!!

  • @alfredmhana235
    @alfredmhana23522 күн бұрын

    Wamiliki wa mabasi wapunguze vurungu zawo kwa baraba.hiyo Haina foleni au eti kumsubiki kiwete Apite kwanza.

  • @kisutabora5914
    @kisutabora591422 күн бұрын

    Siti la watu 3, linasimama kila kituo

  • @tezuramziray8700
    @tezuramziray870021 күн бұрын

    Inapendeza ila tunaomba teknolojia ichukue nafasi yake. Online tunakataje

  • @allymganga3223
    @allymganga322314 күн бұрын

    Ruti ziko 2 moja ndio hii ya saa 10 ya asubui inakuwa saa ngapi

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv447314 күн бұрын

    Mifumobya card vipi hongereni

  • @joevang4685
    @joevang468522 күн бұрын

    r.i.p jpm

  • @samsonmweta5040
    @samsonmweta504019 күн бұрын

    Tunaomba ratiba iwe wazi tujipange kufanya utalii 😂

  • @MashakaMagesa
    @MashakaMagesa13 күн бұрын

    Itunzeni hiyo miundombinu idumu Rip Jpm

  • @mwajumabandula6122
    @mwajumabandula612213 күн бұрын

    Sasa km huna NIDA huendi 😢😢

  • @mahamudumbaruku5237
    @mahamudumbaruku523718 күн бұрын

    Kwaiyo kama auna namba ya nida autaweza pata tiketi.

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv447314 күн бұрын

    Rip magu dah

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s19 күн бұрын

    Shida ni ufisadi tu nchi hii, RIP JPM

  • @Prishnakdrama
    @Prishnakdrama21 күн бұрын

    kwn watu wasikate online????

  • @user-fb5tj5zy4z
    @user-fb5tj5zy4z22 күн бұрын

    Daraja la walalahoi likoje, tuonesheni jinsi watu wanavyokaa kwenye daraja la chini

  • @rashidmsuya5721

    @rashidmsuya5721

    22 күн бұрын

    Si ndo ilo uchumi

  • @HassaniMzee
    @HassaniMzee22 күн бұрын

    Naomba maelekezo jinsi ya kukata tiketi mtandaoni

  • @Japanese-lz1or
    @Japanese-lz1or22 күн бұрын

    Dahhh sasa mabsi yangu niamishe ruti sasa

  • @filamupictures9349

    @filamupictures9349

    22 күн бұрын

    subiri nikutajie sababu kadhaa za mabasi kuendelea kuwepo hiyo route ya dar moro, 1. mabasi yanatoka mapema kuliko hiyo treni, baai la kwanza la moro dar ni saa kumi na moja kamili asubuhi linatoka na giza, na hadi saa tatu upo Dar, wakati treni ya moro dar ni saa mbili, 2. stesheni ya Dar ipo mbali na maeneo mengi mji, maeneo mengi watu wataamua kupanda basi, kwasababu foleni za kwenda posta zitaendelea kupoteza muda vilevile. 3. mabasi hayana ratiba, sasa hivi basi la dar moro dar linaondoka linapojaa yani kama daladala, na tiketi unakatia mlangoni mwa basi, mambo ya kusafiri kwa muda maalum kutakuwa na watu ambao wana safari za ghafla, na wengine wataona usumbufu , wataendelea kupanda basi,

  • @salumalriyamy

    @salumalriyamy

    22 күн бұрын

    ​@@filamupictures9349Pia usisahau kuwa Kuna factor ya convenience, kwa mfano mtu anataka ashuke kimara Moja kwa Moja badala ya kushuka town then achukue taxi, Pia Kuna wakati ambapo treni haipo kwenye ratiba, imejaa, au umekimbiwa.. Yani kuwaza kuwa treni inaua mabasi ni kujinyima ufikiri

  • @mcback4384

    @mcback4384

    21 күн бұрын

    ​@@filamupictures9349hata hivyo hakungetokea mabasi yasiwepo kabisa lakini huwezi pinga kwamba hawa abiria wote unaowaona hapa walikua ni wa mabasi kabla SGR haijaanza operation

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon106422 күн бұрын

    SAF SANA ...... MITANO TENA

  • @sunguraally2456
    @sunguraally245622 күн бұрын

    Kwa Mteja ambae hana kitambulisho cha NIDA ila NAMBA ya NIDA anayo,anaruhusiwa kukata TIKET?

  • @jerryjohn8030
    @jerryjohn803021 күн бұрын

    Hii ni kuipa mda kama mwendokasi 😂😂

  • @mcback4384

    @mcback4384

    21 күн бұрын

    Ubovu wa huduma ya mwendokasi ni basi chache, hii mzee trains sio chache, kuna ambazo ni doubldeck zenyewe hata mzigoni bado hazijaingia

  • @ahmedronga7583
    @ahmedronga758321 күн бұрын

    Km huna nida uwezi safir?

  • @nicolausminja689
    @nicolausminja68922 күн бұрын

    🤔TRC kumenoga!

  • @nsajimwasege68
    @nsajimwasege6820 күн бұрын

    NIDA inahusikaje na mtz kusafiri Dar Moro?

  • @straitnews3441
    @straitnews344122 күн бұрын

    Kwa ticket online zipo au hazipo

  • @UnitedAfrica-uw9ct

    @UnitedAfrica-uw9ct

    22 күн бұрын

    Hakuna ticket online ndio kwanza wanapambana kufanya tovuti ifanye kazi

  • @iathumani

    @iathumani

    22 күн бұрын

    Tickets online zipo acha kujibu usichojua. Nimekata online two times.

  • @UnitedAfrica-uw9ct

    @UnitedAfrica-uw9ct

    22 күн бұрын

    @@iathumani juzi imebidi niende pale station kukata ticket kwa hiyo najua ninacho kisema , na nimeongea na mtu wa ICT TRC ame confirm bado site yao haiko tayari usitete ujinga...kila mtu anataka huduma nzuri....kama ATCL wana mfumo mzuri wa Ticket wao TRC kwanini wanachelewa kuanzisha jambo ambalo linawaletea pesa kirahisi...i wasted one hour trying to get a ticket.

  • @karyori69
    @karyori6922 күн бұрын

    Mbona online booking hamna nyie vp?

  • @kisutabora5914

    @kisutabora5914

    22 күн бұрын

    Upon. Ingia/tafuta/google sgrticket.trc.co.tz

  • @godlistenmnkeni2454

    @godlistenmnkeni2454

    22 күн бұрын

    Online booking ipo

  • @shedrackmutalemwa7310
    @shedrackmutalemwa731021 күн бұрын

    Mtandaoni unakataje ticket

  • @iddrashid7054
    @iddrashid705422 күн бұрын

    Usafiri uwe 24hrs

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    21 күн бұрын

    Hakuna kitu kama hicho Duniani

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw20 күн бұрын

    Hizo electronic mbona kuna mtu kasimama wakati ni machine yenyewe inafunguka au ni mhovu hizo machine!!!!?

Келесі