HII HAPA TRENI YA UMEME IKIKATA UPEPO KUELEKEA DODOMA, TAZAMA IKIPITA KWENYE MADARAJA, MAHANDAKI

HII HAPA TRENI YA UMEME IKIKATA UPEPO KUELEKEA DODOMA, TAZAMA IKIPITA KWENYE MADARAJA, MAHANDAKI

Пікірлер: 81

  • @kanaelikanuya7919
    @kanaelikanuya79192 ай бұрын

    Mungu ampe rehema JPM mahali alipo lala, mama SSH hongera kwa kauli mbiu kazi zieendelee Mungu bariki Taifa letu

  • @Kabwela776
    @Kabwela7762 ай бұрын

    Hongera sana Tanzania 🇹🇿 kwa maendeleo haya cha muhimu mtunze hii miundo mbinu na muwe mlinzi wa mwenzako

  • @godfrey3926
    @godfrey392610 күн бұрын

    So proud of mama Samia and Tanzanian people..This is simply amazing..President Samia proved how tough, smart and effective she has been in continuing pushing the dreams of the late Genius, President Magufuli..Congrats Tanzania

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_2 ай бұрын

    Nimejikuta narudia kuangalia zaid ya mara tano , Mungu ibark Tanzania, Mbarik SSH, na wote wanao msaidia kazi ktk kutekeleza miradi ya maendeleo

  • @mussamussa8181
    @mussamussa81812 ай бұрын

    Jamaa kaonesha saini ya magufuli apo mwsho wa andaki

  • @alfredkalaba1614
    @alfredkalaba16142 ай бұрын

    Hakika JPM alifanya maamzi magumu. A man from Lake zone

  • @husseinzakaria914
    @husseinzakaria9142 ай бұрын

    najihisi faraja kuona maendeleo ndani ya nchi .please viongozi jitoeni sana kwajili ya nchi yetu. Huwa inatupa faraja kubwa sana sie wananchi pale tunapoona uhalisia kuliko ahadi zamaneno. Hongera TZ .

  • @YusufSasamalo-uz4ii

    @YusufSasamalo-uz4ii

    2 ай бұрын

    Hakika

  • @donaldmartin-ps2ig

    @donaldmartin-ps2ig

    2 ай бұрын

    Lakini tabora mwanza mradi umesimama hakuna kinachoendelea

  • @mkude
    @mkude2 ай бұрын

    Hongera MAMA Samia hongereni TRC

  • @danogeto78
    @danogeto782 ай бұрын

    Hongela sana majilani 🇰🇪🇰🇪🇺🇬🇺🇬🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @BaitohCodes
    @BaitohCodes2 ай бұрын

    Kanyimbo bwana kamefana🔥🔥

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_2 ай бұрын

    Hongereni wadau wote mliowezesha mradi huu Mkubwa

  • @SafayaPlatnum-zz1dz
    @SafayaPlatnum-zz1dz2 ай бұрын

    Hongera magufuli tunaona kazi yako ikitekelezwa kwasababu yako tunaona mambo ambayo hakuna raisi alifanikiwa pumzika kw amani baba tutakukumbuka daima

  • @Kim19onlinetv

    @Kim19onlinetv

    2 ай бұрын

    Kwahiyo magufuli aliikuta nchi ikiwa haina maendeleo? Au kaikuta nchi ikiwa pori? Hebu tumieni maneno ya nidham kuwapa viongozi haki zao

  • @davidl.shangali6924

    @davidl.shangali6924

    2 ай бұрын

    ​@@Kim19onlinetvlakini bila magufuli hiyo miradi pengine isingianzishwa au ingechelewa sanaaa so acha apewe sifa zake bhana maana kwa kipindi kifupi alianzisha miradi mikubwa na yenye tija kwa nchi, huyu mama kaja kumalizia tu alipoishia.. tungoje tuone yake ndo tujue Kama anastahili sifa au la.

  • @ibrahimally8073

    @ibrahimally8073

    2 ай бұрын

    Nenda chato kwenye makaburini ukampe hizo hongera zako.. ila huku duniani hongera ni Kwa mama Samia..

  • @zeddyshindika9502

    @zeddyshindika9502

    2 ай бұрын

    @@ibrahimally8073 duh....!!!

  • @davidl.shangali6924

    @davidl.shangali6924

    2 ай бұрын

    @@ibrahimally8073 itakuwa unachuki Sana moyoni mwako au unautafuta uenyekiti wa mtaa kwa gia hiyo, uchawa na unafki Ni mbaya mno.. pole Sana, Ila ukweli ndo huo, huyo mama yako hakuna miradi aliyoianzisha yote ameikuta imeanzishwa na mtangulizi wake, yeye kaja kuimalizia Tena kwa kusuasua sanaaa, najua unatetea tumbo lako so sikulaumu Ila ukweli ndo huo.

  • @tabysareva586
    @tabysareva586Ай бұрын

    Hongereni Serikali ya jamuhuri wa tanzani ,, mh mama samia kweli mama wa taifaa,, Mungu ibariki Tanzani,, Mungu ibariki TRC

  • @musakatwale1959
    @musakatwale19592 ай бұрын

    JPM YU HAI

  • @HassaniMzee
    @HassaniMzee2 ай бұрын

    Bado siamini macho yangu kua hii ni Tanzania nilizowea kuyaona haya Japan China na kwengineko,hongera sana Rais wetu na timu yako ya uongozi nchi nzima

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu8529Ай бұрын

    JPM atakumbukwa kwa miaka mingi. Mungu aiweke roho yake peponi.

  • @ICONIFCMUSIC11
    @ICONIFCMUSIC112 ай бұрын

    Hongera Tz. From ke 🇰🇪📍

  • @noelngowitechnicalsolution

    @noelngowitechnicalsolution

    2 ай бұрын

    asante sana

  • @aloycekiwia8613

    @aloycekiwia8613

    2 ай бұрын

    Asante Jirani, tunawapenda Sana.!

  • @ICONIFCMUSIC11

    @ICONIFCMUSIC11

    2 ай бұрын

    @@aloycekiwia8613 twapenda pia

  • @abdulkarimshabanmhandeni847
    @abdulkarimshabanmhandeni8472 ай бұрын

    Hongera

  • @arnoldmambali3770
    @arnoldmambali37702 ай бұрын

    mwimbo mkali sana

  • @user-oq3dd5xj9m
    @user-oq3dd5xj9m2 ай бұрын

    Nice one and one of the best if not in East Africa, it is the best for whole Africa. One thing they need to stop CATERING SERVICE AND SELL SNACKS AND SOFT DRINKS/ALCOHOL TOO. THE FOOD IS NOT CLASS AT ALL. STOP THAT BUSINESS OF SELLING FOOD

  • @ZakariaFaraja
    @ZakariaFaraja12 күн бұрын

    Kaz iendeiee

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s2 ай бұрын

    RIP JPM, mbona mpaka huyo samia hana mradi wake aliouanzisha?

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani89712 ай бұрын

    Ahsante TZ

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus92 ай бұрын

    Mambo mazuri Kama hayapewi nafasi kubwa kwenye vyombo vyetu vya Habari Isipokuwa kutwa kucha ni habari za Makonda tu.😮😮😮😮

  • @rehemakanyere4188

    @rehemakanyere4188

    2 ай бұрын

    😀😀😀

  • @salmanmagwe222
    @salmanmagwe2222 ай бұрын

    Rais Samia hongera umejipinda mno kuimaliza hii miradi mikubwa ambayo imeachwa na Rais maguful ikiwa haifiki asilimia 20. Ni sawa na kuianza upya,

  • @felllokip
    @felllokip2 ай бұрын

    Hongera Tanganyika👌💪

  • @husseinally4932
    @husseinally49322 ай бұрын

    Wananchi wana pasion ya kuona maedeleo viongozi kazi kwenu

  • @jumanzumbi1215
    @jumanzumbi12152 ай бұрын

    Mama kapiga hatua kubwa sana.siyo rahisi kukamilisha hii miradi

  • @mwitawakimara3649
    @mwitawakimara36492 ай бұрын

    Mitano tena mama

  • @jkaaya3639
    @jkaaya36392 ай бұрын

    Mama tupo pamoja na wewe sisi wazalendo wanchiyetu tuna kupenda MaMayetu❤❤❤

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere19622 ай бұрын

    Kodi zetu

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam43252 ай бұрын

    Jpm 😢😢

  • @angosele
    @angosele2 ай бұрын

    Naomba kueleweshwa maana kuna kipindi trc team walionekana korea wakipata mafunzo, lakini yalikuwa ya vichwa vya loc, je ivi vya mchongoko vp? mafunzo

  • @ShufaaSalumu
    @ShufaaSalumu22 күн бұрын

    Dodoma dar au dar Dodoma ratiba yake jamani naomba kujua na nauli ipo vp

  • @joma8989
    @joma89892 ай бұрын

    Rest in peace magufuli hakika juhudi zako na maono yako sasa yanaonekana

  • @thomasernest-ct2vs
    @thomasernest-ct2vs2 ай бұрын

    Hii ndo TANZANIA tumayoitamani mama chapa kazi

  • @Neycent
    @Neycent2 ай бұрын

    RIP JPM

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m2 ай бұрын

    JPM.

  • @gwakisakaswaga5249
    @gwakisakaswaga52492 ай бұрын

    Tatizo letu kesho tuuu utasikia Imeuzwa tena kwa bei cheee kwq watu wapi sijui kuleeeee

  • @ChrisPA2007
    @ChrisPA20072 ай бұрын

    Pigeni picha za HD bwana. This is 2024

  • @westside5542

    @westside5542

    2 ай бұрын

    Sure hi ni aibu

  • @kingwandeinvestment8002
    @kingwandeinvestment80022 ай бұрын

    ITAUZWA SOON KWA WAARABU NIKO PALEÈEEE

  • @salumumakombo

    @salumumakombo

    2 ай бұрын

    😅😅😅

  • @husseinally4932
    @husseinally49322 ай бұрын

    Ipo haja ya kuharakishwa uzio njia yote maana tunaona sehemu nyingi inayo pita kuna makaazi ya watu na wanyama

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda25542 ай бұрын

    Samia mi 10 tena

  • @adammakoye9332
    @adammakoye93322 ай бұрын

    Hivi naskiaga Dubai kule vile vivutio baadhi ya majumba na baadhi ya miji ni Serikali yenyewe ndo yajenga Kwann? Na sisi Tanzania tusianze na kijisehemu kidogo kukijenga kiwe kivutio kwa hapo Dodoma ambapo bado kuna Ardhi ya kutosha eh!!! Likawa limji limoja la serikali na jiji la kibiashara na vipi kuhusu ile ikulu pale Dodoma

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup92362 ай бұрын

    JPM

  • @mzungungaravit5580
    @mzungungaravit55802 ай бұрын

    Nani kama mama? Ccm nambari moja, kura zetu 2025 100%

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji2 ай бұрын

    SSH❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯💯💯💯

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai2 ай бұрын

    Sasa tujitahidi kufanya uzalishaji mkubwa katika nchi yetu tukitumia miundo mbinu hii kurahisisha maendeleo

  • @mrajani786
    @mrajani7862 ай бұрын

    Majarabio kila siku majarabio lini inaanza

  • @martinmhando2079
    @martinmhando20792 ай бұрын

    hizi nyimbo ndio uchawa uchawa uchawa

  • @makolokolodavid6707
    @makolokolodavid67072 ай бұрын

    Shida hapo ni huo wimbo!! Tatizo kubwa

  • @user-mx2tx5eg9x
    @user-mx2tx5eg9x2 ай бұрын

    huo wimbo tu ndio kero, acheni ujinga

  • @yustomwaisomania2587
    @yustomwaisomania25872 ай бұрын

    Ndoto zako bado zinaishi JPM pumnzika kwa amani kamanda

  • @zawadix9574
    @zawadix95742 ай бұрын

    Wame msahawu magafuli Sasa nyimbo za Samia.... WA Tz Jamani WA nafiki

  • @mimifineliving2022

    @mimifineliving2022

    2 ай бұрын

    Nawasikia wakisema asiyekuwepo na lake halipo

  • @Kim19onlinetv

    @Kim19onlinetv

    2 ай бұрын

    Kila zama na uongozi wake kwahiyo ambiwe na ni?

  • @ndukulusudikucho_

    @ndukulusudikucho_

    2 ай бұрын

    hawajamsahau si umeona hata Kaburi lake lilivyojengewa vizuri

  • @aminata3702
    @aminata37022 ай бұрын

    Nyimbo gani sasa hiyo

  • @ndukulusudikucho_

    @ndukulusudikucho_

    2 ай бұрын

    hahahaha Samia Oyeeeeee

  • @CalvinMungure-nu1wl
    @CalvinMungure-nu1wl2 ай бұрын

    Tumepigwa hiyo cio treni aliyo itaka Hati Magufuli

  • @gideonmrema1851
    @gideonmrema18512 ай бұрын

    Akija kupata kura yangu mniite mbwa 😅

  • @rehemakanyere4188

    @rehemakanyere4188

    2 ай бұрын

    😀😀😀😀

Келесі