HII HAPA TRENI YA UMEME IKIKATA UPEPO KUELEKEA DODOMA, TAZAMA IKIPITA KWENYE MADARAJA, MAHANDAKI
HII HAPA TRENI YA UMEME IKIKATA UPEPO KUELEKEA DODOMA, TAZAMA IKIPITA KWENYE MADARAJA, MAHANDAKI
Жүктеу.....
Пікірлер: 81
@kanaelikanuya79192 ай бұрын
Mungu ampe rehema JPM mahali alipo lala, mama SSH hongera kwa kauli mbiu kazi zieendelee Mungu bariki Taifa letu
@Kabwela7762 ай бұрын
Hongera sana Tanzania 🇹🇿 kwa maendeleo haya cha muhimu mtunze hii miundo mbinu na muwe mlinzi wa mwenzako
@godfrey392610 күн бұрын
So proud of mama Samia and Tanzanian people..This is simply amazing..President Samia proved how tough, smart and effective she has been in continuing pushing the dreams of the late Genius, President Magufuli..Congrats Tanzania
@ndukulusudikucho_2 ай бұрын
Nimejikuta narudia kuangalia zaid ya mara tano , Mungu ibark Tanzania, Mbarik SSH, na wote wanao msaidia kazi ktk kutekeleza miradi ya maendeleo
@mussamussa81812 ай бұрын
Jamaa kaonesha saini ya magufuli apo mwsho wa andaki
@alfredkalaba16142 ай бұрын
Hakika JPM alifanya maamzi magumu. A man from Lake zone
@husseinzakaria9142 ай бұрын
najihisi faraja kuona maendeleo ndani ya nchi .please viongozi jitoeni sana kwajili ya nchi yetu. Huwa inatupa faraja kubwa sana sie wananchi pale tunapoona uhalisia kuliko ahadi zamaneno. Hongera TZ .
@YusufSasamalo-uz4ii
2 ай бұрын
Hakika
@donaldmartin-ps2ig
2 ай бұрын
Lakini tabora mwanza mradi umesimama hakuna kinachoendelea
@mkude2 ай бұрын
Hongera MAMA Samia hongereni TRC
@danogeto782 ай бұрын
Hongela sana majilani 🇰🇪🇰🇪🇺🇬🇺🇬🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@BaitohCodes2 ай бұрын
Kanyimbo bwana kamefana🔥🔥
@ndukulusudikucho_2 ай бұрын
Hongereni wadau wote mliowezesha mradi huu Mkubwa
@SafayaPlatnum-zz1dz2 ай бұрын
Hongera magufuli tunaona kazi yako ikitekelezwa kwasababu yako tunaona mambo ambayo hakuna raisi alifanikiwa pumzika kw amani baba tutakukumbuka daima
@Kim19onlinetv
2 ай бұрын
Kwahiyo magufuli aliikuta nchi ikiwa haina maendeleo? Au kaikuta nchi ikiwa pori? Hebu tumieni maneno ya nidham kuwapa viongozi haki zao
@davidl.shangali6924
2 ай бұрын
@@Kim19onlinetvlakini bila magufuli hiyo miradi pengine isingianzishwa au ingechelewa sanaaa so acha apewe sifa zake bhana maana kwa kipindi kifupi alianzisha miradi mikubwa na yenye tija kwa nchi, huyu mama kaja kumalizia tu alipoishia.. tungoje tuone yake ndo tujue Kama anastahili sifa au la.
@ibrahimally8073
2 ай бұрын
Nenda chato kwenye makaburini ukampe hizo hongera zako.. ila huku duniani hongera ni Kwa mama Samia..
@zeddyshindika9502
2 ай бұрын
@@ibrahimally8073 duh....!!!
@davidl.shangali6924
2 ай бұрын
@@ibrahimally8073 itakuwa unachuki Sana moyoni mwako au unautafuta uenyekiti wa mtaa kwa gia hiyo, uchawa na unafki Ni mbaya mno.. pole Sana, Ila ukweli ndo huo, huyo mama yako hakuna miradi aliyoianzisha yote ameikuta imeanzishwa na mtangulizi wake, yeye kaja kuimalizia Tena kwa kusuasua sanaaa, najua unatetea tumbo lako so sikulaumu Ila ukweli ndo huo.
@tabysareva586Ай бұрын
Hongereni Serikali ya jamuhuri wa tanzani ,, mh mama samia kweli mama wa taifaa,, Mungu ibariki Tanzani,, Mungu ibariki TRC
@musakatwale19592 ай бұрын
JPM YU HAI
@HassaniMzee2 ай бұрын
Bado siamini macho yangu kua hii ni Tanzania nilizowea kuyaona haya Japan China na kwengineko,hongera sana Rais wetu na timu yako ya uongozi nchi nzima
@mwalimumstaafu8529Ай бұрын
JPM atakumbukwa kwa miaka mingi. Mungu aiweke roho yake peponi.
@ICONIFCMUSIC112 ай бұрын
Hongera Tz. From ke 🇰🇪📍
@noelngowitechnicalsolution
2 ай бұрын
asante sana
@aloycekiwia8613
2 ай бұрын
Asante Jirani, tunawapenda Sana.!
@ICONIFCMUSIC11
2 ай бұрын
@@aloycekiwia8613 twapenda pia
@abdulkarimshabanmhandeni8472 ай бұрын
Hongera
@arnoldmambali37702 ай бұрын
mwimbo mkali sana
@user-oq3dd5xj9m2 ай бұрын
Nice one and one of the best if not in East Africa, it is the best for whole Africa. One thing they need to stop CATERING SERVICE AND SELL SNACKS AND SOFT DRINKS/ALCOHOL TOO. THE FOOD IS NOT CLASS AT ALL. STOP THAT BUSINESS OF SELLING FOOD
@ZakariaFaraja12 күн бұрын
Kaz iendeiee
@user-ze6lx9ng6s2 ай бұрын
RIP JPM, mbona mpaka huyo samia hana mradi wake aliouanzisha?
@h.alshidhani89712 ай бұрын
Ahsante TZ
@modestwenceslaus92 ай бұрын
Mambo mazuri Kama hayapewi nafasi kubwa kwenye vyombo vyetu vya Habari Isipokuwa kutwa kucha ni habari za Makonda tu.😮😮😮😮
@rehemakanyere4188
2 ай бұрын
😀😀😀
@salmanmagwe2222 ай бұрын
Rais Samia hongera umejipinda mno kuimaliza hii miradi mikubwa ambayo imeachwa na Rais maguful ikiwa haifiki asilimia 20. Ni sawa na kuianza upya,
@felllokip2 ай бұрын
Hongera Tanganyika👌💪
@husseinally49322 ай бұрын
Wananchi wana pasion ya kuona maedeleo viongozi kazi kwenu
@jumanzumbi12152 ай бұрын
Mama kapiga hatua kubwa sana.siyo rahisi kukamilisha hii miradi
@mwitawakimara36492 ай бұрын
Mitano tena mama
@jkaaya36392 ай бұрын
Mama tupo pamoja na wewe sisi wazalendo wanchiyetu tuna kupenda MaMayetu❤❤❤
@lameckbalekere19622 ай бұрын
Kodi zetu
@alphoncewilliam43252 ай бұрын
Jpm 😢😢
@angosele2 ай бұрын
Naomba kueleweshwa maana kuna kipindi trc team walionekana korea wakipata mafunzo, lakini yalikuwa ya vichwa vya loc, je ivi vya mchongoko vp? mafunzo
@ShufaaSalumu22 күн бұрын
Dodoma dar au dar Dodoma ratiba yake jamani naomba kujua na nauli ipo vp
@joma89892 ай бұрын
Rest in peace magufuli hakika juhudi zako na maono yako sasa yanaonekana
@thomasernest-ct2vs2 ай бұрын
Hii ndo TANZANIA tumayoitamani mama chapa kazi
@Neycent2 ай бұрын
RIP JPM
@user-cw8zn2dn6m2 ай бұрын
JPM.
@gwakisakaswaga52492 ай бұрын
Tatizo letu kesho tuuu utasikia Imeuzwa tena kwa bei cheee kwq watu wapi sijui kuleeeee
@ChrisPA20072 ай бұрын
Pigeni picha za HD bwana. This is 2024
@westside5542
2 ай бұрын
Sure hi ni aibu
@kingwandeinvestment80022 ай бұрын
ITAUZWA SOON KWA WAARABU NIKO PALEÈEEE
@salumumakombo
2 ай бұрын
😅😅😅
@husseinally49322 ай бұрын
Ipo haja ya kuharakishwa uzio njia yote maana tunaona sehemu nyingi inayo pita kuna makaazi ya watu na wanyama
@omarybakunda25542 ай бұрын
Samia mi 10 tena
@adammakoye93322 ай бұрын
Hivi naskiaga Dubai kule vile vivutio baadhi ya majumba na baadhi ya miji ni Serikali yenyewe ndo yajenga Kwann? Na sisi Tanzania tusianze na kijisehemu kidogo kukijenga kiwe kivutio kwa hapo Dodoma ambapo bado kuna Ardhi ya kutosha eh!!! Likawa limji limoja la serikali na jiji la kibiashara na vipi kuhusu ile ikulu pale Dodoma
@vintagemusicgroup92362 ай бұрын
JPM
@mzungungaravit55802 ай бұрын
Nani kama mama? Ccm nambari moja, kura zetu 2025 100%
@OmmyJames-xn7ji2 ай бұрын
SSH❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯💯💯💯
@JosephuSwai2 ай бұрын
Sasa tujitahidi kufanya uzalishaji mkubwa katika nchi yetu tukitumia miundo mbinu hii kurahisisha maendeleo
@mrajani7862 ай бұрын
Majarabio kila siku majarabio lini inaanza
@martinmhando20792 ай бұрын
hizi nyimbo ndio uchawa uchawa uchawa
@makolokolodavid67072 ай бұрын
Shida hapo ni huo wimbo!! Tatizo kubwa
@user-mx2tx5eg9x2 ай бұрын
huo wimbo tu ndio kero, acheni ujinga
@yustomwaisomania25872 ай бұрын
Ndoto zako bado zinaishi JPM pumnzika kwa amani kamanda
@zawadix95742 ай бұрын
Wame msahawu magafuli Sasa nyimbo za Samia.... WA Tz Jamani WA nafiki
@mimifineliving2022
2 ай бұрын
Nawasikia wakisema asiyekuwepo na lake halipo
@Kim19onlinetv
2 ай бұрын
Kila zama na uongozi wake kwahiyo ambiwe na ni?
@ndukulusudikucho_
2 ай бұрын
hawajamsahau si umeona hata Kaburi lake lilivyojengewa vizuri
@aminata37022 ай бұрын
Nyimbo gani sasa hiyo
@ndukulusudikucho_
2 ай бұрын
hahahaha Samia Oyeeeeee
@CalvinMungure-nu1wl2 ай бұрын
Tumepigwa hiyo cio treni aliyo itaka Hati Magufuli
Пікірлер: 81
Mungu ampe rehema JPM mahali alipo lala, mama SSH hongera kwa kauli mbiu kazi zieendelee Mungu bariki Taifa letu
Hongera sana Tanzania 🇹🇿 kwa maendeleo haya cha muhimu mtunze hii miundo mbinu na muwe mlinzi wa mwenzako
So proud of mama Samia and Tanzanian people..This is simply amazing..President Samia proved how tough, smart and effective she has been in continuing pushing the dreams of the late Genius, President Magufuli..Congrats Tanzania
Nimejikuta narudia kuangalia zaid ya mara tano , Mungu ibark Tanzania, Mbarik SSH, na wote wanao msaidia kazi ktk kutekeleza miradi ya maendeleo
Jamaa kaonesha saini ya magufuli apo mwsho wa andaki
Hakika JPM alifanya maamzi magumu. A man from Lake zone
najihisi faraja kuona maendeleo ndani ya nchi .please viongozi jitoeni sana kwajili ya nchi yetu. Huwa inatupa faraja kubwa sana sie wananchi pale tunapoona uhalisia kuliko ahadi zamaneno. Hongera TZ .
@YusufSasamalo-uz4ii
2 ай бұрын
Hakika
@donaldmartin-ps2ig
2 ай бұрын
Lakini tabora mwanza mradi umesimama hakuna kinachoendelea
Hongera MAMA Samia hongereni TRC
Hongela sana majilani 🇰🇪🇰🇪🇺🇬🇺🇬🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kanyimbo bwana kamefana🔥🔥
Hongereni wadau wote mliowezesha mradi huu Mkubwa
Hongera magufuli tunaona kazi yako ikitekelezwa kwasababu yako tunaona mambo ambayo hakuna raisi alifanikiwa pumzika kw amani baba tutakukumbuka daima
@Kim19onlinetv
2 ай бұрын
Kwahiyo magufuli aliikuta nchi ikiwa haina maendeleo? Au kaikuta nchi ikiwa pori? Hebu tumieni maneno ya nidham kuwapa viongozi haki zao
@davidl.shangali6924
2 ай бұрын
@@Kim19onlinetvlakini bila magufuli hiyo miradi pengine isingianzishwa au ingechelewa sanaaa so acha apewe sifa zake bhana maana kwa kipindi kifupi alianzisha miradi mikubwa na yenye tija kwa nchi, huyu mama kaja kumalizia tu alipoishia.. tungoje tuone yake ndo tujue Kama anastahili sifa au la.
@ibrahimally8073
2 ай бұрын
Nenda chato kwenye makaburini ukampe hizo hongera zako.. ila huku duniani hongera ni Kwa mama Samia..
@zeddyshindika9502
2 ай бұрын
@@ibrahimally8073 duh....!!!
@davidl.shangali6924
2 ай бұрын
@@ibrahimally8073 itakuwa unachuki Sana moyoni mwako au unautafuta uenyekiti wa mtaa kwa gia hiyo, uchawa na unafki Ni mbaya mno.. pole Sana, Ila ukweli ndo huo, huyo mama yako hakuna miradi aliyoianzisha yote ameikuta imeanzishwa na mtangulizi wake, yeye kaja kuimalizia Tena kwa kusuasua sanaaa, najua unatetea tumbo lako so sikulaumu Ila ukweli ndo huo.
Hongereni Serikali ya jamuhuri wa tanzani ,, mh mama samia kweli mama wa taifaa,, Mungu ibariki Tanzani,, Mungu ibariki TRC
JPM YU HAI
Bado siamini macho yangu kua hii ni Tanzania nilizowea kuyaona haya Japan China na kwengineko,hongera sana Rais wetu na timu yako ya uongozi nchi nzima
JPM atakumbukwa kwa miaka mingi. Mungu aiweke roho yake peponi.
Hongera Tz. From ke 🇰🇪📍
@noelngowitechnicalsolution
2 ай бұрын
asante sana
@aloycekiwia8613
2 ай бұрын
Asante Jirani, tunawapenda Sana.!
@ICONIFCMUSIC11
2 ай бұрын
@@aloycekiwia8613 twapenda pia
Hongera
mwimbo mkali sana
Nice one and one of the best if not in East Africa, it is the best for whole Africa. One thing they need to stop CATERING SERVICE AND SELL SNACKS AND SOFT DRINKS/ALCOHOL TOO. THE FOOD IS NOT CLASS AT ALL. STOP THAT BUSINESS OF SELLING FOOD
Kaz iendeiee
RIP JPM, mbona mpaka huyo samia hana mradi wake aliouanzisha?
Ahsante TZ
Mambo mazuri Kama hayapewi nafasi kubwa kwenye vyombo vyetu vya Habari Isipokuwa kutwa kucha ni habari za Makonda tu.😮😮😮😮
@rehemakanyere4188
2 ай бұрын
😀😀😀
Rais Samia hongera umejipinda mno kuimaliza hii miradi mikubwa ambayo imeachwa na Rais maguful ikiwa haifiki asilimia 20. Ni sawa na kuianza upya,
Hongera Tanganyika👌💪
Wananchi wana pasion ya kuona maedeleo viongozi kazi kwenu
Mama kapiga hatua kubwa sana.siyo rahisi kukamilisha hii miradi
Mitano tena mama
Mama tupo pamoja na wewe sisi wazalendo wanchiyetu tuna kupenda MaMayetu❤❤❤
Kodi zetu
Jpm 😢😢
Naomba kueleweshwa maana kuna kipindi trc team walionekana korea wakipata mafunzo, lakini yalikuwa ya vichwa vya loc, je ivi vya mchongoko vp? mafunzo
Dodoma dar au dar Dodoma ratiba yake jamani naomba kujua na nauli ipo vp
Rest in peace magufuli hakika juhudi zako na maono yako sasa yanaonekana
Hii ndo TANZANIA tumayoitamani mama chapa kazi
RIP JPM
JPM.
Tatizo letu kesho tuuu utasikia Imeuzwa tena kwa bei cheee kwq watu wapi sijui kuleeeee
Pigeni picha za HD bwana. This is 2024
@westside5542
2 ай бұрын
Sure hi ni aibu
ITAUZWA SOON KWA WAARABU NIKO PALEÈEEE
@salumumakombo
2 ай бұрын
😅😅😅
Ipo haja ya kuharakishwa uzio njia yote maana tunaona sehemu nyingi inayo pita kuna makaazi ya watu na wanyama
Samia mi 10 tena
Hivi naskiaga Dubai kule vile vivutio baadhi ya majumba na baadhi ya miji ni Serikali yenyewe ndo yajenga Kwann? Na sisi Tanzania tusianze na kijisehemu kidogo kukijenga kiwe kivutio kwa hapo Dodoma ambapo bado kuna Ardhi ya kutosha eh!!! Likawa limji limoja la serikali na jiji la kibiashara na vipi kuhusu ile ikulu pale Dodoma
JPM
Nani kama mama? Ccm nambari moja, kura zetu 2025 100%
SSH❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💯💯💯💯
Sasa tujitahidi kufanya uzalishaji mkubwa katika nchi yetu tukitumia miundo mbinu hii kurahisisha maendeleo
Majarabio kila siku majarabio lini inaanza
hizi nyimbo ndio uchawa uchawa uchawa
Shida hapo ni huo wimbo!! Tatizo kubwa
huo wimbo tu ndio kero, acheni ujinga
Ndoto zako bado zinaishi JPM pumnzika kwa amani kamanda
Wame msahawu magafuli Sasa nyimbo za Samia.... WA Tz Jamani WA nafiki
@mimifineliving2022
2 ай бұрын
Nawasikia wakisema asiyekuwepo na lake halipo
@Kim19onlinetv
2 ай бұрын
Kila zama na uongozi wake kwahiyo ambiwe na ni?
@ndukulusudikucho_
2 ай бұрын
hawajamsahau si umeona hata Kaburi lake lilivyojengewa vizuri
Nyimbo gani sasa hiyo
@ndukulusudikucho_
2 ай бұрын
hahahaha Samia Oyeeeeee
Tumepigwa hiyo cio treni aliyo itaka Hati Magufuli
Akija kupata kura yangu mniite mbwa 😅
@rehemakanyere4188
2 ай бұрын
😀😀😀😀