HIZI HAPA SETI 2 ZA MCHONGOKO, IPO “SAMIA EXPRESS”

Пікірлер: 174

  • @giftchristianmeela1409
    @giftchristianmeela14096 күн бұрын

    seti moja ingepewa jina la "Mwananchi Express" kuwatambua wananchi walipa kodi.

  • @worldtechlab

    @worldtechlab

    6 күн бұрын

    😂😂😂

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    6 күн бұрын

    KWA SABABU HIYO MOJA IMEPEWA JINA LA MAMA AU VIPI?! DUH KAKA SIYO KWA CHUKI HIZO...

  • @temuemanuel4671

    @temuemanuel4671

    6 күн бұрын

    Au "Walipakodi Express"

  • @giftmeela6250

    @giftmeela6250

    6 күн бұрын

    ​@@rayisadesigns2646 nisawa wewe utafute pesa ukajenge nyumba alafu fundi aandike jina lake kwasababu yeye ndio amejenga. Hizo si ni dharau. They have to acknowledge walipakodi wote.

  • @emmanuelstephens1891

    @emmanuelstephens1891

    5 күн бұрын

    Naunga mkono hoja! Mwananchi mlipa kodi hadhaminiwi!!

  • @user-ys3gt8lp5h
    @user-ys3gt8lp5h6 күн бұрын

    Hapo saw kumbe Magufuli ipo ntakuwa napanda hiyo sasa❤❤

  • @johnlubagula9723

    @johnlubagula9723

    6 күн бұрын

    Hata mimi nimefurah kuona magufuri ipo

  • @michaelrweyemamu1068

    @michaelrweyemamu1068

    6 күн бұрын

    Hata mm

  • @Niika870

    @Niika870

    6 күн бұрын

    Kama Magufuli isingekuwepo nisingepanda hizo tren❤

  • @nassercurtis9579

    @nassercurtis9579

    6 күн бұрын

    Hahahaa safi sana kuona na kuthamini na kumuenzi jembe nilidhani tupo wachache wenye mtazamo kama wako.​@@Niika870

  • @elinamilyatuu7337

    @elinamilyatuu7337

    6 күн бұрын

    Haha sawa

  • @salumnamjupa-sy6cm
    @salumnamjupa-sy6cm6 күн бұрын

    wow magufuli express..am happy now

  • @damianmadex3677

    @damianmadex3677

    4 күн бұрын

    And me too 🎉🎉

  • @GodlivenMaximillian-ot7mg
    @GodlivenMaximillian-ot7mg6 күн бұрын

    Kazi nzuri sana tunapenda maendeleo kama haya. Mmekuwa wazalendo nawapongeza mmeita majina ya viongozi wetu safi sana.

  • @piusmapunda5900
    @piusmapunda59006 күн бұрын

    Nasisitiza kila mmoja ahakikishe tunavitunza vizuri sana sana sana vifaa vyote na tuache hujumaaaa na mambo ya kipumbavu kuharibu treni hii. Hongera sana Serikali na wananchi wooooooteeeee.

  • @sebaoscar9205
    @sebaoscar92056 күн бұрын

    Rip Magufuli...The great visionary.

  • @bnyangoma

    @bnyangoma

    6 күн бұрын

    Acha tu!

  • @amaniromeoswadiq9155

    @amaniromeoswadiq9155

    4 күн бұрын

    Magufuli forever

  • @joshuachimwejo5892
    @joshuachimwejo58925 күн бұрын

    Misahau Kadogosa Express!! That man has done a wonderful job ever! Ni vizuri kuzithamini. kukumbuka na kuzienzi jitihada za wataalam wetu wa ndani.

  • @RamaTraceur
    @RamaTraceur6 күн бұрын

    Hapo kwenye pua la EMU train..funiko lake wekeni ipendeze zaidi...Ongera Tanzania yetu, Shirika letu (TRC) na Sisi Watanzania.👍

  • @allysimu6856
    @allysimu68566 күн бұрын

    Tuzidikumunga mkono raisi samia kazi iendelee I love tanzania

  • @richwase6550
    @richwase65506 күн бұрын

    Saiz nchi inapiga hatua najivunia kuwa mtanzania 🇹🇿❤

  • @temuemanuel4671

    @temuemanuel4671

    6 күн бұрын

    Kwakweli. Napata hata ladha ya kuangalia taarifa za habari za maendeleo ya nchi yangu

  • @abdulseifmtuluma4484
    @abdulseifmtuluma44846 күн бұрын

    Nyerere express, Magufuli Express and Samia Express,... very impressive

  • @GodlivenMaximillian-ot7mg

    @GodlivenMaximillian-ot7mg

    6 күн бұрын

    Sana. Halafu pale station kuna picha ya Baba wa Taifa yaani Una feel Ile sense ya utanzania

  • @temuemanuel4671

    @temuemanuel4671

    6 күн бұрын

    ​@@GodlivenMaximillian-ot7mgkabisa mkuu.

  • @sebmalunde5945
    @sebmalunde59456 күн бұрын

    Hongereni sana. Viongozi wetu

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi59856 күн бұрын

    Yeah big up Tanzania & Govt. Kazi nzuri.kasi iongezwe ya ujenzi dodoma mwanza Ili tz yetu izidi kupendeza

  • @allymusira2153
    @allymusira21536 күн бұрын

    Hongera Rais Samia kuendeleza mradi hakika wewe ni jasiri

  • @lazarombuze9776
    @lazarombuze97766 күн бұрын

    Hayo ndio mambo tunataka kuona,.sio tunalipa Kodi,pesa zinaishia kununua V8 kila mwaka,

  • @ndulasimon
    @ndulasimon6 күн бұрын

    My Tanzania my pride Chapa Kazi mama

  • @salehsimba5306
    @salehsimba53066 күн бұрын

    Ila Magufuli...... Mungu amrehemu, maono yake yake ni ya mbali sana. Amefanya nchi iende kisasa

  • @bnyangoma

    @bnyangoma

    6 күн бұрын

    Na pia aliona Tanzania itaongozwa na mwanamke. Kw mara kwanza mgombea mwenza alikuwa mwanamke

  • @Sean1877

    @Sean1877

    6 күн бұрын

    Imagine angekua bado yupo hai..

  • @user13375
    @user133756 күн бұрын

    Nataka kujuwa ratiba ya magufuli express😅😅

  • @temuemanuel4671
    @temuemanuel46716 күн бұрын

    Safi sana. Kwakweli mmekuwa wazalendo na mmefanya ubunifu wa hali ya juu. Nashauri zijazo ziitwe: Kikwete Express, Mwinyi Express, Mwananchi Express, Mlipakodi Express, Mpango Express, Majaliwa Express, Sokoine Express. NB: Mwinyi Express ni kwa ajili ya kumuenzi Mzee wetu Ruksa pamojanna kuthamini mchango wa mwanaye ambaye ni Raisi wa Zanzibar kwa sasa. Naipenda sana Tanzania yangu. Mama Samia tunakuombea sana. Piga kazi, tuko nyuma yako.

  • @DeogratiasMadaraka-b9v

    @DeogratiasMadaraka-b9v

    3 күн бұрын

    Mmemsahau Cdf mabeyo luxury tz

  • @ewaldambrose6136
    @ewaldambrose61366 күн бұрын

    Viva Samia,viva Tanzania bongoland..Wenzetu huko wanaharibu vyao😅

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74386 күн бұрын

    Mama apewe maua yake anaendeleza vizuri mambo aliyotaacha Hayati Magufuli kazi iendelee Uongozi ni kazi nzito lawama ni kitu cha kawaida

  • @modestwenceslaus9

    @modestwenceslaus9

    5 күн бұрын

    Uko sahihi wapo Watu walitaka kutuaminisha kuwa miradi yote ya kimkakati haitamalizika baada kifo Cha Rais JPM

  • @LastdayJesu4153

    @LastdayJesu4153

    3 күн бұрын

    Kweli anastaili mauwa yake tunampenda anatusuprise😅

  • @bernardkamau9844
    @bernardkamau98443 күн бұрын

    Congratulations 255 🇹🇿🇹🇿.nilitumia hii treni kwenda morogoro na kwa ukweli safari ni nyororo sana 🔥✅✅ I hope in the future hii reli itafika Arusha. Mimi kama jirani nawapongeza sana 🙌🏾🇰🇪

  • @user-sp6sv3cg9d
    @user-sp6sv3cg9dКүн бұрын

    Hongera wa Tanzania wore tunaolipa Kodi na bingwa wetu Magufuli Mungu akulaze mahali panapokustahili

  • @veronicalaiser7869
    @veronicalaiser78696 күн бұрын

    Ni matumaini na maombi yangu kuwa treni hii itatunzwa na kulindwa kwa nguvu zote ili Watanzania wafaidi jasho lao. God bless Tanzania!

  • @jumashedafa
    @jumashedafa6 күн бұрын

    Mashaallah nimepend Nyerere, Maguful na Samia Express...Next ni Mwinyi express au Mzee wa ruksa express

  • @LastdayJesu4153
    @LastdayJesu41533 күн бұрын

    Hongera Rais wetu❤

  • @SATZ-news
    @SATZ-news6 күн бұрын

    Na Magufuli iwepo tu kama hamtaki ugomvi😂😂😂😂

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth59576 күн бұрын

    RIP JPM

  • @emmanuelkamoli8215
    @emmanuelkamoli82153 күн бұрын

    Hapo sawa Kumbe Magufuli ipo I admire her

  • @MbondeMbonde-zr4nj
    @MbondeMbonde-zr4nj6 күн бұрын

    Njia za Kigoma Arusha na Tazara nazo zinahitaji hii mki update na hizo sana sana ya Kigoma Tz itakuwa vizuri sana

  • @user-qj2fz8uq3j
    @user-qj2fz8uq3j6 күн бұрын

    Magufulification

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns26466 күн бұрын

    WAKATI WATZ WANAPIGA HATUA MOJA MBELE, NDUGU ZAO WAKENYA WANAICHOMA NAIROBI YAO ILI WAANZE TENA HATUA MOJA NYUMA... HUZUNI SANA, AFRIKA INASIKITISHA SANA!!

  • @emmanuelmasanja6040

    @emmanuelmasanja6040

    4 күн бұрын

    Waache wachome wao wanajidai Wana akili nyingi

  • @christopherjoseph8330
    @christopherjoseph83306 күн бұрын

    Kile kichwa kibaya kiitwe Ruto express

  • @aminasittusaid3830

    @aminasittusaid3830

    6 күн бұрын

    🙉🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃‍♀️🙈

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z2 күн бұрын

    Asante sana Samia

  • @ericmoramagige3407
    @ericmoramagige34076 күн бұрын

    Kikwete alitaka kutupa ya Diesel kama ya Kenya, asipewe jina

  • @nth3512

    @nth3512

    6 күн бұрын

    Hahaha

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    6 күн бұрын

    Una uhakika na unachokisema?

  • @user-eg1mz6vo1d

    @user-eg1mz6vo1d

    6 күн бұрын

    Kilaaa baada ya miaka 7 watu kama magufil wamatokea mara mmoja

  • @user-lx2yc8tj5h
    @user-lx2yc8tj5h6 күн бұрын

    Magufuri aliona mbali

  • @MohamedAhmada-ie7ke

    @MohamedAhmada-ie7ke

    5 күн бұрын

    Kasome ilani kwanza ndio utajua kua hivo vitu vipo

  • @user-ec5qb8dw6d
    @user-ec5qb8dw6d4 күн бұрын

    Kazi nzuli❤❤❤

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi8826 күн бұрын

    Safi sana hapa ndugu zangu wa CCM tunajeuri ya kusema tumetenda. Mungu ampe maisha marefu Mh. Samia aendelee kutekeleza Ilani. CCM OYEE

  • @aminata3702

    @aminata3702

    6 күн бұрын

    Unazi

  • @user-ts9lp4rm9j

    @user-ts9lp4rm9j

    6 күн бұрын

    Ccm wapi wananchi hela zao

  • @Beauthoms

    @Beauthoms

    6 күн бұрын

    ​@@user-ts9lp4rm9j Shida sio hela shexhe shida ni utendaji

  • @victoriambonde8061
    @victoriambonde80616 күн бұрын

    Apo sawa Mimi ntapanda iyo magu exppres iyo ndo yenyewe

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    6 күн бұрын

    Ok tumekuelewa Mrs Ukabila.

  • @allyhasani3750
    @allyhasani37503 күн бұрын

    Du! Magufuri aliona mbali

  • @danielkullwa1613
    @danielkullwa16136 күн бұрын

    Congrats...tunaomba mtupe siku moja a full interior tour ya moja ya EMU's ..nadhani kuna ambazo zina premium classses, comfort flani, comfortable seats, Rest Rooms zikoje, nadhani kuna vending machines pia, Madaraja pia yakoje... nakadhalika. Ni prid ya watanzania wote hii.

  • @bonosaugustine6545

    @bonosaugustine6545

    6 күн бұрын

    Mwenyew naisubir kwa hamu sana

  • @frankiekusekwa9469
    @frankiekusekwa94695 күн бұрын

    Kama kuna magufuli express sawa, Hata mimi nitapata

  • @eddechriss2664
    @eddechriss26646 күн бұрын

    Baada ya majadiliano ya muda mrefu na Mganga wangu tumekubaliana safari zangu zote nitakuwa natumia MAGUFULI EXPRESS pekee

  • @abdulseifmtuluma4484

    @abdulseifmtuluma4484

    5 күн бұрын

    Tafadhali huyo mganga asikuelekeze kwenye Kudhulumu haki za kuishi za ndugu zetu wenye Ualbino...😂

  • @neemakerefu4876

    @neemakerefu4876

    4 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @stewartkilewo4433
    @stewartkilewo44336 күн бұрын

    Respect🎉

  • @erastomaro7145
    @erastomaro71456 күн бұрын

    Ingependeza zaidi kuwaenzi Mahayati Rais wetu waliotangulia mbele za haki kwa kufuata mtiriko wa namba, kama namba moja ni Nyerere Express, basi namba mbili ingekua Mwinyi Express, namba tatu Mkapa Express Afu hao wengine wanafuata kutokana mtiririko waliokaa madarakani. Ni maoni yangu tu.

  • @hamimuidrisa6390

    @hamimuidrisa6390

    6 күн бұрын

    Good idea

  • @josephatn5040

    @josephatn5040

    6 күн бұрын

    Nami nimeshangaa kwanini namba 2 ni Samia halafu namba 3 ni Magufuli!!!

  • @MohamedAhmada-ie7ke

    @MohamedAhmada-ie7ke

    5 күн бұрын

    Achana na mambo ya namba hayana faida muhimu ipo basi

  • @ananiangonyoka4309
    @ananiangonyoka43095 күн бұрын

    Kwani lazima iitwe samia hii nchi ya ajabu sana mtukuzeni Mungu siyo kila kitu samia kwanini lkn

  • @ombenikweka7222
    @ombenikweka72223 күн бұрын

    Fanyeni mpango abiria waweze kufika chalinze yaani wekeni miundombinu nzuri abiria wa chalinze tufaidi

  • @haroungwiyamabuzohera-jk3vl
    @haroungwiyamabuzohera-jk3vl20 сағат бұрын

    Kwa kweli mmevipatia majina vichwa hivyo. MAGUFULI NA SAMIA EXPRESSES. ASANTE SANA.

  • @Manywele.Maluja
    @Manywele.Maluja3 күн бұрын

    Hii mibichwa mchongoko ndo tulioitaka toka mda sanaa na hii ndo yenyewe sasaa

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi76376 күн бұрын

    Hapo sawa....ni raha tupu

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes11316 күн бұрын

    Kwanini Hamkuanza na Mangufuli/express?

  • @abdulseifmtuluma4484

    @abdulseifmtuluma4484

    5 күн бұрын

    Angalia sana, kuna siku utasema kwanini Jua lisichomoze Magharibi

  • @piterasifa3757
    @piterasifa37576 күн бұрын

    Jpm ipo

  • @danielkullwa1613
    @danielkullwa16132 күн бұрын

    Hivi vile vipua hapo mbele vitakuja baadae au vipo tayari. Maana kwenye clip ya yesting kule korea vilionekana. ila hizi zikija huku hatuvioni yani panakuwa wazi. Nadhani watanzania wenzangu ndo wanapo paangalia kwa maana ya mchongoko (aero dynamics)

  • @yourbody
    @yourbody6 күн бұрын

    I'm happy to see Magufuli Express

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa72156 күн бұрын

    Tanzania nchi yangu

  • @mariamapunda4577
    @mariamapunda45776 күн бұрын

    Hongereni sana, Treni ya ghorofa iko wapi? Vichwa mlisema vinakuja July mwaka jana tunataka kupanda treni ya ghorofa

  • @nickylyanga2139

    @nickylyanga2139

    6 күн бұрын

    hivyo wanasema vinakuja mwakan

  • @mariamapunda4577

    @mariamapunda4577

    6 күн бұрын

    @@nickylyanga2139 train zilishakuja na vichwa ilibidi bike mwaka jana July ndio walisema hivyo

  • @mariamapunda4577

    @mariamapunda4577

    6 күн бұрын

    @@godlistenmnkeni2454 naamini yanahitajika ndio maana yalinunuliwa.. au unaposema yatakapohitajika unaanisha hayahitajiki kwa sasa? Kwanini yalinunuliwa kama hayahitajiki? Vichwa vikowapi?

  • @Assu89Ma2ly-xt4np

    @Assu89Ma2ly-xt4np

    6 күн бұрын

    Mabehewa ya ghorofa yapo lakin vichwa havijafika,yana vichwa vyake vilivyokuwa vikitumika pamoja huko ujeruman vikija lazima tutaviona

  • @mariamapunda4577

    @mariamapunda4577

    6 күн бұрын

    @@Assu89Ma2ly-xt4np vichwa vinakuja lini?

  • @dramatic2558
    @dramatic25585 күн бұрын

    2:33 🤩🤩🤩🤩 i'm happy now

  • @SATZ-news
    @SATZ-news6 күн бұрын

    Yani MAGUFULI EXPRESS ndo itakuwa train yangu kila ninaposafiri aisee❤❤❤❤❤❤❤

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda25546 күн бұрын

    Hilo ni jambo zuri sana.

  • @gregorybakuza5796
    @gregorybakuza57963 күн бұрын

    Magufuli Express

  • @MarryCharles-rc6ei
    @MarryCharles-rc6ei9 сағат бұрын

    Hivi serikali iliangalia nn kuanza na dar to moro na siyo dar to arusha??

  • @user-ti6vp4ts6j
    @user-ti6vp4ts6j2 күн бұрын

    Naomba kanda ya kaskazini tupate pia maana December sio poa tunavyobanana😂😂

  • @ericmoramagige3407
    @ericmoramagige34076 күн бұрын

    Wekeni conveyor belt, na behewa Maalum kwaajili ya mizigo Mabegi makubwa ambayo huwezi ku check in nayo, ili pawe smart

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    6 күн бұрын

    Behewa kubwa la mizigo tayari lilishaletwa kitambo... muda ukifika utaliona likitumika.

  • @letthedeadburythedead2148

    @letthedeadburythedead2148

    6 күн бұрын

    Kwahio we ndo mshauri wa mradi mkubwa kama huu? Na mabehewa ya magari yapo 🚎

  • @realdude64
    @realdude645 күн бұрын

    Kwa niwapongeze kwa kazi nzuri. Pili, TRC kwa nini hamfuniki pua za treni ya mchongoko(EMU)? Ina maana muliuziwa bila mfuniko wa pua za hizo treni mchongoko?

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga43556 күн бұрын

    Safi CCM kusimamia Irani ya Chama maendeleo kwa Tanzania..kazi Nzuri..Mama Samia 2025 tena.

  • @butotanto
    @butotanto6 күн бұрын

    Magu express ipo?

  • @bonifacemarwa1975
    @bonifacemarwa19755 күн бұрын

    Tunaomba mzibe mbele iwe mchongoko kweli kweli

  • @davidmickidad6842
    @davidmickidad68423 күн бұрын

    Mimi nishapata yangu ni MAGUFURI express. Nilitazama kwakin ningekosa Hilo jina ningehama nchi hii walah

  • @lazarombuze9776
    @lazarombuze97766 күн бұрын

    Heee! Samia exps!! Naamini hata yeye hawezi kukubari jina lake liandikwe hapo

  • @elinamilyatuu7337

    @elinamilyatuu7337

    6 күн бұрын

    Huu ni mwaka wa 3 tangu Jpm aondoke,hata kama wewe ni mjinga kiasi gani jitahidi tusijue

  • @JamesmalesaMavere
    @JamesmalesaMavere4 күн бұрын

    Eti Samia express

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja60404 күн бұрын

    Tuzipe majina ya maraisi wetu na hifadhi zetu pia na mlima kilimanjaro

  • @rehemakarafuu-xi1py
    @rehemakarafuu-xi1py3 күн бұрын

    mnacha kuweka jina la nchi mnaweka jina la mtu

  • @carolyneogall8967
    @carolyneogall89674 күн бұрын

    Alafu unakutana na wapinzani wanasema mama hafanyi kazi jani hiyo nini

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman3456 күн бұрын

    Watanzania vigeugeu nyie.. juzi tu hapawalikuwa wanahara leo wamenawa 😂😂😂😂

  • @elishajoseph8291
    @elishajoseph82915 күн бұрын

    wasisahau elishadai express

  • @MichaelBruno-zy8ff
    @MichaelBruno-zy8ff6 күн бұрын

    Mwanach expres iko wap

  • @kassimubilali5259
    @kassimubilali52596 күн бұрын

    Badala muandike jina la muasisi magufuli

  • @kassimubilali5259

    @kassimubilali5259

    6 күн бұрын

    Asanteni nimeona jina la magufuli hiyo ndy furaha yangu

  • @alphageorge5563
    @alphageorge55635 күн бұрын

    Kikwete Express vipi???

  • @worldinfoswahili
    @worldinfoswahili3 күн бұрын

    Kwamba hii nayo ni habari?!! 😂 Hii nchi hii

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi76375 күн бұрын

    Jamaa mmoja asipiwe jina kwenye huu mradi.

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz16 күн бұрын

    Tungekuwa tunajenga hizo EMU wenyewe hapo Tz ndio ingekuwa furaha , wahandisi wengi tunao.

  • @nickylyanga2139
    @nickylyanga21396 күн бұрын

    kumbe kweli ... mmeamua

  • @seneu.2128
    @seneu.21286 күн бұрын

    Kenya yakwao wanaita madaraka express kuenzi siku waliyopata uhuru kujitawala, uwanja wao mpya wa mpira utaitwa talanta stadium, kwanini sisi miradi yote ya nchi iwe na majina ya Rais

  • @SATZ-news
    @SATZ-news6 күн бұрын

    Hivi ya Ghorofa toka Germany yaliendaje?????

  • @khamissaleh921
    @khamissaleh9212 күн бұрын

    Wekeni mfuniko wa pua ya treni sio kukaa wqzi ipendeze

  • @seneu.2128
    @seneu.21286 күн бұрын

    Hapana ipewe jina la mashujaa au mwananchi express kama ishara yakuunganisha watz nasio Samia express please tunaomba muache mzaha kwenye mambo ya msingi, Kila mradi upewe jina la Rais, kuanzia ikulu majengo ni Samia complex, uwanja wa mpira Arusha ni Samia Suluhu stadium, shule kubwa ya science wanawake Samia high school na Leo tena Samia express, kiukweli hakuna kiongozi aliyelazimisha kuacha alama kwenye miradi ya nchi kama mama yetu yaani sio poa kabisa, kina Sokoine, kawawa, Nyerere na mashujaa wengi wa nchi hii hawakutaka sifa hizi kabisa

  • @damianmadex3677
    @damianmadex36774 күн бұрын

    E m u maana yake nini

  • @twaribujuma2860
    @twaribujuma28606 күн бұрын

    Tumia Magufuli Express

  • @b.warron4631
    @b.warron46316 күн бұрын

    Naomba isiwe kikwete express😂😂

  • @bnyangoma

    @bnyangoma

    6 күн бұрын

    Hilo tunalitegemea…😂

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl

    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl

    6 күн бұрын

    Ukabila uwo mbna izo balaba kutoka dar mpaka mwanza musoma kajenga magu alivyo kuwa laisi

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk6 күн бұрын

    Mnataka kufanya majaribio! Ok! Kwani nivyamtumba? Au kwa namna ipi? Haya nimajaribio ya ngapi?

  • @Assu89Ma2ly-xt4np
    @Assu89Ma2ly-xt4np6 күн бұрын

    Mi nitafurahi nikiona zilizobaki zin akuja na rangi tofauti mchanganyiko wa rangi za bluu,kijani,na nyingine lakin katika michoro hiyo hiyo ya trc,muonekano mmoja ktk seti 10 inachosha akili vinginevyo nipongeze kwa kila aliehusika ktk kazi hii nzuri

  • @lifeonearth94
    @lifeonearth946 күн бұрын

    Too bad Magufuli hakumbukwi, wakati bila yeye huu mradi usingejengwa

  • @aminasittusaid3830

    @aminasittusaid3830

    6 күн бұрын

    Magufuli yupo EMU moja hapo inaitwa "Magufuli Express"

  • @lifeonearth94

    @lifeonearth94

    6 күн бұрын

    @@aminasittusaid3830 Cool☺️

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    6 күн бұрын

    ​@@aminasittusaid3830hawa huwa wanakurupuka bila ya hata kusikiliza vizuri kinachozungumzwa.

  • @letthedeadburythedead2148

    @letthedeadburythedead2148

    6 күн бұрын

    Kuma kweli wewe

  • @lifeonearth94

    @lifeonearth94

    6 күн бұрын

    @@letthedeadburythedead2148 Kibaya nchi imejaa miwatu aina yko inayowrza matusi tu na si vingine Kweli taifa letu limejaa miwatu mijinga sana

  • @user-yk9kb8zh8q
    @user-yk9kb8zh8q6 күн бұрын

    Kwani lazima muite majina ya viongozi? Sijawahi kuona wananchi walipa Kodi wakipewa heshima yao

  • @letthedeadburythedead2148

    @letthedeadburythedead2148

    6 күн бұрын

    Hapo ndo ulidanganywa kwamba kodi yako ndo inaleta maendeleo

  • @user-yk9kb8zh8q

    @user-yk9kb8zh8q

    6 күн бұрын

    @@letthedeadburythedead2148 Wewe huna ujualo kaa kwa kutulia endelea Kula ugali wa mjomba

  • @MohamedAhmada-ie7ke

    @MohamedAhmada-ie7ke

    4 күн бұрын

    Na ipo siku atatokea mwenzio alie left group atasema iwekwe nembo ya kishoga so bora tuache tu kuna vtu viendelee maana havina ulazima

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po6 күн бұрын

    Jamani TRC msisahau #msoga express please 😂😂😂😂 kama itawezekana

  • @ContentSmartphone-rq6po
    @ContentSmartphone-rq6po6 күн бұрын

    Mzee kikwete yupo au😂

  • @christopherjoseph8330

    @christopherjoseph8330

    6 күн бұрын

    Ile ya zamani inamfaa kikwete.

  • @user-ts9lp4rm9j

    @user-ts9lp4rm9j

    6 күн бұрын

    ​@@christopherjoseph8330😂😂😂😂😂

  • @ContentSmartphone-rq6po

    @ContentSmartphone-rq6po

    6 күн бұрын

    😂😂😂😂😂 duh waiandike msoga express 😅😅

  • @feresianlugera-it8vh
    @feresianlugera-it8vh3 күн бұрын

    Mbona hapo mbele ni bampa tu

  • @ShabaiSadick
    @ShabaiSadick6 күн бұрын

    Zile za ujerumani vichwa viwiri viko wapi na vinafika lini ikiwa mabehewa yake yapo tu

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s5 күн бұрын

    RIP JPM

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu76426 күн бұрын

    ONGERA NYINGI KWA TANZANIA MPYA KWA WAPENDA MAENDELEO , HASA MAMA SAMIA , na JPM THE HERO

Келесі