HIZI HAPA SETI 2 ZA MCHONGOKO, IPO “SAMIA EXPRESS”
Жүктеу.....
Пікірлер: 174
@giftchristianmeela14096 күн бұрын
seti moja ingepewa jina la "Mwananchi Express" kuwatambua wananchi walipa kodi.
@worldtechlab
6 күн бұрын
😂😂😂
@rayisadesigns2646
6 күн бұрын
KWA SABABU HIYO MOJA IMEPEWA JINA LA MAMA AU VIPI?! DUH KAKA SIYO KWA CHUKI HIZO...
@temuemanuel4671
6 күн бұрын
Au "Walipakodi Express"
@giftmeela6250
6 күн бұрын
@@rayisadesigns2646 nisawa wewe utafute pesa ukajenge nyumba alafu fundi aandike jina lake kwasababu yeye ndio amejenga. Hizo si ni dharau. They have to acknowledge walipakodi wote.
Hapo saw kumbe Magufuli ipo ntakuwa napanda hiyo sasa❤❤
@johnlubagula9723
6 күн бұрын
Hata mimi nimefurah kuona magufuri ipo
@michaelrweyemamu1068
6 күн бұрын
Hata mm
@Niika870
6 күн бұрын
Kama Magufuli isingekuwepo nisingepanda hizo tren❤
@nassercurtis9579
6 күн бұрын
Hahahaa safi sana kuona na kuthamini na kumuenzi jembe nilidhani tupo wachache wenye mtazamo kama wako.@@Niika870
@elinamilyatuu7337
6 күн бұрын
Haha sawa
@salumnamjupa-sy6cm6 күн бұрын
wow magufuli express..am happy now
@damianmadex3677
4 күн бұрын
And me too 🎉🎉
@GodlivenMaximillian-ot7mg6 күн бұрын
Kazi nzuri sana tunapenda maendeleo kama haya. Mmekuwa wazalendo nawapongeza mmeita majina ya viongozi wetu safi sana.
@piusmapunda59006 күн бұрын
Nasisitiza kila mmoja ahakikishe tunavitunza vizuri sana sana sana vifaa vyote na tuache hujumaaaa na mambo ya kipumbavu kuharibu treni hii. Hongera sana Serikali na wananchi wooooooteeeee.
@sebaoscar92056 күн бұрын
Rip Magufuli...The great visionary.
@bnyangoma
6 күн бұрын
Acha tu!
@amaniromeoswadiq9155
4 күн бұрын
Magufuli forever
@joshuachimwejo58925 күн бұрын
Misahau Kadogosa Express!! That man has done a wonderful job ever! Ni vizuri kuzithamini. kukumbuka na kuzienzi jitihada za wataalam wetu wa ndani.
@RamaTraceur6 күн бұрын
Hapo kwenye pua la EMU train..funiko lake wekeni ipendeze zaidi...Ongera Tanzania yetu, Shirika letu (TRC) na Sisi Watanzania.👍
@allysimu68566 күн бұрын
Tuzidikumunga mkono raisi samia kazi iendelee I love tanzania
@richwase65506 күн бұрын
Saiz nchi inapiga hatua najivunia kuwa mtanzania 🇹🇿❤
@temuemanuel4671
6 күн бұрын
Kwakweli. Napata hata ladha ya kuangalia taarifa za habari za maendeleo ya nchi yangu
@abdulseifmtuluma44846 күн бұрын
Nyerere express, Magufuli Express and Samia Express,... very impressive
@GodlivenMaximillian-ot7mg
6 күн бұрын
Sana. Halafu pale station kuna picha ya Baba wa Taifa yaani Una feel Ile sense ya utanzania
@temuemanuel4671
6 күн бұрын
@@GodlivenMaximillian-ot7mgkabisa mkuu.
@sebmalunde59456 күн бұрын
Hongereni sana. Viongozi wetu
@alfinmbilinyi59856 күн бұрын
Yeah big up Tanzania & Govt. Kazi nzuri.kasi iongezwe ya ujenzi dodoma mwanza Ili tz yetu izidi kupendeza
@allymusira21536 күн бұрын
Hongera Rais Samia kuendeleza mradi hakika wewe ni jasiri
@lazarombuze97766 күн бұрын
Hayo ndio mambo tunataka kuona,.sio tunalipa Kodi,pesa zinaishia kununua V8 kila mwaka,
@ndulasimon6 күн бұрын
My Tanzania my pride Chapa Kazi mama
@salehsimba53066 күн бұрын
Ila Magufuli...... Mungu amrehemu, maono yake yake ni ya mbali sana. Amefanya nchi iende kisasa
@bnyangoma
6 күн бұрын
Na pia aliona Tanzania itaongozwa na mwanamke. Kw mara kwanza mgombea mwenza alikuwa mwanamke
@Sean1877
6 күн бұрын
Imagine angekua bado yupo hai..
@user133756 күн бұрын
Nataka kujuwa ratiba ya magufuli express😅😅
@temuemanuel46716 күн бұрын
Safi sana. Kwakweli mmekuwa wazalendo na mmefanya ubunifu wa hali ya juu. Nashauri zijazo ziitwe: Kikwete Express, Mwinyi Express, Mwananchi Express, Mlipakodi Express, Mpango Express, Majaliwa Express, Sokoine Express. NB: Mwinyi Express ni kwa ajili ya kumuenzi Mzee wetu Ruksa pamojanna kuthamini mchango wa mwanaye ambaye ni Raisi wa Zanzibar kwa sasa. Naipenda sana Tanzania yangu. Mama Samia tunakuombea sana. Piga kazi, tuko nyuma yako.
@DeogratiasMadaraka-b9v
3 күн бұрын
Mmemsahau Cdf mabeyo luxury tz
@ewaldambrose61366 күн бұрын
Viva Samia,viva Tanzania bongoland..Wenzetu huko wanaharibu vyao😅
@margarethpolepole74386 күн бұрын
Mama apewe maua yake anaendeleza vizuri mambo aliyotaacha Hayati Magufuli kazi iendelee Uongozi ni kazi nzito lawama ni kitu cha kawaida
@modestwenceslaus9
5 күн бұрын
Uko sahihi wapo Watu walitaka kutuaminisha kuwa miradi yote ya kimkakati haitamalizika baada kifo Cha Rais JPM
@LastdayJesu4153
3 күн бұрын
Kweli anastaili mauwa yake tunampenda anatusuprise😅
@bernardkamau98443 күн бұрын
Congratulations 255 🇹🇿🇹🇿.nilitumia hii treni kwenda morogoro na kwa ukweli safari ni nyororo sana 🔥✅✅ I hope in the future hii reli itafika Arusha. Mimi kama jirani nawapongeza sana 🙌🏾🇰🇪
@user-sp6sv3cg9dКүн бұрын
Hongera wa Tanzania wore tunaolipa Kodi na bingwa wetu Magufuli Mungu akulaze mahali panapokustahili
@veronicalaiser78696 күн бұрын
Ni matumaini na maombi yangu kuwa treni hii itatunzwa na kulindwa kwa nguvu zote ili Watanzania wafaidi jasho lao. God bless Tanzania!
@jumashedafa6 күн бұрын
Mashaallah nimepend Nyerere, Maguful na Samia Express...Next ni Mwinyi express au Mzee wa ruksa express
@LastdayJesu41533 күн бұрын
Hongera Rais wetu❤
@SATZ-news6 күн бұрын
Na Magufuli iwepo tu kama hamtaki ugomvi😂😂😂😂
@khalidballeth59576 күн бұрын
RIP JPM
@emmanuelkamoli82153 күн бұрын
Hapo sawa Kumbe Magufuli ipo I admire her
@MbondeMbonde-zr4nj6 күн бұрын
Njia za Kigoma Arusha na Tazara nazo zinahitaji hii mki update na hizo sana sana ya Kigoma Tz itakuwa vizuri sana
@user-qj2fz8uq3j6 күн бұрын
Magufulification
@rayisadesigns26466 күн бұрын
WAKATI WATZ WANAPIGA HATUA MOJA MBELE, NDUGU ZAO WAKENYA WANAICHOMA NAIROBI YAO ILI WAANZE TENA HATUA MOJA NYUMA... HUZUNI SANA, AFRIKA INASIKITISHA SANA!!
@emmanuelmasanja6040
4 күн бұрын
Waache wachome wao wanajidai Wana akili nyingi
@christopherjoseph83306 күн бұрын
Kile kichwa kibaya kiitwe Ruto express
@aminasittusaid3830
6 күн бұрын
🙉🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃♀️🙈
@user-bz5ti6op6z2 күн бұрын
Asante sana Samia
@ericmoramagige34076 күн бұрын
Kikwete alitaka kutupa ya Diesel kama ya Kenya, asipewe jina
@nth3512
6 күн бұрын
Hahaha
@rayisadesigns2646
6 күн бұрын
Una uhakika na unachokisema?
@user-eg1mz6vo1d
6 күн бұрын
Kilaaa baada ya miaka 7 watu kama magufil wamatokea mara mmoja
@user-lx2yc8tj5h6 күн бұрын
Magufuri aliona mbali
@MohamedAhmada-ie7ke
5 күн бұрын
Kasome ilani kwanza ndio utajua kua hivo vitu vipo
@user-ec5qb8dw6d4 күн бұрын
Kazi nzuli❤❤❤
@godwinkasaizi8826 күн бұрын
Safi sana hapa ndugu zangu wa CCM tunajeuri ya kusema tumetenda. Mungu ampe maisha marefu Mh. Samia aendelee kutekeleza Ilani. CCM OYEE
@aminata3702
6 күн бұрын
Unazi
@user-ts9lp4rm9j
6 күн бұрын
Ccm wapi wananchi hela zao
@Beauthoms
6 күн бұрын
@@user-ts9lp4rm9j Shida sio hela shexhe shida ni utendaji
@victoriambonde80616 күн бұрын
Apo sawa Mimi ntapanda iyo magu exppres iyo ndo yenyewe
@rayisadesigns2646
6 күн бұрын
Ok tumekuelewa Mrs Ukabila.
@allyhasani37503 күн бұрын
Du! Magufuri aliona mbali
@danielkullwa16136 күн бұрын
Congrats...tunaomba mtupe siku moja a full interior tour ya moja ya EMU's ..nadhani kuna ambazo zina premium classses, comfort flani, comfortable seats, Rest Rooms zikoje, nadhani kuna vending machines pia, Madaraja pia yakoje... nakadhalika. Ni prid ya watanzania wote hii.
@bonosaugustine6545
6 күн бұрын
Mwenyew naisubir kwa hamu sana
@frankiekusekwa94695 күн бұрын
Kama kuna magufuli express sawa, Hata mimi nitapata
@eddechriss26646 күн бұрын
Baada ya majadiliano ya muda mrefu na Mganga wangu tumekubaliana safari zangu zote nitakuwa natumia MAGUFULI EXPRESS pekee
@abdulseifmtuluma4484
5 күн бұрын
Tafadhali huyo mganga asikuelekeze kwenye Kudhulumu haki za kuishi za ndugu zetu wenye Ualbino...😂
@neemakerefu4876
4 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@stewartkilewo44336 күн бұрын
Respect🎉
@erastomaro71456 күн бұрын
Ingependeza zaidi kuwaenzi Mahayati Rais wetu waliotangulia mbele za haki kwa kufuata mtiriko wa namba, kama namba moja ni Nyerere Express, basi namba mbili ingekua Mwinyi Express, namba tatu Mkapa Express Afu hao wengine wanafuata kutokana mtiririko waliokaa madarakani. Ni maoni yangu tu.
@hamimuidrisa6390
6 күн бұрын
Good idea
@josephatn5040
6 күн бұрын
Nami nimeshangaa kwanini namba 2 ni Samia halafu namba 3 ni Magufuli!!!
@MohamedAhmada-ie7ke
5 күн бұрын
Achana na mambo ya namba hayana faida muhimu ipo basi
@ananiangonyoka43095 күн бұрын
Kwani lazima iitwe samia hii nchi ya ajabu sana mtukuzeni Mungu siyo kila kitu samia kwanini lkn
@ombenikweka72223 күн бұрын
Fanyeni mpango abiria waweze kufika chalinze yaani wekeni miundombinu nzuri abiria wa chalinze tufaidi
@haroungwiyamabuzohera-jk3vl20 сағат бұрын
Kwa kweli mmevipatia majina vichwa hivyo. MAGUFULI NA SAMIA EXPRESSES. ASANTE SANA.
@Manywele.Maluja3 күн бұрын
Hii mibichwa mchongoko ndo tulioitaka toka mda sanaa na hii ndo yenyewe sasaa
@zobakazizi76376 күн бұрын
Hapo sawa....ni raha tupu
@renatusblandes11316 күн бұрын
Kwanini Hamkuanza na Mangufuli/express?
@abdulseifmtuluma4484
5 күн бұрын
Angalia sana, kuna siku utasema kwanini Jua lisichomoze Magharibi
@piterasifa37576 күн бұрын
Jpm ipo
@danielkullwa16132 күн бұрын
Hivi vile vipua hapo mbele vitakuja baadae au vipo tayari. Maana kwenye clip ya yesting kule korea vilionekana. ila hizi zikija huku hatuvioni yani panakuwa wazi. Nadhani watanzania wenzangu ndo wanapo paangalia kwa maana ya mchongoko (aero dynamics)
@yourbody6 күн бұрын
I'm happy to see Magufuli Express
@abdallahkambangwa72156 күн бұрын
Tanzania nchi yangu
@mariamapunda45776 күн бұрын
Hongereni sana, Treni ya ghorofa iko wapi? Vichwa mlisema vinakuja July mwaka jana tunataka kupanda treni ya ghorofa
@nickylyanga2139
6 күн бұрын
hivyo wanasema vinakuja mwakan
@mariamapunda4577
6 күн бұрын
@@nickylyanga2139 train zilishakuja na vichwa ilibidi bike mwaka jana July ndio walisema hivyo
@mariamapunda4577
6 күн бұрын
@@godlistenmnkeni2454 naamini yanahitajika ndio maana yalinunuliwa.. au unaposema yatakapohitajika unaanisha hayahitajiki kwa sasa? Kwanini yalinunuliwa kama hayahitajiki? Vichwa vikowapi?
@Assu89Ma2ly-xt4np
6 күн бұрын
Mabehewa ya ghorofa yapo lakin vichwa havijafika,yana vichwa vyake vilivyokuwa vikitumika pamoja huko ujeruman vikija lazima tutaviona
@mariamapunda4577
6 күн бұрын
@@Assu89Ma2ly-xt4np vichwa vinakuja lini?
@dramatic25585 күн бұрын
2:33 🤩🤩🤩🤩 i'm happy now
@SATZ-news6 күн бұрын
Yani MAGUFULI EXPRESS ndo itakuwa train yangu kila ninaposafiri aisee❤❤❤❤❤❤❤
@omarybakunda25546 күн бұрын
Hilo ni jambo zuri sana.
@gregorybakuza57963 күн бұрын
Magufuli Express
@MarryCharles-rc6ei9 сағат бұрын
Hivi serikali iliangalia nn kuanza na dar to moro na siyo dar to arusha??
@user-ti6vp4ts6j2 күн бұрын
Naomba kanda ya kaskazini tupate pia maana December sio poa tunavyobanana😂😂
@ericmoramagige34076 күн бұрын
Wekeni conveyor belt, na behewa Maalum kwaajili ya mizigo Mabegi makubwa ambayo huwezi ku check in nayo, ili pawe smart
@rayisadesigns2646
6 күн бұрын
Behewa kubwa la mizigo tayari lilishaletwa kitambo... muda ukifika utaliona likitumika.
@letthedeadburythedead2148
6 күн бұрын
Kwahio we ndo mshauri wa mradi mkubwa kama huu? Na mabehewa ya magari yapo 🚎
@realdude645 күн бұрын
Kwa niwapongeze kwa kazi nzuri. Pili, TRC kwa nini hamfuniki pua za treni ya mchongoko(EMU)? Ina maana muliuziwa bila mfuniko wa pua za hizo treni mchongoko?
@charlesmwambinga43556 күн бұрын
Safi CCM kusimamia Irani ya Chama maendeleo kwa Tanzania..kazi Nzuri..Mama Samia 2025 tena.
@butotanto6 күн бұрын
Magu express ipo?
@bonifacemarwa19755 күн бұрын
Tunaomba mzibe mbele iwe mchongoko kweli kweli
@davidmickidad68423 күн бұрын
Mimi nishapata yangu ni MAGUFURI express. Nilitazama kwakin ningekosa Hilo jina ningehama nchi hii walah
@lazarombuze97766 күн бұрын
Heee! Samia exps!! Naamini hata yeye hawezi kukubari jina lake liandikwe hapo
@elinamilyatuu7337
6 күн бұрын
Huu ni mwaka wa 3 tangu Jpm aondoke,hata kama wewe ni mjinga kiasi gani jitahidi tusijue
@JamesmalesaMavere4 күн бұрын
Eti Samia express
@emmanuelmasanja60404 күн бұрын
Tuzipe majina ya maraisi wetu na hifadhi zetu pia na mlima kilimanjaro
@rehemakarafuu-xi1py3 күн бұрын
mnacha kuweka jina la nchi mnaweka jina la mtu
@carolyneogall89674 күн бұрын
Alafu unakutana na wapinzani wanasema mama hafanyi kazi jani hiyo nini
@TrinaRoman3456 күн бұрын
Watanzania vigeugeu nyie.. juzi tu hapawalikuwa wanahara leo wamenawa 😂😂😂😂
@elishajoseph82915 күн бұрын
wasisahau elishadai express
@MichaelBruno-zy8ff6 күн бұрын
Mwanach expres iko wap
@kassimubilali52596 күн бұрын
Badala muandike jina la muasisi magufuli
@kassimubilali5259
6 күн бұрын
Asanteni nimeona jina la magufuli hiyo ndy furaha yangu
@alphageorge55635 күн бұрын
Kikwete Express vipi???
@worldinfoswahili3 күн бұрын
Kwamba hii nayo ni habari?!! 😂 Hii nchi hii
@zobakazizi76375 күн бұрын
Jamaa mmoja asipiwe jina kwenye huu mradi.
@Optionxll_Playz16 күн бұрын
Tungekuwa tunajenga hizo EMU wenyewe hapo Tz ndio ingekuwa furaha , wahandisi wengi tunao.
@nickylyanga21396 күн бұрын
kumbe kweli ... mmeamua
@seneu.21286 күн бұрын
Kenya yakwao wanaita madaraka express kuenzi siku waliyopata uhuru kujitawala, uwanja wao mpya wa mpira utaitwa talanta stadium, kwanini sisi miradi yote ya nchi iwe na majina ya Rais
@SATZ-news6 күн бұрын
Hivi ya Ghorofa toka Germany yaliendaje?????
@khamissaleh9212 күн бұрын
Wekeni mfuniko wa pua ya treni sio kukaa wqzi ipendeze
@seneu.21286 күн бұрын
Hapana ipewe jina la mashujaa au mwananchi express kama ishara yakuunganisha watz nasio Samia express please tunaomba muache mzaha kwenye mambo ya msingi, Kila mradi upewe jina la Rais, kuanzia ikulu majengo ni Samia complex, uwanja wa mpira Arusha ni Samia Suluhu stadium, shule kubwa ya science wanawake Samia high school na Leo tena Samia express, kiukweli hakuna kiongozi aliyelazimisha kuacha alama kwenye miradi ya nchi kama mama yetu yaani sio poa kabisa, kina Sokoine, kawawa, Nyerere na mashujaa wengi wa nchi hii hawakutaka sifa hizi kabisa
@damianmadex36774 күн бұрын
E m u maana yake nini
@twaribujuma28606 күн бұрын
Tumia Magufuli Express
@b.warron46316 күн бұрын
Naomba isiwe kikwete express😂😂
@bnyangoma
6 күн бұрын
Hilo tunalitegemea…😂
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
6 күн бұрын
Ukabila uwo mbna izo balaba kutoka dar mpaka mwanza musoma kajenga magu alivyo kuwa laisi
@IsayaSosolo-nx8zk6 күн бұрын
Mnataka kufanya majaribio! Ok! Kwani nivyamtumba? Au kwa namna ipi? Haya nimajaribio ya ngapi?
@Assu89Ma2ly-xt4np6 күн бұрын
Mi nitafurahi nikiona zilizobaki zin akuja na rangi tofauti mchanganyiko wa rangi za bluu,kijani,na nyingine lakin katika michoro hiyo hiyo ya trc,muonekano mmoja ktk seti 10 inachosha akili vinginevyo nipongeze kwa kila aliehusika ktk kazi hii nzuri
@lifeonearth946 күн бұрын
Too bad Magufuli hakumbukwi, wakati bila yeye huu mradi usingejengwa
@aminasittusaid3830
6 күн бұрын
Magufuli yupo EMU moja hapo inaitwa "Magufuli Express"
@lifeonearth94
6 күн бұрын
@@aminasittusaid3830 Cool☺️
@rayisadesigns2646
6 күн бұрын
@@aminasittusaid3830hawa huwa wanakurupuka bila ya hata kusikiliza vizuri kinachozungumzwa.
@letthedeadburythedead2148
6 күн бұрын
Kuma kweli wewe
@lifeonearth94
6 күн бұрын
@@letthedeadburythedead2148 Kibaya nchi imejaa miwatu aina yko inayowrza matusi tu na si vingine Kweli taifa letu limejaa miwatu mijinga sana
@user-yk9kb8zh8q6 күн бұрын
Kwani lazima muite majina ya viongozi? Sijawahi kuona wananchi walipa Kodi wakipewa heshima yao
@letthedeadburythedead2148
6 күн бұрын
Hapo ndo ulidanganywa kwamba kodi yako ndo inaleta maendeleo
@user-yk9kb8zh8q
6 күн бұрын
@@letthedeadburythedead2148 Wewe huna ujualo kaa kwa kutulia endelea Kula ugali wa mjomba
@MohamedAhmada-ie7ke
4 күн бұрын
Na ipo siku atatokea mwenzio alie left group atasema iwekwe nembo ya kishoga so bora tuache tu kuna vtu viendelee maana havina ulazima
@ContentSmartphone-rq6po6 күн бұрын
Jamani TRC msisahau #msoga express please 😂😂😂😂 kama itawezekana
@ContentSmartphone-rq6po6 күн бұрын
Mzee kikwete yupo au😂
@christopherjoseph8330
6 күн бұрын
Ile ya zamani inamfaa kikwete.
@user-ts9lp4rm9j
6 күн бұрын
@@christopherjoseph8330😂😂😂😂😂
@ContentSmartphone-rq6po
6 күн бұрын
😂😂😂😂😂 duh waiandike msoga express 😅😅
@feresianlugera-it8vh3 күн бұрын
Mbona hapo mbele ni bampa tu
@ShabaiSadick6 күн бұрын
Zile za ujerumani vichwa viwiri viko wapi na vinafika lini ikiwa mabehewa yake yapo tu
@user-ze6lx9ng6s5 күн бұрын
RIP JPM
@ikulunimahalipatakatifu76426 күн бұрын
ONGERA NYINGI KWA TANZANIA MPYA KWA WAPENDA MAENDELEO , HASA MAMA SAMIA , na JPM THE HERO
Пікірлер: 174
seti moja ingepewa jina la "Mwananchi Express" kuwatambua wananchi walipa kodi.
@worldtechlab
6 күн бұрын
😂😂😂
@rayisadesigns2646
6 күн бұрын
KWA SABABU HIYO MOJA IMEPEWA JINA LA MAMA AU VIPI?! DUH KAKA SIYO KWA CHUKI HIZO...
@temuemanuel4671
6 күн бұрын
Au "Walipakodi Express"
@giftmeela6250
6 күн бұрын
@@rayisadesigns2646 nisawa wewe utafute pesa ukajenge nyumba alafu fundi aandike jina lake kwasababu yeye ndio amejenga. Hizo si ni dharau. They have to acknowledge walipakodi wote.
@emmanuelstephens1891
5 күн бұрын
Naunga mkono hoja! Mwananchi mlipa kodi hadhaminiwi!!
Hapo saw kumbe Magufuli ipo ntakuwa napanda hiyo sasa❤❤
@johnlubagula9723
6 күн бұрын
Hata mimi nimefurah kuona magufuri ipo
@michaelrweyemamu1068
6 күн бұрын
Hata mm
@Niika870
6 күн бұрын
Kama Magufuli isingekuwepo nisingepanda hizo tren❤
@nassercurtis9579
6 күн бұрын
Hahahaa safi sana kuona na kuthamini na kumuenzi jembe nilidhani tupo wachache wenye mtazamo kama wako.@@Niika870
@elinamilyatuu7337
6 күн бұрын
Haha sawa
wow magufuli express..am happy now
@damianmadex3677
4 күн бұрын
And me too 🎉🎉
Kazi nzuri sana tunapenda maendeleo kama haya. Mmekuwa wazalendo nawapongeza mmeita majina ya viongozi wetu safi sana.
Nasisitiza kila mmoja ahakikishe tunavitunza vizuri sana sana sana vifaa vyote na tuache hujumaaaa na mambo ya kipumbavu kuharibu treni hii. Hongera sana Serikali na wananchi wooooooteeeee.
Rip Magufuli...The great visionary.
@bnyangoma
6 күн бұрын
Acha tu!
@amaniromeoswadiq9155
4 күн бұрын
Magufuli forever
Misahau Kadogosa Express!! That man has done a wonderful job ever! Ni vizuri kuzithamini. kukumbuka na kuzienzi jitihada za wataalam wetu wa ndani.
Hapo kwenye pua la EMU train..funiko lake wekeni ipendeze zaidi...Ongera Tanzania yetu, Shirika letu (TRC) na Sisi Watanzania.👍
Tuzidikumunga mkono raisi samia kazi iendelee I love tanzania
Saiz nchi inapiga hatua najivunia kuwa mtanzania 🇹🇿❤
@temuemanuel4671
6 күн бұрын
Kwakweli. Napata hata ladha ya kuangalia taarifa za habari za maendeleo ya nchi yangu
Nyerere express, Magufuli Express and Samia Express,... very impressive
@GodlivenMaximillian-ot7mg
6 күн бұрын
Sana. Halafu pale station kuna picha ya Baba wa Taifa yaani Una feel Ile sense ya utanzania
@temuemanuel4671
6 күн бұрын
@@GodlivenMaximillian-ot7mgkabisa mkuu.
Hongereni sana. Viongozi wetu
Yeah big up Tanzania & Govt. Kazi nzuri.kasi iongezwe ya ujenzi dodoma mwanza Ili tz yetu izidi kupendeza
Hongera Rais Samia kuendeleza mradi hakika wewe ni jasiri
Hayo ndio mambo tunataka kuona,.sio tunalipa Kodi,pesa zinaishia kununua V8 kila mwaka,
My Tanzania my pride Chapa Kazi mama
Ila Magufuli...... Mungu amrehemu, maono yake yake ni ya mbali sana. Amefanya nchi iende kisasa
@bnyangoma
6 күн бұрын
Na pia aliona Tanzania itaongozwa na mwanamke. Kw mara kwanza mgombea mwenza alikuwa mwanamke
@Sean1877
6 күн бұрын
Imagine angekua bado yupo hai..
Nataka kujuwa ratiba ya magufuli express😅😅
Safi sana. Kwakweli mmekuwa wazalendo na mmefanya ubunifu wa hali ya juu. Nashauri zijazo ziitwe: Kikwete Express, Mwinyi Express, Mwananchi Express, Mlipakodi Express, Mpango Express, Majaliwa Express, Sokoine Express. NB: Mwinyi Express ni kwa ajili ya kumuenzi Mzee wetu Ruksa pamojanna kuthamini mchango wa mwanaye ambaye ni Raisi wa Zanzibar kwa sasa. Naipenda sana Tanzania yangu. Mama Samia tunakuombea sana. Piga kazi, tuko nyuma yako.
@DeogratiasMadaraka-b9v
3 күн бұрын
Mmemsahau Cdf mabeyo luxury tz
Viva Samia,viva Tanzania bongoland..Wenzetu huko wanaharibu vyao😅
Mama apewe maua yake anaendeleza vizuri mambo aliyotaacha Hayati Magufuli kazi iendelee Uongozi ni kazi nzito lawama ni kitu cha kawaida
@modestwenceslaus9
5 күн бұрын
Uko sahihi wapo Watu walitaka kutuaminisha kuwa miradi yote ya kimkakati haitamalizika baada kifo Cha Rais JPM
@LastdayJesu4153
3 күн бұрын
Kweli anastaili mauwa yake tunampenda anatusuprise😅
Congratulations 255 🇹🇿🇹🇿.nilitumia hii treni kwenda morogoro na kwa ukweli safari ni nyororo sana 🔥✅✅ I hope in the future hii reli itafika Arusha. Mimi kama jirani nawapongeza sana 🙌🏾🇰🇪
Hongera wa Tanzania wore tunaolipa Kodi na bingwa wetu Magufuli Mungu akulaze mahali panapokustahili
Ni matumaini na maombi yangu kuwa treni hii itatunzwa na kulindwa kwa nguvu zote ili Watanzania wafaidi jasho lao. God bless Tanzania!
Mashaallah nimepend Nyerere, Maguful na Samia Express...Next ni Mwinyi express au Mzee wa ruksa express
Hongera Rais wetu❤
Na Magufuli iwepo tu kama hamtaki ugomvi😂😂😂😂
RIP JPM
Hapo sawa Kumbe Magufuli ipo I admire her
Njia za Kigoma Arusha na Tazara nazo zinahitaji hii mki update na hizo sana sana ya Kigoma Tz itakuwa vizuri sana
Magufulification
WAKATI WATZ WANAPIGA HATUA MOJA MBELE, NDUGU ZAO WAKENYA WANAICHOMA NAIROBI YAO ILI WAANZE TENA HATUA MOJA NYUMA... HUZUNI SANA, AFRIKA INASIKITISHA SANA!!
@emmanuelmasanja6040
4 күн бұрын
Waache wachome wao wanajidai Wana akili nyingi
Kile kichwa kibaya kiitwe Ruto express
@aminasittusaid3830
6 күн бұрын
🙉🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🏃♀️🙈
Asante sana Samia
Kikwete alitaka kutupa ya Diesel kama ya Kenya, asipewe jina
@nth3512
6 күн бұрын
Hahaha
@rayisadesigns2646
6 күн бұрын
Una uhakika na unachokisema?
@user-eg1mz6vo1d
6 күн бұрын
Kilaaa baada ya miaka 7 watu kama magufil wamatokea mara mmoja
Magufuri aliona mbali
@MohamedAhmada-ie7ke
5 күн бұрын
Kasome ilani kwanza ndio utajua kua hivo vitu vipo
Kazi nzuli❤❤❤
Safi sana hapa ndugu zangu wa CCM tunajeuri ya kusema tumetenda. Mungu ampe maisha marefu Mh. Samia aendelee kutekeleza Ilani. CCM OYEE
@aminata3702
6 күн бұрын
Unazi
@user-ts9lp4rm9j
6 күн бұрын
Ccm wapi wananchi hela zao
@Beauthoms
6 күн бұрын
@@user-ts9lp4rm9j Shida sio hela shexhe shida ni utendaji
Apo sawa Mimi ntapanda iyo magu exppres iyo ndo yenyewe
@rayisadesigns2646
6 күн бұрын
Ok tumekuelewa Mrs Ukabila.
Du! Magufuri aliona mbali
Congrats...tunaomba mtupe siku moja a full interior tour ya moja ya EMU's ..nadhani kuna ambazo zina premium classses, comfort flani, comfortable seats, Rest Rooms zikoje, nadhani kuna vending machines pia, Madaraja pia yakoje... nakadhalika. Ni prid ya watanzania wote hii.
@bonosaugustine6545
6 күн бұрын
Mwenyew naisubir kwa hamu sana
Kama kuna magufuli express sawa, Hata mimi nitapata
Baada ya majadiliano ya muda mrefu na Mganga wangu tumekubaliana safari zangu zote nitakuwa natumia MAGUFULI EXPRESS pekee
@abdulseifmtuluma4484
5 күн бұрын
Tafadhali huyo mganga asikuelekeze kwenye Kudhulumu haki za kuishi za ndugu zetu wenye Ualbino...😂
@neemakerefu4876
4 күн бұрын
😂😂😂😂😂
Respect🎉
Ingependeza zaidi kuwaenzi Mahayati Rais wetu waliotangulia mbele za haki kwa kufuata mtiriko wa namba, kama namba moja ni Nyerere Express, basi namba mbili ingekua Mwinyi Express, namba tatu Mkapa Express Afu hao wengine wanafuata kutokana mtiririko waliokaa madarakani. Ni maoni yangu tu.
@hamimuidrisa6390
6 күн бұрын
Good idea
@josephatn5040
6 күн бұрын
Nami nimeshangaa kwanini namba 2 ni Samia halafu namba 3 ni Magufuli!!!
@MohamedAhmada-ie7ke
5 күн бұрын
Achana na mambo ya namba hayana faida muhimu ipo basi
Kwani lazima iitwe samia hii nchi ya ajabu sana mtukuzeni Mungu siyo kila kitu samia kwanini lkn
Fanyeni mpango abiria waweze kufika chalinze yaani wekeni miundombinu nzuri abiria wa chalinze tufaidi
Kwa kweli mmevipatia majina vichwa hivyo. MAGUFULI NA SAMIA EXPRESSES. ASANTE SANA.
Hii mibichwa mchongoko ndo tulioitaka toka mda sanaa na hii ndo yenyewe sasaa
Hapo sawa....ni raha tupu
Kwanini Hamkuanza na Mangufuli/express?
@abdulseifmtuluma4484
5 күн бұрын
Angalia sana, kuna siku utasema kwanini Jua lisichomoze Magharibi
Jpm ipo
Hivi vile vipua hapo mbele vitakuja baadae au vipo tayari. Maana kwenye clip ya yesting kule korea vilionekana. ila hizi zikija huku hatuvioni yani panakuwa wazi. Nadhani watanzania wenzangu ndo wanapo paangalia kwa maana ya mchongoko (aero dynamics)
I'm happy to see Magufuli Express
Tanzania nchi yangu
Hongereni sana, Treni ya ghorofa iko wapi? Vichwa mlisema vinakuja July mwaka jana tunataka kupanda treni ya ghorofa
@nickylyanga2139
6 күн бұрын
hivyo wanasema vinakuja mwakan
@mariamapunda4577
6 күн бұрын
@@nickylyanga2139 train zilishakuja na vichwa ilibidi bike mwaka jana July ndio walisema hivyo
@mariamapunda4577
6 күн бұрын
@@godlistenmnkeni2454 naamini yanahitajika ndio maana yalinunuliwa.. au unaposema yatakapohitajika unaanisha hayahitajiki kwa sasa? Kwanini yalinunuliwa kama hayahitajiki? Vichwa vikowapi?
@Assu89Ma2ly-xt4np
6 күн бұрын
Mabehewa ya ghorofa yapo lakin vichwa havijafika,yana vichwa vyake vilivyokuwa vikitumika pamoja huko ujeruman vikija lazima tutaviona
@mariamapunda4577
6 күн бұрын
@@Assu89Ma2ly-xt4np vichwa vinakuja lini?
2:33 🤩🤩🤩🤩 i'm happy now
Yani MAGUFULI EXPRESS ndo itakuwa train yangu kila ninaposafiri aisee❤❤❤❤❤❤❤
Hilo ni jambo zuri sana.
Magufuli Express
Hivi serikali iliangalia nn kuanza na dar to moro na siyo dar to arusha??
Naomba kanda ya kaskazini tupate pia maana December sio poa tunavyobanana😂😂
Wekeni conveyor belt, na behewa Maalum kwaajili ya mizigo Mabegi makubwa ambayo huwezi ku check in nayo, ili pawe smart
@rayisadesigns2646
6 күн бұрын
Behewa kubwa la mizigo tayari lilishaletwa kitambo... muda ukifika utaliona likitumika.
@letthedeadburythedead2148
6 күн бұрын
Kwahio we ndo mshauri wa mradi mkubwa kama huu? Na mabehewa ya magari yapo 🚎
Kwa niwapongeze kwa kazi nzuri. Pili, TRC kwa nini hamfuniki pua za treni ya mchongoko(EMU)? Ina maana muliuziwa bila mfuniko wa pua za hizo treni mchongoko?
Safi CCM kusimamia Irani ya Chama maendeleo kwa Tanzania..kazi Nzuri..Mama Samia 2025 tena.
Magu express ipo?
Tunaomba mzibe mbele iwe mchongoko kweli kweli
Mimi nishapata yangu ni MAGUFURI express. Nilitazama kwakin ningekosa Hilo jina ningehama nchi hii walah
Heee! Samia exps!! Naamini hata yeye hawezi kukubari jina lake liandikwe hapo
@elinamilyatuu7337
6 күн бұрын
Huu ni mwaka wa 3 tangu Jpm aondoke,hata kama wewe ni mjinga kiasi gani jitahidi tusijue
Eti Samia express
Tuzipe majina ya maraisi wetu na hifadhi zetu pia na mlima kilimanjaro
mnacha kuweka jina la nchi mnaweka jina la mtu
Alafu unakutana na wapinzani wanasema mama hafanyi kazi jani hiyo nini
Watanzania vigeugeu nyie.. juzi tu hapawalikuwa wanahara leo wamenawa 😂😂😂😂
wasisahau elishadai express
Mwanach expres iko wap
Badala muandike jina la muasisi magufuli
@kassimubilali5259
6 күн бұрын
Asanteni nimeona jina la magufuli hiyo ndy furaha yangu
Kikwete Express vipi???
Kwamba hii nayo ni habari?!! 😂 Hii nchi hii
Jamaa mmoja asipiwe jina kwenye huu mradi.
Tungekuwa tunajenga hizo EMU wenyewe hapo Tz ndio ingekuwa furaha , wahandisi wengi tunao.
kumbe kweli ... mmeamua
Kenya yakwao wanaita madaraka express kuenzi siku waliyopata uhuru kujitawala, uwanja wao mpya wa mpira utaitwa talanta stadium, kwanini sisi miradi yote ya nchi iwe na majina ya Rais
Hivi ya Ghorofa toka Germany yaliendaje?????
Wekeni mfuniko wa pua ya treni sio kukaa wqzi ipendeze
Hapana ipewe jina la mashujaa au mwananchi express kama ishara yakuunganisha watz nasio Samia express please tunaomba muache mzaha kwenye mambo ya msingi, Kila mradi upewe jina la Rais, kuanzia ikulu majengo ni Samia complex, uwanja wa mpira Arusha ni Samia Suluhu stadium, shule kubwa ya science wanawake Samia high school na Leo tena Samia express, kiukweli hakuna kiongozi aliyelazimisha kuacha alama kwenye miradi ya nchi kama mama yetu yaani sio poa kabisa, kina Sokoine, kawawa, Nyerere na mashujaa wengi wa nchi hii hawakutaka sifa hizi kabisa
E m u maana yake nini
Tumia Magufuli Express
Naomba isiwe kikwete express😂😂
@bnyangoma
6 күн бұрын
Hilo tunalitegemea…😂
@FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
6 күн бұрын
Ukabila uwo mbna izo balaba kutoka dar mpaka mwanza musoma kajenga magu alivyo kuwa laisi
Mnataka kufanya majaribio! Ok! Kwani nivyamtumba? Au kwa namna ipi? Haya nimajaribio ya ngapi?
Mi nitafurahi nikiona zilizobaki zin akuja na rangi tofauti mchanganyiko wa rangi za bluu,kijani,na nyingine lakin katika michoro hiyo hiyo ya trc,muonekano mmoja ktk seti 10 inachosha akili vinginevyo nipongeze kwa kila aliehusika ktk kazi hii nzuri
Too bad Magufuli hakumbukwi, wakati bila yeye huu mradi usingejengwa
@aminasittusaid3830
6 күн бұрын
Magufuli yupo EMU moja hapo inaitwa "Magufuli Express"
@lifeonearth94
6 күн бұрын
@@aminasittusaid3830 Cool☺️
@rayisadesigns2646
6 күн бұрын
@@aminasittusaid3830hawa huwa wanakurupuka bila ya hata kusikiliza vizuri kinachozungumzwa.
@letthedeadburythedead2148
6 күн бұрын
Kuma kweli wewe
@lifeonearth94
6 күн бұрын
@@letthedeadburythedead2148 Kibaya nchi imejaa miwatu aina yko inayowrza matusi tu na si vingine Kweli taifa letu limejaa miwatu mijinga sana
Kwani lazima muite majina ya viongozi? Sijawahi kuona wananchi walipa Kodi wakipewa heshima yao
@letthedeadburythedead2148
6 күн бұрын
Hapo ndo ulidanganywa kwamba kodi yako ndo inaleta maendeleo
@user-yk9kb8zh8q
6 күн бұрын
@@letthedeadburythedead2148 Wewe huna ujualo kaa kwa kutulia endelea Kula ugali wa mjomba
@MohamedAhmada-ie7ke
4 күн бұрын
Na ipo siku atatokea mwenzio alie left group atasema iwekwe nembo ya kishoga so bora tuache tu kuna vtu viendelee maana havina ulazima
Jamani TRC msisahau #msoga express please 😂😂😂😂 kama itawezekana
Mzee kikwete yupo au😂
@christopherjoseph8330
6 күн бұрын
Ile ya zamani inamfaa kikwete.
@user-ts9lp4rm9j
6 күн бұрын
@@christopherjoseph8330😂😂😂😂😂
@ContentSmartphone-rq6po
6 күн бұрын
😂😂😂😂😂 duh waiandike msoga express 😅😅
Mbona hapo mbele ni bampa tu
Zile za ujerumani vichwa viwiri viko wapi na vinafika lini ikiwa mabehewa yake yapo tu
RIP JPM
ONGERA NYINGI KWA TANZANIA MPYA KWA WAPENDA MAENDELEO , HASA MAMA SAMIA , na JPM THE HERO