ZAIDI YA ABIRIA ELFU 40 WASAFIRI NA TRENI YA SGR, PROF. MBARAWA AELEZA MPANGO WA TRENI YA MIZIGO
Жүктеу.....
Пікірлер: 87
@SmilingCityMap-xb9md2 күн бұрын
Kweli wenye haki huwaachia watoto ulithi mwema tunamshukulu mungu kwa maisha ya magufuli
@omarysaid87252 күн бұрын
Hayati JPM ame tuheshimisha sana mungu ampoker huko aliko
@kesterkanyala7718
2 күн бұрын
NAMI, NAKUUNGA MKONO KWA ASILIMIA 100%.NA PONGEZI NI ZAKE KABISA
@victorjames37302 күн бұрын
Leo nimsifie magufuli kwa hii project!
@didasseveline90132 күн бұрын
Baadae mseme magufuri alikuwa dikteta! Wakati hayo yote ni matunda ya hapa KAZI tu
@TamuzaKale
2 күн бұрын
Mbona kawaida sana? Wazungu na waarabu waliwafira, wamewapa mfumo wa elimu na dini. Mnajidai mnazijua kuliko wao waliozileta. MAE!
@PaulinaSemindu-ob3deКүн бұрын
Mwenyez Mungu amrehem huko alipo Magufuli wetu 🙏😭
@barackmoses70032 күн бұрын
Tunataka pia treni ya kutoka Dar mpk Arusha
@letthedeadburythedead2148
2 күн бұрын
Dodoma to Arusha ingependeza zaidi
@athumaniamiri880
Күн бұрын
Kweli kabsa
@user-tk4es1uw7e2 күн бұрын
hongera sana mama jitihada ya kutimiza
@vero572 күн бұрын
Kwahivyo tunaenda moro kula bata weekend, safi sana 👍👌🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@jasonwatz7457
2 күн бұрын
Naaam hayaa ndio maendeleo sasa
@daudimichael7338Күн бұрын
Asante sana mwamba, kipenzi chetu JPM, pumzika kwa amani
@mmassyferguson49592 күн бұрын
Asanten sana serikali kwa usafiri mzuri wa train yetu❤
@chuchumeta83742 күн бұрын
JPM thank you
@margarethsolomon9823Күн бұрын
JPM Hongera Hongera Hongera Mungu akuweke mahali pema peponi, ungekuwepo ungeona wazo lako. R. I. P.
@tradamus41582 күн бұрын
Utasikia tu shirika limepata hasara wapigaji bado hawajaanza
@festokemibala5832
Күн бұрын
@@tradamus4158 kwani shirika ni sehemu ya chombo gani kiasi lisitendw kama hicho chombo? Mtoto wa nyoka ni nyoka hivyo suala la upigaji haliepukiki ni la kusubiria tu kama ilivyokuwa atcl
@SKY-fk3fzКүн бұрын
Muhimu utaratibu wa makusanyo ya fedha yapatikane na yaweze kujitengeneza yanapo haribika
@HajiKlein-so1rk2 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌹👏
@benancejohn11982 күн бұрын
Hizo bei kutokana na kilometers ndio bado zipo juu. Ina maana reli ikikamilika,ukitokea mwanza to Dar,nauli ni sawa na umepaa na pipa.
@nicodemusfidelis3772Күн бұрын
Asanteeee Mh . Magu
@omarysaid87252 күн бұрын
Kweli ulaya zina jengwa dah maana Dar kama ulaya kuna walio tutangulia kujenga SGR ila kwa sasa wana ikosoa SGR yao kisa yetu ni ya kisasa
@margarethsolomon9823
Күн бұрын
John Joseph Magufuli aliwaza na kuanzisha vyema, Mungu ampe pumziko jema
@Shafikimanga72 күн бұрын
Kikubwa ni kuweka usimamizi ili wahujumu wasije kupata nafasi ya kuhujumu mradi huu uliobadala wa watanzani kiusafiri na mapato yetu ya ndani.
@festokemibala5832
Күн бұрын
@@Shafikimanga7 ndoto kuepuka wahujumu kwa nchi hii labda aje Yesu
@subiramwaka97922 күн бұрын
Usimamizi mzuri ni muhimu lingine basi hiyo pesa iende kulipa deni. Tupunguziwe mzigo wa kodi.
@GibsonNtamamilo
2 күн бұрын
Zote zinspigwa mzee utajua hujui.
@emmanuelaloyce932Күн бұрын
Ila arusha ni muhimu sana treni ya SGR ipatikane kwa haraka sana,kwani watalii kutoka nnje wangependa sana kutumia treni ,ikwasababu itakuwa njia nzuri sana kutalii. Arusha tunataka 👍
@agneskissinga5251
Күн бұрын
Mh! baba hayupo.
@FahadAbubakari2 күн бұрын
Ni wakati wa sasa wakuziongeza hizo treni zikawa nyingi pamoja nakuzipeleka na kwingine chanzo kizuri sana cha mapato ,
@ikulunimahalipatakatifu76422 күн бұрын
ONGERA NA ASANTE SANA MAMA , NAOMBA ULINZI NA USALAMA UWE WA KUTOSHA MAANA KWENYE MAENDELEO ADUI HAKOSI. ...... ASANTE SANA SHUJAA JPM.. THE LIVING DREAM HERO!!!
@cngezeКүн бұрын
I hope wataitunza
@faridaally-jp1gx2 күн бұрын
Usafiri mzuri sana nimeipenda sana
@SKY-fk3fzКүн бұрын
Bora ajali za barabarani zitapungua
@exaverysimon10642 күн бұрын
YAN IKIFIKA MWANZA ITAKUWA N UNYAMA SANA
@samuelemmanuel34002 күн бұрын
Wanzanzibar wamejaa kila sehemu, mawaziri, wakurugenzi and everywhere. Safi sana Raisi😅
@zawadix9574
2 күн бұрын
Wa Tanzania nchi moja
@MhinaMariaКүн бұрын
Kazi nzuriii
@zawadix95742 күн бұрын
Maintain hizo treni kwa sababu sisi wa tz tuna haribu vitu vipya 😢
@Zainabnoor0087-zeКүн бұрын
Dk Samia the iron lady umeziba mashimo kibao ww ni bonge la mama
@bernadndanu3435Күн бұрын
Kwa Nini msiwapongeze wananchi wa Tanzania kwa kulipa Kodi Ili wapate motisha ya kulipa Kodi badala ya viongozi wazo langu asante
@exaverysimon10642 күн бұрын
SAMIA 5 TENA HUNA MBADALA SAF SANA❤❤❤❤
@laurentraphael5470
2 күн бұрын
Amalizie muda wake atoke, anajua kusafiri tu
@walidmgonja3644
2 күн бұрын
@@laurentraphael5470Tutamchagua mama yako anayejua kukuna nazi tu
@NammanaMobile2 күн бұрын
Izo treni zote ni kwa reli iyo iyo moja au... Ndo tutalajie kauli ya Ni mipango ya Mungu. Mana wachina wana tecnologia kubwa na wana akili nyingi lakin sijaona wakitumia reli moja kwa treni nyingi
@samasob8233
2 күн бұрын
Angalia wachina walikuwa wapi 1970! Korea na Thailand, Singapore, then utaona kwamba walianza mdogo mdogo, ni kawaida sana kuanza namna hii, huwezi kulinganisha shughuli hii na washughulikaji walioanza kabla yetu na ambao kwa sasa wamebobea! Kwa reli tufananishe na nchi zilizotuzunguka, na hata fika mbali mpaka west Afrika! Cha muhimu ni kuendelea kuiongeza, baada ya watu na serikali kuwa na treni nyingi ofcourse line mbili zitaongezwa na hopefully nchi itakuwa imeunganishwa kwa reli! Nchi zote zenye reli zilianza na line moja!
@abdallahkambangwa72152 күн бұрын
kazi iko poa
@emmanueltillya87192 күн бұрын
Hizo pesa mukalipe madeni nchi inayokopa....
@tanzcanmediatv44732 күн бұрын
Yenyewe inabeba wangapi
@muzneali47472 күн бұрын
MWISHO WA MWAKA TUSISIKIE MMEPATA HASARA TUTAJUA HIYO NI HUJUMA
@user-ue2nz3vc4j2 күн бұрын
Mama samia safi 2025 wapinzani wasiweke mgombea wa urais apishwe akamilishe miradi kwa ufanisi, Kazi iendelee 💞💞
@mimiraia2531
2 күн бұрын
Shillingi ya Tanzania inaporomoka thalami, sasa hivi dollar ya Marekani inaelekea elfu 3, halafu unatuambia upuuzi gani wewe!!
@yohananchimbi1756Күн бұрын
Sasa hatutegemei kusikia mnafanya biashara kwa hasara,kwa sababu hamkosi maneno
@selemankishema57802 күн бұрын
Miradi ya serikali yoote huwa hasara kwa sababu ya wizi wenu sasa sijui hii itakuwaje?
@zawadix9574
2 күн бұрын
Sio ata wizi usafi na ku tunza vitu angali mwendokasi ilivyo choka haija ka ata miaki 6 tatizo tu tunze vitu vyetu
@tanzcanmediatv44732 күн бұрын
Jpm hoyeee
@renatusblandes11312 күн бұрын
Dodoma ingejegwa Stand kubwa maana watu tutakuwa tunatoka Bukoba mpaka Dodoma halafu Dodoma tunapanda kwenda DSM
@emmanuelbenjamin4186
2 күн бұрын
Subirini ya Mwanza
@davidanselmo4041
2 күн бұрын
Ni mwanza sio Dodoma
@letthedeadburythedead2148
2 күн бұрын
Treni haziingiagi stand mkuu
@christopherjoseph83302 күн бұрын
SGR nyingn ijengwe kutoka Dodoma hadi mikoa y kazkazini.
@festokemibala5832
2 күн бұрын
Dodoma to Moshi itakuwa ni ideal kabisa
@nasibugunda7927
2 күн бұрын
Dodoma -moshi kupitia manyara na dar -moshi kupitia tanga wapi pana umbali mrefu??
@GibsonNtamamilo
2 күн бұрын
Ianze Kigoma kwanza😂😂😂
@nasibugunda7927
2 күн бұрын
@@GibsonNtamamilo Kigoma inaazaje wakati ujenzi hauja isha
@nasibugunda7927
2 күн бұрын
@@GibsonNtamamilo afu watu wa kigoma washazoea treni yao ile ya zamani inatembea uku inaruka ruka
@PendoUrassa-xm7ru2 күн бұрын
Kazi ya magufuli,
@MnubiMm
2 күн бұрын
Ni kweli kabisa lakini hakumaliza na hata kipande hicho Cha Moro hakikuisha Mama lazima Atajwe na apongezwe kwa hii miradi mikubwa kuimalizia
@emmanueltuppa54592 күн бұрын
Nawaza wenye mabasi Trip za Dar Moro 🧐
@samasob8233
2 күн бұрын
Relii ni nzuri kwa sababu italeta ufanisi kwa wenye mabasi, itashusha bei na kufanya bei ziwe halali! Migomo isiyokuwa ya lazima ya wenye mabasi itapungua kwa hali ya juu! Ndo maana ya maendeleo, kuhakikisha vitu vinakuwa affordable and service industry grows
@GibsonNtamamilo2 күн бұрын
Issue sio kujaaa. Tuambieni treni hiyo inauwezo wa kubeba abiria wangapi?
@samasob8233
2 күн бұрын
hesabu namba ya viti ya behewa moja zidisha na namba ya mabehewa kwenye safari moja, jibu utalipata
@leonnyntandu4324
Күн бұрын
Kwa mkupuo mmoja inaondoka na watu si chini ya 500
@samasob8233
Күн бұрын
@@leonnyntandu4324 😁 kama ni standard 2+2 seats then one car carries 66 passengers kama ni 2+3 one car will carry....? na kama ni 3+3 one car will carry ....! Kwa hesabu ya 66 x 14 cars = 924 kwa mpigo. sasa ungiangalia hayo magari, mengine yana 2+3 na mengine yana 3+3 na open space in between or on tha back or fron of the car. Say minimum ni 70+ passengers on economy class
@MhinaMariaКүн бұрын
JPM
@festokemibala58322 күн бұрын
Mbarawa mbunge wa jimbo gani huku Tanganyika? Na je, wizara yake anayoisimamia ni ya Muungano?
@walidmgonja3644
2 күн бұрын
Ni mbunge wa nyumbani kwenu choko
@festokemibala5832
2 күн бұрын
@@walidmgonja3644 huo ndo uwezo wa akili yako ulikofikia! Ahsante Mungu akubariki kwa lugha nzuri na ya kupigiwa mfano
@samasob8233
2 күн бұрын
@@walidmgonja3644 matusi ya nini ndugu? si lazima ujibu kama huna hoja, jamaa ameuliza swali legitimate, kama jibu huna, kaa kimya pls
@abdallahselemani6423
Күн бұрын
Mbarawa mbunge wa kuteuliwa na raisi kuhusu wizara yupo uchukuzi
Пікірлер: 87
Kweli wenye haki huwaachia watoto ulithi mwema tunamshukulu mungu kwa maisha ya magufuli
Hayati JPM ame tuheshimisha sana mungu ampoker huko aliko
@kesterkanyala7718
2 күн бұрын
NAMI, NAKUUNGA MKONO KWA ASILIMIA 100%.NA PONGEZI NI ZAKE KABISA
Leo nimsifie magufuli kwa hii project!
Baadae mseme magufuri alikuwa dikteta! Wakati hayo yote ni matunda ya hapa KAZI tu
@TamuzaKale
2 күн бұрын
Mbona kawaida sana? Wazungu na waarabu waliwafira, wamewapa mfumo wa elimu na dini. Mnajidai mnazijua kuliko wao waliozileta. MAE!
Mwenyez Mungu amrehem huko alipo Magufuli wetu 🙏😭
Tunataka pia treni ya kutoka Dar mpk Arusha
@letthedeadburythedead2148
2 күн бұрын
Dodoma to Arusha ingependeza zaidi
@athumaniamiri880
Күн бұрын
Kweli kabsa
hongera sana mama jitihada ya kutimiza
Kwahivyo tunaenda moro kula bata weekend, safi sana 👍👌🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@jasonwatz7457
2 күн бұрын
Naaam hayaa ndio maendeleo sasa
Asante sana mwamba, kipenzi chetu JPM, pumzika kwa amani
Asanten sana serikali kwa usafiri mzuri wa train yetu❤
JPM thank you
JPM Hongera Hongera Hongera Mungu akuweke mahali pema peponi, ungekuwepo ungeona wazo lako. R. I. P.
Utasikia tu shirika limepata hasara wapigaji bado hawajaanza
@festokemibala5832
Күн бұрын
@@tradamus4158 kwani shirika ni sehemu ya chombo gani kiasi lisitendw kama hicho chombo? Mtoto wa nyoka ni nyoka hivyo suala la upigaji haliepukiki ni la kusubiria tu kama ilivyokuwa atcl
Muhimu utaratibu wa makusanyo ya fedha yapatikane na yaweze kujitengeneza yanapo haribika
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌹👏
Hizo bei kutokana na kilometers ndio bado zipo juu. Ina maana reli ikikamilika,ukitokea mwanza to Dar,nauli ni sawa na umepaa na pipa.
Asanteeee Mh . Magu
Kweli ulaya zina jengwa dah maana Dar kama ulaya kuna walio tutangulia kujenga SGR ila kwa sasa wana ikosoa SGR yao kisa yetu ni ya kisasa
@margarethsolomon9823
Күн бұрын
John Joseph Magufuli aliwaza na kuanzisha vyema, Mungu ampe pumziko jema
Kikubwa ni kuweka usimamizi ili wahujumu wasije kupata nafasi ya kuhujumu mradi huu uliobadala wa watanzani kiusafiri na mapato yetu ya ndani.
@festokemibala5832
Күн бұрын
@@Shafikimanga7 ndoto kuepuka wahujumu kwa nchi hii labda aje Yesu
Usimamizi mzuri ni muhimu lingine basi hiyo pesa iende kulipa deni. Tupunguziwe mzigo wa kodi.
@GibsonNtamamilo
2 күн бұрын
Zote zinspigwa mzee utajua hujui.
Ila arusha ni muhimu sana treni ya SGR ipatikane kwa haraka sana,kwani watalii kutoka nnje wangependa sana kutumia treni ,ikwasababu itakuwa njia nzuri sana kutalii. Arusha tunataka 👍
@agneskissinga5251
Күн бұрын
Mh! baba hayupo.
Ni wakati wa sasa wakuziongeza hizo treni zikawa nyingi pamoja nakuzipeleka na kwingine chanzo kizuri sana cha mapato ,
ONGERA NA ASANTE SANA MAMA , NAOMBA ULINZI NA USALAMA UWE WA KUTOSHA MAANA KWENYE MAENDELEO ADUI HAKOSI. ...... ASANTE SANA SHUJAA JPM.. THE LIVING DREAM HERO!!!
I hope wataitunza
Usafiri mzuri sana nimeipenda sana
Bora ajali za barabarani zitapungua
YAN IKIFIKA MWANZA ITAKUWA N UNYAMA SANA
Wanzanzibar wamejaa kila sehemu, mawaziri, wakurugenzi and everywhere. Safi sana Raisi😅
@zawadix9574
2 күн бұрын
Wa Tanzania nchi moja
Kazi nzuriii
Maintain hizo treni kwa sababu sisi wa tz tuna haribu vitu vipya 😢
Dk Samia the iron lady umeziba mashimo kibao ww ni bonge la mama
Kwa Nini msiwapongeze wananchi wa Tanzania kwa kulipa Kodi Ili wapate motisha ya kulipa Kodi badala ya viongozi wazo langu asante
SAMIA 5 TENA HUNA MBADALA SAF SANA❤❤❤❤
@laurentraphael5470
2 күн бұрын
Amalizie muda wake atoke, anajua kusafiri tu
@walidmgonja3644
2 күн бұрын
@@laurentraphael5470Tutamchagua mama yako anayejua kukuna nazi tu
Izo treni zote ni kwa reli iyo iyo moja au... Ndo tutalajie kauli ya Ni mipango ya Mungu. Mana wachina wana tecnologia kubwa na wana akili nyingi lakin sijaona wakitumia reli moja kwa treni nyingi
@samasob8233
2 күн бұрын
Angalia wachina walikuwa wapi 1970! Korea na Thailand, Singapore, then utaona kwamba walianza mdogo mdogo, ni kawaida sana kuanza namna hii, huwezi kulinganisha shughuli hii na washughulikaji walioanza kabla yetu na ambao kwa sasa wamebobea! Kwa reli tufananishe na nchi zilizotuzunguka, na hata fika mbali mpaka west Afrika! Cha muhimu ni kuendelea kuiongeza, baada ya watu na serikali kuwa na treni nyingi ofcourse line mbili zitaongezwa na hopefully nchi itakuwa imeunganishwa kwa reli! Nchi zote zenye reli zilianza na line moja!
kazi iko poa
Hizo pesa mukalipe madeni nchi inayokopa....
Yenyewe inabeba wangapi
MWISHO WA MWAKA TUSISIKIE MMEPATA HASARA TUTAJUA HIYO NI HUJUMA
Mama samia safi 2025 wapinzani wasiweke mgombea wa urais apishwe akamilishe miradi kwa ufanisi, Kazi iendelee 💞💞
@mimiraia2531
2 күн бұрын
Shillingi ya Tanzania inaporomoka thalami, sasa hivi dollar ya Marekani inaelekea elfu 3, halafu unatuambia upuuzi gani wewe!!
Sasa hatutegemei kusikia mnafanya biashara kwa hasara,kwa sababu hamkosi maneno
Miradi ya serikali yoote huwa hasara kwa sababu ya wizi wenu sasa sijui hii itakuwaje?
@zawadix9574
2 күн бұрын
Sio ata wizi usafi na ku tunza vitu angali mwendokasi ilivyo choka haija ka ata miaki 6 tatizo tu tunze vitu vyetu
Jpm hoyeee
Dodoma ingejegwa Stand kubwa maana watu tutakuwa tunatoka Bukoba mpaka Dodoma halafu Dodoma tunapanda kwenda DSM
@emmanuelbenjamin4186
2 күн бұрын
Subirini ya Mwanza
@davidanselmo4041
2 күн бұрын
Ni mwanza sio Dodoma
@letthedeadburythedead2148
2 күн бұрын
Treni haziingiagi stand mkuu
SGR nyingn ijengwe kutoka Dodoma hadi mikoa y kazkazini.
@festokemibala5832
2 күн бұрын
Dodoma to Moshi itakuwa ni ideal kabisa
@nasibugunda7927
2 күн бұрын
Dodoma -moshi kupitia manyara na dar -moshi kupitia tanga wapi pana umbali mrefu??
@GibsonNtamamilo
2 күн бұрын
Ianze Kigoma kwanza😂😂😂
@nasibugunda7927
2 күн бұрын
@@GibsonNtamamilo Kigoma inaazaje wakati ujenzi hauja isha
@nasibugunda7927
2 күн бұрын
@@GibsonNtamamilo afu watu wa kigoma washazoea treni yao ile ya zamani inatembea uku inaruka ruka
Kazi ya magufuli,
@MnubiMm
2 күн бұрын
Ni kweli kabisa lakini hakumaliza na hata kipande hicho Cha Moro hakikuisha Mama lazima Atajwe na apongezwe kwa hii miradi mikubwa kuimalizia
Nawaza wenye mabasi Trip za Dar Moro 🧐
@samasob8233
2 күн бұрын
Relii ni nzuri kwa sababu italeta ufanisi kwa wenye mabasi, itashusha bei na kufanya bei ziwe halali! Migomo isiyokuwa ya lazima ya wenye mabasi itapungua kwa hali ya juu! Ndo maana ya maendeleo, kuhakikisha vitu vinakuwa affordable and service industry grows
Issue sio kujaaa. Tuambieni treni hiyo inauwezo wa kubeba abiria wangapi?
@samasob8233
2 күн бұрын
hesabu namba ya viti ya behewa moja zidisha na namba ya mabehewa kwenye safari moja, jibu utalipata
@leonnyntandu4324
Күн бұрын
Kwa mkupuo mmoja inaondoka na watu si chini ya 500
@samasob8233
Күн бұрын
@@leonnyntandu4324 😁 kama ni standard 2+2 seats then one car carries 66 passengers kama ni 2+3 one car will carry....? na kama ni 3+3 one car will carry ....! Kwa hesabu ya 66 x 14 cars = 924 kwa mpigo. sasa ungiangalia hayo magari, mengine yana 2+3 na mengine yana 3+3 na open space in between or on tha back or fron of the car. Say minimum ni 70+ passengers on economy class
JPM
Mbarawa mbunge wa jimbo gani huku Tanganyika? Na je, wizara yake anayoisimamia ni ya Muungano?
@walidmgonja3644
2 күн бұрын
Ni mbunge wa nyumbani kwenu choko
@festokemibala5832
2 күн бұрын
@@walidmgonja3644 huo ndo uwezo wa akili yako ulikofikia! Ahsante Mungu akubariki kwa lugha nzuri na ya kupigiwa mfano
@samasob8233
2 күн бұрын
@@walidmgonja3644 matusi ya nini ndugu? si lazima ujibu kama huna hoja, jamaa ameuliza swali legitimate, kama jibu huna, kaa kimya pls
@abdallahselemani6423
Күн бұрын
Mbarawa mbunge wa kuteuliwa na raisi kuhusu wizara yupo uchukuzi
Haziwezi kugonga jamani...??