ALIKIBA awaonesha watu PISI yake ya Utotoni ukumbini | Asimamisha PISI ya zamani ya Abdu Kiba pia

Пікірлер: 78

  • @salomewandya7257
    @salomewandya72572 күн бұрын

    Kiba ana upendo sana❤ Hongera sana utafika mbali

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga15186 күн бұрын

    Hapo kwa Fatuma nmepapenda sana,,Kiba God bless you

  • @hadijauledi6995
    @hadijauledi69954 күн бұрын

    Hiyo siku tulienjoii sana na mwanangu alikiba ❤❤

  • @MsAggie5
    @MsAggie57 күн бұрын

    Fatuma kafurahi Sana. Kiba huwa nakupenda Sana uko humble Sana.

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq7 күн бұрын

    Napenda sana busara yako King kiba ❤❤❤

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943Күн бұрын

    King is very humble guy 👦 🙏 🙌

  • @jumaaabdillahi4534
    @jumaaabdillahi45346 күн бұрын

    King kiba Ubarikiwe sana Ali Saleh Kiba ❤

  • @user-lw7wd8nz9g
    @user-lw7wd8nz9g2 күн бұрын

    kiba nampenda sanaaa

  • @saidikomba3120
    @saidikomba31207 күн бұрын

    Pamoja sana King 👑 nakukubali sana kaka

  • @KanyarukigaAgatonijael
    @KanyarukigaAgatonijael5 күн бұрын

    Nazipenda hekima zako kaka

  • @WahuBoth
    @WahuBoth21 сағат бұрын

    UYO NDO KING ❤BOSS MCHESHI❤❤❤❤

  • @nuruosward8161
    @nuruosward81614 күн бұрын

    Wow ooooh God so in touch i’m speechless

  • @user-wh7gj9ug9s
    @user-wh7gj9ug9s6 күн бұрын

    Hongera kwa upendo ulionao leo nimekuja utafika mbali

  • @dottosamweli2364
    @dottosamweli23646 күн бұрын

    Hongera sana kwa UPENDO wako alikiba MUNGU akutunze brother

  • @octavinaalphonce6898
    @octavinaalphonce68986 күн бұрын

    Nimempenda Fatuma

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy18125 күн бұрын

    Mashaallah ❤

  • @user-ik4ch6vt3p
    @user-ik4ch6vt3p7 күн бұрын

    Mashaallah

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe7 күн бұрын

    King kiba

  • @jabirsilima5723
    @jabirsilima57235 күн бұрын

    Leah hongera sana aiseee😅😅😅

  • @user-nj5qb4hc1l
    @user-nj5qb4hc1l6 күн бұрын

    Hongera san leah

  • @reginamluviji9405
    @reginamluviji94056 күн бұрын

    fatuma jamna anacheka sana kafurahii

  • @PaulynaPaulyna-px7ph
    @PaulynaPaulyna-px7ph3 күн бұрын

    Nakukubali Sana kiba

  • @AshaHaruna-ie2iq
    @AshaHaruna-ie2iq6 күн бұрын

    Uyu sasa ivi ni mheshimiwa tayali sbb ni mkurugenzi 😅😅

  • @babawataifa3725
    @babawataifa37257 күн бұрын

    Hongera kwa kuwa Ally kwenye hili

  • @HabibaKassim-ot3jg

    @HabibaKassim-ot3jg

    7 күн бұрын

    Ni kweli maana ni wachache kwa kweli

  • @EmmanuelMulenga-bc7bj
    @EmmanuelMulenga-bc7bj2 күн бұрын

    jama anaupendo sanaa❤❤❤❤

  • @user-pd7wc1vi1l
    @user-pd7wc1vi1l2 күн бұрын

    Hongera kk

  • @user-yk8em1bh8g
    @user-yk8em1bh8g7 күн бұрын

    ❤❤❤

  • @MiliamenockEnock
    @MiliamenockEnock7 күн бұрын

    Daa mngu akubariki sana alikiba 🎉

  • @Bobhov

    @Bobhov

    3 күн бұрын

    Acha utani, “Mungu” inaandikwa kwa kuanza na herufi kubwa na sio kwa ufupisho, Jifunze na Mungu akubariki sana

  • @merinachalinze-rn2cc
    @merinachalinze-rn2cc5 күн бұрын

    Kweli

  • @user-rk9cy8gc8g
    @user-rk9cy8gc8g7 күн бұрын

    Jamn fatuma

  • @judithlejalearnmore2236
    @judithlejalearnmore22364 күн бұрын

    Good

  • @FatumaHumphrey
    @FatumaHumphrey3 күн бұрын

    Akina fatum tumechangamka mnoo😂

  • @fatumanuru206

    @fatumanuru206

    8 сағат бұрын

    Mno😂😂😂

  • @DambweRama
    @DambweRama7 күн бұрын

    King kiba 🎉🎉

  • @user-mu1xq9md5w
    @user-mu1xq9md5w4 күн бұрын

    ❤❤

  • @FaidaMwahalende
    @FaidaMwahalende2 күн бұрын

    Apo ndo unanikoshaga tu mwamba wanga sema yaaaaaaaaaaaah yebabaaaaa

  • @nururaymond5
    @nururaymond57 күн бұрын

    Mbona hujaimba Ally ..,story nyingiiiii

  • @LacksonShedrack
    @LacksonShedrack7 күн бұрын

    kiba ni m2 pc xn

  • @Economically-Growth-Musicians
    @Economically-Growth-Musicians5 күн бұрын

    😂😂😂😂 Congratulations 😅😅🎉

  • @silverman6930
    @silverman69306 күн бұрын

    Okay kikwete 😅

  • @salamasaidi6620
    @salamasaidi66207 күн бұрын

    mbona unaongea km mheshimiwa jakaya kikwete

  • @DativaMbowe

    @DativaMbowe

    7 күн бұрын

    😅😅😅😅

  • @elizabethkikwesha1567

    @elizabethkikwesha1567

    7 күн бұрын

    Ni mtoto wake

  • @IsackMipawa-zn5lr

    @IsackMipawa-zn5lr

    6 күн бұрын

    😂😂😂😂😂​@@elizabethkikwesha1567

  • @salamasaidi6620

    @salamasaidi6620

    6 күн бұрын

    @@elizabethkikwesha1567 nilisahau ally kiba jakaya kikwete

  • @MASANYIWA883

    @MASANYIWA883

    6 күн бұрын

    # yeah

  • @GubraCity-dm5sx
    @GubraCity-dm5sx4 күн бұрын

    Nyie kiba anafanana na jakay kikwete😂

  • @beauty2239
    @beauty22397 күн бұрын

    King uko pouwa sana

  • @verobecamfipa8655
    @verobecamfipa86557 күн бұрын

    Watu wa namna hiii wanakuwa na nguvu atari

  • @ashazuber6548

    @ashazuber6548

    6 күн бұрын

    Ndio yaan acha sie tulikuwa nae akikukamata huchomoki ila amesha tangulia mbele za haki😢😢

  • @user-bm4ln5jc6j
    @user-bm4ln5jc6j3 күн бұрын

    Duuh fatuma kamaliza😂😂

  • @user-vz6kk8id2f
    @user-vz6kk8id2f6 күн бұрын

    Kanywa nini leo😂 ila kiba wewe mkali

  • @AngeKazege-sy1ok
    @AngeKazege-sy1ok4 күн бұрын

    Nipe Post Iyo Video Ya Fatuma Nimependa Sana Oh❤ Naiahi Rwanda

  • @KylaCleophas
    @KylaCleophas2 күн бұрын

    Kikwete uliachwa wapi

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda46194 күн бұрын

    Ila sisi kina Fatuma bhana 😆😆🤣🤣🤣🙌

  • @tamimbinaltan1325

    @tamimbinaltan1325

    3 күн бұрын

    Dharau zenu sana

  • @salimsaid2531
    @salimsaid25316 күн бұрын

    Ila kiba bhna unazingua ila na kukubal mno

  • @fatumandelwa3328
    @fatumandelwa33282 күн бұрын

    Il jamnii fatuma😅😅

  • @adamlyanda9450
    @adamlyanda94506 күн бұрын

    Kibanio

  • @judithkilawe6178

    @judithkilawe6178

    5 күн бұрын

    ❤❤🎉🎉

  • @salamSalehhhhh
    @salamSalehhhhh4 күн бұрын

    Kibarua

  • @ngulathfundikira4205
    @ngulathfundikira42054 күн бұрын

    Saut kama anabana pua

  • @kenedjohn6838
    @kenedjohn68386 күн бұрын

    Sio Tena Familia ila Sisi Ni Ndugu Kabisa,Huyu Anaongeaga Nini Aiseee…

  • @nurumwangoka5924

    @nurumwangoka5924

    6 күн бұрын

    Wewe ndio huelewi unahitaji maombi

  • @MauaDumba

    @MauaDumba

    6 күн бұрын

    Hujaelewa nn sasa

  • @Oth_JR2O_Tz

    @Oth_JR2O_Tz

    6 күн бұрын

    😂

  • @neemaneykisanga

    @neemaneykisanga

    6 күн бұрын

    Sasa hapo cha ajabu ni nn wajuaji bwana

  • @NissileStephen

    @NissileStephen

    6 күн бұрын

    Amemaanisha cyo family ya Salehe wala ya kwao Bwana harus lakn washakuwa ndugu elewa 😅

  • @aminakazogolo2229
    @aminakazogolo22296 күн бұрын

    ❤❤❤

Келесі