NI NOMA! ALI KIBA ALIVYOIMBA UTU BILA BEAT KWENYE HARUSI YA HASHEEM IBWE
Ойын-сауық
Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
NI NOMA! ALI KIBA ALIVYOIMBA UTU BILA BEAT KWENYE HARUSI YA HASHEEM IBWE
#Bonatv #Exclusive
Пікірлер: 482
Japokuwa niko upande ule mwingine lakini siwezi kuacha kusikiliza nyimbo nzuri, your the Real king
@kassimali2273
2 жыл бұрын
Jamaaa anajua sauti hatareee Mashaa Allah
@ashurahatibu5069
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@salmacazzy1915
2 жыл бұрын
Kabisa kipenz tupo wengiii😁😁
@catherinejohn5043
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@henrycyprian5005
2 жыл бұрын
Hiyo ndo maana ya kupenda music na si mtu
Natural talent, hapa hakuna mafundo kabisa. Ukweli usemwa kabisa 👏👏👏❤️😍🙌
Aisee hapa ndio huwa naamin huyu jamaa ni mwamba, yaan anacho kiimba live nisawa sawa na nyimbo ilio kamilika, King km King
Aise jamaa anasauti nzuri karibu kwenye ufalme wa Mungu kwa ajili ya kumtukuza Mungu kwa njia ya gospel
King kam king 😍 anajiheshima san huyu kaka Tanzania inapenda sana
@Adeen.1
2 жыл бұрын
Muheshimu mungu wako muheshimu kila mtu sali sana ila kamwe HUSIUSEMEE MOYO wa mtu tuache tunaomjua sio kumjulia insta au youtube
@godfreywilliam9673
2 жыл бұрын
@@Adeen.1 rudia kusoma Amesema tofauti na wewe ulivyoelewa
@Adeen.1
2 жыл бұрын
@@godfreywilliam9673 rejea wewe kusoma yawezekana hujaelewa nilicho kiandika pia
@revocatusbukombe2551
2 жыл бұрын
sana sanaa
King kama king we love u forever!!!.Na utabaki kuwa king no one like u
@atoshamkingule7258
2 жыл бұрын
Exactly
Sauti aichuji iko good sana 🥰🤩
Nimejikuta vimachozi vinanitoka cjui kwa nini......King kiba😍
@manjaruu1575
2 жыл бұрын
Huyu mshikaji wa kipekee sanaa
@masudimillanzi994
2 жыл бұрын
Shobo zinakusumbua
@user-ot2io4cy6w
2 жыл бұрын
@@masudimillanzi994Daaah... 😁
@nurathkhamiss5925
2 жыл бұрын
Me mwenyew kidog nilie at sjui what happen
King kiba nakupenda Sanaaaaa unajua balaaa. Na nimesoma comments hunaga comment mbaya jamani 🙌🙌🙌 ni nadra kukosa wanaokuchukia ila we umetisha
Huyu jamaa anajua kumamaae khaaaaa hii ndio nembo ya Tanzania 🇹🇿
Huyu mtoto ako na sauti hata kuliko ngoma yenyewe
@maulidkhamis2003
2 жыл бұрын
Mamamaeeeeh 😀😀😀
Huyu msenge anaimba daah 🙌🏽🙌🏽
Ukweli goma la utu linanikosha Sana hongera king kiba mung akutangulie Sana Kwa kazi zako nzuri
Ali kiba is always on his own level... King🤴
Nampenda kiba mimi nibasituuu kabisa
Uko vizuri kiba twawatakia ndoa njema yenye kheir na baraka💕💕💕🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wow very naturally Ali Kiba nice voice
Yani unaimba wewe lkn nais Raha Mimi sauti nzuriiii Yani dah...king🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@DonMooSTUDIO_Express
2 жыл бұрын
New nasheed video 👇... kzread.info/dash/bejne/jKd-t7SGeaa_kaQ.html
Wallah kiba www ni King niko oman nainjoy voice
Kumamamake🤣🤣🤣🤣🤣 Ili jamaa limenyooosha salute to u King
Nipigwe niuliwe namfagilia sanaaaa king 😍😍❤️
@sitiabubakar2892
2 жыл бұрын
Na watakuua kina Baba levo na Masha love😂😂
@zanifarabdullah5756
2 жыл бұрын
Tuko wot sina msani mwengine ninaempenda kama kiba
@roycerolls9641
2 жыл бұрын
Hawamuwezi kiba
@adamhashimu4462
2 жыл бұрын
Yan kama mm
@asiamwarabu7510
2 жыл бұрын
Hujapigika vizur anyway au basi
Ali king kiba a tua voz nem precisa ser masterizado és natural meu grande brother big up Sana miaka mingi ushy king wangu ili tupate mziki mzury I'm boy from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 258
@Jaimesportstv
2 жыл бұрын
É verdade ele gênio
@cutecutie1411
2 жыл бұрын
Te amamos from Tanzania...
@drago7865
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/eY6Yp7yNZ72vZJs.html
Shemu wetu wanguvu tunakupenda sana from Kenya
@hilalisulemani4991
2 жыл бұрын
999qaa
@ommyflavoure2547
2 жыл бұрын
Kabsaa
@mwarimwagakitu475
2 жыл бұрын
Kabisa
@jamessanga7120
2 жыл бұрын
love you jiraniiii from tz
@jacobngoso6990
2 жыл бұрын
Unamjua😂😂
Talented musician from Tanzania,unajua sana king kiba yeeeee baba
@adamhashimu4462
2 жыл бұрын
Fact
Music is all about melody and natural voice
King kiba kila siku nakuangalia upo tofaut na wale majamaa tatuu huna macheni shingon,mikononi wala maurembo yeyote huna unavaa vizur nguo za kawaid tu huna nkupend sana.
@abdulaabdula2631
2 жыл бұрын
🔥🔥🔥😂👑💪👍👍Huy jama hanaga mapambano
@lucylucy3678
2 жыл бұрын
@@abdulaabdula2631 hata saa hap nimeangalia hana angekuwa kina wale mbk choon eti anaingia na nazo vidole vyot machuma shingo lot macha mwili mzima umechorwa matatuu mbk kelo sas meno mbk yanabadilishwa ukiangalia wanajiita majina y kidini mala salamu zao wanajifny salama alekhum, sas kama mond siku hiz anavaa mbk msalaba ila watu ndo wanaona pes anazo kumbe upuuz tu.
@padorsmart6249
2 жыл бұрын
Hata nywere yake hainaga mambo
@lucylucy3678
2 жыл бұрын
@@padorsmart6249 ndio nguo zak tu hana anaingiz pes kimy kimy nmpnd san mung amweke milele
@DonMooSTUDIO_Express
2 жыл бұрын
New nasheed video 👇... kzread.info/dash/bejne/jKd-t7SGeaa_kaQ.html
Utabaki juu daima,,napenda mziki wako sanaaaa,,natamani kama Tanzania nzima ubaki ukiimba wewe tu.mziki mzuri,ujumbe mzuri pia video nzuri.
@auraliajuniordicklay7353
2 жыл бұрын
Yeah we love king😍😍😍👏👏👏
Dah? Nature voice man.congraturate king
Mungu ambariki sana hao chawa ni wagombanishi
@ahmadnassor6004
2 жыл бұрын
🤣🤣kbs
KING🔥🔥🔥 no one like him😍
@DonMooSTUDIO_Express
2 жыл бұрын
New nasheed video 👇... kzread.info/dash/bejne/jKd-t7SGeaa_kaQ.html
One love Ali....Barikiwa zaidi ututulize na nyimbo nzuri
Tunakupnda shemeji yetu king kiba 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@DonMooSTUDIO_Express
2 жыл бұрын
New nasheed video 👇... kzread.info/dash/bejne/jKd-t7SGeaa_kaQ.html
Natural voice, Natural talent 👍👌🙌
@gracek5425
2 жыл бұрын
King 🤴 👑
@DonMooSTUDIO_Express
2 жыл бұрын
New nasheed video 👇... kzread.info/dash/bejne/jKd-t7SGeaa_kaQ.html
@Fx_expertmoneymaker001
2 жыл бұрын
@@DonMooSTUDIO_Express naturally...
@sonofmechanic1554
2 жыл бұрын
Masenge sauti inakata mbona
@sunnysohal9124
2 жыл бұрын
We Ni mtu
Since I was a kid u av been always my no 1,I cherish u kiba
Always king is KING
Dah natural talent
Loveeeee u king kibaaaa 😍😍😘
The best bongo artist ktka tz, so much from kenya
King kiba yaaaa napenda sana nyimbo zako zote,Matola mozambique cabo delgado nangade sede fronteira.
King,!!U'll always be a King, only you,,,, Yebabaaa!!!!!
@DonMooSTUDIO_Express
2 жыл бұрын
New nasheed video 👇... kzread.info/dash/bejne/jKd-t7SGeaa_kaQ.html
Ila kiba anajua jamani tuondoe uteam.
I'm from Kenya and you are my best black artists from Tanzania. I love the song utu. Wewe noma sana dear. I'm also an Artist a rapper and a singer too please can we a collaboration of one song.
The love i have for this man🥰🥰🥰ouh my God!!! What a darlin hunn🔥🔥🔥❤️
King unajua unajua afu unajua tena 💃💃💃💃
Nakubal sana wendowangu King 🤴kiba
I also feel the vibe for Alikiba
Only one king 👑 🔥 😍
Mungu akupe afya njema umri mrefu na akujaalie furaha hapa duniani na kesho akhera amin mm ndugu yako nasser ally niko shinyanga hii rasmi kwa Ali kiba
😘😘😘😘 kiba myaka miya wekiboko
I Love Ali Kiba
Amazing voice!!!!
@ezekiamgimbaofficial5694
2 жыл бұрын
Makubwa upande upi wewe nimwenzetu
@lovejames6475
2 жыл бұрын
Hongera sana kaka jaman mwenyez mung akubarki sana kwenye ndoa Yako mdumu
saut ndio ipo saaaaaaaaaafi yan salutee
Kiba unajua unajua unajua tenaaa mungu akuweke utupe vituu vizuriii🔥❤
Kiba mziki anaujua and I do love him
yaan mpk nmepiga kelele alovyoanA tu m nmpenda kiba jmn🤣🤣😍
Atabaki kuwa king tu....sauti safi sana hamna mkwaruzo wala nn
Maashaallah uyo mkaka nampenda adi bass
Dah Yan ww king kiba 💖💓💓💓♥️♥️💓💓be blessed
I wish to listen to you live one day you're my favourite bongo artist
Daaah king ni king 2 natamani niwe ata msanii wake
Duh sauti ile ile mweee kaka na kipaji uyu🙌🙌
@adamhashimu4462
2 жыл бұрын
Kiba anajipaj kikubwa sana
Mpiga piano maandazi Kabisa, alitaka kuharibu mririko wa melody ya wimbo.
Once a king always a king,,,!@king kiba band man kiba
Ooooh vocals
Le voice🔥🔥
@DonMooSTUDIO_Express
2 жыл бұрын
New nasheed video 👇... kzread.info/dash/bejne/jKd-t7SGeaa_kaQ.html
Original voice 😘 ur blessed 🙏
Natural sound, well done
Kings music forever 💞💯💯💯
Alikiba forever 😍🤩🤩🤩🤩
King 🤴 👑 ni mmoja tu,
Safi sana Only one King, hapa wangeambiwa waambe wengine live tungesingizia maiki lol
@atoshamkingule7258
2 жыл бұрын
Haaaaaaa, wengine wanabebwa na beat
Salute sana Alchama napenda io effort
King haitaji nguv ya chawa kizur chajiuza
Alikiba nakukubali aslimia mia 💪💪💪
Nice song
Ukitaka kumjua king mpe mic bhana hakuangushi siku zote
Sina Shaka na kipaji chako nakupenda Sana king kiba
The best song, apart from mac muga and cinderrella, you av ever made..big up
King forever
Waooo nakupenda sana you know that
Always you will still be my favorite brother
I Love u kiba
Kweli king in king tu
Respect the king 👌😊😊✊
King kiba 👏👏👏
The only king
Mwenye muziki wake King Kiba
Mashaa allah 🥰
Natural voice
Tuendelee kujifukiza,UFALME UTABAKI KUWA KWAKO SIKU ZOTE 👑
King Mashaallah 👌👌👌😍😍😍💕💕💕
Woooow nice
Hahaha eti baada ya kutoka listen part nimemkuta mkewangu amekalili verse ya kwanza
Mwamba fundi sana we mtu fundi sana kibaaa Yee baba
Rkelly wa east africal king kiba
Siyo Vibaya Kusema Wewe Ndiye Baba Wa Mziki Wa Bongo Fleva Utaki Acha Kuimba Nyimbo Za Kutambia Ngoma🤣🤣🤣 King 👑 Ni Mmoja2 King KIBA
Voice is amazing
King❤️❤️❤️
Very nice song, I love it forever
Nakupend san una saut nzur mnoo😘