NI NOMA! ALI KIBA ALIVYOIMBA UTU BILA BEAT KWENYE HARUSI YA HASHEEM IBWE

Ойын-сауық

Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
NI NOMA! ALI KIBA ALIVYOIMBA UTU BILA BEAT KWENYE HARUSI YA HASHEEM IBWE
#Bonatv #Exclusive

Пікірлер: 482

  • @lindakibanga996
    @lindakibanga9962 жыл бұрын

    Japokuwa niko upande ule mwingine lakini siwezi kuacha kusikiliza nyimbo nzuri, your the Real king

  • @kassimali2273

    @kassimali2273

    2 жыл бұрын

    Jamaaa anajua sauti hatareee Mashaa Allah

  • @ashurahatibu5069

    @ashurahatibu5069

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @salmacazzy1915

    @salmacazzy1915

    2 жыл бұрын

    Kabisa kipenz tupo wengiii😁😁

  • @catherinejohn5043

    @catherinejohn5043

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @henrycyprian5005

    @henrycyprian5005

    2 жыл бұрын

    Hiyo ndo maana ya kupenda music na si mtu

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana77352 жыл бұрын

    Natural talent, hapa hakuna mafundo kabisa. Ukweli usemwa kabisa 👏👏👏❤️😍🙌

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack61802 жыл бұрын

    Aisee hapa ndio huwa naamin huyu jamaa ni mwamba, yaan anacho kiimba live nisawa sawa na nyimbo ilio kamilika, King km King

  • @amanirazalo4338
    @amanirazalo43382 жыл бұрын

    Aise jamaa anasauti nzuri karibu kwenye ufalme wa Mungu kwa ajili ya kumtukuza Mungu kwa njia ya gospel

  • @neemaanthony3571
    @neemaanthony35712 жыл бұрын

    King kam king 😍 anajiheshima san huyu kaka Tanzania inapenda sana

  • @Adeen.1

    @Adeen.1

    2 жыл бұрын

    Muheshimu mungu wako muheshimu kila mtu sali sana ila kamwe HUSIUSEMEE MOYO wa mtu tuache tunaomjua sio kumjulia insta au youtube

  • @godfreywilliam9673

    @godfreywilliam9673

    2 жыл бұрын

    @@Adeen.1 rudia kusoma Amesema tofauti na wewe ulivyoelewa

  • @Adeen.1

    @Adeen.1

    2 жыл бұрын

    @@godfreywilliam9673 rejea wewe kusoma yawezekana hujaelewa nilicho kiandika pia

  • @revocatusbukombe2551

    @revocatusbukombe2551

    2 жыл бұрын

    sana sanaa

  • @aishatarimo6780
    @aishatarimo67802 жыл бұрын

    King kama king we love u forever!!!.Na utabaki kuwa king no one like u

  • @atoshamkingule7258

    @atoshamkingule7258

    2 жыл бұрын

    Exactly

  • @mariamuhamadi4966
    @mariamuhamadi49662 жыл бұрын

    Sauti aichuji iko good sana 🥰🤩

  • @beatricemkassa9340
    @beatricemkassa93402 жыл бұрын

    Nimejikuta vimachozi vinanitoka cjui kwa nini......King kiba😍

  • @manjaruu1575

    @manjaruu1575

    2 жыл бұрын

    Huyu mshikaji wa kipekee sanaa

  • @masudimillanzi994

    @masudimillanzi994

    2 жыл бұрын

    Shobo zinakusumbua

  • @user-ot2io4cy6w

    @user-ot2io4cy6w

    2 жыл бұрын

    @@masudimillanzi994Daaah... 😁

  • @nurathkhamiss5925

    @nurathkhamiss5925

    2 жыл бұрын

    Me mwenyew kidog nilie at sjui what happen

  • @vicknessngenzi6146
    @vicknessngenzi61462 жыл бұрын

    King kiba nakupenda Sanaaaaa unajua balaaa. Na nimesoma comments hunaga comment mbaya jamani 🙌🙌🙌 ni nadra kukosa wanaokuchukia ila we umetisha

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira99432 жыл бұрын

    Huyu jamaa anajua kumamaae khaaaaa hii ndio nembo ya Tanzania 🇹🇿

  • @chabushizo3972
    @chabushizo39722 жыл бұрын

    Huyu mtoto ako na sauti hata kuliko ngoma yenyewe

  • @maulidkhamis2003

    @maulidkhamis2003

    2 жыл бұрын

    Mamamaeeeeh 😀😀😀

  • @jumakessy4192
    @jumakessy41922 жыл бұрын

    Huyu msenge anaimba daah 🙌🏽🙌🏽

  • @zenakioga6567
    @zenakioga6567 Жыл бұрын

    Ukweli goma la utu linanikosha Sana hongera king kiba mung akutangulie Sana Kwa kazi zako nzuri

  • @addijmz5240
    @addijmz52402 жыл бұрын

    Ali kiba is always on his own level... King🤴

  • @yusrairakoze3966
    @yusrairakoze39662 жыл бұрын

    Nampenda kiba mimi nibasituuu kabisa

  • @fatmaqhta8528
    @fatmaqhta85282 жыл бұрын

    Uko vizuri kiba twawatakia ndoa njema yenye kheir na baraka💕💕💕🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @marymbatia7801
    @marymbatia78012 жыл бұрын

    Wow very naturally Ali Kiba nice voice

  • @leylagadau3394
    @leylagadau33942 жыл бұрын

    Yani unaimba wewe lkn nais Raha Mimi sauti nzuriiii Yani dah...king🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @DonMooSTUDIO_Express

    @DonMooSTUDIO_Express

    2 жыл бұрын

    New nasheed video 👇... kzread.info/dash/bejne/jKd-t7SGeaa_kaQ.html

  • @pendolazaro4686
    @pendolazaro46862 жыл бұрын

    Wallah kiba www ni King niko oman nainjoy voice

  • @baetee8782
    @baetee87822 жыл бұрын

    Kumamamake🤣🤣🤣🤣🤣 Ili jamaa limenyooosha salute to u King

  • @mamakeaisha4926
    @mamakeaisha49262 жыл бұрын

    Nipigwe niuliwe namfagilia sanaaaa king 😍😍❤️

  • @sitiabubakar2892

    @sitiabubakar2892

    2 жыл бұрын

    Na watakuua kina Baba levo na Masha love😂😂

  • @zanifarabdullah5756

    @zanifarabdullah5756

    2 жыл бұрын

    Tuko wot sina msani mwengine ninaempenda kama kiba

  • @roycerolls9641

    @roycerolls9641

    2 жыл бұрын

    Hawamuwezi kiba

  • @adamhashimu4462

    @adamhashimu4462

    2 жыл бұрын

    Yan kama mm

  • @asiamwarabu7510

    @asiamwarabu7510

    2 жыл бұрын

    Hujapigika vizur anyway au basi

  • @youngtygamayamimusicmmc
    @youngtygamayamimusicmmc2 жыл бұрын

    Ali king kiba a tua voz nem precisa ser masterizado és natural meu grande brother big up Sana miaka mingi ushy king wangu ili tupate mziki mzury I'm boy from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 258

  • @Jaimesportstv

    @Jaimesportstv

    2 жыл бұрын

    É verdade ele gênio

  • @cutecutie1411

    @cutecutie1411

    2 жыл бұрын

    Te amamos from Tanzania...

  • @drago7865

    @drago7865

    2 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/eY6Yp7yNZ72vZJs.html

  • @rashidnajma350
    @rashidnajma3502 жыл бұрын

    Shemu wetu wanguvu tunakupenda sana from Kenya

  • @hilalisulemani4991

    @hilalisulemani4991

    2 жыл бұрын

    999qaa

  • @ommyflavoure2547

    @ommyflavoure2547

    2 жыл бұрын

    Kabsaa

  • @mwarimwagakitu475

    @mwarimwagakitu475

    2 жыл бұрын

    Kabisa

  • @jamessanga7120

    @jamessanga7120

    2 жыл бұрын

    love you jiraniiii from tz

  • @jacobngoso6990

    @jacobngoso6990

    2 жыл бұрын

    Unamjua😂😂

  • @edwardnjile5621
    @edwardnjile56212 жыл бұрын

    Talented musician from Tanzania,unajua sana king kiba yeeeee baba

  • @adamhashimu4462

    @adamhashimu4462

    2 жыл бұрын

    Fact

  • @rogathesarwatt
    @rogathesarwatt2 жыл бұрын

    Music is all about melody and natural voice

  • @lucylucy3678
    @lucylucy36782 жыл бұрын

    King kiba kila siku nakuangalia upo tofaut na wale majamaa tatuu huna macheni shingon,mikononi wala maurembo yeyote huna unavaa vizur nguo za kawaid tu huna nkupend sana.

  • @abdulaabdula2631

    @abdulaabdula2631

    2 жыл бұрын

    🔥🔥🔥😂👑💪👍👍Huy jama hanaga mapambano

  • @lucylucy3678

    @lucylucy3678

    2 жыл бұрын

    @@abdulaabdula2631 hata saa hap nimeangalia hana angekuwa kina wale mbk choon eti anaingia na nazo vidole vyot machuma shingo lot macha mwili mzima umechorwa matatuu mbk kelo sas meno mbk yanabadilishwa ukiangalia wanajiita majina y kidini mala salamu zao wanajifny salama alekhum, sas kama mond siku hiz anavaa mbk msalaba ila watu ndo wanaona pes anazo kumbe upuuz tu.

  • @padorsmart6249

    @padorsmart6249

    2 жыл бұрын

    Hata nywere yake hainaga mambo

  • @lucylucy3678

    @lucylucy3678

    2 жыл бұрын

    @@padorsmart6249 ndio nguo zak tu hana anaingiz pes kimy kimy nmpnd san mung amweke milele

  • @DonMooSTUDIO_Express

    @DonMooSTUDIO_Express

    2 жыл бұрын

    New nasheed video 👇... kzread.info/dash/bejne/jKd-t7SGeaa_kaQ.html

  • @fikirimloka7389
    @fikirimloka73892 жыл бұрын

    Utabaki juu daima,,napenda mziki wako sanaaaa,,natamani kama Tanzania nzima ubaki ukiimba wewe tu.mziki mzuri,ujumbe mzuri pia video nzuri.

  • @auraliajuniordicklay7353

    @auraliajuniordicklay7353

    2 жыл бұрын

    Yeah we love king😍😍😍👏👏👏

  • @mathayocharles5449
    @mathayocharles54492 жыл бұрын

    Dah? Nature voice man.congraturate king

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74382 жыл бұрын

    Mungu ambariki sana hao chawa ni wagombanishi

  • @ahmadnassor6004

    @ahmadnassor6004

    2 жыл бұрын

    🤣🤣kbs

  • @zeyhussein1709
    @zeyhussein17092 жыл бұрын

    KING🔥🔥🔥 no one like him😍

  • @DonMooSTUDIO_Express

    @DonMooSTUDIO_Express

    2 жыл бұрын

    New nasheed video 👇... kzread.info/dash/bejne/jKd-t7SGeaa_kaQ.html

  • @lbmaasai929
    @lbmaasai9292 жыл бұрын

    One love Ali....Barikiwa zaidi ututulize na nyimbo nzuri

  • @bintybweta9604
    @bintybweta96042 жыл бұрын

    Tunakupnda shemeji yetu king kiba 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @DonMooSTUDIO_Express

    @DonMooSTUDIO_Express

    2 жыл бұрын

    New nasheed video 👇... kzread.info/dash/bejne/jKd-t7SGeaa_kaQ.html

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo832 жыл бұрын

    Natural voice, Natural talent 👍👌🙌

  • @gracek5425

    @gracek5425

    2 жыл бұрын

    King 🤴 👑

  • @DonMooSTUDIO_Express

    @DonMooSTUDIO_Express

    2 жыл бұрын

    New nasheed video 👇... kzread.info/dash/bejne/jKd-t7SGeaa_kaQ.html

  • @Fx_expertmoneymaker001

    @Fx_expertmoneymaker001

    2 жыл бұрын

    @@DonMooSTUDIO_Express naturally...

  • @sonofmechanic1554

    @sonofmechanic1554

    2 жыл бұрын

    Masenge sauti inakata mbona

  • @sunnysohal9124

    @sunnysohal9124

    2 жыл бұрын

    We Ni mtu

  • @griffinjahazi2167
    @griffinjahazi21672 жыл бұрын

    Since I was a kid u av been always my no 1,I cherish u kiba

  • @fetychina3273
    @fetychina32732 жыл бұрын

    Always king is KING

  • @angelaraphat5524
    @angelaraphat55242 жыл бұрын

    Dah natural talent

  • @ashuramohamed241
    @ashuramohamed2412 жыл бұрын

    Loveeeee u king kibaaaa 😍😍😘

  • @sharonojwang2353
    @sharonojwang23532 жыл бұрын

    The best bongo artist ktka tz, so much from kenya

  • @assumanissa4395
    @assumanissa43952 жыл бұрын

    King kiba yaaaa napenda sana nyimbo zako zote,Matola mozambique cabo delgado nangade sede fronteira.

  • @rahmarajab3688
    @rahmarajab36882 жыл бұрын

    King,!!U'll always be a King, only you,,,, Yebabaaa!!!!!

  • @DonMooSTUDIO_Express

    @DonMooSTUDIO_Express

    2 жыл бұрын

    New nasheed video 👇... kzread.info/dash/bejne/jKd-t7SGeaa_kaQ.html

  • @pamelahezron8326
    @pamelahezron83262 жыл бұрын

    Ila kiba anajua jamani tuondoe uteam.

  • @ladynisha9240
    @ladynisha92402 жыл бұрын

    I'm from Kenya and you are my best black artists from Tanzania. I love the song utu. Wewe noma sana dear. I'm also an Artist a rapper and a singer too please can we a collaboration of one song.

  • @wendokiba4673
    @wendokiba46732 жыл бұрын

    The love i have for this man🥰🥰🥰ouh my God!!! What a darlin hunn🔥🔥🔥❤️

  • @agripinagaudence7744
    @agripinagaudence77442 жыл бұрын

    King unajua unajua afu unajua tena 💃💃💃💃

  • @mughishajohn3287
    @mughishajohn32872 жыл бұрын

    Nakubal sana wendowangu King 🤴kiba

  • @vicluxuriousinvestments672
    @vicluxuriousinvestments6722 жыл бұрын

    I also feel the vibe for Alikiba

  • @anzonapon199
    @anzonapon1992 жыл бұрын

    Only one king 👑 🔥 😍

  • @nassorally4002
    @nassorally40022 жыл бұрын

    Mungu akupe afya njema umri mrefu na akujaalie furaha hapa duniani na kesho akhera amin mm ndugu yako nasser ally niko shinyanga hii rasmi kwa Ali kiba

  • @billylovebillybillylovebil580
    @billylovebillybillylovebil5802 жыл бұрын

    😘😘😘😘 kiba myaka miya wekiboko

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo88032 жыл бұрын

    I Love Ali Kiba

  • @rahmarajab3688
    @rahmarajab36882 жыл бұрын

    Amazing voice!!!!

  • @ezekiamgimbaofficial5694

    @ezekiamgimbaofficial5694

    2 жыл бұрын

    Makubwa upande upi wewe nimwenzetu

  • @lovejames6475

    @lovejames6475

    2 жыл бұрын

    Hongera sana kaka jaman mwenyez mung akubarki sana kwenye ndoa Yako mdumu

  • @princedracsal790
    @princedracsal7902 жыл бұрын

    saut ndio ipo saaaaaaaaaafi yan salutee

  • @dearlatty5305
    @dearlatty53052 жыл бұрын

    Kiba unajua unajua unajua tenaaa mungu akuweke utupe vituu vizuriii🔥❤

  • @hassansaid9925
    @hassansaid99252 жыл бұрын

    Kiba mziki anaujua and I do love him

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool52232 жыл бұрын

    yaan mpk nmepiga kelele alovyoanA tu m nmpenda kiba jmn🤣🤣😍

  • @habibukilango7738
    @habibukilango77382 жыл бұрын

    Atabaki kuwa king tu....sauti safi sana hamna mkwaruzo wala nn

  • @blondonsele9028
    @blondonsele90282 жыл бұрын

    Maashaallah uyo mkaka nampenda adi bass

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote81722 жыл бұрын

    Dah Yan ww king kiba 💖💓💓💓♥️♥️💓💓be blessed

  • @sharonakinyi5795
    @sharonakinyi57952 жыл бұрын

    I wish to listen to you live one day you're my favourite bongo artist

  • @abdulrazakmjape2259
    @abdulrazakmjape22592 жыл бұрын

    Daaah king ni king 2 natamani niwe ata msanii wake

  • @kabintmpase1544
    @kabintmpase15442 жыл бұрын

    Duh sauti ile ile mweee kaka na kipaji uyu🙌🙌

  • @adamhashimu4462

    @adamhashimu4462

    2 жыл бұрын

    Kiba anajipaj kikubwa sana

  • @amanimlengwa9202
    @amanimlengwa92022 жыл бұрын

    Mpiga piano maandazi Kabisa, alitaka kuharibu mririko wa melody ya wimbo.

  • @realcomrade1556
    @realcomrade15562 жыл бұрын

    Once a king always a king,,,!@king kiba band man kiba

  • @Lando_Anthony
    @Lando_Anthony2 жыл бұрын

    Ooooh vocals

  • @rehemaabtwahi4097
    @rehemaabtwahi40972 жыл бұрын

    Le voice🔥🔥

  • @DonMooSTUDIO_Express

    @DonMooSTUDIO_Express

    2 жыл бұрын

    New nasheed video 👇... kzread.info/dash/bejne/jKd-t7SGeaa_kaQ.html

  • @jacklineandrew5909
    @jacklineandrew59092 жыл бұрын

    Original voice 😘 ur blessed 🙏

  • @alishauri6506
    @alishauri65062 жыл бұрын

    Natural sound, well done

  • @seiphabdallah4146
    @seiphabdallah41462 жыл бұрын

    Kings music forever 💞💯💯💯

  • @lbmaasai929
    @lbmaasai9292 жыл бұрын

    Alikiba forever 😍🤩🤩🤩🤩

  • @fatmakimbau3299
    @fatmakimbau32992 жыл бұрын

    King 🤴 👑 ni mmoja tu,

  • @rubbymusa1971
    @rubbymusa19712 жыл бұрын

    Safi sana Only one King, hapa wangeambiwa waambe wengine live tungesingizia maiki lol

  • @atoshamkingule7258

    @atoshamkingule7258

    2 жыл бұрын

    Haaaaaaa, wengine wanabebwa na beat

  • @almercyproducts2601
    @almercyproducts26012 жыл бұрын

    Salute sana Alchama napenda io effort

  • @reginamanyangu6682
    @reginamanyangu66822 жыл бұрын

    King haitaji nguv ya chawa kizur chajiuza

  • @mourinembodze1513
    @mourinembodze15132 жыл бұрын

    Alikiba nakukubali aslimia mia 💪💪💪

  • @saddamrashidmohmmedsaddamr7378
    @saddamrashidmohmmedsaddamr73782 жыл бұрын

    Nice song

  • @khalfanzanzibar4816
    @khalfanzanzibar48162 жыл бұрын

    Ukitaka kumjua king mpe mic bhana hakuangushi siku zote

  • @justinaninga5628
    @justinaninga56282 жыл бұрын

    Sina Shaka na kipaji chako nakupenda Sana king kiba

  • @kefaluminas286
    @kefaluminas286 Жыл бұрын

    The best song, apart from mac muga and cinderrella, you av ever made..big up

  • @salimtaqdir1096
    @salimtaqdir10962 жыл бұрын

    King forever

  • @annrobin9291
    @annrobin92912 жыл бұрын

    Waooo nakupenda sana you know that

  • @rahimamawesi1295
    @rahimamawesi12952 жыл бұрын

    Always you will still be my favorite brother

  • @rachelelias1251
    @rachelelias12512 жыл бұрын

    I Love u kiba

  • @jojosstar8930
    @jojosstar89302 жыл бұрын

    Kweli king in king tu

  • @severinbin8437
    @severinbin84372 жыл бұрын

    Respect the king 👌😊😊✊

  • @subranadja4052
    @subranadja40522 жыл бұрын

    King kiba 👏👏👏

  • @yassinm69
    @yassinm692 жыл бұрын

    The only king

  • @nickykimambo4803
    @nickykimambo48032 жыл бұрын

    Mwenye muziki wake King Kiba

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho81382 жыл бұрын

    Mashaa allah 🥰

  • @muhammadmuhaznun380
    @muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын

    Natural voice

  • @stevenoiro3815
    @stevenoiro38152 жыл бұрын

    Tuendelee kujifukiza,UFALME UTABAKI KUWA KWAKO SIKU ZOTE 👑

  • @zuweinaalhabsya8773
    @zuweinaalhabsya87732 жыл бұрын

    King Mashaallah 👌👌👌😍😍😍💕💕💕

  • @zawadikininga5706
    @zawadikininga57062 жыл бұрын

    Woooow nice

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын

    Hahaha eti baada ya kutoka listen part nimemkuta mkewangu amekalili verse ya kwanza

  • @bakarimgeni5424
    @bakarimgeni54242 жыл бұрын

    Mwamba fundi sana we mtu fundi sana kibaaa Yee baba

  • @domykimata5768
    @domykimata57682 жыл бұрын

    Rkelly wa east africal king kiba

  • @khanwizzytz4130
    @khanwizzytz41302 жыл бұрын

    Siyo Vibaya Kusema Wewe Ndiye Baba Wa Mziki Wa Bongo Fleva Utaki Acha Kuimba Nyimbo Za Kutambia Ngoma🤣🤣🤣 King 👑 Ni Mmoja2 King KIBA

  • @henrycyprian5005
    @henrycyprian50052 жыл бұрын

    Voice is amazing

  • @melaniamakeupartist6366
    @melaniamakeupartist63662 жыл бұрын

    King❤️❤️❤️

  • @justinmollel3185
    @justinmollel3185 Жыл бұрын

    Very nice song, I love it forever

  • @firdausrajabu6822
    @firdausrajabu68222 жыл бұрын

    Nakupend san una saut nzur mnoo😘

Келесі