MC KATOKISHA AMWAGA MACHOZI NA KUWALIZA MAMIA YA WATU UKUMBINI USIKU WA HARUSI YAKE |DENIS & ALBERTA

Пікірлер: 168

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy152316 күн бұрын

    Wallahi Katokisha hongera sanaaa kwa kuheshimisha familia na mungu akusimamie ktk familia mpya. Dada nakuusia nenda kaipende familia kama unavyoona mumeo kaonyasha umma anavyojali wazaxi wake.❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @ElizabethCharles-xt7hv
    @ElizabethCharles-xt7hv14 күн бұрын

    Nimeguswa sana jamn wazazi mdo kila kitu kwenye maisha nawapenda sana wazazi wangu

  • @Naju645
    @Naju64515 күн бұрын

    Dah halafu unaolewa unaenda kuvuruga familia yamtu laana huanhazimwach mtu salama dada ukawe mke mwema

  • @user-ox4ty7ib8m
    @user-ox4ty7ib8m8 сағат бұрын

    We kaka umejua kuniliza kwakweli 😭 I miss you my dady M/mungu akupunguzie adhabu ya kaburi huko ulipo na akumulikie taa ya milele Amin😭😭🙏 Nakupenda pia mama yangu kipenzi M/mungu akupe umri mrefu sanaa hapa duniani akulinde kila iitwayo leo mama yangu kipenzi Mwanao NAKUPENDA sanaa❤❤❤❤❤

  • @femidayahaya4882

    @femidayahaya4882

    7 сағат бұрын

    Nimelia sana asee! Wapende wazazi wako. Jamani Me MAMA na BABA nimeshazika.. Nimebaki yatima😭😭😭😭 Eee mola wangu wasamehe wazee wangu uwape nuru kwenye makaburi yao...Amen

  • @crillarlawcmo2366
    @crillarlawcmo23665 сағат бұрын

    Hongera sana kwa kuwapa shukran wakiwa hai..WAZAZI WANGU NAENDELEA KUWAOMBEA UMRI MREFU WALLAH!

  • @ibrahimmwita2213
    @ibrahimmwita22138 сағат бұрын

    Mungu akutie nguvu na akupe hekima ya kuitunza familia atakayowajalia vema.

  • @mrsabdul-mz8hh
    @mrsabdul-mz8hh17 күн бұрын

    Wallah naamin hakuna ambae hajatoka machozi😢😢 ubarikiwe sana kwenye ndoa yako❤❤ maana umewajaza kitu kwenye kichwa wenye wazazi wao pia umetuliza sana ss ambao tuwewapoteza wazazi hao😢😢😢😢😢😢

  • @aminajuma-rw2rt

    @aminajuma-rw2rt

    11 күн бұрын

    Wallah nimelia sanaaaa😭😭😭😭😭

  • @juliejaph3331
    @juliejaph33312 күн бұрын

    kwahiyo katokisha umeona unilize kwa utambulisho wa wazazi wako. big up sana. na heri yako umewapa mauwa yao wakiwa hai wakasikia. maisha marefu sana kwenu nyote

  • @EuphrasiaNtawatawa
    @EuphrasiaNtawatawa17 күн бұрын

    Aisee ni maneno yenye nguvu sana na kugusa hisia za watu wengi,hongera sana mc Kato,kumbe nawewe wa mji kasoro bahari?karibu na hongera sana,Mungu azidi kuwalinda wazazi na ndoa yenu ikawe ya mfano kama ilivyo ya wazazi wako

  • @EdithTelemark

    @EdithTelemark

    15 күн бұрын

    hongera Kwa kujali nafasi ya wazazi wako! ewe mke wake ukaendeleze Na kustawisha uliyoyakuta Kwa msaada Wa Mungu!

  • @user-qh8kl9mu5w
    @user-qh8kl9mu5w16 күн бұрын

    Hongera sana MC wng wa nguvu, napenda sana kazi zako....jianda kwny harusi yng, Mungu akuongoze ktk hyo safari yako❤

  • @patyisaya4217

    @patyisaya4217

    13 күн бұрын

    Jamani mmependeza na mungu awabariki sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @user-ms3di6qt7r
    @user-ms3di6qt7r17 күн бұрын

    Hongera sana mc katokisha mungu awape maisha marefu na aman ya ndoa yenu ikadumu milele

  • @angellazaro9291
    @angellazaro929116 күн бұрын

    The same same as my Dady Mungu awabariki sana akina baba kama hawa❤️

  • @NeemaBoazi
    @NeemaBoazi17 күн бұрын

    Hongera Sana kaka kunamsemo unasema hivimaji siku zote hufata mkondo Wa maji nanyi mkaufate mkondo Wa maji ya Baba na mama amina mkaishi humo humo

  • @vincenthatungimana
    @vincenthatungimana17 күн бұрын

    Ujuwe hapa wapo watu ambao tunakupenda! Halafu you are my role model! Napenda siku moja nije kuwa MC bora! And I have begun to practice following the way you do! From Burundi 🇧🇮 !

  • @husnamwinyi8295
    @husnamwinyi829516 күн бұрын

    Mungu awape upndo sana mungu awape nguvu famlia yko bila kusahau wazazi wngu n famlia yangu Amiin

  • @Mary-q8f
    @Mary-q8f16 күн бұрын

    Hongera. Wishing all the best. Naipenda kazi yako, natamani ukasimame siku moja kwenye sherehe yangu yoyote kwa uwezo wa Mungu

  • @user-xl6ye5xx4j
    @user-xl6ye5xx4j14 күн бұрын

    Mama baba n mapema sana nimewakumbuka sana mzd kupumzik kwa amanii😭😭😭😭

  • @maseleenaesleen8149

    @maseleenaesleen8149

    10 сағат бұрын

    😢😢Pole dear😢

  • @liannsambu7264
    @liannsambu72649 күн бұрын

    Great words to his parents, na anasauti NZURI BWANA HARUSI NI MFANO WA VIJANA WA KUIGWA ,MUNGU AMPE NGUVU NA USHINDI

  • @user-wm5xr1hr2c
    @user-wm5xr1hr2c17 күн бұрын

    Congratulations Katokisha Mungu awajalie kwa ndoa yenu

  • @rosenoah2190
    @rosenoah219012 күн бұрын

    Jaman mliobarikiwa kuwa na wazaz wenu muwapende baba na mama n kila kitu kwenye maisha akiwapo mungu

  • @lucyotieno6485
    @lucyotieno648517 күн бұрын

    Congratulations KYo Kisha today you are not on the Mic! May God bless your Union!

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8k16 күн бұрын

    Mbna baba kagoma kumpa mkono bi harusi au sijaona vzuri😢ila si kwa ubaya ety maan hum duh🙌

  • @DM.2200

    @DM.2200

    15 күн бұрын

    Ni kama alikua alikua anamwambia mwanaye aache kulia kwa nilivyoona lakin

  • @FadhilaIbrahim-wu6ve

    @FadhilaIbrahim-wu6ve

    14 күн бұрын

    Amempa mkono sema alikua anamwambia mwanae aache kulia

  • @FadhilaIbrahim-wu6ve

    @FadhilaIbrahim-wu6ve

    14 күн бұрын

    ​@@DM.2200ndo na Mimi nimeona hivi

  • @kemmymartine4884

    @kemmymartine4884

    14 күн бұрын

    Ni mkwe😢

  • @SoudShuraim

    @SoudShuraim

    5 күн бұрын

    Umbea2

  • @user-id8bu6lw8x
    @user-id8bu6lw8x17 күн бұрын

    Am proud 4 u

  • @JulietDama-dj7qs
    @JulietDama-dj7qs10 күн бұрын

    God bless 🙌 for your thanks giving to your parents. Congratulations 🎊

  • @magdalenapeter5622
    @magdalenapeter56225 күн бұрын

    Hongera sanaa MC katokisha,Mungu niwatakie ndoa njema

  • @esternaftari9032
    @esternaftari903213 күн бұрын

    Amina,nimelia lkn nimewapenda maharusi hawana mapepe huenda wote Bwana amekwisha waingiza darasan kwa hiyo cina mashaka na ndoa hii

  • @vero57
    @vero5717 күн бұрын

    Aisee hii harusi ina maelezo mazuri sana, hongereni sana 🎉🥳🎉

  • @SalomeEmanueli
    @SalomeEmanueli13 күн бұрын

    Mc wangu ninaekupenda hongera xana kwakumpata mke mzur mungu awajalie🙏🙏

  • @patyisaya4217

    @patyisaya4217

    13 күн бұрын

    Jamani

  • @farajalyanda8019
    @farajalyanda801915 күн бұрын

    Be blessed❤

  • @mercychelangat_
    @mercychelangat_17 күн бұрын

    ❤❤❤

  • @youngb8672
    @youngb867217 күн бұрын

    Hongera sana kk kwa hatua hii

  • @liyloveonimakeuptv2400
    @liyloveonimakeuptv24006 күн бұрын

    May the almighty grant you’re dad long life, in Jesus Name Amen to all Good dad in this earth .

  • @JacquelineMahumbe
    @JacquelineMahumbe12 күн бұрын

    I'm so proud of you

  • @salomesawira2069
    @salomesawira206913 күн бұрын

    Hongera sana mc katokisha mzd kupendana hvyohvyo

  • @lovenesszedekia7814
    @lovenesszedekia781415 күн бұрын

    Duh nimelia lkn Bibi harusi kanishangaza yaani ni mkavu balaa 😢😢😢

  • @user-nq1fc3uo8b

    @user-nq1fc3uo8b

    14 күн бұрын

    Anaogop labda make up itafutka

  • @kemmymartine4884

    @kemmymartine4884

    14 күн бұрын

    😅😅

  • @salamasaidi6620

    @salamasaidi6620

    14 күн бұрын

    ​@@user-nq1fc3uo8b😂😂😂😂😂

  • @florencemseja530

    @florencemseja530

    12 күн бұрын

    Kwauzoefu wangu dada yupo sahihi kabisa tuliopo kwenye ndoa tunaelewa kwa muda mrefu hamuwezi Lia wote kwa pamoja never hyo lazima mmoja awe strong

  • @luluwillium1364
    @luluwillium136411 күн бұрын

    All the best in your marriage

  • @user-rh3fe3cs7g
    @user-rh3fe3cs7g16 күн бұрын

    Hongela Sana kaka.jaman nimelia mm duuh

  • @saraphinaramso6387
    @saraphinaramso638716 күн бұрын

    Umejua kuniliza katokisha duuuh mungu azid kuwalinda wazaz wetu

  • @user-vf5pp2wn1f
    @user-vf5pp2wn1f17 күн бұрын

    Hongela San ndg Kwa maneno mazuli

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe457812 күн бұрын

    Machozi yote hayo ni ili tujue baba alikua msomi na alienda Sudan. Haya tumeshajua hongereni mmepeza sana na mko na utulivu mzuri muwaishe bibi harusi nyumbani akale senene.

  • @theresiamartin3150
    @theresiamartin315017 күн бұрын

    Hongera sana Katokisha

  • @rehemambilinyi9452
    @rehemambilinyi945217 күн бұрын

    Inagusa sana😢. Hongera sana kaka

  • @user-tm7qi4kv9l

    @user-tm7qi4kv9l

    13 күн бұрын

    Daaah😢😢imenigusa pia adi nimelia baba angu I wish siku niolew namm niongee iv amejitoa San ikiwa mama yetu alitukimbia yukiwa wadogaliku Alikubal kutubeba mgongoni kwenda nasisi kazin daah😢😢😢😢😢😢

  • @jacklinstanley7932
    @jacklinstanley79329 күн бұрын

    Another day to cry with the stranger 😢😢very touching

  • @leahnyamle4179
    @leahnyamle417914 күн бұрын

    🎉❤😢 congratulations my bro

  • @HappyFireDragon-hl7hw
    @HappyFireDragon-hl7hw17 күн бұрын

    Hongera saana

  • @beatricethomas4061
    @beatricethomas406112 күн бұрын

    Bora umeongea mana nafas hii n Adimu hapa Dunian

  • @NeemqSitta
    @NeemqSitta13 күн бұрын

    Daaaaaaa wew kaka😢😢😢😢

  • @NsiaUrasa
    @NsiaUrasa2 күн бұрын

    Mungu awatuze jmn

  • @user-nx6wi7sl4y
    @user-nx6wi7sl4y12 күн бұрын

    Hongera sana bro

  • @VeroMwingira
    @VeroMwingira14 күн бұрын

    Ilove my parents ❤🙏❣️

  • @tumainmasele2501
    @tumainmasele250110 күн бұрын

    Hadi raha

  • @sulleRuth
    @sulleRuth17 күн бұрын

    Nimelia sana😭😭

  • @jumakaugatz9017
    @jumakaugatz901710 күн бұрын

    Asante kwa Love kubwa hii kwa wazazi , Mungu akabariki hata kizazi chenu kikawatii na kuwasikiliza

  • @HonestaAloyce
    @HonestaAloyce17 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @user-gd8cx2ig9p
    @user-gd8cx2ig9p15 күн бұрын

    😢😢😢 hiyo ndio maana halisi ya kwamba wazazi pekee ndio wakweli kwenye furaha ya maisha yako

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory289211 күн бұрын

    Barikwa sana

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya394813 күн бұрын

    Dah 😢😢umeniliza jamani,hongera kwa upendo na Hekima na upendo kwa wazazi wako,usiwasahau

  • @cathbert39
    @cathbert3916 күн бұрын

    Dah! Kanilizaa

  • @HhosnaRashid
    @HhosnaRashid17 күн бұрын

    ❤❤❤❤sana

  • @mariasalomemelchiorkaigaru1974
    @mariasalomemelchiorkaigaru197415 күн бұрын

    umenitoa machozi,Mungu akawasimamie kwenye ndoa yenu

  • @agapeelias740
    @agapeelias74017 күн бұрын

    So adorable🎉🎉 hongera sana mc

  • @isackmbade3181
    @isackmbade318116 күн бұрын

    Nimetokwa na machozi kwa hili ndg zangu watanzania mm nina baba lkn hajawah kusimama upande wangu hongereni mliofanikiwa kupata wazazi walioweza kusimama nanyi vijana wenzangu.

  • @zuuh-ge1cu

    @zuuh-ge1cu

    16 күн бұрын

    polee tupo wengi hadi nmesikia uchungu

  • @isackmbade3181

    @isackmbade3181

    15 күн бұрын

    @@zuuh-ge1cu pole pia ndg unakaa wap

  • @LucySanga-du9fd

    @LucySanga-du9fd

    7 күн бұрын

    Pole sana😢😢

  • @isackmbade3181

    @isackmbade3181

    6 күн бұрын

    @@LucySanga-du9fd Asante

  • @user-vz6kk8id2f
    @user-vz6kk8id2f17 күн бұрын

    Daaah nimelia sana

  • @ElvinGaspar
    @ElvinGaspar6 күн бұрын

    Daaah inagusa sana akika mungu akujalie yaliyo mema

  • @user-pf2bu4hn1j
    @user-pf2bu4hn1j4 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉

  • @elinahlawrancemwaipopo7633
    @elinahlawrancemwaipopo76336 күн бұрын

    MUNGU WATUNZE WAZAZ WANGU NA MIMI SIKU MOJA NIWAAMBIE HIVI

  • @user-he5by2hk6p
    @user-he5by2hk6p4 күн бұрын

    I love you mom and dady

  • @ubahamisi431
    @ubahamisi43112 күн бұрын

    Hakuna kama mzazi❤❤❤

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa92685 күн бұрын

    Machozi yametoka bila kujijuwa

  • @sund2553
    @sund255317 күн бұрын

    Unafany tunakata vitunguu sasa...anyway mi wangu ni lastborn kwao Nawaz sijui itakuwaje 😅

  • @franciscamhagama3281
    @franciscamhagama328111 сағат бұрын

    Nimelia jamani

  • @SesiliahBundala
    @SesiliahBundala7 күн бұрын

    Muuuh😢😢😢

  • @joharikabalaza6899
    @joharikabalaza689914 күн бұрын

    😭😭😭😭😭

  • @McNgoliga
    @McNgoliga5 күн бұрын

    Baba kama baba hana baya mzee kato

  • @fatumaselemani3807
    @fatumaselemani380717 күн бұрын

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @nadiahassan1359
    @nadiahassan135915 күн бұрын

    Missing you Daddy 💔💔😭😭

  • @user-ox2uw9ds5o
    @user-ox2uw9ds5o8 күн бұрын

    Baba mbna kaukata mkono wa bb harusi kwann

  • @user-np8ts3dq2y
    @user-np8ts3dq2y17 күн бұрын

    4D Studio your the best🎉

  • @salmajuma4300
    @salmajuma430013 күн бұрын

    Daah

  • @dorcasmueni2290
    @dorcasmueni229013 күн бұрын

    Dada!! Usiende kuvuruga hio familia

  • @NeemaBoazi
    @NeemaBoazi17 күн бұрын

    Neema

  • @vero57
    @vero5717 күн бұрын

    Hongera sana kijana, Hongera sana baba, nime miss baba yangu rip my dad 😭😭

  • @NeemaSebastian-gy1nt
    @NeemaSebastian-gy1nt13 күн бұрын

    Nmetamani kuwa na baba ambae anapambania family yake km baba wengne wanavyowajibika kweny family zao ila nashukur tu kunileta dunian every man can be a father but it take time to be a dady

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus706817 күн бұрын

    😭😭😭😭😭Mungu awapumzishe kwa Amani wazazi wangu nilitamani siku moja nitoe ushuhuda kwa magumu waliyopita kwenye kunilea💔🙏

  • @PaulinaSemindu-ob3de

    @PaulinaSemindu-ob3de

    16 күн бұрын

    Pole Sana ndugu yangu Mungu kawapenda Zaid 😭🙏

  • @gracemathayo7221
    @gracemathayo722117 күн бұрын

    Dah umenitoa machozi jamani

  • @user-tw7gb1nu2e
    @user-tw7gb1nu2e11 күн бұрын

    Nimeguswa sana na maneno yako.Mungu azidi kukudumishia upendo na ujaliwe kupata upendo kwa watoto wako kama hui unao uonesha kwa wazazi wako.

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia227917 күн бұрын

    Inafundisha saaan ,ujua kunilizaaa jman.

  • @user-ql6vg2uv6w
    @user-ql6vg2uv6w11 күн бұрын

    Sasa kinachokushangaza kupanda boda ni nini? Si ili awahi ibada jamani au viip, but mmependeza sanaaa hongereni

  • @MukamusoniHawa-cj2yc
    @MukamusoniHawa-cj2yc14 күн бұрын

    An ather day to cry for stranger😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @LucySanga-du9fd
    @LucySanga-du9fd7 күн бұрын

    Nimelia kiukweli 😢😢

  • @choosencrudah118
    @choosencrudah11812 күн бұрын

    Umetuliza wengi jamani kwa maneno yako... Mungu azidi kuilinda ndoa yako

  • @husnakumburu8853
    @husnakumburu885315 күн бұрын

    Sijui nalia nini mwenzenu jaman😢

  • @RachelMgimba-ge4jh

    @RachelMgimba-ge4jh

    14 күн бұрын

    acha tuungane

  • @alicesospiter7625
    @alicesospiter762511 күн бұрын

    Hamna mtu anaechukia mama mkwe wake ila wenyewe ndio shida

  • @user-ox2uw9ds5o
    @user-ox2uw9ds5o8 күн бұрын

    Inahuzunisha ila baba ako kutotoa mkono ni huzuni zaidi tofauti gan izo ambazo mbele zawatu azifichwi……

  • @noraazan9124
    @noraazan912411 күн бұрын

    Wababa mnaelewa sijui

  • @AnjelikaBay
    @AnjelikaBay11 күн бұрын

    Kwan naliaa nini aty 😢😢

  • @olicej7837
    @olicej783717 күн бұрын

    Afu mimi huwa najua huyu mc ni mtu wa kagera bukoba😂😂😂😂😂kumbe moro

  • @KemilembeRutatinisibwa

    @KemilembeRutatinisibwa

    17 күн бұрын

    Ni Muhaya....wazazi wanaishi Moro

  • @olicej7837

    @olicej7837

    16 күн бұрын

    @@KemilembeRutatinisibwa ooooh thawaaa

  • @rahmambugi2322
    @rahmambugi232215 күн бұрын

    Nimeishia kulia jamani😢

  • @albinlai9366
    @albinlai936612 күн бұрын

    Hadi nimelia aisee.. sio poa

  • @mankambise2000
    @mankambise20008 күн бұрын

    Nimejikuta nalia