MC KATOKISHA AMWAGA MACHOZI NA KUWALIZA MAMIA YA WATU UKUMBINI USIKU WA HARUSI YAKE |DENIS & ALBERTA
Жүктеу.....
Пікірлер: 168
@naimarishedy152316 күн бұрын
Wallahi Katokisha hongera sanaaa kwa kuheshimisha familia na mungu akusimamie ktk familia mpya. Dada nakuusia nenda kaipende familia kama unavyoona mumeo kaonyasha umma anavyojali wazaxi wake.❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@ElizabethCharles-xt7hv14 күн бұрын
Nimeguswa sana jamn wazazi mdo kila kitu kwenye maisha nawapenda sana wazazi wangu
@Naju64515 күн бұрын
Dah halafu unaolewa unaenda kuvuruga familia yamtu laana huanhazimwach mtu salama dada ukawe mke mwema
@user-ox4ty7ib8m8 сағат бұрын
We kaka umejua kuniliza kwakweli 😭 I miss you my dady M/mungu akupunguzie adhabu ya kaburi huko ulipo na akumulikie taa ya milele Amin😭😭🙏 Nakupenda pia mama yangu kipenzi M/mungu akupe umri mrefu sanaa hapa duniani akulinde kila iitwayo leo mama yangu kipenzi Mwanao NAKUPENDA sanaa❤❤❤❤❤
@femidayahaya4882
7 сағат бұрын
Nimelia sana asee! Wapende wazazi wako. Jamani Me MAMA na BABA nimeshazika.. Nimebaki yatima😭😭😭😭 Eee mola wangu wasamehe wazee wangu uwape nuru kwenye makaburi yao...Amen
@crillarlawcmo23665 сағат бұрын
Hongera sana kwa kuwapa shukran wakiwa hai..WAZAZI WANGU NAENDELEA KUWAOMBEA UMRI MREFU WALLAH!
@ibrahimmwita22138 сағат бұрын
Mungu akutie nguvu na akupe hekima ya kuitunza familia atakayowajalia vema.
@mrsabdul-mz8hh17 күн бұрын
Wallah naamin hakuna ambae hajatoka machozi😢😢 ubarikiwe sana kwenye ndoa yako❤❤ maana umewajaza kitu kwenye kichwa wenye wazazi wao pia umetuliza sana ss ambao tuwewapoteza wazazi hao😢😢😢😢😢😢
@aminajuma-rw2rt
11 күн бұрын
Wallah nimelia sanaaaa😭😭😭😭😭
@juliejaph33312 күн бұрын
kwahiyo katokisha umeona unilize kwa utambulisho wa wazazi wako. big up sana. na heri yako umewapa mauwa yao wakiwa hai wakasikia. maisha marefu sana kwenu nyote
@EuphrasiaNtawatawa17 күн бұрын
Aisee ni maneno yenye nguvu sana na kugusa hisia za watu wengi,hongera sana mc Kato,kumbe nawewe wa mji kasoro bahari?karibu na hongera sana,Mungu azidi kuwalinda wazazi na ndoa yenu ikawe ya mfano kama ilivyo ya wazazi wako
@EdithTelemark
15 күн бұрын
hongera Kwa kujali nafasi ya wazazi wako! ewe mke wake ukaendeleze Na kustawisha uliyoyakuta Kwa msaada Wa Mungu!
@user-qh8kl9mu5w16 күн бұрын
Hongera sana MC wng wa nguvu, napenda sana kazi zako....jianda kwny harusi yng, Mungu akuongoze ktk hyo safari yako❤
@patyisaya4217
13 күн бұрын
Jamani mmependeza na mungu awabariki sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@user-ms3di6qt7r17 күн бұрын
Hongera sana mc katokisha mungu awape maisha marefu na aman ya ndoa yenu ikadumu milele
@angellazaro929116 күн бұрын
The same same as my Dady Mungu awabariki sana akina baba kama hawa❤️
@NeemaBoazi17 күн бұрын
Hongera Sana kaka kunamsemo unasema hivimaji siku zote hufata mkondo Wa maji nanyi mkaufate mkondo Wa maji ya Baba na mama amina mkaishi humo humo
@vincenthatungimana17 күн бұрын
Ujuwe hapa wapo watu ambao tunakupenda! Halafu you are my role model! Napenda siku moja nije kuwa MC bora! And I have begun to practice following the way you do! From Burundi 🇧🇮 !
@husnamwinyi829516 күн бұрын
Mungu awape upndo sana mungu awape nguvu famlia yko bila kusahau wazazi wngu n famlia yangu Amiin
@Mary-q8f16 күн бұрын
Hongera. Wishing all the best. Naipenda kazi yako, natamani ukasimame siku moja kwenye sherehe yangu yoyote kwa uwezo wa Mungu
@user-xl6ye5xx4j14 күн бұрын
Mama baba n mapema sana nimewakumbuka sana mzd kupumzik kwa amanii😭😭😭😭
@maseleenaesleen8149
10 сағат бұрын
😢😢Pole dear😢
@liannsambu72649 күн бұрын
Great words to his parents, na anasauti NZURI BWANA HARUSI NI MFANO WA VIJANA WA KUIGWA ,MUNGU AMPE NGUVU NA USHINDI
@user-wm5xr1hr2c17 күн бұрын
Congratulations Katokisha Mungu awajalie kwa ndoa yenu
@rosenoah219012 күн бұрын
Jaman mliobarikiwa kuwa na wazaz wenu muwapende baba na mama n kila kitu kwenye maisha akiwapo mungu
@lucyotieno648517 күн бұрын
Congratulations KYo Kisha today you are not on the Mic! May God bless your Union!
@user-sn6dc9gh8k16 күн бұрын
Mbna baba kagoma kumpa mkono bi harusi au sijaona vzuri😢ila si kwa ubaya ety maan hum duh🙌
@DM.2200
15 күн бұрын
Ni kama alikua alikua anamwambia mwanaye aache kulia kwa nilivyoona lakin
God bless 🙌 for your thanks giving to your parents. Congratulations 🎊
@magdalenapeter56225 күн бұрын
Hongera sanaa MC katokisha,Mungu niwatakie ndoa njema
@esternaftari903213 күн бұрын
Amina,nimelia lkn nimewapenda maharusi hawana mapepe huenda wote Bwana amekwisha waingiza darasan kwa hiyo cina mashaka na ndoa hii
@vero5717 күн бұрын
Aisee hii harusi ina maelezo mazuri sana, hongereni sana 🎉🥳🎉
@SalomeEmanueli13 күн бұрын
Mc wangu ninaekupenda hongera xana kwakumpata mke mzur mungu awajalie🙏🙏
@patyisaya4217
13 күн бұрын
Jamani
@farajalyanda801915 күн бұрын
Be blessed❤
@mercychelangat_17 күн бұрын
❤❤❤
@youngb867217 күн бұрын
Hongera sana kk kwa hatua hii
@liyloveonimakeuptv24006 күн бұрын
May the almighty grant you’re dad long life, in Jesus Name Amen to all Good dad in this earth .
@JacquelineMahumbe12 күн бұрын
I'm so proud of you
@salomesawira206913 күн бұрын
Hongera sana mc katokisha mzd kupendana hvyohvyo
@lovenesszedekia781415 күн бұрын
Duh nimelia lkn Bibi harusi kanishangaza yaani ni mkavu balaa 😢😢😢
@user-nq1fc3uo8b
14 күн бұрын
Anaogop labda make up itafutka
@kemmymartine4884
14 күн бұрын
😅😅
@salamasaidi6620
14 күн бұрын
@@user-nq1fc3uo8b😂😂😂😂😂
@florencemseja530
12 күн бұрын
Kwauzoefu wangu dada yupo sahihi kabisa tuliopo kwenye ndoa tunaelewa kwa muda mrefu hamuwezi Lia wote kwa pamoja never hyo lazima mmoja awe strong
@luluwillium136411 күн бұрын
All the best in your marriage
@user-rh3fe3cs7g16 күн бұрын
Hongela Sana kaka.jaman nimelia mm duuh
@saraphinaramso638716 күн бұрын
Umejua kuniliza katokisha duuuh mungu azid kuwalinda wazaz wetu
@user-vf5pp2wn1f17 күн бұрын
Hongela San ndg Kwa maneno mazuli
@nsiamasawe457812 күн бұрын
Machozi yote hayo ni ili tujue baba alikua msomi na alienda Sudan. Haya tumeshajua hongereni mmepeza sana na mko na utulivu mzuri muwaishe bibi harusi nyumbani akale senene.
@theresiamartin315017 күн бұрын
Hongera sana Katokisha
@rehemambilinyi945217 күн бұрын
Inagusa sana😢. Hongera sana kaka
@user-tm7qi4kv9l
13 күн бұрын
Daaah😢😢imenigusa pia adi nimelia baba angu I wish siku niolew namm niongee iv amejitoa San ikiwa mama yetu alitukimbia yukiwa wadogaliku Alikubal kutubeba mgongoni kwenda nasisi kazin daah😢😢😢😢😢😢
@jacklinstanley79329 күн бұрын
Another day to cry with the stranger 😢😢very touching
@leahnyamle417914 күн бұрын
🎉❤😢 congratulations my bro
@HappyFireDragon-hl7hw17 күн бұрын
Hongera saana
@beatricethomas406112 күн бұрын
Bora umeongea mana nafas hii n Adimu hapa Dunian
@NeemqSitta13 күн бұрын
Daaaaaaa wew kaka😢😢😢😢
@NsiaUrasa2 күн бұрын
Mungu awatuze jmn
@user-nx6wi7sl4y12 күн бұрын
Hongera sana bro
@VeroMwingira14 күн бұрын
Ilove my parents ❤🙏❣️
@tumainmasele250110 күн бұрын
Hadi raha
@sulleRuth17 күн бұрын
Nimelia sana😭😭
@jumakaugatz901710 күн бұрын
Asante kwa Love kubwa hii kwa wazazi , Mungu akabariki hata kizazi chenu kikawatii na kuwasikiliza
@HonestaAloyce17 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@user-gd8cx2ig9p15 күн бұрын
😢😢😢 hiyo ndio maana halisi ya kwamba wazazi pekee ndio wakweli kwenye furaha ya maisha yako
@judithsalvatory289211 күн бұрын
Barikwa sana
@florabuzoya394813 күн бұрын
Dah 😢😢umeniliza jamani,hongera kwa upendo na Hekima na upendo kwa wazazi wako,usiwasahau
@cathbert3916 күн бұрын
Dah! Kanilizaa
@HhosnaRashid17 күн бұрын
❤❤❤❤sana
@mariasalomemelchiorkaigaru197415 күн бұрын
umenitoa machozi,Mungu akawasimamie kwenye ndoa yenu
@agapeelias74017 күн бұрын
So adorable🎉🎉 hongera sana mc
@isackmbade318116 күн бұрын
Nimetokwa na machozi kwa hili ndg zangu watanzania mm nina baba lkn hajawah kusimama upande wangu hongereni mliofanikiwa kupata wazazi walioweza kusimama nanyi vijana wenzangu.
@zuuh-ge1cu
16 күн бұрын
polee tupo wengi hadi nmesikia uchungu
@isackmbade3181
15 күн бұрын
@@zuuh-ge1cu pole pia ndg unakaa wap
@LucySanga-du9fd
7 күн бұрын
Pole sana😢😢
@isackmbade3181
6 күн бұрын
@@LucySanga-du9fd Asante
@user-vz6kk8id2f17 күн бұрын
Daaah nimelia sana
@ElvinGaspar6 күн бұрын
Daaah inagusa sana akika mungu akujalie yaliyo mema
@user-pf2bu4hn1j4 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉
@elinahlawrancemwaipopo76336 күн бұрын
MUNGU WATUNZE WAZAZ WANGU NA MIMI SIKU MOJA NIWAAMBIE HIVI
@user-he5by2hk6p4 күн бұрын
I love you mom and dady
@ubahamisi43112 күн бұрын
Hakuna kama mzazi❤❤❤
@majaliwamussa92685 күн бұрын
Machozi yametoka bila kujijuwa
@sund255317 күн бұрын
Unafany tunakata vitunguu sasa...anyway mi wangu ni lastborn kwao Nawaz sijui itakuwaje 😅
@franciscamhagama328111 сағат бұрын
Nimelia jamani
@SesiliahBundala7 күн бұрын
Muuuh😢😢😢
@joharikabalaza689914 күн бұрын
😭😭😭😭😭
@McNgoliga5 күн бұрын
Baba kama baba hana baya mzee kato
@fatumaselemani380717 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@nadiahassan135915 күн бұрын
Missing you Daddy 💔💔😭😭
@user-ox2uw9ds5o8 күн бұрын
Baba mbna kaukata mkono wa bb harusi kwann
@user-np8ts3dq2y17 күн бұрын
4D Studio your the best🎉
@salmajuma430013 күн бұрын
Daah
@dorcasmueni229013 күн бұрын
Dada!! Usiende kuvuruga hio familia
@NeemaBoazi17 күн бұрын
Neema
@vero5717 күн бұрын
Hongera sana kijana, Hongera sana baba, nime miss baba yangu rip my dad 😭😭
@NeemaSebastian-gy1nt13 күн бұрын
Nmetamani kuwa na baba ambae anapambania family yake km baba wengne wanavyowajibika kweny family zao ila nashukur tu kunileta dunian every man can be a father but it take time to be a dady
@ritapiusnicolaus706817 күн бұрын
😭😭😭😭😭Mungu awapumzishe kwa Amani wazazi wangu nilitamani siku moja nitoe ushuhuda kwa magumu waliyopita kwenye kunilea💔🙏
@PaulinaSemindu-ob3de
16 күн бұрын
Pole Sana ndugu yangu Mungu kawapenda Zaid 😭🙏
@gracemathayo722117 күн бұрын
Dah umenitoa machozi jamani
@user-tw7gb1nu2e11 күн бұрын
Nimeguswa sana na maneno yako.Mungu azidi kukudumishia upendo na ujaliwe kupata upendo kwa watoto wako kama hui unao uonesha kwa wazazi wako.
@magrethyeremia227917 күн бұрын
Inafundisha saaan ,ujua kunilizaaa jman.
@user-ql6vg2uv6w11 күн бұрын
Sasa kinachokushangaza kupanda boda ni nini? Si ili awahi ibada jamani au viip, but mmependeza sanaaa hongereni
@MukamusoniHawa-cj2yc14 күн бұрын
An ather day to cry for stranger😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@LucySanga-du9fd7 күн бұрын
Nimelia kiukweli 😢😢
@choosencrudah11812 күн бұрын
Umetuliza wengi jamani kwa maneno yako... Mungu azidi kuilinda ndoa yako
@husnakumburu885315 күн бұрын
Sijui nalia nini mwenzenu jaman😢
@RachelMgimba-ge4jh
14 күн бұрын
acha tuungane
@alicesospiter762511 күн бұрын
Hamna mtu anaechukia mama mkwe wake ila wenyewe ndio shida
@user-ox2uw9ds5o8 күн бұрын
Inahuzunisha ila baba ako kutotoa mkono ni huzuni zaidi tofauti gan izo ambazo mbele zawatu azifichwi……
@noraazan912411 күн бұрын
Wababa mnaelewa sijui
@AnjelikaBay11 күн бұрын
Kwan naliaa nini aty 😢😢
@olicej783717 күн бұрын
Afu mimi huwa najua huyu mc ni mtu wa kagera bukoba😂😂😂😂😂kumbe moro
Пікірлер: 168
Wallahi Katokisha hongera sanaaa kwa kuheshimisha familia na mungu akusimamie ktk familia mpya. Dada nakuusia nenda kaipende familia kama unavyoona mumeo kaonyasha umma anavyojali wazaxi wake.❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Nimeguswa sana jamn wazazi mdo kila kitu kwenye maisha nawapenda sana wazazi wangu
Dah halafu unaolewa unaenda kuvuruga familia yamtu laana huanhazimwach mtu salama dada ukawe mke mwema
We kaka umejua kuniliza kwakweli 😭 I miss you my dady M/mungu akupunguzie adhabu ya kaburi huko ulipo na akumulikie taa ya milele Amin😭😭🙏 Nakupenda pia mama yangu kipenzi M/mungu akupe umri mrefu sanaa hapa duniani akulinde kila iitwayo leo mama yangu kipenzi Mwanao NAKUPENDA sanaa❤❤❤❤❤
@femidayahaya4882
7 сағат бұрын
Nimelia sana asee! Wapende wazazi wako. Jamani Me MAMA na BABA nimeshazika.. Nimebaki yatima😭😭😭😭 Eee mola wangu wasamehe wazee wangu uwape nuru kwenye makaburi yao...Amen
Hongera sana kwa kuwapa shukran wakiwa hai..WAZAZI WANGU NAENDELEA KUWAOMBEA UMRI MREFU WALLAH!
Mungu akutie nguvu na akupe hekima ya kuitunza familia atakayowajalia vema.
Wallah naamin hakuna ambae hajatoka machozi😢😢 ubarikiwe sana kwenye ndoa yako❤❤ maana umewajaza kitu kwenye kichwa wenye wazazi wao pia umetuliza sana ss ambao tuwewapoteza wazazi hao😢😢😢😢😢😢
@aminajuma-rw2rt
11 күн бұрын
Wallah nimelia sanaaaa😭😭😭😭😭
kwahiyo katokisha umeona unilize kwa utambulisho wa wazazi wako. big up sana. na heri yako umewapa mauwa yao wakiwa hai wakasikia. maisha marefu sana kwenu nyote
Aisee ni maneno yenye nguvu sana na kugusa hisia za watu wengi,hongera sana mc Kato,kumbe nawewe wa mji kasoro bahari?karibu na hongera sana,Mungu azidi kuwalinda wazazi na ndoa yenu ikawe ya mfano kama ilivyo ya wazazi wako
@EdithTelemark
15 күн бұрын
hongera Kwa kujali nafasi ya wazazi wako! ewe mke wake ukaendeleze Na kustawisha uliyoyakuta Kwa msaada Wa Mungu!
Hongera sana MC wng wa nguvu, napenda sana kazi zako....jianda kwny harusi yng, Mungu akuongoze ktk hyo safari yako❤
@patyisaya4217
13 күн бұрын
Jamani mmependeza na mungu awabariki sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Hongera sana mc katokisha mungu awape maisha marefu na aman ya ndoa yenu ikadumu milele
The same same as my Dady Mungu awabariki sana akina baba kama hawa❤️
Hongera Sana kaka kunamsemo unasema hivimaji siku zote hufata mkondo Wa maji nanyi mkaufate mkondo Wa maji ya Baba na mama amina mkaishi humo humo
Ujuwe hapa wapo watu ambao tunakupenda! Halafu you are my role model! Napenda siku moja nije kuwa MC bora! And I have begun to practice following the way you do! From Burundi 🇧🇮 !
Mungu awape upndo sana mungu awape nguvu famlia yko bila kusahau wazazi wngu n famlia yangu Amiin
Hongera. Wishing all the best. Naipenda kazi yako, natamani ukasimame siku moja kwenye sherehe yangu yoyote kwa uwezo wa Mungu
Mama baba n mapema sana nimewakumbuka sana mzd kupumzik kwa amanii😭😭😭😭
@maseleenaesleen8149
10 сағат бұрын
😢😢Pole dear😢
Great words to his parents, na anasauti NZURI BWANA HARUSI NI MFANO WA VIJANA WA KUIGWA ,MUNGU AMPE NGUVU NA USHINDI
Congratulations Katokisha Mungu awajalie kwa ndoa yenu
Jaman mliobarikiwa kuwa na wazaz wenu muwapende baba na mama n kila kitu kwenye maisha akiwapo mungu
Congratulations KYo Kisha today you are not on the Mic! May God bless your Union!
Mbna baba kagoma kumpa mkono bi harusi au sijaona vzuri😢ila si kwa ubaya ety maan hum duh🙌
@DM.2200
15 күн бұрын
Ni kama alikua alikua anamwambia mwanaye aache kulia kwa nilivyoona lakin
@FadhilaIbrahim-wu6ve
14 күн бұрын
Amempa mkono sema alikua anamwambia mwanae aache kulia
@FadhilaIbrahim-wu6ve
14 күн бұрын
@@DM.2200ndo na Mimi nimeona hivi
@kemmymartine4884
14 күн бұрын
Ni mkwe😢
@SoudShuraim
5 күн бұрын
Umbea2
Am proud 4 u
God bless 🙌 for your thanks giving to your parents. Congratulations 🎊
Hongera sanaa MC katokisha,Mungu niwatakie ndoa njema
Amina,nimelia lkn nimewapenda maharusi hawana mapepe huenda wote Bwana amekwisha waingiza darasan kwa hiyo cina mashaka na ndoa hii
Aisee hii harusi ina maelezo mazuri sana, hongereni sana 🎉🥳🎉
Mc wangu ninaekupenda hongera xana kwakumpata mke mzur mungu awajalie🙏🙏
@patyisaya4217
13 күн бұрын
Jamani
Be blessed❤
❤❤❤
Hongera sana kk kwa hatua hii
May the almighty grant you’re dad long life, in Jesus Name Amen to all Good dad in this earth .
I'm so proud of you
Hongera sana mc katokisha mzd kupendana hvyohvyo
Duh nimelia lkn Bibi harusi kanishangaza yaani ni mkavu balaa 😢😢😢
@user-nq1fc3uo8b
14 күн бұрын
Anaogop labda make up itafutka
@kemmymartine4884
14 күн бұрын
😅😅
@salamasaidi6620
14 күн бұрын
@@user-nq1fc3uo8b😂😂😂😂😂
@florencemseja530
12 күн бұрын
Kwauzoefu wangu dada yupo sahihi kabisa tuliopo kwenye ndoa tunaelewa kwa muda mrefu hamuwezi Lia wote kwa pamoja never hyo lazima mmoja awe strong
All the best in your marriage
Hongela Sana kaka.jaman nimelia mm duuh
Umejua kuniliza katokisha duuuh mungu azid kuwalinda wazaz wetu
Hongela San ndg Kwa maneno mazuli
Machozi yote hayo ni ili tujue baba alikua msomi na alienda Sudan. Haya tumeshajua hongereni mmepeza sana na mko na utulivu mzuri muwaishe bibi harusi nyumbani akale senene.
Hongera sana Katokisha
Inagusa sana😢. Hongera sana kaka
@user-tm7qi4kv9l
13 күн бұрын
Daaah😢😢imenigusa pia adi nimelia baba angu I wish siku niolew namm niongee iv amejitoa San ikiwa mama yetu alitukimbia yukiwa wadogaliku Alikubal kutubeba mgongoni kwenda nasisi kazin daah😢😢😢😢😢😢
Another day to cry with the stranger 😢😢very touching
🎉❤😢 congratulations my bro
Hongera saana
Bora umeongea mana nafas hii n Adimu hapa Dunian
Daaaaaaa wew kaka😢😢😢😢
Mungu awatuze jmn
Hongera sana bro
Ilove my parents ❤🙏❣️
Hadi raha
Nimelia sana😭😭
Asante kwa Love kubwa hii kwa wazazi , Mungu akabariki hata kizazi chenu kikawatii na kuwasikiliza
❤❤❤❤❤
😢😢😢 hiyo ndio maana halisi ya kwamba wazazi pekee ndio wakweli kwenye furaha ya maisha yako
Barikwa sana
Dah 😢😢umeniliza jamani,hongera kwa upendo na Hekima na upendo kwa wazazi wako,usiwasahau
Dah! Kanilizaa
❤❤❤❤sana
umenitoa machozi,Mungu akawasimamie kwenye ndoa yenu
So adorable🎉🎉 hongera sana mc
Nimetokwa na machozi kwa hili ndg zangu watanzania mm nina baba lkn hajawah kusimama upande wangu hongereni mliofanikiwa kupata wazazi walioweza kusimama nanyi vijana wenzangu.
@zuuh-ge1cu
16 күн бұрын
polee tupo wengi hadi nmesikia uchungu
@isackmbade3181
15 күн бұрын
@@zuuh-ge1cu pole pia ndg unakaa wap
@LucySanga-du9fd
7 күн бұрын
Pole sana😢😢
@isackmbade3181
6 күн бұрын
@@LucySanga-du9fd Asante
Daaah nimelia sana
Daaah inagusa sana akika mungu akujalie yaliyo mema
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉
MUNGU WATUNZE WAZAZ WANGU NA MIMI SIKU MOJA NIWAAMBIE HIVI
I love you mom and dady
Hakuna kama mzazi❤❤❤
Machozi yametoka bila kujijuwa
Unafany tunakata vitunguu sasa...anyway mi wangu ni lastborn kwao Nawaz sijui itakuwaje 😅
Nimelia jamani
Muuuh😢😢😢
😭😭😭😭😭
Baba kama baba hana baya mzee kato
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Missing you Daddy 💔💔😭😭
Baba mbna kaukata mkono wa bb harusi kwann
4D Studio your the best🎉
Daah
Dada!! Usiende kuvuruga hio familia
Neema
Hongera sana kijana, Hongera sana baba, nime miss baba yangu rip my dad 😭😭
Nmetamani kuwa na baba ambae anapambania family yake km baba wengne wanavyowajibika kweny family zao ila nashukur tu kunileta dunian every man can be a father but it take time to be a dady
😭😭😭😭😭Mungu awapumzishe kwa Amani wazazi wangu nilitamani siku moja nitoe ushuhuda kwa magumu waliyopita kwenye kunilea💔🙏
@PaulinaSemindu-ob3de
16 күн бұрын
Pole Sana ndugu yangu Mungu kawapenda Zaid 😭🙏
Dah umenitoa machozi jamani
Nimeguswa sana na maneno yako.Mungu azidi kukudumishia upendo na ujaliwe kupata upendo kwa watoto wako kama hui unao uonesha kwa wazazi wako.
Inafundisha saaan ,ujua kunilizaaa jman.
Sasa kinachokushangaza kupanda boda ni nini? Si ili awahi ibada jamani au viip, but mmependeza sanaaa hongereni
An ather day to cry for stranger😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Nimelia kiukweli 😢😢
Umetuliza wengi jamani kwa maneno yako... Mungu azidi kuilinda ndoa yako
Sijui nalia nini mwenzenu jaman😢
@RachelMgimba-ge4jh
14 күн бұрын
acha tuungane
Hamna mtu anaechukia mama mkwe wake ila wenyewe ndio shida
Inahuzunisha ila baba ako kutotoa mkono ni huzuni zaidi tofauti gan izo ambazo mbele zawatu azifichwi……
Wababa mnaelewa sijui
Kwan naliaa nini aty 😢😢
Afu mimi huwa najua huyu mc ni mtu wa kagera bukoba😂😂😂😂😂kumbe moro
@KemilembeRutatinisibwa
17 күн бұрын
Ni Muhaya....wazazi wanaishi Moro
@olicej7837
16 күн бұрын
@@KemilembeRutatinisibwa ooooh thawaaa
Nimeishia kulia jamani😢
Hadi nimelia aisee.. sio poa
Nimejikuta nalia