BW HARUSI AKABIDHIWA SILAHA UKUMBINI KAMA ILIVYO DESTURI ZA KIHAYA KWA AJILI YA ULINZI WA FAMILIA
Жүктеу.....
Пікірлер: 54
@user-pf2bu4hn1j4 күн бұрын
Kumbe anaitwa Jina langu Denise❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤️❤️❤️
@HeryethAleck14 күн бұрын
Binti umefungwa khanga na mama alafu ujitoe ufahamu baadae uanze kuvaa vipisi vya nguo😂😂
@amanyajonathan443315 күн бұрын
Wahaya oyeeee 💪💪💪💪
@user-sn6dc9gh8k17 күн бұрын
Umefanana na mama sana❤❤mc
@queenjacklinedavid260014 күн бұрын
Baba mungu akubariki umeweza kumuonesha mwanao Mila na desturi yako.na Mimi umeniaminisha zaidi kua Mira nadesturi ni tamaduni zetu wa Africa.sitaacha Mila na tamaduni zangu
@mariaally828817 күн бұрын
Tudumishe Mila zetu jamani ❤️🙏🤝
@HappyHiker-nz9vg17 күн бұрын
Mashallah zaidi ya upendo❤
@zakiarutabanzibwa740713 күн бұрын
Safi sana eichumu no omuholo safi sana baba
@farajalyanda801915 күн бұрын
Hadi raha❤
@user-is1lh8yd6g14 күн бұрын
Kwa jinsi alivyo sikuwahi kudhani kama ni muhaya hongera kaka
@ReticiaKasigara14 күн бұрын
Wowww
@LeticiaMwonge16 күн бұрын
Kijana mtiifu sana wewe mungu akibarki
@user-oh6vk9jo4r15 күн бұрын
Hongera nyingi kwao
@user-id8bu6lw8x17 күн бұрын
Huyu kato ni mtiifu sana
@ReginaKaizirege-sd3hn15 күн бұрын
Najivunia kuwa Muhaya, ekyana kyoomuhaya
@suzannemilembenyalagu480215 күн бұрын
Wow hatimae MC wangu ameoa, Mungu akutangulie kny ndoa yako takatifu!!
@joycejohn-ux7jh
13 күн бұрын
Ongera mc wangu mungu akutamgulie
@LeticiaMwonge16 күн бұрын
Akubariki sana
@AgnesDavid-et3zn14 күн бұрын
Na mm natafta mhaya 😂😂
@ForahJoseph8 күн бұрын
Chezea sie weweeeeeee ❤❤❤ 2:49 2:53 2:55
@NancySulleNancy14 күн бұрын
Nani kasema wadada weusi hawaolewi jmn,msimkufuru mungu maan ndo katuumba sote
@mariasalomemelchiorkaigaru197415 күн бұрын
wahaya oyeeeeeee
@user-vx8qu9um3r
14 күн бұрын
Oyeeee
@joycekambuga628615 күн бұрын
Kato kafanana na mamake sana. Mungu amtumze
@Sidrasidra63615 күн бұрын
Mbona mna mila kama za kwetu Burundi!😮
@neemadavid758712 күн бұрын
Mbn mke anakaa mbali kdg n mmewe anatakiwa au wanatakiwa wawe zero distance
@RenaldaZeramula17 күн бұрын
Sijui nisemeje . Yaani wadada weusi tutafute sana pesa. Kuolew hakupo tena. Kila anayeolewa nweuoe. Ajabu wanazaliwa watoto weusi
@HadijaDaffo
17 күн бұрын
😂😂😂
@kutailass6671
17 күн бұрын
Yaan weupe na wenye shep ndio wenye soko sis wengine tutafute pesa kwa kwel😢
@verobecamfipa8655
17 күн бұрын
Alafu mbaya zaidi tukiambiwa tujichubue hatutaki tunajifanya black beauty 😂😂😂😂😂😂😂😂 tutazeeka bila kuonja ndoa walai😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@kutailass6671
17 күн бұрын
@@verobecamfipa8655 kujichubua pia hapana tutafute pesa tu na tuwe na nidham wapo wataka tukumbuka tu ndugu zangu 😁
Пікірлер: 54
Kumbe anaitwa Jina langu Denise❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤️❤️❤️
Binti umefungwa khanga na mama alafu ujitoe ufahamu baadae uanze kuvaa vipisi vya nguo😂😂
Wahaya oyeeee 💪💪💪💪
Umefanana na mama sana❤❤mc
Baba mungu akubariki umeweza kumuonesha mwanao Mila na desturi yako.na Mimi umeniaminisha zaidi kua Mira nadesturi ni tamaduni zetu wa Africa.sitaacha Mila na tamaduni zangu
Tudumishe Mila zetu jamani ❤️🙏🤝
Mashallah zaidi ya upendo❤
Safi sana eichumu no omuholo safi sana baba
Hadi raha❤
Kwa jinsi alivyo sikuwahi kudhani kama ni muhaya hongera kaka
Wowww
Kijana mtiifu sana wewe mungu akibarki
Hongera nyingi kwao
Huyu kato ni mtiifu sana
Najivunia kuwa Muhaya, ekyana kyoomuhaya
Wow hatimae MC wangu ameoa, Mungu akutangulie kny ndoa yako takatifu!!
@joycejohn-ux7jh
13 күн бұрын
Ongera mc wangu mungu akutamgulie
Akubariki sana
Na mm natafta mhaya 😂😂
Chezea sie weweeeeeee ❤❤❤ 2:49 2:53 2:55
Nani kasema wadada weusi hawaolewi jmn,msimkufuru mungu maan ndo katuumba sote
wahaya oyeeeeeee
@user-vx8qu9um3r
14 күн бұрын
Oyeeee
Kato kafanana na mamake sana. Mungu amtumze
Mbona mna mila kama za kwetu Burundi!😮
Mbn mke anakaa mbali kdg n mmewe anatakiwa au wanatakiwa wawe zero distance
Sijui nisemeje . Yaani wadada weusi tutafute sana pesa. Kuolew hakupo tena. Kila anayeolewa nweuoe. Ajabu wanazaliwa watoto weusi
@HadijaDaffo
17 күн бұрын
😂😂😂
@kutailass6671
17 күн бұрын
Yaan weupe na wenye shep ndio wenye soko sis wengine tutafute pesa kwa kwel😢
@verobecamfipa8655
17 күн бұрын
Alafu mbaya zaidi tukiambiwa tujichubue hatutaki tunajifanya black beauty 😂😂😂😂😂😂😂😂 tutazeeka bila kuonja ndoa walai😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@kutailass6671
17 күн бұрын
@@verobecamfipa8655 kujichubua pia hapana tutafute pesa tu na tuwe na nidham wapo wataka tukumbuka tu ndugu zangu 😁
@user-zb2pg4ix5s
17 күн бұрын
😂😂😂😂😂
Masha Allah ❤❤❤❤❤
Ivi akiwalima na hilo silaa mtasemaje?