Unafaa da rose kuhitwa mke wa mtu hongera kwa hekima uliyo nayo nakupenda sana ❤❤❤
@Salmakaucha2 ай бұрын
Duuu ila Loz nimzuli Kisha anaeshima na busala piya mashaallah
@mohamedchillumba-rk4eu
2 ай бұрын
Sio lozi Rose
@faridalihondo3322
2 ай бұрын
@@mohamedchillumba-rk4eu😂😂😂😂😂
@athumanhamad8522
2 ай бұрын
Loz nimke mwema so hawez kosa busara angalia sasa hio mbuzi inavyo jibu p anatamaa na duka za msela alizopewa na Loz
@AgnesDavid-et3zn
2 ай бұрын
@@mohamedchillumba-rk4eu a weee 🤣🤣🤣
@salmatuleteesehem71jmnmahm59
2 ай бұрын
Nyie nyoote ni michepuko hahhhahh kumbe hakuna mke hapo mie nilijua mmoja kaolewa kumbe nyoote mnaziniwa tu mwisho wa siku anaenda kuoa mwingine endeleeni kugombania tu😅
@arianasangawe96882 ай бұрын
Hasira hukaa kifuan mwa mpumbavu pole kwake p maana alizan kutambulishwa ndo kuolewa hakujua ckuiz watu wananunua wazaz wa mchongo nimempenda sana Rose anajiamini na anatabasamu la kipekee
@mariethagodwin2273
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@JanethErasto2 ай бұрын
Hapo ukute p umri ulikwisha enda kajiopolea bwana wa watu akajua kapata😅😅😅 but nimpenda rose anaongea Kwa busara. ❤❤❤ Love u 😘 Rose halafu wadada mjue kutambilishwa Kwa ndugu siyo kuolewasijuw mnanipata😮
@KibindaMartine
Ай бұрын
Nikweli
@lilylema52922 ай бұрын
Mwanamke yoyote duniani uzuri ni akili . Rose anaakili mingi sana
@almerquen8910
2 ай бұрын
𝑁𝑚𝑒𝑝𝑒𝑛𝑑𝑎 𝑥𝑎𝑛
@oscarcharles9624
2 ай бұрын
rose uko vizuri unabusara sana
@wemapanga1547
2 ай бұрын
Nimekupenda bureeeeeeeee Rose
@NicksonMaghembe2 ай бұрын
ROSE NI MWANAMKE ANAEJITAMBUA SANA SUPER WOMAN CONGRATULATIONS
@doryleem48776 күн бұрын
Msingi wa kila kitu mwanaume alichonacho ni Rose ugavi wake wote ss iweje atakataa posho yake🤣🤣.... Ila samaki alieoza kaoza tu ndio wanamiak 4 ila tabia ni ngozi mpka abadilike uyo mwanaume ni msumari kwa uyo dada... Hmn wisdom apo kaumia sana uyo Rose
@user-rt7si4kc2i6 күн бұрын
Inaonyesha huyu p aliingia kwa huyo jamaa bila hata kuvua viatu yani mzima mzm, nakushari bro mpende sana mkeo rose pls,
@user-bo3te8qm1lАй бұрын
Rose ana busara sana hivi ndyo anavyotakiwa mwanamke awe pokea mauwa yako❤,p mchepuko anamzarau mwenye mume nimjinga sana😂😂
@thabitimkufi73882 ай бұрын
Huyu Roz anafaa kua mke,
@SalmamashakaMashaka
2 ай бұрын
Hakika kwanza anajielewa vibayano
@diyembarak5506
2 ай бұрын
Rose apewe maua yake 🎉
@user-zi1or6xh2w
2 ай бұрын
Tayàli Ni mke
@user-ls2nq2eq3l
2 ай бұрын
Kbs
@JudithAdonis
2 ай бұрын
Wanaume huwa mnajichanganya sana jaman.....loooh !! Amekiri kwamba Rose ni mke wake but amempotezea muda P 🤔🤔
@NeemaAkyo20 күн бұрын
Rose jaman nimekupenda bure mnomnomno ,❤❤ Yani ukiona hiii comment una busara dada yang strong woman ever god bless you ❤❤
@VeronicaMinja-zg3mv2 ай бұрын
Rose ndio mke🎉Rose umepitishwa ❤
@suhaylajuma5761
2 ай бұрын
😅
@happymwaseba5878
2 ай бұрын
🤣🤣🤣👉
@oscarcharles9624
2 ай бұрын
rose maua yako❤❤
@AmonBora-ve5si
8 күн бұрын
P kaz Anayo
@ZiiMwita2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 wee p weweee kafe mbele ndoa tunayo dada kwanza unasura nzitooo losheni tu inakusaidia 😂😂😂
@user-xz7gu4wo2k2 ай бұрын
Hongera Kwa uvumilivu wako nimekupenda🎉
@snowfalldahash7399Ай бұрын
Rose ni role model wangu kwa leo aisee❤❤❤nimempenda sana...ni mstaarabu na yupo na confidence ile level ya juu kabisa. Mungu awadumishe sana kwenye mapenzi yenu wewe na mumeo mzikane jamani❤
@user-lf5uk6mq4t2 ай бұрын
Aibu naona mimi p sura yenyewe ngumu bado unalazimisha mume wangu 😂😂😂 umekataliwa nimgekuwa mm ningekimbia moja iyo
@RehemaEndward
2 ай бұрын
Wallah nimecheka sana dah p ndio akome 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@ViolethMushi-sm7yn
2 ай бұрын
😂😂😂
@ViolethMushi-sm7yn
2 ай бұрын
Kiherehere nikibaya sana 😂
@AgnesDavid-et3zn
2 ай бұрын
Sasa p kujitamba kote huko kumbe analelewa na roz
@neemakassan6538
2 ай бұрын
Nimecheka kwa sauti kubwa 😅😅😂😂km mazuri vile p maskini anatia huruma na amekimbia wanaume ni washezi kabla hujaingia kwenye mahusiano mchunguze kwanza usikimbilie tu kusema ni mume wangu aibu naona mm huku wadada tuwe makini p alikimbilia kisa ana mali mie mwaka wa saba nipo na mahusiano amezaa na wanawake wawili tofauti pia biashara mtaji ni wangu lkn still bado nipo nae tokea 2016 nasafiri sana nje ya nchi hd alioa lkn wakaachana akarundi kwangu tena nami nikazaa na mtu wa mamtoni nimerundi bongo ushauri ukimkuta mtu ana mali jaribu kumchunguza kwanza wadada mnafeli wapi?
@user-lj2nh6tu4c2 ай бұрын
Shost kujulikana kwa mwanaume siyo kuolewa.... 😃😃 tuulize sisi tuliopelekwa ukweni na tukakaa miezi na hatukuolewa na tulifahamika na ukoo mzima... Rozi upo good sana❤❤ nimependa jins ulivyo smart kuanzia akili mpaka mwili una hekima sana kipenz...
@Hellenlubuva1931
2 ай бұрын
Ila wake jmn👐👐
@tabithergreen6419
2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@tabithergreen6419
2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@IssaIddi-vb9yi2 ай бұрын
Yes nilikuwa naifatilia hii bora imeisha ila nimempenda sana Rose nimwanamke ambaye anaonekana kichwa chake kinafanya kazi vzur
@user-jo9vw5dm2h2 ай бұрын
Ila sisi Wanaume tunajua tuyafanyao kwa mabinti ,hatuwez chagua mbulala hata iwe pisi vip😅😅
@franciscarsongea7948Ай бұрын
Napenda sana 🌹 anaongea kwa ustazrabu Hana papara huyo mke original sio wa kichina
@MwanahawaBea2 ай бұрын
Imeisha hyoo,,mke atabak kuwa mke na mchepuko hatabak kuwa chepuko,,,mume hawez Tema big G kwa karanga zakuonjeshwa umeupiga mwingi da rose 👏👏👏
@joycerajabu844811 күн бұрын
I love Rose the way she talk
@einsteinmboje47302 ай бұрын
Ila Mchizi kama Alienda Kujitambulisha Ukweni Kwa Huyo Mchepuko Sio Poa .... Kama Tunawachezea Basi Tusiwaaminishe Kama Tuna Future Nao , Huyo Mdada Kama Anaamini Kwenye Ushirikina Basi asilimia Kubwa Anaenda Kufanya Kibaya , Au Kama Ana Roho Ndogo Anaweza Kujidhuru , Sio Poa Kabisa .... But Hongera Kwa Rose Pia , Ni Definition Tosha Ya Mke Jasiri Na Bora Ambaye Ni Wachache Kati Ya Mamilioni Kwa Kizazi Cha Sasa
@eunicedaniel
2 ай бұрын
Umeongea neno na itakuwa kweli ametambulishwa lakini anaonekana ana roho ndogo anahitaji psychological counselling kabla hajajidhuru Mr Uky madhara ya hii kazi yako ndo hayo unatakiwa umstablerize P kabla hajajidhuru chukua hatua mapema plz najua ni kazi usiache kazi yako lakini kuwa makiniiiiii mwenye makosa ni mwanaume Wala sio P Wala Rose mapenzi yanauma asikwambie mtuuuu tunacheka tyu yakikukuta utaita maji mma
@LightnessUrio-fo7mq2 ай бұрын
Miaka minne na mwaka mmoja wapi na wapi 😂😂😂😂😂,dadaangu kua mpole tuu
@diva_201622 ай бұрын
Sema rose yuko na akili sana mtu wa maana kbc Malik hawezi kumwacha huyu mwanamke ko P angalia upande mwingine girl friend
@JulianJohn-gn4ht
2 ай бұрын
Busara huyu dada anayo sana nimejifunza kitu sana sana kaka unlje na kwangu piaa
@malietamaliet2 ай бұрын
😂😂😂uzuri marick ajatoa pesa za uyu asuke uyu asisuke wote ni mnyooshoo mashallah 😂
@hamzachigogolo7766
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@malietamaliet
2 ай бұрын
@@hamzachigogolo7766 kwann unacheka
@user-lx3nz5cq6x
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uwiii
@WivinaMsafiri-hf8oh
Ай бұрын
😂😂😂
@user-ll9df3ib3o
Ай бұрын
Hahahaha
@DomitilaMollel2 ай бұрын
Ghaaaiiiiiii😅huyo Rose yupo kama mm atiiii me nachojua kwa mwanaume wangu nipo mm tuu hao wanajibaruguza wachaaa waburuzweee mwishowe Bwana anarud zake kwangu😅😅❤
@Blackanzazi84Ай бұрын
Rose ,your one of a million ladies outside here, very much wise, intelligent and focus, Malk bro you have a wife, and a mother of your kids bro love Rose
@aminamohamed99552 ай бұрын
Mapenzi yana mambo mengi sana p sio mwizi p pia alitongozwa km Rose ilspokuwa mwanamke ulie wahi kuumizwa kwenye mpenzi au mwanaume ulie wahi kuumizwa hapo mwenye makosa ni mwanaume hakuwa mkweli ila ina uma tuwe wa kweli vipenzi vyangu mapenzi yanauma sana saba 😢
@AksaMwigulu-ed9ck
2 ай бұрын
Nikwel katongozwa P kama Rozi ila alichofel yy kutaka kujua Rozi ni nani kwa huyu mwanaume na mbaya zaid anaaza kusema mme wng natabulika kwako ila Pole P hongera kwa Rozi
@annathomas-wy8yt
2 ай бұрын
Wanaume hawajawahi kuwa wakweli kwenye mapenzi
@nurualamoody4305
2 ай бұрын
Yaani hilo ni funzo kwake na kwa wengine kuwajua vyema hawa wanaume huwa ni watu wa tamaa Ila wanaakili za kuangalia wapi scheme sahihi ya maisha yake ya baadae
@Mbambanaji26 күн бұрын
Rose nimwanamke haswa nimeipenda😊
@elickjosephy292 ай бұрын
Mwanamke kama rose dunia hii wamebaki wachache sana god bless you rose
@IvethaRugambwa2 ай бұрын
Shida inakuwa pale ulimpa moyo wako kumbe yeye alitaka mwili wako tu😃😂😂😂big up Rose
@almerquen8910
2 ай бұрын
𝑊𝑎𝑙𝑙𝑎ℎ
@muntazsaleh2023
2 ай бұрын
😆😆😆
@aishahamad7923
2 ай бұрын
Words 😂❤😊
@magrethjuma85152 ай бұрын
Nime jifunza kitu Kwa Rose jamani 🙏🏾 mwanamke ni akili heshima na hekima balikiwa da Rose
@minahsulesh87402 ай бұрын
Sina ht Cha kuongeza rose umemaliza hii ndio mwanamke inabid ubehave❤
@Ms.ShanshaАй бұрын
one of my fav videos💥💥💥💥...how rose is so calm though no MAN is perfect but hope MARKI sees this GEM
@JohnMkwizu-hj1iv2 ай бұрын
❤❤akii uyuu dadaa nime mpendaa xnaa ana hekima ya moyoo afunguee shule ya mahusiano no lov no stress
@user-fh1jk9qq5y2 ай бұрын
P kwanzaa hata alikuwa hajiamin tangu mwanzoo😅😅😅
@hidayakiza9364
2 ай бұрын
Lazima asijiamini mwaka mmoja kwa miaka minne
@lilianmwilawi72332 ай бұрын
Rose katulia sana hapanick wala nn aaak huu mchezo hautaki hasira we p kaendelee ty kupaka mkorogo dada😂😂😂
@emmanuelnzaligo62622 ай бұрын
Ila rose mzuri!!!❤❤❤.
@user-ov4ug8fl1f5 күн бұрын
Da Rose allah azidi kukupa mwoyo wa sbura ni mndogo wako kutoka burundi ongera sanaaaa ila unamoo mim siwezi kweli
@happyhappy-ym2su2 ай бұрын
Hivi haya ni maigizo au ni ukweli, mbona kama ni ukweli aibu naona mimi😂😂😂😂
@solomondanny-1507
2 ай бұрын
Ni kweli
@happynathan8226
Ай бұрын
Sio maigizo ni ukweli kabisa
@GraceLeshan
17 күн бұрын
Na kama sii kweli ina funzo .binafsi mimi ishanitokea
@ReginaKaizirege-sd3hn2 ай бұрын
Rose nimekupenda buru,, ktk hii dunia nilijua niko peke yangu kumbe nimekupata mdada mwenye kujitambua na mwenye maneno matamu na mazuri yenyekufundisha,,, Mark kaoe Acha upuuzi
@elizarichard96572 ай бұрын
Congleshen rose 😂😂😂 p Fanya maamuz yakumove on ....unajichoreshaaaa
@agnesjohnson23932 ай бұрын
Lol I had to subscribe, after watching this video 😂😂😂 mi nilijua nimasiharaa kumbe watu wapo serious 🤣😂🙈🙈🙈🙈 I’m going to be watching more of your videos 🤣😅😂
@tinahmnubi1872 ай бұрын
Huu Mchezo hautaki hasira kilanga komooo Rose yuko humble ❤
@SevelinaNandwike2 ай бұрын
Roz jmn nimempenda huyu dada anajiamin sana big up
Hawa watu wananipa raha 😅 sema huy dada mzur sanaaa wa rang ya chocolate❤
@JacklineAmbangile2 ай бұрын
Dada rose upo vizuri dada nimekupenda bure natamani hata nipate no yako. Una busara sana dada❤❤❤
@KibindaMartine
Ай бұрын
Je wewe huna busara
@user-mr3qg9iq5k2 ай бұрын
❤ Rose nimekupenda Bureeee Dada Mungu anipe Hekimaa kama Uliyonayo Mama Nakupenda nakupenda zaidi
@user-ms7hu4lh6f2 ай бұрын
Respect madam rose unajiamin san duuh hongeraa sana
@AdelinaLusekelo-xl4bm2 ай бұрын
Asante Mungu kwaajiri ya moyo wa Rose ❤
@agatonybenedict69852 ай бұрын
Daaah Kumbe wanawake kama Rose Bado wapo Duniani, daaah impressive woman, full of IQ, Big up Rose you deserve kuish milele ili uwe mfano Kwa wengine 🎉🎉🎉🎉 chukua maua yako
@user-jb7uq3fr4r2 ай бұрын
Rose nimekupenda bure unafaa kuwa make na nakuombea Kwa mungu utakua mam bora mungu akutunz nimejifunza kit kikubwa san ❤❤❤❤
@eunicennko38612 ай бұрын
😘😘Roz ni powerful women Hana papara mingi,makopa kwa ajili yake♥️♥️♥️♥️♥️
@DeboraChediely2 ай бұрын
Nilijua rose ndowifi yetu ❤❤
@rechalmshana12932 ай бұрын
P alichokitafuta kakipata 😂😂, shikamoo mapenzi🙌
@faridadondo21032 ай бұрын
Rose upo vizuri dege wako kwann umshikie mabati 😘 Rose
Roz nimke alie kamilik mashaallah p achan na ayo mausian kipenz
@aminathaabubakarmasoud5652 ай бұрын
P nilijua tuu utakataliwa kweupee kumanyoko😂😂😂😂😂
@furahanorbert78432 ай бұрын
Huyu P kiboko hadi anagonga meza kumshitua rose😂😂mapenzi bwana🚶🚶
@user-rf3zi6no6b
2 ай бұрын
Amepaniki
@user-wy5dn4xu8h
2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 aise me ningejitupa chini
@RachelJulius-fh9nl2 ай бұрын
Rose mzuri na anaakili❤
@user-sp9tq8mq6q12 күн бұрын
wanaume ni watu waajabu sana mwanamke unaonaje kugombana na mwanamke mwenziyo kisa mwanaume 😅😅
@LEODIGERMARCO2 ай бұрын
Big up ' ~da rose 🤗 wise woman
@greenermichael20572 ай бұрын
Kirose Wala hakina shida ❤❤❤❤
@SleepyFlowerGarden-im6bv2 ай бұрын
Mr uky nakukubal sana
@SaraFabian-gu7df2 ай бұрын
Da rose Big up San nimekuoenda Kwanza huna presha na mahusiano yak like it❤❤❤❤
@amrimohamed93032 ай бұрын
Rose wew ni fire nimekupenda kweli kweli mwache uyo mariq njoo kwangu
@Pips_lady2 ай бұрын
That Rose HAVE GOD WISDOM ❤❤❤ BOLDNESS 🥳🥳
@khadejarajab80072 ай бұрын
Hapo aliyemuita mwenzie mchepuko kumbe yeye ndio mchepuko hatari sana kwakweli rozi anafaa na ana point nzuri
@iamhilda32 ай бұрын
Ivi Huyu P anajielewa kweli?😂😂😂 mtu umeingilia penz la mwenzio alaf unamtafta uliemkuta😂😂😂 Shenz kabisa
@EngelLameck-nz5nk2 ай бұрын
Huyu Rose jamn kanifurahisha sana yaan Yuko vzr sana Hana presh kwanza ❤❤❤
@hawaomary962 ай бұрын
Mwanamke akili jaman 😅😅😅
@sesiliahussein77742 ай бұрын
P alishajua kapata bonge la bwana lenye mihela yake 😅😂
@evaaggrey1382
2 ай бұрын
Hao ndo wadada wasio fanya kazi 😅😅😅😅
@sesiliahussein7774
2 ай бұрын
@@evaaggrey1382 kwakweli kabisaa
@SerakeothNzige4 күн бұрын
Huyu p sura nzito kama nagimbi 😂😂
@MonicahJosiah2 ай бұрын
4 real meipendah vile madam rose umebehave , kiukwel watot wako wamepat a good mom.....🎉
@SeciliaNicholaus2 ай бұрын
Nakpenda da rose ❤❤❤
@user-jz9xb2pn6v2 ай бұрын
Daah natamani ningekuwa na moyo kama wa rose😂
@domitilaneovitus5724
2 ай бұрын
😂😂 kwa kweli
@hildagabriel1003
2 ай бұрын
Ukiamua tu unaweza
@ErnestMalima
2 ай бұрын
Lakini sasa😂😂😂
@eunicedaniel
2 ай бұрын
Ukitaka Mbwa asikubwekee mpe chakula Kama alivopewa marick hawezi kuwa na jeuri na rose amemfuga marick coz anajua ni Mbwa wake hawezi enda popote aende kwa p anakohonga vi elfu 15 ,20 Tena vya kuiba kwa Boss weeeeee marick chezea pesa usichezee kaziiiii utakula dagaaa
@donlinechanell47602 ай бұрын
Hyo dem mwembamba hana stress maana anajua mwanaume ni wake 😂😂😂😂😂
@lucianagodson4372 ай бұрын
P. Ahogaangu wew kubali tu umedanganywa mwaya muachie rose mtu wake
@user-hm9nt7sy9l
2 ай бұрын
Ata uko kutambulishwa hajatambulishwa uyo
@maryamsylivester86622 ай бұрын
Rose haendeshwi na hisia bali anajiamini na kukubaliana na kila kitu na bado ongea yake ni ya busara sana aisee mi siwezi kumfatilia mwanaume kiasi hicho hali ya kuwa hajanioa na sina uthibitisho wa kuwa mkewe halali hebu ona kilichomkuta P 😢😢😢😢😢😢
@plasmascreen2459
2 ай бұрын
Njaa mbaya sana zingatia maokoto
@monicapeter9065
2 ай бұрын
Maskin nmemuonea huruma p nkiwa kama mwanamke mwenzake maana kosa sio lake wanawake tunadanganywa sana duuu Japo mwaka mmoja ni mkubwa kumchezea mwenzako kiasi hcho kampotezea sana mda
@user-rt7si4kc2i6 күн бұрын
I like rose big up 2 u dd rose,
@salmamlokela19872 ай бұрын
Mwanamke mwenye ela na akili haachwi😅 pole p
@hajjisuffiani3852 ай бұрын
Rose nimzuri sana napendaga wanawake wenye miili ya Rose alafu rangi yenyewe haijapelekwa kiwandani
Пікірлер: 1 100
Rose una busara sana dadangu. Strong woman ever. God bless you
@JudithAdonis
2 ай бұрын
Kwa kweli ❤
@user-fy2ve5by9v
2 ай бұрын
Rose mwamke wa nguvu nakupa salut mama kaza Buti hao mafisi Wanamdondoshe mate mumeo
@MaryLuoga
15 күн бұрын
🎉Hfrerhegexhheqfhhexeqhehqhqehqhwhrgeqeqhqwehh@@JudithAdonis
Rose nimempenda sana yaani mno mno mno ❤❤❤Rose popote ukiona comment hii nakupenda bure
@user-fy2ve5by9v
2 ай бұрын
Rose nimekupe da sana kuwa na ujasisiri was kutosha
@makatamauwa1996
7 күн бұрын
Team Rose kidole juu☝️
@SabahiMassoud
7 күн бұрын
😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮
Huyu dada anabusara sana unajua kuongea bila kutumia panick 📌hv unakasirikaga kweli rosee 🙌your super woman ❤️🔥
@VailethHarbeth-nc4qk
2 ай бұрын
Maana kama mm apo ndo sehemu ningeruka adi juu ya mezaa okay yeye Sasa Kam ayupo 👐👐
Siku zote mwenye BUSARA na HEKIMA atakua juu🥰🙏. Rose ni mwanamke na nusu🔥💯
Waliopenda rose gather here😂😂😂
@user-mb2ek2ds1h
2 ай бұрын
Nimempenda Sana rooooose🎉
@annamnyazi8206
2 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@LizzyLucas-xy8fj
2 ай бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@radephplv4976
2 ай бұрын
Eti nauliza jamn aya mambo ni kweli au wanaigiza 😅😅😅😅😅 maana
@StylebyTully
2 ай бұрын
Hahah😂😂😂😂😂 shout out for Roses confidence
Rose popot ulipo nmejifunza kutok kwako unajiamn mpk rahaa makopa yko uchukue❤❤❤❤❤
P mke wake unamwita mchepuko yan rose ww si unipe na mimi hyo siri ya maisha jamn niwe km ww nimekupenda mimi❤❤❤
Tuunganishe na roz tumpe hongera zake ni mwanamke na nusu💃💃❤❤❤
@oscarcharles9624
2 ай бұрын
❤❤❤❤
Usikute maliki kalinda kula yake hawa viumbe hawatabiriki,akirudi kwa p anajibebisha😂😂😂😂😂 nawaza tu
Hv upumbavu wakugombania mwaume ni njaaa au dudu ety p ila rose Asante Uko bright sana
Rose mimi nimekukubali dada angu 🥰🥰🥰 wanao mpenda woteeee wapite hapa😂😂😂
Tulio rudia mara mbili mbili tujuane kwa like
@WardaHemedy
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂ni hatarii 😝😝😝
Unafaa da rose kuhitwa mke wa mtu hongera kwa hekima uliyo nayo nakupenda sana ❤❤❤
Duuu ila Loz nimzuli Kisha anaeshima na busala piya mashaallah
@mohamedchillumba-rk4eu
2 ай бұрын
Sio lozi Rose
@faridalihondo3322
2 ай бұрын
@@mohamedchillumba-rk4eu😂😂😂😂😂
@athumanhamad8522
2 ай бұрын
Loz nimke mwema so hawez kosa busara angalia sasa hio mbuzi inavyo jibu p anatamaa na duka za msela alizopewa na Loz
@AgnesDavid-et3zn
2 ай бұрын
@@mohamedchillumba-rk4eu a weee 🤣🤣🤣
@salmatuleteesehem71jmnmahm59
2 ай бұрын
Nyie nyoote ni michepuko hahhhahh kumbe hakuna mke hapo mie nilijua mmoja kaolewa kumbe nyoote mnaziniwa tu mwisho wa siku anaenda kuoa mwingine endeleeni kugombania tu😅
Hasira hukaa kifuan mwa mpumbavu pole kwake p maana alizan kutambulishwa ndo kuolewa hakujua ckuiz watu wananunua wazaz wa mchongo nimempenda sana Rose anajiamini na anatabasamu la kipekee
@mariethagodwin2273
2 ай бұрын
😂😂😂😂
Hapo ukute p umri ulikwisha enda kajiopolea bwana wa watu akajua kapata😅😅😅 but nimpenda rose anaongea Kwa busara. ❤❤❤ Love u 😘 Rose halafu wadada mjue kutambilishwa Kwa ndugu siyo kuolewasijuw mnanipata😮
@KibindaMartine
Ай бұрын
Nikweli
Mwanamke yoyote duniani uzuri ni akili . Rose anaakili mingi sana
@almerquen8910
2 ай бұрын
𝑁𝑚𝑒𝑝𝑒𝑛𝑑𝑎 𝑥𝑎𝑛
@oscarcharles9624
2 ай бұрын
rose uko vizuri unabusara sana
@wemapanga1547
2 ай бұрын
Nimekupenda bureeeeeeeee Rose
ROSE NI MWANAMKE ANAEJITAMBUA SANA SUPER WOMAN CONGRATULATIONS
Msingi wa kila kitu mwanaume alichonacho ni Rose ugavi wake wote ss iweje atakataa posho yake🤣🤣.... Ila samaki alieoza kaoza tu ndio wanamiak 4 ila tabia ni ngozi mpka abadilike uyo mwanaume ni msumari kwa uyo dada... Hmn wisdom apo kaumia sana uyo Rose
Inaonyesha huyu p aliingia kwa huyo jamaa bila hata kuvua viatu yani mzima mzm, nakushari bro mpende sana mkeo rose pls,
Rose ana busara sana hivi ndyo anavyotakiwa mwanamke awe pokea mauwa yako❤,p mchepuko anamzarau mwenye mume nimjinga sana😂😂
Huyu Roz anafaa kua mke,
@SalmamashakaMashaka
2 ай бұрын
Hakika kwanza anajielewa vibayano
@diyembarak5506
2 ай бұрын
Rose apewe maua yake 🎉
@user-zi1or6xh2w
2 ай бұрын
Tayàli Ni mke
@user-ls2nq2eq3l
2 ай бұрын
Kbs
@JudithAdonis
2 ай бұрын
Wanaume huwa mnajichanganya sana jaman.....loooh !! Amekiri kwamba Rose ni mke wake but amempotezea muda P 🤔🤔
Rose jaman nimekupenda bure mnomnomno ,❤❤ Yani ukiona hiii comment una busara dada yang strong woman ever god bless you ❤❤
Rose ndio mke🎉Rose umepitishwa ❤
@suhaylajuma5761
2 ай бұрын
😅
@happymwaseba5878
2 ай бұрын
🤣🤣🤣👉
@oscarcharles9624
2 ай бұрын
rose maua yako❤❤
@AmonBora-ve5si
8 күн бұрын
P kaz Anayo
😂😂😂😂😂😂😂 wee p weweee kafe mbele ndoa tunayo dada kwanza unasura nzitooo losheni tu inakusaidia 😂😂😂
Hongera Kwa uvumilivu wako nimekupenda🎉
Rose ni role model wangu kwa leo aisee❤❤❤nimempenda sana...ni mstaarabu na yupo na confidence ile level ya juu kabisa. Mungu awadumishe sana kwenye mapenzi yenu wewe na mumeo mzikane jamani❤
Aibu naona mimi p sura yenyewe ngumu bado unalazimisha mume wangu 😂😂😂 umekataliwa nimgekuwa mm ningekimbia moja iyo
@RehemaEndward
2 ай бұрын
Wallah nimecheka sana dah p ndio akome 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@ViolethMushi-sm7yn
2 ай бұрын
😂😂😂
@ViolethMushi-sm7yn
2 ай бұрын
Kiherehere nikibaya sana 😂
@AgnesDavid-et3zn
2 ай бұрын
Sasa p kujitamba kote huko kumbe analelewa na roz
@neemakassan6538
2 ай бұрын
Nimecheka kwa sauti kubwa 😅😅😂😂km mazuri vile p maskini anatia huruma na amekimbia wanaume ni washezi kabla hujaingia kwenye mahusiano mchunguze kwanza usikimbilie tu kusema ni mume wangu aibu naona mm huku wadada tuwe makini p alikimbilia kisa ana mali mie mwaka wa saba nipo na mahusiano amezaa na wanawake wawili tofauti pia biashara mtaji ni wangu lkn still bado nipo nae tokea 2016 nasafiri sana nje ya nchi hd alioa lkn wakaachana akarundi kwangu tena nami nikazaa na mtu wa mamtoni nimerundi bongo ushauri ukimkuta mtu ana mali jaribu kumchunguza kwanza wadada mnafeli wapi?
Shost kujulikana kwa mwanaume siyo kuolewa.... 😃😃 tuulize sisi tuliopelekwa ukweni na tukakaa miezi na hatukuolewa na tulifahamika na ukoo mzima... Rozi upo good sana❤❤ nimependa jins ulivyo smart kuanzia akili mpaka mwili una hekima sana kipenz...
@Hellenlubuva1931
2 ай бұрын
Ila wake jmn👐👐
@tabithergreen6419
2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@tabithergreen6419
2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
Yes nilikuwa naifatilia hii bora imeisha ila nimempenda sana Rose nimwanamke ambaye anaonekana kichwa chake kinafanya kazi vzur
Ila sisi Wanaume tunajua tuyafanyao kwa mabinti ,hatuwez chagua mbulala hata iwe pisi vip😅😅
Napenda sana 🌹 anaongea kwa ustazrabu Hana papara huyo mke original sio wa kichina
Imeisha hyoo,,mke atabak kuwa mke na mchepuko hatabak kuwa chepuko,,,mume hawez Tema big G kwa karanga zakuonjeshwa umeupiga mwingi da rose 👏👏👏
I love Rose the way she talk
Ila Mchizi kama Alienda Kujitambulisha Ukweni Kwa Huyo Mchepuko Sio Poa .... Kama Tunawachezea Basi Tusiwaaminishe Kama Tuna Future Nao , Huyo Mdada Kama Anaamini Kwenye Ushirikina Basi asilimia Kubwa Anaenda Kufanya Kibaya , Au Kama Ana Roho Ndogo Anaweza Kujidhuru , Sio Poa Kabisa .... But Hongera Kwa Rose Pia , Ni Definition Tosha Ya Mke Jasiri Na Bora Ambaye Ni Wachache Kati Ya Mamilioni Kwa Kizazi Cha Sasa
@eunicedaniel
2 ай бұрын
Umeongea neno na itakuwa kweli ametambulishwa lakini anaonekana ana roho ndogo anahitaji psychological counselling kabla hajajidhuru Mr Uky madhara ya hii kazi yako ndo hayo unatakiwa umstablerize P kabla hajajidhuru chukua hatua mapema plz najua ni kazi usiache kazi yako lakini kuwa makiniiiiii mwenye makosa ni mwanaume Wala sio P Wala Rose mapenzi yanauma asikwambie mtuuuu tunacheka tyu yakikukuta utaita maji mma
Miaka minne na mwaka mmoja wapi na wapi 😂😂😂😂😂,dadaangu kua mpole tuu
Sema rose yuko na akili sana mtu wa maana kbc Malik hawezi kumwacha huyu mwanamke ko P angalia upande mwingine girl friend
@JulianJohn-gn4ht
2 ай бұрын
Busara huyu dada anayo sana nimejifunza kitu sana sana kaka unlje na kwangu piaa
😂😂😂uzuri marick ajatoa pesa za uyu asuke uyu asisuke wote ni mnyooshoo mashallah 😂
@hamzachigogolo7766
2 ай бұрын
😂😂😂😂
@malietamaliet
2 ай бұрын
@@hamzachigogolo7766 kwann unacheka
@user-lx3nz5cq6x
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 uwiii
@WivinaMsafiri-hf8oh
Ай бұрын
😂😂😂
@user-ll9df3ib3o
Ай бұрын
Hahahaha
Ghaaaiiiiiii😅huyo Rose yupo kama mm atiiii me nachojua kwa mwanaume wangu nipo mm tuu hao wanajibaruguza wachaaa waburuzweee mwishowe Bwana anarud zake kwangu😅😅❤
Rose ,your one of a million ladies outside here, very much wise, intelligent and focus, Malk bro you have a wife, and a mother of your kids bro love Rose
Mapenzi yana mambo mengi sana p sio mwizi p pia alitongozwa km Rose ilspokuwa mwanamke ulie wahi kuumizwa kwenye mpenzi au mwanaume ulie wahi kuumizwa hapo mwenye makosa ni mwanaume hakuwa mkweli ila ina uma tuwe wa kweli vipenzi vyangu mapenzi yanauma sana saba 😢
@AksaMwigulu-ed9ck
2 ай бұрын
Nikwel katongozwa P kama Rozi ila alichofel yy kutaka kujua Rozi ni nani kwa huyu mwanaume na mbaya zaid anaaza kusema mme wng natabulika kwako ila Pole P hongera kwa Rozi
@annathomas-wy8yt
2 ай бұрын
Wanaume hawajawahi kuwa wakweli kwenye mapenzi
@nurualamoody4305
2 ай бұрын
Yaani hilo ni funzo kwake na kwa wengine kuwajua vyema hawa wanaume huwa ni watu wa tamaa Ila wanaakili za kuangalia wapi scheme sahihi ya maisha yake ya baadae
Rose nimwanamke haswa nimeipenda😊
Mwanamke kama rose dunia hii wamebaki wachache sana god bless you rose
Shida inakuwa pale ulimpa moyo wako kumbe yeye alitaka mwili wako tu😃😂😂😂big up Rose
@almerquen8910
2 ай бұрын
𝑊𝑎𝑙𝑙𝑎ℎ
@muntazsaleh2023
2 ай бұрын
😆😆😆
@aishahamad7923
2 ай бұрын
Words 😂❤😊
Nime jifunza kitu Kwa Rose jamani 🙏🏾 mwanamke ni akili heshima na hekima balikiwa da Rose
Sina ht Cha kuongeza rose umemaliza hii ndio mwanamke inabid ubehave❤
one of my fav videos💥💥💥💥...how rose is so calm though no MAN is perfect but hope MARKI sees this GEM
❤❤akii uyuu dadaa nime mpendaa xnaa ana hekima ya moyoo afunguee shule ya mahusiano no lov no stress
P kwanzaa hata alikuwa hajiamin tangu mwanzoo😅😅😅
@hidayakiza9364
2 ай бұрын
Lazima asijiamini mwaka mmoja kwa miaka minne
Rose katulia sana hapanick wala nn aaak huu mchezo hautaki hasira we p kaendelee ty kupaka mkorogo dada😂😂😂
Ila rose mzuri!!!❤❤❤.
Da Rose allah azidi kukupa mwoyo wa sbura ni mndogo wako kutoka burundi ongera sanaaaa ila unamoo mim siwezi kweli
Hivi haya ni maigizo au ni ukweli, mbona kama ni ukweli aibu naona mimi😂😂😂😂
@solomondanny-1507
2 ай бұрын
Ni kweli
@happynathan8226
Ай бұрын
Sio maigizo ni ukweli kabisa
@GraceLeshan
17 күн бұрын
Na kama sii kweli ina funzo .binafsi mimi ishanitokea
Rose nimekupenda buru,, ktk hii dunia nilijua niko peke yangu kumbe nimekupata mdada mwenye kujitambua na mwenye maneno matamu na mazuri yenyekufundisha,,, Mark kaoe Acha upuuzi
Congleshen rose 😂😂😂 p Fanya maamuz yakumove on ....unajichoreshaaaa
Lol I had to subscribe, after watching this video 😂😂😂 mi nilijua nimasiharaa kumbe watu wapo serious 🤣😂🙈🙈🙈🙈 I’m going to be watching more of your videos 🤣😅😂
Huu Mchezo hautaki hasira kilanga komooo Rose yuko humble ❤
Roz jmn nimempenda huyu dada anajiamin sana big up
@KibindaMartine
Ай бұрын
Hata Mimi nimempenda pia
Mr Uk your very humbled
Ungkuw karb wallah cjui ningkupa zawad gan tuu dadaang umefunzwa ukafunzika 🥰🥰🥰
Hawa watu wananipa raha 😅 sema huy dada mzur sanaaa wa rang ya chocolate❤
Dada rose upo vizuri dada nimekupenda bure natamani hata nipate no yako. Una busara sana dada❤❤❤
@KibindaMartine
Ай бұрын
Je wewe huna busara
❤ Rose nimekupenda Bureeee Dada Mungu anipe Hekimaa kama Uliyonayo Mama Nakupenda nakupenda zaidi
Respect madam rose unajiamin san duuh hongeraa sana
Asante Mungu kwaajiri ya moyo wa Rose ❤
Daaah Kumbe wanawake kama Rose Bado wapo Duniani, daaah impressive woman, full of IQ, Big up Rose you deserve kuish milele ili uwe mfano Kwa wengine 🎉🎉🎉🎉 chukua maua yako
Rose nimekupenda bure unafaa kuwa make na nakuombea Kwa mungu utakua mam bora mungu akutunz nimejifunza kit kikubwa san ❤❤❤❤
😘😘Roz ni powerful women Hana papara mingi,makopa kwa ajili yake♥️♥️♥️♥️♥️
Nilijua rose ndowifi yetu ❤❤
P alichokitafuta kakipata 😂😂, shikamoo mapenzi🙌
Rose upo vizuri dege wako kwann umshikie mabati 😘 Rose
Nimempenda sana Rose, Nimwanamke ambae hakurupuki afu mnyenyekevu woow hongera mdada.
Masikini p mbona anaforce mapenzi and much love Rose❤
Hiii inachekesha kweli 😂😂uyo malki cjui anajiskiaje
@halimahalima1488
2 ай бұрын
Jamni 😂😂😂 nimechakaa
@user-lx3nz5cq6x
2 ай бұрын
Ila wanaume 😢😮😊😂
Roz nimke alie kamilik mashaallah p achan na ayo mausian kipenz
P nilijua tuu utakataliwa kweupee kumanyoko😂😂😂😂😂
Huyu P kiboko hadi anagonga meza kumshitua rose😂😂mapenzi bwana🚶🚶
@user-rf3zi6no6b
2 ай бұрын
Amepaniki
@user-wy5dn4xu8h
2 ай бұрын
🤣🤣🤣🤣 aise me ningejitupa chini
Rose mzuri na anaakili❤
wanaume ni watu waajabu sana mwanamke unaonaje kugombana na mwanamke mwenziyo kisa mwanaume 😅😅
Big up ' ~da rose 🤗 wise woman
Kirose Wala hakina shida ❤❤❤❤
Mr uky nakukubal sana
Da rose Big up San nimekuoenda Kwanza huna presha na mahusiano yak like it❤❤❤❤
Rose wew ni fire nimekupenda kweli kweli mwache uyo mariq njoo kwangu
That Rose HAVE GOD WISDOM ❤❤❤ BOLDNESS 🥳🥳
Hapo aliyemuita mwenzie mchepuko kumbe yeye ndio mchepuko hatari sana kwakweli rozi anafaa na ana point nzuri
Ivi Huyu P anajielewa kweli?😂😂😂 mtu umeingilia penz la mwenzio alaf unamtafta uliemkuta😂😂😂 Shenz kabisa
Huyu Rose jamn kanifurahisha sana yaan Yuko vzr sana Hana presh kwanza ❤❤❤
Mwanamke akili jaman 😅😅😅
P alishajua kapata bonge la bwana lenye mihela yake 😅😂
@evaaggrey1382
2 ай бұрын
Hao ndo wadada wasio fanya kazi 😅😅😅😅
@sesiliahussein7774
2 ай бұрын
@@evaaggrey1382 kwakweli kabisaa
Huyu p sura nzito kama nagimbi 😂😂
4 real meipendah vile madam rose umebehave , kiukwel watot wako wamepat a good mom.....🎉
Nakpenda da rose ❤❤❤
Daah natamani ningekuwa na moyo kama wa rose😂
@domitilaneovitus5724
2 ай бұрын
😂😂 kwa kweli
@hildagabriel1003
2 ай бұрын
Ukiamua tu unaweza
@ErnestMalima
2 ай бұрын
Lakini sasa😂😂😂
@eunicedaniel
2 ай бұрын
Ukitaka Mbwa asikubwekee mpe chakula Kama alivopewa marick hawezi kuwa na jeuri na rose amemfuga marick coz anajua ni Mbwa wake hawezi enda popote aende kwa p anakohonga vi elfu 15 ,20 Tena vya kuiba kwa Boss weeeeee marick chezea pesa usichezee kaziiiii utakula dagaaa
Hyo dem mwembamba hana stress maana anajua mwanaume ni wake 😂😂😂😂😂
P. Ahogaangu wew kubali tu umedanganywa mwaya muachie rose mtu wake
@user-hm9nt7sy9l
2 ай бұрын
Ata uko kutambulishwa hajatambulishwa uyo
Rose haendeshwi na hisia bali anajiamini na kukubaliana na kila kitu na bado ongea yake ni ya busara sana aisee mi siwezi kumfatilia mwanaume kiasi hicho hali ya kuwa hajanioa na sina uthibitisho wa kuwa mkewe halali hebu ona kilichomkuta P 😢😢😢😢😢😢
@plasmascreen2459
2 ай бұрын
Njaa mbaya sana zingatia maokoto
@monicapeter9065
2 ай бұрын
Maskin nmemuonea huruma p nkiwa kama mwanamke mwenzake maana kosa sio lake wanawake tunadanganywa sana duuu Japo mwaka mmoja ni mkubwa kumchezea mwenzako kiasi hcho kampotezea sana mda
I like rose big up 2 u dd rose,
Mwanamke mwenye ela na akili haachwi😅 pole p
Rose nimzuri sana napendaga wanawake wenye miili ya Rose alafu rangi yenyewe haijapelekwa kiwandani
@amokachchelsea2316
2 ай бұрын
Nimependa utulivu wake,huyu ni mke kabisa