MBARAWA : ZAIDI YA ABIRIA 40 ELFU HADI SASA WAMETUMIA TRENI YA SGR
KARIBU TUKUHUDUMIE
Жүктеу.....
Пікірлер: 28
@fidelfidel-jz4iw4 күн бұрын
Kitu muhimu sanaa lazima ziwepo basi za mkoani kutoka Dodoma ziendane na ratiba ya SGR itakuwa babukubwa serikali itaona mabadiliko ya maendeleo makubwa
@kwisa4899
4 күн бұрын
Umewahi kufanya Biashara yoyote ya kueleweka ?
@HASASON
4 күн бұрын
Sasa upeleke basi kutoka dodoma hapo na umesikia tarehe 25 wanafika mpaka dodoma?
@ernestsinje97004 күн бұрын
Moro kuzuri mazingira mazuri
@DeogratiasMadaraka-b9v3 күн бұрын
Nashauri siti cover ziwe rangi ta bendera ya jamuhuri itapkuwa unyama sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@kwisa48994 күн бұрын
Hizi sit bila cover st tutalaumiana
@babajay34454 күн бұрын
Bora turudi tukakae zetu Moro dar nyumba ni gharama sana
@bonaventuralupogo21495 күн бұрын
kwamba mlikua hamjui kama kunatakiwa kuwe na barabara na hivo vingine
@akidamakida6092
4 күн бұрын
Just imagine.. I really dont understand!!
@HASASON
4 күн бұрын
Hawa watu wanaweza ongea kitu ukashangaa kumbe hata heshima uliokua unawapa uliwapendelea
@charlesmwambinga4355
3 күн бұрын
Yaaa hakifiki hata 1B na huitaji hata stand hapo nyingine ni kuweka waiting bay na parking kubwa basi...min Buses za kuchukua watu kuwapeleka katikati ya Mji kila siku bajaji na pikipiki...mpaka lini ???😂😂😂
@zobakazizi76374 күн бұрын
Mkuu wa mkoa morogoro hukujua kwamba kunahitajika barabara za kuingia station zinahitajika? Barabara ni mbovu!
@babajay34454 күн бұрын
Safi sana
@joshuachimwejo5892Күн бұрын
TRC tafadhali sana, nawaomba washaurini TARURA/TANROAD/MANISPAA YA MOROGORO waweke lami kipande cha barabara ya kutoka Station hadi barabara kuu ya Morogoro-Dodoma(Kihonda kwa Chambo). Kipande hicho kina vumbi kali sana. Mtu anatoka kwenye treni akiwa msafi, kufika kwa Chambo hatamaniki, huo sio ustaarabu tunaoutaka watanzania kwasasa.
@MarryCharles-rc6ei2 күн бұрын
Soon tutasikia kapewa mwekezaji
@edsonnelson44644 күн бұрын
Chondechonde nawaomba msije mkaibinaifisha yakaja yale ya waliowapa Wahindi hivi serikali zetu zikoje kila kitu kizuri ni uwekezaji. Muone aibu
@magorymara55154 күн бұрын
Tunachowaomba tu ni kuwa wabunifu na wasafi usafi katika miundombinu yote kuanzia treni zenyewe majengo na kazalika
@amirisaid63414 күн бұрын
Ben mwanantala yupo wapi siku hizi?
@Ambagaye
4 күн бұрын
Swali zuri sana; hata mimi nam-miss Ben kwenye channel hii
@amirisaid6341
4 күн бұрын
@@Ambagaye 👍
@eddechriss26644 күн бұрын
Tuliongea toka mapema kabisa kuwa mnajenga stations lakini hamjengi miundo mbinu ya feeder mkajifanya hamuoni, ona sasa
@davidmalogo71004 күн бұрын
Magufuli aliona mbali sana chaajabu ninacho kiona kwenyetaalifa hizi magufuli hatajwi kabisa anatatwa Eva ,Yani watanganyika sio wajinga hata mfiche ya magu magu anaishi ndani ya mioyo ya watu ,Yani hata hamonaizi nimemwona kahojiwa hakutaja jina la mwazilishi ila kamtaja samia mbona mbona kama Kuna kitu kinafichwa kwa magufuli Yani nyie machawa ,,mungu atafanyatu miujiza nakuangamiza huyu utawala wa yezebeli
@NDEWARA
4 күн бұрын
Pole 😅
@lifeonearth94
4 күн бұрын
Magu alikuwa na maono sana
@elinamilyatuu7337
4 күн бұрын
Ukishampa kiongozi kura anawajibika kukuletea maendeleo...kwahyo labda useme serikali ya awamu ya tano sio kumtaja fulani na uache ujinga
@musicschool_tz70142 күн бұрын
ILA VICHWA MCHONGOKO MUVIWEKEE MCHONGOKO WAKE PALE MBELE KUNA KITU HAKIPO
@castosemiono7155
14 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂
@ShabaiSadick4 күн бұрын
Waziri mbarawa twambie vile vichwa viwili vya ujerumani viko wapi?
Пікірлер: 28
Kitu muhimu sanaa lazima ziwepo basi za mkoani kutoka Dodoma ziendane na ratiba ya SGR itakuwa babukubwa serikali itaona mabadiliko ya maendeleo makubwa
@kwisa4899
4 күн бұрын
Umewahi kufanya Biashara yoyote ya kueleweka ?
@HASASON
4 күн бұрын
Sasa upeleke basi kutoka dodoma hapo na umesikia tarehe 25 wanafika mpaka dodoma?
Moro kuzuri mazingira mazuri
Nashauri siti cover ziwe rangi ta bendera ya jamuhuri itapkuwa unyama sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hizi sit bila cover st tutalaumiana
Bora turudi tukakae zetu Moro dar nyumba ni gharama sana
kwamba mlikua hamjui kama kunatakiwa kuwe na barabara na hivo vingine
@akidamakida6092
4 күн бұрын
Just imagine.. I really dont understand!!
@HASASON
4 күн бұрын
Hawa watu wanaweza ongea kitu ukashangaa kumbe hata heshima uliokua unawapa uliwapendelea
@charlesmwambinga4355
3 күн бұрын
Yaaa hakifiki hata 1B na huitaji hata stand hapo nyingine ni kuweka waiting bay na parking kubwa basi...min Buses za kuchukua watu kuwapeleka katikati ya Mji kila siku bajaji na pikipiki...mpaka lini ???😂😂😂
Mkuu wa mkoa morogoro hukujua kwamba kunahitajika barabara za kuingia station zinahitajika? Barabara ni mbovu!
Safi sana
TRC tafadhali sana, nawaomba washaurini TARURA/TANROAD/MANISPAA YA MOROGORO waweke lami kipande cha barabara ya kutoka Station hadi barabara kuu ya Morogoro-Dodoma(Kihonda kwa Chambo). Kipande hicho kina vumbi kali sana. Mtu anatoka kwenye treni akiwa msafi, kufika kwa Chambo hatamaniki, huo sio ustaarabu tunaoutaka watanzania kwasasa.
Soon tutasikia kapewa mwekezaji
Chondechonde nawaomba msije mkaibinaifisha yakaja yale ya waliowapa Wahindi hivi serikali zetu zikoje kila kitu kizuri ni uwekezaji. Muone aibu
Tunachowaomba tu ni kuwa wabunifu na wasafi usafi katika miundombinu yote kuanzia treni zenyewe majengo na kazalika
Ben mwanantala yupo wapi siku hizi?
@Ambagaye
4 күн бұрын
Swali zuri sana; hata mimi nam-miss Ben kwenye channel hii
@amirisaid6341
4 күн бұрын
@@Ambagaye 👍
Tuliongea toka mapema kabisa kuwa mnajenga stations lakini hamjengi miundo mbinu ya feeder mkajifanya hamuoni, ona sasa
Magufuli aliona mbali sana chaajabu ninacho kiona kwenyetaalifa hizi magufuli hatajwi kabisa anatatwa Eva ,Yani watanganyika sio wajinga hata mfiche ya magu magu anaishi ndani ya mioyo ya watu ,Yani hata hamonaizi nimemwona kahojiwa hakutaja jina la mwazilishi ila kamtaja samia mbona mbona kama Kuna kitu kinafichwa kwa magufuli Yani nyie machawa ,,mungu atafanyatu miujiza nakuangamiza huyu utawala wa yezebeli
@NDEWARA
4 күн бұрын
Pole 😅
@lifeonearth94
4 күн бұрын
Magu alikuwa na maono sana
@elinamilyatuu7337
4 күн бұрын
Ukishampa kiongozi kura anawajibika kukuletea maendeleo...kwahyo labda useme serikali ya awamu ya tano sio kumtaja fulani na uache ujinga
ILA VICHWA MCHONGOKO MUVIWEKEE MCHONGOKO WAKE PALE MBELE KUNA KITU HAKIPO
@castosemiono7155
14 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂
Waziri mbarawa twambie vile vichwa viwili vya ujerumani viko wapi?