RELI NA MATUKIO | SAFARI ZA SGR DAR - MORO, ZIARA YA RAIS WA GUINEA - BISSAU

UVCCM WASAFIRI KWA SGR HADI PUGU, WATOA WITO KUITUNZA NA KUILINDA

Пікірлер: 16

  • @fransicmushenyera9302
    @fransicmushenyera930212 күн бұрын

    R.I.P.JPM

  • @khamissaleh921
    @khamissaleh92113 күн бұрын

    Zile Treni za mchongo jaribuni Mbele kwenye pua pafunikwe kukaa wazi hazileti mvuto maana Ile ni EMU Sasa Haina.sababu ya kuwacha wazi

  • @giftchristianmeela1409

    @giftchristianmeela1409

    13 күн бұрын

    pale ni kwaajili ya kuunganisha na seti nyingine ila panaweza kufunikwa.

  • @mussamussa8181

    @mussamussa8181

    12 күн бұрын

    Wafunike bana

  • @giftchristianmeela1409

    @giftchristianmeela1409

    10 күн бұрын

    @@mussamussa8181 yeah wako katika majaribio ila inafunikwa kama hivi kzread.info/dash/bejne/eYyOqZltqszWm84.html

  • @Abdumfaume
    @Abdumfaume13 күн бұрын

    HONGERA SANA TRC..

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon106413 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @phillipmatola6964
    @phillipmatola696413 күн бұрын

    😂😂😂Hizo takwimu mnazitoa wapi??

  • @aliyahmed9328
    @aliyahmed932813 күн бұрын

    Kwa Nini ask me...? Na sio niulize Mimi tuache ujinga

  • @mussamussa8181
    @mussamussa818112 күн бұрын

    NGOJA WAKAT. WA MVUA TUONE MANA IZO PAA AZIJA SOGEA KABSA......MAAYAI 4BILION NA AATUYAON TUNAKULAA YAKISAASA

  • @AliAli-r9c
    @AliAli-r9c13 күн бұрын

    Mie natumia wheelchair, je nipanda je, nataka kusafiri

  • @bnyangoma

    @bnyangoma

    13 күн бұрын

    Nenda station utajua huko huko

  • @kisutabora5914

    @kisutabora5914

    13 күн бұрын

    @@bnyangomahii si ni mtandao wao TRC, wajibu hapahapa, halafu mtandao wao wa intaneti hawaweki maelezo ya msafiri wa SGR ili asafiri anahitaji afanye nini, kwa mfano mabegi yamezidi uzito au kama kuna toroli station ya kubeba mabegi kama airport.

  • @khamissaleh921
    @khamissaleh92113 күн бұрын

    Wasichana wangekuwa kofia kama zile za wale wenzao wa Kenya Railways wangependeza Sana..

  • @user-cn9br7en7w

    @user-cn9br7en7w

    11 күн бұрын

    Sio Kila cha kuiga

  • @NM-yl2uw
    @NM-yl2uw13 күн бұрын

    uyu jamaa wa ng,ombe yupo theoretical na porojo hizo hizo kila siku ambazo kila mtu anazijua embu tuongee vitu ambavyo vina impact sio ivyo ivyo anavyoongea mkirugenzi na yeye anaongea ivyo ivyo

Келесі