SAFARI YA TRENI YA UMEME DOM - DAR, SHUHUDIA HESABU YA MASAA 4 KITUO HADI KITUO
Жүктеу.....
Пікірлер: 240
@Mohagnito942 ай бұрын
Huku Kenya, bado tunapulizwa na moshi ya treni ya Diesel. Hongera Tanzania. Napenda nchini yenu sana.
@faza4023
2 ай бұрын
Asante tunawapenda Kenya pia ndugu zetu
@AugustKisaka-qy7kl2 ай бұрын
Mungu amlazè mahali pema peonies amina ,alikuwa kiongozi shupavu alie fanya kwa vitendo na si kwa maneno matupu ,tutakukumbuka daima
@lucygodwin75902 ай бұрын
Asante sana Hayati Magufuli kwa maono yako na asante Mh Rais kwa kuendeleza. Hakika watanzania mapungufu hayakosekani ila tujivunie serikali yetu. Watu wa kigoma wanasubiri wa hamu
@user-bk7sk7hc9g
2 ай бұрын
Ni kweli kabisa madam
@malikkb64442 ай бұрын
Hongera Trc hongera Watanzania..Ni jambo la kujivunia 👏👏
@ellybrown59892 ай бұрын
Hongereni,nawaona watumishi wa Mungu ndani ya Train,Lazima upako ufanyike ili Baraka ziwemo katika chombo hiki cha usafiri.🙏
@luganoessom14642 ай бұрын
nimefurahi kumuona mtumishi wa mungu mwamposa😊😇
@peterally-zv2km
2 ай бұрын
Wote hao ni business man
@walterngowi5835
28 күн бұрын
Mtumish wa Mungu wapi tapel huyo hana lolote
@richardrichope35282 ай бұрын
Tuna ku miss JPM 😢 we really miss you 😢
@festokemibala5832
2 ай бұрын
Nammiss Yesu wangu aliyetenda miujiza ya kuwafufua wafu akiwemo Lazaro
@user-ub3xh7ug6c
2 ай бұрын
@@festokemibala5832yes ulimuon ya kaisar mpe kaisar
@henryxavery1713
2 ай бұрын
God bless Prophet.Amen
@user-ne5cg4vv1h
2 ай бұрын
Mmmmh😢
@user-ne5cg4vv1h
2 ай бұрын
@@festokemibala5832ulikwepo??nyny ndio wanafik hupendi ndugu wanaoonekana kwa macho et unampenda MUNGU zaidi acha unafiki razaro umesoma JPM umemuona kwa macho yako 😢 pongeza hata hiyo injili bila miundo mbinu mizuri utahubilia wapi ?
@stevenmasangula21042 ай бұрын
REST IN POWER JPM
@emmagodson30482 ай бұрын
Tunamshukuru sana Mungu kwa kutupa Rais aliyekuwa na maono haya makubwa, watanzania hatutakusahau the late Maghuli RIP.
@Ndegejrtz
2 ай бұрын
Mjomba magu kaacha historia
@TitoRufizi-xb2ub2 ай бұрын
Hongera Magufuri bila wewe tungekuwa tunayashuhudia kwa wenzetu
@zanzibaryetu.26082 ай бұрын
Hongera sana mama kwa kulikamilisha hili hakika watanzania tunajivunia sana kuwa na rais mtendaj kama wewe. Kazi iendeleee.
@salimsaid98522 ай бұрын
Hongereni TRC tunajivunia Watanzania tunapenda Miradi kama hii izunguke Tanzania nzima.
@goodluckharuna628417 күн бұрын
Kiukwel ili ni jambo zuri tunamshukuru mwenyez mungu mbaka kufikia hapa ❤
@godwinsimba1772 ай бұрын
Hongereni sana. Kiwango ni cha kimataifa, kwa tuliosafiri nchi nyingine, na kutumia usafiri kama huu tunaona.
@k.kswitzerland4168
2 ай бұрын
Ni zaidi ya swiss
@ndukulusudikucho_2 ай бұрын
Mitano tena haina jinsi, Hongereni wote mlio fanikisha zoezi hili hasa Kadogosa pia abarikwe Saaana
@godichua4457
2 ай бұрын
Mitano kwa nani? Tunataka rais mwingine hatutaki kuongozwa na mtu asiyejua njaa hii nchi imewahi kuwa na marais wawili tu Magufuli na Nyerere kwahyo 2025 tunataka mtu kama Magufuli acha tulale njaa pweterea pwete tunataka maendeleo sio kula, kula tutakula hata mihogo na maji lakini iwe kubwa kama jina lake lilivyo kubwa Duniani
@subatv40012 ай бұрын
Kwa mda wa masaa manne from dom to dar 444k hapo ilikuwa inatembea kwa speed ya 111km/hr ikitembea full speed ya 160 km/hr itatumia masaa mawili tu Dar tu Dom..... Very impressive #Tanzania yangu maendeleo yetu
@JifunzeNenoLaMungu
2 ай бұрын
Ukitoa dakika za kusimama stand Morogoro inaeza kua inatembea 120km/h
@Soon815
2 ай бұрын
Umbali dar to dom 742km
@JifunzeNenoLaMungu
2 ай бұрын
@@Soon815Hiyo umepata wapi!?
@drisayaambulatoryvetclinic1514
2 ай бұрын
Umbali inategemea na njia pia ndio maana kwa ndege unaweza kuta ni km 300@@Soon815
@godichua4457
2 ай бұрын
Magufuli ni mwanaume wa wanaume, sio huyo mlabata wenu c hata sisi tumeoa tunaona vile mama asivyokuwa na sauti kwenye jamii nyingi watu na akili zao timamu wanampa nchi mtoto wa kishua asiyejua njaa kama sio Magufuli sijui tungekuwa wapi
@user-gn2tz9xd2m2 ай бұрын
Magufull alikuwa na maono makubwa sana sana
@jedidahbintidaudi8241
2 ай бұрын
kwa kweli..ameacha alama mwenzetu huyu baba
@user-ne5cg4vv1h
2 ай бұрын
Hakika Sana 😢
@richardchawenda59382 ай бұрын
Asante saana jpm
@wellbrand34152 ай бұрын
Safi kabisa. Mambo mazuri mnooo. Kila mtanzania awe mlinzi kwa mwenzie kutunza mazingira ya Treni yetu. Tupo vizuri aisee...
@mustafakhanjiwala55822 ай бұрын
Hongera Sana. We wish We Take TRC as Serious Business Asset and Build Better Future for Tanzanian and Tanzania.We Should Be Careful About How We will Manage this Great Railways Huduma for Raia Without Nepotism and Embezzlement of Funds Etc. Journey Has Just Begun. Ahsante.
@jedidahbintidaudi8241
2 ай бұрын
hapo kwa kweli ndo mtihani,,,
@janetkyara80042 ай бұрын
nguo za wanadada zapendeza sana. stewardesses are truly smart, love them. this trip added to my bucket list😊
@edwinmaywa2 ай бұрын
Congratulations tanzania yenu naona nipoa kushinda yetu ya kenya ukiangalia interior design hizo viti sana sana
@queenesther2639
2 ай бұрын
Ww ipende nchi yako! Manung'uniko hayatakusaidia kitu! Na Kwa taarifa yako nchi yako ina muda mrefu Sana iko na train ya mwendo Kasi ñi ww Tu huijui
@edwinmaywa
2 ай бұрын
@@queenesther2639 it's goood to say truth we are ahead of them but upande wa seat wametushinda kitizetu mbofu sana zinaangaliana, zao economy class ziko poa
@jacksonmichael7992 ай бұрын
JPM hakuwa mwanasiasa alikuwa kiongozi kweli kweli leo hayupo lkn sio siri iniater wa treni ya umeme ni yeye na wako wengi kweli leo wanasifu treni ya umeme lkn mwanzo walimpinga kweli JPM...Sisi vijana wa Tanzania tunasema WE ARE TEAM JPM FOREVER✊️.
@tinnahagustinolyelu42472 ай бұрын
Mungu akupumzishe Kwa Amani JPM Asante Kwa naono yako na Mama samiha Ameyatekeleza
@deusdeditpeter80062 ай бұрын
Kazi ya mwamba jpm itukuzwe
@anafisuleimani70832 ай бұрын
Da ipo vzr sana hongereni sana serikali yetu ya jamuhuli ya muungano ya Tanzania
@user-wk2bg8zf3l2 ай бұрын
Mungu ibariki tanzania
@mustaphabett56162 ай бұрын
More love from Nairobi capital city of kenya....congratulations 🎊 mama samia suluhu for the investment
@MikidadiSalim-xk9dc12 күн бұрын
Mashallah
@fab76892 ай бұрын
GOD is Greatest. Amen
@antonynjoka73182 ай бұрын
Congratulations Tanzania for your electric trains
@CarolineJoel-ch3cg2 ай бұрын
Asante JPM
@vero572 ай бұрын
Wafanyakazi wasafi kama wa wezetu wa uro star 👌👍🇹🇿👏👏👏😃
@jafarisaidi49882 ай бұрын
"RELI YETU MAENDELEO YETU TAIFA LETU" KAZI IENDELEE 👏
@JifunzeNenoLaMungu2 ай бұрын
Very useful video, Jaribio jingine muonyeshe speed ya treni mbele kwenye dashboard inasomaje.. au kwa kutumia App ya simu inayoonyesha speed
@saidimwanyiro51472 ай бұрын
Hongera mama samia
@godichua4457
2 ай бұрын
Kafanya nn? Hii yote ni miradi ya Magufuli
@user-dd3ek5fh5g2 ай бұрын
R.I.P JPM
@albertbunyinyiga75812 ай бұрын
JPM SAMIA BIGUP
@jedidahbintidaudi8241
2 ай бұрын
haswaaaa
@vero572 ай бұрын
Hongera sana Tanzania 🇹🇿
@shau782 ай бұрын
mama yetu SSH pongezi nyingi kwako na watenda kazi wenzako. sitataja waliotangulia kwa sababu wewe ndie rais wangu kwa sasa. na unatosha kabisa mama. kabisa
@peterally-zv2km
2 ай бұрын
Hamna kitu hapo# bila Magufuli# Ni ujinga tu#
@yudahwa-ta-seti60753 күн бұрын
Kudos
@mashakabundala99552 ай бұрын
Hongera sana serikali ya jamhuri ya watu wa Tanzania 🇹🇿
@HassaniMzee2 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu Mwamposa mtu wa watu
@petromwakyalabag94842 ай бұрын
Hongera kwa tulipofikia ila bado tunahitaji treni bora na za kisasa sio hizo za kizamani
@godichua4457
2 ай бұрын
Hizi behewa zinanunuliwa used Korea zinakarqbatiwa sisi watanzania kwakuwa hatujawahi kuona kitu kama hiki tunajiona tumapaaaaata..! Hapo Amna kitu tumepigwa alafu hii ni teknolojia ya zamani sana kwa wenzetu wengi tu hamjui mnachelekelea kama mataahira
@KelvinWambura2 ай бұрын
Spending unafakima Mama Samia hongera Kwa kusimamia show to the end
@RUBENNGAYA2 ай бұрын
Vituo viitwe MAGUFUL I STATION
@komuhsengo97962 ай бұрын
Ni kodi zetu na sio TRC tujipongeze wenyewe na aliyeibua na kiukweli tulichelewa,
@AntonyNdayanseАй бұрын
Hakika najivunia kuwa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 nakupenda sana nchi yangu.
@adammbuba72302 ай бұрын
Safi saaaanaaaa
@marymwaya96852 ай бұрын
Mmefaidi jamani❤
@user-ch8it5jr8m2 ай бұрын
Big Up JPM lion of africa for the all time nobody's like u
@user-wk2bg8zf3l2 ай бұрын
ipo vizuri
@crershawmafia10092 ай бұрын
Management ndio tatizo.Project zote huanza ki smart ila baada ya mwaka ni vichekesho, seats na carpet zitachanika kwenye mabehewa ac zitakufa mtawekewa mafeni😂 na lugha chafu za wahudumu kwa abiria...Hii ndio Tanzania tuupe muda nafasi.
@jedidahbintidaudi8241
2 ай бұрын
hii ndo kilio kwa kweli..yaani kazi sana.. watu hatujali..kama ya mwendokasi ikaaribika mmh
@HawaMasoud-xw3ii2 ай бұрын
Ila wahudumu wabadilishe mavazi
@Kabwela7762 ай бұрын
Hila watanzania wasipokuwa wastaarabu hizo treni zitakuwa kama mavi uchafu, abiria wengine wataanza kuwashika matako wahudumu Na kuongea nao kwa lugha chafu , muhimu kuwe na police Na jela arrest kwenye train kwa abiria asiye mstaarabu Na wasiuze pombe kwenye train
@lucasmhagama8166
2 ай бұрын
Q😂😂😂😂😂😂😂😂
@goodmorningafrica6409
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@jeremiapeter683
2 ай бұрын
Ni kweli tahadhari ni Muhimu Sana
@salumumakombo
2 ай бұрын
😅😅😅 kabwelaaa Sina mbavu
@emmanuelmasanja6040
2 ай бұрын
Kuna kikosi Cha polisi relief,huwa kipo miaka yote
@ernestsinje97002 ай бұрын
Hunger Tanzania 🇹🇿
@SweetberthOscar2 ай бұрын
So nkitaka kwenda dar ni kama naenda chooni tu kazi mzuri Tanzania ya mama 🎉🎉🎉
@osoromageta33812 ай бұрын
Niseme ukweli Magu angekuwepo mpka leo mengi yangeshakamilika but sio mbaya mama naye anajitahid japo kwamwendo wa chini sana
@exaverysimon10642 ай бұрын
❤❤❤
@gervasonvenansi92042 ай бұрын
Magufuli peponi
@JamesJastin-bg1rx27 күн бұрын
Eti huyu mwamposa nayeye nabii😢😢😢
@godichua44572 ай бұрын
Hata mabasi ya mwendo kasi yalianzaga kistaarabu Hivi sote tuliona baada ya muda mfupi baadaye utaanza kusikia hii treni haifanyi Kazi mara safari zitaanza kuahirishwa bila sababu taambia linafanyiwa matengenezo yangu macho c tupo wabongo hawana maana yoyote
@emmanueljohn40182 ай бұрын
MBONA RAHA AISEE JAMANI ICHI NDIO NATAKA TANZANIA TUMECHELEWA SANA PIGA KAZI TWENDE
@nashonjoel202 ай бұрын
Hongera sana Mama Samia kukamilisha Mradi kwa hatua ya Dar Dodoma, tunakuombea ukamilike mpaka Mwanza na Kigoma.
@jedidahbintidaudi8241
2 ай бұрын
kajitaidi mno mama huyu..kuhakikisha amalizie alichoanzisha boss/kaka// na Rais wake John Magufuli
@tsindaalpha75832 ай бұрын
2:23 🥰😘🤩😍
@RebeccaMagabe-uu8xg2 ай бұрын
RIP Magufuli through service we remember you.
@rayyanothumanmohammed82612 ай бұрын
Aise nauli bei gan
@davidmalogo71002 ай бұрын
Yani yangekuwa yanawezekana jpm angeluhusiwa tunamungu achungilietu kaziyake aliyo isimamia mana asingekuwa yeye tusingekuwa na leli hii mungu ilaze pemaloho ya kiongozieazo shupavu aliejitoa muhanga amen
@omarybakunda25542 ай бұрын
Naomba muajiri na wahudumu wa kiume tafadhali
@edwardmaguluko6541
2 ай бұрын
Acha kupangia watu wewe
@josephatn5040
2 ай бұрын
Wapo!
@aminata3702
2 ай бұрын
Acha ubaguzi wewe.Kwaiy kuona wanawake unaumia au
@ephraimkabeya9648
2 ай бұрын
Yupo sahihi, Kukiwepo jinsia ke na me ni nzuri zaidi. Kuna dhalula anaweza kuipata mwanaume akiwa safarini akaona aibu kumwambia mwanamke. Wakiwepo wote hata wachache tu ni nzuri zaidi
@IddrisaLubange2 ай бұрын
Asante mama umeundeleza mwingi baada ya kuupiga Big up
@gasparlubaga58662 ай бұрын
Iko hivi mnyonge mnyongeni ila haki yake mpenzi,rest in peace JPM
@omarteethomar1533
2 ай бұрын
Idea ya project mpaka kufika karibia wakandarasi ilianza Awamu ya Kikwete hivyo naye haki yake apewe.
@fredyjeremia70742 ай бұрын
RIP MAGU,,,MUNGU AMEKUPENDA ZAIDI..Mzee mwenye udhubutu.
@AliBakar-sx7lu2 ай бұрын
Tunataka speed 160km kwa Lisaa hapo bado sana
@bigowillythomaskayanda7763
2 ай бұрын
Hayo ni majaribio kaka, usijali itakuwa inakwenda hiyohiyo speed ya 160, kwa saa.
@Village_man_HD2 ай бұрын
😢 kama nawona magufiri ivi anatest... 😭
@giftgondwe16742 ай бұрын
😂😂😂vip kuna ma apple au sio mmeanza sanaaa mapema sana
@kingnyamafutv86462 ай бұрын
Tuna msgukuru MUNGU pia RAISI magufuri na mama samia
@rithadonatus81102 ай бұрын
Nauli sh ngapi
@aishamsemwa-zu3eo
2 ай бұрын
Watujibu sasa jamani, nauli sh ngap
@butotanto2 ай бұрын
Kweli kuna haja ya kula safari ya 4 hours, thats why waafrica tunavitambi
@kelvinmakala5338
2 ай бұрын
Hahaha mbona bites t hizo jmn
@JosephuSwaiАй бұрын
Naona manabii wafanya biasha wapo kwenye kula nchi
@user-wc8eb6nk6l2 ай бұрын
Magufuli popote ulipo tunakukumbuka sana ,il huku mambo yamerudi vilevile japo mama anajitahidi ila wanamuangusha
@Pendo9412 ай бұрын
Bei ianzie laki 1
@user-si6xh4gh1v2 ай бұрын
Ugandan when are we getting ours
@mikelmoses45092 ай бұрын
Hapa ni magufuli tuuuuu majinga yatasema mama
@shairaniabdi2 ай бұрын
bei ya nauli nauliza jaman dar to dom
@leaderonduty99392 ай бұрын
Magufuli akumbukwe
@walterandrew73792 ай бұрын
Nadhani hatua hii ya majaribio hailengi kutest speed, hatua ya ku test speed haijafika.
@handenitakuru66962 ай бұрын
Nauli Dar -Dodoma bei gani?
@user-oz5jm6uk8v2 ай бұрын
RIP Magufuri tulikupenda MUNGU amekupenda zaidi
@HassaniMzee2 ай бұрын
Daima tutamkubuka Hayati Magufuli kadiri tutakavyo itumia treni hii
@JmlangwaChristinaАй бұрын
Usafi jamani, maana watu wengine ustarabu 0
@SarahKihulweАй бұрын
Nauli zikoje
@lordmasali34102 ай бұрын
Kongole gvt of Tz
@rashdiyange77582 ай бұрын
ATA IVO.NIME PENDA JAPO TREN YA UMEME LAKIN MWENDO MZUR SAAA MIMWENDO YA KASI SIO MZUR MASAA MANE DAR DODOMA MAZUR SAN
@omarteethomar15332 ай бұрын
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano. NAPENDA KUSHAURI WAHUDUMU WASIPITE NA MAMIFUKO MYEUSI KUKUSANYA TAKA TAKA KUNA CABINS RUBISH BINS MAALUM WATUMIE KUKUSANYIA TAKA TAKA HAIOENDEZI VIP UNAPITA NA MAMIFUKO YA TAKA KAMA WAOKOTA CHUPA MTAANI.
@markkayuni97752 ай бұрын
Ongera mama samiha mitano tena👊🏽✌️
@johnmboma7712 ай бұрын
Nauli shingapi Dar to Dodoma
@upgo61122 ай бұрын
Kwa kifupi speed hiyo Bado kabisa ..dar ,Dodoma iwe masaaa2
@abubakarishariff84892 ай бұрын
Tunataka masaa mawili
@goodmorningafrica64092 ай бұрын
Dodoma -dar masaa matatu na point, bc hii ni atari
Пікірлер: 240
Huku Kenya, bado tunapulizwa na moshi ya treni ya Diesel. Hongera Tanzania. Napenda nchini yenu sana.
@faza4023
2 ай бұрын
Asante tunawapenda Kenya pia ndugu zetu
Mungu amlazè mahali pema peonies amina ,alikuwa kiongozi shupavu alie fanya kwa vitendo na si kwa maneno matupu ,tutakukumbuka daima
Asante sana Hayati Magufuli kwa maono yako na asante Mh Rais kwa kuendeleza. Hakika watanzania mapungufu hayakosekani ila tujivunie serikali yetu. Watu wa kigoma wanasubiri wa hamu
@user-bk7sk7hc9g
2 ай бұрын
Ni kweli kabisa madam
Hongera Trc hongera Watanzania..Ni jambo la kujivunia 👏👏
Hongereni,nawaona watumishi wa Mungu ndani ya Train,Lazima upako ufanyike ili Baraka ziwemo katika chombo hiki cha usafiri.🙏
nimefurahi kumuona mtumishi wa mungu mwamposa😊😇
@peterally-zv2km
2 ай бұрын
Wote hao ni business man
@walterngowi5835
28 күн бұрын
Mtumish wa Mungu wapi tapel huyo hana lolote
Tuna ku miss JPM 😢 we really miss you 😢
@festokemibala5832
2 ай бұрын
Nammiss Yesu wangu aliyetenda miujiza ya kuwafufua wafu akiwemo Lazaro
@user-ub3xh7ug6c
2 ай бұрын
@@festokemibala5832yes ulimuon ya kaisar mpe kaisar
@henryxavery1713
2 ай бұрын
God bless Prophet.Amen
@user-ne5cg4vv1h
2 ай бұрын
Mmmmh😢
@user-ne5cg4vv1h
2 ай бұрын
@@festokemibala5832ulikwepo??nyny ndio wanafik hupendi ndugu wanaoonekana kwa macho et unampenda MUNGU zaidi acha unafiki razaro umesoma JPM umemuona kwa macho yako 😢 pongeza hata hiyo injili bila miundo mbinu mizuri utahubilia wapi ?
REST IN POWER JPM
Tunamshukuru sana Mungu kwa kutupa Rais aliyekuwa na maono haya makubwa, watanzania hatutakusahau the late Maghuli RIP.
@Ndegejrtz
2 ай бұрын
Mjomba magu kaacha historia
Hongera Magufuri bila wewe tungekuwa tunayashuhudia kwa wenzetu
Hongera sana mama kwa kulikamilisha hili hakika watanzania tunajivunia sana kuwa na rais mtendaj kama wewe. Kazi iendeleee.
Hongereni TRC tunajivunia Watanzania tunapenda Miradi kama hii izunguke Tanzania nzima.
Kiukwel ili ni jambo zuri tunamshukuru mwenyez mungu mbaka kufikia hapa ❤
Hongereni sana. Kiwango ni cha kimataifa, kwa tuliosafiri nchi nyingine, na kutumia usafiri kama huu tunaona.
@k.kswitzerland4168
2 ай бұрын
Ni zaidi ya swiss
Mitano tena haina jinsi, Hongereni wote mlio fanikisha zoezi hili hasa Kadogosa pia abarikwe Saaana
@godichua4457
2 ай бұрын
Mitano kwa nani? Tunataka rais mwingine hatutaki kuongozwa na mtu asiyejua njaa hii nchi imewahi kuwa na marais wawili tu Magufuli na Nyerere kwahyo 2025 tunataka mtu kama Magufuli acha tulale njaa pweterea pwete tunataka maendeleo sio kula, kula tutakula hata mihogo na maji lakini iwe kubwa kama jina lake lilivyo kubwa Duniani
Kwa mda wa masaa manne from dom to dar 444k hapo ilikuwa inatembea kwa speed ya 111km/hr ikitembea full speed ya 160 km/hr itatumia masaa mawili tu Dar tu Dom..... Very impressive #Tanzania yangu maendeleo yetu
@JifunzeNenoLaMungu
2 ай бұрын
Ukitoa dakika za kusimama stand Morogoro inaeza kua inatembea 120km/h
@Soon815
2 ай бұрын
Umbali dar to dom 742km
@JifunzeNenoLaMungu
2 ай бұрын
@@Soon815Hiyo umepata wapi!?
@drisayaambulatoryvetclinic1514
2 ай бұрын
Umbali inategemea na njia pia ndio maana kwa ndege unaweza kuta ni km 300@@Soon815
@godichua4457
2 ай бұрын
Magufuli ni mwanaume wa wanaume, sio huyo mlabata wenu c hata sisi tumeoa tunaona vile mama asivyokuwa na sauti kwenye jamii nyingi watu na akili zao timamu wanampa nchi mtoto wa kishua asiyejua njaa kama sio Magufuli sijui tungekuwa wapi
Magufull alikuwa na maono makubwa sana sana
@jedidahbintidaudi8241
2 ай бұрын
kwa kweli..ameacha alama mwenzetu huyu baba
@user-ne5cg4vv1h
2 ай бұрын
Hakika Sana 😢
Asante saana jpm
Safi kabisa. Mambo mazuri mnooo. Kila mtanzania awe mlinzi kwa mwenzie kutunza mazingira ya Treni yetu. Tupo vizuri aisee...
Hongera Sana. We wish We Take TRC as Serious Business Asset and Build Better Future for Tanzanian and Tanzania.We Should Be Careful About How We will Manage this Great Railways Huduma for Raia Without Nepotism and Embezzlement of Funds Etc. Journey Has Just Begun. Ahsante.
@jedidahbintidaudi8241
2 ай бұрын
hapo kwa kweli ndo mtihani,,,
nguo za wanadada zapendeza sana. stewardesses are truly smart, love them. this trip added to my bucket list😊
Congratulations tanzania yenu naona nipoa kushinda yetu ya kenya ukiangalia interior design hizo viti sana sana
@queenesther2639
2 ай бұрын
Ww ipende nchi yako! Manung'uniko hayatakusaidia kitu! Na Kwa taarifa yako nchi yako ina muda mrefu Sana iko na train ya mwendo Kasi ñi ww Tu huijui
@edwinmaywa
2 ай бұрын
@@queenesther2639 it's goood to say truth we are ahead of them but upande wa seat wametushinda kitizetu mbofu sana zinaangaliana, zao economy class ziko poa
JPM hakuwa mwanasiasa alikuwa kiongozi kweli kweli leo hayupo lkn sio siri iniater wa treni ya umeme ni yeye na wako wengi kweli leo wanasifu treni ya umeme lkn mwanzo walimpinga kweli JPM...Sisi vijana wa Tanzania tunasema WE ARE TEAM JPM FOREVER✊️.
Mungu akupumzishe Kwa Amani JPM Asante Kwa naono yako na Mama samiha Ameyatekeleza
Kazi ya mwamba jpm itukuzwe
Da ipo vzr sana hongereni sana serikali yetu ya jamuhuli ya muungano ya Tanzania
Mungu ibariki tanzania
More love from Nairobi capital city of kenya....congratulations 🎊 mama samia suluhu for the investment
Mashallah
GOD is Greatest. Amen
Congratulations Tanzania for your electric trains
Asante JPM
Wafanyakazi wasafi kama wa wezetu wa uro star 👌👍🇹🇿👏👏👏😃
"RELI YETU MAENDELEO YETU TAIFA LETU" KAZI IENDELEE 👏
Very useful video, Jaribio jingine muonyeshe speed ya treni mbele kwenye dashboard inasomaje.. au kwa kutumia App ya simu inayoonyesha speed
Hongera mama samia
@godichua4457
2 ай бұрын
Kafanya nn? Hii yote ni miradi ya Magufuli
R.I.P JPM
JPM SAMIA BIGUP
@jedidahbintidaudi8241
2 ай бұрын
haswaaaa
Hongera sana Tanzania 🇹🇿
mama yetu SSH pongezi nyingi kwako na watenda kazi wenzako. sitataja waliotangulia kwa sababu wewe ndie rais wangu kwa sasa. na unatosha kabisa mama. kabisa
@peterally-zv2km
2 ай бұрын
Hamna kitu hapo# bila Magufuli# Ni ujinga tu#
Kudos
Hongera sana serikali ya jamhuri ya watu wa Tanzania 🇹🇿
Mtumishi wa Mungu Mwamposa mtu wa watu
Hongera kwa tulipofikia ila bado tunahitaji treni bora na za kisasa sio hizo za kizamani
@godichua4457
2 ай бұрын
Hizi behewa zinanunuliwa used Korea zinakarqbatiwa sisi watanzania kwakuwa hatujawahi kuona kitu kama hiki tunajiona tumapaaaaata..! Hapo Amna kitu tumepigwa alafu hii ni teknolojia ya zamani sana kwa wenzetu wengi tu hamjui mnachelekelea kama mataahira
Spending unafakima Mama Samia hongera Kwa kusimamia show to the end
Vituo viitwe MAGUFUL I STATION
Ni kodi zetu na sio TRC tujipongeze wenyewe na aliyeibua na kiukweli tulichelewa,
Hakika najivunia kuwa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 nakupenda sana nchi yangu.
Safi saaaanaaaa
Mmefaidi jamani❤
Big Up JPM lion of africa for the all time nobody's like u
ipo vizuri
Management ndio tatizo.Project zote huanza ki smart ila baada ya mwaka ni vichekesho, seats na carpet zitachanika kwenye mabehewa ac zitakufa mtawekewa mafeni😂 na lugha chafu za wahudumu kwa abiria...Hii ndio Tanzania tuupe muda nafasi.
@jedidahbintidaudi8241
2 ай бұрын
hii ndo kilio kwa kweli..yaani kazi sana.. watu hatujali..kama ya mwendokasi ikaaribika mmh
Ila wahudumu wabadilishe mavazi
Hila watanzania wasipokuwa wastaarabu hizo treni zitakuwa kama mavi uchafu, abiria wengine wataanza kuwashika matako wahudumu Na kuongea nao kwa lugha chafu , muhimu kuwe na police Na jela arrest kwenye train kwa abiria asiye mstaarabu Na wasiuze pombe kwenye train
@lucasmhagama8166
2 ай бұрын
Q😂😂😂😂😂😂😂😂
@goodmorningafrica6409
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@jeremiapeter683
2 ай бұрын
Ni kweli tahadhari ni Muhimu Sana
@salumumakombo
2 ай бұрын
😅😅😅 kabwelaaa Sina mbavu
@emmanuelmasanja6040
2 ай бұрын
Kuna kikosi Cha polisi relief,huwa kipo miaka yote
Hunger Tanzania 🇹🇿
So nkitaka kwenda dar ni kama naenda chooni tu kazi mzuri Tanzania ya mama 🎉🎉🎉
Niseme ukweli Magu angekuwepo mpka leo mengi yangeshakamilika but sio mbaya mama naye anajitahid japo kwamwendo wa chini sana
❤❤❤
Magufuli peponi
Eti huyu mwamposa nayeye nabii😢😢😢
Hata mabasi ya mwendo kasi yalianzaga kistaarabu Hivi sote tuliona baada ya muda mfupi baadaye utaanza kusikia hii treni haifanyi Kazi mara safari zitaanza kuahirishwa bila sababu taambia linafanyiwa matengenezo yangu macho c tupo wabongo hawana maana yoyote
MBONA RAHA AISEE JAMANI ICHI NDIO NATAKA TANZANIA TUMECHELEWA SANA PIGA KAZI TWENDE
Hongera sana Mama Samia kukamilisha Mradi kwa hatua ya Dar Dodoma, tunakuombea ukamilike mpaka Mwanza na Kigoma.
@jedidahbintidaudi8241
2 ай бұрын
kajitaidi mno mama huyu..kuhakikisha amalizie alichoanzisha boss/kaka// na Rais wake John Magufuli
2:23 🥰😘🤩😍
RIP Magufuli through service we remember you.
Aise nauli bei gan
Yani yangekuwa yanawezekana jpm angeluhusiwa tunamungu achungilietu kaziyake aliyo isimamia mana asingekuwa yeye tusingekuwa na leli hii mungu ilaze pemaloho ya kiongozieazo shupavu aliejitoa muhanga amen
Naomba muajiri na wahudumu wa kiume tafadhali
@edwardmaguluko6541
2 ай бұрын
Acha kupangia watu wewe
@josephatn5040
2 ай бұрын
Wapo!
@aminata3702
2 ай бұрын
Acha ubaguzi wewe.Kwaiy kuona wanawake unaumia au
@ephraimkabeya9648
2 ай бұрын
Yupo sahihi, Kukiwepo jinsia ke na me ni nzuri zaidi. Kuna dhalula anaweza kuipata mwanaume akiwa safarini akaona aibu kumwambia mwanamke. Wakiwepo wote hata wachache tu ni nzuri zaidi
Asante mama umeundeleza mwingi baada ya kuupiga Big up
Iko hivi mnyonge mnyongeni ila haki yake mpenzi,rest in peace JPM
@omarteethomar1533
2 ай бұрын
Idea ya project mpaka kufika karibia wakandarasi ilianza Awamu ya Kikwete hivyo naye haki yake apewe.
RIP MAGU,,,MUNGU AMEKUPENDA ZAIDI..Mzee mwenye udhubutu.
Tunataka speed 160km kwa Lisaa hapo bado sana
@bigowillythomaskayanda7763
2 ай бұрын
Hayo ni majaribio kaka, usijali itakuwa inakwenda hiyohiyo speed ya 160, kwa saa.
😢 kama nawona magufiri ivi anatest... 😭
😂😂😂vip kuna ma apple au sio mmeanza sanaaa mapema sana
Tuna msgukuru MUNGU pia RAISI magufuri na mama samia
Nauli sh ngapi
@aishamsemwa-zu3eo
2 ай бұрын
Watujibu sasa jamani, nauli sh ngap
Kweli kuna haja ya kula safari ya 4 hours, thats why waafrica tunavitambi
@kelvinmakala5338
2 ай бұрын
Hahaha mbona bites t hizo jmn
Naona manabii wafanya biasha wapo kwenye kula nchi
Magufuli popote ulipo tunakukumbuka sana ,il huku mambo yamerudi vilevile japo mama anajitahidi ila wanamuangusha
Bei ianzie laki 1
Ugandan when are we getting ours
Hapa ni magufuli tuuuuu majinga yatasema mama
bei ya nauli nauliza jaman dar to dom
Magufuli akumbukwe
Nadhani hatua hii ya majaribio hailengi kutest speed, hatua ya ku test speed haijafika.
Nauli Dar -Dodoma bei gani?
RIP Magufuri tulikupenda MUNGU amekupenda zaidi
Daima tutamkubuka Hayati Magufuli kadiri tutakavyo itumia treni hii
Usafi jamani, maana watu wengine ustarabu 0
Nauli zikoje
Kongole gvt of Tz
ATA IVO.NIME PENDA JAPO TREN YA UMEME LAKIN MWENDO MZUR SAAA MIMWENDO YA KASI SIO MZUR MASAA MANE DAR DODOMA MAZUR SAN
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano. NAPENDA KUSHAURI WAHUDUMU WASIPITE NA MAMIFUKO MYEUSI KUKUSANYA TAKA TAKA KUNA CABINS RUBISH BINS MAALUM WATUMIE KUKUSANYIA TAKA TAKA HAIOENDEZI VIP UNAPITA NA MAMIFUKO YA TAKA KAMA WAOKOTA CHUPA MTAANI.
Ongera mama samiha mitano tena👊🏽✌️
Nauli shingapi Dar to Dodoma
Kwa kifupi speed hiyo Bado kabisa ..dar ,Dodoma iwe masaaa2
Tunataka masaa mawili
Dodoma -dar masaa matatu na point, bc hii ni atari
Nayaona mabasi yatakapoterekezwa na wenye mabasi