#RELInaMATUKIO

Пікірлер: 13

  • @modenasayi
    @modenasayi

    Jamani lini mnafanya❤testing ya EMU tumeshachoka

  • @a.m_--68
    @a.m_--68

    Magufuli apewe beheewa lake, huyu mzeee ndie aliye thubutu kusema tunaweza hata kama wametunyima mkopo. Pongezi Kwa serikali kufanikisha hili 👏👏

  • @bazilmwakajila2923
    @bazilmwakajila2923

    TRC Reli Tv please punguzeni kuonesha wanasiasa wakitoa hotuba n.k kwa mfano huyo mkurugenzi wa trc anaongea maneno hayo hayo kila mara tumechoka.Onesheni mradi unavyoendelea n.k. Kwa mfano tungependa kuona maendeleo ya stesheni ya Dodoma kwa mchana.Mnazidiwa hata na KZreadr Explore with Bertin amefanya coverage nzuri sana na amepata views nyingi across the continent iweje nyie wenye financial resources hamfanyi vizuri?

  • @michaelrweyemamu1068
    @michaelrweyemamu1068

    Treni ni nzuri sana, naipongeza TRC But platform za SGR sio rafiki kwa walemavu. Walemavu hawawezi kuingia ndani ya Treni na baiskeli yake bila msaada. Kwa stesheni ambazo bado hazijajengwa ni vizuri mkazilinganisha sawa sawa na mlango wa behewa

  • @ratiohagu2637
    @ratiohagu2637

    Nimependa sana wahudumu wa train the way walivyo vaa, smile zao, tembea hakika wanavutia

  • @dayan_lee
    @dayan_lee

    mko nyuma sana upande wa Video productions jifunzeni kwa KZreadrs, yaan shirika la serikali kabisa mnashindwa kuproduce video zenye Quality Kubwaa, Kumbukeni video zenu zinaweza kutumiwa na mashirika makubwa ya habari pamoja na youtubers wenye Millions of subscribers so hakikisheni mnakuwa na hadi 4k ili videos zenu zitumike vizuri na creators wanaotaka kuongelea hili suara la reli ya umeme

  • @ChrisPA2007
    @ChrisPA2007

    Tatizo lenu Trc Reli tv, you spend too much video time showing us politicians Instead of showing us the train.!! TUNATAKA KUONA TRENI !! Sio wana siasa bwana!

  • @karafuunanazi1701
    @karafuunanazi1701

    Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika

  • @HassanAbdallaRashid
    @HassanAbdallaRashid14 сағат бұрын

    Dar - Dodoma inachukua Muda gani

  • @vkingcurry
    @vkingcurry

    Kulikuwepo na wazo la SGR kutoka tanga- kilimanjaro - arusha- mara ilioishia wap?!

  • @salehsimba5306
    @salehsimba5306

    Na Ile mchongoko itatestiwa lini?!! Au Ile haina haja ya kutestiwa?!!

  • @user-rv3ml6cf7e
    @user-rv3ml6cf7e

    Tusubili uchaguzi

Келесі