#TBC1
Kipindi hiki Cha Wekeza Tanzania kinakupeleka site ukajionee uhalisia wa kituo Cha kupokea umeme wa megawati 2115 wa Bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere
Mtangazaji - Vumilia Mwasha
Mwongozaji - Neligwa Muggitu
Mdhamini - AZANIA BANK
Kipindi hiki Cha Wekeza Tanzania kinakupeleka site ukajionee uhalisia wa kituo Cha kupokea umeme wa megawati 2115 wa Bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere
Mtangazaji - Vumilia Mwasha
Mwongozaji - Neligwa Muggitu
Mdhamini - AZANIA BANK
Пікірлер: 7
VIVAA...TZ..VIVAA!!
huyu dada yuko vizur sana anahoji on point kana kwamba yuko vichwani mwetu watazamaji. Big up 💪🏾
🇹🇿🇹🇿🌹👏
Mojawapo ya lengo la kujenga bwawa la umeme la mwalimu nyerere ilikuwa ni kupata umeme kwa bei nafuu ili kuchochea sekta ya viwanda. Serikali isimamie hilo.
Hiyo mtambo mbona kinyelezi ilikuwa ipo Sawa na hiyo
Fensi siioni. Ni muhimu pawe Well fenced maana ni muundombinu muhimu sana huu.
@ahmedkyama4734
19 күн бұрын
Huna macho