#TBC1

Kipindi hiki Cha Wekeza Tanzania kinakupeleka site ukajionee uhalisia wa kituo Cha kupokea umeme wa megawati 2115 wa Bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere
Mtangazaji - Vumilia Mwasha
Mwongozaji - Neligwa Muggitu
Mdhamini - AZANIA BANK

Пікірлер: 7

  • @omzedstationary932
    @omzedstationary93219 күн бұрын

    VIVAA...TZ..VIVAA!!

  • @mduda_i
    @mduda_i19 күн бұрын

    huyu dada yuko vizur sana anahoji on point kana kwamba yuko vichwani mwetu watazamaji. Big up 💪🏾

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk19 күн бұрын

    🇹🇿🇹🇿🌹👏

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi763719 күн бұрын

    Mojawapo ya lengo la kujenga bwawa la umeme la mwalimu nyerere ilikuwa ni kupata umeme kwa bei nafuu ili kuchochea sekta ya viwanda. Serikali isimamie hilo.

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw19 күн бұрын

    Hiyo mtambo mbona kinyelezi ilikuwa ipo Sawa na hiyo

  • @josephbundala1475
    @josephbundala147519 күн бұрын

    Fensi siioni. Ni muhimu pawe Well fenced maana ni muundombinu muhimu sana huu.

  • @ahmedkyama4734

    @ahmedkyama4734

    19 күн бұрын

    Huna macho