HATORUHUSIWA MTU KUINGIA NA SILAHA, SGR HAIKUJA KUCHUKUA NAFASI YA TRENI YA ZAMANI, MKURUGENZI TRC

Mkurungenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Masanja Kadogosa leo amefanya uzinduzi kampeni la Reli Tanzania Jijini dar es salaam ambapo lengo ni kuelekea safari za Treni ya SGR inayotarajiwa kuanza July mwishoni huku akieleza kuwa Treni ya SGR haijaja kuchukua nafasi ya treni ya zamani na kuwaonya wale wanaotaka kuhujumu mradi

Пікірлер: 67

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490Ай бұрын

    Mzee magu Hoyeeeeeeeeeee timu magu tujuane

  • @selemanisalum7685

    @selemanisalum7685

    Ай бұрын

    Bila kumsahau aliejenga magu alianza mtangulizi wake kajenga yeye ndio alikuwa anaruka huko na huko kutafuta pesa sasa ukimsifu magu unakosea wasifu wote waliopambana kwa pamoja

  • @mcback4384
    @mcback4384Ай бұрын

    Kwanza hapo pa kukataza mamizigo ya ajabu ajabu niwapongeze sababu kuna watu watataka wapande na mafurushi kama wakimbizi, pia watu wachafu wasiruhusiwe kabisa kabisa watoke nyumbani wameoga wapo wasafi

  • @jasonwatz7457

    @jasonwatz7457

    Ай бұрын

    Kwakweli, kuna watu na ustaarab 0

  • @jimodefighter

    @jimodefighter

    Ай бұрын

    akuna ace taka kucfiwa bt Hali halic ndo yakubid uwe...we acha tuuh man...we kaah umezkuta shukuru

  • @allykassim1120

    @allykassim1120

    Ай бұрын

    dodoma laki! Moja mchongoko😂😂😂saf sana

  • @vero57
    @vero57Ай бұрын

    TANZANIA OYEEEE 🎉🎉🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @fredyjunior6961
    @fredyjunior6961Ай бұрын

    Hapo kweli lazima kuwa strict. Kuna watu akili mbovu sana

  • @FahadAbubakari

    @FahadAbubakari

    Ай бұрын

    Mnoo nakumbuka ule uwanja ww taifa ulipofunguliwa siku ya kwanza watu wakaiba mabomba vyooni na kuharibu ushamba mwingi sana tZ

  • @modestusndunguru7183
    @modestusndunguru7183Ай бұрын

    Hapo ndio mnakuja kumuelewa..magu.....jom..maana mwanzo alipigwa vita sana..na akina tomaso saivi wanajionea wenyewe..kile walichokuwa wanakipinga.....ukienda nchi zingine..kila sekta imesheehen..unachagua usafiri na chombo gani........r..i..pi....jpm....👏👏👏👏👏👏👏

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438Ай бұрын

    Tanzania safiiiii

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dhАй бұрын

    Lazima kuwe na security check -point takutumia metal detector vinginevyo mnajua watu wenu walivyo.

  • @samsonsimon3138
    @samsonsimon3138Ай бұрын

    Huu usafiri ugeaza kutumika kitambo sema kazi zetu tunazitumia kisiasa do maana tunachelewa kupata huduma mfano bwawa la nyerere ikifka mwakan linaaza kazi ili kuagalia uchanguzi mkuu 2025 watanzania waendelee kuamini

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758Ай бұрын

    Mama Samia na watanzania na maguu oyeeeee🤛 Bado Moshi dar ianzee

  • @MsanangoMwalabu-rx1oo
    @MsanangoMwalabu-rx1ooАй бұрын

    Kadogosa hakikisha hata polisi wawekwe kwa kuzingatia sheria na busara wengi wao.wanatamaa sana.watalitia aibu taiga maana watakuwepo wageni mbalimbali itumike scan siyo kumwaga nguo kama zamani wanang'ania nguo mpya wanaomba lisiti wengi walizaliliswa sana polisi waende na wakati Siku izi camera ninyingi

  • @daudimaniseli759
    @daudimaniseli759Ай бұрын

    YA ALLAH...ROHO YA UJASIR NAROHO YA KUAMIN MATUMAINI KWA WATU WAKE KAMA ULIVYO AHIDI KUMLIPA ATAKAE FANYA SADAKA ENAYO ENDELEA BASI ILIPE ROHO ILI SEMA TUNA WEZA,,,AKAAMIN TUNAWEZA NA PIA MH.RAIS HONGERA KWA KUENDELEZA UJENZI HUO MKUBWA KWA WATANZANIA,,NIKAZ KUBWA UMEFANYA NIWAOMBE WATANZANIA TUITUNZE NA YENYEWE ITUTUNZE NA WOTE WANAO HUSIKA NCHINI WAKUBALI MABADILIKO NCHI INAKUWA SIO KILA SIKU MAROLI.

  • @johnb.j.m206
    @johnb.j.m206Ай бұрын

    Kiswahli fasaha kichwa cha habari kingekuwa, " Mtu hataruhusiwa kuingia na silaha" na siyo "hatoruhusiwa". Millard waambie waandishi wasiharibu kiswahili.

  • @fredducaunt

    @fredducaunt

    Ай бұрын

    🤓🤓

  • @GeofreyMwandanji-ot2lf
    @GeofreyMwandanji-ot2lfАй бұрын

    Magufuli oyeeeee

  • @elidiustudoy2640
    @elidiustudoy2640Ай бұрын

    Masaai jee😅😅😅na sime yake

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215Ай бұрын

    💥💥💥💥💥💥💥💥💥

  • @ilakozasembumende1975
    @ilakozasembumende1975Ай бұрын

    Mwisho wa july teeena😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @JustinePatrinius

    @JustinePatrinius

    Ай бұрын

    Elewa watanza official mwezi wa 7 Lakin wao wanaanza mapema yani june

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9urАй бұрын

    John Pombe magufuli oyeeee

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985Ай бұрын

    Mie hofu yangu wasukuma na wamaasai na fimbo zao itakuaje hapo ? utamaduni wao kutembea na visu na fimbo.

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339Ай бұрын

    Wekeni vitu visivyotakiwa tujipange kabla ya kukata ticketing kwa mtandao

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040Ай бұрын

    Itunzwe,maana,watu wataingia na miwa na mbuzi😂😂😂

  • @mawazomakuu

    @mawazomakuu

    Ай бұрын

    😅😅Kuku na huku wamebeba ugali na dagaa

  • @daudimaniseli759

    @daudimaniseli759

    Ай бұрын

    Daaaa😅😅 nimecheka

  • @KhamisNagunwa
    @KhamisNagunwaАй бұрын

    Hayo ndio maendleo ya nchi

  • @magorymara5515
    @magorymara5515Ай бұрын

    Waliovunja viti kwa mkapa wapo kwahiyo kuweni makini

  • @simonchavalla7827

    @simonchavalla7827

    Ай бұрын

    Hatua Kali zichukuliwe ,Kwa watakao haribu miundo mbinu , it shouldn't be business as usual , forward ever backway never

  • @ommykiss7049
    @ommykiss7049Ай бұрын

    Wasukuma na wamakaonde mmesikia huko vyakula havitakiwi 😂😂

  • @waluohopaulo2116
    @waluohopaulo2116Ай бұрын

    Waweke detector na CCTV camera ndani ya hizo train

  • @vero57
    @vero57Ай бұрын

    Mimi nafiliria chooni tuu hapa khee!!!

  • @ilakozasembumende1975
    @ilakozasembumende1975Ай бұрын

    Tulijiandaa katikati ya June tena mmesogeza july😢😢😢😢 dodoma

  • @Moresa196

    @Moresa196

    Ай бұрын

    Mpende kusikiliza maelekezo. Amesema safari ya dar morogoro inaanza kesho tarehe 14 June safari ya dar mpaka dodoma ni mwezi wa saba

  • @kamilikapeta2574
    @kamilikapeta2574Ай бұрын

    Wasukuma watani mmeskia

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cdАй бұрын

    malufuku ya kuingia Na silaha imekaaa vibaya Niutaratibu wa hovyo kwaiy mimi bunduki yangu Niache wap sasa wakati Nasafili shelia inanitaka bastora yangu Niwe Nayo mda wote mimi Nitaingia Nayo mzee siwezi kuacha silaha yangu kwa mtu yyte

  • @hemedisalim5522

    @hemedisalim5522

    Ай бұрын

    Kapande shabiby line

  • @karimjuma4019

    @karimjuma4019

    Ай бұрын

    Km unakaidi Sheria za wakuu wa sekta iyo we sio mzalendo

  • @mduda_i

    @mduda_i

    Ай бұрын

    Kapande basi. Watu kama nyie ndo mnachelewesha maendeleo ya nchi akili hamzishughulishi kabisa yani. na sijui hiyo siraha umepewaje pewaje

  • @MohammedAwadh-gq9si

    @MohammedAwadh-gq9si

    Ай бұрын

    Kuna utaratibu maalumu umeshambiwa ! Hivi kwenye ndege utaingiana slaha!

  • @Moresa196

    @Moresa196

    Ай бұрын

    We jamaa kiazi sana.

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetvАй бұрын

    Muwe makini kuna watu waliwahi kuvunja mageti uwanja wa Taifa

  • @fredyjunior6961

    @fredyjunior6961

    Ай бұрын

    Wapo na walong'oa viti. Wasiojua umuhimu wa kutunza vitu vizuri.

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyesАй бұрын

    Ndio leo nashangaa kuona mrango wa treni ya abiria kuna ngazi asa waremavu watapanda vp, treni ya mwendo kasi aipaswi kuwekwa ngazi, harafu iko mbari mirango kama unapanda na mtoto mdogo inabidi umnyanyue duu😂

  • @mduda_i

    @mduda_i

    Ай бұрын

    kwenye ndege hakuna ngazi? huwa wanapandaje?

  • @vero57
    @vero57Ай бұрын

    Mwazo tuu hapo wasafii we subiri baadae utaona kila rangi

  • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
    @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hlАй бұрын

    Watu wa moro uwa waslabu awana muda wa kuchora chora kwenye viti ukitaka kuamini angalia abood au bm kwenye vitu kupo saf shda ipo uko kuelekea kanda ya ziwa

  • @JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMAN
    @JUMAMGWENOMGWENOABDALHAMANАй бұрын

    Nchi yetu inaamani

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029Ай бұрын

    Nauli laki duuh imekuwa ndege iyo

  • @UnitedAfrica-uw9ct
    @UnitedAfrica-uw9ctАй бұрын

    MAfurushi ya MIHOGO peleka MGR 🤣🤣🤣

  • @user-bh5xp5dj1d
    @user-bh5xp5dj1dАй бұрын

    Msivhanganyikiwe mkapanga bei kama vile wote ni wapiga dilii wekeni bei rafiki kwetu waponda kokoto na mama lishee

  • @denisipaulo7785
    @denisipaulo7785Ай бұрын

    Vip waudumu ni watoto wa vigogo au walala hoi

  • @graysonpastory1918

    @graysonpastory1918

    Ай бұрын

    Watanzania

  • @MohammedAwadh-gq9si

    @MohammedAwadh-gq9si

    Ай бұрын

    Wewe jua kupanda ! Wahudumu unawatakia nini! Wahudumu wako bar

  • @dicksonkilupa2258

    @dicksonkilupa2258

    Ай бұрын

    Hii siyo rafiki kwa mlala hoi. wahudumu lazima wawe na sura za mtego eti?

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974Ай бұрын

    Wanaanza kwa mbwembwe mwisho shirika wataliua awakawii kugeuza shamba la bibi mwendo kasi inakufa maneno mengi vitendo 0

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258Ай бұрын

    KWANI HIZO SILAHA HAZINA VIBALI HADI MZUIE? MFANYA BIASHARA TOKA DSM KWENDA DODOMA ATAKUWA NA USALAMA UPI IKIWA MTAMZUIA KUJILINDA? BARA SIYO KISIWA. VIRUNGU NA MIKUKI NA MANATI NA VIBUNDUKI LAZIMA VITAINGIA HUMO. LABDA KUWE NA SEHEMU YA KUVIKABIDHI HADI MWISHO WA SAFARI NDO MTU AKABIDHIWE.

  • @jivunetv
    @jivunetvАй бұрын

    NA MTU AMBAYE AJAOGA MSIMRUHUSU KUINGIA

  • @amossamson8955
    @amossamson8955Ай бұрын

    Kila kheri Mama Samia Hassan suluh natamani sana kupata nafasi ya kuonana na wewe!!

  • @khamissaleh921
    @khamissaleh921Ай бұрын

    Mbona maneno mengi ,treni ni usafiri kama.basi,Kenya na ethiopia wamefungua ila hawajakuwa wana maneno mengi na kila siku unasikia katika majaribio ,Ina maana hawaja ridhisha sasa huyo.muundaji na aliejenga reli. Bado hawajasaini kuwa Iko tayari?

  • @temuemanuel4671

    @temuemanuel4671

    Ай бұрын

    Treni za Tanzania hazina tofauti na ndege, hivyo huwezi ukalinganisha na za Ethiopia au Kenya

  • @Ambeniwatano
    @AmbeniwatanoАй бұрын

    Warembo wanaregeza

Келесі