HATORUHUSIWA MTU KUINGIA NA SILAHA, SGR HAIKUJA KUCHUKUA NAFASI YA TRENI YA ZAMANI, MKURUGENZI TRC
Mkurungenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC) Masanja Kadogosa leo amefanya uzinduzi kampeni la Reli Tanzania Jijini dar es salaam ambapo lengo ni kuelekea safari za Treni ya SGR inayotarajiwa kuanza July mwishoni huku akieleza kuwa Treni ya SGR haijaja kuchukua nafasi ya treni ya zamani na kuwaonya wale wanaotaka kuhujumu mradi
Пікірлер: 67
Mzee magu Hoyeeeeeeeeeee timu magu tujuane
@selemanisalum7685
Ай бұрын
Bila kumsahau aliejenga magu alianza mtangulizi wake kajenga yeye ndio alikuwa anaruka huko na huko kutafuta pesa sasa ukimsifu magu unakosea wasifu wote waliopambana kwa pamoja
Kwanza hapo pa kukataza mamizigo ya ajabu ajabu niwapongeze sababu kuna watu watataka wapande na mafurushi kama wakimbizi, pia watu wachafu wasiruhusiwe kabisa kabisa watoke nyumbani wameoga wapo wasafi
@jasonwatz7457
Ай бұрын
Kwakweli, kuna watu na ustaarab 0
@jimodefighter
Ай бұрын
akuna ace taka kucfiwa bt Hali halic ndo yakubid uwe...we acha tuuh man...we kaah umezkuta shukuru
@allykassim1120
Ай бұрын
dodoma laki! Moja mchongoko😂😂😂saf sana
TANZANIA OYEEEE 🎉🎉🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hapo kweli lazima kuwa strict. Kuna watu akili mbovu sana
@FahadAbubakari
Ай бұрын
Mnoo nakumbuka ule uwanja ww taifa ulipofunguliwa siku ya kwanza watu wakaiba mabomba vyooni na kuharibu ushamba mwingi sana tZ
Hapo ndio mnakuja kumuelewa..magu.....jom..maana mwanzo alipigwa vita sana..na akina tomaso saivi wanajionea wenyewe..kile walichokuwa wanakipinga.....ukienda nchi zingine..kila sekta imesheehen..unachagua usafiri na chombo gani........r..i..pi....jpm....👏👏👏👏👏👏👏
Tanzania safiiiii
Lazima kuwe na security check -point takutumia metal detector vinginevyo mnajua watu wenu walivyo.
Huu usafiri ugeaza kutumika kitambo sema kazi zetu tunazitumia kisiasa do maana tunachelewa kupata huduma mfano bwawa la nyerere ikifka mwakan linaaza kazi ili kuagalia uchanguzi mkuu 2025 watanzania waendelee kuamini
Mama Samia na watanzania na maguu oyeeeee🤛 Bado Moshi dar ianzee
Kadogosa hakikisha hata polisi wawekwe kwa kuzingatia sheria na busara wengi wao.wanatamaa sana.watalitia aibu taiga maana watakuwepo wageni mbalimbali itumike scan siyo kumwaga nguo kama zamani wanang'ania nguo mpya wanaomba lisiti wengi walizaliliswa sana polisi waende na wakati Siku izi camera ninyingi
YA ALLAH...ROHO YA UJASIR NAROHO YA KUAMIN MATUMAINI KWA WATU WAKE KAMA ULIVYO AHIDI KUMLIPA ATAKAE FANYA SADAKA ENAYO ENDELEA BASI ILIPE ROHO ILI SEMA TUNA WEZA,,,AKAAMIN TUNAWEZA NA PIA MH.RAIS HONGERA KWA KUENDELEZA UJENZI HUO MKUBWA KWA WATANZANIA,,NIKAZ KUBWA UMEFANYA NIWAOMBE WATANZANIA TUITUNZE NA YENYEWE ITUTUNZE NA WOTE WANAO HUSIKA NCHINI WAKUBALI MABADILIKO NCHI INAKUWA SIO KILA SIKU MAROLI.
Kiswahli fasaha kichwa cha habari kingekuwa, " Mtu hataruhusiwa kuingia na silaha" na siyo "hatoruhusiwa". Millard waambie waandishi wasiharibu kiswahili.
@fredducaunt
Ай бұрын
🤓🤓
Magufuli oyeeeee
Masaai jee😅😅😅na sime yake
💥💥💥💥💥💥💥💥💥
Mwisho wa july teeena😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@JustinePatrinius
Ай бұрын
Elewa watanza official mwezi wa 7 Lakin wao wanaanza mapema yani june
John Pombe magufuli oyeeee
Mie hofu yangu wasukuma na wamaasai na fimbo zao itakuaje hapo ? utamaduni wao kutembea na visu na fimbo.
Wekeni vitu visivyotakiwa tujipange kabla ya kukata ticketing kwa mtandao
Itunzwe,maana,watu wataingia na miwa na mbuzi😂😂😂
@mawazomakuu
Ай бұрын
😅😅Kuku na huku wamebeba ugali na dagaa
@daudimaniseli759
Ай бұрын
Daaaa😅😅 nimecheka
Hayo ndio maendleo ya nchi
Waliovunja viti kwa mkapa wapo kwahiyo kuweni makini
@simonchavalla7827
Ай бұрын
Hatua Kali zichukuliwe ,Kwa watakao haribu miundo mbinu , it shouldn't be business as usual , forward ever backway never
Wasukuma na wamakaonde mmesikia huko vyakula havitakiwi 😂😂
Waweke detector na CCTV camera ndani ya hizo train
Mimi nafiliria chooni tuu hapa khee!!!
Tulijiandaa katikati ya June tena mmesogeza july😢😢😢😢 dodoma
@Moresa196
Ай бұрын
Mpende kusikiliza maelekezo. Amesema safari ya dar morogoro inaanza kesho tarehe 14 June safari ya dar mpaka dodoma ni mwezi wa saba
Wasukuma watani mmeskia
malufuku ya kuingia Na silaha imekaaa vibaya Niutaratibu wa hovyo kwaiy mimi bunduki yangu Niache wap sasa wakati Nasafili shelia inanitaka bastora yangu Niwe Nayo mda wote mimi Nitaingia Nayo mzee siwezi kuacha silaha yangu kwa mtu yyte
@hemedisalim5522
Ай бұрын
Kapande shabiby line
@karimjuma4019
Ай бұрын
Km unakaidi Sheria za wakuu wa sekta iyo we sio mzalendo
@mduda_i
Ай бұрын
Kapande basi. Watu kama nyie ndo mnachelewesha maendeleo ya nchi akili hamzishughulishi kabisa yani. na sijui hiyo siraha umepewaje pewaje
@MohammedAwadh-gq9si
Ай бұрын
Kuna utaratibu maalumu umeshambiwa ! Hivi kwenye ndege utaingiana slaha!
@Moresa196
Ай бұрын
We jamaa kiazi sana.
Muwe makini kuna watu waliwahi kuvunja mageti uwanja wa Taifa
@fredyjunior6961
Ай бұрын
Wapo na walong'oa viti. Wasiojua umuhimu wa kutunza vitu vizuri.
Ndio leo nashangaa kuona mrango wa treni ya abiria kuna ngazi asa waremavu watapanda vp, treni ya mwendo kasi aipaswi kuwekwa ngazi, harafu iko mbari mirango kama unapanda na mtoto mdogo inabidi umnyanyue duu😂
@mduda_i
Ай бұрын
kwenye ndege hakuna ngazi? huwa wanapandaje?
Mwazo tuu hapo wasafii we subiri baadae utaona kila rangi
Watu wa moro uwa waslabu awana muda wa kuchora chora kwenye viti ukitaka kuamini angalia abood au bm kwenye vitu kupo saf shda ipo uko kuelekea kanda ya ziwa
Nchi yetu inaamani
Nauli laki duuh imekuwa ndege iyo
MAfurushi ya MIHOGO peleka MGR 🤣🤣🤣
Msivhanganyikiwe mkapanga bei kama vile wote ni wapiga dilii wekeni bei rafiki kwetu waponda kokoto na mama lishee
Vip waudumu ni watoto wa vigogo au walala hoi
@graysonpastory1918
Ай бұрын
Watanzania
@MohammedAwadh-gq9si
Ай бұрын
Wewe jua kupanda ! Wahudumu unawatakia nini! Wahudumu wako bar
@dicksonkilupa2258
Ай бұрын
Hii siyo rafiki kwa mlala hoi. wahudumu lazima wawe na sura za mtego eti?
Wanaanza kwa mbwembwe mwisho shirika wataliua awakawii kugeuza shamba la bibi mwendo kasi inakufa maneno mengi vitendo 0
KWANI HIZO SILAHA HAZINA VIBALI HADI MZUIE? MFANYA BIASHARA TOKA DSM KWENDA DODOMA ATAKUWA NA USALAMA UPI IKIWA MTAMZUIA KUJILINDA? BARA SIYO KISIWA. VIRUNGU NA MIKUKI NA MANATI NA VIBUNDUKI LAZIMA VITAINGIA HUMO. LABDA KUWE NA SEHEMU YA KUVIKABIDHI HADI MWISHO WA SAFARI NDO MTU AKABIDHIWE.
NA MTU AMBAYE AJAOGA MSIMRUHUSU KUINGIA
Kila kheri Mama Samia Hassan suluh natamani sana kupata nafasi ya kuonana na wewe!!
Mbona maneno mengi ,treni ni usafiri kama.basi,Kenya na ethiopia wamefungua ila hawajakuwa wana maneno mengi na kila siku unasikia katika majaribio ,Ina maana hawaja ridhisha sasa huyo.muundaji na aliejenga reli. Bado hawajasaini kuwa Iko tayari?
@temuemanuel4671
Ай бұрын
Treni za Tanzania hazina tofauti na ndege, hivyo huwezi ukalinganisha na za Ethiopia au Kenya
Warembo wanaregeza