MUONEKANO MPYA SOKO LA KARIAKOO, LINA MADUKA, MGAHAWA, MABENKI NA MIFUMO YA KUZIMA MOTO “UJENZI 93%”
Жүктеу.....
Пікірлер: 84
@Hillary_Daudi_Mrema4 күн бұрын
Tuwe wangwana tu, Pongezi kwa Mheshimiwa Rais Dokta Samia. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿
@Shadia5444 күн бұрын
TANZANIA yetu na maendeleo ❤❤❤ amani na pendo ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@NassoroSipemba3 күн бұрын
Mh akifanya vzr basi huongwana ni kumpongeza sio kutafuta mabaya na kufanya fimbo ya kumchapia, kwa mara ya kwanza wa tz wanashuhudia muonekano mpya wa soko la kariakoo tokea Enzi kupata uhuru chini ya uongozi wa baba wa taifa.
@zomasamweli4 күн бұрын
Sasa kama hilo soko hadi hapo lilipofikia imetumika bilioni 28 tu,, Afu ndo mwijaku anasema nyumba yake imekula bilioni 1.1 kumbe mwijaku muongo sana anataka sifa kwenye hamna😂😂😂😂
@Dipeson700
2 күн бұрын
Hapana, serikali Huwa inatumia pesa nyingi sana KUJENGA, yani unaweza Jenga msingi Kwa mifuko 20 ya cement ila serikali inatumia mifuko 60 mpka 100 Kwa msingi, utofauti ni huo
@joasitz95594 күн бұрын
Tumpe mauwa yake Rais wetu, Samia. Kazi nzuri sana
@hijaabdalah92353 күн бұрын
🥇mama maua yakwako izi ndizo habar watanzania tulizoea sikia
@TrinaRoman3454 күн бұрын
Afu kuna mjinga mmoja huko anasema tuandamane 😂😂😂 kweli wale wenzetu njaa ile tusiharibu nchi yetu
@user-nb6yh2bn9y
4 күн бұрын
Amina 🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🥰
@disanatv4485
4 күн бұрын
Kumbe umeona sisi Na Tanzania yetu, Amani TU NA MUNGU WETU.😂😂😂
@TrinaRoman345
4 күн бұрын
@@disanatv4485 Eeh buana ... hakuna taifa ambalo watu wasilipe kodi. tuko huku nje kuna makodi nusu ya mshahara unao upokea ni kulipa bills tofauti tofauti na bado tunakomaa 😅😅
@exaverysimon1064
4 күн бұрын
WENYEWE wananikeraga sana😢😢😢😢
@zomasamweli
4 күн бұрын
kweli kabisa tulinde amani ya anchi🇹🇿yetu
@jumashedafa4 күн бұрын
Mashaallah...Allah ni mwema mno kwetu
@MasoudUmeme4 күн бұрын
Nakupenda Tanzania yangu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@vincej9275
22 сағат бұрын
Hongera sana TZ kwa maendeleo kama haya.
@vanessastafford64262 күн бұрын
Serikali inajitahidi Sana kujenga miundombinu Bora, 👏👏👏👏👏 Tatizo ni uchafu, na matengenezo. Sasa ona hilo soko linavyong'aa ngoja wakianza kulitumia litakavyokuwa.
@Kim19onlinetv4 күн бұрын
Kikubwa tuitunze AMANI ya 🇹🇿
@UhaiLegeza4 күн бұрын
Love it
@abdallahkambangwa72153 күн бұрын
Mama mm nakuunga mkono sana kwa maendeleo unayotuletea, Tunakushuru sana
@zainabumartin95204 күн бұрын
Mashaallah tabarak
@omarybakunda25544 күн бұрын
Asante sana rais Samia
@user-vn9yi3dj4q3 күн бұрын
Namkubali mama samiah suluhu Hassan, muonyeshe Raisi wetu tapeli Ruto awache uwongo na uwizi namna yakuongoza nchi
@kekiplus1andonly2 күн бұрын
Ewala hapo safi Sama.. hilo ndo soko sasa,na benki zipo..tanzania yetu inawakawaka sasa,international levels
Ufisadi kwenye ugawaji wa ivo visehemu vya biashara angalieni sana hata soko la stend ya JPM
@ZainaBu-zs6wc4 күн бұрын
Mama samia woyeeeeee
@Dipeson7002 күн бұрын
Best job,ila sasa mteja kupanda mpka juu 😢
@markkayuni97753 күн бұрын
Ongera mama tupige kwa vitendo ivo wala usionge sana🙌🙌
@mathiasdaud78424 күн бұрын
Upatikanaji wa chumba sas
@barakamanga55023 күн бұрын
Lilipo Waka tu moto, nilijua tu kuwa Watakuwa na mpango kulijenga upya au kukalabati.ila kuwatoa hivihivi isingewezekana,
@StAr-yu3vz3 күн бұрын
Jengo nzuri ira sie watanzania soko tutalichafuliwa tatizo mazingira choo hakitamani
@tinnahagustinolyelu42474 күн бұрын
Mtaa wa kongo unaingiza kila siku kodi Milioni kumi na moja na hapo zinginezimeingia mifukoni na hapo kadi itazidi
@MohamedRashid-py7ro13 сағат бұрын
Yasiwe mabanda nje ya soko wafanya biashara watendaji tu wasichukue jiji kuwe na uwazi iwe sheria kali sana na endelevu
@kalingaasukile87303 күн бұрын
Kazi nzuri ya Samia hii
@aishafrancis77144 күн бұрын
Naweza kupotea hapo sio kwa uzuri huo🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@eggysulle7988
3 күн бұрын
Bora ww mi ntapotea mazima😂😂
@swaiseif29893 күн бұрын
Wawe wasafi basi wafnya biashara....maana pamejengwa vizur Sana ila usafi muhim
@rich-lr8tqКүн бұрын
hili lilichomwa makususdi ili likarabatiwe maana tofauti na hivyo ingekuwa ngum sana
@agnessangawe38443 күн бұрын
HONGERA SANA KWA KAZI NZURI.OMBI KWA MKUU WA MKOA MIMI NAITWA AGNES ALFONCE NI MMAMA MLEMAVU LAKINI NINAUTAALAM KIDOGO WA AFYA.NAOMBA NAFASI YA FREM NA MKOPO KIDOGO KUFUNGUA DUKA LA DAWA BARIDI.NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU KWA MAMA SAMIA
@omante1944 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@maidimples82364 күн бұрын
Lini linafunguliwa
@catherinesekumbo83473 күн бұрын
Jamani tuzingatie sasa Usafi jengo hilo zuri ila tukishindwa kuwa wastara u tutaliharibu.
@ModextaModexta-on7mi3 күн бұрын
,👌🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@meflorlionel74972 күн бұрын
Hapo kwenye gorofa 8 umetupiga
@Sahlomon-jp4jr4 күн бұрын
Walinda legacy wana hasiraaaa!
@maidimples82364 күн бұрын
Sasa mbona hamjalionesha lote
@mufaddalmoawalla85224 күн бұрын
Mwongooo sana wee mtangazaji.walikuwa hawalipi kodi ya aina yeyote,wacha kudanganya,na mpaka leo hii hawalipi hata sh.moja ya kodi za serikali,mwongoooo sanaa
@omarybakunda2554
4 күн бұрын
Wewe unalipa sh. Ngapi?
@mufaddalmoawalla8522
4 күн бұрын
@@omarybakunda2554 nalipa kodi zote za serekali ,labda nawewe mi mwizi wa kulipa kodi ndo maana imekuwasha
@barakamanga55023 күн бұрын
Lipo Zuri sana, tumepiga hatua kitaifa kwakweli
@emmanuelmogasa49816 сағат бұрын
Kwa nini usimpe muda injinia aongee?
@drgeofreykupaza77072 күн бұрын
Usafi sasa
@meeksson35893 күн бұрын
Wekeni escalator acheni uswahili
@WakiliHaule4 күн бұрын
Mngewaambia tu wafanyabiashara kama mnataka kulirekebisha soko sio kwa kuwachomea moto bidhaa zao
@user-ji7sy2wi7b
4 күн бұрын
Acha roho mbaya
@NassorMohammed-oy7bc4 күн бұрын
Hili na kwerekwe lipi kubwa
@Sidrasidra6364 күн бұрын
Huko juu kuko wazi wale wenye kujirusha kwenye magorofa sitakuwa rahisi kwao😢
@eggysulle7988
3 күн бұрын
😂😂😂😂wamerahsishiwa
@letthedeadburythedead2148
3 күн бұрын
Acha wajirushe
@odenmasebo97774 күн бұрын
walichoma ili wajenge
@zainabumartin95204 күн бұрын
Lkn kodo zetu ndo zimejenga sio serikari
@user-ji7sy2wi7b
4 күн бұрын
Acha kukaza fuvu, hujui kama serkali ikiwa mbaya unaweza ukalipa Kodi na serkali hiyo isijenge. Kwa hiyo shukuru serkali
@letthedeadburythedead2148
3 күн бұрын
Ulichangia shingapi wewe binafsi?
@richkaja33174 күн бұрын
Litakua soko la mabos tupu
@salumalriyamy
4 күн бұрын
Lakini kwa idadi ya vizimba na namna kariakoo inavyoendeshwa na biashara, huoni watafaidika wauzaji?
Пікірлер: 84
Tuwe wangwana tu, Pongezi kwa Mheshimiwa Rais Dokta Samia. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendeleee 🇹🇿🇹🇿
TANZANIA yetu na maendeleo ❤❤❤ amani na pendo ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mh akifanya vzr basi huongwana ni kumpongeza sio kutafuta mabaya na kufanya fimbo ya kumchapia, kwa mara ya kwanza wa tz wanashuhudia muonekano mpya wa soko la kariakoo tokea Enzi kupata uhuru chini ya uongozi wa baba wa taifa.
Sasa kama hilo soko hadi hapo lilipofikia imetumika bilioni 28 tu,, Afu ndo mwijaku anasema nyumba yake imekula bilioni 1.1 kumbe mwijaku muongo sana anataka sifa kwenye hamna😂😂😂😂
@Dipeson700
2 күн бұрын
Hapana, serikali Huwa inatumia pesa nyingi sana KUJENGA, yani unaweza Jenga msingi Kwa mifuko 20 ya cement ila serikali inatumia mifuko 60 mpka 100 Kwa msingi, utofauti ni huo
Tumpe mauwa yake Rais wetu, Samia. Kazi nzuri sana
🥇mama maua yakwako izi ndizo habar watanzania tulizoea sikia
Afu kuna mjinga mmoja huko anasema tuandamane 😂😂😂 kweli wale wenzetu njaa ile tusiharibu nchi yetu
@user-nb6yh2bn9y
4 күн бұрын
Amina 🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🥰
@disanatv4485
4 күн бұрын
Kumbe umeona sisi Na Tanzania yetu, Amani TU NA MUNGU WETU.😂😂😂
@TrinaRoman345
4 күн бұрын
@@disanatv4485 Eeh buana ... hakuna taifa ambalo watu wasilipe kodi. tuko huku nje kuna makodi nusu ya mshahara unao upokea ni kulipa bills tofauti tofauti na bado tunakomaa 😅😅
@exaverysimon1064
4 күн бұрын
WENYEWE wananikeraga sana😢😢😢😢
@zomasamweli
4 күн бұрын
kweli kabisa tulinde amani ya anchi🇹🇿yetu
Mashaallah...Allah ni mwema mno kwetu
Nakupenda Tanzania yangu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@vincej9275
22 сағат бұрын
Hongera sana TZ kwa maendeleo kama haya.
Serikali inajitahidi Sana kujenga miundombinu Bora, 👏👏👏👏👏 Tatizo ni uchafu, na matengenezo. Sasa ona hilo soko linavyong'aa ngoja wakianza kulitumia litakavyokuwa.
Kikubwa tuitunze AMANI ya 🇹🇿
Love it
Mama mm nakuunga mkono sana kwa maendeleo unayotuletea, Tunakushuru sana
Mashaallah tabarak
Asante sana rais Samia
Namkubali mama samiah suluhu Hassan, muonyeshe Raisi wetu tapeli Ruto awache uwongo na uwizi namna yakuongoza nchi
Ewala hapo safi Sama.. hilo ndo soko sasa,na benki zipo..tanzania yetu inawakawaka sasa,international levels
Kumbe mama haja lala🤝
Mama samia tano tena🎉🎉
Tanzania ni yamaendeleo
KIMYA KIMYAAA TUNASONGA NA MAMA..
Amazing 😍😍😍
I am appreciate
Safi sana❤🎉
😂😂😂😂 alie. Sikia ukikanyaga nyoka ukionajani unkimbia nyoosha kidole juuu
Love it... tzzz we are proud of you mama Samia
Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Tumieni akili, soko linaungua leo, halafu kesho kutwa michoro ipo tayari
Well
Ufisadi kwenye ugawaji wa ivo visehemu vya biashara angalieni sana hata soko la stend ya JPM
Mama samia woyeeeeee
Best job,ila sasa mteja kupanda mpka juu 😢
Ongera mama tupige kwa vitendo ivo wala usionge sana🙌🙌
Upatikanaji wa chumba sas
Lilipo Waka tu moto, nilijua tu kuwa Watakuwa na mpango kulijenga upya au kukalabati.ila kuwatoa hivihivi isingewezekana,
Jengo nzuri ira sie watanzania soko tutalichafuliwa tatizo mazingira choo hakitamani
Mtaa wa kongo unaingiza kila siku kodi Milioni kumi na moja na hapo zinginezimeingia mifukoni na hapo kadi itazidi
Yasiwe mabanda nje ya soko wafanya biashara watendaji tu wasichukue jiji kuwe na uwazi iwe sheria kali sana na endelevu
Kazi nzuri ya Samia hii
Naweza kupotea hapo sio kwa uzuri huo🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@eggysulle7988
3 күн бұрын
Bora ww mi ntapotea mazima😂😂
Wawe wasafi basi wafnya biashara....maana pamejengwa vizur Sana ila usafi muhim
hili lilichomwa makususdi ili likarabatiwe maana tofauti na hivyo ingekuwa ngum sana
HONGERA SANA KWA KAZI NZURI.OMBI KWA MKUU WA MKOA MIMI NAITWA AGNES ALFONCE NI MMAMA MLEMAVU LAKINI NINAUTAALAM KIDOGO WA AFYA.NAOMBA NAFASI YA FREM NA MKOPO KIDOGO KUFUNGUA DUKA LA DAWA BARIDI.NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU KWA MAMA SAMIA
🎉🎉🎉🎉
Lini linafunguliwa
Jamani tuzingatie sasa Usafi jengo hilo zuri ila tukishindwa kuwa wastara u tutaliharibu.
,👌🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hapo kwenye gorofa 8 umetupiga
Walinda legacy wana hasiraaaa!
Sasa mbona hamjalionesha lote
Mwongooo sana wee mtangazaji.walikuwa hawalipi kodi ya aina yeyote,wacha kudanganya,na mpaka leo hii hawalipi hata sh.moja ya kodi za serikali,mwongoooo sanaa
@omarybakunda2554
4 күн бұрын
Wewe unalipa sh. Ngapi?
@mufaddalmoawalla8522
4 күн бұрын
@@omarybakunda2554 nalipa kodi zote za serekali ,labda nawewe mi mwizi wa kulipa kodi ndo maana imekuwasha
Lipo Zuri sana, tumepiga hatua kitaifa kwakweli
Kwa nini usimpe muda injinia aongee?
Usafi sasa
Wekeni escalator acheni uswahili
Mngewaambia tu wafanyabiashara kama mnataka kulirekebisha soko sio kwa kuwachomea moto bidhaa zao
@user-ji7sy2wi7b
4 күн бұрын
Acha roho mbaya
Hili na kwerekwe lipi kubwa
Huko juu kuko wazi wale wenye kujirusha kwenye magorofa sitakuwa rahisi kwao😢
@eggysulle7988
3 күн бұрын
😂😂😂😂wamerahsishiwa
@letthedeadburythedead2148
3 күн бұрын
Acha wajirushe
walichoma ili wajenge
Lkn kodo zetu ndo zimejenga sio serikari
@user-ji7sy2wi7b
4 күн бұрын
Acha kukaza fuvu, hujui kama serkali ikiwa mbaya unaweza ukalipa Kodi na serkali hiyo isijenge. Kwa hiyo shukuru serkali
@letthedeadburythedead2148
3 күн бұрын
Ulichangia shingapi wewe binafsi?
Litakua soko la mabos tupu
@salumalriyamy
4 күн бұрын
Lakini kwa idadi ya vizimba na namna kariakoo inavyoendeshwa na biashara, huoni watafaidika wauzaji?