Rais Samia Azungumzia Maandamano ya CHADEMA, 'Tumewaruhusu Wamesema Nini?'
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amezungumza haya wakati akipokea gawio na michango kutoka mashirika na taasisi za umma Ikulu jijini Dar es Salaam, leo tarehe 11/06/2024.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Пікірлер: 22
Jisifie kwa dharau! Ila kesho yako huijui anaijua Mungu! Pole sana! Unaowadharau kuna siku Mungu atawainua! Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!
Toa uwoga hata kwenye katiba mpya.mimi nitakupa kura yangu.vinginevyo hupati
Kikokotoo ni Mali ya fisiyemu
Unaongea kwa dharau ila matokeo utayapata
Haya jitie moyo
Kumbe uligawa
Hawo mama waliokuwa wanakukataza hawana nia njema na Nchi hii
Rais umesoma katiba ya nchi Ibara ya 20?? inaruhusu mikutano ya hadhara sio hisani ya Rais na umeapa kulinda na kuheshimu katiba ya nchi..
Subiri utaona,Tena upweke na katiba mpya bila uwoga
Munawaruhusu au ni katiba haya maisha ya upandaji wa bei ya sukari na petrol kwako ni fura Kwa kuwa mnakula Kodi zetu
Hujui kitakachotokea et,aya jisifu mama
Chadema acheni uoga bana maandamano yaanze kwa Kasi bungeni magogoni na chamwino biblia inasema uoga ni dhambi mnatuchelewesha kujitawala tume iwe huru
0:07
Tulimwambia mbowe usiende kuonana na Rais alipotoka gerezani akaenda unaona Sasa hivi anapowadharau
Hakuna Cha Gawiyo Hapo Wala Nn Sinema Tupu Umeamua Kutuliza Watu Lissu Anakupelekesha Ujui Hata. Ufanye Nn
@KamwandaNzowa-eo4ur
Ай бұрын
Unasema Lisu anamperekesha nani kawe Rais wewe hekima na busara ndiyo siraha tosha hapa Duniani
@user-ud8pm1ks2b
Ай бұрын
Rais wa ovyooo wew
Nisheria sio wewe umeruhusu
Duuu sas inatakiwa wanaichi itumie ngufu sas
Kusemwa siugonjwa
Tuna Rais wa ovyo sana katika nchi yetu huwezi kuzungumza hayo maneno ukizingatia wananchi wanateseka kumbe Rais anafanya mambo yake hata Hana huruma
Magufuli akuogopa wapinzani aliogopa waliompigia kura abao.niwananchi ndomaana alifanyakazi kwa bidi nakauli yake ya hapa kazi TU kwa sasa atuna wapinzani tuna walamba asali hata hayo maandamano ni usanii TU mpinzan wa nchi hii alikuwa JPM tuzidi kumuombea kwa mungu