Rais Samia Azungumzia Maandamano ya CHADEMA, 'Tumewaruhusu Wamesema Nini?'

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amezungumza haya wakati akipokea gawio na michango kutoka mashirika na taasisi za umma Ikulu jijini Dar es Salaam, leo tarehe 11/06/2024.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.

Пікірлер: 22

  • @usembiphonedar5632
    @usembiphonedar5632Ай бұрын

    Jisifie kwa dharau! Ila kesho yako huijui anaijua Mungu! Pole sana! Unaowadharau kuna siku Mungu atawainua! Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6ziАй бұрын

    Toa uwoga hata kwenye katiba mpya.mimi nitakupa kura yangu.vinginevyo hupati

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159Ай бұрын

    Kikokotoo ni Mali ya fisiyemu

  • @SimbaNaali-fw3zz
    @SimbaNaali-fw3zzАй бұрын

    Unaongea kwa dharau ila matokeo utayapata

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745Ай бұрын

    Haya jitie moyo

  • @kaguripenina63
    @kaguripenina63Ай бұрын

    Kumbe uligawa

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4urАй бұрын

    Hawo mama waliokuwa wanakukataza hawana nia njema na Nchi hii

  • @user-fr7jj1bo7y
    @user-fr7jj1bo7yАй бұрын

    Rais umesoma katiba ya nchi Ibara ya 20?? inaruhusu mikutano ya hadhara sio hisani ya Rais na umeapa kulinda na kuheshimu katiba ya nchi..

  • @DevothaLighton-dl6zi
    @DevothaLighton-dl6ziАй бұрын

    Subiri utaona,Tena upweke na katiba mpya bila uwoga

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yqАй бұрын

    Munawaruhusu au ni katiba haya maisha ya upandaji wa bei ya sukari na petrol kwako ni fura Kwa kuwa mnakula Kodi zetu

  • @denismisango6166
    @denismisango6166Ай бұрын

    Hujui kitakachotokea et,aya jisifu mama

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159Ай бұрын

    Chadema acheni uoga bana maandamano yaanze kwa Kasi bungeni magogoni na chamwino biblia inasema uoga ni dhambi mnatuchelewesha kujitawala tume iwe huru

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159Ай бұрын

    0:07

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3yАй бұрын

    Tulimwambia mbowe usiende kuonana na Rais alipotoka gerezani akaenda unaona Sasa hivi anapowadharau

  • @user-cj2iq1qv6n
    @user-cj2iq1qv6nАй бұрын

    Hakuna Cha Gawiyo Hapo Wala Nn Sinema Tupu Umeamua Kutuliza Watu Lissu Anakupelekesha Ujui Hata. Ufanye Nn

  • @KamwandaNzowa-eo4ur

    @KamwandaNzowa-eo4ur

    Ай бұрын

    Unasema Lisu anamperekesha nani kawe Rais wewe hekima na busara ndiyo siraha tosha hapa Duniani

  • @user-ud8pm1ks2b

    @user-ud8pm1ks2b

    Ай бұрын

    Rais wa ovyooo wew

  • @YekoniaKusiluka-jt2ju
    @YekoniaKusiluka-jt2juАй бұрын

    Nisheria sio wewe umeruhusu

  • @user-jx5ze9wz8e
    @user-jx5ze9wz8eАй бұрын

    Duuu sas inatakiwa wanaichi itumie ngufu sas

  • @SelijusiMalambo-rh6sf
    @SelijusiMalambo-rh6sfАй бұрын

    Kusemwa siugonjwa

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3yАй бұрын

    Tuna Rais wa ovyo sana katika nchi yetu huwezi kuzungumza hayo maneno ukizingatia wananchi wanateseka kumbe Rais anafanya mambo yake hata Hana huruma

  • @HashimuAbubakar-ej8gc
    @HashimuAbubakar-ej8gcАй бұрын

    Magufuli akuogopa wapinzani aliogopa waliompigia kura abao.niwananchi ndomaana alifanyakazi kwa bidi nakauli yake ya hapa kazi TU kwa sasa atuna wapinzani tuna walamba asali hata hayo maandamano ni usanii TU mpinzan wa nchi hii alikuwa JPM tuzidi kumuombea kwa mungu

Келесі