Yesu Ndiye njia kweli na uzima ; nidiye tunayefaa kimfuata mbaka kufika mbinguni John 14:6
@emmanuelkija66642 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu pastor Ndacha kwa injili nzuri
@user-qy9qu1bn8j
3 ай бұрын
Unapo waubiria waambie bwana yesu asifiwe
@user-qy9qu1bn8j
3 ай бұрын
Lakini chungana nao kwa maana wanaomkataa yesu ni wapinga kisto
@user-qy9qu1bn8j
3 ай бұрын
Uislamu sio dini ya mungu
@paskalmichael66583 жыл бұрын
Barikiwa Sana mtumishi wa mungu
@eliyawilliammagesamarwa84134 жыл бұрын
Yesu ni bwana na mwokozi wetu
@alsamali6964
2 жыл бұрын
Angejiokoa mwenyewe kwanza msalabani
@mutangaramazanidavid66422 жыл бұрын
Mimi ni pasta David Ramadhani Toka uko Congo -DRC nakupenda Sana ndugu yangu . Nataka ufike ukopiya tuna kusubiri kwa Huba Sana.
@peterkanembe8403 жыл бұрын
Huyu mchungaji yuko vizuri sana.
@judithmoturi34022 жыл бұрын
Amen Mungu ujitetea kweli Barikiwa mwalimu 🙏
@eaglecrown6470 Жыл бұрын
Nimependa Sana mnavyochambua vitabu pasipo kugombana mijadala kama hii ilikuwepo Tanzania ikawainaleta kugombana kiasi Cha kukatazwa. Amina 🙏🏿 MUNGU awabaliki Sana Kwa moyo wa kutaka kuijua kweli
@joycepassionatemulama14444 жыл бұрын
Ameeeen... Bibilia kitabu cha milele na milele.
@bigirindavyideo8698
2 жыл бұрын
Safi sana
@AmosObanda23Thursday16Nov8am2 жыл бұрын
Leo Mwalimu wa kiislamu asema Bwana Yesu asifiwe, Namwona akiokoka🙏 Yesu yupo kazini,
@frankmpembu52993 жыл бұрын
Waislamu tokeni kwa shetani, njooni kwa Yesu.
@t7zkc5tpxgim284 жыл бұрын
Mungu awabariki sana watumishi
@janenjenga5639
4 жыл бұрын
Amina
@monicabh1668
2 жыл бұрын
Aminaa
@casaica29933 жыл бұрын
Barikiwa Mwalimu Ndacha...wafunze kabisaa
@ayubulwambo4554
2 жыл бұрын
Tatizo umasikini wa akilii
@ayubulwambo4554
2 жыл бұрын
Naongea na mhisilam
@elispiuselias13392 жыл бұрын
hizi ni mbegu za kina Daniel na gasper, Mungu azidi kuwatia nguvu, za mwaka 2011/2012
@selestinsongola27872 жыл бұрын
Huu nifafanuz wa maneno ya mungu hivyo msiwe mnakashfu maneno ya mungu matakatifu pawepo na ufafanuz mzuri wenye kumpendeza mungu nawatu wafuate injili yake yes amin
@musasimon69042 жыл бұрын
Good ndacha
@georgeotieno13932 жыл бұрын
God bless you abundantly mtumishi Ndacha
@mpelienock4 жыл бұрын
Hii midahalo ikifanyika kwa amani na subra ni bora sana kukuza fahamu za watu kujua misingi ya dini. Na baada ya hapo watu wasigombane wasalimiane na kila mtu aende kwa amani.
@countercheck887 Жыл бұрын
Hongera Mwalimu Ndacha. Mungu azidi kuinuliwa
@derickomoghela99482 жыл бұрын
Paul Hassan ananikosha namna anavyosoma! Blessing to you all there. in the name of Jesus, Amen.
@trucillahgesare95012 жыл бұрын
Maombi yangu ,naomba mungu afungue waislam akili macho na wafunge mdomo wasikie mandisi ya bibilia
@amosamoo59514 жыл бұрын
Tunaongozwa na roho mtakatifu...wakristo hawawezi kupooshwa
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
Ndugu hebu nitumie namba ya roho mtakatifu nataka niongee nae
@danielernest8588
3 жыл бұрын
@@yusarjunkhanna4100 maswali ya kijinga haya
@golflima5392
3 жыл бұрын
@@yusarjunkhanna4100 Soma Quran 2:87 ujuwe Roho Takatifu ni nani.
@franciskabila81364 жыл бұрын
Mmbarikiwe waalimu wangu
@benjaminbatano32934 жыл бұрын
Unapotea kwa sababu haumjui Mungu wa kweli, Mungu ni Mungu wa watu wote wenye mwili.
@CK-ii5cc
4 жыл бұрын
Mungu Ni wa wote lakini kwa wale wanampinga hata yeye atawapinga
@benjaminbatano3293
4 жыл бұрын
Labda ungesikiliza kwanza hoja ya msingi kuliko kusema Mungu huwapinga wanaompinga!! Sawa Dada!
@FrankAloyce-ic6rq2 ай бұрын
Goo
@ndikumanainnnocent77962 жыл бұрын
Allah Akbar proud to be muslim 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@davidkombo2377
Жыл бұрын
You are lost bro, , , wake up
@adamissa83072 жыл бұрын
Ndacha, mtumishi wa wazungu.
@irenekaluse3501
Жыл бұрын
Nawewe mtumishi wa mwarabu
@josephchui4794 жыл бұрын
Kweli ndacha ww ni mwalimu unawafundisha waislamu vzr
@pandukhatib9682
4 жыл бұрын
Firaun alikuwa na kiburi ,jeuri alikuwa akipinga quran je kimemfika na watu wake wakaangamizwa kwenye bahari nanyi wapingaji quran wele wao moto mkali wawasubir
@omarmukhutar6847
4 жыл бұрын
@@pandukhatib9682 firaun mgani aliekua anaikata quran toa andiko na ni enzi gani hizo
@hamisimfaumenamwewe193
3 жыл бұрын
Wakristo akiri zero. Hamzingatii maandiko ushabiki tu
@danielernest85884 жыл бұрын
WAISLAM WAMESHINDWA KUJIELEZA HAPA KUHUSU QURAN YAO
Remember shetani alitupwa toka mbinguni, kwahiyo anawezekana alianguka akiwa kitabu Quran so siajabu,
@mohammedhassan8968
4 жыл бұрын
Bibilia ndo imesema amaaa????
@DaughterofUbuntu1988
4 жыл бұрын
Revaluation 12:7-17
@gilbertvicent4229
4 жыл бұрын
Qur'an ni kitabu kitakatifu kutoka kwa Mungu ila biblia zipo nyingi sana na zinabadilishwa kila kukicha mimi nimekimbia huko kwani ukiristo sio dini na ni uongo tu. Hivi mungu anapigwa viboko km mwizi hadi kusulubiwa? Hivi mungu ni fundi fanicha? Yesu alikua seremala...
@musashaha4209
3 жыл бұрын
Wewe huna akili soma utajua sema nyinyi wakristo hamsomi Bali mnawasilikiliza viongozi wenu wakanisa hakuna kuhoji chochote sasa nyinyi mnapotea kuweni na akili sio mmekomaa na elimu dunia mnajiona mmesoma da shida kweli ona huyu mchungaji anabolonga tu hata mm wapemben naona anabolonga itakuwa na walimu wetu hapo wanamcheka tu
@casaica2993
3 жыл бұрын
Na ni kweli hakuna kupinga ililetwa n shetani...
@Casaica3 жыл бұрын
BIBILI NI KIBATU KIMEANDIKWA NA MUNGU AMEN
@alhakukinis2229
2 жыл бұрын
Shame on u all wakiristo
@rachealnazi9115
Жыл бұрын
@@alhakukinis2229 matusi haya saidii ama marehemu wenu Muhammad ndivyo alivyo wafundisha kabla hakufa🙄🙄
@irenekaluse3213
Жыл бұрын
@@rachealnazi9115 rachel🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@muhumuregentil5880 Жыл бұрын
Mwalimu ndacha Mungu akubariki sana
@nairobiflavour3 жыл бұрын
Biblia ni kitabu kitakatifu cha mungu sio kilio tukuzwa na mwanadamu
@alydjuma30822 жыл бұрын
Mutumishi mungu ahedeleye kuku Linda
@erickngatunga23592 жыл бұрын
midahalo imeimarisha sana imani yangu kwa kristo.
@margaretmkangala77744 жыл бұрын
Inawezekana imeteremshwa kutoka kwa mkuu wa anga na sio mbinguni
@avithegbert9046
4 жыл бұрын
Labda mrs
@peacefulabdhulhakeem30324 жыл бұрын
Mwanzo, kabla ya Anwani hiyo ati, "Qur'an Tukufu imeandikwa na walevi," La msingi kujiuliza kabla ya chochote na kufikiria hivyo ni kwamba, Je? Wamiliki wa mabaa, clubs, casinos na maduka za pombe zote duniani, ni Waislamu au Wakristo!?" Ambao hata makanisani, wanapewa mvinyo na bado kijivunia bila aibu wala majuto kuwa, wanakula mwili wa Yesu na kunywa damu yake! VAMPIRES KWELI!!!👹👹👹
@bennyngoye8707
4 жыл бұрын
HAKUNA MUISLAMU WALA MKRISTU MBELE ZA MUNGU,FIKRA ZETU NDO ZINATUPOTOSHA.
@aidarousshaban9580
4 жыл бұрын
Majuha ndio wanaweza kuamini kunywa damu ya yesu alikuwa ana pipa ngapi za hiyo damu?
@mwanaishamlima2047
3 жыл бұрын
Wakristo ndo walevi wakubwa wanaomiliki pombe sababu kanisani ipo
@petromachanga5538
3 жыл бұрын
Umekurupuka
@felixmuasya6601
2 жыл бұрын
Je waislamu hulewa pombe na madawa ya kulevya au la.
@juniorwadri42404 жыл бұрын
Ukriato ni Neema najivunia kiwa ndani ya neema hii ya yesu
@kijanahodari2080
4 жыл бұрын
Na motoni mutaenda tu kwa kufuata mbwa wenu wachungaji (Isaya 56:10-11 wachungaji ni mbwa)Yesu asema Mungu ni mkuu kuliko yeye nyinyi mwasema Yesu ndio mungu 😂🤣
@silvamoz6299
4 жыл бұрын
Listen "Christian prince" videos in KZread he has huge deposits of Islam knowledge, he is a nightmare no body dare debate him.
@silvamoz6299
4 жыл бұрын
Listen to "Christian prince" videos in KZread he has huge deposits of Islam knowledge, he is a nightmare no body dare debate him. kzread.info/dash/bejne/eISkq7d_acjQl9Y.html
@smao1289
4 жыл бұрын
junior wadri
@smao1289
4 жыл бұрын
Kijana Hodari
@masungwasalumu12782 жыл бұрын
We we shekh unalolote Yesu asijue lugha za wanadamu au Mungu asijue lugha za wanadamu Mungu anajua lugha zote za wanadamu wote Duniani Yesu pia anajua lugha zote pia alieumba Binadamu asijue lugha zao umekwama
@ahmaduun6523
Жыл бұрын
kumbe wewe mjinga sana yesu alikuwa lini mungu mbona uko gizani ndugu? yesu ni mwanaadamu aliyezaliwa na mama maryam, aliyeumbwa na Mungu, aliyetumwa na Mungu kuwa mtume kwa wana wa israeli, yesu anasema kwenye bibilia, mwatafuta kuniua mimi mtu, alafu yesu kama aliuawa kwa ajili ya dhambi zako, utakuwa na mungu gani wa kujivunia na ilihali mungu wako kauawa na viumbe vyake? isitoshe pia wewe unamuabudu mungu aliyezaliwa na kupitia kwenye sehemu ya siri ya mwanamke? Zinduka ndugu utoke ujingani.
@rebecaojita20324 жыл бұрын
Amen amen milele zote Yesu njoo haraka uchome wenye kupinga biblia
@fardeennasser2963
4 жыл бұрын
Injili na Biblia tofauti. Marco 1:1)
@gilbertvicent4229
4 жыл бұрын
Aje wapi yaani ashindwe kuwakamata waliompiga hadi kumlawiti na kumuacha uchi aje akukomboe wewe. ..hizo ni ndoto
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
Mwitee, hajii na hatokujaa, baliii atakuja kwetuu sisi waislamu ni ndugu yetuuu sisi
@@yusarjunkhanna4100 quran inasema atakuja tena mbali kwa kanisa lake soma Ufunuo.. na akili zenyu Mnamngoja arudi mtu msiye mwamini (Yesu kama mwana wa Mungu). Waislamu mko na shida sana
@jumanjenga76822 жыл бұрын
Good try Ndacha
@mteuledavie59724 жыл бұрын
Upuuzi mtupu injili haipingwi ipo siku mtakiri ukweli wa neno la Mungu
@hamisimfaumenamwewe193
3 жыл бұрын
We ndo mpuuzi. Maana unaabudu mtoto wa Maryamu. Huna akiri
@NicholasNgolo11 ай бұрын
Yesu ndiye muumba wa vyote.
@kusweymohamed Жыл бұрын
Kuna watu mungu aliwabadilisha manyanyi kwa kufru zao nawe ndacha mwenye sura za tumbiri kwa kusema qur Ani imeandikwa na walevi mungu akufanye tumbiri Amin
@chamyluna80302 жыл бұрын
Inshort waislamu wameleta point za msingi nyinyi mnalalamika tu
@otiliahaule51803 жыл бұрын
Yesu Kristo ndo jibu la maisha yangu nabiblia ninuru yadunia
@hamisimfaumenamwewe193
3 жыл бұрын
Huna akiri. Unalazimisha yasiyowekana. Yesu katumwa na Mungu.
@mwambinguphilip553 жыл бұрын
Yesu alituachia roho mtakatifu na wa waliachiwa nini
@monicabh1668
2 жыл бұрын
Majini ndio waliachiwa hawa waisilamu
@sandewillymusic56154 жыл бұрын
Njia ni yesu ..........ata Mohammed atapita kwa hio njia
@gharibislam1586
2 жыл бұрын
Toa andiko,wacha maneno, hakuna kuimba kwaya,kwanza toa andiko linalo SEMA dini ya haki mbele ya mwenyeezi mungu ni UKRISTO
@sandewillymusic5615
2 жыл бұрын
@@gharibislam1586 koran 2:6 2 Waliyeamini mitume wa zamani ni wayahudi na wakristo. mbona hijataja waislamu ni wakristo fikiria Sana.......
@gharibislam1586
2 жыл бұрын
@@sandewillymusic5615 nenda kasome kwanza
@sandewillymusic5615
2 жыл бұрын
@@gharibislam1586 koran 17:67
@sandewillymusic5615
2 жыл бұрын
@@gharibislam1586 ulimwengu wa majini ukurasa wa 31 waislamu hawapingi majini unakubali ama unakaa??
@adamissa83072 жыл бұрын
Mimi bwana makafiri wananishangaza sana! Wanampinga Mungu na Kitabu Chake kisicho na shaka na Dini Yake hawaitaki! Lakini wasivyokuwa na aibu, wanajiita majina ya Kiislam! Halafu jambo jingine wakristo mjue, Nuru ya dunia ni "QUR,AN TUKUFU" sio biblia.
@mariaseuta4125
2 жыл бұрын
Soma maandiko mbinguni Kuna vitabu viwili tu cha uzima wa milele na hukumu.
@joelp.gideon90034 жыл бұрын
Amen amen
@rahmamusa4484 Жыл бұрын
Wooooiiii sisemi kitu
@ezekielmwamba9106 Жыл бұрын
Hoja za Yusuf na Anwar ni uongo mtupu sawa na Mazinge mwongo sana.
@antonymacharia28052 жыл бұрын
Iko hivi,aya zenye zinalingana kati ya bibilia na Qaran inamaana Muhammed ndiye ali copy bibilia,
@tivahalima
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣😮 I pity you
@hassanmugire14973 жыл бұрын
Seventh day Adventist church 👏🏼👏🏼
@princemahamba242 Жыл бұрын
Waislamu jibu swali acha kujibu kwa kuunga kuunga
@stephenmwangi91134 жыл бұрын
amen
@omarzuberi4754
Жыл бұрын
Mungu abariki mutumishi wake ndacha
@asenathnyanchera35452 жыл бұрын
Wapinga Kristo ni wengi wako mpaka kwa Bibilia
@vumiliahalimeshi31334 жыл бұрын
Kama hawajakuelewa hao waslam basi Mungu kashakupa taji yako
@winfredmbowe7416
4 жыл бұрын
Ukiristo raha sana UKIWA ndani ya yesu
@i.dclassic116
Жыл бұрын
Acha uwongo nazani munasikilia upande mmoja 2
@eaglecrown6470 Жыл бұрын
12:16
@WilliamMungedi Жыл бұрын
Welcome
@elizaeliza8803 Жыл бұрын
Mungu akulinde mtumishi
@mombasa00762 жыл бұрын
HIVI KAZI YA WAKRISTO NI KUMPINGÀ MTUME WA MUNGU (MUHAMMAD ) MNAJIFURAHISHA SANA KWA SABABU HAMJUI MUYATENDAYO.
@faithfultoyeshua4576
2 жыл бұрын
We love you. We want you to see the truth We want you in heaven
@josephatchacha313410 ай бұрын
Mmmmmmh
@NasraIdrisa-vu3me9 ай бұрын
45:50
@kasealutajr64924 жыл бұрын
Hahah yaani hii ni balaa!! Mwalimu wa kiislam kasema kitabu cha ukumbusho ni Quran. Mbinguni kuna vitabu 2: 1 kitabu cha uzima, 2 kitabu cha ukumbusho, ambacho kinarecord kila tendo alilo tenda mwanadamu. Ni neema kuwa mkristo.
@hassamfariis5151
4 жыл бұрын
Mbinguni kuna vitabu vinne Qur'an taurat injili na zabur
@johnkilimo9520
4 жыл бұрын
Hassam fariis vina fanya nn huko mbingun Mungu anakaznavyo gan?
@kijanahodari2080
4 жыл бұрын
😂😂🤣 waislamu wametoa kitabu kutoka kw mtume wa mwisho nyinyi munaletewa kitabu kutoka kw wagiriki sasa mbinguni hakuna kusoma vitabu wala Yesu haijui bibilia so ww kwasababu hujielewi lazima utafuata wazungu
@johnkilimo9520
4 жыл бұрын
Kijana Hodari tupe andiko Biblia imetoka kwa wagiliki tutakufuta ww Unathani Biblia ni kitabu cha kutunga tunga km Quran??? Nyie hamna maandiko halafu wenzenu wajanja waliwaandikia kiarabu ili msijue kitu na ndiomana hamjui kitu kwel mbebaki kusikilizishiwa hadis tu hamna llte
@omarmukhutar6847
4 жыл бұрын
@@hassamfariis5151 toa andiko
@josephkuta72444 жыл бұрын
Waaaa wesalamu tubuni yesu awawokoe snaa sma 1john chapter 2::18kuendelea wapinga kristo ndio haaooo
@khadijahemed2815
4 жыл бұрын
Bibilia nayo ni kitabu cha mungu?
@hamisimfaumenamwewe193
3 жыл бұрын
Sisi tupo kwa Yesu. Na ww karibu
@NasraIdrisa-vu3me9 ай бұрын
56:56
@alydjuma30822 жыл бұрын
Ubarikiwe Tena mutumishi
@MeshackMongeri-nu8yx Жыл бұрын
Ningependa kujiunga nanyi ndach
@gerkombo65122 жыл бұрын
Waislamu hamna kitu story nyingi tu.
@gladysjeruto92594 жыл бұрын
Woi dunia tu,mungu kweli ni mvumilivu anavumilia tu
@gaddaffiabdi9212 жыл бұрын
Yesu ni bwana
@davidkombo2377
Жыл бұрын
Amen
@dotorom-pesam-pesarei6953
Жыл бұрын
Kusoma mna juá ila amujui kutafsir , ka ukijua kwamba yesu ni mbwana ni roh wa mungu
@joshuamulati15613 жыл бұрын
Huyo mwalimu wa kiislamu haeleweki.kweli Mungu awaonekanie hawa waislamu
@1THEBRAIN3 жыл бұрын
Mungu wenu ndio aliandika hyo biblia mnayo soma hapo 😄😄😄 haki ukristo ni mtihani
@nairobiflavour
3 жыл бұрын
Hapo mwanzo kulikuepo na neno na hill neno lilikuwa ni mungu
@Kombo29892 жыл бұрын
Biblia hii hii ambayo mungu kapigwa vibaya na kiumbe wake Yakubu na hatimae akapatiwa jina la israel.Je ndio nuru au kuna nyengine yenye nafuu?
@AyubEdson-zt8hk Жыл бұрын
Hiyo imewaingia waislam
@abcdg19953 жыл бұрын
Be careful with who you trust the devil used to be Beautiful Angle in heaven
@simenyasikhulu4 жыл бұрын
Amri kuu kuliko zote ni kupendana. Wakristu, Waislamu na wote wa imani zingine ni viumbe wa Mngu. Shetani hakuumba wala hatoumba. Nyote muumba wenu ni mmoja. Hakuna nishani ya dhahabu wala almasi kwa mshindi wa mijadala kama hizi. Kila mmoja azingatie imani yake. Kwa hivyo upendo ndicho kitu Mngu anatarajia kuona mwenu.
@danielphilipo6942
4 жыл бұрын
John umesema kweli lkn injili ya kweli lazima ihubiriwe, bila yesu mtu hawezi kumuona Mungu
@baya7067
2 жыл бұрын
Hawa ndugu zetu waislam kusema kweli wenyewe wanajua wanaabudu mungu wa kweli kumbe sio mungu wa kweli sababu alijitambua tayari yuko muislamu na anajua anaabudu mungu wa kweli kumbe sivyo wakristo ndio wamejua waislamu wanacho abudu sababu wakristo ndio wanaabudu mungu wa kweli ila waislam hawajui wanacho abudu na hawaambiliki wabishi kama nn
@aliyyuhibu3561 Жыл бұрын
Safi anuari
@craigalfred-sz1ho
Жыл бұрын
Anwar anaongea uwongo
@davidida70202 жыл бұрын
30:00 sasa kuna tofauti gani quran ikitafsiriwa kwa kiswahili au kizungu au kiarabu? thats why kuna biblia ya kizungu na kiswahili na quran ya kiarabu na kiswahili na kizungu..hio ni tafsiri ili wasomaji waeze kuielewa..kwa wasioelewa kizungu waisome kwa kiswahili au kiarabu. maneno ni yale yale tafsiri ni yaleyale na wino ni ule ule
@simonbenson13912 жыл бұрын
Love for Kenya
@rankyfranky70444 жыл бұрын
Isaya ijataja koran
@omarmukhutar6847
4 жыл бұрын
Ata sio koran inatajwa , soma hiyo chapter mwenyewe huyu anachezea tu maandiko
@agnesmasinde90174 жыл бұрын
I want this guy's to call msitafa and sheikh yusuf from IkRA fm maana ni wabishi bure hawana elimu kuhusu bibilia .
@1THEBRAIN
3 жыл бұрын
Biblia ni kitabu cha mtume gani? Alie shushiwa?
@muhammedsuleiman21372 жыл бұрын
biblia ni maneno ya ungo
@ezekielmwamba9106 Жыл бұрын
Huyu Anwar ni mwongo sana hoja zake zote ni kutumia uongo husipokuwa makini atakupoteza.
@beatricebitisho3495 Жыл бұрын
Nabisifiya kuwa mkrsito ,neema kubwa nilipata kuacha njia ya mauti katika jina la YESU. Waislamu kamwe hawata ingiya ufalme wambinguni,kwa sababu ni waganga wa kyenyeji.
@gerlasmbafumoja980 Жыл бұрын
Mchungaji naomba, next party tafadhali
@loysamwel63083 жыл бұрын
Mimi sitatamani usilamu
@hamisimfaumenamwewe193
3 жыл бұрын
Ukiwa Muislamu, moto utakosa watu.
@kbdk30654 жыл бұрын
Waeslamu awajielewi apo;uyo jamaa wa kwanza utafikiri alikuwa padiri akafukuzwa.
Wote tuna muabudu Mungu mmoja cha muhimu ni matendo safi na kumpinga shetani kwa matendo yetu sio kubishania dini
@omarmukhutar6847
4 жыл бұрын
Hatuabudu mungu mmoja Anitha wengine wanaabudi jiwe wakiliita mungu
@anithabuberwa2253
4 жыл бұрын
@@omarmukhutar6847 nina mahanisha waislam na wakiristo wanaobishana hapo
@janenjenga5639
4 жыл бұрын
Hakuna siku nita abudu jiwe
@mst1studio270
4 жыл бұрын
Hapana. Mungu sio mmoja. Waislam wana Mungu wao na was kristo wana Mungu Wao. Isipokua waislam Mungu wao hajaumba chochote. Isipokua Mungu wawa Kristo ndie alie umba.
@anithabuberwa2253
4 жыл бұрын
@@mst1studio270 hacha ushabiki ndugu yangu, mimi ni mkiristo ila kuingiza maswala ya udini sipendi, kumbuka kitabu Chao kitakatifu kina maandiko sawa na biblia yetu upande wa agano la kale Sasa iweje useme wana Mungu wao? Tusiwe hivyo hakuna ajuaye dini ya haki maana ukiristo umeletwa na wazungu na uislamu umeletwa na waharabu
@charlesjoseph20924 жыл бұрын
Mwalm wa kiislam anachekesha kweli anasema ndacha anatumia tafsr ya Qurani badaraya ya kutumia ya orijino sasa cha kushangaza Sheih nae anakuja kutumia hyo hyo tafsri ya Qurani. C atumie ya kiarabu orijino aone kama itaeleweka yani asome kiarabu pekeeake Kwanini anasoma kiswahili?
@masungwasalumu12784 жыл бұрын
Wewe Shekh umeshindwa kutufahamisha kubwa kuruan imeandikwa na Nani una bumbabumba maneno huna lolote
@kijanahodari2080
4 жыл бұрын
We kafiri maandiko umepewa ama nikupe mm, aya imetolewa Qur'an 18:1
Waafrika kweli cc watu wa mwisho, ata dini tunatumia za warabu na wazungu.
@androydthegully6390
4 жыл бұрын
Ili uwe wa Kwanza dini ya mwafrika ni ipi?!!
@mbaroukhamza5002
4 жыл бұрын
Waafrika hatuna dini tunazifata kwasababu zinahamasisha amani tu, ila wazungu na warabu cc hawatuthamini kabisa tukenda nchini kwao hawajali wee unaitwa John au Ali unafata yesu au Muhammad wee ni kudharauliwa tu .kwaiyo cc dini yetu ni uafrika . Wachina wanawatesa waafrika hawaangallii dini wala nchi. Kwaiyo izo biblia na Quran na vitabu vilivyotungwa na wakolonni ili kuwatawala watu kwa njia ya amani.
@androydthegully6390
4 жыл бұрын
Daaaa sijui nikueleshe vp mana wewe na mti naona huna tofauti nikuambie nenda shule nazo zao dini yako uafrika unaabudu vp nyumba yako ya ibada inaitwaje?
@mbaroukhamza5002
4 жыл бұрын
@@androydthegully6390 mimi na wewe sote machizi ndo maana chizi anajibizana na chizi mwenziwe wenye akili wanakaa kimya mi akii yangu kama mti wee akili yako kama jiwe . Tatizo haujatembea kwenye nchi ambazo haziabudu uislamu wala ukristo upo kama mlima kilimanjaro. Tangu mama ako alipokubwaga duniani wee upo Tanzania haujenda nchi nyengine. Cc tunaongelea Africa unite wee eti shule thatha . Kwani ukiwa huna Allah au yesu ndo hautokwenda shule.
@shijamayala8127
4 жыл бұрын
Mbarouk Hamza hapo umenena boss waafrika tunapotezwa na dini za kuletewa
@heykalmohamedadan68282 жыл бұрын
Someni timothy 20 20
@stephenobonyo6980
Жыл бұрын
Hakuna kitabu ka Timothy 20 20 Ama ni qurani, kitabu cha majini😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
@calvinmazaginza13654 жыл бұрын
Mkuu Quaran haijaabdikwa kiarabu,ndo maana hata waarabu hawaelewi hyo Quarn
@johnkilimo9520
4 жыл бұрын
Calvin Mazaginza kwahiyo ni kinn kichina au ni kiebrania??
@kijanahodari2080
4 жыл бұрын
Haya tuambie wewe unaongea lugha ya mtume wako gani,hakuna mtume aliyetoka Europe ili ufuate bibilia
@johnkilimo9520
4 жыл бұрын
Kijana Hodari mitume wote na wa sisi Wakrito ni wayahud Yesu alivyo kuja aka chagua mitume wake 12 ndio walieneza injili Dunian kote Yesu aliwambia enenden dunian kote mkaitangaze injili
@samutykuntathebantu8402
2 жыл бұрын
@@kijanahodari2080 we ni mwafrika kiarabu ni ushenzi
@monicabh16682 жыл бұрын
Amen 🙏
@avithegbert90464 жыл бұрын
Aya maelezo yaxitufanye aman ikavunjika
@John-rj6oo Жыл бұрын
Hakika waislam wamepotea
@user-rn2fs5jg6n
21 сағат бұрын
Hakuna dini ya haki mbele ya Mwenyezimungu isipokuwa Uislam. Mwenyezimungu akuongoze katika njia aliyoiridhia.
@issufomussa52272 жыл бұрын
Wewekuma lamamayako
@i.dclassic116 Жыл бұрын
Nilicho kiona wew muoga dak 10 umeweka zako za waislamu umekata
Пікірлер: 515
Yesu Ndiye njia kweli na uzima ; nidiye tunayefaa kimfuata mbaka kufika mbinguni John 14:6
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu pastor Ndacha kwa injili nzuri
@user-qy9qu1bn8j
3 ай бұрын
Unapo waubiria waambie bwana yesu asifiwe
@user-qy9qu1bn8j
3 ай бұрын
Lakini chungana nao kwa maana wanaomkataa yesu ni wapinga kisto
@user-qy9qu1bn8j
3 ай бұрын
Uislamu sio dini ya mungu
Barikiwa Sana mtumishi wa mungu
Yesu ni bwana na mwokozi wetu
@alsamali6964
2 жыл бұрын
Angejiokoa mwenyewe kwanza msalabani
Mimi ni pasta David Ramadhani Toka uko Congo -DRC nakupenda Sana ndugu yangu . Nataka ufike ukopiya tuna kusubiri kwa Huba Sana.
Huyu mchungaji yuko vizuri sana.
Amen Mungu ujitetea kweli Barikiwa mwalimu 🙏
Nimependa Sana mnavyochambua vitabu pasipo kugombana mijadala kama hii ilikuwepo Tanzania ikawainaleta kugombana kiasi Cha kukatazwa. Amina 🙏🏿 MUNGU awabaliki Sana Kwa moyo wa kutaka kuijua kweli
Ameeeen... Bibilia kitabu cha milele na milele.
@bigirindavyideo8698
2 жыл бұрын
Safi sana
Leo Mwalimu wa kiislamu asema Bwana Yesu asifiwe, Namwona akiokoka🙏 Yesu yupo kazini,
Waislamu tokeni kwa shetani, njooni kwa Yesu.
Mungu awabariki sana watumishi
@janenjenga5639
4 жыл бұрын
Amina
@monicabh1668
2 жыл бұрын
Aminaa
Barikiwa Mwalimu Ndacha...wafunze kabisaa
@ayubulwambo4554
2 жыл бұрын
Tatizo umasikini wa akilii
@ayubulwambo4554
2 жыл бұрын
Naongea na mhisilam
hizi ni mbegu za kina Daniel na gasper, Mungu azidi kuwatia nguvu, za mwaka 2011/2012
Huu nifafanuz wa maneno ya mungu hivyo msiwe mnakashfu maneno ya mungu matakatifu pawepo na ufafanuz mzuri wenye kumpendeza mungu nawatu wafuate injili yake yes amin
Good ndacha
God bless you abundantly mtumishi Ndacha
Hii midahalo ikifanyika kwa amani na subra ni bora sana kukuza fahamu za watu kujua misingi ya dini. Na baada ya hapo watu wasigombane wasalimiane na kila mtu aende kwa amani.
Hongera Mwalimu Ndacha. Mungu azidi kuinuliwa
Paul Hassan ananikosha namna anavyosoma! Blessing to you all there. in the name of Jesus, Amen.
Maombi yangu ,naomba mungu afungue waislam akili macho na wafunge mdomo wasikie mandisi ya bibilia
Tunaongozwa na roho mtakatifu...wakristo hawawezi kupooshwa
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
Ndugu hebu nitumie namba ya roho mtakatifu nataka niongee nae
@danielernest8588
3 жыл бұрын
@@yusarjunkhanna4100 maswali ya kijinga haya
@golflima5392
3 жыл бұрын
@@yusarjunkhanna4100 Soma Quran 2:87 ujuwe Roho Takatifu ni nani.
Mmbarikiwe waalimu wangu
Unapotea kwa sababu haumjui Mungu wa kweli, Mungu ni Mungu wa watu wote wenye mwili.
@CK-ii5cc
4 жыл бұрын
Mungu Ni wa wote lakini kwa wale wanampinga hata yeye atawapinga
@benjaminbatano3293
4 жыл бұрын
Labda ungesikiliza kwanza hoja ya msingi kuliko kusema Mungu huwapinga wanaompinga!! Sawa Dada!
Goo
Allah Akbar proud to be muslim 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@davidkombo2377
Жыл бұрын
You are lost bro, , , wake up
Ndacha, mtumishi wa wazungu.
@irenekaluse3501
Жыл бұрын
Nawewe mtumishi wa mwarabu
Kweli ndacha ww ni mwalimu unawafundisha waislamu vzr
@pandukhatib9682
4 жыл бұрын
Firaun alikuwa na kiburi ,jeuri alikuwa akipinga quran je kimemfika na watu wake wakaangamizwa kwenye bahari nanyi wapingaji quran wele wao moto mkali wawasubir
@omarmukhutar6847
4 жыл бұрын
@@pandukhatib9682 firaun mgani aliekua anaikata quran toa andiko na ni enzi gani hizo
@hamisimfaumenamwewe193
3 жыл бұрын
Wakristo akiri zero. Hamzingatii maandiko ushabiki tu
WAISLAM WAMESHINDWA KUJIELEZA HAPA KUHUSU QURAN YAO
@mombasa0076
2 жыл бұрын
Elezea wewe kafiri unaejuwa uislamu. Acha kujidanganya.
Remember shetani alitupwa toka mbinguni, kwahiyo anawezekana alianguka akiwa kitabu Quran so siajabu,
@mohammedhassan8968
4 жыл бұрын
Bibilia ndo imesema amaaa????
@DaughterofUbuntu1988
4 жыл бұрын
Revaluation 12:7-17
@gilbertvicent4229
4 жыл бұрын
Qur'an ni kitabu kitakatifu kutoka kwa Mungu ila biblia zipo nyingi sana na zinabadilishwa kila kukicha mimi nimekimbia huko kwani ukiristo sio dini na ni uongo tu. Hivi mungu anapigwa viboko km mwizi hadi kusulubiwa? Hivi mungu ni fundi fanicha? Yesu alikua seremala...
@musashaha4209
3 жыл бұрын
Wewe huna akili soma utajua sema nyinyi wakristo hamsomi Bali mnawasilikiliza viongozi wenu wakanisa hakuna kuhoji chochote sasa nyinyi mnapotea kuweni na akili sio mmekomaa na elimu dunia mnajiona mmesoma da shida kweli ona huyu mchungaji anabolonga tu hata mm wapemben naona anabolonga itakuwa na walimu wetu hapo wanamcheka tu
@casaica2993
3 жыл бұрын
Na ni kweli hakuna kupinga ililetwa n shetani...
BIBILI NI KIBATU KIMEANDIKWA NA MUNGU AMEN
@alhakukinis2229
2 жыл бұрын
Shame on u all wakiristo
@rachealnazi9115
Жыл бұрын
@@alhakukinis2229 matusi haya saidii ama marehemu wenu Muhammad ndivyo alivyo wafundisha kabla hakufa🙄🙄
@irenekaluse3213
Жыл бұрын
@@rachealnazi9115 rachel🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mwalimu ndacha Mungu akubariki sana
Biblia ni kitabu kitakatifu cha mungu sio kilio tukuzwa na mwanadamu
Mutumishi mungu ahedeleye kuku Linda
midahalo imeimarisha sana imani yangu kwa kristo.
Inawezekana imeteremshwa kutoka kwa mkuu wa anga na sio mbinguni
@avithegbert9046
4 жыл бұрын
Labda mrs
Mwanzo, kabla ya Anwani hiyo ati, "Qur'an Tukufu imeandikwa na walevi," La msingi kujiuliza kabla ya chochote na kufikiria hivyo ni kwamba, Je? Wamiliki wa mabaa, clubs, casinos na maduka za pombe zote duniani, ni Waislamu au Wakristo!?" Ambao hata makanisani, wanapewa mvinyo na bado kijivunia bila aibu wala majuto kuwa, wanakula mwili wa Yesu na kunywa damu yake! VAMPIRES KWELI!!!👹👹👹
@bennyngoye8707
4 жыл бұрын
HAKUNA MUISLAMU WALA MKRISTU MBELE ZA MUNGU,FIKRA ZETU NDO ZINATUPOTOSHA.
@aidarousshaban9580
4 жыл бұрын
Majuha ndio wanaweza kuamini kunywa damu ya yesu alikuwa ana pipa ngapi za hiyo damu?
@mwanaishamlima2047
3 жыл бұрын
Wakristo ndo walevi wakubwa wanaomiliki pombe sababu kanisani ipo
@petromachanga5538
3 жыл бұрын
Umekurupuka
@felixmuasya6601
2 жыл бұрын
Je waislamu hulewa pombe na madawa ya kulevya au la.
Ukriato ni Neema najivunia kiwa ndani ya neema hii ya yesu
@kijanahodari2080
4 жыл бұрын
Na motoni mutaenda tu kwa kufuata mbwa wenu wachungaji (Isaya 56:10-11 wachungaji ni mbwa)Yesu asema Mungu ni mkuu kuliko yeye nyinyi mwasema Yesu ndio mungu 😂🤣
@silvamoz6299
4 жыл бұрын
Listen "Christian prince" videos in KZread he has huge deposits of Islam knowledge, he is a nightmare no body dare debate him.
@silvamoz6299
4 жыл бұрын
Listen to "Christian prince" videos in KZread he has huge deposits of Islam knowledge, he is a nightmare no body dare debate him. kzread.info/dash/bejne/eISkq7d_acjQl9Y.html
@smao1289
4 жыл бұрын
junior wadri
@smao1289
4 жыл бұрын
Kijana Hodari
We we shekh unalolote Yesu asijue lugha za wanadamu au Mungu asijue lugha za wanadamu Mungu anajua lugha zote za wanadamu wote Duniani Yesu pia anajua lugha zote pia alieumba Binadamu asijue lugha zao umekwama
@ahmaduun6523
Жыл бұрын
kumbe wewe mjinga sana yesu alikuwa lini mungu mbona uko gizani ndugu? yesu ni mwanaadamu aliyezaliwa na mama maryam, aliyeumbwa na Mungu, aliyetumwa na Mungu kuwa mtume kwa wana wa israeli, yesu anasema kwenye bibilia, mwatafuta kuniua mimi mtu, alafu yesu kama aliuawa kwa ajili ya dhambi zako, utakuwa na mungu gani wa kujivunia na ilihali mungu wako kauawa na viumbe vyake? isitoshe pia wewe unamuabudu mungu aliyezaliwa na kupitia kwenye sehemu ya siri ya mwanamke? Zinduka ndugu utoke ujingani.
Amen amen milele zote Yesu njoo haraka uchome wenye kupinga biblia
@fardeennasser2963
4 жыл бұрын
Injili na Biblia tofauti. Marco 1:1)
@gilbertvicent4229
4 жыл бұрын
Aje wapi yaani ashindwe kuwakamata waliompiga hadi kumlawiti na kumuacha uchi aje akukomboe wewe. ..hizo ni ndoto
@yusarjunkhanna4100
3 жыл бұрын
Mwitee, hajii na hatokujaa, baliii atakuja kwetuu sisi waislamu ni ndugu yetuuu sisi
@hamisimfaumenamwewe193
3 жыл бұрын
@@gilbertvicent4229 Acha kumtukana Yesu. Utakuwa kafiri.
@samutykuntathebantu8402
2 жыл бұрын
@@yusarjunkhanna4100 quran inasema atakuja tena mbali kwa kanisa lake soma Ufunuo.. na akili zenyu Mnamngoja arudi mtu msiye mwamini (Yesu kama mwana wa Mungu). Waislamu mko na shida sana
Good try Ndacha
Upuuzi mtupu injili haipingwi ipo siku mtakiri ukweli wa neno la Mungu
@hamisimfaumenamwewe193
3 жыл бұрын
We ndo mpuuzi. Maana unaabudu mtoto wa Maryamu. Huna akiri
Yesu ndiye muumba wa vyote.
Kuna watu mungu aliwabadilisha manyanyi kwa kufru zao nawe ndacha mwenye sura za tumbiri kwa kusema qur Ani imeandikwa na walevi mungu akufanye tumbiri Amin
Inshort waislamu wameleta point za msingi nyinyi mnalalamika tu
Yesu Kristo ndo jibu la maisha yangu nabiblia ninuru yadunia
@hamisimfaumenamwewe193
3 жыл бұрын
Huna akiri. Unalazimisha yasiyowekana. Yesu katumwa na Mungu.
Yesu alituachia roho mtakatifu na wa waliachiwa nini
@monicabh1668
2 жыл бұрын
Majini ndio waliachiwa hawa waisilamu
Njia ni yesu ..........ata Mohammed atapita kwa hio njia
@gharibislam1586
2 жыл бұрын
Toa andiko,wacha maneno, hakuna kuimba kwaya,kwanza toa andiko linalo SEMA dini ya haki mbele ya mwenyeezi mungu ni UKRISTO
@sandewillymusic5615
2 жыл бұрын
@@gharibislam1586 koran 2:6 2 Waliyeamini mitume wa zamani ni wayahudi na wakristo. mbona hijataja waislamu ni wakristo fikiria Sana.......
@gharibislam1586
2 жыл бұрын
@@sandewillymusic5615 nenda kasome kwanza
@sandewillymusic5615
2 жыл бұрын
@@gharibislam1586 koran 17:67
@sandewillymusic5615
2 жыл бұрын
@@gharibislam1586 ulimwengu wa majini ukurasa wa 31 waislamu hawapingi majini unakubali ama unakaa??
Mimi bwana makafiri wananishangaza sana! Wanampinga Mungu na Kitabu Chake kisicho na shaka na Dini Yake hawaitaki! Lakini wasivyokuwa na aibu, wanajiita majina ya Kiislam! Halafu jambo jingine wakristo mjue, Nuru ya dunia ni "QUR,AN TUKUFU" sio biblia.
@mariaseuta4125
2 жыл бұрын
Soma maandiko mbinguni Kuna vitabu viwili tu cha uzima wa milele na hukumu.
Amen amen
Wooooiiii sisemi kitu
Hoja za Yusuf na Anwar ni uongo mtupu sawa na Mazinge mwongo sana.
Iko hivi,aya zenye zinalingana kati ya bibilia na Qaran inamaana Muhammed ndiye ali copy bibilia,
@tivahalima
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣😮 I pity you
Seventh day Adventist church 👏🏼👏🏼
Waislamu jibu swali acha kujibu kwa kuunga kuunga
amen
@omarzuberi4754
Жыл бұрын
Mungu abariki mutumishi wake ndacha
Wapinga Kristo ni wengi wako mpaka kwa Bibilia
Kama hawajakuelewa hao waslam basi Mungu kashakupa taji yako
@winfredmbowe7416
4 жыл бұрын
Ukiristo raha sana UKIWA ndani ya yesu
@i.dclassic116
Жыл бұрын
Acha uwongo nazani munasikilia upande mmoja 2
12:16
Welcome
Mungu akulinde mtumishi
HIVI KAZI YA WAKRISTO NI KUMPINGÀ MTUME WA MUNGU (MUHAMMAD ) MNAJIFURAHISHA SANA KWA SABABU HAMJUI MUYATENDAYO.
@faithfultoyeshua4576
2 жыл бұрын
We love you. We want you to see the truth We want you in heaven
Mmmmmmh
45:50
Hahah yaani hii ni balaa!! Mwalimu wa kiislam kasema kitabu cha ukumbusho ni Quran. Mbinguni kuna vitabu 2: 1 kitabu cha uzima, 2 kitabu cha ukumbusho, ambacho kinarecord kila tendo alilo tenda mwanadamu. Ni neema kuwa mkristo.
@hassamfariis5151
4 жыл бұрын
Mbinguni kuna vitabu vinne Qur'an taurat injili na zabur
@johnkilimo9520
4 жыл бұрын
Hassam fariis vina fanya nn huko mbingun Mungu anakaznavyo gan?
@kijanahodari2080
4 жыл бұрын
😂😂🤣 waislamu wametoa kitabu kutoka kw mtume wa mwisho nyinyi munaletewa kitabu kutoka kw wagiriki sasa mbinguni hakuna kusoma vitabu wala Yesu haijui bibilia so ww kwasababu hujielewi lazima utafuata wazungu
@johnkilimo9520
4 жыл бұрын
Kijana Hodari tupe andiko Biblia imetoka kwa wagiliki tutakufuta ww Unathani Biblia ni kitabu cha kutunga tunga km Quran??? Nyie hamna maandiko halafu wenzenu wajanja waliwaandikia kiarabu ili msijue kitu na ndiomana hamjui kitu kwel mbebaki kusikilizishiwa hadis tu hamna llte
@omarmukhutar6847
4 жыл бұрын
@@hassamfariis5151 toa andiko
Waaaa wesalamu tubuni yesu awawokoe snaa sma 1john chapter 2::18kuendelea wapinga kristo ndio haaooo
@khadijahemed2815
4 жыл бұрын
Bibilia nayo ni kitabu cha mungu?
@hamisimfaumenamwewe193
3 жыл бұрын
Sisi tupo kwa Yesu. Na ww karibu
56:56
Ubarikiwe Tena mutumishi
Ningependa kujiunga nanyi ndach
Waislamu hamna kitu story nyingi tu.
Woi dunia tu,mungu kweli ni mvumilivu anavumilia tu
Yesu ni bwana
@davidkombo2377
Жыл бұрын
Amen
@dotorom-pesam-pesarei6953
Жыл бұрын
Kusoma mna juá ila amujui kutafsir , ka ukijua kwamba yesu ni mbwana ni roh wa mungu
Huyo mwalimu wa kiislamu haeleweki.kweli Mungu awaonekanie hawa waislamu
Mungu wenu ndio aliandika hyo biblia mnayo soma hapo 😄😄😄 haki ukristo ni mtihani
@nairobiflavour
3 жыл бұрын
Hapo mwanzo kulikuepo na neno na hill neno lilikuwa ni mungu
Biblia hii hii ambayo mungu kapigwa vibaya na kiumbe wake Yakubu na hatimae akapatiwa jina la israel.Je ndio nuru au kuna nyengine yenye nafuu?
Hiyo imewaingia waislam
Be careful with who you trust the devil used to be Beautiful Angle in heaven
Amri kuu kuliko zote ni kupendana. Wakristu, Waislamu na wote wa imani zingine ni viumbe wa Mngu. Shetani hakuumba wala hatoumba. Nyote muumba wenu ni mmoja. Hakuna nishani ya dhahabu wala almasi kwa mshindi wa mijadala kama hizi. Kila mmoja azingatie imani yake. Kwa hivyo upendo ndicho kitu Mngu anatarajia kuona mwenu.
@danielphilipo6942
4 жыл бұрын
John umesema kweli lkn injili ya kweli lazima ihubiriwe, bila yesu mtu hawezi kumuona Mungu
@baya7067
2 жыл бұрын
Hawa ndugu zetu waislam kusema kweli wenyewe wanajua wanaabudu mungu wa kweli kumbe sio mungu wa kweli sababu alijitambua tayari yuko muislamu na anajua anaabudu mungu wa kweli kumbe sivyo wakristo ndio wamejua waislamu wanacho abudu sababu wakristo ndio wanaabudu mungu wa kweli ila waislam hawajui wanacho abudu na hawaambiliki wabishi kama nn
Safi anuari
@craigalfred-sz1ho
Жыл бұрын
Anwar anaongea uwongo
30:00 sasa kuna tofauti gani quran ikitafsiriwa kwa kiswahili au kizungu au kiarabu? thats why kuna biblia ya kizungu na kiswahili na quran ya kiarabu na kiswahili na kizungu..hio ni tafsiri ili wasomaji waeze kuielewa..kwa wasioelewa kizungu waisome kwa kiswahili au kiarabu. maneno ni yale yale tafsiri ni yaleyale na wino ni ule ule
Love for Kenya
Isaya ijataja koran
@omarmukhutar6847
4 жыл бұрын
Ata sio koran inatajwa , soma hiyo chapter mwenyewe huyu anachezea tu maandiko
I want this guy's to call msitafa and sheikh yusuf from IkRA fm maana ni wabishi bure hawana elimu kuhusu bibilia .
@1THEBRAIN
3 жыл бұрын
Biblia ni kitabu cha mtume gani? Alie shushiwa?
biblia ni maneno ya ungo
Huyu Anwar ni mwongo sana hoja zake zote ni kutumia uongo husipokuwa makini atakupoteza.
Nabisifiya kuwa mkrsito ,neema kubwa nilipata kuacha njia ya mauti katika jina la YESU. Waislamu kamwe hawata ingiya ufalme wambinguni,kwa sababu ni waganga wa kyenyeji.
Mchungaji naomba, next party tafadhali
Mimi sitatamani usilamu
@hamisimfaumenamwewe193
3 жыл бұрын
Ukiwa Muislamu, moto utakosa watu.
Waeslamu awajielewi apo;uyo jamaa wa kwanza utafikiri alikuwa padiri akafukuzwa.
@jumajaffary9698
4 жыл бұрын
Hakuna dini inayoitwa ukristo
@SAM_163
4 жыл бұрын
@@jumajaffary9698 umekaririshwa ivyo ndugu yangu. Nakuonea huruma kwasababu hujui unenalo😰😰😰😰
@felistambwale2687
4 жыл бұрын
Hahaha
Wote tuna muabudu Mungu mmoja cha muhimu ni matendo safi na kumpinga shetani kwa matendo yetu sio kubishania dini
@omarmukhutar6847
4 жыл бұрын
Hatuabudu mungu mmoja Anitha wengine wanaabudi jiwe wakiliita mungu
@anithabuberwa2253
4 жыл бұрын
@@omarmukhutar6847 nina mahanisha waislam na wakiristo wanaobishana hapo
@janenjenga5639
4 жыл бұрын
Hakuna siku nita abudu jiwe
@mst1studio270
4 жыл бұрын
Hapana. Mungu sio mmoja. Waislam wana Mungu wao na was kristo wana Mungu Wao. Isipokua waislam Mungu wao hajaumba chochote. Isipokua Mungu wawa Kristo ndie alie umba.
@anithabuberwa2253
4 жыл бұрын
@@mst1studio270 hacha ushabiki ndugu yangu, mimi ni mkiristo ila kuingiza maswala ya udini sipendi, kumbuka kitabu Chao kitakatifu kina maandiko sawa na biblia yetu upande wa agano la kale Sasa iweje useme wana Mungu wao? Tusiwe hivyo hakuna ajuaye dini ya haki maana ukiristo umeletwa na wazungu na uislamu umeletwa na waharabu
Mwalm wa kiislam anachekesha kweli anasema ndacha anatumia tafsr ya Qurani badaraya ya kutumia ya orijino sasa cha kushangaza Sheih nae anakuja kutumia hyo hyo tafsri ya Qurani. C atumie ya kiarabu orijino aone kama itaeleweka yani asome kiarabu pekeeake Kwanini anasoma kiswahili?
Wewe Shekh umeshindwa kutufahamisha kubwa kuruan imeandikwa na Nani una bumbabumba maneno huna lolote
@kijanahodari2080
4 жыл бұрын
We kafiri maandiko umepewa ama nikupe mm, aya imetolewa Qur'an 18:1
@mkude
4 жыл бұрын
masungwa salumu wewe umepewa maandiko kwanini unashindwa kuelewa,Allah akuongoze usilimu
@nairobiflavour
3 жыл бұрын
Karibu katika jina LA yesu
Waafrika kweli cc watu wa mwisho, ata dini tunatumia za warabu na wazungu.
@androydthegully6390
4 жыл бұрын
Ili uwe wa Kwanza dini ya mwafrika ni ipi?!!
@mbaroukhamza5002
4 жыл бұрын
Waafrika hatuna dini tunazifata kwasababu zinahamasisha amani tu, ila wazungu na warabu cc hawatuthamini kabisa tukenda nchini kwao hawajali wee unaitwa John au Ali unafata yesu au Muhammad wee ni kudharauliwa tu .kwaiyo cc dini yetu ni uafrika . Wachina wanawatesa waafrika hawaangallii dini wala nchi. Kwaiyo izo biblia na Quran na vitabu vilivyotungwa na wakolonni ili kuwatawala watu kwa njia ya amani.
@androydthegully6390
4 жыл бұрын
Daaaa sijui nikueleshe vp mana wewe na mti naona huna tofauti nikuambie nenda shule nazo zao dini yako uafrika unaabudu vp nyumba yako ya ibada inaitwaje?
@mbaroukhamza5002
4 жыл бұрын
@@androydthegully6390 mimi na wewe sote machizi ndo maana chizi anajibizana na chizi mwenziwe wenye akili wanakaa kimya mi akii yangu kama mti wee akili yako kama jiwe . Tatizo haujatembea kwenye nchi ambazo haziabudu uislamu wala ukristo upo kama mlima kilimanjaro. Tangu mama ako alipokubwaga duniani wee upo Tanzania haujenda nchi nyengine. Cc tunaongelea Africa unite wee eti shule thatha . Kwani ukiwa huna Allah au yesu ndo hautokwenda shule.
@shijamayala8127
4 жыл бұрын
Mbarouk Hamza hapo umenena boss waafrika tunapotezwa na dini za kuletewa
Someni timothy 20 20
@stephenobonyo6980
Жыл бұрын
Hakuna kitabu ka Timothy 20 20 Ama ni qurani, kitabu cha majini😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣
Mkuu Quaran haijaabdikwa kiarabu,ndo maana hata waarabu hawaelewi hyo Quarn
@johnkilimo9520
4 жыл бұрын
Calvin Mazaginza kwahiyo ni kinn kichina au ni kiebrania??
@kijanahodari2080
4 жыл бұрын
Haya tuambie wewe unaongea lugha ya mtume wako gani,hakuna mtume aliyetoka Europe ili ufuate bibilia
@johnkilimo9520
4 жыл бұрын
Kijana Hodari mitume wote na wa sisi Wakrito ni wayahud Yesu alivyo kuja aka chagua mitume wake 12 ndio walieneza injili Dunian kote Yesu aliwambia enenden dunian kote mkaitangaze injili
@samutykuntathebantu8402
2 жыл бұрын
@@kijanahodari2080 we ni mwafrika kiarabu ni ushenzi
Amen 🙏
Aya maelezo yaxitufanye aman ikavunjika
Hakika waislam wamepotea
@user-rn2fs5jg6n
21 сағат бұрын
Hakuna dini ya haki mbele ya Mwenyezimungu isipokuwa Uislam. Mwenyezimungu akuongoze katika njia aliyoiridhia.
Wewekuma lamamayako
Nilicho kiona wew muoga dak 10 umeweka zako za waislamu umekata