Que vive la parole de nôtre Jésus christ de Nazareth
@peterekiru76072 ай бұрын
Congo muko nyuma sana....watachukua miaka mingi kuelewa maadiko.Mungu awasaidie sana.
@Neemaa098-yf9os
2 ай бұрын
Kwa kweli nduguyangu
@sheyosquad57552 ай бұрын
Hawa wacongo ni sawa na waislamu
@Amitie-bb6bcАй бұрын
Hauzi elewa mtu asipokuwa kiroho n'a kuamini kama yesus ni mungu
@wilfredondieki59542 ай бұрын
Mbwembwe
@wilfredondieki5954
2 ай бұрын
Congo kuko na mbwembwe sana
@stellakajuju-gj7fqАй бұрын
Truth is most hated by humans being
@macdonaldotieno50102 ай бұрын
Kelele nyingi.
@nicholasambani40752 ай бұрын
HAKIKA BILA SHAKA, MUNGU HAWEZI KUPATIKANA MAHALA KAMA HAPA!!! HII NI BABLONI TUPU!!! HATA MAZINGARA KAMA HAYA ROHO WA MUNGU HAWEZI KUKAA
@JaffOburu
2 ай бұрын
Proof from the bible
@japhetndoro6533
Ай бұрын
WWE hujui kitu angalia mafundisho yake Paulo ndio utajua kulikuwa na mashindano soma acts18:28
@japhetndoro6533
Ай бұрын
General conference haiwez fundisha hivi Toka brio huko jiunge na matengenezo
@nicholasambani4075
Ай бұрын
@@JaffOburu PHILIPPIANS 2:2-5 2. Ijalizeni furaha yangu, ili mwe na nia moja, wenye mapenzi mamoja, wenye roho moja, MKINIA MAMOJA. [3. MSITENDE NENO LO LOTE KWA KUSHINDANA WALA KWA MAJIVUNO; BALI KWA UNYENYEKEVU, KILA MTU NA AMHESABU MWENZIWE KUWA BORA KULIKO NAFSI YAKE. [4] Kila mtu asiangalie mambo yake mwenyewe, bali kila mtu aangalie mambo ya wengine. [5. Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ILIKUWAMO PIA NDANI YA KRISTO YESU;
@cyrusmutsami11952 ай бұрын
Furaha 😂😂😂 tamu tamu
@mwanyunimadee41572 ай бұрын
Uzuri ujumbe umefika wsikize wasisikize hayo n yao
@MarcellinMitamo-jx6quАй бұрын
Mister peterekiru,usingali taja neno ao jina congo.ila ungetaja neno ao jina bukavu.
@loysamwel63082 ай бұрын
Haoniwasilanu
@Shomariamuri12 ай бұрын
Hapa kuko tu ushabiki. Watu hawafuatlilii maandiko 😂😂😂
@felixgitonga67832 ай бұрын
Wacongo walimu warudi shule na mupatanizi mungu na wanandamu Nini?
@BarakaZabron-py2fz2 ай бұрын
Mwanzoni nilipata shida kumuelewa ndasha,nikampa muda wa kumsiliza zaidi na zaidi. Nikamuelewa na nikaelewa na biblia. Yesu ni mwana wangu.
@donaldmwahalende4841
2 ай бұрын
Ubarikiwe
@josephomollo1451
2 ай бұрын
Amina mtumishi
@nyimbozakuabudu2650
Ай бұрын
Lakin pia kuna maswali Ndacha hakueeza kutajibu kuhusu yesu kujiita Baba
@nyimbozakuabudu2650
Ай бұрын
Na pia hakuweza kujibu kama Yesu ni Mungu au lah na kama ni Mungu basi kwenye biblia kuna Mungu wangapi , Haya ni baadhi ya Maswali sijawahi kuona Pastor Ndacha akiyajibu
@abednegokimeu7100
Ай бұрын
Yesu n Baba kwa Sababu Yeye n Adamu wa pili, na pia Heb 2:13 inasema Yuko na watoto ambao Mungu alimpa so watoto wanamwita Yesu Baba...
@abelmoturi522 ай бұрын
Wakristo mko na kelele sana you don't know mko kwa kaninsa hapo mlipo
@aliiushuru85972 ай бұрын
Kwa nini wakristo msiwe na msimamo mmoja ukristo sio dini wala kwa maandiko hakuna na ndio mana nyinyi wenyewe hamuelewani mngali elewana hamnge weka mhadhara wa nyinyi wakristo msi hangaike silimuni muwe wanyenyekevu waMungu/mufwate amri za mungu.
@macdonaldotieno5010
2 ай бұрын
Na uislamu ni dini?
@user-hp6gz6ln4k
2 ай бұрын
Niambie maana yadini? Dini inamaana njia.... Yesu ndiye njia kweli na uzima
@liroytito24722 ай бұрын
1st of all, the leaders/ teachers themselves are the one igniting and reigniting that fandom. Why ask them "ni raha sio raha?", what do you expect after tthat question. You are just arousing them
@macdonaldotieno50102 ай бұрын
Hawa wacongo walitoka bure
@DeluxlebonIbangyemabele2 ай бұрын
Jambo, mimi ni mcongomani nikiwa NAMIBYA, nahamini kweli WATU HUPOTEYA KWA KUTO JUWA MAHANA YA MAANDIKO, mimi waga nafatiliya sana ndacha na mazinge, pasta ndacha watu wana shindwa kuhelewa mahandiko, haho njo wa congomani haho kichwa kita kuhima, mwisho njo wana hanza semezana, lakini ni kweli ....
@pascalkalama2 ай бұрын
Sasa hawa wacongo shida yao ni nini mimi naona kama wamekuja tu kushabikia wachungaji wao juu maandiko yakisomwa na walimu wa upended mwingine wana yakataa hata kama yako wazi
Пікірлер: 38
Que vive la parole de nôtre Jésus christ de Nazareth
Congo muko nyuma sana....watachukua miaka mingi kuelewa maadiko.Mungu awasaidie sana.
@Neemaa098-yf9os
2 ай бұрын
Kwa kweli nduguyangu
Hawa wacongo ni sawa na waislamu
Hauzi elewa mtu asipokuwa kiroho n'a kuamini kama yesus ni mungu
Mbwembwe
@wilfredondieki5954
2 ай бұрын
Congo kuko na mbwembwe sana
Truth is most hated by humans being
Kelele nyingi.
HAKIKA BILA SHAKA, MUNGU HAWEZI KUPATIKANA MAHALA KAMA HAPA!!! HII NI BABLONI TUPU!!! HATA MAZINGARA KAMA HAYA ROHO WA MUNGU HAWEZI KUKAA
@JaffOburu
2 ай бұрын
Proof from the bible
@japhetndoro6533
Ай бұрын
WWE hujui kitu angalia mafundisho yake Paulo ndio utajua kulikuwa na mashindano soma acts18:28
@japhetndoro6533
Ай бұрын
General conference haiwez fundisha hivi Toka brio huko jiunge na matengenezo
@nicholasambani4075
Ай бұрын
@@JaffOburu PHILIPPIANS 2:2-5 2. Ijalizeni furaha yangu, ili mwe na nia moja, wenye mapenzi mamoja, wenye roho moja, MKINIA MAMOJA. [3. MSITENDE NENO LO LOTE KWA KUSHINDANA WALA KWA MAJIVUNO; BALI KWA UNYENYEKEVU, KILA MTU NA AMHESABU MWENZIWE KUWA BORA KULIKO NAFSI YAKE. [4] Kila mtu asiangalie mambo yake mwenyewe, bali kila mtu aangalie mambo ya wengine. [5. Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ILIKUWAMO PIA NDANI YA KRISTO YESU;
Furaha 😂😂😂 tamu tamu
Uzuri ujumbe umefika wsikize wasisikize hayo n yao
Mister peterekiru,usingali taja neno ao jina congo.ila ungetaja neno ao jina bukavu.
Haoniwasilanu
Hapa kuko tu ushabiki. Watu hawafuatlilii maandiko 😂😂😂
Wacongo walimu warudi shule na mupatanizi mungu na wanandamu Nini?
Mwanzoni nilipata shida kumuelewa ndasha,nikampa muda wa kumsiliza zaidi na zaidi. Nikamuelewa na nikaelewa na biblia. Yesu ni mwana wangu.
@donaldmwahalende4841
2 ай бұрын
Ubarikiwe
@josephomollo1451
2 ай бұрын
Amina mtumishi
@nyimbozakuabudu2650
Ай бұрын
Lakin pia kuna maswali Ndacha hakueeza kutajibu kuhusu yesu kujiita Baba
@nyimbozakuabudu2650
Ай бұрын
Na pia hakuweza kujibu kama Yesu ni Mungu au lah na kama ni Mungu basi kwenye biblia kuna Mungu wangapi , Haya ni baadhi ya Maswali sijawahi kuona Pastor Ndacha akiyajibu
@abednegokimeu7100
Ай бұрын
Yesu n Baba kwa Sababu Yeye n Adamu wa pili, na pia Heb 2:13 inasema Yuko na watoto ambao Mungu alimpa so watoto wanamwita Yesu Baba...
Wakristo mko na kelele sana you don't know mko kwa kaninsa hapo mlipo
Kwa nini wakristo msiwe na msimamo mmoja ukristo sio dini wala kwa maandiko hakuna na ndio mana nyinyi wenyewe hamuelewani mngali elewana hamnge weka mhadhara wa nyinyi wakristo msi hangaike silimuni muwe wanyenyekevu waMungu/mufwate amri za mungu.
@macdonaldotieno5010
2 ай бұрын
Na uislamu ni dini?
@user-hp6gz6ln4k
2 ай бұрын
Niambie maana yadini? Dini inamaana njia.... Yesu ndiye njia kweli na uzima
1st of all, the leaders/ teachers themselves are the one igniting and reigniting that fandom. Why ask them "ni raha sio raha?", what do you expect after tthat question. You are just arousing them
Hawa wacongo walitoka bure
Jambo, mimi ni mcongomani nikiwa NAMIBYA, nahamini kweli WATU HUPOTEYA KWA KUTO JUWA MAHANA YA MAANDIKO, mimi waga nafatiliya sana ndacha na mazinge, pasta ndacha watu wana shindwa kuhelewa mahandiko, haho njo wa congomani haho kichwa kita kuhima, mwisho njo wana hanza semezana, lakini ni kweli ....
Sasa hawa wacongo shida yao ni nini mimi naona kama wamekuja tu kushabikia wachungaji wao juu maandiko yakisomwa na walimu wa upended mwingine wana yakataa hata kama yako wazi