Kuna sehenu ktk bilia inasema ole wao waamkao asubuhi na mapema kufata pombe /mvinyo hiyo imekaaje
@user-vy8tb2hq9w2 ай бұрын
Hatari wewe ! Unahatari kubwa bibiria ina makatazo mengi ya unywaji ya pombe !😢
@richardmwandanji654 ай бұрын
Usipotoshe soma vizuri kwenye mvinyo hakuna utukufu ndomana kila alie pewa utumishi wa mungu aliagizwa asitumie hata mzinzi halaumiwi ila anafundishwa
@isayakigava9283
3 ай бұрын
Hajapotosha ila ametoa mtazamo tofauti na wa kwako,unanafasi yakutafakari zaidi kabla hujakataa au kukubaru
@roseombay20866 ай бұрын
Amina
@epifaniamilinga28485 ай бұрын
Rozi Mhando.kaleta agenda.
@servantivankibiki768
5 ай бұрын
Kivipi Rose mwando?
@epifaniamilinga2848
5 ай бұрын
@@servantivankibiki768 Ametoa wimbo unaohusu pombe
@paulndosa26494 ай бұрын
Bora umekiri kuwa huo ni mtazamo wako and you stand to be corrected. Unapokuwa na Roho mtakatifu ndani yako ni udhihirisho wa kuwa unatembea na Yesu. Uko ndani ya Yesu na Yesu yuko ndani yako. Kama pombe inakuondolea Roho mtakatifu maana yake hauna Yesu ndani yako na hutembei naye na hujampokea, hivyo hauko salama kiroho. Biblia inasema wale waliompokea Yesu aliwafanya kuwa wanae. Sasa kama wewe si mwanae mbinguni utapitia mlango upi?
@user-oi5bi2ey2v5 ай бұрын
Tusome wagalatia 5:19-21
@jonamnyone8014
4 ай бұрын
Ulevi na ulafi ni miongoni mwa matendo ya mwili. Hapa Biblia haijazungumzia kunywa pombe wala kula chakula bali ulevi na ulafi. Kunywa pombe si ulevi, vivo hivyo kula chakula si ulafi. Kunywa pombe + kula chakula kupitiliza ndio matendo ya mwili.( Wagalatia 5:19-21)
@user-fq3xt6fe4n6 ай бұрын
Mwalimu mwenzangu umenijibu maswali ambayo nilishindwa kuyapata na watu wote wa dini zote wameshindwa kupata majibu juu ya pombe
@ahmadamohamed1907
4 ай бұрын
Uelewa wako ndipo ulipoishia
@richardmwandanji65
4 ай бұрын
Usilewe kwa mvinyo ambamo humor Kuna uchafu vipi kamamtu anasema hiki chakula ni kichafu. Wawezakusema amekupa ule au wewe ndo umeamua ule uchafu
@lucaspaulo5371
3 ай бұрын
We ndo umefundisha vizuri mno ila walokole hawataki kusikia hivi.
@ebengapierre8826Ай бұрын
Samson km alikatazwa kunywa pombe ni kwasababu alikua mnaziri wamungu kutumia pombe sio zambi atakidogo
@NicolausMgosi-sz5qvАй бұрын
Basi kama SI mbaya ukitaka kunywa uwe unaiombea kama unavyoombea chakula kingine kila mtu atabeba frushi lake mwenyewe. Mungu akufunulie maana unataka kuelewa ila wagalatia 5:19-21 imekujibu
@hassankimaro36333 ай бұрын
Ndugu zangu kila kilichokatazwa na MUNGU huwa ni kizuri na kitamu Sana hivyo ni hiari yako kuamua kunywa pombe , kufirwa au kufira vyote hivyo vimekatazwa Ila huna haja ya kubishana we endelea aidha kuyafanya hayo au kutii maamrisho ya MUNGU
@JohnKapinga-wo1ow4 ай бұрын
Wewe ndugu fundisha vizuri pombe ni dhambi
@wisdomhalisi......88913 ай бұрын
Pombe na MUNGU haijawahi kutokea, WATU WA MUNGU WAKIWA NA NGUVU YA MUNGU(ROHO MT) HAWARUHUSIWI KUNYWA POMBE, ANYWAYE POMBE YU NA SHETANI, NUHU ALIPOLEWA POMBE HAKUSEMA TENA NA MUNGU(MWA,9:20) MNAOSALI MKIMTAKA MUNGU NA NGUVU ZAKE LAZMA UACHE POMBE, NA WATU WA SHETAN MKIMTAKA SKETANI KUNYWA POMBE. NB..TUMEUMBWA WATU WOTE TUMTUMIKIE MUNGU NA SI SHETAN......MCHUNGAJI AKO NA SHETANI LAZIMA AMSAPOTI JOKA...... POMBE NI MARUFUKU.....
@LearntowinLTN
2 ай бұрын
Uko sahihi ,naomba nikuulize swali kula chakula ni dhambi au kunywa maji ni dhambi?
@user-eb3jk4lc4s3 ай бұрын
Kunywa pompe siyo dhambi. ila kulewa ndiyo dhambi kunatofauti ya kunywa na kulewa hata Yesu alikunywa lakini hakuwa mlevi. matayo 11:18--19.
Пікірлер: 29
Kama unakakuwa mtu safi usinywe pombe
Umeeleweka vizuri mwalimu.
Waoooo Mwalimu siku fahamu Kama upo humu barkiwa 🎊🎊🎊🎊
Ubarikiwe mwalimu,naona mwengi ne hapo Tanzania anajiita mzee WA upako anasema pombe sio zambi
Maanayake kama walioambiwa wasinywe pombe maana yake pombe sio nzuri
Mpotoshaji
Ndugu yangu usipotoshe watu. Utahukumiwa. Usipotoshe watu. Acha!!!
Kuna sehenu ktk bilia inasema ole wao waamkao asubuhi na mapema kufata pombe /mvinyo hiyo imekaaje
Hatari wewe ! Unahatari kubwa bibiria ina makatazo mengi ya unywaji ya pombe !😢
Usipotoshe soma vizuri kwenye mvinyo hakuna utukufu ndomana kila alie pewa utumishi wa mungu aliagizwa asitumie hata mzinzi halaumiwi ila anafundishwa
@isayakigava9283
3 ай бұрын
Hajapotosha ila ametoa mtazamo tofauti na wa kwako,unanafasi yakutafakari zaidi kabla hujakataa au kukubaru
Amina
Rozi Mhando.kaleta agenda.
@servantivankibiki768
5 ай бұрын
Kivipi Rose mwando?
@epifaniamilinga2848
5 ай бұрын
@@servantivankibiki768 Ametoa wimbo unaohusu pombe
Bora umekiri kuwa huo ni mtazamo wako and you stand to be corrected. Unapokuwa na Roho mtakatifu ndani yako ni udhihirisho wa kuwa unatembea na Yesu. Uko ndani ya Yesu na Yesu yuko ndani yako. Kama pombe inakuondolea Roho mtakatifu maana yake hauna Yesu ndani yako na hutembei naye na hujampokea, hivyo hauko salama kiroho. Biblia inasema wale waliompokea Yesu aliwafanya kuwa wanae. Sasa kama wewe si mwanae mbinguni utapitia mlango upi?
Tusome wagalatia 5:19-21
@jonamnyone8014
4 ай бұрын
Ulevi na ulafi ni miongoni mwa matendo ya mwili. Hapa Biblia haijazungumzia kunywa pombe wala kula chakula bali ulevi na ulafi. Kunywa pombe si ulevi, vivo hivyo kula chakula si ulafi. Kunywa pombe + kula chakula kupitiliza ndio matendo ya mwili.( Wagalatia 5:19-21)
Mwalimu mwenzangu umenijibu maswali ambayo nilishindwa kuyapata na watu wote wa dini zote wameshindwa kupata majibu juu ya pombe
@ahmadamohamed1907
4 ай бұрын
Uelewa wako ndipo ulipoishia
@richardmwandanji65
4 ай бұрын
Usilewe kwa mvinyo ambamo humor Kuna uchafu vipi kamamtu anasema hiki chakula ni kichafu. Wawezakusema amekupa ule au wewe ndo umeamua ule uchafu
@lucaspaulo5371
3 ай бұрын
We ndo umefundisha vizuri mno ila walokole hawataki kusikia hivi.
Samson km alikatazwa kunywa pombe ni kwasababu alikua mnaziri wamungu kutumia pombe sio zambi atakidogo
Basi kama SI mbaya ukitaka kunywa uwe unaiombea kama unavyoombea chakula kingine kila mtu atabeba frushi lake mwenyewe. Mungu akufunulie maana unataka kuelewa ila wagalatia 5:19-21 imekujibu
Ndugu zangu kila kilichokatazwa na MUNGU huwa ni kizuri na kitamu Sana hivyo ni hiari yako kuamua kunywa pombe , kufirwa au kufira vyote hivyo vimekatazwa Ila huna haja ya kubishana we endelea aidha kuyafanya hayo au kutii maamrisho ya MUNGU
Wewe ndugu fundisha vizuri pombe ni dhambi
Pombe na MUNGU haijawahi kutokea, WATU WA MUNGU WAKIWA NA NGUVU YA MUNGU(ROHO MT) HAWARUHUSIWI KUNYWA POMBE, ANYWAYE POMBE YU NA SHETANI, NUHU ALIPOLEWA POMBE HAKUSEMA TENA NA MUNGU(MWA,9:20) MNAOSALI MKIMTAKA MUNGU NA NGUVU ZAKE LAZMA UACHE POMBE, NA WATU WA SHETAN MKIMTAKA SKETANI KUNYWA POMBE. NB..TUMEUMBWA WATU WOTE TUMTUMIKIE MUNGU NA SI SHETAN......MCHUNGAJI AKO NA SHETANI LAZIMA AMSAPOTI JOKA...... POMBE NI MARUFUKU.....
@LearntowinLTN
2 ай бұрын
Uko sahihi ,naomba nikuulize swali kula chakula ni dhambi au kunywa maji ni dhambi?
Kunywa pompe siyo dhambi. ila kulewa ndiyo dhambi kunatofauti ya kunywa na kulewa hata Yesu alikunywa lakini hakuwa mlevi. matayo 11:18--19.