Nakubaliana na wewe mtumishi,ila ni vyema kukaaa mbali na pombe maana mara nyingi umpelekea mnywaji kufanya matendo ya uovu pasipo kufikiri kwa usahihi,,,,,pombe uzima sub conscious mind.
@anthoniamushi555111 күн бұрын
Amina Baba
@MosesJoseph-hb5ob12 күн бұрын
Amen. Ameni
@veronicamasombo12 күн бұрын
Enough is enough in Jesus name AMEN AMEN and AMEN 🙏
@user-qh8kl9mu5w14 күн бұрын
Mungu akutunze
@user-qh8kl9mu5w14 күн бұрын
Hiki ndio huwa kina sumbua vichwa vya wakristu wengi
@BALOZIWAKRISTOАй бұрын
Upon vizuri mwalimu
@isayakigava9283Ай бұрын
Aksante kwa kutukumbusha mwl
@adrophwilliam3225Ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Bwana
@harunizephania6154Ай бұрын
Kama unakakuwa mtu safi usinywe pombe
@BEATRISIAMANIMO-vi6rpАй бұрын
❤🎉🎉🎉🎉 Mungu akubariki na kukupa faraja
@isayakigava9283Ай бұрын
Fact
@BEATRISIAMANIMO-vi6rpАй бұрын
Your teaching very well mwalimu Ivan kibiki and God blesses you in greater amount
@MalimaDaudMunguibarikiSi-tl3wwАй бұрын
Ongera sana mtumishi Mungu akupe mafunuo zaidi
@user-tn9zj1oy8eАй бұрын
Mpotoshaji
@dansonmk3926Ай бұрын
Kama mtu akinena kwa lugha, wanene wawili au watatu, si zaidi, tena zamu kwa zamu, na mmoja na afasiri. Lakini asipokuwapo mwenye kufasiri na anyamaze katika kanisa; aseme na nafsi yake tena na Mungu. 1Wakorintho 14:27-28
@servantivankibiki768Ай бұрын
Mbarikiwe sana mnaoshiriki
@ebengapierre8826Ай бұрын
Samson km alikatazwa kunywa pombe ni kwasababu alikua mnaziri wamungu kutumia pombe sio zambi atakidogo
@elisantennko82222 ай бұрын
Topic hii nilifundisha English session ibada ya asubuhi 26.5.2024 TAG pugu. Nilutumia NIV Bible, tupo pamoja Mwl mwenzangu. Amen
@NicolausMgosi-sz5qv2 ай бұрын
Basi kama SI mbaya ukitaka kunywa uwe unaiombea kama unavyoombea chakula kingine kila mtu atabeba frushi lake mwenyewe. Mungu akufunulie maana unataka kuelewa ila wagalatia 5:19-21 imekujibu
@georgeasalla85423 ай бұрын
Umeeleza vizuri sana Ila hao wabishi, hata hiyo bibilia wanayoitumia inatafsiriwa na vyoo vya bilibilia vya kikatoliki Dodoma na Nairobi
@RoseMville3 ай бұрын
Amina
@user-gu6bl9tc3x2 ай бұрын
Aminaa sana father be blessed natamani nipate karama ya kuhubiri km ww
@azerageorge20323 ай бұрын
Amina mtumishi,hakika nimebarikiwa🙏
@priscamwalongo11903 ай бұрын
Amen.
@user-vy8tb2hq9w3 ай бұрын
Hatari wewe ! Unahatari kubwa bibiria ina makatazo mengi ya unywaji ya pombe !😢
@IssaMkwata3 ай бұрын
Acha ujanjaujanja
@mariamashale66913 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu, noted and thanks 😊😊 I will change from now
@suzieluharambaa96073 ай бұрын
Amina , somo nzuri ,Mungu akubariki sana ❤
@msatibongonyuzi143 ай бұрын
Hueleweki
@hassankimaro36333 ай бұрын
Ndugu zangu kila kilichokatazwa na MUNGU huwa ni kizuri na kitamu Sana hivyo ni hiari yako kuamua kunywa pombe , kufirwa au kufira vyote hivyo vimekatazwa Ila huna haja ya kubishana we endelea aidha kuyafanya hayo au kutii maamrisho ya MUNGU
Kunywa pompe siyo dhambi. ila kulewa ndiyo dhambi kunatofauti ya kunywa na kulewa hata Yesu alikunywa lakini hakuwa mlevi. matayo 11:18--19.
@immanuelngosha-oq3zt4 ай бұрын
Amina mutumishi wa Mungu
@wisdomhalisi......88914 ай бұрын
Pombe na MUNGU haijawahi kutokea, WATU WA MUNGU WAKIWA NA NGUVU YA MUNGU(ROHO MT) HAWARUHUSIWI KUNYWA POMBE, ANYWAYE POMBE YU NA SHETANI, NUHU ALIPOLEWA POMBE HAKUSEMA TENA NA MUNGU(MWA,9:20) MNAOSALI MKIMTAKA MUNGU NA NGUVU ZAKE LAZMA UACHE POMBE, NA WATU WA SHETAN MKIMTAKA SKETANI KUNYWA POMBE. NB..TUMEUMBWA WATU WOTE TUMTUMIKIE MUNGU NA SI SHETAN......MCHUNGAJI AKO NA SHETANI LAZIMA AMSAPOTI JOKA...... POMBE NI MARUFUKU.....
@LearntowinLTN3 ай бұрын
Uko sahihi ,naomba nikuulize swali kula chakula ni dhambi au kunywa maji ni dhambi?
@johannesjoseph74968 күн бұрын
Tenga mda umsikilize Tena.Biblia inazuia ULEVI,ulafi nk ila haizuii pombe au chakula--tunafundishwa kiasi kwa Kila jambo,tatizo la pombe ni kua ina addiction(ulaibu),ukianza na bia moja utajikuta ata 5 hazikutoshi,hivyo wanatheolojia wa kiprotestant waliona ni vyema kua na mtizamo wa kuzuia pombe kabisa,ambapo ni jambo jema kwa usalama wa kiroho wa waumini.Hakuna haja ya kukimbiza farasi juu ya mwamba Ili kuona kama utaanguka au la
@godwinkileo77024 ай бұрын
Maanayake kama walioambiwa wasinywe pombe maana yake pombe sio nzuri
@neliusgosbertbaguma86934 ай бұрын
Nimekuelewa umefafanua vizuri:
@parfectdaniel89204 ай бұрын
Ubarikiwe Mtumishi kwa somo
@azerageorge20324 ай бұрын
Namshukuru MUNGU nami nimo ndani ya mfungo wa chakula toka tulivyoanza kwaresma, asante mtumishi kwa somo hilo.
@JohnKapinga-wo1ow4 ай бұрын
Kwanini filipo alimbatiza yule mkushi katika maji pale mtoni?
@richardmwandanji654 ай бұрын
Usipotoshe soma vizuri kwenye mvinyo hakuna utukufu ndomana kila alie pewa utumishi wa mungu aliagizwa asitumie hata mzinzi halaumiwi ila anafundishwa
@isayakigava92834 ай бұрын
Hajapotosha ila ametoa mtazamo tofauti na wa kwako,unanafasi yakutafakari zaidi kabla hujakataa au kukubaru
Пікірлер
Ameeee.❤❤❤❤
Nakubaliana na wewe mtumishi,ila ni vyema kukaaa mbali na pombe maana mara nyingi umpelekea mnywaji kufanya matendo ya uovu pasipo kufikiri kwa usahihi,,,,,pombe uzima sub conscious mind.
Amina Baba
Amen. Ameni
Enough is enough in Jesus name AMEN AMEN and AMEN 🙏
Mungu akutunze
Hiki ndio huwa kina sumbua vichwa vya wakristu wengi
Upon vizuri mwalimu
Aksante kwa kutukumbusha mwl
Barikiwa sana mtumishi wa Bwana
Kama unakakuwa mtu safi usinywe pombe
❤🎉🎉🎉🎉 Mungu akubariki na kukupa faraja
Fact
Your teaching very well mwalimu Ivan kibiki and God blesses you in greater amount
Ongera sana mtumishi Mungu akupe mafunuo zaidi
Mpotoshaji
Kama mtu akinena kwa lugha, wanene wawili au watatu, si zaidi, tena zamu kwa zamu, na mmoja na afasiri. Lakini asipokuwapo mwenye kufasiri na anyamaze katika kanisa; aseme na nafsi yake tena na Mungu. 1Wakorintho 14:27-28
Mbarikiwe sana mnaoshiriki
Samson km alikatazwa kunywa pombe ni kwasababu alikua mnaziri wamungu kutumia pombe sio zambi atakidogo
Topic hii nilifundisha English session ibada ya asubuhi 26.5.2024 TAG pugu. Nilutumia NIV Bible, tupo pamoja Mwl mwenzangu. Amen
Basi kama SI mbaya ukitaka kunywa uwe unaiombea kama unavyoombea chakula kingine kila mtu atabeba frushi lake mwenyewe. Mungu akufunulie maana unataka kuelewa ila wagalatia 5:19-21 imekujibu
Umeeleza vizuri sana Ila hao wabishi, hata hiyo bibilia wanayoitumia inatafsiriwa na vyoo vya bilibilia vya kikatoliki Dodoma na Nairobi
Amina
Aminaa sana father be blessed natamani nipate karama ya kuhubiri km ww
Amina mtumishi,hakika nimebarikiwa🙏
Amen.
Hatari wewe ! Unahatari kubwa bibiria ina makatazo mengi ya unywaji ya pombe !😢
Acha ujanjaujanja
Amina mtumishi wa Mungu, noted and thanks 😊😊 I will change from now
Amina , somo nzuri ,Mungu akubariki sana ❤
Hueleweki
Ndugu zangu kila kilichokatazwa na MUNGU huwa ni kizuri na kitamu Sana hivyo ni hiari yako kuamua kunywa pombe , kufirwa au kufira vyote hivyo vimekatazwa Ila huna haja ya kubishana we endelea aidha kuyafanya hayo au kutii maamrisho ya MUNGU
Kazi nzuri mwalimu mwenzangu
Ubarikiwe sana mwalimu
Ubarikiwesana
Mafundisho mazuri sana
Nimekuelewa mwalimu
Usijifanyie mfano wa kitu chochote na kukiabudu
Kufanya na kutengeneza Kuna utofauti
Asante na ubarikiwe pia
Umesoma kitabu gani kwa biblia.
🙏🏿🙏🏿
Ndugu yangu usipotoshe watu. Utahukumiwa. Usipotoshe watu. Acha!!!
Kunywa pompe siyo dhambi. ila kulewa ndiyo dhambi kunatofauti ya kunywa na kulewa hata Yesu alikunywa lakini hakuwa mlevi. matayo 11:18--19.
Amina mutumishi wa Mungu
Pombe na MUNGU haijawahi kutokea, WATU WA MUNGU WAKIWA NA NGUVU YA MUNGU(ROHO MT) HAWARUHUSIWI KUNYWA POMBE, ANYWAYE POMBE YU NA SHETANI, NUHU ALIPOLEWA POMBE HAKUSEMA TENA NA MUNGU(MWA,9:20) MNAOSALI MKIMTAKA MUNGU NA NGUVU ZAKE LAZMA UACHE POMBE, NA WATU WA SHETAN MKIMTAKA SKETANI KUNYWA POMBE. NB..TUMEUMBWA WATU WOTE TUMTUMIKIE MUNGU NA SI SHETAN......MCHUNGAJI AKO NA SHETANI LAZIMA AMSAPOTI JOKA...... POMBE NI MARUFUKU.....
Uko sahihi ,naomba nikuulize swali kula chakula ni dhambi au kunywa maji ni dhambi?
Tenga mda umsikilize Tena.Biblia inazuia ULEVI,ulafi nk ila haizuii pombe au chakula--tunafundishwa kiasi kwa Kila jambo,tatizo la pombe ni kua ina addiction(ulaibu),ukianza na bia moja utajikuta ata 5 hazikutoshi,hivyo wanatheolojia wa kiprotestant waliona ni vyema kua na mtizamo wa kuzuia pombe kabisa,ambapo ni jambo jema kwa usalama wa kiroho wa waumini.Hakuna haja ya kukimbiza farasi juu ya mwamba Ili kuona kama utaanguka au la
Maanayake kama walioambiwa wasinywe pombe maana yake pombe sio nzuri
Nimekuelewa umefafanua vizuri:
Ubarikiwe Mtumishi kwa somo
Namshukuru MUNGU nami nimo ndani ya mfungo wa chakula toka tulivyoanza kwaresma, asante mtumishi kwa somo hilo.
Kwanini filipo alimbatiza yule mkushi katika maji pale mtoni?
Usipotoshe soma vizuri kwenye mvinyo hakuna utukufu ndomana kila alie pewa utumishi wa mungu aliagizwa asitumie hata mzinzi halaumiwi ila anafundishwa
Hajapotosha ila ametoa mtazamo tofauti na wa kwako,unanafasi yakutafakari zaidi kabla hujakataa au kukubaru