Пікірлер

  • @valenakomba9218
    @valenakomba92184 күн бұрын

    Ameeee.❤❤❤❤

  • @johannesjoseph7496
    @johannesjoseph74968 күн бұрын

    Nakubaliana na wewe mtumishi,ila ni vyema kukaaa mbali na pombe maana mara nyingi umpelekea mnywaji kufanya matendo ya uovu pasipo kufikiri kwa usahihi,,,,,pombe uzima sub conscious mind.

  • @anthoniamushi5551
    @anthoniamushi555111 күн бұрын

    Amina Baba

  • @MosesJoseph-hb5ob
    @MosesJoseph-hb5ob12 күн бұрын

    Amen. Ameni

  • @veronicamasombo
    @veronicamasombo12 күн бұрын

    Enough is enough in Jesus name AMEN AMEN and AMEN 🙏

  • @user-qh8kl9mu5w
    @user-qh8kl9mu5w14 күн бұрын

    Mungu akutunze

  • @user-qh8kl9mu5w
    @user-qh8kl9mu5w14 күн бұрын

    Hiki ndio huwa kina sumbua vichwa vya wakristu wengi

  • @BALOZIWAKRISTO
    @BALOZIWAKRISTOАй бұрын

    Upon vizuri mwalimu

  • @isayakigava9283
    @isayakigava9283Ай бұрын

    Aksante kwa kutukumbusha mwl

  • @adrophwilliam3225
    @adrophwilliam3225Ай бұрын

    Barikiwa sana mtumishi wa Bwana

  • @harunizephania6154
    @harunizephania6154Ай бұрын

    Kama unakakuwa mtu safi usinywe pombe

  • @BEATRISIAMANIMO-vi6rp
    @BEATRISIAMANIMO-vi6rpАй бұрын

    ❤🎉🎉🎉🎉 Mungu akubariki na kukupa faraja

  • @isayakigava9283
    @isayakigava9283Ай бұрын

    Fact

  • @BEATRISIAMANIMO-vi6rp
    @BEATRISIAMANIMO-vi6rpАй бұрын

    Your teaching very well mwalimu Ivan kibiki and God blesses you in greater amount

  • @MalimaDaudMunguibarikiSi-tl3ww
    @MalimaDaudMunguibarikiSi-tl3wwАй бұрын

    Ongera sana mtumishi Mungu akupe mafunuo zaidi

  • @user-tn9zj1oy8e
    @user-tn9zj1oy8eАй бұрын

    Mpotoshaji

  • @dansonmk3926
    @dansonmk3926Ай бұрын

    Kama mtu akinena kwa lugha, wanene wawili au watatu, si zaidi, tena zamu kwa zamu, na mmoja na afasiri. Lakini asipokuwapo mwenye kufasiri na anyamaze katika kanisa; aseme na nafsi yake tena na Mungu. 1Wakorintho 14:27-28

  • @servantivankibiki768
    @servantivankibiki768Ай бұрын

    Mbarikiwe sana mnaoshiriki

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826Ай бұрын

    Samson km alikatazwa kunywa pombe ni kwasababu alikua mnaziri wamungu kutumia pombe sio zambi atakidogo

  • @elisantennko8222
    @elisantennko82222 ай бұрын

    Topic hii nilifundisha English session ibada ya asubuhi 26.5.2024 TAG pugu. Nilutumia NIV Bible, tupo pamoja Mwl mwenzangu. Amen

  • @NicolausMgosi-sz5qv
    @NicolausMgosi-sz5qv2 ай бұрын

    Basi kama SI mbaya ukitaka kunywa uwe unaiombea kama unavyoombea chakula kingine kila mtu atabeba frushi lake mwenyewe. Mungu akufunulie maana unataka kuelewa ila wagalatia 5:19-21 imekujibu

  • @georgeasalla8542
    @georgeasalla85423 ай бұрын

    Umeeleza vizuri sana Ila hao wabishi, hata hiyo bibilia wanayoitumia inatafsiriwa na vyoo vya bilibilia vya kikatoliki Dodoma na Nairobi

  • @RoseMville
    @RoseMville3 ай бұрын

    Amina

  • @user-gu6bl9tc3x
    @user-gu6bl9tc3x2 ай бұрын

    Aminaa sana father be blessed natamani nipate karama ya kuhubiri km ww

  • @azerageorge2032
    @azerageorge20323 ай бұрын

    Amina mtumishi,hakika nimebarikiwa🙏

  • @priscamwalongo1190
    @priscamwalongo11903 ай бұрын

    Amen.

  • @user-vy8tb2hq9w
    @user-vy8tb2hq9w3 ай бұрын

    Hatari wewe ! Unahatari kubwa bibiria ina makatazo mengi ya unywaji ya pombe !😢

  • @IssaMkwata
    @IssaMkwata3 ай бұрын

    Acha ujanjaujanja

  • @mariamashale6691
    @mariamashale66913 ай бұрын

    Amina mtumishi wa Mungu, noted and thanks 😊😊 I will change from now

  • @suzieluharambaa9607
    @suzieluharambaa96073 ай бұрын

    Amina , somo nzuri ,Mungu akubariki sana ❤

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi143 ай бұрын

    Hueleweki

  • @hassankimaro3633
    @hassankimaro36333 ай бұрын

    Ndugu zangu kila kilichokatazwa na MUNGU huwa ni kizuri na kitamu Sana hivyo ni hiari yako kuamua kunywa pombe , kufirwa au kufira vyote hivyo vimekatazwa Ila huna haja ya kubishana we endelea aidha kuyafanya hayo au kutii maamrisho ya MUNGU

  • @BALOZIWAKRISTO
    @BALOZIWAKRISTO3 ай бұрын

    Kazi nzuri mwalimu mwenzangu

  • @OrestaMhagama-nu5gs
    @OrestaMhagama-nu5gs3 ай бұрын

    Ubarikiwe sana mwalimu

  • @edithajames1915
    @edithajames19153 ай бұрын

    Ubarikiwesana

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia98983 ай бұрын

    Mafundisho mazuri sana

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia98983 ай бұрын

    Nimekuelewa mwalimu

  • @neliusgosbertbaguma8693
    @neliusgosbertbaguma86934 ай бұрын

    Usijifanyie mfano wa kitu chochote na kukiabudu

  • @servantivankibiki768
    @servantivankibiki7684 ай бұрын

    Kufanya na kutengeneza Kuna utofauti

  • @audaxemmanuel7927
    @audaxemmanuel79274 ай бұрын

    Asante na ubarikiwe pia

  • @bibliakweliyaduniayote1137
    @bibliakweliyaduniayote11374 ай бұрын

    Umesoma kitabu gani kwa biblia.

  • @ubongosahihi
    @ubongosahihi4 ай бұрын

    🙏🏿🙏🏿

  • @kalistokyando1670
    @kalistokyando16704 ай бұрын

    Ndugu yangu usipotoshe watu. Utahukumiwa. Usipotoshe watu. Acha!!!

  • @user-eb3jk4lc4s
    @user-eb3jk4lc4s4 ай бұрын

    Kunywa pompe siyo dhambi. ila kulewa ndiyo dhambi kunatofauti ya kunywa na kulewa hata Yesu alikunywa lakini hakuwa mlevi. matayo 11:18--19.

  • @immanuelngosha-oq3zt
    @immanuelngosha-oq3zt4 ай бұрын

    Amina mutumishi wa Mungu

  • @wisdomhalisi......8891
    @wisdomhalisi......88914 ай бұрын

    Pombe na MUNGU haijawahi kutokea, WATU WA MUNGU WAKIWA NA NGUVU YA MUNGU(ROHO MT) HAWARUHUSIWI KUNYWA POMBE, ANYWAYE POMBE YU NA SHETANI, NUHU ALIPOLEWA POMBE HAKUSEMA TENA NA MUNGU(MWA,9:20) MNAOSALI MKIMTAKA MUNGU NA NGUVU ZAKE LAZMA UACHE POMBE, NA WATU WA SHETAN MKIMTAKA SKETANI KUNYWA POMBE. NB..TUMEUMBWA WATU WOTE TUMTUMIKIE MUNGU NA SI SHETAN......MCHUNGAJI AKO NA SHETANI LAZIMA AMSAPOTI JOKA...... POMBE NI MARUFUKU.....

  • @LearntowinLTN
    @LearntowinLTN3 ай бұрын

    Uko sahihi ,naomba nikuulize swali kula chakula ni dhambi au kunywa maji ni dhambi?

  • @johannesjoseph7496
    @johannesjoseph74968 күн бұрын

    Tenga mda umsikilize Tena.Biblia inazuia ULEVI,ulafi nk ila haizuii pombe au chakula--tunafundishwa kiasi kwa Kila jambo,tatizo la pombe ni kua ina addiction(ulaibu),ukianza na bia moja utajikuta ata 5 hazikutoshi,hivyo wanatheolojia wa kiprotestant waliona ni vyema kua na mtizamo wa kuzuia pombe kabisa,ambapo ni jambo jema kwa usalama wa kiroho wa waumini.Hakuna haja ya kukimbiza farasi juu ya mwamba Ili kuona kama utaanguka au la

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo77024 ай бұрын

    Maanayake kama walioambiwa wasinywe pombe maana yake pombe sio nzuri

  • @neliusgosbertbaguma8693
    @neliusgosbertbaguma86934 ай бұрын

    Nimekuelewa umefafanua vizuri:

  • @parfectdaniel8920
    @parfectdaniel89204 ай бұрын

    Ubarikiwe Mtumishi kwa somo

  • @azerageorge2032
    @azerageorge20324 ай бұрын

    Namshukuru MUNGU nami nimo ndani ya mfungo wa chakula toka tulivyoanza kwaresma, asante mtumishi kwa somo hilo.

  • @JohnKapinga-wo1ow
    @JohnKapinga-wo1ow4 ай бұрын

    Kwanini filipo alimbatiza yule mkushi katika maji pale mtoni?

  • @richardmwandanji65
    @richardmwandanji654 ай бұрын

    Usipotoshe soma vizuri kwenye mvinyo hakuna utukufu ndomana kila alie pewa utumishi wa mungu aliagizwa asitumie hata mzinzi halaumiwi ila anafundishwa

  • @isayakigava9283
    @isayakigava92834 ай бұрын

    Hajapotosha ila ametoa mtazamo tofauti na wa kwako,unanafasi yakutafakari zaidi kabla hujakataa au kukubaru