KUNENA KWA LUGHA

Пікірлер: 7

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi143 ай бұрын

    Hueleweki

  • @audaxemmanuel7927
    @audaxemmanuel79276 ай бұрын

    Asante sana na ubarikiwe pia

  • @elisantennko8222
    @elisantennko82222 ай бұрын

    Topic hii nilifundisha English session ibada ya asubuhi 26.5.2024 TAG pugu. Nilutumia NIV Bible, tupo pamoja Mwl mwenzangu. Amen

  • @dansonmk3926
    @dansonmk3926Ай бұрын

    Kama mtu akinena kwa lugha, wanene wawili au watatu, si zaidi, tena zamu kwa zamu, na mmoja na afasiri. Lakini asipokuwapo mwenye kufasiri na anyamaze katika kanisa; aseme na nafsi yake tena na Mungu. 1Wakorintho 14:27-28

  • @irenelucas6323
    @irenelucas63236 ай бұрын

    Mtumishi kuspeak in tongues sio kuhutubu. Ninavyojua kuhutubu ni kupreach in tongues.

  • @servantivankibiki768

    @servantivankibiki768

    6 ай бұрын

    Preach ni Kuhubiri na siyo kuhutubu. Speak ni kuongea wazi. Mfano: Speaker wa bunge anaitwa hivyo kutokana kwamba ndiye mhutubiaji. Kuhubiri ni kitu tofauti na speech

  • @neliusgosbertbaguma8693

    @neliusgosbertbaguma8693

    4 ай бұрын

    Hivi RC ikitokea ukanena kwa Lugha haufukuzwi wala kutengwa? Maana CHANGAMOTO tulizokutana nazo tukiwa Karismatik, ilikuwa kutengwa tu, ukijifanya kufundisha Bibilia, nakupongeza sana kwa kuthubutu: