USHAURI WA MTUME MWAMPOSA UMENISAIDIA.

#arisendshinetanzania #2021mwakawaimani #mwamposalive
Don't Forget to Subscribe to get The Latest Videos
From Apostle Boniface Mwamposa Bulldozer.
WATCH ARISE AND SHINE TV
AZAM CHANNEL 469
STATIMES ANTENA CHANNEL 117 | STARTIMES DISH CHANNEL 198.
LISTEN ARISE AND SHINE RADIO
105.7 DSM | 98.5 DSM | ARUSHA 95.7 | KILIMANJARO 95.1
IRINGA 99.3 | DODOMA 91.2 | ZENJI FM 96.9 | MOROGORO 104.7 SHINYANGA 100.7 | MBEYA 101.3 | SINGIDA 94.1.

Пікірлер: 84

  • @MagangaMasunga
    @MagangaMasunga6 ай бұрын

    Mungu kupitia Arise and shine naomba ufungue malango yangu mwaka huu (2024) nikazidiwe na wateja na sitafunga duka katika jina la yesu kristo Ameen

  • @jokepenis2016
    @jokepenis20162 жыл бұрын

    Lilian Achieng juma I am warching from Germany 🇩🇪 🇰🇪 ushuhuda huu inanifurahisha sana nina angalia mara kumi kwa siku🥰 happy End ,Jesus is love ❤️ 🙏🙏🙏

  • @michaelmichaelmwambane3545

    @michaelmichaelmwambane3545

    Жыл бұрын

    Pole sana ndugu

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice80772 жыл бұрын

    Ushauri wa kibabe naupenda, Mungu akubariki Mtume BOniface Bulldozer Mwamposa kweli umetumwa na Yehova 🙌🙏🙏

  • @tonykonki1437
    @tonykonki1437Ай бұрын

    Hi mungu wangu,pia namie naamini bihashara yangu inaenda kua na wateja wengi hadi natafta watu wa kunizaindia.

  • @cecile2773
    @cecile27733 ай бұрын

    Ushuhuda mtamu huu unanipa huraha na amani❤

  • @magrethmvwango2682
    @magrethmvwango2682 Жыл бұрын

    Kwaimani mungu waguse wote wanao nidai wanisamehe Ameni

  • @magrethmvwango2682
    @magrethmvwango2682 Жыл бұрын

    Mungu kwaimani napokea uponyaji kwenye mwili wangu mungu kwaimani napokea uponyaji kwenye biashala yangu mungu naomba mfungue Emanueli mnyogele arudi kwenye mikono yangu Ameni

  • @kamilusmgaya6476
    @kamilusmgaya64765 ай бұрын

    Mungu wangu nitazame na mimi kanijazie wateja

  • @ShalifuMwangomile
    @ShalifuMwangomile8 ай бұрын

    Mungu rudisha Mali zote za mume wangu sharifu mwangomile zilizo potea zirudishwe Kwa jina la yesu Ameen🙏

  • @richardjohn8632
    @richardjohn8632 Жыл бұрын

    Kwa ushuhuda huu na mm nibarikiwe familia na biashara

  • @tabiageorge7025
    @tabiageorge70252 жыл бұрын

    Bwana Yesu asifiwe Mimi Tabia George nipo Ukonga nataka mungu aniponye Tumbo langu nipate watoto mapacha wanne wakiume 2 wakike 2 miaka 26 sna watoto

  • @yunusiwafaume1191
    @yunusiwafaume1191 Жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu nisaidie uwe mwaka wa raha badilisha maisha yangu

  • @SwalinaMamey-fi6kn
    @SwalinaMamey-fi6kn11 ай бұрын

    Yaan hii shuhuda hua inaniongeza imani sana

  • @mjumbewaaganoduniani
    @mjumbewaaganoduniani10 ай бұрын

    Ni kwa Sababu mungu wa dunia hii amempa, Luka 4:5-7.

  • @janethyohana
    @janethyohana Жыл бұрын

    E mungu naomba unilinde na unipiganie na maadui zangu waaibishwe

  • @MarinaRuvanda-qs6ho
    @MarinaRuvanda-qs6ho Жыл бұрын

    Kwa Imani mungu kusa maisha yangu kupitia shuuda hiii

  • @jasintajason4751
    @jasintajason4751 Жыл бұрын

    Mungu naomba kupitia madhabahu haya ya inuka uangaze na mimi nipokee upako

  • @ainessfoya4463
    @ainessfoya446311 ай бұрын

    Yaaaani rahaaa..rahaaa..ushuhudaa

  • @ChawamduduMdudu-hv2gw
    @ChawamduduMdudu-hv2gw10 ай бұрын

    Ameen

  • @yunusiwafaume1191
    @yunusiwafaume1191 Жыл бұрын

    Rejesha vilivyopokonywa kwangu kwa jina la Yesu

  • @kalundemsuya5077
    @kalundemsuya5077 Жыл бұрын

    Naomba mungu aniponye magonjwa yotektk mwili wangu,

  • @janethyohana
    @janethyohana Жыл бұрын

    E mungu naomba achia nuru kwenye maisha yangu na mfungue mumewangu

  • @kalundemsuya5077
    @kalundemsuya5077 Жыл бұрын

    Mungu naomba nikutanishe nawatu watakaoinuabiahara yangu,

  • @kalundemsuya5077
    @kalundemsuya5077 Жыл бұрын

    Naomba mungu aniinue ktk bashara yangu,

  • @sesiliangando2637
    @sesiliangando26372 жыл бұрын

    Amina 🙏 ee mungu naomba unifungue mm na mume wangu

  • @noelmpahi7382
    @noelmpahi73822 жыл бұрын

    Ee Mwenyezi Mungu, naomba nisaidie niweze kupata mafanikio ya kuinuka kiuchumi kupitia kazi yangu, Eee Mwenyezi Mungu naomba nisaidie

  • @user-qp8tm2sy3c
    @user-qp8tm2sy3c4 ай бұрын

    naomba mungu a nisayidiye nimuowe mwa namuke n'a yomupenda naitwayila nipoburundi nitashu kulusana

  • @user-qp8tm2sy3c

    @user-qp8tm2sy3c

    4 ай бұрын

    Natwa Samson esrto

  • @aronkambona9287
    @aronkambona92872 жыл бұрын

    Nabarikiwa sana namaomzi ya mchungaji

  • @ChawamduduMdudu-hv2gw
    @ChawamduduMdudu-hv2gw10 ай бұрын

    Napokea

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 Жыл бұрын

    Buldozer ndiyo kila kitu achana na Uganga mambo yote kwa Yesu

  • @antoniamushi8532
    @antoniamushi85322 жыл бұрын

    Naomba Mungu uibariki familia yangu na mama yangu kupitia shuhuda zangu

  • @tabiageorge7025
    @tabiageorge70252 жыл бұрын

    Na mdogo wangu Estar apone ugojwa apone Mdogo wangu Neema Ukumwi

  • @davidathanas3101
    @davidathanas31012 жыл бұрын

    God is good all the time ukimuonba kwa Imani anatenda...Ila nnavyomuona jamaa jinsi anavyoongea namuona km anakipaji Cha stand up comedy hv😂😂!!

  • @yunusiwafaume1191
    @yunusiwafaume1191 Жыл бұрын

    Mungu rejesha mali zangu. Zilizopotea zirudishwe haki zangu zirudishwe

  • @reginakimario4568
    @reginakimario45682 жыл бұрын

    Hakika mungu Amekutuma baba

  • @careennkuwi
    @careennkuwi Жыл бұрын

    💪

  • @tunakisiwekamnyoge8061
    @tunakisiwekamnyoge80612 жыл бұрын

    AMEEEEEEEEEEEEEEEEE🙏

  • @johnirungu6822

    @johnirungu6822

    Жыл бұрын

    I so need Gods help in my life

  • @pascaljoseph6480
    @pascaljoseph6480 Жыл бұрын

    Amen.!

  • @purityneema218
    @purityneema2182 жыл бұрын

    Amen 🙏🙏🙏🙏

  • @simonmbembati2832
    @simonmbembati28322 жыл бұрын

    Ee mungu naomba unifungue famiria yangu na kipato changu

  • @michaelmichaelmwambane3545

    @michaelmichaelmwambane3545

    Жыл бұрын

    Mungu ninaomba ulinzi wako hapo kazini mungu simama nami bwana usiniachi bwana nitendeeer niweze kupona ukimwi mwili wangu unaniwasha niombee mtume

  • @sabinamkasyoka1259
    @sabinamkasyoka1259 Жыл бұрын

    Tune from Nairobi komarock Kenya 🇰🇪🙏

  • @elingimiemakundi1229
    @elingimiemakundi12296 ай бұрын

    Mteja

  • @kalundemsuya5077
    @kalundemsuya5077 Жыл бұрын

    Naomba niwmiongon mwa kurudishiwa maliziliz chukuliwa kwa chuma ulete,kudhulumiwa,nakufunguliwa kiuchumi,,

  • @kalundemsuya5077
    @kalundemsuya5077 Жыл бұрын

    Naomba watoto wafunguliwa ufahamu wao wanijue,

  • @kalundemsuya5077
    @kalundemsuya5077 Жыл бұрын

    Naomba wana gu wafaulu mitihani yao

  • @sabinamkasyoka1259
    @sabinamkasyoka1259 Жыл бұрын

    Jesus is the Lord

  • @Happyhadson
    @Happyhadson2 жыл бұрын

    🙌🙌🙏🙏🙏

  • @rosemarykipesha3898
    @rosemarykipesha38982 жыл бұрын

    Hakika mungu yuko hapo. Binafsi nimelipiwa deni moja naamini namengine mungu atanilipia

  • @alikojulias2211
    @alikojulias22112 жыл бұрын

    Ameni

  • @agathalyamuya9358
    @agathalyamuya9358 Жыл бұрын

    Hata kama unahirizi njooooo

  • @odiliawilliam881
    @odiliawilliam8812 жыл бұрын

    Baba naomba msaadawako

  • @lucyalphayokissiri3262
    @lucyalphayokissiri32622 жыл бұрын

    Kwa kweli duniani kuna washauri!

  • @elinayohana6636

    @elinayohana6636

    2 жыл бұрын

    Mungu najiungamanisha na ibada hii Nataka anifungue

  • @user-hl4rw9xe3u
    @user-hl4rw9xe3u2 жыл бұрын

    Nikweli ukiwa unakitu kila mtu anakukimbia aijalishi rafiki au ndugu unayetakiwa kubaki naye ni Yesu tu

  • @lucymwalisu5160
    @lucymwalisu5160 Жыл бұрын

    kaka hapo uliharibu ungendelea kupaka mafuta ya upako na maji yaan Mwamposa ndo Kila kitu Mungu amuweke huyu baba akomboe watu ishi sana mtume mwamposa

  • @mahaduroaugustomacassineau2810
    @mahaduroaugustomacassineau2810 Жыл бұрын

    Naomba niombewe

  • @mahaduroaugustomacassineau2810

    @mahaduroaugustomacassineau2810

    Жыл бұрын

    Sina kazi

  • @oscarmgeradinukauangaze1130
    @oscarmgeradinukauangaze11302 жыл бұрын

    Aimeeee

  • @moshihamis7131

    @moshihamis7131

    Жыл бұрын

    Niamnishe nijisimamie nisiogope kudaiwa

  • @antoniamushi8532
    @antoniamushi85322 жыл бұрын

    Naomba mitaji dabodabo kupitia shuhuda hizi

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda92392 жыл бұрын

    Uachage tamaa fic weye.

  • @agathalyamuya9358
    @agathalyamuya9358 Жыл бұрын

    Napataje maji na mafuta

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda92392 жыл бұрын

    Mrudishe mkeo.

  • @aussiaussi6620
    @aussiaussi66202 жыл бұрын

    I am tu km

  • @winniejohnjohnsule2636
    @winniejohnjohnsule26362 жыл бұрын

    Kupitia huu ushuhuda niunuke kiuchumi na mm

  • @zakarianyakunga9207
    @zakarianyakunga92072 жыл бұрын

    MUNGU gani wa wadanganyaji?

  • @shukrananold3790
    @shukrananold3790 Жыл бұрын

    Ee MUNGU naomb unfungue kupitia shuhuda hii

  • @dadaz4653
    @dadaz46532 жыл бұрын

    Sasa hizo mapete yatoe

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday92142 жыл бұрын

    Yaani hayo ndo yaliyonikuta mimi sina ndg wala rafiki wananiona kituku

  • @annehaysanday9214

    @annehaysanday9214

    2 жыл бұрын

    Wananiona kituko

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla74712 жыл бұрын

    Mafuta yaongezeke kidogo jamani wa mbali tunateseka

  • @moshihamis7131
    @moshihamis7131 Жыл бұрын

    Mosh

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday92142 жыл бұрын

    Rudisha mke sasa

  • @odiliawilliam881

    @odiliawilliam881

    2 жыл бұрын

    Napokea mume mwema

  • @stelamariskioko7958
    @stelamariskioko79582 жыл бұрын

    Amen.mjungaji.nakutazama.nikiwa.kenya.plz.nakuomba.hunikumbukekwa.maombi..mm.watoto.wangu.wa.wili.niliosomeza.nikiwa.mngoja.zaidi.ya.miaka.20.walinitoloka..hata.hawasingangi.sim.yangu

  • @mariamngolle5203

    @mariamngolle5203

    2 жыл бұрын

    Najiungamanisha na ibada na ushuhuda wa Leo NAMI napokea kufunguliwa na kuachiliwa

  • @sophymichael4429
    @sophymichael44292 жыл бұрын

    Ameen

  • @neemanahayoaisee4131
    @neemanahayoaisee41312 жыл бұрын

    Ameen

  • @shilabwax7508

    @shilabwax7508

    Жыл бұрын

    Mungu naomba uniponye nawashwa sana mwili mzima nimetumia dawa sijapona Mungu nisaidie

  • @shilabwax7508

    @shilabwax7508

    Жыл бұрын

    Naitwa ditto silayo Mungu naomba uniponye nawashwa sana mwili mzima nimetumia dawa sijapona

Келесі