USHAURI WA MTUME MWAMPOSA UMENISAIDIA.
#arisendshinetanzania #2021mwakawaimani #mwamposalive
Don't Forget to Subscribe to get The Latest Videos
From Apostle Boniface Mwamposa Bulldozer.
WATCH ARISE AND SHINE TV
AZAM CHANNEL 469
STATIMES ANTENA CHANNEL 117 | STARTIMES DISH CHANNEL 198.
LISTEN ARISE AND SHINE RADIO
105.7 DSM | 98.5 DSM | ARUSHA 95.7 | KILIMANJARO 95.1
IRINGA 99.3 | DODOMA 91.2 | ZENJI FM 96.9 | MOROGORO 104.7 SHINYANGA 100.7 | MBEYA 101.3 | SINGIDA 94.1.
Пікірлер: 84
Mungu kupitia Arise and shine naomba ufungue malango yangu mwaka huu (2024) nikazidiwe na wateja na sitafunga duka katika jina la yesu kristo Ameen
Lilian Achieng juma I am warching from Germany 🇩🇪 🇰🇪 ushuhuda huu inanifurahisha sana nina angalia mara kumi kwa siku🥰 happy End ,Jesus is love ❤️ 🙏🙏🙏
@michaelmichaelmwambane3545
Жыл бұрын
Pole sana ndugu
Ushauri wa kibabe naupenda, Mungu akubariki Mtume BOniface Bulldozer Mwamposa kweli umetumwa na Yehova 🙌🙏🙏
Hi mungu wangu,pia namie naamini bihashara yangu inaenda kua na wateja wengi hadi natafta watu wa kunizaindia.
Ushuhuda mtamu huu unanipa huraha na amani❤
Kwaimani mungu waguse wote wanao nidai wanisamehe Ameni
Mungu kwaimani napokea uponyaji kwenye mwili wangu mungu kwaimani napokea uponyaji kwenye biashala yangu mungu naomba mfungue Emanueli mnyogele arudi kwenye mikono yangu Ameni
Mungu wangu nitazame na mimi kanijazie wateja
Mungu rudisha Mali zote za mume wangu sharifu mwangomile zilizo potea zirudishwe Kwa jina la yesu Ameen🙏
Kwa ushuhuda huu na mm nibarikiwe familia na biashara
Bwana Yesu asifiwe Mimi Tabia George nipo Ukonga nataka mungu aniponye Tumbo langu nipate watoto mapacha wanne wakiume 2 wakike 2 miaka 26 sna watoto
Mwenyezi Mungu nisaidie uwe mwaka wa raha badilisha maisha yangu
Yaan hii shuhuda hua inaniongeza imani sana
Ni kwa Sababu mungu wa dunia hii amempa, Luka 4:5-7.
E mungu naomba unilinde na unipiganie na maadui zangu waaibishwe
Kwa Imani mungu kusa maisha yangu kupitia shuuda hiii
Mungu naomba kupitia madhabahu haya ya inuka uangaze na mimi nipokee upako
Yaaaani rahaaa..rahaaa..ushuhudaa
Ameen
Rejesha vilivyopokonywa kwangu kwa jina la Yesu
Naomba mungu aniponye magonjwa yotektk mwili wangu,
E mungu naomba achia nuru kwenye maisha yangu na mfungue mumewangu
Mungu naomba nikutanishe nawatu watakaoinuabiahara yangu,
Naomba mungu aniinue ktk bashara yangu,
Amina 🙏 ee mungu naomba unifungue mm na mume wangu
Ee Mwenyezi Mungu, naomba nisaidie niweze kupata mafanikio ya kuinuka kiuchumi kupitia kazi yangu, Eee Mwenyezi Mungu naomba nisaidie
naomba mungu a nisayidiye nimuowe mwa namuke n'a yomupenda naitwayila nipoburundi nitashu kulusana
@user-qp8tm2sy3c
4 ай бұрын
Natwa Samson esrto
Nabarikiwa sana namaomzi ya mchungaji
Napokea
Buldozer ndiyo kila kitu achana na Uganga mambo yote kwa Yesu
Naomba Mungu uibariki familia yangu na mama yangu kupitia shuhuda zangu
Na mdogo wangu Estar apone ugojwa apone Mdogo wangu Neema Ukumwi
God is good all the time ukimuonba kwa Imani anatenda...Ila nnavyomuona jamaa jinsi anavyoongea namuona km anakipaji Cha stand up comedy hv😂😂!!
Mungu rejesha mali zangu. Zilizopotea zirudishwe haki zangu zirudishwe
Hakika mungu Amekutuma baba
💪
AMEEEEEEEEEEEEEEEEE🙏
@johnirungu6822
Жыл бұрын
I so need Gods help in my life
Amen.!
Amen 🙏🙏🙏🙏
Ee mungu naomba unifungue famiria yangu na kipato changu
@michaelmichaelmwambane3545
Жыл бұрын
Mungu ninaomba ulinzi wako hapo kazini mungu simama nami bwana usiniachi bwana nitendeeer niweze kupona ukimwi mwili wangu unaniwasha niombee mtume
Tune from Nairobi komarock Kenya 🇰🇪🙏
Mteja
Naomba niwmiongon mwa kurudishiwa maliziliz chukuliwa kwa chuma ulete,kudhulumiwa,nakufunguliwa kiuchumi,,
Naomba watoto wafunguliwa ufahamu wao wanijue,
Naomba wana gu wafaulu mitihani yao
Jesus is the Lord
🙌🙌🙏🙏🙏
Hakika mungu yuko hapo. Binafsi nimelipiwa deni moja naamini namengine mungu atanilipia
Ameni
Hata kama unahirizi njooooo
Baba naomba msaadawako
Kwa kweli duniani kuna washauri!
@elinayohana6636
2 жыл бұрын
Mungu najiungamanisha na ibada hii Nataka anifungue
Nikweli ukiwa unakitu kila mtu anakukimbia aijalishi rafiki au ndugu unayetakiwa kubaki naye ni Yesu tu
kaka hapo uliharibu ungendelea kupaka mafuta ya upako na maji yaan Mwamposa ndo Kila kitu Mungu amuweke huyu baba akomboe watu ishi sana mtume mwamposa
Naomba niombewe
@mahaduroaugustomacassineau2810
Жыл бұрын
Sina kazi
Aimeeee
@moshihamis7131
Жыл бұрын
Niamnishe nijisimamie nisiogope kudaiwa
Naomba mitaji dabodabo kupitia shuhuda hizi
Uachage tamaa fic weye.
Napataje maji na mafuta
Mrudishe mkeo.
I am tu km
Kupitia huu ushuhuda niunuke kiuchumi na mm
MUNGU gani wa wadanganyaji?
Ee MUNGU naomb unfungue kupitia shuhuda hii
Sasa hizo mapete yatoe
Yaani hayo ndo yaliyonikuta mimi sina ndg wala rafiki wananiona kituku
@annehaysanday9214
2 жыл бұрын
Wananiona kituko
Mafuta yaongezeke kidogo jamani wa mbali tunateseka
Mosh
Rudisha mke sasa
@odiliawilliam881
2 жыл бұрын
Napokea mume mwema
Amen.mjungaji.nakutazama.nikiwa.kenya.plz.nakuomba.hunikumbukekwa.maombi..mm.watoto.wangu.wa.wili.niliosomeza.nikiwa.mngoja.zaidi.ya.miaka.20.walinitoloka..hata.hawasingangi.sim.yangu
@mariamngolle5203
2 жыл бұрын
Najiungamanisha na ibada na ushuhuda wa Leo NAMI napokea kufunguliwa na kuachiliwa
Ameen
Ameen
@shilabwax7508
Жыл бұрын
Mungu naomba uniponye nawashwa sana mwili mzima nimetumia dawa sijapona Mungu nisaidie
@shilabwax7508
Жыл бұрын
Naitwa ditto silayo Mungu naomba uniponye nawashwa sana mwili mzima nimetumia dawa sijapona