WELCOME TEAM BIBLIA NURU YA DUNIA

Join this channel to access its benefits:
/ @biblianuruyadunia

Пікірлер: 129

  • @alexmutuma4411
    @alexmutuma4411 Жыл бұрын

    Uju diye mwalimu wa kkristo pekeyake duniani

  • @NyancheraObure
    @NyancheraObure9 ай бұрын

    Thanks bro for your good job be blessed bro from Nairobi Kenya ❤❤❤

  • @nyaungaosiemo9341
    @nyaungaosiemo93418 ай бұрын

    I feel blessed whenever I listen to Pastor Ndacha's teachings. Be Blessed 🙏

  • @WaneneOmbade-ro9cd
    @WaneneOmbade-ro9cd Жыл бұрын

    Barikiwa sana mtumishi WA Mungu Alie juu

  • @edwinezawadi2736
    @edwinezawadi27364 ай бұрын

    Mungu akubariki saana mtumishi

  • @edwinisinta5351
    @edwinisinta5351 Жыл бұрын

    That's a wonderful ministry we need a TV station to broadcast that message all over the world......

  • @jeanninemunezero6469
    @jeanninemunezero64698 ай бұрын

    Waislam pole sana hamujuwi cochote

  • @edwinkaris9602
    @edwinkaris9602 Жыл бұрын

    Kazi safi kabisa..hii ministry sii mchezo, ni war department ya warning,,2billion souls worldwide ziko at risk,hii ministry inaexpose uwongo na kuonyesha ukweli so that people are set free

  • @alphalungele-479
    @alphalungele-479 Жыл бұрын

    Wa Islam wanahitaji msaada wa kiroho nasio wakimwili.

  • @furahinimbise3382
    @furahinimbise3382 Жыл бұрын

    Nahitaji kumpa seaport huyu mwalim Ndacha lkn sina uwezo E Yesu wangu nipe ngvu na maarifa niweze kuiseaport kazi yako iende mbele zaid🤲🙏

  • @paulomtweve3819

    @paulomtweve3819

    Жыл бұрын

    Dua zako kwa Mungu kwa ajili ya mwalimu n msaada mwing muno

  • @isaacmaingi9488
    @isaacmaingi9488 Жыл бұрын

    Mwalimu waambie ulikuwa muislamu ukaujua ukweli,ukawa mwana wa mungu Kwa kumwamini yesu mwanawe,,

  • @suzanaagustinookelo4953

    @suzanaagustinookelo4953

    5 ай бұрын

    Awezi kuwa. Muongo ajawai kuwa muislamu ila ni uweza wa Mungu na nguvu za Mungu zipo ndani yake

  • @jeanninemunezero6469
    @jeanninemunezero64698 ай бұрын

    Ndacha Mungu akuzidishiye

  • @georgeachiengrestinpeacebr7215
    @georgeachiengrestinpeacebr72156 ай бұрын

    Baraka tele mtumishi

  • @felicienshela4932
    @felicienshela4932 Жыл бұрын

    🇨🇩 From CONGO, Mwalimu , Mungu mwingi wa Rehema aku zidishie nguvu📖, hongera sana kwa kazi nzuri 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @edwinkaris9602

    @edwinkaris9602

    Жыл бұрын

    kabisa

  • @felicienshela4932

    @felicienshela4932

    Жыл бұрын

    @@edwinkaris9602 injili hii inaendelea kufika mahali mahali, Bwana yesu asifiwe,👏👏🇨🇩

  • @edwinkaris9602

    @edwinkaris9602

    Жыл бұрын

    @@felicienshela4932 Amen Amen!!

  • @totodavis1949

    @totodavis1949

    Жыл бұрын

    Amen

  • @felicienshela4932

    @felicienshela4932

    Жыл бұрын

    @@totodavis1949🤝 🇨🇩 From CONGO 📖 Bwana yesu asifiwe

  • @chrispinmdachi551
    @chrispinmdachi551 Жыл бұрын

    Mwalimu ndacha karibu Taveta sub county, Mungu katika Bwana wetu Yesu Christo azidi kuwa bariki

  • @silvesterkirombo-ov2lw

    @silvesterkirombo-ov2lw

    Жыл бұрын

    Afike taita sio??

  • @chrispinmdachi551

    @chrispinmdachi551

    Жыл бұрын

    Kabisaa akaribie tutachangua kwa hali na mali

  • @elizaeliza8803
    @elizaeliza8803 Жыл бұрын

    Mungu akulinde mtumishi ufike kwetu MALINDI watu wanapotea

  • @yabdul1782

    @yabdul1782

    Жыл бұрын

    Ndacha shetani alaaniwe

  • @rashidgona1808
    @rashidgona1808 Жыл бұрын

    Mwalimu ndacha tafadhali her ukae coast kwa muda ili uokoe waisilamu nakuombea sana🙏🙏🙏🙏🙏

  • @yabdul1782

    @yabdul1782

    Жыл бұрын

    Ndacha shetani alaaniwe

  • @saphinalutaha9077

    @saphinalutaha9077

    10 ай бұрын

    Ss tumeshaokolewa na mtume Mohammed

  • @rashidgona1808

    @rashidgona1808

    10 ай бұрын

    @@saphinalutaha9077 nipee andiko Mohammed aliwaokoa na aliwaokoa kwa njia gani

  • @saphinalutaha9077

    @saphinalutaha9077

    10 ай бұрын

    @@rashidgona1808 mafundsho yake tu niukovu tosha najuwa ww utasema yesu alikubebea zambi

  • @issackabdi7001
    @issackabdi700111 ай бұрын

    Ndacha

  • @barackamosi4116
    @barackamosi411611 ай бұрын

    Weka kuruhani mbali na wa toto mana hiyo ni uchawi

  • @BernardChesoli-rj3nw
    @BernardChesoli-rj3nw10 ай бұрын

    Mungu akubari mtumishi Kwa elimu kuu kama hii

  • @bennyotheyoungndaga4567
    @bennyotheyoungndaga4567 Жыл бұрын

    Felix may God bless you❤

  • @Emmanuel-nx1hi
    @Emmanuel-nx1hi8 ай бұрын

    Ubarikiwe mwalimu ndacha

  • @jeanninemunezero6469
    @jeanninemunezero64698 ай бұрын

    Ratizo la waislam hawana roho mtakatifu iri waelewe

  • @casaica2993
    @casaica2993 Жыл бұрын

    Uislamu utaisha tu waislamu hawasomi vitabu vyao

  • @hajinkulunge8493

    @hajinkulunge8493

    Жыл бұрын

    Wewe hufuatilii kumbe fuatilia kilasiku tunaongezeka

  • @dicksonkoech9528

    @dicksonkoech9528

    Жыл бұрын

    Ndio inazidi kuongezeka

  • @JonasAndre-er2uy

    @JonasAndre-er2uy

    Жыл бұрын

    Ndio iyo niukweli. Awajuwi siri iliyomo katika iyo dini.

  • @TimotheoGoloba-vi7cd

    @TimotheoGoloba-vi7cd

    11 ай бұрын

    waisilam somen vitabu vyenu maana mngekuwa mnavisoma mngekuwa mmesha acha misikit mkaingia kansan

  • @Kasule-nq3no
    @Kasule-nq3no10 ай бұрын

    Wa pata watu hawaja soma kiboki yk yahya

  • @dicksonkoech9528
    @dicksonkoech9528 Жыл бұрын

    Subhaana Rabbi ala

  • @patrickmaina9085
    @patrickmaina9085 Жыл бұрын

    Amina

  • @BillyJohn-pe5hq
    @BillyJohn-pe5hq Жыл бұрын

    Wape ukweli wao maan wamepotea

  • @stephenwebala
    @stephenwebala Жыл бұрын

    Kupitia huduma hii,nimegundua wengi ni mashabiki wa dini...wengi hawana elime ya dini zao...

  • @JonasAndre-er2uy

    @JonasAndre-er2uy

    Жыл бұрын

    Umeongea ukweli. Unajuwa ndugu zetu wa islamu awasomaki iyo vitabu vyao , na hawajuwi siri nyingi ilio ndani ya iyo dini. Ndio kwaman wao peke wanataka pigana kuhusu hao wanao towa iyo siri katika vitabu.

  • @yabdul1782

    @yabdul1782

    Жыл бұрын

    Ndacha shetani alaaniwe

  • @vincentasava1529
    @vincentasava152910 ай бұрын

    Najifunza mengi kutoka kwenyu Mbariwe Mwalimu na kikosi

  • @hajinkulunge8493
    @hajinkulunge8493 Жыл бұрын

    Mapaja Yako wazi

  • @ezekielmwamba9106
    @ezekielmwamba9106 Жыл бұрын

    Amen barikiwa sana mtumishi Ndacha Roho wa Mungu ako nawe popote utakuwa mbaka mwizo wa dhahari.

  • @yabdul1782

    @yabdul1782

    Жыл бұрын

    Ndacha shetani alaaniwe

  • @mkongoman6613

    @mkongoman6613

    Жыл бұрын

    Ubalikiwe mwalimu ndaca mungu akuzidishie myaka yakuishi apa duniani uzidi kudufundisha akupa Pepo yake

  • @saphinalutaha9077

    @saphinalutaha9077

    10 ай бұрын

    Wakrsto ni wajga hawajiulz ata malaika mbiguni wanaswal Kama wanavyoswali waislam kla ktu klichoumbwa ladhma kmusujudia mungu Sasa itakuwa je majn yasmsujudie mungu

  • @saphinalutaha9077

    @saphinalutaha9077

    10 ай бұрын

    Ndacha unapotosha sana watu

  • @TimotheoGoloba-vi7cd
    @TimotheoGoloba-vi7cd11 ай бұрын

    Namimi naomba uniuzie vitabu hivyo vtabu vya waisilam Mimi nipo tanzania

  • @davidmghanga8502
    @davidmghanga8502 Жыл бұрын

    MUNGU amesha bubariki mwalimu ndacha ninyi mnaolaani laana zote zinawarudia ninyi na familia zenu , AMEN AMEN AMEN mnafikiri ndacha anaenda kwa akili zake MUNGU anamtumia vilivyo na anatumia vitabu zenu pia kueneza ukweli unao waumiza

  • @khamishaji9508
    @khamishaji9508 Жыл бұрын

    upuuzi wa kubadilisha maandiko

  • @caleboyweri8023

    @caleboyweri8023

    Жыл бұрын

    Your time is coming coz hujagunguliwa macho wee ni kipofu

  • @yabdul1782

    @yabdul1782

    Жыл бұрын

    Ndacha shetani alaaniwe

  • @erickmaisha4773

    @erickmaisha4773

    8 ай бұрын

    ​@@yabdul1782🤣🤣🤣

  • @issackabdi7001
    @issackabdi700111 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 ndcaha

  • @yabdul1782
    @yabdul1782 Жыл бұрын

    Laana zote za Allah zimteremke ndacha! Ameen

  • @hythamhashiem4458

    @hythamhashiem4458

    Жыл бұрын

    Mungu amuongoze aione dini ya haqqi maana ame potea na anapoteza wengine

  • @BillyJohn-pe5hq

    @BillyJohn-pe5hq

    Жыл бұрын

    Mungu wa kweli haez laan kaz nzur anayofanya ndacha

  • @yabdul1782

    @yabdul1782

    Жыл бұрын

    @@BillyJohn-pe5hq mungu wakweli ni yupi? Yesu

  • @stephen-S7n

    @stephen-S7n

    Жыл бұрын

    Naona kwa comments section islam hasira zimepanda kweli

  • @hamisimwagarashi9501
    @hamisimwagarashi9501 Жыл бұрын

    Ila jitahidi kaka ubadilike maana mi najua ukweli waujua lakini huwezi ufwata kwasababu ya biashara unayo ifanya kwa watu

  • @caleboyweri8023

    @caleboyweri8023

    Жыл бұрын

    My friend okoka

  • @hamisimwagarashi9501

    @hamisimwagarashi9501

    Жыл бұрын

    @@caleboyweri8023 maana ya kuokoka nini?

  • @nzorimfaki8112
    @nzorimfaki81127 ай бұрын

    Ndacha huna hoja...Wacha kukata Aya hao ni makafiri ndio waliosema ya kwamba Muhammad amekuja na uchawi aloridhi kutoka Kwa watu wa zamani

  • @abibumbota5160

    @abibumbota5160

    5 ай бұрын

    Quran imesema ajajitungia uchawi ni wa waisilamu

  • @alsamali6964
    @alsamali6964 Жыл бұрын

    Maliza maandiko basi usiyakate.

  • @yabdul1782

    @yabdul1782

    Жыл бұрын

    Ndacha shetani alaaniwe

  • @aliemdogo
    @aliemdogo Жыл бұрын

    Wafungue akili maana wamefunikwa na sufuria LA moto

  • @saphinalutaha9077

    @saphinalutaha9077

    10 ай бұрын

    Mungu alishatufungua

  • @yabdul1782
    @yabdul1782 Жыл бұрын

    Wewe ndacha shetani mkuu malun. Wachezea waisalmu akili kuwa changanya. Ulaaniwe maisha kumbavu! Wasoma Qur'an aya kukata na kugeugeu. Laana za Allah ziku shukiye kwa uwingi shetani.

  • @yahayajuma1401

    @yahayajuma1401

    Жыл бұрын

    Nikosa kumlaani muombee" Dua" mungu ampe hidaya "ndacha "anajua kweli yote"kulikua nawabishi wengi kuliko"huyu "mungu aliwapa hidaya"saizi wamepata neema ya uislam "kwaiyo nahuyu" hatujui ya mungu"

  • @yabdul1782

    @yabdul1782

    Жыл бұрын

    @@yahayajuma1401 huyu mpotovu kazi yake kupoteza wakristo na waislamu.

  • @ericnahayo8223

    @ericnahayo8223

    Жыл бұрын

    @@yabdul1782 wewe unakufuru Abdul unafaa kubadirika ufuate ukweli kwa maana Islam ni ya shetani

  • @yabdul1782

    @yabdul1782

    Жыл бұрын

    @@ericnahayo8223 kumbe maluun kama ww wa shetani ndacha wameja. Mushazoea kutawaliwa na mzungu na sasa mzungu kawatawala na ushatani wake.

  • @MajiiIfande

    @MajiiIfande

    3 ай бұрын

    Shetani amesilimu na kisha unamlaani??

  • @hajinkulunge8493
    @hajinkulunge8493 Жыл бұрын

    Umeishiwa hoja Ndasha

  • @hamisimwagarashi9501
    @hamisimwagarashi9501 Жыл бұрын

    Una wababaisha watu wasio na elmu

  • @yabdul1782

    @yabdul1782

    Жыл бұрын

    Ndacha shetani alaaniwe

  • @RECOLONIZE_RIGHT

    @RECOLONIZE_RIGHT

    Жыл бұрын

    Nje ya mskiti!!! USISAHAU HIO

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 Жыл бұрын

    😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤗🤗🤗

  • @yabdul1782

    @yabdul1782

    Жыл бұрын

    Ndacha shetani alaaniwe

  • @nsengiyumvafrancois4837
    @nsengiyumvafrancois4837 Жыл бұрын

    Tunakupongenza sana kabisa Mwalimu Ndacha. Umetujenga wengi kiRoho. Tume kuFuata kwa mda mrefu hapa Rwanda/Kigali. Ukikuja once tutafurahi. Swali langu ni hizo Vitabu muhimu unatumia tunaweza aje kupata? Asante

  • @yabdul1782

    @yabdul1782

    Жыл бұрын

    Ndacha shetani alaaniwe

  • @yabdul1782

    @yabdul1782

    Жыл бұрын

    Ndacha shetani alaaniwe

  • @yahayajuma1401
    @yahayajuma1401 Жыл бұрын

    Kurani ndo hiyo anabadilisha tafsiri na anaweka viraka" "ndacha we chezea kurani muda si mrefu utaijua kUrani ni ni"

  • @hamisijuma3276

    @hamisijuma3276

    Жыл бұрын

    Kuran Ina Mambo mengi sio sahihi, tunalazimisha kuwa kweli lkn ukweli uko palepale mfano ndoa ya muta, nabii kupewa sumu, mwanamke Hana haki, Mohamed kuchukua kipofu nk nk

  • @yabdul1782

    @yabdul1782

    Жыл бұрын

    Ndacha shetani alaaniwe

  • @erickmaisha4773

    @erickmaisha4773

    8 ай бұрын

    ​@@yabdul1782aliesilimu ama mgani?

  • @hajinkulunge8493
    @hajinkulunge8493 Жыл бұрын

    Mvalisheni nguo huyo Mama hapo

  • @yabdul1782

    @yabdul1782

    Жыл бұрын

    Ndacha shetani alaaniwe

  • @samutykuntathebantu8402

    @samutykuntathebantu8402

    Жыл бұрын

    ​@@yabdul1782 shetani ni Mohammed mla mtoto wa miaka 9 alaniwe kabisa Huyo nguruwe..

  • @samutykuntathebantu8402

    @samutykuntathebantu8402

    Жыл бұрын

    We Wacha kuwa na macho ya kuzinii

  • @yabdul1782

    @yabdul1782

    Жыл бұрын

    @@samutykuntathebantu8402 shetani kafiri atoka mate kumbavu

  • @samutykuntathebantu8402

    @samutykuntathebantu8402

    Жыл бұрын

    @@yabdul1782 kumbavu we na laana unayotakia wenzako ikufwatee kondoo ya Mohammed

  • @Yu-jr9uf
    @Yu-jr9uf Жыл бұрын

    ndacha anaehoja za kitoto sanaaa.... ila kwel zitamsumbua sana asieujua uisilamu vzur!!! kwanza lazima ujue quran sio kitabu ambacho kila mtu anaweza leta tafsiri yake kwa jinsi inavyomfit kama ilivobiblia!!! Aya za quran hazikua zinashuka ovyo ovyo tu zilikua zinashuka moja baada ya nyingine kwa sababu maalumu, hvo miongoni mwa njia za kuzijua aya za quran ni lazima ujue sababu ya kuteremshwa iyo aya.. sasa ndacha ww hata elimu hiyo huna lini utaweza kuwa hata na chembe ya uwezo wa kuitafsiri aya za quran?? nenda kasome tafsiri za aya kutoka vitabu maarufu vya tafsir na ujifunze aya flan ilishuka wapi, na ilishuka kwa nini, kuhukumu nini, baada ya kutokea tukio gani!!! na pia ujifunze pia ufaswaha wa lugha ya kiarabu vzur ili uweze kuisoma quran katika lugha yake ya asili kwani kiswahili au kingereza si kipana katika utajiri wa maneno kama kiarabu!!!! kwa sisi kdg tunaejua pakurejea tukiona hoja unazozitoa tukienda kusoma maelezo ya makusudio ya hizo aya tunacheka tu na kumuomba Allah akujalie uongofu!!! mfano mdg ni iyo aya 2:97 nenda kasome tafsir yake kwny kitabu chochote alafu uje unishukuru apa!!!!!!!!

  • @erickmaisha4773

    @erickmaisha4773

    8 ай бұрын

    Njoo na za kijini Achana na zakitoto

  • @graceafred8676
    @graceafred8676 Жыл бұрын

    Amina

  • @yabdul1782

    @yabdul1782

    Жыл бұрын

    Ndacha shetani alaaniwe

  • @yabdul1782
    @yabdul1782 Жыл бұрын

    Laana zote za Allah zimteremke ndacha! Ameen

  • @user-pg6tb9py3s

    @user-pg6tb9py3s

    Жыл бұрын

    Matako wwe

  • @yabdul1782

    @yabdul1782

    Жыл бұрын

    @@user-pg6tb9py3s ka mpe shetani ndacha hizo makato zako.

  • @dianamutuku4089

    @dianamutuku4089

    Жыл бұрын

    ,😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @jeremiahnjagi

    @jeremiahnjagi

    7 ай бұрын

    Laana za shetani si kitu mbele ya mungu wa kweli

  • @yabdul1782

    @yabdul1782

    7 ай бұрын

    @@jeremiahnjagi shetani si ni mamako aliye kuzaa wewe shetani mdogo!

  • @yabdul1782
    @yabdul1782 Жыл бұрын

    Laana zote za Allah zimteremke ndacha! Ameen

  • @chancekambale3498

    @chancekambale3498

    Жыл бұрын

    Mungu yupi ??

  • @user-qk7ll4wo8n

    @user-qk7ll4wo8n

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂mungu wenu limbukeni hufanya analoagizwa na maamuma kma wewe mpuuzi wewe

  • @yabdul1782

    @yabdul1782

    Жыл бұрын

    @@user-qk7ll4wo8n kamcheke mamako haku kufunza kiswahili bali ushetani na ukumbavu.

  • @erickmaisha4773

    @erickmaisha4773

    8 ай бұрын

    Bila ushetani Yani uislamu si shetani kasilimu🤣🤣

  • @yabdul1782

    @yabdul1782

    8 ай бұрын

    @@erickmaisha4773 umethibitisha ww pia shetani n akili zaki shetani. Revelation 2:13Napajua ukaapo, ndipo penye kiti cha enzi cha Shetani; nawe walishika sana jina langu, wala hukuikana imani yangu, hata katika siku za Antipa shahidi wangu, mwaminifu wangu, aliyeuawa kati yenu, hapo akaapo Shetani. Cheka kwa kati matako sasa!