TV | Live | BIBLIA NURU YA DUNIA

One of the most important visions of the Apocalypse is the one that presents the three angels flying in the sky announcing three consecutive messages. Each message is closely related to others. In addition, they relate to other symbolic visions expressed in other writings of Revelation. The word "angel" means "messenger" and, in this prophetic and symbolic vision, angels represent God's people of the end-time world, in the role of proclaiming the good news of salvation.

Пікірлер: 64

  • @josephabongo244
    @josephabongo2449 ай бұрын

    Ndacha ni nuru ya kweli

  • @ronardmose
    @ronardmose Жыл бұрын

    Naamini mafundisho yenu na kufuata mungu awabariki na kuwalinda ili mutupe uondo kamili wa mungu mpalikiwe sana

  • @mjombawallace4966

    @mjombawallace4966

    Ай бұрын

    Ukweli kabisa mwalimu Ndacha alinifungua macho

  • @geoffreyjohn5843
    @geoffreyjohn58433 жыл бұрын

    Mwalimu Ndacha mungu akuongeze mahali uendapo

  • @godfreyswai6202
    @godfreyswai6202 Жыл бұрын

    Aminaaminii

  • @johnmarubiri6729
    @johnmarubiri6729 Жыл бұрын

    Yes

  • @chrismassa3183
    @chrismassa31833 жыл бұрын

    Kunakelele nyingi

  • @geoffreymbaka929
    @geoffreymbaka9293 жыл бұрын

    God has given me a gift of reading, understanding the Bible and saving verses in my head but, Evangelist Francis Ndacha is gift of verses installation is hundred times mine......Dah! may the LORD GOD add you more days to teach His people. #EPHESIANS 4:11 It was He who “gave gifts to people”; he appointed some to be apostles, others to be prophets, others to be evangelists, others to be pastors and teachers.

  • @hillaryarande745

    @hillaryarande745

    2 жыл бұрын

    Looking too late oo

  • @jaredmaroro3049
    @jaredmaroro30492 ай бұрын

    Kuna shida kwa mic

  • @nabcde15
    @nabcde153 жыл бұрын

    Mnajichanganya sana na siku ya sabato. Kilainchi inamajila na sikutofauti. kunawenye niusiku nakunanawenye nimchana. Ukiwamalekani siyosikumoja na Asia au Europe au Africa. Mumtafute Yesu kristo tu namengine yote mtazidishiwa...

  • @makisjeremiah288

    @makisjeremiah288

    3 жыл бұрын

    Kwa hiyo unataka kusema kuna Saturday zaidi ya moja duniani?

  • @msemakweli243

    @msemakweli243

    7 ай бұрын

    Huna hoja Saturday zipo ngapi

  • @chrismassa3183
    @chrismassa31833 жыл бұрын

    Hapo sawa.

  • @sulehassanshall6140

    @sulehassanshall6140

    3 жыл бұрын

    Ukibaki kwa ukirsto utapelkwa jahannam yamilele. Yesu Alienda mskiti kuswali nakumsujudia mungu...hakuna Andiko yesu Alienda kanisani kucheza Rumba namashetan. ..bblia ishaema kanisani kuna kiti cha enzi cha shetan. .ikiwa huko kuna mashetan munaenda kufanya ninini bc jemeni????nabii yesu hakuenda huko nawala hajawatuma muende huko kwamashetan...ninyi watu muko nashida. Alipo enda yesu hamutaki kuenda .kisha munasema munapenda yesu .Ninyi munapenda shetan cio yesu...hio niukora kbisa munafanya...munadidanganya nafci zenu kweli ...shetan niadui Atwaplka jehannam...mutajuta sana siku hio...ninyi munapenda shetan kanisani juu huko munacheza Rumba nawanawake nawaume ndio maana hamutaki kuenda msikiti kwauislam juu yakua kwauislam wanaabudu ukweli kama vile yesu Akiabudu..lakini kanisani nikutafuta wanawake nawanaume tu hakuna nyengine munafanya...ukora mtupu..

  • @priscillamacharia1323
    @priscillamacharia13233 жыл бұрын

    kunakelele nyingi

  • @janenjenga5639
    @janenjenga56393 жыл бұрын

    Watu wakunyue dawa atakama nichungu kuvumilia ndiyo kupokeya uponyaji

  • @abcdg1995
    @abcdg19953 жыл бұрын

    Been listening to your preaching not for long-term. . And I wonder how comes all the verses are in your head? What did you do ?

  • @claudebwire3000

    @claudebwire3000

    2 жыл бұрын

    Pia mm na wonder 🤔

  • @margaretmargaret5744

    @margaretmargaret5744

    Жыл бұрын

    @@claudebwire3000 I think 🤔the guy is just talented on that

  • @TabbyGocho

    @TabbyGocho

    11 ай бұрын

    Ni mungu

  • @godfreyonyango533
    @godfreyonyango5333 жыл бұрын

    Nasikiliza kutoka Nairobi

  • @sulehassanshall6140

    @sulehassanshall6140

    3 жыл бұрын

    Sikiliza vzr jua kua bblia inasema kanisani kuna kiti cha enzi chashetan ikasema tena waliolala kwaukirsto wamepotea ikasema tena imeandikwa umsujudie bwana mungu wako mmoja tu. .kati yaWaislam nawasiokua waislam nikina nani wanamsujudia mungu? ? ? ? ? ? Token huko kanisani kwashetan . njooni kwayesu msikitini Tumuabuduni mungu mmoja tu Alie umba Kila kitu. ...Achen kudanganywa naviongozi wamakanisa wao niwakora wezi wabakaji waongo wahuni walafi wazinzi wanatumia jina layesu ili kuwapora Mali yenu nakuwabaka watoto wenu nawake zenu. ..viongozi wamakanisa kote Dunian niwakora wanamfuata shetan kanisani ndio Kila siku makanisani munatolewa mapepo wachafu kwasabab huko makanisani niwao mashetani....

  • @chrismassa3183
    @chrismassa31833 жыл бұрын

    Fundi mitambo atusikiyi tena ajili ya kelele.

  • @datiuschristopher4514
    @datiuschristopher45143 жыл бұрын

    Ww ndacha nimwalimu kweli

  • @farisytanzania6566

    @farisytanzania6566

    3 жыл бұрын

    Zaburi ina makosa kama Taurati na Injili, eti Kaburi nyumba ya milele. Kupotosha huko. Soma Wacorinto 1(15:42) Kuna kufufuka tena

  • @sulehassanshall6140

    @sulehassanshall6140

    3 жыл бұрын

    Ndacha ni mwalimu wa ukafiri kuzidi kuwapoteza walio potea..maskini Mumepotea na huyo mwalimu wenu Anazidi kuwazamisha katika bahari yagiza. ..Kila Asie msujudia mungu Amelaaniwa namungu mtu huyo nikafiri muovu...Namakfiri hawana uzima wamilele. ..njooni kwanjia yamungu yauislam musalimike najahannam ...Achen ukfri kwashetan kanisani. .bblia ishasema kanisani kuna kiti cha enzi cha shetan ..kwann bc munaenda kanisani kwashetan mukicheza Rumba namshetan? Nabii yesu Alienda katika miskiti Akimsujudia mungu wake. .hakuenda makanisani kwamashetan kucheza kwaya wala Rumba namashetan. ..Nawala Hakuwaambia mataifa waende makanisani wakacheze Kwaya ...yesu Alikua nimuislam. ...njia yake niuislam yani unyenyekevu kwamungu kujisalimisha kwamungu....Achen ukora kujidngnya mutapata uzima hakuna Andiko hilo kwabblia wakirsto watarith uzima wamilele. ..bali kwa quraan inasema waislam watapata uzima wamilele. NAWASIO Kua waislam watarith jahannam yamilele pamoja namashetan. ...

  • @ruthvilinga7780
    @ruthvilinga77803 жыл бұрын

    Mm ningependa kuhuliza christmas 25 ni haramu kusherekea kama mkristo.ni tarehe kamili ya Yesu kuzaliwa.

  • @bidafumbuka855

    @bidafumbuka855

    3 жыл бұрын

    Sio halali kusherehekea Christmas

  • @khalidabu5259

    @khalidabu5259

    Жыл бұрын

    Soma Jeremiah 52..vs 31

  • @isharabangaya5455
    @isharabangaya5455 Жыл бұрын

    Malipo yako uta ikuta mbinguni,

  • @sulehassanshall6140
    @sulehassanshall61403 жыл бұрын

    Makafiri ninyi mutaendelea kudhalilika hapa Dunian na akhera pia ndio mutadhalilika kabisa...

  • @simonkariuki2809

    @simonkariuki2809

    3 жыл бұрын

    Soi wewe wa kuamua watu watakapo enda ama pa kwenda

  • @simonkariuki2809

    @simonkariuki2809

    3 жыл бұрын

    Achana Na hubar kwanza ndio uache kua kafiri

  • @sulehassanshall6140

    @sulehassanshall6140

    3 жыл бұрын

    @@simonkariuki2809 kariuki ndugu katika bsnsetu Adam. Mungu ashsema katika quraan nabblia. Imeandikwa umsujudie bwana mungu wako mmoja tu. .ikiwa husmujudii mungu hakuna uzima utapata.kisha bblia inasema kanisani kuna kiti cha enzi chashetan ikasema tena waliolala kwaukirsto wamepotea. Jee ww unataka kukaa kwashetan ???jee ww unataka upotee.???kama yote mbili hutaki bc itabidi umsujudie mungu .nawanao msujudia mungu ni yesu nawaislam ..bblia ishasema kama kawaida yake Yesu Alikua Akienda katika masinagogi Akimsujudia mungu wake Kila siku. .Nabii yesu Hakuja nadini yaukirsto. Bali dini yke ni ile ile ys nabii musa zakaria yohana Jacob ishaq ismail Ibrahim David ilyasa haruni.muhammad Noha Solomon luti nawengi katika manabii wamungu. ..hawa manabii walikuja nadini moja tu yauislsm.hawakua niwakirsto. .ukirsto uliletwa nashetan paulo nakina shetan petro. ..namashetan wengine baada yayesu kupelkwa mbinguni ..kwahvo.waislsm ndio watapata uzima wamlle. ninyi pamoja namashetan mutaplkwa jahannam yamilele mukachomwe pamoja namashetan Daima dawama ......Hiko kwenu kanisani kwashetan hakuna Amani...bblia insema munapokutana kanisa sikwafaida Bali kunamitafarikano.....huko nihatari kubaki ukifa tu huko munaenda jahannam..100%huko nijahannam ..njoon katika uislam Dini yausafi yakumjua mungu...ninyi hammjui mungu...mara munamfanya yesu nimungu mara mtoto wamungu.mara yesu nijiwe mkate samaki maziwa Damu..yani yesu mmoja anabadilka kama camilion..hatari sana niyni makafri....ole wenu mukifa katika hali hio mbaya yaukafri mutajuta kwann Nabii yesu Hakuenda kanisani kwashetan kusakata Rumba nakwaya nakurukaruka kama Chura

  • @sulehassanshall6140

    @sulehassanshall6140

    3 жыл бұрын

    @@simonkariuki2809 ole wenu mukifa katika hali hio mbaya yaukafri mutajuta kwanin Nabii yesu Hakuleta Dini yaukirsto yaushetan. ..

  • @sulehassanshall6140

    @sulehassanshall6140

    3 жыл бұрын

    @@simonkariuki2809 andika kwa youtube freemason in churches ndio mutajua Dini yaukirsto niushetan. .wazungu walikuja Afrika kuleta ushetan Dini yaukirsto. Kuwaibia waafrika Mali yao nakuwaua nakuwaplka kwshetan kanisani ili mukifa muende jahannam....huo ndio ukweli ndugu .soma vizuri bblia na quraan upate kujua njia yamungu..Acheni kudanganywa naviongozi wamakanisa wao wote niwakora waongo wezi wabakaji walafi watapel wazinzi wahuni wanatumia jina layesu ili kuwapora Mali yenu nakuwabaka watoto wenu nawake zenu. Tien Akili nduguzetu.mutajuta San munapokufa.

  • @sulehassanshall6140
    @sulehassanshall61403 жыл бұрын

    Quraan ishasema waislam watarith uzima wamilele nawasio kua waislam watarith jahannam yamilele. ..Toe andiko kwabblia ai kwa quraan. Uzima wamilele watarith niwakirsto. ..Achen kudanganywa naviongozi wamakanisa wote niwakora wezi wabakaji waongo wahuni walafi wanatumia jina lanabii yesu ili wapate kuwatapel wafuaci wakiwatisha kwa jina layesu urongo mtupu...

  • @reginamwikali2140

    @reginamwikali2140

    3 жыл бұрын

    Mohamed ndiye Aliyekuwa mwizi mkubwa na mbakaji wapi ukisikia yes alifanya dhambi?

  • @nestarnestar4520

    @nestarnestar4520

    11 ай бұрын

    Huna akili we ni lijinga kweli kafiri niww, et mnamkubali Yesu kwnn hamfati matendo yake hata moja, alipoxema jitieni nira yangu mjifunze kwngu je nyie ni jambo gan mnalifata alilofanya Yesu? Mtakula moto mwingi xana nyie

  • @teddclive1506
    @teddclive15062 жыл бұрын

    Ndacha is the G.O.A.T of the Bible

  • @levisdiamond4797
    @levisdiamond47972 жыл бұрын

    Hawa Wajama naamini ya kwamba wanacho fundisha ni vizuri Ila kwa mambo ya Sabato hapo sipo nyie mnafanya siku kama muungu….. Na huwezi kunidanganya kuwa wanaoenda jumapili wote wanapotea sio kweli kabisa ❌❌. Jumapili mbona vikongwe wote ao vyombo vya mungu viko jumapili

  • @siamabakwe4274
    @siamabakwe42743 жыл бұрын

    Nonsense huyu nisaitan kasa yitamumaliza tu hajuwi anacho kipanda Allah Mukuuuuuuuuuu sana Kabisa

  • @thegospelmessage5039

    @thegospelmessage5039

    3 жыл бұрын

    peleka siasa zako za kiislamu huko

  • @simonkariuki2809

    @simonkariuki2809

    3 жыл бұрын

    Ka allah hakana macho Wala masikio ni kajiwe tu kamewekwa makka na babu ya Muhammad kanaitwa hubar kwa jina lingine na ni bure bure bure kabisa ni kazi ya mwanadamu