TV SATURDAY | BIBLIA NURU YA DUNIA | PART 2

One of the most important visions of the Apocalypse is the one that presents the three angels flying in the sky announcing three consecutive messages. Each message is closely related to others. In addition, they relate to other symbolic visions expressed in other writings of Revelation. The word "angel" means "messenger" and, in this prophetic and symbolic vision, angels represent God's people of the end-time world, in the role of proclaiming the good news of salvation.

Пікірлер: 88

  • @jacksonkilonzo1439
    @jacksonkilonzo14392 жыл бұрын

    WE NEED 20 NDACHA IN THIS COUNTRY AWA WAISLAMU WOTE WATABATIZWA

  • @kingtouch8423
    @kingtouch84233 жыл бұрын

    Mwarimu ndacha Mungu azidi kukubariki na kukuongeza ujuzi mwingi na azidi kukulinda maajabu yote na mitego ya muovu shetani na majini wake na waislam

  • @danielernest8588
    @danielernest85883 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mwalimu Ndasha illa waamenikera kuiba kitaabu Mungu anawaona

  • @monicahkyle2637
    @monicahkyle26373 жыл бұрын

    Asante mwalimu....may God bless you and your group as you witness.may he see you through always....may he take care of your family's as you go out there to spread his gospel...

  • @furahag3098
    @furahag30986 ай бұрын

    Amen injili ya yesu iende mbele 🙏🙏🙏

  • @monicabh1668
    @monicabh16682 жыл бұрын

    👏👏👏Amennn🙏🙏🙏🙏yaani ni mtiririko wa maandiko tuu 🔥 🔥 🔥🔥🔥barikiwa sana Mwalimu wangu Francis Ndacha ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ASANTE kwa hii Elimu yaani hoja tunazo za kuikabili hii dini ya uongo ya majini.

  • @user-el2wm5ov3s
    @user-el2wm5ov3s11 ай бұрын

    Ubarikiwe ndacha itakiwa ukutane na sheh

  • @jamesombaso9493
    @jamesombaso9493 Жыл бұрын

    Great love teacher ndacha nimeishi kutafuta mtu wa kweli Kwa mandiko nimekupata

  • @mwoso
    @mwoso3 жыл бұрын

    Mchungaji Ndacha! ahsante kwa mafundisho na elimu ya busara.

  • @abcdg1995
    @abcdg19953 жыл бұрын

    Teacher Francis Ndasha is very determined to inspire us with his head full of verses! How comes all the verses are in your head

  • @anthonyminjire8490
    @anthonyminjire84903 жыл бұрын

    mimi kwa maisha yangu cjawahi ona mtu wa maajabu kama wewe mwalimu ndacha,ama nikaota ya kuwa kuna mtu anayehubili injili ya kweli na ya kuokoa kama unayohubiri. Nakwambia wewe ni mtu uliyebarikiwa kwelikweli.zidi kubarikiwa pamoja na wale mnaomhubiri YESU pamoja. mimi kwa unyenyekevu wangu ,i salute people and at the same time nawavulia kofia .pigeni injili kabisa.barikiweni .

  • @muslihmohd9420

    @muslihmohd9420

    3 жыл бұрын

    Uwo ushuhuda wako tumeshazoeya ndio mambo ya kanisani kudanganya wengine wewe uliona wapi ndacha kuhubiri injili wakati kazaliwa juzi na injili ya kweli ilichomwa moto na kuunguzwa yote,hakuna saiv ila kudanganywa tu na kutoa ushuhuda wa uongo makanisani,mara yesu alintokea sijui alikuja kwangu uongo mtupu.

  • @muslihmohd9420

    @muslihmohd9420

    3 жыл бұрын

    Huyu jamaa anawapotosha yesu hakufa mungu alishasema katika Qur'an hawakumuuwa wala hawakumsulubu ila walibabaishiwa mtu mwengn wakamdhani ni nabii Issa na kusema kwao huko wanafata dhana tu wao wenyewe hawana yakini kuwa walimuuwa,na ni kweli ukisoma mathayo 27:45 yesu saa sita alipaza sauti akiwa juu ya msalaba mungu wangu mbona unaniacha ila ukosoma matendo ya mitume 10:39 inasema walimuuwa ndio wakamtundika juu ya mti(kumsulubu),sasa ni yesu yupi aliezungumza msalabani na yupi aliuliwa akatundwa we huoni kuna tofauti apo..

  • @raymondngajagu66

    @raymondngajagu66

    3 жыл бұрын

    @@muslihmohd9420 Nani anayepotoshwa ww unafikiri xix hatuyasomi, Yesu ndiye aliyemtuma aihubiri injili na ndio kazi anafanya, etii injili ilichomwa mwaka gani xixi tunao uxhahidi korani ililiwa na myama ukatae nikupe andiko

  • @muslihmohd9420

    @muslihmohd9420

    3 жыл бұрын

    @@raymondngajagu66 sio tatizo kuliwa na mnyama kwani si ilikuwa ikihifadhiwa katika majani katba ya kwenye karatasi ila kwa kuliwa na mnyama haibadiliki popote maana ilihifadhiwa moyoni kwaiyo bila kuandikwa sisi tunaweza kusoma Qur'an tena ile ile na mfano akija leo mtume Muhammad akiisikia tu anajuwa kuwa hii ni Qur'an nlipewa zamani ila leo akija yesu ukamuonyesha bibilia ataelewa nini

  • @muslihmohd9420

    @muslihmohd9420

    3 жыл бұрын

    @@raymondngajagu66 ukisema Ndacha katumwa na yesu utupe andiko maana mimi katika bibilia cjaona jina la Ndacha halafu utambie alipewa injili ipi maana katika bibilia injili sio moj ndio maana tukasema hakuna injili ya kweli ni maneno ya watu yaliobaki

  • @raymondngajagu66
    @raymondngajagu663 жыл бұрын

    We umetumwa na Mungu ujalishe kweli Mungu akupe hekima zaidi Mr Ndacha

  • @muslihmohd9420

    @muslihmohd9420

    3 жыл бұрын

    Yani apo wakristo ndio nawaona wajinga yani mtu anahubiri tu inasema katumwa na mungu we hujamsikia yesu vile alisema kuwa watatokea makristo wa uongo kama Ndacha,wakiwambia yesu yupo jangwani kama alivosema Paulo msiende,kama unamwamini Ndacha kwa uongo wake soma 50:6 yeremia

  • @abcdg1995
    @abcdg19953 жыл бұрын

    Keep spreading the love Brethrens You never know that will happen tomorrow

  • @monicabh1668

    @monicabh1668

    2 жыл бұрын

    Hi dear 🙋‍♀️

  • @abbyadams8691
    @abbyadams86913 жыл бұрын

    Ramadhani anatia huruma sana.

  • @neemamahusho6193
    @neemamahusho61933 жыл бұрын

    Sa wanabisha nn au hawajui Qur'an Yao na Quran yao inakubali Yesu alikufa

  • @pazasautiusinyamaze400
    @pazasautiusinyamaze4004 ай бұрын

    Pauloooo umerudi ulienda wapi ndugu barikiwa

  • @dennismwenje7041
    @dennismwenje70413 жыл бұрын

    Ndacha wewe ndio paul wa sasa mbarikiwe sana wewe na hao walimu wengine

  • @muslihmohd9420

    @muslihmohd9420

    3 жыл бұрын

    Ndio Paulo wa sasa kwa uongo no sawa maana mwalimu aliemfundisha ndacha kasilimu yeye atakuwa kitu

  • @farisytanzania6566

    @farisytanzania6566

    3 жыл бұрын

    Kumbe mnajua Ndacha kama Paulo. Soma Wacorinto wa 1(9:19) Wacorinto wa 2(11:22) Poleni mafaresayo.

  • @janenjenga5639
    @janenjenga56393 жыл бұрын

    Ubishi ndiyo mingi

  • @abcdg1995
    @abcdg19953 жыл бұрын

    Nothing humbles people like death nobody even ask for bank account balance When on death bed! Let's think about it

  • @saitotisapiyo5997
    @saitotisapiyo59973 жыл бұрын

    Bado hapa mtu atajiita mwisilamu

  • @muslihmohd9420

    @muslihmohd9420

    3 жыл бұрын

    Sio kujiita sisi tumeitwa waislamu ni mungu mwenyew tatizo nyinyi mnaopewa majina ya kipagani mkafanya ndio jina la dini wakati dini yenu haijuilikani.

  • @muslihmohd9420
    @muslihmohd94203 жыл бұрын

    Wewe Ndacha muongo yesu hajafa maana ushahidi wa kifo cha yesu hakuna mtabaki kupiga kelele tu mungu alishasema hakufa ndio hakufa huwezi shindana nae yeye anajuwa zaidi.

  • @malaikawatatutv.ufunuo14.84

    @malaikawatatutv.ufunuo14.84

    3 жыл бұрын

    mungu wa waislamu ndo kasema hajafa maana kifo chake ni aibu kwa mungu wenu ila Mungu wetu anajua mwanae alikufa na kufufuka usjali utajua2 ipo siku et

  • @charlesjoseph2092

    @charlesjoseph2092

    3 жыл бұрын

    Nipee andiko ndani biblia Yesu hakufa

  • @muslihmohd9420

    @muslihmohd9420

    3 жыл бұрын

    @@malaikawatatutv.ufunuo14.84 sasa mbona kama kafa hao mashahidi walioelezea kifo cha yesu wametofautiana haijuilikani yupi mkweli yupi muongo hapo ndio tunarudi kule kwenye Qur'an Allah aliposema mnafata dhana tu hamuna uhakika kuwa kafa

  • @muslihmohd9420

    @muslihmohd9420

    3 жыл бұрын

    @@charlesjoseph2092 huwezi kupata andiko kwa jambo ambalo halijatendeka mfano wewe nikwambie nuhu hakuwa mkiristo utanipa,wewe unaesema kafa ni kwa ushahidi gani,ukisema yesu kafa INA maana shetani ndio alifanya mpango wa yesu kufa yesu mwenyew hakutaka kufa

  • @charlesjoseph2092

    @charlesjoseph2092

    3 жыл бұрын

    @@muslihmohd9420 Nikikupa andiko Yesu alikufa na siku ya tatu akafufuka je utakubari?