Mada ya leo yesu ndiye njia(Dini ) ya kweli?

Пікірлер: 74

  • @anthonyminjire8490
    @anthonyminjire84903 жыл бұрын

    Mwalimu wangu, I like when I here you saying,MPE! "Maiki" Mungu aendelee kukujaza neema na hekima. Mwalimu unajuanga venye We we ni MORE FIRE. I love big.

  • @frankkikambako9281
    @frankkikambako92813 жыл бұрын

    Ndacha i am from Tz but nakaa nje nimekuwa nakufuatilia for miaka minne now. Wewe ni zaidi ya wahubiri wengi duniani just have that confidence from me and more christians

  • @abbyadams8691
    @abbyadams86913 жыл бұрын

    Biblia ni siri nzito, Biblia ni mafunuo.Huwezi elewa Biblia kwa mihemko na mabishano bali kwa kutafakari Neno kwa msaada wa Roho Mtakatifu. Bila kufuata utaratibu huwezi elewa na utaishia kuisoma km ngonjera na mashairi.

  • @imki8031
    @imki80313 жыл бұрын

    Uyu mwarimu wakslamu mjinga kweri haelewi chochote ndacha mungu akubariki sana

  • @abcdg1995
    @abcdg19953 жыл бұрын

    Following from Santa Monica California American people never learn till they drop dead Greetings Brethrens keep telling them the truth painful gospel of Jesus Christ You never know who you are inspiring

  • @mwakajohn1819
    @mwakajohn18193 жыл бұрын

    Ngoja nimsikilize pasta Ndacha anavyouvua nguo uislamu. Mungu akubariki pasta, kazi unayoifanya si haba. Waislamu wengi wanakuelewa sana. Maana toka wazaliwe wanafundishwa uongo. Wewe mungu amekufunulia kuujua uongo unaofundishwa humo.

  • @mgonjacharles195
    @mgonjacharles1953 жыл бұрын

    Huyomwislam hajui kusoma Kama alivyokuwa mtume Muhamad.

  • @euniceeunice7680

    @euniceeunice7680

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂daah kweli mkiongozwa na kipofu lzm uingie kwenye bahari

  • @farisytanzania6566

    @farisytanzania6566

    3 жыл бұрын

    Nyie hata mkipewa ukweli gani, hamuwezi kukubali. Endeleeni na chuki zenu mkayaone matokeo

  • @carolynadhiambo2543
    @carolynadhiambo25433 жыл бұрын

    Ramadan ni bishi sana ...asie kubali kushidwa c mshindani..Mungu afunulie vile petro alivo funuliwa na Mungu Baba

  • @pulakonzo5752
    @pulakonzo57523 жыл бұрын

    Huyu Ramadhani ni zilo

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice76803 жыл бұрын

    Sina uwakika kama uyu bwana wa kiislam ataludi mwenye mkutano maana mpaka anatetemeka mwenyewe 😂😂😂😂😂😂

  • @shishshikoh4979
    @shishshikoh49793 жыл бұрын

    Good job ... barikiweni sana na team yenu...

  • @enosbahati223
    @enosbahati223 Жыл бұрын

    Amani ya mungu iwe nanyi

  • @user-lk8gx1tr5p
    @user-lk8gx1tr5p6 ай бұрын

    Ata shetani anajua yesu ni mwana wa mungu nyinyi ndio mnapinga.

  • @gerkombo6512
    @gerkombo65122 жыл бұрын

    Ramadhani achapwe viboko maana haelewi somo.

  • @carolmungam3527
    @carolmungam35273 жыл бұрын

    Leo ni Leo asemai kesho nimuogo mwalimu wakisilamu hatete ndini yake

  • @shafiunathabiti4937
    @shafiunathabiti49372 жыл бұрын

    yes mala mungu mala mwana wa mungu au wapo yesu wengi ndani ya bibilia

  • @shafiunathabiti4937
    @shafiunathabiti49372 жыл бұрын

    mala yesu njia mala mungu mala mwana wa mungu yesu huyo huyo iyo ni hatary kwa sisi tunaojua kufikilia jama wakristo ivi mnafikilia mnachoambiwa au mnafata2

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda30763 жыл бұрын

    Huyo mwisilamu Ramadani anapitia hii Ndacha anapitia ile ingine wanagongana, 😁😁😁atajua Ndacha si kujifunza mada alipelekwana na Wambugu na akamuweza

  • @louisejeanne8306
    @louisejeanne83063 ай бұрын

    Uyo

  • @stephen-S7n
    @stephen-S7n Жыл бұрын

    Hebu siku ingine pima ramadhan kama n mlevi anajiabisha bure

  • @stephen-S7n
    @stephen-S7n Жыл бұрын

    Kweli kuhubiria mtu atoke shimoni inahitaji mkono wa Mungu,huyu jamaa hana hoja lakini mpingamizi kweli iyo n kukataa uokovu live

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice76803 жыл бұрын

    Kua mwalimu ni kazi mzito kwanza lzm utembee na roho wa Mungu la sivyo utakufa kwa mapresha yan muislam yupo kama mtoto akili zke anachanganya mada maandiko ajibu maswali nilizania waislam wa tz tuu ndo wana ayo mambo kumbe kila muislam ni wale wale..sasa wanatia fujo kweli maji na mafuta ayawezi kaa sehemu moja yan mashetani apo wanapiga kelele tuu kuvuruga mkutano ili watu wasielewe...mshindwe kwa jina la Yesu...ndasha Mungu yupo na wewe awataweza kwa jina la Yesu

  • @shepherd1x84
    @shepherd1x8411 күн бұрын

    Huyu ni mpishi tuu..

  • @margaretmargaret5744
    @margaretmargaret57442 жыл бұрын

    Mmmmmmmmmmh

  • @saitotisapiyo5997
    @saitotisapiyo59973 жыл бұрын

    Alafu unapata mtu anataka kuingia uwisilamu

  • @euniceeunice7680

    @euniceeunice7680

    3 жыл бұрын

    Shida kbs

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice76803 жыл бұрын

    Yan waislam wote akili zao zinafanana...nilijua wtz tuu kumbe ata kenya wale wale...sasa mada ingine aijaisha analeta ingine uku anapanic ndo nn sasa alafu ndo mwalimu wa waislam awa😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @frankkikambako9281
    @frankkikambako92813 жыл бұрын

    7 : 9 Muhubili..

  • @erickmaisha4773
    @erickmaisha47732 жыл бұрын

    Wanaitwa wachanganya maandiko Yani kufurahisha waislumu hee Yani hataki hii anataka hii

  • @shafiunathabiti4937
    @shafiunathabiti49372 жыл бұрын

    Kuna kitu kimesomwa yesu anasema kwamba wasimwambie mtu yoyote Kama yeye ni kristo swali kristo aliyo kuwa anamaanisha yesu ni jina au dini

  • @Bibleanditswarningvoice
    @Bibleanditswarningvoice2 ай бұрын

    Biblia ni sauti ya kiroho

  • @elderkogo2002
    @elderkogo20023 жыл бұрын

    Huyu muislamu mbishi tu lakini elimu hana.

  • @user-ld7oc2pz7p
    @user-ld7oc2pz7p4 ай бұрын

    HUyo hata ajui mandiko

  • @profs.a5412
    @profs.a54123 жыл бұрын

    Ila kuna ng'ombe duniani tunaishi nazo........🤠🤠🤠🤠🤠🤠......muslim chenga saanaaaa ...........yani huyuu jamaa ndiye mwalimu wa waislam🤠😂😂😂.........yani anakataa kwamba Yesu ndiye Kristo😂😂🤠..........poleni waislam ..................Kwaiyo waislam wanamsubiri Kristo mwingine .....🤠🤠...............

  • @farisytanzania6566

    @farisytanzania6566

    3 жыл бұрын

    Yohana 4:25 Yuaja masihi(Aitwae kristo) Jiulize mabano yana maana gani. Kama siyo kuongeza yako. Qur,an 5:75) Akasema Mwenyezi Mungu, Masihi. Asili ya neno kristo, Ugiriki, kiyunani, cheo hicho walipatiwa Sanamu 19 za pale nchini Ugiriki. Zikaitwa Kristos. Ndio maana Yesu masihi aksema wasimuite kwa jina hilo, ambalo alipachika muandishi aliyeshurutishwa na Paulo. Pia Matayo 24:5) hii ndio kazi ya Wachungaji. Imani hii ya wazungu biashara tu siyo mpango wa Mungu. Ndio maana mnafanya fujo makanisani. Baada yakusali, mnaimba na kupiga makofi kama mpo mpirani. Qur,an 22:77) Karibu kwenye Uislamu

  • @profs.a5412

    @profs.a5412

    3 жыл бұрын

    @@farisytanzania6566 🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠😂😂😂................................ kwakweli waislam ni mbumbumbu saaana ............yani story mnazopiga mkiwa vijiwen ndio mnaziamini🤠🤠...sasa hapo umeongea nini?????

  • @yohanamwamkili4397

    @yohanamwamkili4397

    2 жыл бұрын

    @@profs.a5412 😂😂😂😂

  • @shafiunathabiti4937
    @shafiunathabiti49372 жыл бұрын

    kwa vile nyie ndugu zangu hafifu ndoma ata maombi mnaenda kw wachungaji baada muombe wenyewe inamana wavivu kusoma

  • @youngkiki.
    @youngkiki.11 ай бұрын

    Ndacha unakuanga mvumilivu huyu ningekuwa ni megonga kofi

  • @halimafickra8635
    @halimafickra8635 Жыл бұрын

    Ramadhan 😂🤣🤣🤣🤣🤣

  • @shafiunathabiti4937
    @shafiunathabiti49372 жыл бұрын

    yes aliuliza watu wananena mwana Adam ni?

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Жыл бұрын

    Yani ndacha uwe unachagua watu huyo ni mwehu anamapepo kajakubishana sio kujibu hoja

  • @saidmwatenguri4951
    @saidmwatenguri49513 жыл бұрын

    Hiyo c injil ni bibilia

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice76803 жыл бұрын

    Yan mwalimu wa kiislam anachanganya maandiko jamani 😂😂😂😂😂😂petro aliitwa shetani kwakua alimkataza Yesu kama atokufa...na alipo muita Yesu kama ni mwana wa Mungu Yesu akasema sio mwili ulio kufunulia bali ni miungu wa mbinguni so nn awajaelewa waislam jamani wkt apa Yesu kasema ni Mungu ndie kamfunulia...

  • @farisytanzania6566

    @farisytanzania6566

    3 жыл бұрын

    Waliotafsiri Injili, ndio wenye makosa. Ingepatikana original ya kiebrania lugha aliyoteremshiwa Bwana Yesu, ukristo ungekufa mara moja. Lakini injili ilishaharibiwa ndio maana kuna Tafsiri tupu. Poleni Wakristo. Mungu hazai.

  • @LiveOnTheHolyWord
    @LiveOnTheHolyWord3 жыл бұрын

    Waislamu wabishi bila ufahamu huwashindi ila injili wanaisikia

  • @farisytanzania6566

    @farisytanzania6566

    3 жыл бұрын

    Mngekuwa waelewa mngemuabudu kiumbe mwenzenu mwenye ndugu na ukoo. Matayo 1:1) Yohana 20:17)

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda30763 жыл бұрын

    Lakini Ndacha watu kama hawa usipotezange mda kupishana nao. Anakataa maandiko live

  • @abcdg1995
    @abcdg19953 жыл бұрын

    The Mic is preety bad guys

  • @malaikawatatutv.ufunuo14.84
    @malaikawatatutv.ufunuo14.843 жыл бұрын

    Nmegundua ktu waislamu wameskia pasta ndacha anamgogororo na viongoz wa SDA kwahvyo wanafanya migogoro ili pastor wetu afungiwe

  • @euniceeunice7680

    @euniceeunice7680

    3 жыл бұрын

    Kwa jina la Yesu awatoweza...ona Yesu alivyo kufa kaacha wafuasi kidogo ila sasa dunia mzima inamjua Yesu na kila siku anavuna watu wapya kwaiyo aho waislam awatofanikiwa

  • @sarahabdulatif7391
    @sarahabdulatif73913 жыл бұрын

    Maana ya kafiri nimpingaji kama kafiri niwew tena sio wew tu kuanzia mungu wako alla namtume wako marehemu muhamad namaswahaba zake kina abuu bakar nawaisilamu wooooooote nimakafiru tena ukafiri wao niupagani ambao umeboreshwa nyakati zaleo

  • @mwakajohn1819
    @mwakajohn18193 жыл бұрын

    Huyo Ramadhani anaakisi sura ya uislamu, busara ya mwalimu itawaleta kwa yesu kristo waislamu wenye uelewa. Vichwa vya baadhi ya waislamu havina kitu, ni debe tupu. Wenye akili wanamuelew pasta.

  • @bukurudelila8467
    @bukurudelila84673 жыл бұрын

    Yani Mwalimu Ndacha Wewe unakazi yani unakibaruwa kabisa kama utakuwa unafanya mihadhara nahawo nakwambia ukweli jacho litakutoka kabisa . Yaani kama huyo ndo Mwalimu wa waslam bure kabisa

  • @euniceeunice7680

    @euniceeunice7680

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂kbs

  • @hassanmaalim7008
    @hassanmaalim70083 жыл бұрын

    Kafiri nikafiritu

  • @victorbeno
    @victorbeno2 жыл бұрын

    Huyo jamaa wanamwita ramadhani asifanye nae mdahalo maana ajui yeye kazi yake m'bishi

  • @mwoso
    @mwoso3 жыл бұрын

    Mchungaji , afadhali kutopoteza muda wako na huyo mjinga. hana haja ya kukusikiza. Haja yake ni kubishana na wewe tu. tena ni ni mshamba wa kawaida asiye elewa Biblia.huko ni ujaluoni .

  • @mwoso
    @mwoso3 жыл бұрын

    Huyo Ramadhani ni mjowapo wa wale waislamu wajinga sana.

  • @Bibleanditswarningvoice

    @Bibleanditswarningvoice

    2 ай бұрын

    Kweli

  • @saidmwatenguri4951
    @saidmwatenguri49513 жыл бұрын

    Hata mtoto mdogo wakiislam amekushinda wewe pastor hujuwi maandiko

  • @sarahabdulatif7391
    @sarahabdulatif73913 жыл бұрын

    Hata muhamad nae amekuja kwajina la kristo mana muhamad wanamuita bwana katika makristo wauongo namuhamad yumo

  • @farisytanzania6566

    @farisytanzania6566

    3 жыл бұрын

    We kafiri wewe husie na Adabu na ndacha, huwe na Adabu. Malaya we.

  • @yohanamwamkili4397

    @yohanamwamkili4397

    2 жыл бұрын

    @@farisytanzania6566 mna matusi hadi raha, sijui kuna session ya matusi kwenye hio dini?

  • @erickmaisha4773
    @erickmaisha47732 жыл бұрын

    Huyu mwalimu wakislamu ana confusion usipo mwelewa