Келесі
- 2:42:28
- 11 М.
- 1:59:08
- 104 М.
- 00:42
- 3,7 МЛН
- 13 күн бұрын
- 00:49
- 7 МЛН
- 19 күн бұрын
- 00:49
- 21 МЛН
- 12 күн бұрын
- 00:40
- 189 МЛН
- 15 күн бұрын
- 1:41:42
- 6 М.
- 1:16:39
- 2,6 М.
- 32:11
- 52 М.
- 2:57:56
- 721
- 1:47:08
- 14 М.
- 1:02:47
- 19 М.
- 00:42
- 3,7 МЛН
- 13 күн бұрын
Пікірлер: 74
Mwalimu wangu, I like when I here you saying,MPE! "Maiki" Mungu aendelee kukujaza neema na hekima. Mwalimu unajuanga venye We we ni MORE FIRE. I love big.
Ndacha i am from Tz but nakaa nje nimekuwa nakufuatilia for miaka minne now. Wewe ni zaidi ya wahubiri wengi duniani just have that confidence from me and more christians
Biblia ni siri nzito, Biblia ni mafunuo.Huwezi elewa Biblia kwa mihemko na mabishano bali kwa kutafakari Neno kwa msaada wa Roho Mtakatifu. Bila kufuata utaratibu huwezi elewa na utaishia kuisoma km ngonjera na mashairi.
Uyu mwarimu wakslamu mjinga kweri haelewi chochote ndacha mungu akubariki sana
Following from Santa Monica California American people never learn till they drop dead Greetings Brethrens keep telling them the truth painful gospel of Jesus Christ You never know who you are inspiring
Ngoja nimsikilize pasta Ndacha anavyouvua nguo uislamu. Mungu akubariki pasta, kazi unayoifanya si haba. Waislamu wengi wanakuelewa sana. Maana toka wazaliwe wanafundishwa uongo. Wewe mungu amekufunulia kuujua uongo unaofundishwa humo.
Huyomwislam hajui kusoma Kama alivyokuwa mtume Muhamad.
@euniceeunice7680
3 жыл бұрын
😂😂😂😂daah kweli mkiongozwa na kipofu lzm uingie kwenye bahari
@farisytanzania6566
3 жыл бұрын
Nyie hata mkipewa ukweli gani, hamuwezi kukubali. Endeleeni na chuki zenu mkayaone matokeo
Ramadan ni bishi sana ...asie kubali kushidwa c mshindani..Mungu afunulie vile petro alivo funuliwa na Mungu Baba
Huyu Ramadhani ni zilo
Sina uwakika kama uyu bwana wa kiislam ataludi mwenye mkutano maana mpaka anatetemeka mwenyewe 😂😂😂😂😂😂
Good job ... barikiweni sana na team yenu...
Amani ya mungu iwe nanyi
Ata shetani anajua yesu ni mwana wa mungu nyinyi ndio mnapinga.
Ramadhani achapwe viboko maana haelewi somo.
Leo ni Leo asemai kesho nimuogo mwalimu wakisilamu hatete ndini yake
yes mala mungu mala mwana wa mungu au wapo yesu wengi ndani ya bibilia
mala yesu njia mala mungu mala mwana wa mungu yesu huyo huyo iyo ni hatary kwa sisi tunaojua kufikilia jama wakristo ivi mnafikilia mnachoambiwa au mnafata2
Huyo mwisilamu Ramadani anapitia hii Ndacha anapitia ile ingine wanagongana, 😁😁😁atajua Ndacha si kujifunza mada alipelekwana na Wambugu na akamuweza
Uyo
Hebu siku ingine pima ramadhan kama n mlevi anajiabisha bure
Kweli kuhubiria mtu atoke shimoni inahitaji mkono wa Mungu,huyu jamaa hana hoja lakini mpingamizi kweli iyo n kukataa uokovu live
Kua mwalimu ni kazi mzito kwanza lzm utembee na roho wa Mungu la sivyo utakufa kwa mapresha yan muislam yupo kama mtoto akili zke anachanganya mada maandiko ajibu maswali nilizania waislam wa tz tuu ndo wana ayo mambo kumbe kila muislam ni wale wale..sasa wanatia fujo kweli maji na mafuta ayawezi kaa sehemu moja yan mashetani apo wanapiga kelele tuu kuvuruga mkutano ili watu wasielewe...mshindwe kwa jina la Yesu...ndasha Mungu yupo na wewe awataweza kwa jina la Yesu
Huyu ni mpishi tuu..
Mmmmmmmmmmh
Alafu unapata mtu anataka kuingia uwisilamu
@euniceeunice7680
3 жыл бұрын
Shida kbs
Yan waislam wote akili zao zinafanana...nilijua wtz tuu kumbe ata kenya wale wale...sasa mada ingine aijaisha analeta ingine uku anapanic ndo nn sasa alafu ndo mwalimu wa waislam awa😂😂😂😂😂😂😂😂😂
7 : 9 Muhubili..
Wanaitwa wachanganya maandiko Yani kufurahisha waislumu hee Yani hataki hii anataka hii
Kuna kitu kimesomwa yesu anasema kwamba wasimwambie mtu yoyote Kama yeye ni kristo swali kristo aliyo kuwa anamaanisha yesu ni jina au dini
Biblia ni sauti ya kiroho
Huyu muislamu mbishi tu lakini elimu hana.
HUyo hata ajui mandiko
Ila kuna ng'ombe duniani tunaishi nazo........🤠🤠🤠🤠🤠🤠......muslim chenga saanaaaa ...........yani huyuu jamaa ndiye mwalimu wa waislam🤠😂😂😂.........yani anakataa kwamba Yesu ndiye Kristo😂😂🤠..........poleni waislam ..................Kwaiyo waislam wanamsubiri Kristo mwingine .....🤠🤠...............
@farisytanzania6566
3 жыл бұрын
Yohana 4:25 Yuaja masihi(Aitwae kristo) Jiulize mabano yana maana gani. Kama siyo kuongeza yako. Qur,an 5:75) Akasema Mwenyezi Mungu, Masihi. Asili ya neno kristo, Ugiriki, kiyunani, cheo hicho walipatiwa Sanamu 19 za pale nchini Ugiriki. Zikaitwa Kristos. Ndio maana Yesu masihi aksema wasimuite kwa jina hilo, ambalo alipachika muandishi aliyeshurutishwa na Paulo. Pia Matayo 24:5) hii ndio kazi ya Wachungaji. Imani hii ya wazungu biashara tu siyo mpango wa Mungu. Ndio maana mnafanya fujo makanisani. Baada yakusali, mnaimba na kupiga makofi kama mpo mpirani. Qur,an 22:77) Karibu kwenye Uislamu
@profs.a5412
3 жыл бұрын
@@farisytanzania6566 🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠🤠😂😂😂................................ kwakweli waislam ni mbumbumbu saaana ............yani story mnazopiga mkiwa vijiwen ndio mnaziamini🤠🤠...sasa hapo umeongea nini?????
@yohanamwamkili4397
2 жыл бұрын
@@profs.a5412 😂😂😂😂
kwa vile nyie ndugu zangu hafifu ndoma ata maombi mnaenda kw wachungaji baada muombe wenyewe inamana wavivu kusoma
Ndacha unakuanga mvumilivu huyu ningekuwa ni megonga kofi
Ramadhan 😂🤣🤣🤣🤣🤣
yes aliuliza watu wananena mwana Adam ni?
Yani ndacha uwe unachagua watu huyo ni mwehu anamapepo kajakubishana sio kujibu hoja
Hiyo c injil ni bibilia
Yan mwalimu wa kiislam anachanganya maandiko jamani 😂😂😂😂😂😂petro aliitwa shetani kwakua alimkataza Yesu kama atokufa...na alipo muita Yesu kama ni mwana wa Mungu Yesu akasema sio mwili ulio kufunulia bali ni miungu wa mbinguni so nn awajaelewa waislam jamani wkt apa Yesu kasema ni Mungu ndie kamfunulia...
@farisytanzania6566
3 жыл бұрын
Waliotafsiri Injili, ndio wenye makosa. Ingepatikana original ya kiebrania lugha aliyoteremshiwa Bwana Yesu, ukristo ungekufa mara moja. Lakini injili ilishaharibiwa ndio maana kuna Tafsiri tupu. Poleni Wakristo. Mungu hazai.
Waislamu wabishi bila ufahamu huwashindi ila injili wanaisikia
@farisytanzania6566
3 жыл бұрын
Mngekuwa waelewa mngemuabudu kiumbe mwenzenu mwenye ndugu na ukoo. Matayo 1:1) Yohana 20:17)
Lakini Ndacha watu kama hawa usipotezange mda kupishana nao. Anakataa maandiko live
The Mic is preety bad guys
Nmegundua ktu waislamu wameskia pasta ndacha anamgogororo na viongoz wa SDA kwahvyo wanafanya migogoro ili pastor wetu afungiwe
@euniceeunice7680
3 жыл бұрын
Kwa jina la Yesu awatoweza...ona Yesu alivyo kufa kaacha wafuasi kidogo ila sasa dunia mzima inamjua Yesu na kila siku anavuna watu wapya kwaiyo aho waislam awatofanikiwa
Maana ya kafiri nimpingaji kama kafiri niwew tena sio wew tu kuanzia mungu wako alla namtume wako marehemu muhamad namaswahaba zake kina abuu bakar nawaisilamu wooooooote nimakafiru tena ukafiri wao niupagani ambao umeboreshwa nyakati zaleo
Huyo Ramadhani anaakisi sura ya uislamu, busara ya mwalimu itawaleta kwa yesu kristo waislamu wenye uelewa. Vichwa vya baadhi ya waislamu havina kitu, ni debe tupu. Wenye akili wanamuelew pasta.
Yani Mwalimu Ndacha Wewe unakazi yani unakibaruwa kabisa kama utakuwa unafanya mihadhara nahawo nakwambia ukweli jacho litakutoka kabisa . Yaani kama huyo ndo Mwalimu wa waslam bure kabisa
@euniceeunice7680
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂kbs
Kafiri nikafiritu
Huyo jamaa wanamwita ramadhani asifanye nae mdahalo maana ajui yeye kazi yake m'bishi
Mchungaji , afadhali kutopoteza muda wako na huyo mjinga. hana haja ya kukusikiza. Haja yake ni kubishana na wewe tu. tena ni ni mshamba wa kawaida asiye elewa Biblia.huko ni ujaluoni .
Huyo Ramadhani ni mjowapo wa wale waislamu wajinga sana.
@Bibleanditswarningvoice
2 ай бұрын
Kweli
Hata mtoto mdogo wakiislam amekushinda wewe pastor hujuwi maandiko
Hata muhamad nae amekuja kwajina la kristo mana muhamad wanamuita bwana katika makristo wauongo namuhamad yumo
@farisytanzania6566
3 жыл бұрын
We kafiri wewe husie na Adabu na ndacha, huwe na Adabu. Malaya we.
@yohanamwamkili4397
2 жыл бұрын
@@farisytanzania6566 mna matusi hadi raha, sijui kuna session ya matusi kwenye hio dini?
Huyu mwalimu wakislamu ana confusion usipo mwelewa