AKINA NANI WANASHIRIKIANA NA MAJINI?

Join this channel to access its benefits:
/ @biblianuruyadunia

Пікірлер: 573

  • @mwanyunimadee4157
    @mwanyunimadee4157 Жыл бұрын

    Naona ndacha umevuka viwango vingine ndugu Mungu akutie nguvu n akuongezee umri

  • @luluamin1388

    @luluamin1388

    Жыл бұрын

    amefika kiwango cha muongo number 1, hata aibu hana. kafiri yeye

  • @coolvoices6608

    @coolvoices6608

    Жыл бұрын

    Ndacha ataishia kusilimu

  • @dogojahman9381

    @dogojahman9381

    Жыл бұрын

    Waeslam mme ingizwa cha kike na waarabu

  • @wasaficlassicshoes

    @wasaficlassicshoes

    Жыл бұрын

    Mungu hajifichi ndacha atawanyoosha waislamu wote

  • @muktarabdalla7981

    @muktarabdalla7981

    Жыл бұрын

    😅😅 Wacha wazimu

  • @abeidmohamed2100
    @abeidmohamed2100 Жыл бұрын

    Mazinge mashallah Allah akubariki eti masheitan wanalala kwenye pua za waislam.mtume s.w ndie mjumbe ambae anapokea ujumbe kutokankwa Allah akatufundisha kwamba tabia za Majin hupenda kulala kwenye pua so ukiamka akatufundisha kwamba upenge kama mafua ..huwa anatoka na ukiangalia ni kweli yule ambae atalala akiamka apenge kama mafua bas atajiona mwepes kwa sabaubu masheitani huwa wanaziba njia za hewa hakika dini ya kweli mbele ya mungu ni uislam ,

  • @janenjeri9750

    @janenjeri9750

    Жыл бұрын

    allah ni lucifer,itakuaje tena dini aloanzisha ni ya Mungu? Dini ya kiislamu ni uongo,mmepotea

  • @motherteresa8314
    @motherteresa8314 Жыл бұрын

    Jesus Christ is powerful, imagine all the immams verses one man pastor Ndacha answering and teaching these people. Be blessed pastor Ndacha. Instead of them teaching they are refuting what Ndacha is teaching...... believe in the Gospel and be saved

  • @junicnamuwenge6957
    @junicnamuwenge6957 Жыл бұрын

    Ni gazi kuumu warilmu ragini mungu awabariki sana warilmu wakiristo 😭😭😭🤔🤔💯💯🇸🇦💪

  • @wizzahgfalme3874
    @wizzahgfalme3874 Жыл бұрын

    Mwalimu ndacha na team hongereni sana watching from Qatar

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 Жыл бұрын

    Masha Allah DD Pro Mazinge Mungu akubariki Nafurahi sana

  • @benedictomogioyange9196

    @benedictomogioyange9196

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂

  • @felicienshela4932
    @felicienshela4932 Жыл бұрын

    Mungu akubariki sana mwalimu ndacha, pia tuko pamoja mwalimu wangu 🌹❤️ , Hongera sana 👏👏👏👏👏👏 🇨🇩 watching From CONGO

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 Жыл бұрын

    Waislamu haki Mungu awafumbue macho mjue mlipo sio sahihi mda ni huu mnaskia mkiambiwa sikieni mponye nafsi zenu

  • @neptuneplutonium86

    @neptuneplutonium86

    Жыл бұрын

    Ponya nafsi Yako kwanza ww kafiri

  • @user-nc4li8ch9f
    @user-nc4li8ch9f9 ай бұрын

    God bless you pastor Ndacha

  • @michelshemikalamo2537
    @michelshemikalamo2537 Жыл бұрын

    Baba Ndacha Tunakuombea Mungu amekupa hekima kabisa katika kuongea nahao ma adui yetu wa Imani, nimeona wengi wao wameshindwa kujibu maswali Yako hata Mazinge kashindwa !!! Inasikitisha. Mungu aendelee kukujaza Roho wake n'a hekima kubwa ili uendelee kutetea Imani ilio ya kweli. Najiuliza umefanyaje Ku kariri maandiko Ayo yote maana sijakuona ukisimama n'a karatasi, hata Mazinge hawezi ilo!!! Anacho fanya ni Ku igiza nakuchekesha watu kama muigizaji ila maswali mengi majibu hayakupatikana upande wao. Ubarikiwe

  • @ngomafrancis1659
    @ngomafrancis1659 Жыл бұрын

    Pole sana wa islam kwa majini alakini simuachane nayo pole sana alakini Pastor Ndacha ajadanganya nikitabu cha Koroani kinasema tusikatae nikweli tusiwe wajanja tukubali ukweli majini wamelaaniwa na Mungu.

  • @salumsodangu1372

    @salumsodangu1372

    Жыл бұрын

    Inallilah waina ilaih rajaun Msiba mkubwa Wasristo somen kitabu chenu Msimpende kusomewa tu kanisan au kwa miazara Fanyen akilizenu zikubari fikra mpya

  • @rajabnyoka-vv5vh

    @rajabnyoka-vv5vh

    Жыл бұрын

    Atakaye silimu ni kheri na yake abakiaye kwa ukrixto xiku yakiama akiingia motoni aximlaumu mtu ila nafsi yake

  • @davidwainaina3899
    @davidwainaina3899 Жыл бұрын

    Pastor ndacha,is one Man having holy spirit, imagine one pastor verse whole Tanzanian imams, Jesus is the king Amen 🙏🇰🇪✝️✝️✝️✝️ ndacha is with Jesus Christ, long life Amen Amen Amen

  • @kharoubomar3828

    @kharoubomar3828

    Жыл бұрын

    Soma uelewe ufahamu uko chini xana Acha ushabiki ww

  • @ZawadMlewa-nn7hc

    @ZawadMlewa-nn7hc

    8 ай бұрын

    Poleni sana waislamu hamuelewi kabsa halafu kina mazinge wamejaa porojo tu hakuna wanalo lijua

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 Жыл бұрын

    Pastor Ndacha...Mm ni Roman Catholic natamani sn Sikumoja uje Kanisani Kwetu kututembelea na Kusali Pamoja.... Ubarikiwe Saana Mchungaji 👏👏👏👏👏

  • @petromachanga5538

    @petromachanga5538

    Жыл бұрын

    Yaani huyu jamaa hautaki uroma

  • @FatmaNash-nd5kz

    @FatmaNash-nd5kz

    Ай бұрын

    Ndio mzidi kupotezwa 😂😂😂

  • @davidwainaina3899
    @davidwainaina3899 Жыл бұрын

    Ndacha is the king of bible,east African Gospel teacher Proudly of being CHRISTIAN Amen 🇰🇪✝️✝️✝️✝️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @abdikadirabdulahi731

    @abdikadirabdulahi731

    Жыл бұрын

    Ndacha kwisha6

  • @ismaelleloon2930

    @ismaelleloon2930

    Жыл бұрын

    @@abdikadirabdulahi731 JESUS REIGNS...

  • @111dudi

    @111dudi

    Жыл бұрын

    Bible has been rewritten many times to suit the lies, most of it is not Jesus words.its just lies formulated by liars

  • @kajinjirashid5590

    @kajinjirashid5590

    Жыл бұрын

    King of fake translation..king of lies...read your bible and learn the truth..ask yourself simple questions before listening to ndacha and other fake prophets,pastors.. bishops...

  • @111dudi

    @111dudi

    Жыл бұрын

    @@kajinjirashid5590 umemgundua uongo wake, wakristo wengi bado hawajatambua

  • @thomasbjr2
    @thomasbjr2 Жыл бұрын

    Ndacha kawamaliza kabisa mungu akubariki mtumishi ndacha🙏🏿

  • @danielmkoy1293

    @danielmkoy1293

    Жыл бұрын

    Ndacha kamaliza waislam hawana hoja

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 Жыл бұрын

    yani huyu ndacha nikiboko anapambana nawalimu wannee kweli nihatari ndacha

  • @mikekhalifaali7510

    @mikekhalifaali7510

    Жыл бұрын

    Hajui lolote

  • @pizzo1morestart840

    @pizzo1morestart840

    Жыл бұрын

    Ukosefu wa mawazo ndio shida yake

  • @luluamin1388

    @luluamin1388

    Жыл бұрын

    Hana lolote muongo mkubwa, ndacha ni mwalimu wa watu wasiojua dini

  • @RIO-jf9mo

    @RIO-jf9mo

    Жыл бұрын

    @@luluamin1388 hasa huyo Muhammad kuoa mtoto wa miaka sita ...mbona msimfwate mtume wenu nanyi msioe watoto wa miaka sita ...

  • @luluamin1388

    @luluamin1388

    Жыл бұрын

    ​@@RIO-jf9mo Mamaake mungu wenu (yesu) alizaa akiwa mdogo na wewe pia muige. Sasa ndoa ya Muhammad inakusumbuaje wakati wazazi wa mke waliridhika? Soma historia ya mtume uelewe, Muhammad (S.A.W) alimchukua kama mkewe wakati alipofikisha umri wa kuolewa.

  • @monicahnguta135
    @monicahnguta135 Жыл бұрын

    Yaani waislamu wenye akili na maskio watatafakari sana.wamama lilieni wana wenu wacheni ushabiki.wababa wanatafakari jisomeeni vitabu wacheni kusomewa.

  • @abuuhassani497

    @abuuhassani497

    Жыл бұрын

    We hunaakili sisi hatusomewi kwanza vitabu vyakutunga hatuvifati..tunafata muongoza wa Qur'an...

  • @mozesdaniel7484
    @mozesdaniel7484 Жыл бұрын

    Fantastic sana ndacha songambele tume elewa vuzuri sana...

  • @carolinekemunto2632
    @carolinekemunto2632 Жыл бұрын

    Mwalimu Ndacha kweli wewe n kiboko umenyorosha Mashehe hadi kidogo waebe ..umewalainisha kma pasi y stima nakuombea mungu akuongezee nguvu uhubilie waislam ili waokoke na Jina la Bwana Yesu Christo liinuliwe Happy sabbath

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Жыл бұрын

    Mashallah Allah

  • @wizzahgfalme3874
    @wizzahgfalme3874 Жыл бұрын

    Huyu chairman wetu Bahebe Mungu ambariki sana kwa kuandaa huu mkutano, yani waislamu wamejaa na ujumbe wameupokea. Aminaaa

  • @i.dclassic116

    @i.dclassic116

    Жыл бұрын

    Yani waislamu kujaa kawaida yao kwani wanapenda kheli

  • @PatrickBandamba-le9kt
    @PatrickBandamba-le9kt Жыл бұрын

    Mimi nipo Congo mchungaji Ndacha mungu akulinde akuongezeye mwika duniani ya kuishi ni mimi bukili Léonard toka Congo Lubumbashi

  • @yohanakiyumbi4795
    @yohanakiyumbi4795 Жыл бұрын

    Ubarikiwe Saana,,, tena Saana Pastor Ndacha hakika Wewe ni hodari wa Kusoma na kutafsiri sn Biblia takatifu.... Tumsifu Yesu Kristo 😃😃🙏🙏🙏🙏🙏

  • @benson4546
    @benson4546 Жыл бұрын

    Ndacha akika wewe ni mwalimu, Asante kwa kuwafundisha na kuwafunza waislam, wamkumbali Yesu na kumfuata yeye. Baraka tele wewe na familia yako......

  • @freyzamsaidsaidmnken9585

    @freyzamsaidsaidmnken9585

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @richardnganya2311

    @richardnganya2311

    Жыл бұрын

    Excellent teachings from a superb Bible teacher..

  • @mariajoymokeira4049
    @mariajoymokeira4049 Жыл бұрын

    Mazinge ana ya kusema kumaliza mda tu

  • @AlainKakudji
    @AlainKakudji3 ай бұрын

    Nakupenda Sana Pasteur mpiga wa islamu mimi Niko DR.Congo .

  • @Kaveke15
    @Kaveke15 Жыл бұрын

    Waislamu nawaombea mfunguke macho

  • @humudmarhoon8044
    @humudmarhoon8044 Жыл бұрын

    Namkubali sana mazinge .. dah natamani siku nikutane nae..

  • @FatmaNash-nd5kz

    @FatmaNash-nd5kz

    Ай бұрын

    Huwa ywazunguka sehemu nyingi

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel Жыл бұрын

    Huyu jamaa Ndacha Mungu azidi kumfanyia wepesi ni mkufunzi mzuli sana Maana ukitaka kufundishana anafundisha ,ukitaka kejeli kweli atakukejeli. Lakini pia Nyote Mungu awafanyie wepesi Hili muwe nanafasi ya kufundishana vyema na sio kukejiliana. Hila Ukweli ndio unatakiwa tusifiche Hilo.

  • @abdallahrenatus6677
    @abdallahrenatus6677 Жыл бұрын

    Acheni janja janja....waislamu muokoke. Yesu ndiye njia ya kwel na uzima .....humtafika kwa baba ila kwa njia yake.

  • @theheraldbroadcastingnetwo4836
    @theheraldbroadcastingnetwo4836 Жыл бұрын

    Ndacha ubalikiwe.

  • @JohnKirema-fc6sn
    @JohnKirema-fc6sn Жыл бұрын

    Mungu akubariki sana ndacha pamja Poul n awaongese miaka mingi

  • @anselmoonolius
    @anselmoonolius Жыл бұрын

    Tunakuombea ndacha Mungu akutie nguvu Sana kwa kazi njema

  • @enockkibona7522
    @enockkibona7522 Жыл бұрын

    Ndacha anafundisha mpaka unaelewa,safi sana Mwalimu Ndacha

  • @neptuneplutonium86

    @neptuneplutonium86

    Жыл бұрын

    Ni Kwa sababu akili yenu na ya ndacha ni sawa,na elimu yake ndacha na nyinyi wakristo ni sawa ndio maana mnaelewana

  • @enockkibona7522

    @enockkibona7522

    Жыл бұрын

    Hapana ndugu mbona anasoma vitabu vyenu ndivyo vinaongea,si kitabu cha qurani kinasema majini yalisilimi na yanapenda Qurani sio bibilia

  • @mwoso
    @mwoso Жыл бұрын

    Hii mada ya majini Sioni sababu ya muisilamu kujitetea! Mwalimu Ndacha ameimaliza kupitia maandiko ya vitabu vyote viwili. Hata hapo Tanga angalieni kwa sign posts za waganga. Hakuna jina la Kristo linapatikana kwa hizo posters.

  • @newlightmoviesproduction3598
    @newlightmoviesproduction3598 Жыл бұрын

    Mazinge hamna kitu ni jini

  • @samiramohd216

    @samiramohd216

    Жыл бұрын

    afadhali ya Mzinge kuwa jini sasa huyu Ndacha nishetani anaepoteza wenzake na sikwamba hajui ukweli anafanya kusudi tu

  • @raphaelsiarahera7
    @raphaelsiarahera79 ай бұрын

    Kazi nzuri sana. Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo awabariki sana kwa kuihubiri kweli ya injili.

  • @johannesmusa1393
    @johannesmusa13933 ай бұрын

    Wa fundishe hao wasio juwa ukweli, Na Mungu hakubariki Paster Ngacha

  • @user-fg4ki2wh8x
    @user-fg4ki2wh8x Жыл бұрын

    Bwana asifiwe ni milcah kutoka voo SDA nakumbaliana na maubiri yako you are the Paul today may Almighty God bless you with holy spirit to guide you all through .na tunakuitaji huku kitui .

  • @santawinny9946
    @santawinny9946 Жыл бұрын

    Mungu akubariki sana mwalimu wangu ndacha hawa watu huwa ni wangumu sana kuelewa ila leo umewanyosha kiswaswa 😂😂😂😂 God bless you

  • @aminahgrace
    @aminahgrace Жыл бұрын

    Ndugu Mungu akupe nguvu,wakristo tunakemea manjini ,itoke ndani ya wanadamu,ndio watoke kwa utumwa,blessing brother ♥️

  • @luluamin1388

    @luluamin1388

    Жыл бұрын

    Na hawatoki kabisa, sababu kitu cha shetani kipo kanisani. Maandiko ya bibilia yamesema

  • @yohanakiyumbi4795

    @yohanakiyumbi4795

    Жыл бұрын

    ​@@luluamin1388 kitu gani hicho Cha Shetani kipo Kanisani?

  • @yohanakiyumbi4795

    @yohanakiyumbi4795

    Жыл бұрын

    ​@@luluamin1388 Na andiko gn limeandika hvyo?

  • @luluamin1388

    @luluamin1388

    Жыл бұрын

    @@yohanakiyumbi4795 please soma ufunuo 2:12:13

  • @jacklinenyangau3843
    @jacklinenyangau3843 Жыл бұрын

    Bwana wetu YESU Christo ainuliwe👆👆👆👆 amen 🙏

  • @biznaz3559

    @biznaz3559

    Жыл бұрын

    Na shetani alimbeba nini boda boda au? Jibuni

  • @bakariomari3692

    @bakariomari3692

    Жыл бұрын

    Ni kweli ni bwana wenu🤣😂

  • @jacklinenyangau3843

    @jacklinenyangau3843

    Жыл бұрын

    @@bakariomari3692 hakuna kitu kitanitenge na bwana YESU Christo milele na milele 🙏🙏

  • @jacklinenyangau3843

    @jacklinenyangau3843

    Жыл бұрын

    @@biznaz3559 shetani alimbeba ili ata sisi tujue kuwa shetani ako na majalibu kwetu, yaani tusimame imara kwa Jina la YESU Christo kwa imani na MUNGU hatakuwaja kamwe 🙏🙏

  • @ntawukirishigahidaya1527

    @ntawukirishigahidaya1527

    Жыл бұрын

    @@jacklinenyangau3843 Allah akuongoze in sha Allah kwenye njia iliyo nyooka

  • @teresiaruru9258
    @teresiaruru9258 Жыл бұрын

    THE NAME OF THE LORD IS SO POWERFUL GOD BLESS YOU NDACHA

  • @rashidmohamed1949

    @rashidmohamed1949

    9 ай бұрын

    Wakirisito wavivu kwa kusoma vitabu Mnapenda maisha mepesiii ya duniani 😀😀😀

  • @dinahauka6004
    @dinahauka6004 Жыл бұрын

    Ndacha Mungu akubariki Kwa mafindizo hayo . Ndugu ZA Makini hope wamesikia 🤣🤣🤣🤣

  • @andersonwaweru8482
    @andersonwaweru8482Ай бұрын

    Ndacha! kweli wewe ni mwalimu,may God protect you

  • @user-em1ot5zx1b
    @user-em1ot5zx1b8 ай бұрын

    Shukran Sana mwalim mjinga Ndacha kwa Weye kuwa tiya ujinga wa kristo wenzako 😂😂😂😂 wallahi msiba mtupu / mashallah Amin Rabbi Allahouma Amin walim WETU wa ki Islam ALLAH wenye kuwa na ujudhi wa kufunza jamiiii takbir ...........

  • @lilhydon452
    @lilhydon4527 ай бұрын

    Mungu akubaliki sana Ndacha ...naona hapa uliibiwa mda sana...ila wakristo tunakuelewa sana

  • @JuliasRanga-dd8zn
    @JuliasRanga-dd8zn Жыл бұрын

    Pastor ndacha mungu akuongesee miaka

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko1875 Жыл бұрын

    Mungu akubariki sana mwalimu ndasha

  • @abdulmosi8440
    @abdulmosi8440 Жыл бұрын

    God bless you guys

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 Жыл бұрын

    Amen

  • @user-xo9mo9nu8p
    @user-xo9mo9nu8p8 ай бұрын

    Mungu ajua

  • @samuellubunga1728
    @samuellubunga1728 Жыл бұрын

    Mimi na fuatilia huu mkasa mwanzo mwisho ila kuna kitu sijaelewa maana alicho kataa mbogo mazinge anakubali hivi Hawa mbona Wanabishiana wenyewe watupe majibu kamili

  • @mollel
    @mollel Жыл бұрын

    ndo maan mohamed mungu aliamuru alongwe ave kwa sababu ya kushirikiana na majini

  • @mohamdmohamd4842

    @mohamdmohamd4842

    Жыл бұрын

    Hilo jibu nakupa.. Mutamkuta Mtu Jina lake ni Bar Yesu ni Mchawi mkubwa.. Ongeza na hilo Andiko pia Comment.

  • @mollel

    @mollel

    Жыл бұрын

    ndo iliye mloga mohamed kwa sababu ya kushirikia na majini na uchawi

  • @neptuneplutonium86

    @neptuneplutonium86

    Жыл бұрын

    @@mollel nenda kasome biblia Yako vizuri utapata hata yesu Mungu wako huyo alirogwa....kurogwa ni kawaida Kwa mwanadamu yeyote na Mungu alimpa Muhammad dawa ambayo ni Dua ya shifaa na huyo yesu aliyemtibu nani?

  • @mollel

    @mollel

    Жыл бұрын

    @@neptuneplutonium86mungu hat hana habari na mohamed ndo maana alikufa akiendaga yesu hakulongwa alikufa na kufufuka na akaacha mohamed uko maan ni mtume feki

  • @enockkibona7522

    @enockkibona7522

    Жыл бұрын

    Baada ya kujibu swali,unasema Ndacha kaja na gari ya bei mbaya,mara maaskofu,tupe jibu mjini ni ndugu zenu tujibu unazunguka sana,mbona wakwepa sana

  • @NadiaJuma-cp7vr
    @NadiaJuma-cp7vr Жыл бұрын

    Mazinge Allah akutuifadhie nakulinde

  • @johnelisha6646
    @johnelisha6646 Жыл бұрын

    Waisilamu okokeni tena mu batiziwe katika jinala yesu kristo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @musaqdeschwaz2071

    @musaqdeschwaz2071

    Жыл бұрын

    we mbwa sana

  • @BintiMwambapa-ev6kw

    @BintiMwambapa-ev6kw

    8 ай бұрын

    Na wasipo okoka kuzimu kunawasubili, njia pekeeee ni Bwana YESU tu

  • @hanisahwasiche7541
    @hanisahwasiche7541 Жыл бұрын

    Hakika kweli uislamu ndio dini ya hakki......haikashifu kitu ama jambo mpaka ukueleze n nn kinacho kashifiwa......allah awaongoze walimu wetu wa kiislamu.....pamoja na mwalimu ndacha......mnasababisha watu kuijuwa uislamu

  • @pazasautiusinyamaze400
    @pazasautiusinyamaze400 Жыл бұрын

    Mazinge Hana point kabisa

  • @wizzahgfalme3874
    @wizzahgfalme3874 Жыл бұрын

    waaah 😂😂mwalimu, yaani hii mada hatar sana, mmeipeleka vizuri imeeleweka... hatari sana hiyo haipingiki

  • @mamawamoya3344
    @mamawamoya3344 Жыл бұрын

    Maaa sha Allah,vidume vya Allah

  • @bustedislam3578

    @bustedislam3578

    Жыл бұрын

    Yaani vidume vya marehemu Muhammad, ndugu zao majini

  • @neptuneplutonium86

    @neptuneplutonium86

    Жыл бұрын

    @@bustedislam3578 hapana sio hivyo ni vidume vya mwizi aliyelaaniwa yaani yesu na akapigwa kama nyoka na akasulubishwa na kufa kifi Cha aibu😂😂😂😂shetani ndiye kamsulubisha Mungu wenu yesu

  • @bustedislam3578

    @bustedislam3578

    Жыл бұрын

    @@neptuneplutonium86 Nipe andiko ya hayo maneno yako inayosema ndugu yenu muislamu shetani kamsulubisha Yesu Kristo

  • @yohanakiyumbi4795

    @yohanakiyumbi4795

    Жыл бұрын

    ​@@neptuneplutonium86 acha kuwapotosha Watu ngoja nikwambie ukweli kbs...Yesu Kristo Mwana wa Mungu aliteswa Msalabani kwaajili ya kusamahewa Dhambi za Ulimwengu Mzima....ata nyie Waislaam wenye dhambi Yesu amewaokoa dhambi zenu

  • @samiramohd216

    @samiramohd216

    Жыл бұрын

    @@bustedislam3578 muisalam ni ndugu wa muislam hivyo kama jini ni muislamu basi hao ninduguzetu waislamu

  • @lilwilson6283
    @lilwilson6283 Жыл бұрын

    Hili swala la majini sio geni kwetu sisi wakristo! ,,, tuna wajua hao toka zamani wanamiliki majini ndani ya milizao 😂,,,, mwalimu ndacha endelea kuwafundisha Mpaka kieleweke !

  • @mohamdmohamd4842

    @mohamdmohamd4842

    Жыл бұрын

    Hata kwa Wa Kristo pia Wako...tena huko Kanisani.(Kwa Jina la Yesu toka Wewe Shetani....) Hilo pia Useme au UComment. Utaelewa hapa kwa Comment pia.

  • @lilwilson6283

    @lilwilson6283

    Жыл бұрын

    @@mohamdmohamd4842 Nenda kanisani ukaombewe alafu urudi hapa,,,, hivi una jua ni kwa nini wa ganga wa kienyieji wengi wao ni wa eslam ni kwa sababu wanatumia majini!! Mfate yesu ndugu yangu hachana na muhhamed ! Na siku ya kiahama mna hamini yesu hatarudi duniani sio Muhammad ni yesu sasa jiulize kwa nini asiwe Muhammad ? ,,,,,

  • @mohamdmohamd4842

    @mohamdmohamd4842

    Жыл бұрын

    @@lilwilson6283 Rudi Shuleni Wewe. Toa Andiko Yesu aliingia Kanisani. Yaani hata Akili pia huwezi kutumia.Toa hilo Andiko kwa Bibilia YESU AMEINGIA KANISANI. Kitasimama Kiama ukitoa hilo Andiko.Haya Toroka kama Wenzio.

  • @lilwilson6283

    @lilwilson6283

    Жыл бұрын

    @@mohamdmohamd4842 ww ndo ukarudi shule hivi unajua mahana ya kanisa? ,,, yesu haki rudi hapa duniani sijui mta kua wageni wa nani ,,,,

  • @mohamdmohamd4842

    @mohamdmohamd4842

    Жыл бұрын

    @@lilwilson6283 Toa Andiko Yesu aliingia Kanisani.Wacha Ujanja.Nimekwambia Kitasimama Kiama Ukitoa hilo Andiko kwa Bibilia..kuwa Yesu Aliingia Kanisani. Nenda Ukawaulize Mapasta na Mapadri Wakupe hilo Andiko kwa Yesu Aliingia Kanisani. Mpaka Siku ya Kiama hutolitoa Wewe na Wenzako Wakristo Hilo Andiko.

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha9391 Жыл бұрын

    Ndacha kiboko yenu atawafundisha kweli mtajua koroani hamuijui nazima n'a simu yangu ñangoja Ndacha

  • @UkweliTopic
    @UkweliTopic Жыл бұрын

    Ndacha anaitaji camera hinayo honyesha Vizuri kwa sababu kazi hanayo fanya Sio kila mtu hana wenza. Kwa jina la Yesu huta pata camera nzuri mtumishi. 🙌🏾🙌🏾❤️

  • @danielmchomeo-wd9sy
    @danielmchomeo-wd9sy8 ай бұрын

    Safi Sana mwl nakukubali ,nipe Siri ya kuhifadhi biblia

  • @frednyakundi2862
    @frednyakundi2862 Жыл бұрын

    Huyu Mzee mazinge sikuhixi ni comedian

  • @maxyokeyo2835
    @maxyokeyo2835 Жыл бұрын

    To God be the glory Pastor Ndacha uzidi kubarikiwa🙏🙏

  • @aliyyuhibu3561
    @aliyyuhibu3561 Жыл бұрын

    Safi mbogo

  • @mohamseyf6243
    @mohamseyf6243 Жыл бұрын

    Kinacho waponza wakristo ni kutotaka kukubaliana na ukweli na kufata wanavyo tamani.ukweli majini ni viumbe jamii nyingine na watu na malaika,ila shetani ni sifa ya uasi(Yani ukiasi mungu Kisha ukashawishi wengine waasi ndo unakua shetani hatakama ni binadabu).Sasa majini hawaruhusiwi kushirikiana na wanadamu, lakini wapo wema na wapo wabaya,Tena wakiwa waislamu hutakiwa kuwa ndugu wao kwa wao.

  • @rosemaryemily311
    @rosemaryemily311 Жыл бұрын

    Nafurahia ndacha aujikoshi kwa watu kuwadanganya Lakini unawaambia ukweli tunashukuru Sana.Mungu azidi kukupa maono utufundishe.

  • @mjombawallace4966

    @mjombawallace4966

    Жыл бұрын

    Ndacha is hot on the floor

  • @mjbrother2023
    @mjbrother2023 Жыл бұрын

    Mungu akubariki Mwalimu Ndacha 👏🏻👏🏻

  • @junicnamuwenge6957
    @junicnamuwenge6957 Жыл бұрын

    Amen Amen 🤝 navuraha ni giwa saudi Arabia 🇸🇦🇸🇦💃💪🥳🥳🥰🤣

  • @omarykabebwaveve7023

    @omarykabebwaveve7023

    Жыл бұрын

    Naitwa omary Kabebwa nipo USA 🇺🇸 Mungu awabariki ndugu zangu kwa kazi njema naomba mnifuate in box Mungu awatie nguvu

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 Жыл бұрын

    Nawapenda mnavyovumiliana mwatusaidia kujua ukweli.

  • @philipwafula5296
    @philipwafula5296 Жыл бұрын

    Ndacha uko sawa

  • @JojoKWOBIRI-pq6dy
    @JojoKWOBIRI-pq6dy Жыл бұрын

    Jambo baba ndacha. Mubarikiwe sana, ila tusaidoyeni kupata hivyo vitabu vya kislamu, kama ulimwengu wa majini na vingine

  • @wilondjaebambe7435
    @wilondjaebambe7435 Жыл бұрын

    Kwa yesu kuna Raha, mapepo na majini wote wanahabudu mungu mmoja ndio maan kuna ushirikiano

  • @neptuneplutonium86

    @neptuneplutonium86

    Жыл бұрын

    Elimu hauna ndio maana unasema Hilo...majini kaumbwa na Mungu huyo mmoja aliyekuumba ww hayawani usiyejifahamu

  • @ramazecha2877

    @ramazecha2877

    Жыл бұрын

    Ni hasara tupu ukiristo

  • @joshuakusena707

    @joshuakusena707

    Жыл бұрын

    ​@@neptuneplutonium86 🤣🤣🤣🤣🤣huna unalojua

  • @mwoso
    @mwoso Жыл бұрын

    Mbogo amechanganyikiwa. Badala ya kuelimisha watu , anajitetea.

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 Жыл бұрын

    Ndacha nimekubali kabisa kweli hakika injili hii ikosawa

  • @user-hv9us1qq6k
    @user-hv9us1qq6k11 ай бұрын

    Nawapenda sana Mimi Niko apa Congo R d c nawafata Tano juu yatano.

  • @Nancybosibori-sz5nb
    @Nancybosibori-sz5nb8 ай бұрын

    AMEN AMEN

  • @jean-mariengendahayo1777
    @jean-mariengendahayo1777 Жыл бұрын

    Ukweri sina ujuzi wala hekima iliyo bora kwenye mambo ya Mungu ila kwa kufuatilia pande zote mbili, naelewa sana mafundisho ya mwalimu wa wakristo sana tu. Nawaomba mzidi kutuwekea mtandaoni ili nasi ambao tuko Mbali tupate kumujua Mungu . Mbarikiwe watumishi wote (wakristu n’a waislam) kwa kazi hii maana kupitia ninyi tunapata kuelewa ukweri uko wapi

  • @maymunamakungu6265

    @maymunamakungu6265

    Жыл бұрын

    Ni kwa sbb ndio imani yako iliko

  • @MujuniKamugisha

    @MujuniKamugisha

    6 ай бұрын

    ​@@maymunamakungu6265fuata chumaaaaaaaaaaa

  • @navokisembo
    @navokisembo Жыл бұрын

    Ndacha an Paulo Yesu awalinde na awabariki mnooooo

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Жыл бұрын

    Ukiijua Kweli itakuweka Huru

  • @user-xr7bx1on5e
    @user-xr7bx1on5e3 ай бұрын

    Kakristo munguh awabarikih sana

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Жыл бұрын

    Uislam ni kujisifia hakuna kitu kweli mnamaji

  • @hassankajembe4118
    @hassankajembe4118 Жыл бұрын

    Ndacha anaujua ukweli ila njaa tu

  • @adamadamluoga6902
    @adamadamluoga69028 ай бұрын

    Safi

  • @sharifam3342
    @sharifam3342 Жыл бұрын

    Masha Allah awabariki Masheke

  • @chenzhenlee7633
    @chenzhenlee7633 Жыл бұрын

    🤣🤣😀😀😀hiyi maada nihatari

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Жыл бұрын

    Kwa kweli Kwa mada hii,Ndacha uko juu,watafute mada nyingine,

  • @kisosekatere6282
    @kisosekatere6282 Жыл бұрын

    Soma haya vizuri mbona lipo wazi ninyi m'nadai mwenyezi Mungu ni M'moja ila Andiko linasema NASI TUMEWANYIA Manabii maadui hajasema Allah ila wamesema NASI yaani Wengi kwa hiyo wasemao ni wengi kweli majini ndugu zenu.. kuikweli NDACHA Hamumueweza anao uelewa Mkubwa wa Dini ao niseme vitabu...

  • @japhetndoro6533
    @japhetndoro6533 Жыл бұрын

    Mazinge amelemewa

  • @justussafari8111
    @justussafari81116 ай бұрын

    Hii mahojiano ya wakristo na waislamu inamafunzo makubwa kabisa Tafadhali endeleeni hivyo hivyo Tena kwa amani na Heshima kubwa vile munafanya..

  • @beardedalade
    @beardedalade7 ай бұрын

    😂😂😂😂ati jini zinapenda kahawa😂😂😂😂thats funny....

  • @JuliusKinyua-vq8zj
    @JuliusKinyua-vq8zj5 ай бұрын

    Pastor ndacha mungu awe pamoja nawe

  • @ibrahimhamza832
    @ibrahimhamza83222 күн бұрын

    RAHA kua muislamu ☪️☝️

  • @alfredwanga7850
    @alfredwanga7850 Жыл бұрын

    Kweli ndacha wewe ni professor wa vitabu

  • @mosecutzthehairstylist7201
    @mosecutzthehairstylist7201 Жыл бұрын

    Yesu christu ainuliwe

  • @user-tw1xd9ok4h
    @user-tw1xd9ok4h Жыл бұрын

    Ndacha huko juu TU sana

  • @phylisnyanchama5858
    @phylisnyanchama585811 ай бұрын

    Ndacha nakuamini ,niko huku saudia na mwarabu alitaka kuniwekea majini kwa mwili ,juu nimeokoka akashindwa akaniambia mimi ni shetani,na akanikataa wakati majini yake ilikufa akanirudisha kwa office akasema hanitaki mimi kuna nguvu natumia ,hawa watu wasipookoka wataenda jehanam woooote ,washindwe kwa jina la Yesu

  • @MrsmadoshiSalum-go9pe
    @MrsmadoshiSalum-go9pe Жыл бұрын

    dancha mungu akubariki

Келесі