Mungu akubariki na akuongoze mtumishi HIYO ELIMU ULISOMA KWA UISLAMU ,MUNGU ALIRUHUSU USOME ILI UWAFUNUE MACHO WENGI AMBAO WAMEPOTELEA KWA UISLAMU . KILA KITU HUTENDEKA KWA MAPENZI YA MUNGU.
Magumu Yesu wetu ni Bwana kabisa,Mungu akubariki Yohana🙏
@HusseinGabu-wr3xh
10 ай бұрын
Yesu hawezi kuwa mungu we pimbi maji mungu gabi anaetoka kwenye utupu wa mwanamke
@pendomaturo8885 жыл бұрын
Mtumishi Mungu akubariki songa mbele taji inakungoja. Yaani umenitia moyo.
@festokachunkwa42682 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi Karibu kwa yesu mwokozi wa ulimwengu
@unknownafrica5568
2 жыл бұрын
Yesu ni muislam ila binadam kwa maslahi yao wane fanya biashara kwani mitume wote ni ndugu mzungu alibadilisha mitume kua wakristo kama ayob musa we brahim ndio katokea irag
@muchuialbert38192 жыл бұрын
This is quite impressive and a wonderful message of the third angels
@paulmalagila4152
2 жыл бұрын
Aiseeewe mzee
@lulanjamd38862 жыл бұрын
Hakika Yesu Kristo ni mwokozi wa wote karibuni ndugu zetu waislam kwa Yesu Kristo
@ridhiwaniswaleh7878
2 жыл бұрын
Yesu alipewa kipigo mpaka watu wakamuua tena kifo cha kuzalilika kabisa mpaka akaanza kulalamika kua Mungu wake amemuacha, tumieni akili zenu vizuri nyie makafiri.
@mcndege9724
6 ай бұрын
@@ridhiwaniswaleh7878ww sio mwislamu wakubali yesu kafa😂😂 inalilai.. maliza?
@barikinihataringira51135 жыл бұрын
Waislamu njoon kwa Yesu mpate uzima wa milele acheni ubishi Yesu ndo kila kitu
@edigamwalongo1913
4 жыл бұрын
hongera sana mtumish
@katherinasamwel3937
2 жыл бұрын
@@rashidseif6095 Rashid Seif usijidanganye YESU ndio njia ya kweri na uzima sasa wewe kaatu huko kwenye uislamu wako Ila siku ya mwisho mtalia na kusaga Meno
@rahmahussein4288
Жыл бұрын
Jesus peace be upon him tunamuamin sana, ila nyinyi hamuamin alokuja nayo, njoon katika uislamu, acheni kudanganywa, someni kiarabu mukielew then mumsikilize uyo jamaa, anaboronga kabisa
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
Nitakuja ukinipa andiko ukiristo ni dini nipe andiko moja tu kutoka kwenye biblia yako
@SafiaAdan-ws8bw
3 ай бұрын
Yesu yupi
@henrykigugwe51122 жыл бұрын
Kwa Yesu kila got litapigwa ,anatuandalia makao ili yeye alipo nasis tuwepo Alituachia Roho mtakatifu tuombee wagonjwa wapone tuzungumze na yeye hayupo mbali yupo karibu sana kuliko mavazi tunayovaa Karibuni Kwa BwanaYesu wapendwa anawaita kwa sauti ya upole enyi waislamu Mungu wetu ni wa Upendo.
@innocentmsoka78052 жыл бұрын
Aminaa Mtumishi wa Mungu Yohana omar umechagua fungu jema jehanam haitakupata maana umempata YESU Kristo Mtenda Miujiza wetu anatosha
@johnmnonjela98095 жыл бұрын
Ubarikiwe mwalimu Yohana
@elishakayagwa93712 жыл бұрын
Mungu akubariki sana, ww umepona moto wa Jehanamu...
@mukanyataki51202 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Ndugu mpendwa katika Christo Yesu wetu. Umepata neema kutoka hukwo ubarikiwe
@maryamimo30392 жыл бұрын
Hongera wakristo mna roho ya Amani kwa wote,ndugu zetu Waislamu wana mabishano na hasira aki
@emanuelkitiku690
Жыл бұрын
Waisilam okokeni mpate uzima wamilele
@tumaininestory79985 жыл бұрын
Yohana Omary Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa elimu ya kiroho kwa watu wote.
@michaeljacobo29252 жыл бұрын
Yesu Kristo ndo kila kitu,, nyie waislaamu mkataeni tu ila siku za mwisho atawanyosha tu... Wooote Jehanaumu...na mtume wenu wa Uongo.. Njooni kwa Bwana Yesu yeye habagui acheni ubishi.. Wenu...Hata samaki akiwa majini na ukamwambia kuna nchi kavu anabishaga, lakin ukimvua anasema aaa kumbe...!!!!
@rahmahussein4288
Жыл бұрын
Atasema aa kumbe ila atakufa
@edwinkaris96022 жыл бұрын
very detailed information...good work good testimony
@ramadhanmahongole56632 жыл бұрын
waislamu kote duniani washindwe na walegee katika jina la YESU kristo mwana wa MUNGU aliye hai
@muhammadmuhaznun380
2 жыл бұрын
Badilisha Jina pia
@otiliahaule51803 жыл бұрын
Ameeen mtumishi wa Mungu nimefarijika sana
@user-kl6ox6bg7f6 ай бұрын
Sina la kusema zaidi tu ya kusema amina Mungu akubariki sana
@shyneafya24682 жыл бұрын
who is still here this is good message may God bless him and all listeners
@chemeliedinah23395 жыл бұрын
Mtumishi wa mungu, ubarikiwe sana naomba uendilezi.
@sophiamakani6133
2 жыл бұрын
Yesu anaweza sifa kwa mwenyezi mungu
@edwinelyone31002 жыл бұрын
Good Testimony. Be bless my brother
@liliankagea3318 Жыл бұрын
You did marvelous,ndacha may God bless you
@financialloan98185 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂ndio maana baba angu akakimbia uko maana alikumbuka kukamuliwa ushuzi akaona apaa apafai ngoja amtafute yesu sasa mpaka mkono unaingia mkunduni😂😂😂😂😂😂😂😂💃💃💃💃💃apana aiseee alafu wanasafisha maiti ivyo ili funza wakafaidi uko kaburini...mambo mazitoo sana ndio maana waislam roho zao ngumu
@raphaelkimaro1753
5 жыл бұрын
Hata wao wanajua kabisa kibavu asema kweli achana na huyi anayesema eti "kibavu anadanganya" amesahau wakristo tunasoma na hatusema. Tunasoma kitu ndio tunasema sinkama wao wanasema tu bila kusoma inamaana wanasema wasichosoma. Mimi mwenyewe walitaka kunivuta alkini baadae nikagundua naingia jehannam nilipotoka amani ikanirudia hadi leo Mungu ni mwema
@financialloan9818
5 жыл бұрын
@@raphaelkimaro1753 alafu nacho choka kubishana na waislam anaomba andiko ukimpa anakimbia umuoni tenaa sasa najiuliza kama ameujua ukweli kwann bado anatetea uongo apo nachoka.kuna mtu nilibisha na nae nikampa maandiko yotee kuusu yesu ndie mungu eehh akasema bible eti ni gazeti ni magugu lkn bado anatoa apo apo maandiko kutoka kwa bible apo nikaona awa jamaaa sio wa kawaida yan anaona lkn anajifanya kipofu awa jamaaa sio wa kawaida aiseeee alafu wabishi sana kama yesu kasema yy ndie njia so Mohammed atawapeleka wp?alafu Mohammed mpka leo ajafika mbinguni na yesu ndie atae mpa Mohammed hukumu sasa wao wanamkataa yesu nauliza akishuka saizi apa wao itakuaje aiseee namuomba mungu sana awafungue ..maana yesu aliyaona aya ndio maana akasema watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa mahalifa
@raphaelkimaro1753
5 жыл бұрын
@@financialloan9818 achana nao. Wanasema Yesu anaomba, anaenda, anasimzia na mengine mengi. Nikawauliza kama allah anaweza kufanya hivyo wakasema hawezi. Kumbe mambo aliyiyafanya Yesu kwa allah ni mtihani. Sasa kama alikuja duniani angetakiwa aweje? Hawana jibu. Nikawauliza ikiwa Muhammad aliwahi kumwona Mungu ama kumsikia wakakosa andiko. Nikawauliza ikiwa biblia si kitabu cha Mungu wanioneshe basi quran imeandikwa na Mungu wakakosa andiko. Nikauliza andiko kwamba Yesu si Mungu wakakosa wanatafutatafuta wapi. Nikauliza abdiko kuwa alah anasema mwenyewe kuwa ni Mungu wakakosa kila andiko wanalogusa ni muhammad anasema na si Mungu. Nikauliza andiko wapi muhammad katumwa na mungu na ni mtume wakakosa maana ni mwandishi wa qurani anayesema muhammad ni mtume wala si mungu anasema. Nikauliza wapi quran inaonesha muhammad alitokwa na uchawi aliokuwa nao wakakosa. Nakauliza ni wapi allah kaumba hata inzi wakakosa. Nikauliza ni wapi Yesu anasema kuwa yeye hatakufa wakakosa. Nikauliza kama muhamad hajuibatavyifanywa nyie mtafanywaje nikagundua hata waadhiri wakubwa wa kiislam ni modern robots kwani wameadvance kwenye ubishi ukiwashinda kwa hoja wanasema takbir alafu wanakimbia. Ukisikia profesa wa kiislam ni yule aliyebobea ujinga na ubishi
@samuelkanyumoo2154
5 жыл бұрын
Financials Loan
@financialloan9818
5 жыл бұрын
@@raphaelkimaro1753 waislam bhana sio watu wa kawaida wngu awa ndugu yngu sio wa kawaida giza zito lipo usoni kwao wanaomba maandiko wakipewa wanakimbia
@terrywatahi1203 Жыл бұрын
Nakuru my place 🥰🥰ahsante kwa ujumbe huu
@shishshikoh49794 жыл бұрын
Hii Quran yenye iliteremshwa na adui wa Gabriel imepoteza wengi...Yesu tuokoe..kumbuka watoto wako wenye bado wamedanganywa katika dini mbali mbali uwaokoe...barikiwa Sana mchungaji
@jamilshisia5929
4 жыл бұрын
Acha kudanganya watu hebu leta hiyo hiyo Aya inayosema kuwa Qur'an ililetwa na adui wa jibrili
@naimaabdallah9491
4 жыл бұрын
@@jamilshisia5929 Quran sineno la Mungu
@jamilshisia5929
4 жыл бұрын
@@naimaabdallah9491 ni la nani basi twambie kupitia kwa maandiko, soma Qur'an 81;25 na pia soma 26;210 acha kupiga mdomo njo na maandiko
@IntelligentCreatures
4 жыл бұрын
@@jamilshisia5929 Qura'n 2:97 Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur´ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
@janetsemahimbo8083
2 жыл бұрын
@@jamilshisia5929 hayo yote muulize huyo mhubiri hapo atakujibu. Si amewaita nimuulize. Na mashehe wote wamepita hawajaja
Huyu sio mzima kwanza quran yenyewe asomo vizur amekalilishwa bila hukum
@derickomoghela99482 жыл бұрын
Mungu ni mkuu sana, yaani yote hiyo ni juhudi za Mungu kutuokoa na adhabu ya milele. Mtakatifu wa Mungu mkuu, Muweza wa Yote, Umetukuka bwana, Utukufu ni wako milele na milele. Amina.
@isackmbwambo4179
Жыл бұрын
Islam = majanga
@annasanjonaombawimbousemao76252 жыл бұрын
Kaka, yohsna ubarkiwe sana na mwenyezi mungu na bwana akutetee sanasana kwakusema ukweli
@whitetigerprincy58822 жыл бұрын
Jamani waislamu njooni kwa Yesu yy ndiye njia ya uzima wa uzima
@mwawekomiuda9779
2 жыл бұрын
Wacha ujinga. Endelea na yesu wako
@lilianluhasi5053
2 жыл бұрын
@@mwawekomiuda9779 ujue ndugu yangu Yesu Yuko kwenye Quran yenu, angalia vizuri
@mwanashagladys45812 жыл бұрын
Aahmen nimejifunza kitu apa barikiwa sana sana pastor
@felixnchimiye70192 жыл бұрын
May the Lord bless you sir for accepting Jesus Christ
@margaretmargaret57442 жыл бұрын
Mmmmmmmmmmh..First of all I gonna appreciate whoever takes his time to upload this useful old episode Many of us takes it for granted But what should come in your mind is that one day we will die because we are human beings So we need to find a right ✅ path to rich our creator 🙏🏼
@abdulhakimhasan7673
2 жыл бұрын
You can't reach the pleasures of your creator with a life of work of evident lies. Please read the Holy koran , while you can in life.
@lucykamangu5030
2 жыл бұрын
Dio nafika huku Leo... Mambo magumu sana
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
@@lucykamangu5030 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🫂Absolutely 💯Think of it darling thanks for coming back on this old clip
@abdulhakimhasan7673
2 жыл бұрын
@@lucykamangu5030Welcome to Islam. The majority christians converting to Islam are women , because of their big sincere hearts.
@lucykamangu5030
2 жыл бұрын
Abulhakim Hassan Nikubali dini ya Majini mwishowe inipeleke jehanamu
@fredlyimo12632 жыл бұрын
😔😔 pole sana kwa wakati wake hat km ilikuwaj nadhani mwenyezi Mungu alikuwa pamoja na wewe namna yoyote, aisee nimetambua mengi kuhusu usilam hakik yapo mambo ya ajabu sana.
@halimaa93672 жыл бұрын
Subhanalha mungu muonkowe huyu kiumbe asipotee ziad ajue dini yakweli inshalha
@halimaa9367
2 жыл бұрын
Weunafanya biashara ya dini subr moto tu wewe umeingia ukrsto kwa masilah yko ya maisha sio din kuitaka
@frenkifrenki4775
Жыл бұрын
Waslam wengi maamuma amjui kusoma vitabu vyenu
@user-mc2xd4eu2p
6 ай бұрын
hivi huyu ndio anamuamni yesu ukristo hausimami bila ya urongo yani ili uwapate waumini wakristo wadanganye kama huyu pasta wa mchongo😢😢😢
Hakuna mtume aliye mungu kumaanisha pia wakristo hawajijui
@navokisembo2 жыл бұрын
Barikiwa Mtumishi wa Mungu aliye hai, ujumbe umefika wenye masikio na wasikie na wenye kusujudu jiwe waendelee fainali wakishakufa.
@mbuerecarlos13962 жыл бұрын
Ushuuda wako umetufungua masho saana Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo akutie nguvu na akufunulie zaidi na zaidi wewe umekuwa Paulo alipokutana naYesu ingawa hukufanana na Sauli kwa matendo Yesu amekuita kwa njia tofauti. Nimevutiwa na ushuuda wako utawaokoa wengi na Bwana akutie nguvu na familia yako.Amina.
@wazirisaid8326
2 жыл бұрын
Mbuere Carlos Kumbe Kuna Mungu wa bwana Yesu! Kumbe Yesu sio Mungu! Nilikuwa Sijui umenipa elimu nzuri tuwafahamishe na wengine wanaosema Yesu ni Mungu waelewe ukweli huu.
@nellyk25602 жыл бұрын
Yesu ndie njia .. na yoyote ampatae atapata uzima wa milele. Amen
@MmM-dl9yl
Жыл бұрын
Amen
@MmM-dl9yl
Жыл бұрын
Amen
@danielelnestngimba55165 жыл бұрын
WAISLAM KWELI NI MAROBOTI, HAWAJITAMBUI
@godfreychailo3800
5 жыл бұрын
Kweli
@jamilshisia5929
4 жыл бұрын
Wewe hujui unachosema
@erickangima970 Жыл бұрын
Karibu kwa mwangaza ndugu yangu. Mungu azidi kukupa afya uihubiri Injili
@donudonu2.r2 жыл бұрын
Ukitaka kumshinda Mwislamu lazima utumie aliyesoma sana elimu ya Uislamu akawa mlumbi kwenye hii kitu akamgeukia Yesu Kristo. Wanaelewa sana kuwa kuna waislam binadamu na waislamu majini. Wao wanasema kuna majini wema na wabaya. Wao waislamu wanasema huwa wanaswali na majini wazuri. UWE MAKINI hakuna shetani wazuri au wabaya. WOTE NI WABAYA.
@ramadhanilukambuzi9760
2 жыл бұрын
Ww uwezo wako wa kufikri ni mdogo sana
@jannyrose5367
2 жыл бұрын
Kweli,injili itafikia kila mmoja,uamuzi Ni binafs mi nimeamua YESu kristo mwenye uwezo WA kukifungua kitabu Cha uzima na mihuri yake saba 🙏
@ramadhanilukambuzi9760
2 жыл бұрын
Mkristo anaweza kumshinda Muislamu kwa kupandisha sauti na kupiga kelele lakini haimanishi Ukristo ndiyo dini ya haki kutoka kwa Mwenyezi Mungu;Msomi yeyote yule duniani anaye pindisha maana ya kitu huyo anakuwa sio Msomi bali tunamutambua kama mpotoshaji,hata Uislamu ukibaki bila mtu au watu wote wahamie dini zingine;Uislamu unabaki pale pale ukiwa ni dini Ya Mwenyezi Mungu!
@ramadhanilukambuzi9760
2 жыл бұрын
@@jannyrose5367 Hayo ni maneno yako;Injili kilikuwa ni kitabu kwa ajili ya wana wa Israel kipindi cha Yesu;hivi sasa ni wakati wa Quruani mpaka siku ya malipo.
@jannyrose5367
2 жыл бұрын
@@ramadhanilukambuzi9760 keti hapo! Sikio la kufa haliskii Dawa wewe Lukambuzi 🤔
@thulaniduku32182 жыл бұрын
Kama ulisoma Dini mbona unasoma Quran iyo makosamakosa iyvo? Acha utapeli Aliyo somi Quran asomi ivyo Makosamakosa iyvo
@user-tk2ml1fn9e Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi Kwa hiyo knowledge
@khalidabu5259 Жыл бұрын
Mtumishi dacha next video naeza pata wapi
@rubenorangi93142 жыл бұрын
May God bless his people Amen!
@t7zkc5tpxgim284 жыл бұрын
AMEN, Mungu akubariki sana
@abdisalamjamal21282 жыл бұрын
Huyu jamaa amechanganyikiwa Hana lolote anahitaji ushauri na nasaha
@maryamayitsa61812 жыл бұрын
Mungu nimkubwa, nilikua nautamani uwislamu mungu amekuleta kwa wakati unaofaa,
@abdulhakimhasan7673
2 жыл бұрын
Haya ni maneno na matamanio ya shetani.
@nellyk2560
2 жыл бұрын
My friend usiache yesu alie kuahidia uzima uwende kwa Muhammad mtumwa wa shetani
@abdulhakimhasan7673
2 жыл бұрын
@@nellyk2560Wacha maneno yako ya kishetani , Mtume Mohamed amepewa na Mungu koran takatifu , kutufundisha heshima na adabu ni sawa na tabia ya Yesu kristo. Tofauti na tabia yako ya matusi na aibu ya mafunzo ya dini kasoro.
@selestinealfonce84665 жыл бұрын
asante sana bwana kibavu
@user-mc2xd4eu2p6 ай бұрын
Hivi wakristo mnafikiria kutumia kiungo gani yani mpo kwenye upofu wa kiwango cha juu mnatumia nguvu nyingi kusambaza porojo mtihani kweli😢
@junicnamuwenge6957 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏🔥🔥🤭🤭😰😰 mungu awasaetiye sana waisramu
@elijahchegere49742 жыл бұрын
Huyu ni zaidi ya mashehe wote kenya nzima hakuna kama yohana kwa mashehe wote kenya nzima kataa au kubali
@muhammadmuhaznun380
2 жыл бұрын
Hakuna kitu anajua huyo....masheikh zetu wawalinganisha na Mtu kama huyo Mungu akubakishe huko huko...wee njaa inakusumbua
@whitetigerprincy5882
2 жыл бұрын
mbona nyie vijwa ngumu jamanii njoo kwa yesu
@mwawekomiuda9779
2 жыл бұрын
@@whitetigerprincy5882 yesu si wako ww mfyate kwani haitoshi kumfyata mungu alietahiriwa badooo!
@user-mc2xd4eu2p
6 ай бұрын
Sio kwa Matango pori haya unayowalisha vipofu 😂😂😂
@pascalkaralo1367 Жыл бұрын
Mtumishi ujumbe huo ndo unapaswa kutolewa kwa kipindi hiki ili watu wasiendelee kutumbukia ktk dimbwi hili kubwa la upotevu,paza sauti yako kama tarumbeta wahubiri watu Wa Mungu kosa lao.
@whitetigerprincy58822 жыл бұрын
Be blessed much mtushi wa mungu
@raphaelkimaro17535 жыл бұрын
Mimi ndio huwaambia waislam kama kunawaabudu sanamu wakubwa si wwngine ni waislam. Maana mpaka huku africa mashariki wanasijudu kugeukia jiwe jeusi
@zubedamachano4088
4 жыл бұрын
Huyu iyo Quran hajui hata kusoma unafikiri Nini inasomwa ivo hujui panapo shada Wala sekne mnapotoshwa tuu mnaijua dini ya waislam vizurii tutakutana siku yakiama Kisha njoo seme hayo maneno mbele ya mungu msiba huo😀
@salimalmahrizi395
4 жыл бұрын
NAPENDA KUKUELIMISHA SABABU WAISLAMU WANAELEKEA jiwe jeusi lililokuwa MAKKAH. waislamu waliamrishwa na Allah SUBHANAHU WATAALA KUWA POPOTE WATAKAPOKUWA KWENYE SALA basi waelekee KIBLA ambayo ndiko lilipo jiwe jeusi,HIYO PEKE YAKE INAONYESHA VIPI waislamu wanamtii na kumfuata ALLAH anavyowaamrisha, Kwa kuelekea mahali pamoja kumefanya nidhsmu nzuri wakati wa IBADA ,lau isingekuwa tunaelekea sehemu moja UNGEKUTA WATU WAKO KAMA SOKONI WENGINE WANAELEKEA KUSINI WENGINE KASKAZINI WENGINGINE MASHARIKI NA WENGINE MAGHARIBI.
@naimaabdallah9491
4 жыл бұрын
@@salimalmahrizi395 🤣🤣🤣🤣yani hata mtt mdogo anakili yani mnatazama jiwe liliko ndio mswali😂😂😂😂😂haki nyie mnabudu jiwe jeusi
@salimalmahrizi395
4 жыл бұрын
badilisha jina hupendezi na hilo jina na unayoyasema .hakuna Muislamu hata mmoja anaeabudu jiwe jeusi ingia msikitini tafuta jiwe jeusi piga picha unitumie ,wacha fitna za shetani,
@naimaabdallah9491
4 жыл бұрын
@@salimalmahrizi395 mbona mnageukiaga maka mkitaka kusali
@peterkihongosipeterkihongo11542 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi wa Yesu unapatikanaje?
@chanokhchannel25903 жыл бұрын
Nimeelimika Sana Biblia ahsante wainjilisti wetu twawaombea Sana
@masungwasalumu12784 жыл бұрын
Soma Qruan11;13 ujitasmin mwislam uko upande gani kwa Mungu au kwa shetani
@ramadhanilukambuzi9760
2 жыл бұрын
Sasa hapo unamaanisha nini ww?
@samwelmwasomola24572 жыл бұрын
Barikiwa ukimwamini Yesu,unakuwa mtoto wake.
@innocentndikumana8928
2 жыл бұрын
Wapi yesu akasema nimutoto wamungu upotevu kabisa
@richardmbafu1627
2 жыл бұрын
@@innocentndikumana8928 siola lazima kujibu
@alliyrubea5731 Жыл бұрын
Ww unajiandalia mdahalo mwenyewe,unajisemea mwenyewe kwa maeneo wasipokuwepo wajuzi si ulishindwa kujibu hoja mdahalo wa Dar
@princeyonner80362 жыл бұрын
Ubalikiwe sana mtumishi wa MUNGU
@leadyl57572 жыл бұрын
mungu akuonze sana ndugu.
@gigxjr9754 Жыл бұрын
Yesu ni wa Ajabu,mutu akifa ataishi,apana sasa Yesu kristo alikufa na Leo yuko hai akiwa yipo mbinguni
@leadyl57572 жыл бұрын
Amen amen🙌🙌
@user-mc2xd4eu2p6 ай бұрын
Mnatumia nguvu nyingi sana kutangaza ukafiri😂 msiba huu
@elizabethsidi55742 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂ukimuona mwenzio ananyolewa basi kitie maji upesi kichwa chako ,kwaani nawe utanyolewa kama alivyonuolewa mwenzio😂😂😂😂😂😂😂😂 allahu wakbaru paa.
@edwinkaris96022 жыл бұрын
Hii testimony imenibless sana., i'll share what ive learnt with muslims, I am ready to meet resistance but ukweli ntawapea ndo wapate chance ya kumake the right decisions
@ambrosiamlinga8402
2 жыл бұрын
Ingia KZread wasikilize hawa ili wakusaidie kuijua vizuri dini ya kiislam 1. Abdul Sameer 2. Apostate Prophet 3. David Wood 4. Somalli Christian TV 5. Christian Prince 6. Sister Khadija 7. Zara Kay 8. El Fadi 9. Sam Shamoun 10. Hatun Tashi 11.Nabeel Quresh
@edwinkaris9602
2 жыл бұрын
@@ambrosiamlinga8402 nataka uchallenge hii information aliotoa Kibavu hapa...point by point, ndo tukisema Kiisalamu ni religion iko bound na shetani kuna sababu zinazo support,huwa ni kuongea ukweli ndo ukweli iliberate watu
@faithfultoyeshua4576
2 жыл бұрын
@@ambrosiamlinga8402 na father zakaria
@user-mc2xd4eu2p
6 ай бұрын
😂 hiyo Quran unavosoma Hawa makafiri tolii Sana 😅😅
@user-mc2xd4eu2p
6 ай бұрын
Hiyo quran aisee unavoisoma kama umekunywa gongo 😂😂
@exseviangaeje11582 жыл бұрын
Ndio maana wanatumia nguvu kubwa kuficha ukweli kweli yesu ni njia ya uzima wa milele
@rwagasunzuibrahim8514
2 жыл бұрын
Huo mujinga muongo umesema umesoma miaka misaba na kusoma Qor'an haujuwi laanatullah ilaka
@faithfultoyeshua4576
2 жыл бұрын
@@rwagasunzuibrahim8514 lugha yako inasema kitu unachokiabudu
@nicolastitus5682 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi
@wilsonlameck40462 жыл бұрын
Yesu amekuja ili wale waliovipofu wapate kuona na wale wanaoona wapate kuwa vipofu!
@tabbygocho4127 Жыл бұрын
I will share to my musilam brother and sister 😢 juu they don't know
@fadhilimmbwambo45665 жыл бұрын
Nafurahi sana kusikia hiii yesu asante kwa kunikomboa waislamu yesu anawapenda karibuni
@jamilshisia5929
4 жыл бұрын
Yesu hata wewe hakujui na walah hatawahi kutambua
@monicabh1668
2 жыл бұрын
Waislamu njooni kwa YESU anawapenda
@baya7067
2 жыл бұрын
Waislam njooni kwa yesu mfalme wa amani jiwe la pembeni alfa na omega atawaokoa atawasamehe na mutaurithi uzima wa milele
@mohamdmohamd4842
Жыл бұрын
Yesu alikuwa MUISILAMU .. Sio Mkristo.. Hakuna Dini ya KiKristo ni UPAGANI.
@mohamdmohamd4842
Жыл бұрын
@@baya7067 ..Alfa Omega.. na Halafu Yesu Akafariki..hiyo Alfa na Omega Ndio umemaanisha Nini..Yesu Alikufa hakuna Alfa wala Omega.
@mkanulamajid500 Жыл бұрын
Njaaa ikiingia Hadi kwenye ubongo ni balaaaa 😂😂😂😂
@barackamosi4116
Жыл бұрын
Wewe nimjinga acheni kufyata mikumbo hata vitabu hamjuwi njoonu kwa YESU
@mkanulamajid500
Жыл бұрын
@@barackamosi4116 ahsante sana
@Faheem_-001
Жыл бұрын
Ukwelii sasa ashakuwa mchungaji kivipi.....mtu iman yake ikiisha si akae
@hamissimnubi96452 жыл бұрын
amen amen unanibariki sana
@profs.a54123 жыл бұрын
Kwa waislam wa sasa hata muhammad aje saiv , awambie mimi niliwapoteza njia ya kweli ni kumfuata Yesu , bado watapinga tu🤣🤣🤣🤣
@suzanaagustinookelo4953
3 жыл бұрын
Mioyo migumu aiseee
@yussuphsultan1400
2 жыл бұрын
Laiti mngejua huyu jamaa anachoongea ni matakwa yake, kwa mfano anarukaruka haya kupata anachohitaji, na watu mnamsikiliza na kumfuata, msikilizeni akiwa anapigwa na kina Kinyogoli
@yussuphsultan1400
2 жыл бұрын
Ety janaba ni mbegu za uzazi? Ni hali inayotokana na kuingiliana kimwili baina ya tupu mbili, hata kama mbegu hazikutoka?
@irenekaluse3501
Жыл бұрын
Kweli kabisa hawamkubali Yesu kwakuwa ni moto kwa majini yao
@barackamosi4116
Жыл бұрын
YESU ndo mambo yote
@mkanulamajid500 Жыл бұрын
Muongo ata kutamka herufi hajui 😂😂😂😂😂😂
@fredlyimo12632 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akutie nguvu na kuendelea kuongoza vema, ila tu usiwadhihak maana Mungu apend ni km kuchukua hukum mkononi na ni vile umesoma BIBLIA TAKATIFU unatambua jinc gani Mungu amatukanya kuhukumu na hisitoshe wapo wazazi uko katika uislamu ivyo ndy maana kuwaombea wote, haijalishi ni wa dini au wakristo thawabu zipo hapo.
@iddihassan26772 жыл бұрын
Umeuza dini yako kwa kupewa gari na kiwanja umeamuwa kusilimu
@khamicsaidichuga17612 жыл бұрын
Mmmmhhhh hiyo quran unayosoma sijui umefundishwa wapi Yani unaisoma hovyo Kabisa 🥺
@rachelfrancis94402 жыл бұрын
Injili ya bwana isonge mbelee
@doctersalmini97042 жыл бұрын
Wew kafiri kwel hata kusoma halijui eti umesoma Qur an duhh mungu akuongoze ewe kafiri
@ambarnelly63042 жыл бұрын
Alhamdulillah lah mungu anawatenga nisha wanafiki na walio muamini yy mungu atupe mwisho mwema kwa hakuifanya dunia ispokuwa ni starehe ya muda mfupi
@yaedlifemedia3203
2 жыл бұрын
Huyu jamaa adhabu yake kufa hana akili au katumwa kuuchafua uislam
Nimekufahamu Ambar Nelly , kuwa Yohana omari ni mwongo na mnafiki.
@frenkifrenki4775
Жыл бұрын
Ivi nyie mnaakili kweli nyie mnafikiri vitabu vyenu inajua usoma wenyewe tu nyie maamua tu amjui chochote
@RIO-jf9mo
Жыл бұрын
@@frenkifrenki4775 hao ni mafala tu ...kiarabu si lugha Yao ... Hawaelewi lolote
@shurlaally16862 жыл бұрын
Kutojiewa na utunguvu wa elimu ya Allah aliyopelekea manabii
@barackamosi4116
Жыл бұрын
Wewe ndo bado hujielewi njoo kwa YESU acha kufuga majini
@junicnamuwenge6957 Жыл бұрын
Amina 👏👏🙌🙌🙏🙏🔥🔥🥰🥰
@keithmwambungu66252 жыл бұрын
Niko kerege bagamoyo nakuitaji mzee by pastor keith
@jolemerci21552 жыл бұрын
Asante kutujuza mengi nauliza maana ya udi ao faida ya udi ao ubani in maana gani ? Nakufata toka omani
@fardoshnassor78472 жыл бұрын
Subhan Alla 😢
@ramadhanmahongole56632 жыл бұрын
Et Mwaipopo anamuacha yesu anakimbilia dini ya jehannam ya uislamu loo!!
@sarmajid8603
2 жыл бұрын
Story hizo mnazipenda sana wakristo,ushuhuda wa nimekutana na Yesu lilishachuja.
@mumberemusavuli96302 жыл бұрын
Nyinyi nyote nikitu moja uslamu naukristo nikuaribu hakili za watu
@user-mc2xd4eu2p6 ай бұрын
Ukristo bila ya uongo hausimami na kuna watu eti wamaamini porojo hizi fanyeni utafiti mjue kama anayosema yana hata chembe ya ukweli huu ni uwongo jitu zima linaongea uwongo hlf eti linahubiri mtihani sana
@ronaldhelmott8379
3 ай бұрын
Ww mzee mtafute Mungu uko ulipo hapana asubuhi ndg yangu.
@muhammadmuhaznun3802 жыл бұрын
Ati dhaalika ni kile 😂😂😂😂😂😂 na tilka itakua nn?????dhaalika ni hichi sio kile wew hujui kitu....nenda kasome vizuri alafu uje udanganye wenzio....
@rahmahussein4288
Жыл бұрын
Anadanganya na wannodanganywa icho kiarabu hawakijui😂😂eee Mungu wahirumie watu wako, huyu mtu aliandaliwa kabisaaa
@ezekielmurimi6874
Жыл бұрын
dhalika. ﺫَﻟِﻚَ that - masculine singular. The Arabic word ﺫَﻟِﻚَ means that. It is pronounced dhalika.
@ezekielmurimi6874
Жыл бұрын
Kuwa mkweli bwana.
@yaedlifemedia32032 жыл бұрын
Njaa mbaya sana
@yussufkhamis354 Жыл бұрын
Laqd qaala lakum na sio laqad lakum , kiarabu bado hujakijua vizuri
@margaretmargaret57442 жыл бұрын
The fact that shivachi isn't awesome soul to me But am happy the way he say " Amin Amin Amin Amin Amin Amin Amin Amin Amin @shivachi killed me !Aha ha ha 😂🤣😆Awwww made tears 😢🤣up mmmh really 🤣acting his part like a comedian 🤣 I'm so excited for this episode..oh my goodness can I get part Two of this Mr Yohana
@mwanashagladys4581
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣hahaha
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
@@mwanashagladys4581 I have a Question for you about the bible study 📖🤔How many years did The children of 🇮🇱🇮🇱israelites wander in the 🏜🏝🏜🏝🏜Desert 🏜😉??¿¿¿And why Noah saved the animals instead of people in the Ark
@marthabowen9618
2 жыл бұрын
We umwisilamuu
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
@@marthabowen9618 What kind of temptations is this 😳This is heartbreaking 💔and also annoying mmmmmmmmmmh in fact a senseless Question Awwww
@marthabowen9618
2 жыл бұрын
@@margaretmargaret5744 no question is senseless... Wanted to know because you made fun out of the whole thing.....meanwhile it doesn't matter
@ashurantunzwenimana5975 Жыл бұрын
Barikiwa na BWANA 🙏
@rosemutinda46715 жыл бұрын
Waoh!!nimefurahi kuona Huyu mchungaji wa TZ Kenya. Huwa nafuatilia mikutano yake lakini sijawai jua in WA SDA
@mussajoshua1261
5 жыл бұрын
Ndio ni sda
@adalbertkatabaro153
2 жыл бұрын
Sio mchungaji ni mwinjilisti kwenye kitengo cha AMR
Пікірлер: 696
Mungu akubariki na akuongoze mtumishi HIYO ELIMU ULISOMA KWA UISLAMU ,MUNGU ALIRUHUSU USOME ILI UWAFUNUE MACHO WENGI AMBAO WAMEPOTELEA KWA UISLAMU . KILA KITU HUTENDEKA KWA MAPENZI YA MUNGU.
Mhubiri huyu alihuburi hapa kwetu Sima Bariadi,hakika aliwabariki Sana watu,Mungu akubariki.
Magumu Yesu wetu ni Bwana kabisa,Mungu akubariki Yohana🙏
@HusseinGabu-wr3xh
10 ай бұрын
Yesu hawezi kuwa mungu we pimbi maji mungu gabi anaetoka kwenye utupu wa mwanamke
Mtumishi Mungu akubariki songa mbele taji inakungoja. Yaani umenitia moyo.
Ubarikiwe mtumishi Karibu kwa yesu mwokozi wa ulimwengu
@unknownafrica5568
2 жыл бұрын
Yesu ni muislam ila binadam kwa maslahi yao wane fanya biashara kwani mitume wote ni ndugu mzungu alibadilisha mitume kua wakristo kama ayob musa we brahim ndio katokea irag
This is quite impressive and a wonderful message of the third angels
@paulmalagila4152
2 жыл бұрын
Aiseeewe mzee
Hakika Yesu Kristo ni mwokozi wa wote karibuni ndugu zetu waislam kwa Yesu Kristo
@ridhiwaniswaleh7878
2 жыл бұрын
Yesu alipewa kipigo mpaka watu wakamuua tena kifo cha kuzalilika kabisa mpaka akaanza kulalamika kua Mungu wake amemuacha, tumieni akili zenu vizuri nyie makafiri.
@mcndege9724
6 ай бұрын
@@ridhiwaniswaleh7878ww sio mwislamu wakubali yesu kafa😂😂 inalilai.. maliza?
Waislamu njoon kwa Yesu mpate uzima wa milele acheni ubishi Yesu ndo kila kitu
@edigamwalongo1913
4 жыл бұрын
hongera sana mtumish
@katherinasamwel3937
2 жыл бұрын
@@rashidseif6095 Rashid Seif usijidanganye YESU ndio njia ya kweri na uzima sasa wewe kaatu huko kwenye uislamu wako Ila siku ya mwisho mtalia na kusaga Meno
@rahmahussein4288
Жыл бұрын
Jesus peace be upon him tunamuamin sana, ila nyinyi hamuamin alokuja nayo, njoon katika uislamu, acheni kudanganywa, someni kiarabu mukielew then mumsikilize uyo jamaa, anaboronga kabisa
@alzawahirabdallah2299
Жыл бұрын
Nitakuja ukinipa andiko ukiristo ni dini nipe andiko moja tu kutoka kwenye biblia yako
@SafiaAdan-ws8bw
3 ай бұрын
Yesu yupi
Kwa Yesu kila got litapigwa ,anatuandalia makao ili yeye alipo nasis tuwepo Alituachia Roho mtakatifu tuombee wagonjwa wapone tuzungumze na yeye hayupo mbali yupo karibu sana kuliko mavazi tunayovaa Karibuni Kwa BwanaYesu wapendwa anawaita kwa sauti ya upole enyi waislamu Mungu wetu ni wa Upendo.
Aminaa Mtumishi wa Mungu Yohana omar umechagua fungu jema jehanam haitakupata maana umempata YESU Kristo Mtenda Miujiza wetu anatosha
Ubarikiwe mwalimu Yohana
Mungu akubariki sana, ww umepona moto wa Jehanamu...
Ubarikiwe sana Ndugu mpendwa katika Christo Yesu wetu. Umepata neema kutoka hukwo ubarikiwe
Hongera wakristo mna roho ya Amani kwa wote,ndugu zetu Waislamu wana mabishano na hasira aki
@emanuelkitiku690
Жыл бұрын
Waisilam okokeni mpate uzima wamilele
Yohana Omary Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa elimu ya kiroho kwa watu wote.
Yesu Kristo ndo kila kitu,, nyie waislaamu mkataeni tu ila siku za mwisho atawanyosha tu... Wooote Jehanaumu...na mtume wenu wa Uongo.. Njooni kwa Bwana Yesu yeye habagui acheni ubishi.. Wenu...Hata samaki akiwa majini na ukamwambia kuna nchi kavu anabishaga, lakin ukimvua anasema aaa kumbe...!!!!
@rahmahussein4288
Жыл бұрын
Atasema aa kumbe ila atakufa
very detailed information...good work good testimony
waislamu kote duniani washindwe na walegee katika jina la YESU kristo mwana wa MUNGU aliye hai
@muhammadmuhaznun380
2 жыл бұрын
Badilisha Jina pia
Ameeen mtumishi wa Mungu nimefarijika sana
Sina la kusema zaidi tu ya kusema amina Mungu akubariki sana
who is still here this is good message may God bless him and all listeners
Mtumishi wa mungu, ubarikiwe sana naomba uendilezi.
@sophiamakani6133
2 жыл бұрын
Yesu anaweza sifa kwa mwenyezi mungu
Good Testimony. Be bless my brother
You did marvelous,ndacha may God bless you
😂😂😂😂😂😂ndio maana baba angu akakimbia uko maana alikumbuka kukamuliwa ushuzi akaona apaa apafai ngoja amtafute yesu sasa mpaka mkono unaingia mkunduni😂😂😂😂😂😂😂😂💃💃💃💃💃apana aiseee alafu wanasafisha maiti ivyo ili funza wakafaidi uko kaburini...mambo mazitoo sana ndio maana waislam roho zao ngumu
@raphaelkimaro1753
5 жыл бұрын
Hata wao wanajua kabisa kibavu asema kweli achana na huyi anayesema eti "kibavu anadanganya" amesahau wakristo tunasoma na hatusema. Tunasoma kitu ndio tunasema sinkama wao wanasema tu bila kusoma inamaana wanasema wasichosoma. Mimi mwenyewe walitaka kunivuta alkini baadae nikagundua naingia jehannam nilipotoka amani ikanirudia hadi leo Mungu ni mwema
@financialloan9818
5 жыл бұрын
@@raphaelkimaro1753 alafu nacho choka kubishana na waislam anaomba andiko ukimpa anakimbia umuoni tenaa sasa najiuliza kama ameujua ukweli kwann bado anatetea uongo apo nachoka.kuna mtu nilibisha na nae nikampa maandiko yotee kuusu yesu ndie mungu eehh akasema bible eti ni gazeti ni magugu lkn bado anatoa apo apo maandiko kutoka kwa bible apo nikaona awa jamaaa sio wa kawaida yan anaona lkn anajifanya kipofu awa jamaaa sio wa kawaida aiseeee alafu wabishi sana kama yesu kasema yy ndie njia so Mohammed atawapeleka wp?alafu Mohammed mpka leo ajafika mbinguni na yesu ndie atae mpa Mohammed hukumu sasa wao wanamkataa yesu nauliza akishuka saizi apa wao itakuaje aiseee namuomba mungu sana awafungue ..maana yesu aliyaona aya ndio maana akasema watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa mahalifa
@raphaelkimaro1753
5 жыл бұрын
@@financialloan9818 achana nao. Wanasema Yesu anaomba, anaenda, anasimzia na mengine mengi. Nikawauliza kama allah anaweza kufanya hivyo wakasema hawezi. Kumbe mambo aliyiyafanya Yesu kwa allah ni mtihani. Sasa kama alikuja duniani angetakiwa aweje? Hawana jibu. Nikawauliza ikiwa Muhammad aliwahi kumwona Mungu ama kumsikia wakakosa andiko. Nikawauliza ikiwa biblia si kitabu cha Mungu wanioneshe basi quran imeandikwa na Mungu wakakosa andiko. Nikauliza andiko kwamba Yesu si Mungu wakakosa wanatafutatafuta wapi. Nikauliza abdiko kuwa alah anasema mwenyewe kuwa ni Mungu wakakosa kila andiko wanalogusa ni muhammad anasema na si Mungu. Nikauliza andiko wapi muhammad katumwa na mungu na ni mtume wakakosa maana ni mwandishi wa qurani anayesema muhammad ni mtume wala si mungu anasema. Nikauliza wapi quran inaonesha muhammad alitokwa na uchawi aliokuwa nao wakakosa. Nakauliza ni wapi allah kaumba hata inzi wakakosa. Nikauliza ni wapi Yesu anasema kuwa yeye hatakufa wakakosa. Nikauliza kama muhamad hajuibatavyifanywa nyie mtafanywaje nikagundua hata waadhiri wakubwa wa kiislam ni modern robots kwani wameadvance kwenye ubishi ukiwashinda kwa hoja wanasema takbir alafu wanakimbia. Ukisikia profesa wa kiislam ni yule aliyebobea ujinga na ubishi
@samuelkanyumoo2154
5 жыл бұрын
Financials Loan
@financialloan9818
5 жыл бұрын
@@raphaelkimaro1753 waislam bhana sio watu wa kawaida wngu awa ndugu yngu sio wa kawaida giza zito lipo usoni kwao wanaomba maandiko wakipewa wanakimbia
Nakuru my place 🥰🥰ahsante kwa ujumbe huu
Hii Quran yenye iliteremshwa na adui wa Gabriel imepoteza wengi...Yesu tuokoe..kumbuka watoto wako wenye bado wamedanganywa katika dini mbali mbali uwaokoe...barikiwa Sana mchungaji
@jamilshisia5929
4 жыл бұрын
Acha kudanganya watu hebu leta hiyo hiyo Aya inayosema kuwa Qur'an ililetwa na adui wa jibrili
@naimaabdallah9491
4 жыл бұрын
@@jamilshisia5929 Quran sineno la Mungu
@jamilshisia5929
4 жыл бұрын
@@naimaabdallah9491 ni la nani basi twambie kupitia kwa maandiko, soma Qur'an 81;25 na pia soma 26;210 acha kupiga mdomo njo na maandiko
@IntelligentCreatures
4 жыл бұрын
@@jamilshisia5929 Qura'n 2:97 Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur´ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu, inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
@janetsemahimbo8083
2 жыл бұрын
@@jamilshisia5929 hayo yote muulize huyo mhubiri hapo atakujibu. Si amewaita nimuulize. Na mashehe wote wamepita hawajaja
Wewe huache kudaganyana nyinyi niwale mumenunuliwa na parstar muchafue (uwisilammu) .
@yaedlifemedia3203
2 жыл бұрын
Huyu sio mzima kwanza quran yenyewe asomo vizur amekalilishwa bila hukum
Mungu ni mkuu sana, yaani yote hiyo ni juhudi za Mungu kutuokoa na adhabu ya milele. Mtakatifu wa Mungu mkuu, Muweza wa Yote, Umetukuka bwana, Utukufu ni wako milele na milele. Amina.
@isackmbwambo4179
Жыл бұрын
Islam = majanga
Kaka, yohsna ubarkiwe sana na mwenyezi mungu na bwana akutetee sanasana kwakusema ukweli
Jamani waislamu njooni kwa Yesu yy ndiye njia ya uzima wa uzima
@mwawekomiuda9779
2 жыл бұрын
Wacha ujinga. Endelea na yesu wako
@lilianluhasi5053
2 жыл бұрын
@@mwawekomiuda9779 ujue ndugu yangu Yesu Yuko kwenye Quran yenu, angalia vizuri
Aahmen nimejifunza kitu apa barikiwa sana sana pastor
May the Lord bless you sir for accepting Jesus Christ
Mmmmmmmmmmh..First of all I gonna appreciate whoever takes his time to upload this useful old episode Many of us takes it for granted But what should come in your mind is that one day we will die because we are human beings So we need to find a right ✅ path to rich our creator 🙏🏼
@abdulhakimhasan7673
2 жыл бұрын
You can't reach the pleasures of your creator with a life of work of evident lies. Please read the Holy koran , while you can in life.
@lucykamangu5030
2 жыл бұрын
Dio nafika huku Leo... Mambo magumu sana
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
@@lucykamangu5030 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🫂Absolutely 💯Think of it darling thanks for coming back on this old clip
@abdulhakimhasan7673
2 жыл бұрын
@@lucykamangu5030Welcome to Islam. The majority christians converting to Islam are women , because of their big sincere hearts.
@lucykamangu5030
2 жыл бұрын
Abulhakim Hassan Nikubali dini ya Majini mwishowe inipeleke jehanamu
😔😔 pole sana kwa wakati wake hat km ilikuwaj nadhani mwenyezi Mungu alikuwa pamoja na wewe namna yoyote, aisee nimetambua mengi kuhusu usilam hakik yapo mambo ya ajabu sana.
Subhanalha mungu muonkowe huyu kiumbe asipotee ziad ajue dini yakweli inshalha
@halimaa9367
2 жыл бұрын
Weunafanya biashara ya dini subr moto tu wewe umeingia ukrsto kwa masilah yko ya maisha sio din kuitaka
@frenkifrenki4775
Жыл бұрын
Waslam wengi maamuma amjui kusoma vitabu vyenu
@user-mc2xd4eu2p
6 ай бұрын
hivi huyu ndio anamuamni yesu ukristo hausimami bila ya urongo yani ili uwapate waumini wakristo wadanganye kama huyu pasta wa mchongo😢😢😢
Praise God Brother shivachi..I see you darling ❤
Safi sana 'YESU' yupo kazini!
@assumanemilongo989
2 жыл бұрын
This gay is very layer IS A BEST LAYER
Pole sana ndugu yangu tena sana sana
@barackamosi4116
Жыл бұрын
Wewe unae mtegemea muhamadi umepotea mwenzako amesha okoka tayali
@Faheem_-001
Жыл бұрын
Hakuna mtume aliye mungu kumaanisha pia wakristo hawajijui
Barikiwa Mtumishi wa Mungu aliye hai, ujumbe umefika wenye masikio na wasikie na wenye kusujudu jiwe waendelee fainali wakishakufa.
Ushuuda wako umetufungua masho saana Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo akutie nguvu na akufunulie zaidi na zaidi wewe umekuwa Paulo alipokutana naYesu ingawa hukufanana na Sauli kwa matendo Yesu amekuita kwa njia tofauti. Nimevutiwa na ushuuda wako utawaokoa wengi na Bwana akutie nguvu na familia yako.Amina.
@wazirisaid8326
2 жыл бұрын
Mbuere Carlos Kumbe Kuna Mungu wa bwana Yesu! Kumbe Yesu sio Mungu! Nilikuwa Sijui umenipa elimu nzuri tuwafahamishe na wengine wanaosema Yesu ni Mungu waelewe ukweli huu.
Yesu ndie njia .. na yoyote ampatae atapata uzima wa milele. Amen
@MmM-dl9yl
Жыл бұрын
Amen
@MmM-dl9yl
Жыл бұрын
Amen
WAISLAM KWELI NI MAROBOTI, HAWAJITAMBUI
@godfreychailo3800
5 жыл бұрын
Kweli
@jamilshisia5929
4 жыл бұрын
Wewe hujui unachosema
Karibu kwa mwangaza ndugu yangu. Mungu azidi kukupa afya uihubiri Injili
Ukitaka kumshinda Mwislamu lazima utumie aliyesoma sana elimu ya Uislamu akawa mlumbi kwenye hii kitu akamgeukia Yesu Kristo. Wanaelewa sana kuwa kuna waislam binadamu na waislamu majini. Wao wanasema kuna majini wema na wabaya. Wao waislamu wanasema huwa wanaswali na majini wazuri. UWE MAKINI hakuna shetani wazuri au wabaya. WOTE NI WABAYA.
@ramadhanilukambuzi9760
2 жыл бұрын
Ww uwezo wako wa kufikri ni mdogo sana
@jannyrose5367
2 жыл бұрын
Kweli,injili itafikia kila mmoja,uamuzi Ni binafs mi nimeamua YESu kristo mwenye uwezo WA kukifungua kitabu Cha uzima na mihuri yake saba 🙏
@ramadhanilukambuzi9760
2 жыл бұрын
Mkristo anaweza kumshinda Muislamu kwa kupandisha sauti na kupiga kelele lakini haimanishi Ukristo ndiyo dini ya haki kutoka kwa Mwenyezi Mungu;Msomi yeyote yule duniani anaye pindisha maana ya kitu huyo anakuwa sio Msomi bali tunamutambua kama mpotoshaji,hata Uislamu ukibaki bila mtu au watu wote wahamie dini zingine;Uislamu unabaki pale pale ukiwa ni dini Ya Mwenyezi Mungu!
@ramadhanilukambuzi9760
2 жыл бұрын
@@jannyrose5367 Hayo ni maneno yako;Injili kilikuwa ni kitabu kwa ajili ya wana wa Israel kipindi cha Yesu;hivi sasa ni wakati wa Quruani mpaka siku ya malipo.
@jannyrose5367
2 жыл бұрын
@@ramadhanilukambuzi9760 keti hapo! Sikio la kufa haliskii Dawa wewe Lukambuzi 🤔
Kama ulisoma Dini mbona unasoma Quran iyo makosamakosa iyvo? Acha utapeli Aliyo somi Quran asomi ivyo Makosamakosa iyvo
Ubarikiwe sana mtumishi Kwa hiyo knowledge
Mtumishi dacha next video naeza pata wapi
May God bless his people Amen!
AMEN, Mungu akubariki sana
Huyu jamaa amechanganyikiwa Hana lolote anahitaji ushauri na nasaha
Mungu nimkubwa, nilikua nautamani uwislamu mungu amekuleta kwa wakati unaofaa,
@abdulhakimhasan7673
2 жыл бұрын
Haya ni maneno na matamanio ya shetani.
@nellyk2560
2 жыл бұрын
My friend usiache yesu alie kuahidia uzima uwende kwa Muhammad mtumwa wa shetani
@abdulhakimhasan7673
2 жыл бұрын
@@nellyk2560Wacha maneno yako ya kishetani , Mtume Mohamed amepewa na Mungu koran takatifu , kutufundisha heshima na adabu ni sawa na tabia ya Yesu kristo. Tofauti na tabia yako ya matusi na aibu ya mafunzo ya dini kasoro.
asante sana bwana kibavu
Hivi wakristo mnafikiria kutumia kiungo gani yani mpo kwenye upofu wa kiwango cha juu mnatumia nguvu nyingi kusambaza porojo mtihani kweli😢
Amen 🙏🙏🔥🔥🤭🤭😰😰 mungu awasaetiye sana waisramu
Huyu ni zaidi ya mashehe wote kenya nzima hakuna kama yohana kwa mashehe wote kenya nzima kataa au kubali
@muhammadmuhaznun380
2 жыл бұрын
Hakuna kitu anajua huyo....masheikh zetu wawalinganisha na Mtu kama huyo Mungu akubakishe huko huko...wee njaa inakusumbua
@whitetigerprincy5882
2 жыл бұрын
mbona nyie vijwa ngumu jamanii njoo kwa yesu
@mwawekomiuda9779
2 жыл бұрын
@@whitetigerprincy5882 yesu si wako ww mfyate kwani haitoshi kumfyata mungu alietahiriwa badooo!
@user-mc2xd4eu2p
6 ай бұрын
Sio kwa Matango pori haya unayowalisha vipofu 😂😂😂
Mtumishi ujumbe huo ndo unapaswa kutolewa kwa kipindi hiki ili watu wasiendelee kutumbukia ktk dimbwi hili kubwa la upotevu,paza sauti yako kama tarumbeta wahubiri watu Wa Mungu kosa lao.
Be blessed much mtushi wa mungu
Mimi ndio huwaambia waislam kama kunawaabudu sanamu wakubwa si wwngine ni waislam. Maana mpaka huku africa mashariki wanasijudu kugeukia jiwe jeusi
@zubedamachano4088
4 жыл бұрын
Huyu iyo Quran hajui hata kusoma unafikiri Nini inasomwa ivo hujui panapo shada Wala sekne mnapotoshwa tuu mnaijua dini ya waislam vizurii tutakutana siku yakiama Kisha njoo seme hayo maneno mbele ya mungu msiba huo😀
@salimalmahrizi395
4 жыл бұрын
NAPENDA KUKUELIMISHA SABABU WAISLAMU WANAELEKEA jiwe jeusi lililokuwa MAKKAH. waislamu waliamrishwa na Allah SUBHANAHU WATAALA KUWA POPOTE WATAKAPOKUWA KWENYE SALA basi waelekee KIBLA ambayo ndiko lilipo jiwe jeusi,HIYO PEKE YAKE INAONYESHA VIPI waislamu wanamtii na kumfuata ALLAH anavyowaamrisha, Kwa kuelekea mahali pamoja kumefanya nidhsmu nzuri wakati wa IBADA ,lau isingekuwa tunaelekea sehemu moja UNGEKUTA WATU WAKO KAMA SOKONI WENGINE WANAELEKEA KUSINI WENGINE KASKAZINI WENGINGINE MASHARIKI NA WENGINE MAGHARIBI.
@naimaabdallah9491
4 жыл бұрын
@@salimalmahrizi395 🤣🤣🤣🤣yani hata mtt mdogo anakili yani mnatazama jiwe liliko ndio mswali😂😂😂😂😂haki nyie mnabudu jiwe jeusi
@salimalmahrizi395
4 жыл бұрын
badilisha jina hupendezi na hilo jina na unayoyasema .hakuna Muislamu hata mmoja anaeabudu jiwe jeusi ingia msikitini tafuta jiwe jeusi piga picha unitumie ,wacha fitna za shetani,
@naimaabdallah9491
4 жыл бұрын
@@salimalmahrizi395 mbona mnageukiaga maka mkitaka kusali
Barikiwa sana mtumishi wa Yesu unapatikanaje?
Nimeelimika Sana Biblia ahsante wainjilisti wetu twawaombea Sana
Soma Qruan11;13 ujitasmin mwislam uko upande gani kwa Mungu au kwa shetani
@ramadhanilukambuzi9760
2 жыл бұрын
Sasa hapo unamaanisha nini ww?
Barikiwa ukimwamini Yesu,unakuwa mtoto wake.
@innocentndikumana8928
2 жыл бұрын
Wapi yesu akasema nimutoto wamungu upotevu kabisa
@richardmbafu1627
2 жыл бұрын
@@innocentndikumana8928 siola lazima kujibu
Ww unajiandalia mdahalo mwenyewe,unajisemea mwenyewe kwa maeneo wasipokuwepo wajuzi si ulishindwa kujibu hoja mdahalo wa Dar
Ubalikiwe sana mtumishi wa MUNGU
mungu akuonze sana ndugu.
Yesu ni wa Ajabu,mutu akifa ataishi,apana sasa Yesu kristo alikufa na Leo yuko hai akiwa yipo mbinguni
Amen amen🙌🙌
Mnatumia nguvu nyingi sana kutangaza ukafiri😂 msiba huu
😂😂😂😂😂😂😂😂ukimuona mwenzio ananyolewa basi kitie maji upesi kichwa chako ,kwaani nawe utanyolewa kama alivyonuolewa mwenzio😂😂😂😂😂😂😂😂 allahu wakbaru paa.
Hii testimony imenibless sana., i'll share what ive learnt with muslims, I am ready to meet resistance but ukweli ntawapea ndo wapate chance ya kumake the right decisions
@ambrosiamlinga8402
2 жыл бұрын
Ingia KZread wasikilize hawa ili wakusaidie kuijua vizuri dini ya kiislam 1. Abdul Sameer 2. Apostate Prophet 3. David Wood 4. Somalli Christian TV 5. Christian Prince 6. Sister Khadija 7. Zara Kay 8. El Fadi 9. Sam Shamoun 10. Hatun Tashi 11.Nabeel Quresh
@edwinkaris9602
2 жыл бұрын
@@ambrosiamlinga8402 nataka uchallenge hii information aliotoa Kibavu hapa...point by point, ndo tukisema Kiisalamu ni religion iko bound na shetani kuna sababu zinazo support,huwa ni kuongea ukweli ndo ukweli iliberate watu
@faithfultoyeshua4576
2 жыл бұрын
@@ambrosiamlinga8402 na father zakaria
@user-mc2xd4eu2p
6 ай бұрын
😂 hiyo Quran unavosoma Hawa makafiri tolii Sana 😅😅
@user-mc2xd4eu2p
6 ай бұрын
Hiyo quran aisee unavoisoma kama umekunywa gongo 😂😂
Ndio maana wanatumia nguvu kubwa kuficha ukweli kweli yesu ni njia ya uzima wa milele
@rwagasunzuibrahim8514
2 жыл бұрын
Huo mujinga muongo umesema umesoma miaka misaba na kusoma Qor'an haujuwi laanatullah ilaka
@faithfultoyeshua4576
2 жыл бұрын
@@rwagasunzuibrahim8514 lugha yako inasema kitu unachokiabudu
Barikiwa sana mtumishi
Yesu amekuja ili wale waliovipofu wapate kuona na wale wanaoona wapate kuwa vipofu!
I will share to my musilam brother and sister 😢 juu they don't know
Nafurahi sana kusikia hiii yesu asante kwa kunikomboa waislamu yesu anawapenda karibuni
@jamilshisia5929
4 жыл бұрын
Yesu hata wewe hakujui na walah hatawahi kutambua
@monicabh1668
2 жыл бұрын
Waislamu njooni kwa YESU anawapenda
@baya7067
2 жыл бұрын
Waislam njooni kwa yesu mfalme wa amani jiwe la pembeni alfa na omega atawaokoa atawasamehe na mutaurithi uzima wa milele
@mohamdmohamd4842
Жыл бұрын
Yesu alikuwa MUISILAMU .. Sio Mkristo.. Hakuna Dini ya KiKristo ni UPAGANI.
@mohamdmohamd4842
Жыл бұрын
@@baya7067 ..Alfa Omega.. na Halafu Yesu Akafariki..hiyo Alfa na Omega Ndio umemaanisha Nini..Yesu Alikufa hakuna Alfa wala Omega.
Njaaa ikiingia Hadi kwenye ubongo ni balaaaa 😂😂😂😂
@barackamosi4116
Жыл бұрын
Wewe nimjinga acheni kufyata mikumbo hata vitabu hamjuwi njoonu kwa YESU
@mkanulamajid500
Жыл бұрын
@@barackamosi4116 ahsante sana
@Faheem_-001
Жыл бұрын
Ukwelii sasa ashakuwa mchungaji kivipi.....mtu iman yake ikiisha si akae
amen amen unanibariki sana
Kwa waislam wa sasa hata muhammad aje saiv , awambie mimi niliwapoteza njia ya kweli ni kumfuata Yesu , bado watapinga tu🤣🤣🤣🤣
@suzanaagustinookelo4953
3 жыл бұрын
Mioyo migumu aiseee
@yussuphsultan1400
2 жыл бұрын
Laiti mngejua huyu jamaa anachoongea ni matakwa yake, kwa mfano anarukaruka haya kupata anachohitaji, na watu mnamsikiliza na kumfuata, msikilizeni akiwa anapigwa na kina Kinyogoli
@yussuphsultan1400
2 жыл бұрын
Ety janaba ni mbegu za uzazi? Ni hali inayotokana na kuingiliana kimwili baina ya tupu mbili, hata kama mbegu hazikutoka?
@irenekaluse3501
Жыл бұрын
Kweli kabisa hawamkubali Yesu kwakuwa ni moto kwa majini yao
@barackamosi4116
Жыл бұрын
YESU ndo mambo yote
Muongo ata kutamka herufi hajui 😂😂😂😂😂😂
Mwenyezi Mungu akutie nguvu na kuendelea kuongoza vema, ila tu usiwadhihak maana Mungu apend ni km kuchukua hukum mkononi na ni vile umesoma BIBLIA TAKATIFU unatambua jinc gani Mungu amatukanya kuhukumu na hisitoshe wapo wazazi uko katika uislamu ivyo ndy maana kuwaombea wote, haijalishi ni wa dini au wakristo thawabu zipo hapo.
Umeuza dini yako kwa kupewa gari na kiwanja umeamuwa kusilimu
Mmmmhhhh hiyo quran unayosoma sijui umefundishwa wapi Yani unaisoma hovyo Kabisa 🥺
Injili ya bwana isonge mbelee
Wew kafiri kwel hata kusoma halijui eti umesoma Qur an duhh mungu akuongoze ewe kafiri
Alhamdulillah lah mungu anawatenga nisha wanafiki na walio muamini yy mungu atupe mwisho mwema kwa hakuifanya dunia ispokuwa ni starehe ya muda mfupi
@yaedlifemedia3203
2 жыл бұрын
Huyu jamaa adhabu yake kufa hana akili au katumwa kuuchafua uislam
@abdulhakimhasan7673
2 жыл бұрын
Ambar Nelly, uwongo zisizo tosheka. Danganya wakristo, waislamu wanajua.
@abdulhakimhasan7673
2 жыл бұрын
Nimekufahamu Ambar Nelly , kuwa Yohana omari ni mwongo na mnafiki.
@frenkifrenki4775
Жыл бұрын
Ivi nyie mnaakili kweli nyie mnafikiri vitabu vyenu inajua usoma wenyewe tu nyie maamua tu amjui chochote
@RIO-jf9mo
Жыл бұрын
@@frenkifrenki4775 hao ni mafala tu ...kiarabu si lugha Yao ... Hawaelewi lolote
Kutojiewa na utunguvu wa elimu ya Allah aliyopelekea manabii
@barackamosi4116
Жыл бұрын
Wewe ndo bado hujielewi njoo kwa YESU acha kufuga majini
Amina 👏👏🙌🙌🙏🙏🔥🔥🥰🥰
Niko kerege bagamoyo nakuitaji mzee by pastor keith
Asante kutujuza mengi nauliza maana ya udi ao faida ya udi ao ubani in maana gani ? Nakufata toka omani
Subhan Alla 😢
Et Mwaipopo anamuacha yesu anakimbilia dini ya jehannam ya uislamu loo!!
@sarmajid8603
2 жыл бұрын
Story hizo mnazipenda sana wakristo,ushuhuda wa nimekutana na Yesu lilishachuja.
Nyinyi nyote nikitu moja uslamu naukristo nikuaribu hakili za watu
Ukristo bila ya uongo hausimami na kuna watu eti wamaamini porojo hizi fanyeni utafiti mjue kama anayosema yana hata chembe ya ukweli huu ni uwongo jitu zima linaongea uwongo hlf eti linahubiri mtihani sana
@ronaldhelmott8379
3 ай бұрын
Ww mzee mtafute Mungu uko ulipo hapana asubuhi ndg yangu.
Ati dhaalika ni kile 😂😂😂😂😂😂 na tilka itakua nn?????dhaalika ni hichi sio kile wew hujui kitu....nenda kasome vizuri alafu uje udanganye wenzio....
@rahmahussein4288
Жыл бұрын
Anadanganya na wannodanganywa icho kiarabu hawakijui😂😂eee Mungu wahirumie watu wako, huyu mtu aliandaliwa kabisaaa
@ezekielmurimi6874
Жыл бұрын
dhalika. ﺫَﻟِﻚَ that - masculine singular. The Arabic word ﺫَﻟِﻚَ means that. It is pronounced dhalika.
@ezekielmurimi6874
Жыл бұрын
Kuwa mkweli bwana.
Njaa mbaya sana
Laqd qaala lakum na sio laqad lakum , kiarabu bado hujakijua vizuri
The fact that shivachi isn't awesome soul to me But am happy the way he say " Amin Amin Amin Amin Amin Amin Amin Amin Amin @shivachi killed me !Aha ha ha 😂🤣😆Awwww made tears 😢🤣up mmmh really 🤣acting his part like a comedian 🤣 I'm so excited for this episode..oh my goodness can I get part Two of this Mr Yohana
@mwanashagladys4581
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣hahaha
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
@@mwanashagladys4581 I have a Question for you about the bible study 📖🤔How many years did The children of 🇮🇱🇮🇱israelites wander in the 🏜🏝🏜🏝🏜Desert 🏜😉??¿¿¿And why Noah saved the animals instead of people in the Ark
@marthabowen9618
2 жыл бұрын
We umwisilamuu
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
@@marthabowen9618 What kind of temptations is this 😳This is heartbreaking 💔and also annoying mmmmmmmmmmh in fact a senseless Question Awwww
@marthabowen9618
2 жыл бұрын
@@margaretmargaret5744 no question is senseless... Wanted to know because you made fun out of the whole thing.....meanwhile it doesn't matter
Barikiwa na BWANA 🙏
Waoh!!nimefurahi kuona Huyu mchungaji wa TZ Kenya. Huwa nafuatilia mikutano yake lakini sijawai jua in WA SDA
@mussajoshua1261
5 жыл бұрын
Ndio ni sda
@adalbertkatabaro153
2 жыл бұрын
Sio mchungaji ni mwinjilisti kwenye kitengo cha AMR