Ushuhuda wa aliyekua muislamu.

Ameokoka na sasa anamuhubiri Yesu Kristo kila sehemu.

Пікірлер: 2 900

  • @JesusOwn1
    @JesusOwn14 жыл бұрын

    Jesus is the Way, the Truth and the Life. Mtafuteni Mungu. God bless u brother for the testimony.

  • @yusuphujaffar2154

    @yusuphujaffar2154

    3 жыл бұрын

    Hakuwa muslam

  • @rehemajoseph1264
    @rehemajoseph12643 жыл бұрын

    Amen yesu alifufuka hayumo kaburini tena *we ngine walikufa bado wako kaburini yesu yuaja tena kunyakua walio wake *asiye mpokea yesu okoka usiachwe na yesu 🙏🙏

  • @kingdonald3312
    @kingdonald33122 жыл бұрын

    God BLESS you Brother of mine🙏 Welcome to JESUS. KWA YESU KUNA RAHA-AMANI- NA UTULIVU. I NEVER REGRET BEING A CHRISTIAN 👌❤❤

  • @daisylangat820
    @daisylangat8202 жыл бұрын

    Amen,damu ya Yesu Ina nguvu na uzima,Yesu azidi kukulinda na kukupaka mafuta zaidi,nguvu za Roho mtakatifu zikujaze upya katika kina kuu la Yesu Kristo,Asante Yesu Kwa kumwokoa huyu kaka

  • @evamusuruve3196
    @evamusuruve3196 Жыл бұрын

    Waaaa ,majabu haya ,,kweli Jehovah anaweza ,and sisi WA kristo we save a living God 🔥🔥🔥🔥🙏

  • @Godisgreat20243
    @Godisgreat202432 жыл бұрын

    Amen.Barikiwa sana ndugu,asanta kwa ushuhuda.Bwana Yesu akulinde daima,ushuhuda huu ubadili wengi.

  • @prettylove5295
    @prettylove52953 жыл бұрын

    Kila siku huwa namshukuru mungu kuzaliwa mkirsto nampenda sana YESU mwana wa mungu

  • @isaackkitumbo3976

    @isaackkitumbo3976

    3 жыл бұрын

    Kabisaaaa

  • @abduomar8438

    @abduomar8438

    Жыл бұрын

    Pole

  • @yakobomkristo872

    @yakobomkristo872

    Жыл бұрын

    Tumenusurika Kuwa Wachawi Wa Kiimani, Asante Bwana Yesu.

  • @abduomar8438

    @abduomar8438

    Жыл бұрын

    @@yakobomkristo872 soma bibilia 3, 11 marko

  • @yakobomkristo872

    @yakobomkristo872

    Жыл бұрын

    @@abduomar8438 Soma Quran 72 : 1 - 3

  • @anisiamwaniki4153
    @anisiamwaniki41533 жыл бұрын

    Praise the Lord, Mungu wetu ni mwaminifu sana. Asante Yesu kwa wokovu mkuu namna hii.

  • @thadeusmathiews2564
    @thadeusmathiews25644 жыл бұрын

    Amen JAMANI NIME JENGEKA KWA YESU KUNA AMANI I'm team JESUS ONE Mission One Church Glory to JESUS

  • @mshanaakbar3687

    @mshanaakbar3687

    3 жыл бұрын

    Alikuwa mshirikina leo amekuwa kafiri aishie huko huko

  • @wazirikhamisi4828

    @wazirikhamisi4828

    3 жыл бұрын

    @@mshanaakbar3687 MPK MAKAFIRI PIA WASHIRIKINA KAKA WANAMUITA YESU MUNGU WENGINE MWANA WA MUNGU NK WENGINE KTK IBADA ZAO AZIFANYIKI MPK MBELE WAEKE SANAMU YA MARIAM AU YA YESU

  • @Truth771

    @Truth771

    3 жыл бұрын

    Wapi imani kwa Yesu acheni usharati nyie. Kujidai kumpenda Yesu na kumsifu saana, na hakuna hata kimoja alichokifanya Yesu wakiristo wanalifata. Yesu hakuwa mkiristo wala hajafunza ukiristo wala haujui ukiristo. Mnafikiria Yesu anapokea Rushwa ya maneno?. Bila kufata sheria za Mungu, hakuna uokovu. Ni kujidanganya nafsi. Bibilia yako inasema wanaoabudu masanamu (kama Sanam la Yesu na Maria) na walevi, wazinzi, hawaingii ufalme wa Mungu (peponi). Soma: [ 1Wakorintho 6:9-10] " Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, 10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi. Kama kuabudu sanamu na kunywa ulevi unakwenda motoni, vipi utadai wewe uko katika njia ya kweli?. ONDOKA HUKO KUNAHATARI UKIFA UTAJUTIA MAISHA YAKO UMEYATUMIA BILA FAIDA. Kanisa ni kwenye kiti cha Enzi cha Shetani. Soma bibilia yako. [Ufunuo wa Yohana 2:12-13] " Na kwa malaika wa kanisa lililoko Pergamo andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye na huo upanga mkali, wenye makali kuwili (msalaba). 13 Napajua ukaapo, ndipo penye kiti cha enzi cha Shetani; nawe walishika sana jina langu, wala hukuikana imani yangu, hata katika siku za Antipa shahidi wangu, mwaminifu wangu, aliyeuawa kati yenu, hapo akaapo Shetani. Mapepo wachafu (mashetani) ndio walioleta itikadi ya kumwita Yesu ni mtoto wa Mungu. Soma Bibilia : [Marko 3:11] " Na pepo wachafu (mashetani) , kila walipomwona (Yesu), walianguka mbele yake, wakalia wakisema, Wewe ndiwe Mwana wa Mungu. Sasa wewe vipi utamfuata Shetani na Shetani ni Muongo mkubwa?.

  • @totodavis1949

    @totodavis1949

    3 жыл бұрын

    Hakika bro amani tele milele

  • @totodavis1949

    @totodavis1949

    3 жыл бұрын

    @@wazirikhamisi4828 wewe haujui yesu ni roho Wa mungu mungu ni moja yesu ni njia kila maali uwendako lazima ufate njia hivo yesu ni njia na sio mwanadamu karibu uwokoke

  • @domnicowele5384
    @domnicowele53842 жыл бұрын

    There is contentment in serving the true yahwe in Jesus name we overcome..I love you jesus

  • @bythegrace8087
    @bythegrace80873 жыл бұрын

    Amen🙏🙏their is power in name Jesus

  • @goodlucklendey1722
    @goodlucklendey17223 жыл бұрын

    Sawaaa mungu akujalie muombe mungu akusaidi umjue yesu na uombe na kufunga umpokee roho mtakatifu ili umuabudu mungu kwa roho na kweli uta yashinda yote na akuna nguvu za kukushinda na mwisho urithi ufarume wa mungu

  • @violinenyakara5028
    @violinenyakara50284 жыл бұрын

    Every knee shall bow before Him and every tongue shall confess Jesus is Lord, praise Jesus

  • @happynessmarki2780

    @happynessmarki2780

    4 жыл бұрын

    Violine Nyakara Amen Amen Amen

  • @winskitchen.602

    @winskitchen.602

    3 жыл бұрын

    Amen

  • @somoiabdullah4906

    @somoiabdullah4906

    3 жыл бұрын

    Singii iyodini

  • @jjss4493

    @jjss4493

    3 жыл бұрын

    Amen amen

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    3 жыл бұрын

    Labda washirikina

  • @neemarichard1256
    @neemarichard12563 жыл бұрын

    Amen God bless you

  • @issarashid4296
    @issarashid42963 жыл бұрын

    Allah atupe mwisho mwema

  • @sonnyr1899

    @sonnyr1899

    5 ай бұрын

    @cdramacovers Pumbavu wewe alie kwambia Allah ni jini ni nani?

  • @Swians
    @Swians3 жыл бұрын

    Kiswahili kizuri bwana! Watched from Kenya.

  • @alibell5246

    @alibell5246

    3 жыл бұрын

    Maaskof wenyewe wanaamini mungu ni moja na uislam ndy njia pekee atakayokubaliwa na mungu na tayar washaclim sasa ww uciejielewa cjui uko wap

  • @vickybest6296

    @vickybest6296

    3 жыл бұрын

    Yesu ndiye njia

  • @user-sm1zu2mo4b

    @user-sm1zu2mo4b

    6 күн бұрын

    ​@@alibell5246 kila mtu anashtuka kuhusu ukristo yeye anakuwa mjinga maana anachokizungumzia hajipo kwenye uislam.

  • @rayanaabdallah473
    @rayanaabdallah4733 жыл бұрын

    Mungu akupe umri mrefu Inshallah huenda ukaja zinduka...Shukran

  • @channynsabimana1997

    @channynsabimana1997

    3 жыл бұрын

    @Somali Bajun99 nikwasababu anatoa silizenu ndomaana unasema ivo

  • @vickybest6296

    @vickybest6296

    Жыл бұрын

    Alishazinduka na kumjua Yesu

  • @user-ve3wu5jn1l

    @user-ve3wu5jn1l

    4 ай бұрын

    Kweli kabisa anaweza zinduka . Mmmh Mwenyezi Mungu amsaidie kwa kweli

  • @user-hw7ce8gf6v
    @user-hw7ce8gf6v9 ай бұрын

    Kumufuata Yesu Kristo kuna faida kubwa mno ISAYA 54 17 Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa, huu ndio urithi wa watumishi wa Bwana, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asema Bwana Amen !!!

  • @andrewmhagama629
    @andrewmhagama6293 жыл бұрын

    Mungu akubari sana ndugu . wewe ni shujaa,kwani kutoka utumwani ni ushindi mkubwa.Ukimtumikia Mungu aliye hai ambaye sisi tunamwamini utashinda kila ubaya na hila za shetani na wafuasi wake woote.Jina la Yesu ni kubwa kupita majina yote kwa kila nguvu za giza liite ni zaidi ya chochote na utakombolewa.Amina

  • @vallembaya2708
    @vallembaya27083 жыл бұрын

    Yesu ndio njia ya kipekee ya kuenda Kwa Mungu 🙏

  • @mamuually5579
    @mamuually55793 жыл бұрын

    In sha allah mungu atusame waja wake,,,,,nashindwa ata kuchangia nahisi kama nitamkufuru mungu tu

  • @abbyadams8691

    @abbyadams8691

    3 жыл бұрын

    Kuna watu watasema kanunuliwa.

  • @georgebugangazpoa4975

    @georgebugangazpoa4975

    3 жыл бұрын

    Hakuna namna zaidi ya kutoka kwenye ushetani kama aliyekuwa kiongoz wako tena msomi wa hayo mambo kaondoka kuko

  • @user-sm1zu2mo4b

    @user-sm1zu2mo4b

    7 күн бұрын

    Mimi sisemi kanunuliwa ila yeye amechanganya dini na uchawi maana hiko anachokizungumza hakuna kwenye dini ya uislam jamaniiiii hata wewe ungeshtuka tu maana huo ni uchawi unapigwa vita na uislam sasa mizimu na uislam wapi na wapi jamani, kapoteaaaaa huyoooo ​@@abbyadams8691

  • @officialjaxwizard2877
    @officialjaxwizard28774 жыл бұрын

    From Mozambique ubalikie kwa jina la Yesu..! Amen

  • @rachelevarist70

    @rachelevarist70

    3 жыл бұрын

    ivi nyinyi wakristo imani mnatoa wapi? minashindwa kuelewa ivi dalili mnaitoa wapi? ujasiri huo mnautoa wapi yakusema yesu yesu mnatoa wapi

  • @kuruthumuissa5539

    @kuruthumuissa5539

    3 жыл бұрын

    Upumbavu tuuumewajaa mfyuuu

  • @kakumakenya6784

    @kakumakenya6784

    3 жыл бұрын

    Glory be to God.Amen

  • @monicaelias3801
    @monicaelias38013 жыл бұрын

    ENDELEA kuusema Ukweli na Yesu akutie Nguvu nakukuepusha na Adui zako Bwana Ate na wanaoteta nawe Mtumishi Zaburi 35 Intense Kazi KWA Maisha yako yote na Zaburi 23 na Mungu akubariki Sana kujitia MHANGA KWA AJILI ya Kirsto tupo Pamoja Mtumishi wa Bwna

  • @allyjumaallyjuma692

    @allyjumaallyjuma692

    3 жыл бұрын

    ENDELEENI KUPEANA UJINGA MPAKA YAWAFIKIE MAUTI ,MUTMJUWA MUUME WA BIBIZENU HUKO AKHERA

  • @paulomaona7627
    @paulomaona76273 жыл бұрын

    Yan kaka sula yako tu inaonesha wew ni mteule fanya kaz ya mungu ubalikiwe kaka

  • @rizikimustapha3806
    @rizikimustapha38063 жыл бұрын

    SUBHANA ALLAH ALLAH AKUHDI KIJANA KABLA HUJAFA ATUBIE

  • @RamadanPaul

    @RamadanPaul

    10 ай бұрын

    Huyu jamaa kasomea uchawi. Katoka kwenye dini kaingia kwenye uchawi.

  • @abuuhafswamunsheedu5790

    @abuuhafswamunsheedu5790

    8 ай бұрын

    ​@@RamadanPaulhuyu kasomea uganga na sio Uisilamu

  • @RamadanPaul

    @RamadanPaul

    8 ай бұрын

    @@abuuhafswamunsheedu5790 umeona ... Uchawi si Haram kabisa QUR'AN ipo wazi kabisa 😅

  • @RamadanPaul

    @RamadanPaul

    8 ай бұрын

    Al Quran: 10:77 --- قَالَ مُوسَىٰ أَتَقُولُونَ لِلْحَقِّ لَمَّا جَاءَكُمْ ۖ أَسِحْرٌ هَٰذَا وَلَا يُفْلِحُ السَّاحِرُونَ Translations: --- Akasema Musa: Mnasema hivi juu ya Haki ilipo kujieni? Huu ni uchawi? Na wachawi hawafanikiwi! -- Ali Muhsin Al-Barwani ---

  • @habibasalim3092

    @habibasalim3092

    3 ай бұрын

    ​@@abuuhafswamunsheedu5790ndio nimeandika hata mimi yaani huyu pamoja na familia yao yote na huyo mwalimu walisomea uchawi sio uislamu

  • @combinedreview9517
    @combinedreview95173 жыл бұрын

    AMEN ,OH GOD ,POWERFUL TESTIMONY .

  • @mwalimuassaa1857

    @mwalimuassaa1857

    3 жыл бұрын

    WHAT TESTIMONY ? THIS GUY IS JUST WITCHCRAFT ,THERE IS NO VERSES IN WHOLE QURAN SUPPORT WHAT HE SAYS.

  • @jemimanekesa2782

    @jemimanekesa2782

    2 жыл бұрын

    God bless u

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Жыл бұрын

    Karibu sana ndugu wetu,Yesu Kristo anakupenda sana.

  • @naomieliasmanyilizu761
    @naomieliasmanyilizu7613 жыл бұрын

    Ameen Mungu aendelee kuwa mlinzi wako, na damu ya mwanaye Yesu Kristo ikufunike

  • @pknife88
    @pknife88 Жыл бұрын

    Inna lilahi waina ilaahi rajioun ww mtu hujui ata unachokisema yaani ww ni kama umepitia hayo mambo hivi hujaona dini ya kuipiga vita isipokua Uislaam? lakini si shangai haya yote yalishaandikwa ndani ya Quran tukufu kuwa watu watakuja na mikakati tofauti ya kuipoteza dini ya kiislam lkn watashindwa na hatimae watazidi watu kuingia katika dini ya kiislam makundi kwa makundu. Takbiri ....Allah Hu Akbar... Mtashidwa na mtaangamizwa kuanzia hapa dunia hadi Akhera .... Ya Rabbi tuongezee Imani katika Dini yetu ya kiisalm na tuongeze Elimu na nguvu zidi ya hawa viumbe vyako hivyo vibaya na ndo tunajua miongoni mwa mitahani uliyotuwekea na In shaa Allah tutafaulu. Hasbiya Allah wa neima wakil ... Ya Rab Rab husnul hatima Ameen

  • @omwoyoonchweri6933
    @omwoyoonchweri69334 жыл бұрын

    Great message!There is Great victory in Jesus Christ......Amen.

  • @geraldlaurent7465

    @geraldlaurent7465

    4 жыл бұрын

    Exactly brother

  • @salmakiame9864

    @salmakiame9864

    4 жыл бұрын

    omwoyo onchweri acha unafki ulisoma kitabu vzl Kwanni uliacha Qoroani tukufu ukafata mambomaovu yakuzurumu nafsi zawatu wengi mungu hakuagiza hivyo wwe ulimfata shetan maana mlikua wanafuz weng lakn ulichaguliwa wwe naulikubali pasipo kujiuliza kitabugan chamungu kinachagua mtu wakumfundisha hicho si kitabu chamungu omba msamaha wakweli lakin wwe unaendelea kupotosha watu angalia kesho kuna jaanam maana mungu ni1 tu

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    3 жыл бұрын

    @@salmakiame9864, Inaonekana kwao wna mila za kishirikina hakuna mwalimu wala nani mshirikina huyo Allah amemrejesha panapostahili

  • @myunaniniahmad6463

    @myunaniniahmad6463

    3 жыл бұрын

    Kajambe mbele huko imani yako zibala tu. Tena usijifanye unaijua qr aan. Punye weeee. Kila aliye hai anajichagulia makazi yake akifa.

  • @myunaniniahmad6463

    @myunaniniahmad6463

    3 жыл бұрын

    Eti mkakutana msikitini, mnaenda kuchafua wiislam wachafu nyie.

  • @bensononyango1426
    @bensononyango14262 жыл бұрын

    Praise the Lord God, the truth has set you free in Jesus Christ. Amen

  • @martharmoranga2541
    @martharmoranga25413 жыл бұрын

    Glory be to God

  • @samuelmoses9243
    @samuelmoses92434 жыл бұрын

    Kaseana Mungu awarinde maana mnapigwa sn vita sbb mnaifunua dini ya majini na imewateka wengi.

  • @endtimeloudcrytv

    @endtimeloudcrytv

    4 жыл бұрын

    Amen

  • @janenjenga5639

    @janenjenga5639

    4 жыл бұрын

    Neema ya Bwana iwe juu yenyu

  • @juniorwadri4240
    @juniorwadri42404 жыл бұрын

    Da ujumbe mzuri sana mwalimu kasinah watu waujue pamoja na waislamu nahisi wata badilika nime amini yesu ni mkuu

  • @endtimeloudcrytv

    @endtimeloudcrytv

    4 жыл бұрын

    Amen

  • @myongatwo4302

    @myongatwo4302

    4 жыл бұрын

    Mungu akusmamie skuzoteeeeee!!

  • @happinessmonyenye9890

    @happinessmonyenye9890

    4 ай бұрын

    Amen

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki46793 жыл бұрын

    Amen and Amen Jina la Yesu lenye nguvu🙏🙏🙏🇰🇪

  • @clementmwampash168
    @clementmwampash1683 жыл бұрын

    Asante yesu kwa uzao wako huu mtunze mtumishi wako akutumaini ww ktk maisha yake yote

  • @allyjumaallyjuma692

    @allyjumaallyjuma692

    3 жыл бұрын

    poleni sana nawahurumia sana lkn ndio ni mipango ya الله ﷻ

  • @agneskenya3709
    @agneskenya37093 жыл бұрын

    A living testimony, God bless you Brother, hakika Yesu Bwana, Amen

  • @firdausmariri3506
    @firdausmariri35063 жыл бұрын

    Tatizo haukufindishwa juu ya tawhidy umpwekesha Allah nandio maana weye pamoya na maalim wako mkajikuta mnamshirikisha Allah ,,na Allah anasema kuwa yeye amejiweka mbali na ushirikina kutokana na shikri ,na yeyote atakayefanya shikiyaan akamshirikisha Allah kwa asiye kuwa yeye Allah Basi Allah mtukufu atamuacha mshirikina huyo na ushirika wake ,,,naweye ulifanya shikri na hakika dhambi ya shirki haisamehewi mbele ya Allah Hadi mtu afanye tawba ,nakusihi nakujihisia nafsi yangu juu ya kurejea katika kamba ya Allah ,,juu ya kutubu kabla milango ya tawba haijafungwa ,,,Allah atuepushe juu ya kuziporomosha amal zetu njema kwa kuliwa na shirki ,,,oooh Allah

  • @liventibenda3280

    @liventibenda3280

    2 жыл бұрын

    Wasilamu wengi washirikina sana na dini inayomkataa yesu itapat hukumu ya milele

  • @saidmzee2554

    @saidmzee2554

    2 жыл бұрын

    @@liventibenda3280 nyny ndo mtokwenda motoni Sana nyny ss mafrimanso wakubwa makafiri wakikristo

  • @liventibenda3280

    @liventibenda3280

    2 жыл бұрын

    @@saidmzee2554 inashangaza mtume anaingiliwa na pepo na anasema maneno anayoambiwa na anayaandika kwa qurani sisem uwongo iyo ni surah iko na pia Muhammad alimwingilia Aisha wkt wa hedhi ukisoma hadith ya sahihi al buhari

  • @ninabizimana6869

    @ninabizimana6869

    7 ай бұрын

    @@saidmzee2554 wasimamizi na wakuu waki filmasoni niwa sheh uyo mkristo ana kuja kwenu kutafuta nguvu... Ila ukristo ufundishi uchawi ila uweslam unafundisha uchawi. Uweslam ni Dini yamajini

  • @michaelmaina990

    @michaelmaina990

    Ай бұрын

    Sasa wewe wakimbia kuandika badala kuskiza shuhuda kisha utagundua uislamu sio dini..?

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd38863 жыл бұрын

    Hakika Yesu Kristo ni yeye yule Jana leo na hata milele Jina la Bwana libalikiwe Ndugu zangu waislam Njooni Kwa YESU KRISTO Ili muokolewe na siku ya mwisho tuingie wote ktk ufalme wake wa Mbinguni.

  • @twobrothers8228
    @twobrothers82283 жыл бұрын

    Sifa Nautukufu Zikurudie Wewe. Karibu Ndungu Ndani Ya Yesu Yoote Yanawezekana, Tazama yakale yamipita yamekuwa Mapya🙏🏿

  • @Truth771

    @Truth771

    3 жыл бұрын

    Kwani kwa Yesu wapi na Kuna nini huko?. Kwani Yesu alikuwa Mkiristo au kafundisha ukiristo?. Huyo ni mkiristo toka mwanzo unamkaribisha nini? Alama za ukiristo anazo wala uisilamu haujui anazungumza yasikuwemo katika Uisilamu. Acheni kutengeneza Waislamu Fake kama mnavyotengeneza vilema fake ili muonyeshe maajabu. Nyingi ndio wale aliotabili Yesu mwenyewe akasema. (Mathayo 24:24) " Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule (Waislamu). Acheni uongo Dini haisambazwi kwa kupitia khila za uongo. UKIRISTO ingelikuwa Dini ya Mungu basi sheria za Mungu mngelizifuata. Wangelikwisha walevi, wezi wazinifu, ulawati, unyang'anyi. Watu wangliishi kwa Amani kabisa. Kwanza vipi Mwenyezi Mungu kakuumbeni ili mumwabudu yeye halafu Mnaabudu Sanam la Mariya na Sanam la Yesu?. Bibilia yenyewe inasema watu kama Hao hawaingii PEPO (Ufalme wa Mungu).. Soma: [1 Wakorintho 6:9-10] " Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala WAABUDU SANAMU , wala WAZINZI , wala WAFIRAJI, wala WALAWITI, 10 wala WEVI, wala WATAMANIO, wala WALEVI , wala WATUKANAJI, wala WANYANG'ANYI. NA HAYO YOTE YAMEJAA HATA KANISANI. Endeleeni ndio mnafichua njama za ukiristo kubomoa Uisilam. Wala sio kitu kimpa lakini matokeo Uisilamu unazidi kuenea. Hamuwezi kumshinda Allah (Mwenyezi Mungu) aliekuumbeni. (Qur'an 61:8) " Wanataka kuizima nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao. Na Mwenyezi Mungu atakamilisha nuru yake ijapo kuwa MAKAFIRI WATACHUKIA.

  • @Truth771

    @Truth771

    3 жыл бұрын

    Wapi hiyo ahadi ukiwa mkiristo inakuwa umesamehewa madhambi na umekuwa mpya?. Mnakopia Ya Uisilamu. Hayo hakuna katika Ukiristo. Ukitoka kwenye uisilam basi unakwenda kwenye madhambi sio kuondosha madhambi. Kwani kwenda kuabudu Sanam la Mariya na Sanam la Yesu ndio kufutiwa madhambi?.

  • @twobrothers8228

    @twobrothers8228

    3 жыл бұрын

    Wewe Abudu Dini Yako, Nauwache Kuhukumu ya Wenzio. Mwenye Hukumu Ni Mungu, Sisi Tuwaachie Imani Yetu Tuilinde Wewe. Amini Yako. Siku Ya Hukumu Tutajua Haki Ilopo.

  • @Truth771

    @Truth771

    3 жыл бұрын

    @@twobrothers8228 : Ina maana ndugu uliezaliwa nae kwa baba na mama. Akimuasi mama yako au baba yako wewe utamuachia MBALI maana wewe haikushu?. Mbona bibilia yako huisomi inavyosema. [Luka 17:3] " Kwa hiyo, jihadharini. Ndugu yako akikukosea mwonye; akiomba msamaha, msamehe. Mimi nakuonya ndugu yangu Acha kuabudu Sanam la Mariya na sanamu la Yesu. Yesu sio Mungu. unamwabudu asiekuwa Mungu. Yesu kazaliwa na mama yake mwanadam. Na mwanadam hazai Mungu. Njoo huku umwabudu Allah alikuumba kwenye tumbo la mama katika mifuko mitatu na step Tatu. (Qur'an 16:78) " Na ALLAH (Mwenyezi MUNGU) amekutoeni matumboni mwa mama zenu, hali ya kuwa hamjui kitu, na amekujaalieni masikio na macho na nyoyo ili mpate kushukuru. (Qur'an 39:6)" Amekuumbeni kutokana na nafsi moja. Kisha akamfanya mwenziwe katika nafsi ile ile. Na akakuleteeni wanyama wa mifugo jozi nane. Anakuumbeni katika matumbo ya mama zenu, umbo baada ya umbo, katika viza vitatu. Huyu ndiye Mwenyezi Mungu Mola wenu Mlezi. Ufalme ni wake. Hapana mungu isipo kuwa Yeye. Basi nyinyi mnageuzwa wapi?. ALLAH ndio anestahili kuabudiwa. Acha nakuonya ndugu yangu kwa ubinadamu.

  • @christinamaston6585
    @christinamaston65854 жыл бұрын

    Jesus is great all the time

  • @mabletandawili4128

    @mabletandawili4128

    3 жыл бұрын

    Una Sema ww ume wacha uislam lakini bado una vaa cazuu

  • @user-il1bv6vs9q
    @user-il1bv6vs9q4 жыл бұрын

    Welcome to Jesus for salvation of ur soul in Jesus mighty name Amen

  • @cupcakesanddounuts6555

    @cupcakesanddounuts6555

    4 жыл бұрын

    Amen

  • @alhamdulillah5796

    @alhamdulillah5796

    3 жыл бұрын

    Utakufa na ukafiri wako ukachomwe moto kama ni mvivu wa kutafuta ukweli mwenyewe

  • @raynerrasher1558

    @raynerrasher1558

    3 жыл бұрын

    @@alhamdulillah5796 nani kakuzuia kuamin unachokiamini? Acha kuponda dini za watu wewe

  • @omarymnola1011

    @omarymnola1011

    3 жыл бұрын

    Mm ctamani nife hali ya kuwa mkristo (KAFIRI ) Hakika Uislamu ni raha sana Huyo jamaa HATA KIARABU HAJUI NA KWA WAKRISTO NDO ANAWADANGANYA KABISAA

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    3 жыл бұрын

    @@omarymnola1011 masha Allah

  • @nizaelluka627
    @nizaelluka6273 жыл бұрын

    Mungu akulinde, kwa hapo ulipo fikia ni pagumu mno, ukitaka kuona majaribu okoka, mungu akulinde akutete, akufunike,

  • @HappyChemistryExperiment-hp9mq
    @HappyChemistryExperiment-hp9mq6 ай бұрын

    Amen Ashukuriwe Yesu Kristo kwa ukombozi wake.

  • @auntdorah9141
    @auntdorah91414 жыл бұрын

    Ameen...wapendwa huyu Yesu wetu ni mkubwa! Jamani Yesu yupooo tumeziona kazi zake

  • @thomasdaniel3834

    @thomasdaniel3834

    3 жыл бұрын

    Jah is great

  • @berthairungu6746

    @berthairungu6746

    3 жыл бұрын

    Amina

  • @mariamathuman2639

    @mariamathuman2639

    3 жыл бұрын

    Acha kumshitikisha yesu ambae ni Issa kwa mambo yasio na maana

  • @neemasabure9061

    @neemasabure9061

    3 жыл бұрын

    @@mariamathuman2639 mmmmh embu yesu ni Mwana wa Mungu

  • @mariamathuman2639

    @mariamathuman2639

    3 жыл бұрын

    @@neemasabure9061 kama unajua ni mwana wa mungu mbn usimsifie mungu kwa kazi yake unasifia yesu ...yesu ni nabii wala si mungu ...mungu n mmja na afananishi n kitu chochote akuzaa na wala hakuzalia sasa niulize yesu alizaliwa au laah

  • @feisalfarsy6562
    @feisalfarsy65623 жыл бұрын

    Hakika stareh za dunia ni fupi mno usihadalike na dunia inna lillah wa inna illaih rajiun

  • @wazirikhamisi4828

    @wazirikhamisi4828

    3 жыл бұрын

    Uko sahihi baarakallahu fiyka

  • @emmanuelgodwinmollel3714

    @emmanuelgodwinmollel3714

    3 жыл бұрын

    Swali moja. Je kale ka-aya ka mwisho alokasema umekasoma ukakaelewa na kufanyia kazi?

  • @mordekairehani5821

    @mordekairehani5821

    3 жыл бұрын

    Jahanamu ni wewe uliyekataa kumwamini Yesu kama Mwokozi

  • @prettylove5295

    @prettylove5295

    3 жыл бұрын

    Shida yenu waislam ndo hiyo mnapenda kuhukumu acha afichue mambo yenu nyie ndo mashetan wakubwa

  • @wazirikhamisi4828

    @wazirikhamisi4828

    3 жыл бұрын

    @@prettylove5295 HAHAHAHAHAHAH UJINGA MZIGO ALLAH AKUONGEZE KTK HAKI. KTK UISLAMU kaka yangu UISLAMU na ushirikina ni Maghreb na mashariki. Angalia ktk Suratl annisaa sura ya 4 Aya ya 116 yani msitali 116 pia angalia pia sura ya 5 ktk Suratl maida Aya ya 72 angalia tena sura ya 98 Aya ya 6 ANGALIA MUNGU ANASEMAJE KUUSU SHIRIKI NAJE MTU ATAKAE KUFA HALI YAKUWA MSHIRIKINA MAFIKIO YAKE YATAKUWA WAPI CC TUNA MPINGA HUYO KIJANA KWASABABU CC TUNASOMA MPK KESHO NA TUNAUJUA UISLAMU VILIVYO WW INGIA Goggle KAKA DANLOD QUR'AN ILIYO TAFSILIWA KISWAHILI YANI KIARABU NA KISWAHILI ALAFU WW MWENYEWE UTATUAMBIA HUYO QUR'AN GANI ALIYO ISOMA YEYE YENYE KUFUNDISHA UCHAWI HIZO MBINU ZA WAKRISTO KUTAKA KUU CHAFUA UISLAMU 0718020252 NAMBA ZANGU HIZO IKIWA UONGO AYA NILIZO KUAMBIA UANGALIE NIPIGIE NA UNIOJI VZR

  • @gracebalaboy4849
    @gracebalaboy48493 жыл бұрын

    Yesu ndiyo msaada wetu ktk maisha yetu, wanaompinga yesu wanahitaji msaada wa maombi.

  • @apostlebenny5319

    @apostlebenny5319

    3 жыл бұрын

    Yesu ni Bwana wa ma Bwana.. Mm nampenda sana. Mwamba hyu haaaaa!!

  • @bakariamour6024

    @bakariamour6024

    3 жыл бұрын

    Yesu ni msaada wako wewe sio wengine

  • @issamohd9955

    @issamohd9955

    3 жыл бұрын

    Kwani yuko mtu ana mpinga yesu kwani

  • @issamohd9955

    @issamohd9955

    3 жыл бұрын

    Mm napenda nikwambie tu ww kijana tangu mwanzo hukua na imani ya dini ulikua mshirikina nasasa umeacha dini ya kweli ya Mungu sasa unaenda kwenye dini ya wataliano aibu yako mana umejifichulia siri mwenyeo kua pande za wazee wako wote mama na baba muna mambo ya mizimu je uislamu unawakubali waislamu kama nyinyi jibu ni hapana nyinyi muko mbali sana na uislamu kwamaana Mungu anasema katika Qur'an waislamu wakweli hawana kuamini mizimu hawana kuomba katika makaburi na mapango Mungu alijua kama mtakuako watu kama nyinyi ndomana akaiweka mbali dini yake nahayo mambo wewe ni mshirikina mpenda pesa mwenye pupa na dunia kwahio ndomana hao wakaamua kukununua ili wakakutie motoni vizuri tena umesema wazi kua ulikua ukichukua watoto wa watu mahospitalini kama serikali munanipata chonde chonde huyu mtu katili akamatwe afunguliwe mashtaka

  • @maryammohd5994

    @maryammohd5994

    3 жыл бұрын

    Kuumbe eehh?🙄🙄🙄

  • @ikwabeinjilitv9758
    @ikwabeinjilitv97583 жыл бұрын

    Amen Mungu azidi kukubariki kijana wetu

  • @marykibwana9413
    @marykibwana94133 жыл бұрын

    Unapendeza sana kaka yangu ndani ya Yesu kuna raha.

  • @twobrothers8228

    @twobrothers8228

    3 жыл бұрын

    Sio Raha tu, Na Uzima Wa Milele.

  • @marykibwana9413

    @marykibwana9413

    3 жыл бұрын

    @@twobrothers8228 Kwa kweli na uzima tele. Nimeipenda hiyo nyongeza.

  • @aberboaz9512

    @aberboaz9512

    3 жыл бұрын

    @@twobrothers8228 amen

  • @adinanijackobo1328
    @adinanijackobo13283 жыл бұрын

    Sura 2 - Aya 14 وَإِذَا لَقُواْ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ قَالُوٓاْ ءَامَنَّا وَإِذَا خَلَوْاْ إِلَىٰ شَيَـٰطِينِهِمْ قَالُوٓاْ إِنَّا مَعَكُمْ إِنَّمَا نَحْنُ مُسْتَهْزِءُونَ

  • @fauzatisospita5053

    @fauzatisospita5053

    3 жыл бұрын

    Swadaqallah alaliyyul adhiiim

  • @adinanijackobo1328

    @adinanijackobo1328

    3 жыл бұрын

    @@fauzatisospita5053 manshaAllah

  • @yasalaam590

    @yasalaam590

    2 жыл бұрын

    Inasikitisha sana huyu kijana kwakweli kashakufa tuseme tu innalillahi wainna ilayhi rajiuna ni msiba mzito allah amuhidi yeye na wengine yaarabbi awajaaliye watubiye toba yakweli kumbe wanafiq wanaishi mpaka leo jamani subhanallah

  • @SAM_163

    @SAM_163

    Жыл бұрын

    @@yasalaam590 ACHA KIBURI MPOKEE YESU. KUUKATAA UKWELI HAIBADILISHI UKWELI ANAUONGELEA KUHUSU UISLAM KAMA SIO KWELI TUAMBIE UKWELI HIVYO VITU HAVIPO KWA QURAN?

  • @lenardkenedy542

    @lenardkenedy542

    10 ай бұрын

    @@yasalaam590 Acha taarabu jifuze ndugu Usiamini Majini

  • @thedyassenga477
    @thedyassenga4773 жыл бұрын

    Karibu kwa Yesu

  • @ashahaji6786
    @ashahaji67863 жыл бұрын

    Inna lillah wainna ilayhi raajiuun Ya Rabbi tuhifadhi na utuepeshe na mambo km haya ss na vizazi vyetu

  • @abdulazizsharif2984

    @abdulazizsharif2984

    3 жыл бұрын

    Ameen ya Rabbi

  • @julianampanduji6000
    @julianampanduji60003 жыл бұрын

    Hallelujah...yuko Mungu mmoja na kila jicho litamuona,Amina.

  • @emanuelbatholomeo5903
    @emanuelbatholomeo59034 жыл бұрын

    Innalilah waina ilah rajiun

  • @AndrewKundya

    @AndrewKundya

    8 ай бұрын

    Mngepambana kwanza na Waganga wasifanye kazi zao kwa jina la dini yenu ikiwezekana mngekua mnawatenga kabisa lkn tuchoona hao waganga wanaheshimika kwelkweli kwenye jamii kisa wanapiga visomo kwa kitabu chenu

  • @totodavis1949
    @totodavis19493 жыл бұрын

    Amen naisi kulia kwajili ya furaha utapata amani brother neema ya bwana iwe nawe

  • @sharifakhamis2461
    @sharifakhamis24613 жыл бұрын

    Innallah wainnallah rajun Allah akuongoze kabla roho yako haijatoka kurudi kwa mola wako maana utakuja kujuta milele kama hukurudi ikiwa bado hai ya rabbi tuongoze waja wako

  • @thegospelmessage5039

    @thegospelmessage5039

    3 жыл бұрын

    ahaaa uislamu dini ya shetani

  • @yakobomkristo872

    @yakobomkristo872

    Жыл бұрын

    Tatizo Wanaobaki Huko Wanakosa Msaada Wa Kuachana Na Uchafu Huo Ndiyo Maana Wanakimbilia Kwenye UKRISTO Ili Wapone.

  • @truth7796
    @truth77963 жыл бұрын

    There's power in the name of Jesus to beak every chain glory to God

  • @josephatjoseph1755
    @josephatjoseph17554 жыл бұрын

    naomba umohoji tena kaka nimeupenda sana ushuhuda wake aelezee vitu vyote bila haraka

  • @millicentayangokunting3728

    @millicentayangokunting3728

    4 жыл бұрын

    Sana

  • @pastoreliamsika9355
    @pastoreliamsika93553 жыл бұрын

    Well done Songambele mwamba! Najua ushauona ushujaa wa YESU Upo mahali sahihi sana sana huku Sinaga shaka na mageuzi ya Yesu hata mimi nimeyaona mageuzi ya YESU, anidanganyi mtu kwa habari ya uwezo wa YESU KRISTO. 2008 mpaka now 2020 najua umeshakomaa kabisa Mtu akitaka aamini au asipotaka asiamini YESU hajawahi mlazimisha mtu kuingia kwenye neema hii ya WOKOVU ni suala la muda tu na wakati sahihi.

  • @godwinsamwel3937

    @godwinsamwel3937

    3 жыл бұрын

    Mungu akubaliki

  • @agapemtuli9175
    @agapemtuli91753 жыл бұрын

    Bwana Yesu hajawahi kushindwa kamwe. Asante Yesu kwa kumtoa utumwani. Hakika ndo tunapata mwanga kumbe upande wa pili Kuna Mambo mengi.

  • @peterallan6311
    @peterallan63113 жыл бұрын

    Glory to God for giving this soul another chance.

  • @carolinenatembeya6787
    @carolinenatembeya67874 жыл бұрын

    YESU ASIFIWE TAMBAAA KOTE UJAE JILA ENEO, YESU NDIO HABARI GEUKENI LEO MKAPINE. AMEN

  • @winniewambua1972
    @winniewambua19726 ай бұрын

    Hallelujah, Yesu jiwe lisilotigizika

  • @edwardmanota998
    @edwardmanota9983 жыл бұрын

    Amina. Asante kwakuijuwa kweli. Maana yesu ndie njia ya kweli na uzima amwaminie yesu hapotei wala ahukumiwi bali atakuwa na uzima wa milele, kijana piga injili tupe u kweli huo

  • @rabilubinza7661
    @rabilubinza76613 жыл бұрын

    Bwana Yesu apewe sifa.Haleluyaa

  • @ambokileboniface3691
    @ambokileboniface36914 жыл бұрын

    Yohana 14:6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli na uzima; MTU haji kwa Baba, ila kwa njia ya Mimi. Mungu akubariki kwa kuichagua njia ya kweli na uzima.

  • @suzieomega6356

    @suzieomega6356

    3 жыл бұрын

    Hiyo ndiyo kweri, alipo yesu ndipo mungu alipo,

  • @omarymnola1011

    @omarymnola1011

    3 жыл бұрын

    Kwenu nyie yesu sio njia bali ni jina la dini yenu Maana baada yake ndo mmejiita Wakristo sasa kabla mlikuwa akina nani

  • @ambokileboniface3691

    @ambokileboniface3691

    3 жыл бұрын

    Omary mnola Neno LA Bwana katika kitabu cha Isaya 42:22 Lakini watu hawa ni watu walioibiwa na kutekwa ; wote wamenaswa katika mashimo , wamefichwa katika magereza ; wamekuwa mawindo ,wala hapana aokoaye , wamekuwa mateka , wala hapana asemaye Rudisha..Mungu alie hai katika Kristo Yesu anakupenda na kumbuka kila goti litapigwa kwake na kila kinywa kitakiri kuwa Yesu ni mfalme anayetawala milele. Yesu anakupenda kwake yeye hakuna lisilowezekana kwake , mpokee leo abadilishe historia ya maisha yako.

  • @suzieomega6356

    @suzieomega6356

    3 жыл бұрын

    @@ambokileboniface3691 wamepofushwa, hawawez kuona yesu ndie njia yakwer nauzima wamilele sema amen

  • @suzieomega6356

    @suzieomega6356

    3 жыл бұрын

    @@omarymnola1011 , kama kwetu si si wewe kinakukera Nini ama kukuuma Nini ?

  • @rebeccampaki9647
    @rebeccampaki96473 жыл бұрын

    Amina MUNGU akujaalie ufike mbinguni

  • @fatumadonath2068
    @fatumadonath20683 жыл бұрын

    Subuhanallah subuhanallah hata aya za Allah huzitaji inavyopaswa so inaonyesha kuruan hukuisoma vizuri mtihani wallah

  • @ICON633

    @ICON633

    Жыл бұрын

    Yesu anakupenda

  • @annamrima5507
    @annamrima55074 жыл бұрын

    Mungu ni mungu tu na atabaki kuw mungu, ubarkiwe san kakaangu ieneze injili

  • @halimaalsaad5469
    @halimaalsaad54693 жыл бұрын

    Laaanatullwah

  • @dorcaskarago2876

    @dorcaskarago2876

    3 жыл бұрын

    Ndugu amini

  • @leonceuwandameno6378

    @leonceuwandameno6378

    3 жыл бұрын

    @Somali Bajun99 Hama huko! Unashangaa! Ndo usikie sasa!

  • @samsungj7pro64gb5
    @samsungj7pro64gb53 жыл бұрын

    Inna lilah wainna ilahi lajihun

  • @johnpangalas9687
    @johnpangalas96872 жыл бұрын

    Yesu ni njia ya kweli na ya uzima

  • @majariwagift1498
    @majariwagift14984 жыл бұрын

    Ameen yesu ndie njia ya ukweli na unzima

  • @tumpenywapi8422
    @tumpenywapi84223 жыл бұрын

    Glory to Almighty Jesus who saved us on the cross....you matter to God

  • @stancychemutai3830
    @stancychemutai38302 жыл бұрын

    Thank you God for showing me the way..I was confused in which religion to be...now I know

  • @likakataually9742

    @likakataually9742

    2 жыл бұрын

    Scha uwongo

  • @everlynemiriam5231
    @everlynemiriam52313 жыл бұрын

    Dont go ibeg u the name of GOD BE BLESSED ALOT KEEP IT UP

  • @mussa6990
    @mussa69904 жыл бұрын

    Kijana unapaswa kufanya toba kubwa sna na usiweke hasira kichwani mwako mana mtu akikuudhi unaweza kurudi tena huko na kumfanyia kitu kibaya kwhy utubu kwa toba ya kweli na Mungu akufungue kweny hicho kifungo na damu ya Yesu ikufungue na kukuweka huru kabisa watu wengi tunateseka kwasababu ya watu wenye vitendo kama hivyo wanatesa snaa maisha yetu.

  • @khalifahmtata8659

    @khalifahmtata8659

    3 жыл бұрын

    Kijana kapotea

  • @happynicholaus6474

    @happynicholaus6474

    3 жыл бұрын

    @@khalifahmtata8659 JESUS KING OF KING

  • @saidhomie3368

    @saidhomie3368

    3 жыл бұрын

    Kijana yupo pale anapaswa kuwepo, kwenye nguvu za giza, na ndipo anapostahili kuepo, kwa yale alioyafanya, anaelezea kwa ustadi na kwa mapambo, kama vile abaelezea vipi kupika chakula, Mungu atunusuru kwa majanga hayo.

  • @mariamjumamariamjuma4331

    @mariamjumamariamjuma4331

    3 жыл бұрын

    @@happynicholaus6474 na MUNGU NI NANI KAMA UYO JISUS NI KING. ACHA UJINGA WW

  • @happynicholaus6474

    @happynicholaus6474

    3 жыл бұрын

    @@mariamjumamariamjuma4331 hayo ndio maoni yangu

  • @calvinmchopa2222
    @calvinmchopa22223 жыл бұрын

    Wenye kupinga endeleeni kupinga lakini YESU NI BWANA NA ATAENDELEA KUOKOA TU HATA UPINGE...

  • @Truth771

    @Truth771

    3 жыл бұрын

    Kuokoa na nini? Kwani Yesu alikuwa Mkiristo au ukiristo ni Dini ya Yesu?. Nyinyi mnamwabudu sanamu wala hamfuati mafundisho ya Yesu. Sanam la Mariya na Sanam la Yesu. Wala sio Yesu Kila mmoja Ana Sanam lake. Mzungu Ana Yesu mweupe. Mwafrika Yesu black. Tazama huyu anampiga Yesu Mzungu. kzread.info/dash/bejne/n4yFzaaSoLzenrw.html

  • @calvinmchopa2222

    @calvinmchopa2222

    3 жыл бұрын

    Wewe dini gani, je hujui kuwa Yesu ni njia kweli na uzima mtu haendi kwa Mungu ila kwa njia Ya Yesu?????, tuanzie hapo

  • @Truth771

    @Truth771

    3 жыл бұрын

    @@calvinmchopa2222 : Alaa! kumbe Yesu ni njia tu sio Mungu? Kumbe Kuna Mungu ambae ni mwingine sio Yesu. Na Kuna Mungu wa Kweli ambaye ndiko wote tunakenda huko. Hiyo Sawa hata Yesu kasema hayo kwenye Bibilia Tumjue Mungu wa kweli na Yesu ni mtumwa katumwa na Mungu wa kweli. [Yohana 17:3] " Na huu ndio uzima wa milele: wakufahamu wewe ambaye PEKEE NI MUNGU WA KWELI, nakumfah amu Yesu Kristo ambaye umemtuma. Lakini Sasa wewe unamjua Huyo Mungu wa PEKEE NA WA KWELI?

  • @lucyolindo5732
    @lucyolindo57323 жыл бұрын

    I am the light and the peace of the world and you should believe I love you jesus thank you for making me understand your love is so abundant and no one can take it away from me

  • @56manya
    @56manya3 жыл бұрын

    Jesus you are too too awesome!!!

  • @mawazomwamba7503
    @mawazomwamba75033 жыл бұрын

    Karibuni kwa YESU

  • @Truth771

    @Truth771

    3 жыл бұрын

    Karibu kwa Yesu?. Kwani Yesu nyumbani kwake wapi?

  • @patrickwafula3432
    @patrickwafula34324 жыл бұрын

    #@Jesus Christ Amen welcome bro to the truth

  • @twahamachozi8018

    @twahamachozi8018

    3 жыл бұрын

    Waislamu msimtukane huyu kijana ameamua kupotea muombeeni maana hakuujua uislamu vizuri

  • @samutykuntathebantu8402
    @samutykuntathebantu84023 жыл бұрын

    GOD IS GREAT for we do not wrestle against flesh and blood but against principalities,against powers, against the rulers of the darkness of this age,against spiritual hosts of the wickedness in heavenly places. Bro keep Yeheshua kristo as your saviour usiskie matusi2 toka kwa waislamu humu walio potea Kwa Ukristo hamuna mafunzo ya kichawi na ushirikina. Mungu akupee hekima zaidii. Makafiri wa uislamu jifunzeni toka kwa huyu jamaa

  • @baluutiger8362

    @baluutiger8362

    3 жыл бұрын

    Huyu mpuuzi

  • @samutykuntathebantu8402

    @samutykuntathebantu8402

    2 жыл бұрын

    @@baluutiger8362 atakuwa babako huyo

  • @ummyproductnatural4512
    @ummyproductnatural45123 жыл бұрын

    Na wewe kaka wewe pole Sana na mdomo wako kwa unayoyaongea umesababisha mgogoro mkubwa na kutukanwa Allah na mtume wake kisa tu ulimi wako subhanallah ulimi jamani mtihani Allah akuongoze lasivyo mtihani

  • @abdallahkambangwa7215

    @abdallahkambangwa7215

    3 жыл бұрын

    Huyu nikafiri hajawahi kuwa muislam napajua mpaka kwao maana ni jirani yetu

  • @kihupasaid8707

    @kihupasaid8707

    3 жыл бұрын

    Atafutwe muuaji huyo.

  • @irenekaluse3213

    @irenekaluse3213

    Жыл бұрын

    Hebu waone majibu yao wamejaa mapepo tu ya allah wao wa uongo

  • @moseswekesa8366
    @moseswekesa83663 жыл бұрын

    Laanatullahi allayk

  • @allybashiru2120

    @allybashiru2120

    3 жыл бұрын

    Allah akusamhe kwa mamb unayoyafanya na kudhalilisha uislam haliya kuwa haupo hvyo,acha uongo kaka

  • @churaukuni6366

    @churaukuni6366

    3 жыл бұрын

    Wew nimchaw nasio mganga

  • @churaukuni6366

    @churaukuni6366

    3 жыл бұрын

    Kudadadek umekimbia kuuliwa pumbav

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein26353 жыл бұрын

    ALLAH TUDUMISHE KTK UISLAMU HATA YUPATE MITIHANI YA AINA GANI KWANI DUNIA NI MATEMVEZI NA KILA NAFSI ITAONJA MAUTI🙏🙏🙏🇰🇪

  • @fathimafathima4135

    @fathimafathima4135

    3 жыл бұрын

    Eminn yarabbb islm din

  • @ruehassan8999
    @ruehassan89993 жыл бұрын

    Amen brother God bless you.

  • @sammagesa8184
    @sammagesa81843 жыл бұрын

    Amen... Mungu azidi kukutetea mtumishi....songa mbele

  • @agneswanjihia1383
    @agneswanjihia13833 жыл бұрын

    Yesu diye njia ya kweli 🙏

  • @mikekhalifaali7510

    @mikekhalifaali7510

    3 жыл бұрын

    Innalilahi Was Inna Laihi Rajiun

  • @geraldlaurent7465
    @geraldlaurent74654 жыл бұрын

    Yesu Baba yangu unaishi mile na mile mwanzo mwisho Mimi nasema ni YESU TU.

  • @z.osterzulu6899
    @z.osterzulu68993 жыл бұрын

    Subuhana llah

  • @leahmujemula5387
    @leahmujemula5387 Жыл бұрын

    Nampenda huyu Yesu

  • @abuuhassani497

    @abuuhassani497

    Жыл бұрын

    Ila hakujui

  • @annewasike7290
    @annewasike72904 жыл бұрын

    Glory be to GOD

  • @jokhasaid8666
    @jokhasaid86663 жыл бұрын

    Wewe ni muuaji ushtakiwe kwa mauaji uliyofanya na umeshapunguzia kazi police kwa maelezo yako

  • @lizzydiy4590

    @lizzydiy4590

    3 жыл бұрын

    😂😂😂 kashatoa ushahid woote

  • @hmjunior8140

    @hmjunior8140

    3 жыл бұрын

    😅😅😅 kwa kweli amefanya la maana kupunguzia kazi polisi

  • @luganoessom1464

    @luganoessom1464

    3 жыл бұрын

    😁😁😁😁

  • @ritamrembo3351

    @ritamrembo3351

    3 жыл бұрын

    Heri kufungwa hapa duniani n kufunguliwa mbungini,

  • @calvinmchopa2222

    @calvinmchopa2222

    3 жыл бұрын

    Na vipi kuhusu hao ambao hawajajiweka wazi?

  • @rahmajay1034
    @rahmajay10343 жыл бұрын

    We ulikuwa huna iman na mwenyez mungu,acha siasa ktk duni hakuna din inayoruhusu uganga,mwenyeziungu atakuweka mpk ulipe yote uliofanya. Mungu akusamehe,akuhifadhi

  • @selemanimahimbo6888
    @selemanimahimbo68883 жыл бұрын

    Yohana 16:5-15 5 “Lakini sasa ninakwenda kwake yeye aliyenituma, wala hakuna mmoja wenu anayeniuliza, ‘Unakwenda wapi?’ 6 Kwa kuwa nimewaambia mambo haya, mioyo yenu imejawa na huzuni. 7 Lakini nawaambia kweli kwamba kuondoka kwangu ni kwa faida yenu kwa maana nisipoondoka, yule Msaidizi hatakuja kwenu. Lakini nikienda nitamtuma aje kwenu. 8 Naye akija atauthibitishia ulim wengu kuhusu dhambi, haki na hukumu. 9 Kuhusu dhambi kwa sababu hawaniamini; 10 kuhusu haki kwa sababu ninakwenda kwa Baba na hamtaniona tena; 11 na kuhusu hukumu kwa sababu mtawala wa ulim wengu huu amekwisha kuhukumiwa. 12 “Nina mambo mengi zaidi ya kuwaambia lakini hamwezi kuy apokea sasa. 13 Akija yule Roho wa kweli atawaongoza muijue kweli yote. Yeye hatanena kwa uwezo wake mwenyewe bali atanena yote atakayosikia. Atawafundisha kuhusu mambo yote yajayo.14 Atanitukuza mimi, kwa maana atayachukua yaliyo yangu na kuwaambia ninyi. 15 Vyote alivyo navyo Baba ni vyangu, ndio maana nimesema kuwa atachukua yaliyo yangu na kuwaambia ninyi.

  • @mathiasiskapili9674

    @mathiasiskapili9674

    3 жыл бұрын

    Nimeogopa jaman Ee mungu tuonyeshe kweri

  • @kushnganga3649

    @kushnganga3649

    3 жыл бұрын

    I like the way u pple qoute the bible,but rember our differences is which God u worship... Yahweh and Allah two different cases but one day the truth will reveal it's self (Judgement Day)

  • @thegospelmessage5039

    @thegospelmessage5039

    3 жыл бұрын

    allah is a big snake .not God

  • @zephaniandumba8562
    @zephaniandumba85623 жыл бұрын

    Safi sana kwa ushuhuda Mungu ni mwema

  • @titogood3002

    @titogood3002

    3 жыл бұрын

    Amina

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi50534 жыл бұрын

    Yesu Kristo Ni njia kweli na uzima watu wote tumfuate yeye

  • @rachelevarist70

    @rachelevarist70

    3 жыл бұрын

    ckia wewe nikuambie ukristo sio dini hakuna dini inaitwa ukristo nyinyi kama sio tamaa za dunia msingepotea huyo ni muongo hua walokole niwaongo huo ushuhuda niwauongo huyo alikua kafiri kaenda kusoma kiarabu ili aje awahadae wakristo ambao hamjui huo niuongo

  • @gracecharles2696

    @gracecharles2696

    3 жыл бұрын

    @@rachelevarist70 Mbona wapo wengi mashekh wanaoushuhudia uchawi kwenye uislam..kama shekh anapaa ,anaua,anafuga majini sindo uchawi wenyewe huo ..Wachawi ata makanisani wapo utofauti wakanisani tamaa za pesa lkn Biblia haijafundisha hayo..Ila kwa wwnzetu mtu anafungua kabisa kitabu anamusomea dua upatwe na jambo baya hapo ndo sipaelewagi Mungu wetu anatuwazia mema iweje wewe uniwazie mabaya kwa kutumia kitabu unachosema cha Mungu ..Huyu anaweza kua muongo kwa sababu simfahamu lkn wapo nnaowaamin wametoka kwenye ushetani nawaona na wanashuhudia mengi tu ..kila shekh anafuga majini loooh huku sie twayaombea yatoke nyie mwayatafutia chumba yakae..Yesu ndie njia ya kweli na uzima tunafika kwa Mungu kupitia yeye....

  • @berthairungu6746

    @berthairungu6746

    3 жыл бұрын

    Aminaaaaaaa

  • @ArafaSuleiman-db9pw
    @ArafaSuleiman-db9pw5 ай бұрын

    Asalm alykm y akhi rudi katka uislam uchawi achana nao brother ufaulu fii dunia wali akhera Afwan pole sana kw yotte uchawi si uislam hyo n njia nyengine y shetani

  • @andrewsmbeya6640
    @andrewsmbeya66403 жыл бұрын

    YESU NDIYE NJIA YA KWELI NA UZIMA, KILA AMWAMINIYE HATA POTEA BALI ATAKUWA NA UZIMA WA MILELE.

  • @rehemadoreen3614

    @rehemadoreen3614

    3 жыл бұрын

    Yesu alikuja kuokoa kile kilichopotea na kukiokoa hiyo ndiyo sababu Yesu alikufa na kufufuka💪💪💪💪

  • @Truth771

    @Truth771

    3 жыл бұрын

    Kwa sasaYesu SIO NJIA. Muhammad ndio njia. Yesu alikuwa ni njia kwa Wana wa Israeli tu. Ndiko alikotumwa. Angalia bibilia yake Yesu mwenyewe kasema. [Matayo 15 msitari wa 24] " Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli". Yesu kasema Muhammad ndio Roho wa kweli (Ndio njia) Atakuja kukuingoza kwenye njia ya haki. [Yohana 16 msitari 12-15] " Hata bado nikali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili hivi sasa. 13 Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake. 14 Yeye atanitukuza mimi, kwa kuwa atatwaa katika yaliyo yangu na kuwapasha habari. 15 Na yote aliyo nayo Baba ni yangu; kwa hiyo nalisema ya kwamba atatwaa katika yaliyo yangu, na kuwapasheni habari. Muhammad anatuongoza kwenye kweli. Ndio Njia. Acheni kujidanganya UKIRISTO sio Dini ya Mungu ukiristo ni upagani wa Waroma.

  • @Truth771

    @Truth771

    3 жыл бұрын

    @@rehemadoreen3614 : Nani kakwambia Yesu alikufa msalabani?. Mbona bibilia inakataa madai hayo ya wapagani wa Roma. Bibilia yako inasema Yesu hakufa aliokosewa na Mungu alichukulia mbinguni. Pilato ndio alisulubiwa sio Yesu

  • @thegospelmessage5039

    @thegospelmessage5039

    3 жыл бұрын

    AMINA YESU ANARUDI TENA

  • @Truth771

    @Truth771

    3 жыл бұрын

    @@thegospelmessage5039 Yesu anarudi Tena kuukana ukiristo. maana hakuwa mkiristo wala haujui UKIRISTO. Yesu alikuwa Muislamu. - Yesu aliswali kwa kusujudu sio kanisani kukaa kwenye benchi. - Yesu katahiriwa sio kama wa ukiristo wanagovi. - Yesu hakula Nguruwe wakiristo wala nguruwe.