Ahsante Yesu wangu kwakua nimetambua nguvu yako mapema....!
@bobkariz56632 жыл бұрын
Davistar Mr everything the don good work mob love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@mikarubisha33312 жыл бұрын
Yes!!! Salute xana mr Dm...huyu jamaa ni qonky xana katika elimu dunia...nice story tutajfunza mengi🙋🙌
@barnabasmajige84732 жыл бұрын
Elimu hii ni kubwa sana ktk maisha ya wanaopenda mambo ya ushirikina na uchawi.
@rayaalhabsi1725
2 жыл бұрын
Kweli kabisa maneno yako Barnabas Majinge, Allah amhidi huyo kijana pamoja na huyo ustadh wake
@paschazianestorymatunda5972 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana Bwana Hassan Mungu ni mwema ... Now Meshack... Mungu azidi kukutunza na kukubariki sana daima
@womanofsteel14022 жыл бұрын
Ulipo nipo Davistar mata,sikuachi Bora nishinde njaa lakini nipate bando kwa ajiri yako😁❤️ ilimradi tu nipate elimu ambayo hata uwe na PhD huwezi ipata.
@adrianoscar1974
Жыл бұрын
Kweli hii haipatikani kwa kuwa na mavyeti mengi
@mickeytv36912 жыл бұрын
Aiseee watu wa kigoma ni best story tellers
@ahmadabdallah66412 жыл бұрын
Falaq ni ilimu ya kishirikina. Haifa kuitumia ni kumshirikisha Mwenyezi Mungu. Ametukuka Mwenyezi Mungu Muumba mbingu na Ardhi.
@kalssambaboo9932
2 жыл бұрын
Naaam
@aprilking8250
2 жыл бұрын
Kwanini falaq inafunzwa kwenye madrass
@santawinny99462 жыл бұрын
Davistar ungeweka number yako ilimtu akigushwa akutumia hata kitu kidogo ........aki I love you my brother maana najua sai mahali niko niko mahali sahihi Asante Yesu wangu .....kama unaelewa huyu jamaa nipeni like na mimi leo😋
@shepherd1x842 жыл бұрын
Yesu ni kimbilio tosha..
@mariamfritsi49432 жыл бұрын
Asanteni sana kwa kutuletea simulizi hizi kwani tunajifunza tusioyajua yanayoendelea kwenye dunia hii. 18.08.21.
@zawadianagabriel97682 жыл бұрын
Daah davistar mungu akubariki ushuhuda mzuri sana naomba asiruke chochote aeleze kila kitu
@beingkeemie262 жыл бұрын
Those who follow horoscope.. Be very keen with deception from the devil.
@martinmaryogo36762 жыл бұрын
et kuna mt anasema yy kasoma madrasa hakufundishwa hayo hahahahaaa ndo ujue ww ulisomeshwa vitu vzr au vichache lkn huo ndo ukwel maan huyu hivyo vitabu anavovitaja vipo na mnavijua au wengine hamvijui kwakuwa haviwahusu elimh ya mle, lkn bado mtu anapuuuza
@raiyaaaraiyaa6054
2 жыл бұрын
Mshenzi atabaki kua mshenzi na hataerevuka hata sku moja. So atadanganya wapumbavu waliozoea kuburuzwa na wasiojua kusoma wala sio wenye akili zao. Hasara kwake haounguz wala kuongeza katika uislamu
@badymsuya60932 жыл бұрын
Nilikua nataman umtafute sana huyu jamaa na hata shekhe Amiri ambaye Naye ameokoka maana Hawa wote niliona interview zao Lakin fupi sana waandishi wanakaa nyuma ya camera Kwa Hyo no question Ila hapa najua tutajifunza vingi sana👌🏾
@igurusitv65532 жыл бұрын
Hii sasa machine 🤣🤣
@abubakarwadi57732 жыл бұрын
More fire
@jamesoseko62452 жыл бұрын
Yesu ni mkuu
@martinmaryogo36762 жыл бұрын
huyu jmaaa ana elim kubwa sana, et hakuna jambazi mbaya na jambaz mzuri, jin ni jini tu ila anakuja kwa uzur ili umwabud bila kujua hahahahaaaa elim ni nzur sana sana,
@kahindiwanje902 жыл бұрын
Safi Sana broo
@chazgunda58232 жыл бұрын
HIII NAYO NI ZILE MIONGONI MWA KALI MNOOO💥💥💥
@violinenyakara50282 жыл бұрын
Kali sana big up kaka davista watching from Qatar 🇶🇦
@valentinandukuvalentinandu47792 жыл бұрын
elimu ni nzuri sana ina mafunzo mengi
@davidkizito69002 жыл бұрын
+256, proud to be number 90
@ismailyusuph7402 жыл бұрын
Kigoma noma sana.....watumishi mnajitahidi kuchafua uislam’ Lkn tatizo kuna mambo mnadanganya Watu...Shetani Sio kiumbe bali ni sifa...Kiumbe hapo ni Jini ‘ majini ni viumbe walioumbwa ‘ wana familia zao’ wana serikali zao’ Na ni viumbe wasioonekana na tunaoishana nao wakiwa wamevaa uhusika wwt wanaotaka...! Hawa majini Wapo tofauti kitabia ‘ Ndio maana Hata kipindi Cha Yesu kuna wale waliokua kila wakimuona wanaanguka na kumtukuza’ Na Sio mara moja ‘ Yaani kila walipomuona ‘ walifanya hivyo’ Na Yesu aliwakataza wasimwambie mtu kwamba yy ni mwana wa MUNGU...!...Lkn pia yupo jini mkuu ambae alimchukua Yesu mpk Juu ya mlima na akamwambia amsujudie atampa milki zote za Dunia’ Yesu akamwambia imeandikwa msujudie BWANA MUNGU wako peke yake’ Kwa hivyo hawa majini ni kweli Wapo tofauti kitabia ‘ Na wanaadam tumeamrishwa tusifanye ushirika na majini ‘ haijalisi ana tabia gani..!...Jambazi ni yuleyule hakuna Jambazi mzuri’ Lkn majambazi wengine hujificha kwenye kivuli Cha ibada ‘ wengibe hutoa misaada’ wengine huwa ni viongozi na hawajulikani ‘ japo siku akiuwawa kwenye tukio ’ Watu wengine husikitika na kusema dah jamaa alikua mtu wa Watu anatoa misaada ‘ au mchungaji’ au mtu wa ibada Lkn kumbe alikua Jambazi’ alikua mtu mzuri sana..!...Sasa unapoambiwa kuna majini wazuri na wabaya haimaanishi ushirikiane nao au uone sawa’ waache na Dunia yao na mambo yao’ ...!...ukitaka kusomea hata umalaya duniani hapa vyuo hivyo vipo na wabafundishwa binaadam sisi wenyewe...Sasa ni hiyari yako kuchagua upande..!..fanya Hayo kesho UKAWE KUNI ZA JAHANNAM..!
@ismailyusuph740
2 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows ......Tatizo la ndugu nyie ushabiki’ hakuna anaekatazwa kuongea’ Lkn Kwa wanaojua mtu anapoongea Tofauti anasahihishwa...!...Sio kila anachoongea yupo sawa..! Sasa ww unaamini kwamba baadhi ya majini walikua malaika..?...Kwa imani ya dini yako Ndio inavyosema..?...Malaika wameumbwa Kwa nuru....Binaadam wameumbwa Kwa udongo....Majini wameumbwa Kwa moto..! Malaika hawali ‘ hawanywi..hawalali...hawafanyi mapenzi...hawaendi Choo...hawazeeki...Na toka wameumbwa hawajawahi kumuasi MUNGU’ wao ni Kumtii na kufuata wanavyoamrishwa na MUNGU...!...leo anatokea mtu anawaambia Malaika ni majini au malaika akizeeka anakuwa shetani unashabikia ‘ ...hilo Ndio Tatizo imani bila maandiko..! Binaadam anayafanya yote’ anakula...analala..anaenda choo...anafanya mapenzi...Anazeeka...anachoka...analala...anaasi...wanazaa....na mengineyo..! Majini na binaadam mambo yao yanafanana ‘ Na majini wamezidi uwezo zaidi ‘ hawaonekani na wana familia zao pia...!...Na ni viumbe wa Ajabu ambao wameumbwa na MUNGU ‘ hawajajiumba wenyewe ‘ MUNGU katupa uwezo binaadam wa kumiliki kila kilichopo duniani ‘ Lkn usifikiri una uwezo wa kumdhibiti jini bila kuwa na kinga ya MUNGU ‘ Na Ndio maana wana uwezo wa kuangamiza na kuharibu maisha ya binaadam...! Waislam huwa hatukubali mtu abwabwaje Bila maandiko au aongee kufurahisha Watu’ na uislam hauruhusu UCHAWI wala Kushiriki na majini’ ukiona hivyo ujue huyo ni MUISLAM aliyekengeuka na Sio UISLAM unavyotaka.!..hata wanasayansi na Elimu zao leo wanaangamiza Binaadam wenzao ‘ ...Kwa hivyo aongee ila akiongea tofauti anarekebishwa ‘ ww wa kusikiliza kila linalozungumzwa hata kama Sio endelea kuamini..’...SOMENI muelewe ‘ Sio M’BURUZWE..!
@meisme7540
2 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows Unaelimishwa alafu unampa pole anayekuelimisha daah! POLE SANA Nawe piaa. Maana hujui ulitendalo. Hata bm maziwa aliongea pia mbona hakubanwa. Pole pole pole sanaaa@Asumani Benjamin
@meisme7540
2 жыл бұрын
@@ismailyusuph740 Asante ndugu yangu
@just_this_way
2 жыл бұрын
Hz stor huwa jamaa wanazitunga. Fatilia stor nyingi utaona mwisho wake ETI MTU KAOKOKA. uongo mtupu. Anzia ile stori ya Mussa Chesa.
@just_this_way
2 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows ubarikiwe na nani ❓ fix tu hizo. Yaani kuna stori ukianza kusikiliza tu, unaona kabisa kuna uongo wa wazi. Dini ya Ukristo imeundwa na uongo mtupu. Kuanzia uungu wa Yesu mpaka mafundisho yote ya paulo. Uongo mtupu. 😏 Eti unaniuliza nlitaka asilimu, 😳 una akili timamu ❓ kwani muislamu anasilimu tena ❓
@mbwanaomary45042 жыл бұрын
Namba moja
@djmtengwatz10992 жыл бұрын
Twende Kazi Mr....
@oscarkibate19132 жыл бұрын
Ushuhuda mzuri. Naomba lakini awe makini Kuna watu wenye nia mbaya asije akawapa elimu ya Bure. Bana maelezo Kwa kiwango kidogo
@kalssambaboo9932
2 жыл бұрын
Kabisa
@user-dz3rl1ki6u10 ай бұрын
Davister umetisha kwa maswali
@adrianoscar1974 Жыл бұрын
Naona davistar unagonga energy kidogo kuchaji maana hiyo kazi sio ya kitoto ni nzito
@hamisfakih47392 жыл бұрын
Noma sana 💥💥💥💥
@fahadissa5621 Жыл бұрын
Huyo mchungaji hakuwa mwiislam bali alikuwa mshirikina wa uislaam haumfanani hata!!Pole sana rafiki yangu na dini hukuisoma kwa ajili shekh;ustadh n.k bali wewe njia ya mali kwa ajili ya manufaa yako.Wa hukutafta mungu na uliona kwamba uislaam nikuitoa nafsi yako kwaajili ya mungu si kwaajili ya watu na manufaa yao.Sasa ndg wachngaji mmezidi nyinyi na miujiza properganda makanisa na mali na hujui maana ya shirki aloikusudia mungu.We kafiri mkubwa na unachezea shimo la moto wa jahannam.
@kimsamespa84902 жыл бұрын
Yani huyo ndogo bado ni mdogo lakini alio yafanya ni mengi kweli
@kakajoss24642 жыл бұрын
Davista mwambie awe akitafsiri kwa maana wengine hatuelewi Kiarabu
@adjafamkungilwa1154Ай бұрын
Ushuhuda mzuri sana ila mbaya nikwamba unongea siri zote adi unafundisha uchawi ndugu
@isayajerad Жыл бұрын
Mimi Ni washauri ware mnao taka kumfuta mungu kupitia yesu yesu ndiyo hjia ya kweri na uzima IRA Kama mnataka kujifuza umganga na m
@jongoathumani36902 жыл бұрын
Brother hood Davista Mata mr Dm ni Jongo boy hapa from Tz bongo pamoja sana kaka
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
Pamoja
@mohamudeyiman18152 жыл бұрын
Story nzuri Sana laki atu onyesha vitabu Kama Abu maasharal falak
@suleimaniyasri21662 жыл бұрын
Davistar huyu jamaaa... Dah qurooan jaman....raha xnaa elimu kubwa xnaa
@macamezunguzungu55842 жыл бұрын
Pamoja saana dm for another one💪
@AhmedMohamed-so7dbАй бұрын
Yaan hata haya haoni aibu hana huo ni mswiba mkubwa yumuachie mungu ndoo atamhukumu
@saidhamad5332 жыл бұрын
Noma noma
@somoeawadh77742 жыл бұрын
Pili Musa Vipi huyu, 🤔 kazi nzuri bro
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
Simtaki . Tumpe Aysha huyu1🤣🤣🤣
@somoeawadh7774
2 жыл бұрын
@@pilimusa7770 Afadhali maana pia mm simtaki hata Bure 😂😂😂
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
@@somoeawadh7774 🤣🤣🤣🤣🤣
@philipoluzege3200
2 жыл бұрын
Mbna mkaka wa watu mzuri tu jaman
@phionamoe90032 жыл бұрын
Npe namb ya hassan
@venahsithole64632 жыл бұрын
Yesu tu ndie mkombozi wangu
@hanifamasudi9732
2 жыл бұрын
Yesu sio mkombozi wa kiumbe chochote zaidi ya mungu ndio kiongozi wetu sisi nayesu
@venahsithole6463
2 жыл бұрын
Kwetu sisi wakristo ndivyo tunavyo amini kuwa Yesu kristo ndie mkombozi wetu alitumwa na baba yake ambaye ni Mungu kutuokoa sisi wakosefu hata tukifa tunaamini kuwa Yesu ndie ataipokea roho yangu kuipeleka kwa Mungu baba
@isayajerad Жыл бұрын
Mimi niwashauri tu ware mnaotaka kumfata mungu kupitia yesu ndio Sasa mda huu na Kama mnataka kumfata shetani na kujifuza umganga uisiram upo kwa njia ya mhamani uko utafundishwa kufuga majin kuwa mganga kuwa na mapepo kuwa gaidi kuwa muuaji iri update sawabu kwa shetani kuwa mrevi na Kira uchafu kwa mhamad
@ndikumasabodiegovevo90912 жыл бұрын
Hii story kali naamini mbeleni huko
@deodatusmaliti77902 жыл бұрын
Kuna madini hapa tafadhali yashushe haraka!
@mouwanahamisi82162 жыл бұрын
Ngoja nibaki Kwa mchaw wanaotusumbua ucku🙄🙄
@credo78372 жыл бұрын
Dakika za leo ndogo 🤣umetupunjaa
@philipoluzege3200
2 жыл бұрын
Umeona story moto
@credo7837
2 жыл бұрын
@@philipoluzege3200 sanaq
@aprilking82502 жыл бұрын
Eeh Atari sana kijana!
@wambuapeter51322 жыл бұрын
Pamoja devista
@kamgomoli36502 жыл бұрын
Dunia ina mambo aisee!!!
@yusufuwadi42562 жыл бұрын
Davista punguza maswali
@djmtengwatz10992 жыл бұрын
Twende Kazi
@sasamama79342 жыл бұрын
S.a jamani mm nina swala moja hivi hawa watu wanao ua watu kula watu na watoto hivi toba yao ina kubaliwa roho zote walizo una bila ya ithm yoyote yani bila makosa bila hatiya
@fahadjinni5845
2 жыл бұрын
ALLAH NI MWING WA REHMA HUSAMEHE KILA AINA YA DHAMBI KWA YULE MKOSAJI NA ALIEKIRI KUKOSA .....TOBA YA KWELI NDIO INAYOHITAJIKA
@maspro62942 жыл бұрын
Huyu jamaa muongo anatafuta kiki za kisenge
@hajiabdalla57722 жыл бұрын
Huyu jamaa katika mavi kakanywga mkojo
@kamgomoli3650
2 жыл бұрын
Kwanini mkuu,dini ni maamuzi ya mtu. unajuaje km hapo unapoabudu ni sahihi?
@atugonzalugemalila5142
2 жыл бұрын
@@kamgomoli3650 Dini siyo hiali ya mtu lazima utafte dini inayomwabudu Mungu wa kweli na sio miungu
@kamgomoli3650
2 жыл бұрын
@@atugonzalugemalila5142 Kwahiyo we unajuaje km dini aliyoichagua si sahihi na yako ndio sahihi?
@adamsafari76572 жыл бұрын
mchawi meshack ingekaa poa
@philipoluzege32002 жыл бұрын
Hii ni elimu
@SalimRajabu-zn6ib8 ай бұрын
Acha ujinga hujawahi kuwahi kua muislam icho kiarabu umejifunza wakati unatafuta kua mchungaji ili kuongopa ulikua muislam wew ni mkilistu toka mtoto kigoma ulikua unakaa Masanga tena haikua kwenu ulikua umechukuliwa kama yatima kwenu kujijin hali ngumu ACHA UONGO
@maryamomar28442 жыл бұрын
Sasa baada ya kuua watu wote hao si afungwe na amekubali aliyafanya hayo
@lucasgasper52352 жыл бұрын
DAVISTA MUULIZE HUYO HASSAN MAANA YA DUA YA KUCHINJIA KUKU MBUZ AU NG'OMBE AU MNYAMA YEYOTE
@thumnathumna59462 жыл бұрын
Iyo ya kutaja alivyowafanyia watu wanaweza kufanya kwa chuki zao.
@SalimRajabu-zn6ib8 ай бұрын
Punguzeni uongo uyo jamaa hajawahi kuwa mganga ni tapeli alikua anakaa MASANGA na hajawahi kua muislam toka mtoto ni mkilistu
@johngerald4677
7 ай бұрын
Acha uongo alikua muislamu na amewahi kuwachaleji kina simba ulanga mwanga sokoni
@jotafungo46222 жыл бұрын
Naam huyu uislam anaujua. Hivi abdallah inaanza Kwa herufi alifu au ain? Humu kuna elimu kubwa sana Ahsante
@rayaalhabsi1725
2 жыл бұрын
Huyu hajuwi uislam na hana lake moja laiti angelijuwa uislam asinge fikia hapo alipo, hana imaan katika uislam yeye pamoja na ustadh wake, wame potea njia asa yaarab Mwenye Enzi Mungu awa hidi wote
@yakobomkristo872
Жыл бұрын
Ubishi Mwingine Ni Sifa Za Kijinga, Kama Umeweza Kuacha Kunyonya Maziwa Ya Mama Yako Mzazi Sembuse Kuacha Dini Ya Mila Za Kiarabu?!
@kendrickmakaveli16192 жыл бұрын
Bonge la story
@profs.a54122 жыл бұрын
Title umeikosea huwez ukaandika mchawi wakati mtu anahudumu madhabahuni. ....bora ungeandika aliyekuwa mchawi kigoma
@husseinshadhily93292 жыл бұрын
Kama umeua sheria inasemaje
@bakari-si1pw2 жыл бұрын
Jamani
@PpPp-io6rj
2 жыл бұрын
Muogope Allah
@mpendakizamba9532
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 kigoma ww hatukusomi
@shantellemwanakombo37032 жыл бұрын
Wa mwisho
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
Pole🤣
@credo78372 жыл бұрын
Wamwishoo 😥😥
@mwajumaselemani5370
2 жыл бұрын
Hata mm naona 😂
@credo7837
2 жыл бұрын
@@mwajumaselemani5370 🤣🤣usinifanyie roho mbaya
@mwajumaselemani5370
2 жыл бұрын
@@credo7837 mm mwenyewe ndo naiskiliza sasa
@credo7837
2 жыл бұрын
@@mwajumaselemani5370 aisee sikuhiz umekuwa busy
@mwajumaselemani5370
2 жыл бұрын
@@credo7837 acha tu niko busy sana na pia nalala baadae
@khamissalum92852 жыл бұрын
Huyu jamaaa nimuongo balaaa kabisa
@maryngosha8296
Жыл бұрын
Unavyompinga uwe na hoja ya msng sio sio kusema uongo bila hoja nitakuelewa vp
@cecycecy36102 жыл бұрын
bandika bandua davstar weyeree
@credo7837
2 жыл бұрын
Hivi ile imeisha
@kijahnikwelinyalinga17402 жыл бұрын
Da swaiba kumbe ulikuaga mchawi una kuja nyumbn ,dah kagoma 🙄🙄 misiamini mbona hatukuwahi kuskia pale mtaani
@bonifaceandaro9140
2 жыл бұрын
😂😂😂
@Laila-lz4ij
2 жыл бұрын
Bahati yenu😂
@valentinandukuvalentinandu4779
2 жыл бұрын
Kwan mchawi husema yy ni mchawi
@davieed1427
2 жыл бұрын
@KIJAH mchawi hana alama utamjuaje kwa kumuona
@karrolleschon39862 жыл бұрын
🇰🇪🇸🇪⏰
@chakitv12412 жыл бұрын
Pili musa uje Mambo yamewaka uku
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
Ndiyo nimefika kipenzi changu. Asante sana ❤❤❤❤❤🙏🤝😘
@chakitv1241
2 жыл бұрын
@@pilimusa7770 karibu🤣🤣👍👍❤️ Nilikua sukuoni ndani rafiki
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
@@chakitv1241 u busy kidogo.❤
@chakitv1241
2 жыл бұрын
@@pilimusa7770 swadakta kazi nadawa👍
@rayaalhabsi17252 жыл бұрын
Ustadh wako alikuwa mshirikina
@mpandamohamedmsoke97222 жыл бұрын
Davista vip content zimeisha nini usituletee watu waongo hapa
@DavistarMataMediaDM
2 жыл бұрын
Tuletee wewe stori yako ya ukweli!
@raiyaaaraiyaa6054
2 жыл бұрын
@@DavistarMataMediaDM... Kwendaaaa hukoo na huyo mbuz mwenzio. Akadanganye wajinga. Kwanzaa mwambie ajipange tutamuita kwa muhadhara. Ati amesomo kamaliza juzuu 30.kusoma kwenyewe na Kiarabu hajui. Yy kaenda somea uchawi Bali sio uislamu. Katka uislamu hakuna siri. Ndio maana Mwenyezi Mungu alisema. Amewakamilishien dini yeni. Na uislamu ndio dini ya haki. Nyoooo Quran ni moja. Labda katunga yake yakichawi kwenda kutafta wajinga wampe sadaka. Mwambie hasara kwake. Hajapunguza wala kuongeza chochote katka uislamu. Adanganye kondoo na wala mashonde wenziwe
@just_this_way
2 жыл бұрын
@@raiyaaaraiyaa6054 bora ndugu yangu na wewe umesema. Mi huyu @Davistar nlianza kumshtukia siku nyingi tu, kuanzia stor ya Mussa Chesa, yaani kila anaesimulia mwisho utasikia ameokoka. Wanauchafua sana uislamu ila HAWATAWEZA In Shaa Allah
@just_this_way
2 жыл бұрын
@@DavistarMataMediaDM Br mi ni shabiki wako mnooo, nakufatilia sana ila baadhi ya stori zimekaa KIKRISTO kiasi cha kufanya kuenea chuki kwa dini nyingine, mfano stor ya Mussa Chesa, Shkh Omari wa Tanga, huyu mjinga mwingine wa leo, dada yule alozoeshwaga kunywa damu za watu na Ali, hizo zoote zina uongo. In fact, mi stor mbili tu ndo zimenifunza :- 1. Zabron Mwita. 2. Lwanda Magere. Hizo ndo zina ukweli ila hizo nyingine ni POROJO NA FITNA. You are loosing fans kwa stori hizo za UONGO.
@stanleyifaini6224 Жыл бұрын
I fear Tanzanians now weeh
@huseniomari39902 жыл бұрын
Duh! Huyu jamaa anasema amemaliza juzuu 30 alafu anasoma Hadith vibaya hivi.ila kwa uongo huu utapiga hela sana.maana wakristu wanaamini Sana historia nakujua huyu Ni mkweli.kwenye uislam niharam kutaja maovu walioyafanya
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Nyinyi kila kitu ni wajuzi wakupinga pale tu mtu kati yenu anapokengeuka
@theblackandrew4119
2 жыл бұрын
Ushaleta dini kwenye story Acha uzezeta wewe hii ni story
@charlesmapunda5905
2 жыл бұрын
Acha awanyoe wachawi wajirudi kwa Mungu msing'ang'anie udini wakati huo ndo ukweli, Okokeni Yesu anarudi na walio jitambua ndio hao wamerudi kundini nyie komaeni kiama kiwakute muingie motoni
@kamgomoli3650
2 жыл бұрын
Nyie ni km Chadema tumewazoea
@othmanmulendelwa96222 жыл бұрын
Mchawi badae utasikia na yeye kawa mchungaji ana ubiria watu
@Laila-lz4ij
2 жыл бұрын
😁
@florencerose859
2 жыл бұрын
Mbona nyie waislamu mtu akihamia dini akawa mkristo munamkosoa?Wakristo wawana shida atakama mwenzao amehamia Islamic Wana chukwua ni sawa tu, achane roho chafu🏃🏃🏃
@admerarobert3485
2 жыл бұрын
Kaokolewa na YESU na ww kimbia huko uliko YESU ndiye njia na kweli na uzima.
@abdimohamed39532 жыл бұрын
Tupo kupata mafunzo kama nawaona ndugu zangu vile #WagangaWakitabu hatar kweli kweli
Maskini hasara yako kijana, usipo rudi katika nuru ya Allah,basi ngoja moto wa jahannam, Allah atu hidi wote ameen
@rayaalhabsi1725
2 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows yesu ni binadamu kama wewe na mimi, yeye ni nabii kama manabii wengine, na huyo murtadi ni hasara yake yeye pamoja na wewe
@rayaalhabsi1725
2 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows asa yaarab
@rayaalhabsi1725
2 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows furahia maisha ni ya kupita tu
@rayaalhabsi1725
2 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows uta ipata pata ukifika huko tunapo kwenda uta juwa kuna the raha au karaha. Alie kuda nganya ni nani alie kwambia kuwa ali owa mtoto wa miaka 9 ?basi we kaa na ujinga wako kumu abudu binadamu alie umbwa na udongo
@rayaalhabsi1725
2 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshowshuyo yesu mnae muabudu hapa basi ata waruka futi 100 siku ya kiama ni bora yako uta fute ukweli ulipo
@khadijabintmohammadbintmoh80262 жыл бұрын
Huyo jamaa mungewakutanisha pamoja na sheikh mazinge siku moja plzz davista
@johalisemalima6979
2 жыл бұрын
Sikia hakuna shekh unae mjuwa wewe asiejua elimu hiyo na si haramu kwa mujibu wa uislam kuijua kwasababu lazima ukiwa shekh uwe na utambuzi wa majini na elimu hiyo inaanzia hapo na lazima ujuwe kwasababu msikitini...wanaingia na lazima awajue sawa
@charlesmapunda5905
2 жыл бұрын
Huo mdahalo wa Mazinge unakuja nadhani tarehe 20/8/2021 hapo ndio utajua Mazinge anawadanganya watu bali ukweli utaupata hapo mdahalo utakao fanywa na Mapastar kutoka Kenya paster Chande wa Biblia Nuru ya Dunia
@raiyaaaraiyaa6054
2 жыл бұрын
Sio kitambo. Watu wa njaa km Hawa ndio twawataka katka mihadhara. Na wakitwa hawaendi
@raiyaaaraiyaa6054
2 жыл бұрын
@@johalisemalima6979... Funga domo lako km jambo huna elmu nalo kaa kado sio kuropokwa
Kuna wahuni watasema huyu ni mamluki hakuwa muslim???
@dallasabinchar51282 жыл бұрын
Ulikuwa una fundishua uchawi na si islam ambayo ni dini tukufu na bora ya Mungu , and you need to tell people that ulikuwa uchawi tupu ulikuwa unafanya si islam
@thumnathumna59462 жыл бұрын
Naogopaaaa😠
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
Muoga huyoo🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️
@thumnathumna5946
2 жыл бұрын
@@pilimusa7770 acha kabisa. Usimuogope simba ogopa mtu karne imebadilika😀😀😀😀😀
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
@@thumnathumna5946 kabisaaa.
@credo7837
2 жыл бұрын
Polee
@mpandamohamedmsoke97222 жыл бұрын
Huyu jamaa keshatolewa nishai mara nyingi tu lakini sababu ndio anatafuta ugali anafosi uyoo
@barnabasmajige8473
2 жыл бұрын
Ww tulia tujue ukweli wa hayo majini hayo mambo ya ugari kamwmbie mkeo
@happnesmatende6271
2 жыл бұрын
Mpanda kamwulize ostaz Amiri ndugu yako,Mungu ni zaidi ya uisilam.hakuna maslahi kwa Mungu Bali useme ukweli maana ukweli unakuweka huru.
@mpandamohamedmsoke9722
2 жыл бұрын
@@barnabasmajige8473 sasa mke wangu anaingia wapi hapa unaweza kuta watu wazima and dizaini yako ni wale walicheza na maisha ndio wanaingilia ata msg sio zao pumbavu
@barnabasmajige8473
2 жыл бұрын
Msenge
@barnabasmajige8473
2 жыл бұрын
Msenge
@kalssambaboo99322 жыл бұрын
Ndug wa chessa nn mbona wanataka kufann
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
Kabisaa
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
Za masiku ndugu
@kalssambaboo9932
2 жыл бұрын
@@pilimusa7770 hamdulillah kwema ndg
@fatmamucha44192 жыл бұрын
Mussa chesa wa pil kafika
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
Kabisaa
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
Za masiku ndugu
@fatmamucha4419
2 жыл бұрын
@@pilimusa7770 nzuri uko powa
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
@@fatmamucha4419 niko poa. Alhamdulilah
@videozaaj10692 жыл бұрын
Mi napendaga sana kukuta story imeisha kbsa nachofanya ni kunext tu kama natazama movies za kikorea hakuna cha itaendelea wala nn🤣🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥KWA KIFUPI NDO NAANZA KUICHEKI HII SIMULIZI LEO HAHAHAHAHAHAHAHAAHAH RAHA SANAAAAAAAAA
@mpandamohamedmsoke97222 жыл бұрын
Atakusoma kwenyewe hajui anajifanya kasoma uchawi
@kamgomoli3650
2 жыл бұрын
Kwanini na wewe usitunge story tukusikilize if it is as simple as that? Udini ndio unaokusumbua km story haikuhusu kaa kimya!!!
@raiyaaaraiyaa6054
2 жыл бұрын
Mapanda Mohamed. Asante kwa kuelewa mm nmemsikiza kwa Makin mpaka mwisho nikajua hata kusoma. Hajui. Ati amehifadhi juzuu 30.na kusoma hajui. Umemsikia vizur alivyoisoma AYATI QURSI.
@raiyaaaraiyaa6054
2 жыл бұрын
@@kamgomoli3650... Wala mashonde km wewe ndio mtadanganywa
@kamgomoli3650
2 жыл бұрын
@@raiyaaaraiyaa6054 Basi tuambie ukweli unaojua ili na wewe tukusikilize.Dini ni hiari ya mtu, subiri siku ya mwisho ndo utajua km ulichokiamini ni sahihi au ulichochola.
@raiyaaaraiyaa6054
2 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows.. Anae omoa ni Mwenyezi Mungu wala sio Yesu. Yes ni mtume km mitume wengine.
@raiyaaaraiyaa60542 жыл бұрын
Wewe ni mnafiki mkubwa Sana muongo. Mm nmesoma madrasa na sikuona ustadha wangu akisema ati Kuna siri katka uislamu. Hakuna siri katka uislamu. Muogope Allah. Km ustadh wako alikua mchawi hayo ni yenu. Km ulienda kwa ukrsto kwa njaa Zako. Wewe ni muongo. Njaa yakusumbua
@raiyaaaraiyaa6054
2 жыл бұрын
@@blessedlovedandfavoured4129... Atadanganya wapumbavu km wewe
@somoeawadh7774
2 жыл бұрын
@@blessedlovedandfavoured4129 njaa mbaya my dear bora tu muache
@kalssambaboo9932
2 жыл бұрын
@@blessedlovedandfavoured4129 kabisa asituharibie dini huyu labdq huyo sheikh nayy lao lilikua moja wasisingizie uislam
@kalssambaboo9932
2 жыл бұрын
@@blessedlovedandfavoured4129 mejitu yahivi me nasukiaga hata uvivu kuifatilia
@kijahnikwelinyalinga1740
2 жыл бұрын
Nimuongo mi na mjua huyu kenge mkubwa jina lake ana itwa kagoma na utstaz alie mfundisha na mfahamu nimuongoo
Пікірлер: 248
Ahsante Yesu wangu kwakua nimetambua nguvu yako mapema....!
Davistar Mr everything the don good work mob love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Yes!!! Salute xana mr Dm...huyu jamaa ni qonky xana katika elimu dunia...nice story tutajfunza mengi🙋🙌
Elimu hii ni kubwa sana ktk maisha ya wanaopenda mambo ya ushirikina na uchawi.
@rayaalhabsi1725
2 жыл бұрын
Kweli kabisa maneno yako Barnabas Majinge, Allah amhidi huyo kijana pamoja na huyo ustadh wake
Ubarikiwe sana Bwana Hassan Mungu ni mwema ... Now Meshack... Mungu azidi kukutunza na kukubariki sana daima
Ulipo nipo Davistar mata,sikuachi Bora nishinde njaa lakini nipate bando kwa ajiri yako😁❤️ ilimradi tu nipate elimu ambayo hata uwe na PhD huwezi ipata.
@adrianoscar1974
Жыл бұрын
Kweli hii haipatikani kwa kuwa na mavyeti mengi
Aiseee watu wa kigoma ni best story tellers
Falaq ni ilimu ya kishirikina. Haifa kuitumia ni kumshirikisha Mwenyezi Mungu. Ametukuka Mwenyezi Mungu Muumba mbingu na Ardhi.
@kalssambaboo9932
2 жыл бұрын
Naaam
@aprilking8250
2 жыл бұрын
Kwanini falaq inafunzwa kwenye madrass
Davistar ungeweka number yako ilimtu akigushwa akutumia hata kitu kidogo ........aki I love you my brother maana najua sai mahali niko niko mahali sahihi Asante Yesu wangu .....kama unaelewa huyu jamaa nipeni like na mimi leo😋
Yesu ni kimbilio tosha..
Asanteni sana kwa kutuletea simulizi hizi kwani tunajifunza tusioyajua yanayoendelea kwenye dunia hii. 18.08.21.
Daah davistar mungu akubariki ushuhuda mzuri sana naomba asiruke chochote aeleze kila kitu
Those who follow horoscope.. Be very keen with deception from the devil.
et kuna mt anasema yy kasoma madrasa hakufundishwa hayo hahahahaaa ndo ujue ww ulisomeshwa vitu vzr au vichache lkn huo ndo ukwel maan huyu hivyo vitabu anavovitaja vipo na mnavijua au wengine hamvijui kwakuwa haviwahusu elimh ya mle, lkn bado mtu anapuuuza
@raiyaaaraiyaa6054
2 жыл бұрын
Mshenzi atabaki kua mshenzi na hataerevuka hata sku moja. So atadanganya wapumbavu waliozoea kuburuzwa na wasiojua kusoma wala sio wenye akili zao. Hasara kwake haounguz wala kuongeza katika uislamu
Nilikua nataman umtafute sana huyu jamaa na hata shekhe Amiri ambaye Naye ameokoka maana Hawa wote niliona interview zao Lakin fupi sana waandishi wanakaa nyuma ya camera Kwa Hyo no question Ila hapa najua tutajifunza vingi sana👌🏾
Hii sasa machine 🤣🤣
More fire
Yesu ni mkuu
huyu jmaaa ana elim kubwa sana, et hakuna jambazi mbaya na jambaz mzuri, jin ni jini tu ila anakuja kwa uzur ili umwabud bila kujua hahahahaaaa elim ni nzur sana sana,
Safi Sana broo
HIII NAYO NI ZILE MIONGONI MWA KALI MNOOO💥💥💥
Kali sana big up kaka davista watching from Qatar 🇶🇦
elimu ni nzuri sana ina mafunzo mengi
+256, proud to be number 90
Kigoma noma sana.....watumishi mnajitahidi kuchafua uislam’ Lkn tatizo kuna mambo mnadanganya Watu...Shetani Sio kiumbe bali ni sifa...Kiumbe hapo ni Jini ‘ majini ni viumbe walioumbwa ‘ wana familia zao’ wana serikali zao’ Na ni viumbe wasioonekana na tunaoishana nao wakiwa wamevaa uhusika wwt wanaotaka...! Hawa majini Wapo tofauti kitabia ‘ Ndio maana Hata kipindi Cha Yesu kuna wale waliokua kila wakimuona wanaanguka na kumtukuza’ Na Sio mara moja ‘ Yaani kila walipomuona ‘ walifanya hivyo’ Na Yesu aliwakataza wasimwambie mtu kwamba yy ni mwana wa MUNGU...!...Lkn pia yupo jini mkuu ambae alimchukua Yesu mpk Juu ya mlima na akamwambia amsujudie atampa milki zote za Dunia’ Yesu akamwambia imeandikwa msujudie BWANA MUNGU wako peke yake’ Kwa hivyo hawa majini ni kweli Wapo tofauti kitabia ‘ Na wanaadam tumeamrishwa tusifanye ushirika na majini ‘ haijalisi ana tabia gani..!...Jambazi ni yuleyule hakuna Jambazi mzuri’ Lkn majambazi wengine hujificha kwenye kivuli Cha ibada ‘ wengibe hutoa misaada’ wengine huwa ni viongozi na hawajulikani ‘ japo siku akiuwawa kwenye tukio ’ Watu wengine husikitika na kusema dah jamaa alikua mtu wa Watu anatoa misaada ‘ au mchungaji’ au mtu wa ibada Lkn kumbe alikua Jambazi’ alikua mtu mzuri sana..!...Sasa unapoambiwa kuna majini wazuri na wabaya haimaanishi ushirikiane nao au uone sawa’ waache na Dunia yao na mambo yao’ ...!...ukitaka kusomea hata umalaya duniani hapa vyuo hivyo vipo na wabafundishwa binaadam sisi wenyewe...Sasa ni hiyari yako kuchagua upande..!..fanya Hayo kesho UKAWE KUNI ZA JAHANNAM..!
@ismailyusuph740
2 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows ......Tatizo la ndugu nyie ushabiki’ hakuna anaekatazwa kuongea’ Lkn Kwa wanaojua mtu anapoongea Tofauti anasahihishwa...!...Sio kila anachoongea yupo sawa..! Sasa ww unaamini kwamba baadhi ya majini walikua malaika..?...Kwa imani ya dini yako Ndio inavyosema..?...Malaika wameumbwa Kwa nuru....Binaadam wameumbwa Kwa udongo....Majini wameumbwa Kwa moto..! Malaika hawali ‘ hawanywi..hawalali...hawafanyi mapenzi...hawaendi Choo...hawazeeki...Na toka wameumbwa hawajawahi kumuasi MUNGU’ wao ni Kumtii na kufuata wanavyoamrishwa na MUNGU...!...leo anatokea mtu anawaambia Malaika ni majini au malaika akizeeka anakuwa shetani unashabikia ‘ ...hilo Ndio Tatizo imani bila maandiko..! Binaadam anayafanya yote’ anakula...analala..anaenda choo...anafanya mapenzi...Anazeeka...anachoka...analala...anaasi...wanazaa....na mengineyo..! Majini na binaadam mambo yao yanafanana ‘ Na majini wamezidi uwezo zaidi ‘ hawaonekani na wana familia zao pia...!...Na ni viumbe wa Ajabu ambao wameumbwa na MUNGU ‘ hawajajiumba wenyewe ‘ MUNGU katupa uwezo binaadam wa kumiliki kila kilichopo duniani ‘ Lkn usifikiri una uwezo wa kumdhibiti jini bila kuwa na kinga ya MUNGU ‘ Na Ndio maana wana uwezo wa kuangamiza na kuharibu maisha ya binaadam...! Waislam huwa hatukubali mtu abwabwaje Bila maandiko au aongee kufurahisha Watu’ na uislam hauruhusu UCHAWI wala Kushiriki na majini’ ukiona hivyo ujue huyo ni MUISLAM aliyekengeuka na Sio UISLAM unavyotaka.!..hata wanasayansi na Elimu zao leo wanaangamiza Binaadam wenzao ‘ ...Kwa hivyo aongee ila akiongea tofauti anarekebishwa ‘ ww wa kusikiliza kila linalozungumzwa hata kama Sio endelea kuamini..’...SOMENI muelewe ‘ Sio M’BURUZWE..!
@meisme7540
2 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows Unaelimishwa alafu unampa pole anayekuelimisha daah! POLE SANA Nawe piaa. Maana hujui ulitendalo. Hata bm maziwa aliongea pia mbona hakubanwa. Pole pole pole sanaaa@Asumani Benjamin
@meisme7540
2 жыл бұрын
@@ismailyusuph740 Asante ndugu yangu
@just_this_way
2 жыл бұрын
Hz stor huwa jamaa wanazitunga. Fatilia stor nyingi utaona mwisho wake ETI MTU KAOKOKA. uongo mtupu. Anzia ile stori ya Mussa Chesa.
@just_this_way
2 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows ubarikiwe na nani ❓ fix tu hizo. Yaani kuna stori ukianza kusikiliza tu, unaona kabisa kuna uongo wa wazi. Dini ya Ukristo imeundwa na uongo mtupu. Kuanzia uungu wa Yesu mpaka mafundisho yote ya paulo. Uongo mtupu. 😏 Eti unaniuliza nlitaka asilimu, 😳 una akili timamu ❓ kwani muislamu anasilimu tena ❓
Namba moja
Twende Kazi Mr....
Ushuhuda mzuri. Naomba lakini awe makini Kuna watu wenye nia mbaya asije akawapa elimu ya Bure. Bana maelezo Kwa kiwango kidogo
@kalssambaboo9932
2 жыл бұрын
Kabisa
Davister umetisha kwa maswali
Naona davistar unagonga energy kidogo kuchaji maana hiyo kazi sio ya kitoto ni nzito
Noma sana 💥💥💥💥
Huyo mchungaji hakuwa mwiislam bali alikuwa mshirikina wa uislaam haumfanani hata!!Pole sana rafiki yangu na dini hukuisoma kwa ajili shekh;ustadh n.k bali wewe njia ya mali kwa ajili ya manufaa yako.Wa hukutafta mungu na uliona kwamba uislaam nikuitoa nafsi yako kwaajili ya mungu si kwaajili ya watu na manufaa yao.Sasa ndg wachngaji mmezidi nyinyi na miujiza properganda makanisa na mali na hujui maana ya shirki aloikusudia mungu.We kafiri mkubwa na unachezea shimo la moto wa jahannam.
Yani huyo ndogo bado ni mdogo lakini alio yafanya ni mengi kweli
Davista mwambie awe akitafsiri kwa maana wengine hatuelewi Kiarabu
Ushuhuda mzuri sana ila mbaya nikwamba unongea siri zote adi unafundisha uchawi ndugu
Mimi Ni washauri ware mnao taka kumfuta mungu kupitia yesu yesu ndiyo hjia ya kweri na uzima IRA Kama mnataka kujifuza umganga na m
Brother hood Davista Mata mr Dm ni Jongo boy hapa from Tz bongo pamoja sana kaka
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
Pamoja
Story nzuri Sana laki atu onyesha vitabu Kama Abu maasharal falak
Davistar huyu jamaaa... Dah qurooan jaman....raha xnaa elimu kubwa xnaa
Pamoja saana dm for another one💪
Yaan hata haya haoni aibu hana huo ni mswiba mkubwa yumuachie mungu ndoo atamhukumu
Noma noma
Pili Musa Vipi huyu, 🤔 kazi nzuri bro
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
Simtaki . Tumpe Aysha huyu1🤣🤣🤣
@somoeawadh7774
2 жыл бұрын
@@pilimusa7770 Afadhali maana pia mm simtaki hata Bure 😂😂😂
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
@@somoeawadh7774 🤣🤣🤣🤣🤣
@philipoluzege3200
2 жыл бұрын
Mbna mkaka wa watu mzuri tu jaman
Npe namb ya hassan
Yesu tu ndie mkombozi wangu
@hanifamasudi9732
2 жыл бұрын
Yesu sio mkombozi wa kiumbe chochote zaidi ya mungu ndio kiongozi wetu sisi nayesu
@venahsithole6463
2 жыл бұрын
Kwetu sisi wakristo ndivyo tunavyo amini kuwa Yesu kristo ndie mkombozi wetu alitumwa na baba yake ambaye ni Mungu kutuokoa sisi wakosefu hata tukifa tunaamini kuwa Yesu ndie ataipokea roho yangu kuipeleka kwa Mungu baba
Mimi niwashauri tu ware mnaotaka kumfata mungu kupitia yesu ndio Sasa mda huu na Kama mnataka kumfata shetani na kujifuza umganga uisiram upo kwa njia ya mhamani uko utafundishwa kufuga majin kuwa mganga kuwa na mapepo kuwa gaidi kuwa muuaji iri update sawabu kwa shetani kuwa mrevi na Kira uchafu kwa mhamad
Hii story kali naamini mbeleni huko
Kuna madini hapa tafadhali yashushe haraka!
Ngoja nibaki Kwa mchaw wanaotusumbua ucku🙄🙄
Dakika za leo ndogo 🤣umetupunjaa
@philipoluzege3200
2 жыл бұрын
Umeona story moto
@credo7837
2 жыл бұрын
@@philipoluzege3200 sanaq
Eeh Atari sana kijana!
Pamoja devista
Dunia ina mambo aisee!!!
Davista punguza maswali
Twende Kazi
S.a jamani mm nina swala moja hivi hawa watu wanao ua watu kula watu na watoto hivi toba yao ina kubaliwa roho zote walizo una bila ya ithm yoyote yani bila makosa bila hatiya
@fahadjinni5845
2 жыл бұрын
ALLAH NI MWING WA REHMA HUSAMEHE KILA AINA YA DHAMBI KWA YULE MKOSAJI NA ALIEKIRI KUKOSA .....TOBA YA KWELI NDIO INAYOHITAJIKA
Huyu jamaa muongo anatafuta kiki za kisenge
Huyu jamaa katika mavi kakanywga mkojo
@kamgomoli3650
2 жыл бұрын
Kwanini mkuu,dini ni maamuzi ya mtu. unajuaje km hapo unapoabudu ni sahihi?
@atugonzalugemalila5142
2 жыл бұрын
@@kamgomoli3650 Dini siyo hiali ya mtu lazima utafte dini inayomwabudu Mungu wa kweli na sio miungu
@kamgomoli3650
2 жыл бұрын
@@atugonzalugemalila5142 Kwahiyo we unajuaje km dini aliyoichagua si sahihi na yako ndio sahihi?
mchawi meshack ingekaa poa
Hii ni elimu
Acha ujinga hujawahi kuwahi kua muislam icho kiarabu umejifunza wakati unatafuta kua mchungaji ili kuongopa ulikua muislam wew ni mkilistu toka mtoto kigoma ulikua unakaa Masanga tena haikua kwenu ulikua umechukuliwa kama yatima kwenu kujijin hali ngumu ACHA UONGO
Sasa baada ya kuua watu wote hao si afungwe na amekubali aliyafanya hayo
DAVISTA MUULIZE HUYO HASSAN MAANA YA DUA YA KUCHINJIA KUKU MBUZ AU NG'OMBE AU MNYAMA YEYOTE
Iyo ya kutaja alivyowafanyia watu wanaweza kufanya kwa chuki zao.
Punguzeni uongo uyo jamaa hajawahi kuwa mganga ni tapeli alikua anakaa MASANGA na hajawahi kua muislam toka mtoto ni mkilistu
@johngerald4677
7 ай бұрын
Acha uongo alikua muislamu na amewahi kuwachaleji kina simba ulanga mwanga sokoni
Naam huyu uislam anaujua. Hivi abdallah inaanza Kwa herufi alifu au ain? Humu kuna elimu kubwa sana Ahsante
@rayaalhabsi1725
2 жыл бұрын
Huyu hajuwi uislam na hana lake moja laiti angelijuwa uislam asinge fikia hapo alipo, hana imaan katika uislam yeye pamoja na ustadh wake, wame potea njia asa yaarab Mwenye Enzi Mungu awa hidi wote
@yakobomkristo872
Жыл бұрын
Ubishi Mwingine Ni Sifa Za Kijinga, Kama Umeweza Kuacha Kunyonya Maziwa Ya Mama Yako Mzazi Sembuse Kuacha Dini Ya Mila Za Kiarabu?!
Bonge la story
Title umeikosea huwez ukaandika mchawi wakati mtu anahudumu madhabahuni. ....bora ungeandika aliyekuwa mchawi kigoma
Kama umeua sheria inasemaje
Jamani
@PpPp-io6rj
2 жыл бұрын
Muogope Allah
@mpendakizamba9532
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 kigoma ww hatukusomi
Wa mwisho
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
Pole🤣
Wamwishoo 😥😥
@mwajumaselemani5370
2 жыл бұрын
Hata mm naona 😂
@credo7837
2 жыл бұрын
@@mwajumaselemani5370 🤣🤣usinifanyie roho mbaya
@mwajumaselemani5370
2 жыл бұрын
@@credo7837 mm mwenyewe ndo naiskiliza sasa
@credo7837
2 жыл бұрын
@@mwajumaselemani5370 aisee sikuhiz umekuwa busy
@mwajumaselemani5370
2 жыл бұрын
@@credo7837 acha tu niko busy sana na pia nalala baadae
Huyu jamaaa nimuongo balaaa kabisa
@maryngosha8296
Жыл бұрын
Unavyompinga uwe na hoja ya msng sio sio kusema uongo bila hoja nitakuelewa vp
bandika bandua davstar weyeree
@credo7837
2 жыл бұрын
Hivi ile imeisha
Da swaiba kumbe ulikuaga mchawi una kuja nyumbn ,dah kagoma 🙄🙄 misiamini mbona hatukuwahi kuskia pale mtaani
@bonifaceandaro9140
2 жыл бұрын
😂😂😂
@Laila-lz4ij
2 жыл бұрын
Bahati yenu😂
@valentinandukuvalentinandu4779
2 жыл бұрын
Kwan mchawi husema yy ni mchawi
@davieed1427
2 жыл бұрын
@KIJAH mchawi hana alama utamjuaje kwa kumuona
🇰🇪🇸🇪⏰
Pili musa uje Mambo yamewaka uku
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
Ndiyo nimefika kipenzi changu. Asante sana ❤❤❤❤❤🙏🤝😘
@chakitv1241
2 жыл бұрын
@@pilimusa7770 karibu🤣🤣👍👍❤️ Nilikua sukuoni ndani rafiki
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
@@chakitv1241 u busy kidogo.❤
@chakitv1241
2 жыл бұрын
@@pilimusa7770 swadakta kazi nadawa👍
Ustadh wako alikuwa mshirikina
Davista vip content zimeisha nini usituletee watu waongo hapa
@DavistarMataMediaDM
2 жыл бұрын
Tuletee wewe stori yako ya ukweli!
@raiyaaaraiyaa6054
2 жыл бұрын
@@DavistarMataMediaDM... Kwendaaaa hukoo na huyo mbuz mwenzio. Akadanganye wajinga. Kwanzaa mwambie ajipange tutamuita kwa muhadhara. Ati amesomo kamaliza juzuu 30.kusoma kwenyewe na Kiarabu hajui. Yy kaenda somea uchawi Bali sio uislamu. Katka uislamu hakuna siri. Ndio maana Mwenyezi Mungu alisema. Amewakamilishien dini yeni. Na uislamu ndio dini ya haki. Nyoooo Quran ni moja. Labda katunga yake yakichawi kwenda kutafta wajinga wampe sadaka. Mwambie hasara kwake. Hajapunguza wala kuongeza chochote katka uislamu. Adanganye kondoo na wala mashonde wenziwe
@just_this_way
2 жыл бұрын
@@raiyaaaraiyaa6054 bora ndugu yangu na wewe umesema. Mi huyu @Davistar nlianza kumshtukia siku nyingi tu, kuanzia stor ya Mussa Chesa, yaani kila anaesimulia mwisho utasikia ameokoka. Wanauchafua sana uislamu ila HAWATAWEZA In Shaa Allah
@just_this_way
2 жыл бұрын
@@DavistarMataMediaDM Br mi ni shabiki wako mnooo, nakufatilia sana ila baadhi ya stori zimekaa KIKRISTO kiasi cha kufanya kuenea chuki kwa dini nyingine, mfano stor ya Mussa Chesa, Shkh Omari wa Tanga, huyu mjinga mwingine wa leo, dada yule alozoeshwaga kunywa damu za watu na Ali, hizo zoote zina uongo. In fact, mi stor mbili tu ndo zimenifunza :- 1. Zabron Mwita. 2. Lwanda Magere. Hizo ndo zina ukweli ila hizo nyingine ni POROJO NA FITNA. You are loosing fans kwa stori hizo za UONGO.
I fear Tanzanians now weeh
Duh! Huyu jamaa anasema amemaliza juzuu 30 alafu anasoma Hadith vibaya hivi.ila kwa uongo huu utapiga hela sana.maana wakristu wanaamini Sana historia nakujua huyu Ni mkweli.kwenye uislam niharam kutaja maovu walioyafanya
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Nyinyi kila kitu ni wajuzi wakupinga pale tu mtu kati yenu anapokengeuka
@theblackandrew4119
2 жыл бұрын
Ushaleta dini kwenye story Acha uzezeta wewe hii ni story
@charlesmapunda5905
2 жыл бұрын
Acha awanyoe wachawi wajirudi kwa Mungu msing'ang'anie udini wakati huo ndo ukweli, Okokeni Yesu anarudi na walio jitambua ndio hao wamerudi kundini nyie komaeni kiama kiwakute muingie motoni
@kamgomoli3650
2 жыл бұрын
Nyie ni km Chadema tumewazoea
Mchawi badae utasikia na yeye kawa mchungaji ana ubiria watu
@Laila-lz4ij
2 жыл бұрын
😁
@florencerose859
2 жыл бұрын
Mbona nyie waislamu mtu akihamia dini akawa mkristo munamkosoa?Wakristo wawana shida atakama mwenzao amehamia Islamic Wana chukwua ni sawa tu, achane roho chafu🏃🏃🏃
@admerarobert3485
2 жыл бұрын
Kaokolewa na YESU na ww kimbia huko uliko YESU ndiye njia na kweli na uzima.
Tupo kupata mafunzo kama nawaona ndugu zangu vile #WagangaWakitabu hatar kweli kweli
@alexkayagula4797
2 жыл бұрын
Wapi sule, wapi mazinge, wapi mwaipopo, wapi mashehe wangu. Jamani naomba mumpe YESU maisha. Duuuuu.???!!!...
Maskini hasara yako kijana, usipo rudi katika nuru ya Allah,basi ngoja moto wa jahannam, Allah atu hidi wote ameen
@rayaalhabsi1725
2 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows yesu ni binadamu kama wewe na mimi, yeye ni nabii kama manabii wengine, na huyo murtadi ni hasara yake yeye pamoja na wewe
@rayaalhabsi1725
2 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows asa yaarab
@rayaalhabsi1725
2 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows furahia maisha ni ya kupita tu
@rayaalhabsi1725
2 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows uta ipata pata ukifika huko tunapo kwenda uta juwa kuna the raha au karaha. Alie kuda nganya ni nani alie kwambia kuwa ali owa mtoto wa miaka 9 ?basi we kaa na ujinga wako kumu abudu binadamu alie umbwa na udongo
@rayaalhabsi1725
2 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshowshuyo yesu mnae muabudu hapa basi ata waruka futi 100 siku ya kiama ni bora yako uta fute ukweli ulipo
Huyo jamaa mungewakutanisha pamoja na sheikh mazinge siku moja plzz davista
@johalisemalima6979
2 жыл бұрын
Sikia hakuna shekh unae mjuwa wewe asiejua elimu hiyo na si haramu kwa mujibu wa uislam kuijua kwasababu lazima ukiwa shekh uwe na utambuzi wa majini na elimu hiyo inaanzia hapo na lazima ujuwe kwasababu msikitini...wanaingia na lazima awajue sawa
@charlesmapunda5905
2 жыл бұрын
Huo mdahalo wa Mazinge unakuja nadhani tarehe 20/8/2021 hapo ndio utajua Mazinge anawadanganya watu bali ukweli utaupata hapo mdahalo utakao fanywa na Mapastar kutoka Kenya paster Chande wa Biblia Nuru ya Dunia
@raiyaaaraiyaa6054
2 жыл бұрын
Sio kitambo. Watu wa njaa km Hawa ndio twawataka katka mihadhara. Na wakitwa hawaendi
@raiyaaaraiyaa6054
2 жыл бұрын
@@johalisemalima6979... Funga domo lako km jambo huna elmu nalo kaa kado sio kuropokwa
@johalisemalima6979
2 жыл бұрын
@@raiyaaaraiyaa6054 kwann??? Wewe unahisi ananjaa????
Kuna wahuni watasema huyu ni mamluki hakuwa muslim???
Ulikuwa una fundishua uchawi na si islam ambayo ni dini tukufu na bora ya Mungu , and you need to tell people that ulikuwa uchawi tupu ulikuwa unafanya si islam
Naogopaaaa😠
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
Muoga huyoo🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️🏃🏿♀️
@thumnathumna5946
2 жыл бұрын
@@pilimusa7770 acha kabisa. Usimuogope simba ogopa mtu karne imebadilika😀😀😀😀😀
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
@@thumnathumna5946 kabisaaa.
@credo7837
2 жыл бұрын
Polee
Huyu jamaa keshatolewa nishai mara nyingi tu lakini sababu ndio anatafuta ugali anafosi uyoo
@barnabasmajige8473
2 жыл бұрын
Ww tulia tujue ukweli wa hayo majini hayo mambo ya ugari kamwmbie mkeo
@happnesmatende6271
2 жыл бұрын
Mpanda kamwulize ostaz Amiri ndugu yako,Mungu ni zaidi ya uisilam.hakuna maslahi kwa Mungu Bali useme ukweli maana ukweli unakuweka huru.
@mpandamohamedmsoke9722
2 жыл бұрын
@@barnabasmajige8473 sasa mke wangu anaingia wapi hapa unaweza kuta watu wazima and dizaini yako ni wale walicheza na maisha ndio wanaingilia ata msg sio zao pumbavu
@barnabasmajige8473
2 жыл бұрын
Msenge
@barnabasmajige8473
2 жыл бұрын
Msenge
Ndug wa chessa nn mbona wanataka kufann
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
Kabisaa
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
Za masiku ndugu
@kalssambaboo9932
2 жыл бұрын
@@pilimusa7770 hamdulillah kwema ndg
Mussa chesa wa pil kafika
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
Kabisaa
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
Za masiku ndugu
@fatmamucha4419
2 жыл бұрын
@@pilimusa7770 nzuri uko powa
@pilimusa7770
2 жыл бұрын
@@fatmamucha4419 niko poa. Alhamdulilah
Mi napendaga sana kukuta story imeisha kbsa nachofanya ni kunext tu kama natazama movies za kikorea hakuna cha itaendelea wala nn🤣🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥🔥KWA KIFUPI NDO NAANZA KUICHEKI HII SIMULIZI LEO HAHAHAHAHAHAHAHAAHAH RAHA SANAAAAAAAAA
Atakusoma kwenyewe hajui anajifanya kasoma uchawi
@kamgomoli3650
2 жыл бұрын
Kwanini na wewe usitunge story tukusikilize if it is as simple as that? Udini ndio unaokusumbua km story haikuhusu kaa kimya!!!
@raiyaaaraiyaa6054
2 жыл бұрын
Mapanda Mohamed. Asante kwa kuelewa mm nmemsikiza kwa Makin mpaka mwisho nikajua hata kusoma. Hajui. Ati amehifadhi juzuu 30.na kusoma hajui. Umemsikia vizur alivyoisoma AYATI QURSI.
@raiyaaaraiyaa6054
2 жыл бұрын
@@kamgomoli3650... Wala mashonde km wewe ndio mtadanganywa
@kamgomoli3650
2 жыл бұрын
@@raiyaaaraiyaa6054 Basi tuambie ukweli unaojua ili na wewe tukusikilize.Dini ni hiari ya mtu, subiri siku ya mwisho ndo utajua km ulichokiamini ni sahihi au ulichochola.
@raiyaaaraiyaa6054
2 жыл бұрын
@@benjathekingofficialshows.. Anae omoa ni Mwenyezi Mungu wala sio Yesu. Yes ni mtume km mitume wengine.
Wewe ni mnafiki mkubwa Sana muongo. Mm nmesoma madrasa na sikuona ustadha wangu akisema ati Kuna siri katka uislamu. Hakuna siri katka uislamu. Muogope Allah. Km ustadh wako alikua mchawi hayo ni yenu. Km ulienda kwa ukrsto kwa njaa Zako. Wewe ni muongo. Njaa yakusumbua
@raiyaaaraiyaa6054
2 жыл бұрын
@@blessedlovedandfavoured4129... Atadanganya wapumbavu km wewe
@somoeawadh7774
2 жыл бұрын
@@blessedlovedandfavoured4129 njaa mbaya my dear bora tu muache
@kalssambaboo9932
2 жыл бұрын
@@blessedlovedandfavoured4129 kabisa asituharibie dini huyu labdq huyo sheikh nayy lao lilikua moja wasisingizie uislam
@kalssambaboo9932
2 жыл бұрын
@@blessedlovedandfavoured4129 mejitu yahivi me nasukiaga hata uvivu kuifatilia
@kijahnikwelinyalinga1740
2 жыл бұрын
Nimuongo mi na mjua huyu kenge mkubwa jina lake ana itwa kagoma na utstaz alie mfundisha na mfahamu nimuongoo
Namba moja
@fatmamucha4419
2 жыл бұрын
Hongera