Am happy today Yusffu kapata wakumwambiya ukweli siyo vile unaenda Mahalia mtu hajuwi Bible ama Qur'an ndiyo unajimbembesha YESU Christo ni bwana na mungu apewa sifa
@yussufebrazzy640
4 жыл бұрын
Dada soma vitabu usiamini mtu yeyote sababu utaingia kaburi lako mwenyewe
@sebastianmichael40312 жыл бұрын
Waislamu mkubalini yesu mkaokolewe
@56manya3 жыл бұрын
Day and night, night and day Jesus is Lord!!! My people perish because of lack of knowledge. What this man was speaking was so true. He didn’t spare both sides.
@johnfanuelyf21635 жыл бұрын
ukweli utasimama hata yote yatimie: amen
@bayachinyezi5563 Жыл бұрын
Naomba mupange mda mufike ukunda diani kwa kuelimisha wenyeji wa ukunda kuhusu yesu
@abcdg19953 жыл бұрын
Iam feeling to love your preaching Mr..Praise God Brethrens Greetings from Diaspora U.S. foreigner lands WE are behind your channel brother worth it Nothing comes easy in life dear Thank you so much for sharing your God giving gift with us.May God cover you under his umbrella You never know who you are inspiring people never learn till they drop dead
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
People are just People even if you spoon feed them they will hurt you beyond HIV and corona follow such confused people at your own risk 😐🤷
@caleboloo34385 жыл бұрын
Waislamu kubalini mukabadilike
@omarhassan23
5 жыл бұрын
Caleb Oloo nyinyi watz mna ujinga sana
@hashimmhashim2663
5 жыл бұрын
Ogopeni mungu nyinyi makiristo mutachomwa
@minaminaa1669
5 жыл бұрын
wakrsto ni masito na mioyo yao nimizito 😀😀
@Lawrezmmukundi11 ай бұрын
Be blessed
@financialloan98185 жыл бұрын
Asante kwa kua msabato
@mustardseedlivepunjeyahara52923 жыл бұрын
Yohana sawa!!!
@Emmanuel-nx1hi11 ай бұрын
Amen pasta
@sarahabdulatif73914 жыл бұрын
Ukitaka kwenda maka mfuate MUHAMAD ukitaka KUENDA MBINGUNI MFUATE BWANA YESU MUISILAMU UTACHAGUWA UNATAKA MAKA AU MBINGUNI
@monicabh1668
2 жыл бұрын
Good point kazi kwa waslamu tutawahubiria mpaka waokoke wote
@mohamedomar2005
Жыл бұрын
Kulingna na bibilia bingu zitatoeka kwa hivyo waislamu tunaenda peponi.
@chanokhchannel25903 жыл бұрын
Kazi nzuri mwinjilisti
@thxzbst49cnh805 жыл бұрын
Amen
@janenjenga56395 жыл бұрын
Kwa Yesu kuna uhuru tere
@murithikainga49933 жыл бұрын
True
@justinemangara78833 жыл бұрын
Amin
@janetkahada52064 жыл бұрын
Muchungaji wachana na Yusuf yy ni wakupoteza kondoo za MUNGU.
@maspedimaspedi17204 жыл бұрын
weka video fulll wacheni ujanja ujanja mbona yusufu yueka video full hio video tukitaka tunaenda kwa Yusuf wambugu kila kitu kiko kamili yusufu ni profeser ndio mana unaona ndacha anaweka video fupi fupi za upande wao 😂😂😂
@yacenharuna3803 жыл бұрын
😀😀😀😀 kahama hiyo
@wanjerijoseph62235 жыл бұрын
kristo ndie haki na ukweli
@chanokhchannel25903 жыл бұрын
Mwalimu Yohana Mungu akubariki sana😁😁👍,pia wainjilisti wote Ndacha, wasomaji ,mmenielimisha Sana Biblia,
@amanicarlumehabel75753 жыл бұрын
Nendeni ilimwenguni mkawafanye wote kuwa wanafunzi,,,mkiwabatiza
@benadolphabiandustan41095 жыл бұрын
dini ya kuruhusu kujitoa mhanga cjui Mungu gani wanamwabudu
@sarahwanjala6601
5 жыл бұрын
Nidini ya uongo hakuna ukweli
@frankluguru708810 ай бұрын
WEWE NIMUONGO SANA SWALI JE! LEO TUMEAMBIWA WAPI TUISHIKE SABATO KTK AGANO.JIPYA ALAFU NA MM NITAKUPA AYA
@personalcomputer12082 жыл бұрын
Pastor Nina swali mm ni muumin wa kristo wa kwel aliye hai Ila kuna kiumbe kinachanganya kichwa anasema yeye hana dini alafu Anatumia mistari ya biblia tena anasema mashetani watatu katika biblia ni uislam ukristo na uyahudi Msaaada kama ukisoma sms yang Na huyu Prophète Kacou 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@hashimumoshi71795 жыл бұрын
Tuma video yote
@moseselinisafi64253 жыл бұрын
Waislam ni wazugaji na wababaishaji Ila namshukuru yesu kwa sababu me hakuna muislam wa kunidanganya kwa Quran au kwa hadithi duniani hata wamfufue Muhammad mtume wa uwongo
@martinmkoba3613 жыл бұрын
Tangu lini muislamu anasikia
@everlynekaiga17844 жыл бұрын
Je, wakristo wanaovunja sabato na kuelekeza wamini katika ibada ya jumabili wanasikia ama nikutafuta sadaka na kupoteza watu .
@sarahmichael7538
3 жыл бұрын
Cha muhimu ni kumfuata Kristo, siku siyo hoja kubwa, Yesu anaokoa, kikubwa ni kuhakikisha tunafika mbinguni kwa baba, hilo ni tosha sana kwetu ss wakristo
@makisjeremiah288
3 жыл бұрын
@@sarahmichael7538 Unafkaje mbinguni pasipo kuzushika amri za Mungu?
@samuelmussa4809
3 жыл бұрын
@@sarahmichael7538 sara wanawapotosha watu sabato ni amri ya nne! Basi tuzini tuibe? Hapana watu wafundishwe ukweli wote sio kuuma maneno.
@samuelmussa4809
3 жыл бұрын
@@sarahmichael7538 sasa utamfata kristo vip? Yohana 14:15 imasema mkinipenda mtazishika amri zangu 1Yohana2:3 -4 Yeye asemaye nimemjua na hazishiki amri zake ni muongo omba Mungu akufunulie uijue kweli yote uwe huru Yohana 17:17 Neno la Mungu ndio kweli.
@samuelmussa4809
3 жыл бұрын
@@makisjeremiah288 uwongo huwezi
@wazirisaid83262 жыл бұрын
Jamani hizi namba si zinajieleza? Jumamosi, Jumapili, Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamis na mwisho ni Ijumaa. Sabato ni siku ya Saba. Hapo siku ya Saba ni ipi? Mbona tinajitoa ufahamu?Leo tunaifanya moja kuwa saba!!Tena huku tunashangilia!!. Jamaa amewakimbia akina Mazinge Dar amekwenda kijijini Kenya kudanganya watu maana anajua hakuna wahadhiri wenye uwezo mkubwa.
@BIBLIANURUYADUNIA
2 жыл бұрын
Wewe Wacha Uongo..mazinge anatakibiwa ako na nini? Mkindanganywa ndio mtoe pesa ndio mwasema wamekimbia...pole sana...kwaza siku ya sabato ndio siku ya sabato. Quran inakubali 16:124..Sasa wewe na Quran nani Muongo? Sisi tulikuwa tunamaliza mkutano jumamosi...ila juu walimu wenu wanataka kuchangisha pesa lazima wangebaki wasema tumekimbia ndio mtoe pesa..edeleeni kuwa wajinga..wakundangaywa ovyo
@zablonlameck55052 жыл бұрын
Mpendwa mada ni siku
@edenhazard74805 жыл бұрын
Hakuna Aya ndani ya bibilia inasema " wakristo wataingia peponi"
@nteminkuba1624
5 жыл бұрын
mbingu ni ya watu wote sio waisilamu au wakristo peke yao
@sarahwanjala6601
5 жыл бұрын
Tutaingia peponi kwa kuwa kila mtu atakae mwamini Yesu anao uzima peponi tunaingia kwa jia ya imani tutapo mwamini Yesu peponi tunayo
@financialloan9818
5 жыл бұрын
Sasa peponi unaingia kwa ajili ya maandiko ya Qran au utaingia pindi utamwamini yesu na kuokoka?Kwan yesu alipo sema kama mimi ndimi njia ya uzima na milele mtu aji kwa baba bila kupitia kwangu ilo andiko lina maana gani?sasa ww na wezako mnafikaje kwa mfano wkt amjui yesu poleni sana uko peponi kwenu kuna mito ya walevi kuna bikira 70 kwa kila mwanaume😂😂😂😂😂😂sisi sio wa peponi sisi ni mbinguni peponi kwenu Allah ndie atae weka guu lake
@sarahwanjala6601
5 жыл бұрын
@@financialloan9818 wajuwa sio nyakati zakubishana lakini kubishana kwetu nikwaajili ya Yesu kila kiumbe kifahamu ukweli wa Yesu silikiliza fanya wamuzi wako so kweli Muhammad sio nabii wakweli nikama tu vile kulivyo sasa mtu hajaitwa kufungua kanisa anafungua nipia siwalaumu kabisa kwani utawala wakirumi ndio unaowatawala watu ili mumpinge Yesu nachakushangaza Yesu atahubiriwa kwete ulimwenguni mwote ...Yesu ndie njia na kweli
@financialloan9818
5 жыл бұрын
@@sarahwanjala6601 kbs barikiwa sana Yesu ndie njia na kila goti litapigwa kila jicho litamuona bila Yesu ni bureee kbs.yote yalikwisha pale msalabani waacheni awa wapoteze mda na uyo Allah wao lkn wakae wakijua Allah sio Mungu
@omarhassan235 жыл бұрын
Nyinyi ni wazimu kubishania neno la mungu
@caleboloo3438
5 жыл бұрын
Wewe ndiye hujielewi. Tukiwa na imani tofauti na kila mtu anadai kuwa imani yake ndiyo kweli ilhali imani inafaa kuwa moja, huoni inabidi tujadiliane (tushindanie imani) ili ukweli ijulikane tufuate
@omarhassan23
5 жыл бұрын
Caleb Oloo mwenyezi mungu aliteremusha sura moja inajiita kafiruuni,ambapo sura hi inaonya wanao bishana kwa neno la mungu pasi na elimu,sura inasema enye makafiri mna dini yenu nami nina dini yangu,kwa hivyo kuwa na yenu sisi pia tuwe na yetu
@davisrotich116
5 жыл бұрын
@@omarhassan23 wale wasio na elimu kama ww quran yenu yenyewe yasema mkiwa na shaka nadini jadiliyaneni ww ndio elimu yako ndogo
@saitotisapiyo7167
5 жыл бұрын
Unajua maana ya kubishana na kufundishana.😏
@abcdg1995
3 жыл бұрын
@@caleboloo3438 sound like a confused element too dealing Praise God my beautiful SOUL worth it Jesus Christ is the way to God
@tinajoseph86195 жыл бұрын
msihubili siku wewe kama mkristo halisi hubili wokovu wa yesu kristo
@mwanaidikisimba4718
5 жыл бұрын
Tina Joseph amri ya Mungu ndio inahubiriwa
@benjaminlijongwa37155 жыл бұрын
Yohana vipi tena unahubiri siku?
@financialloan9818
5 жыл бұрын
Soma bible utaelewa ingawa umeelewa ila unajikaza tuu apo iyo ndo tabia ya waislam ata yesu aliponya siku ya sabato
@adamkkamar4498
5 жыл бұрын
sio sikubali nimojawapo ya amri za Mungu mnazo zikataa mkidai niza wayahudi lakini swali ni je? amri ya usiue ni dhambi kwenu? na kuiba kwa waisilamu ni dhambi? na kuzini au kudanganya ni dhambi ikiwa ni dhambi basi hata kuvunja sabato ni dhambi,ikiwa hizo zingine zote ni amri hata kwenu hata sabato ni amrisoma yakobo mbili kumi
@kelvinmichae728
4 жыл бұрын
Tunapo kuja kwenye swala la kuwaunganisha waislam na wa kristo Lazima tuweke udhehebu mbali tufuate amri za Mungu. Waislam kwa swala la kuwavuta wakristo waje kwao Hua wanaweka udhehebu mbali wanaungana ili wa wavute wakristo
@omarmgeni87823 жыл бұрын
WAKRISTO MAKAFIRI 2
@samuelmunatta5914
Жыл бұрын
Ndilo unalojua tu. YESU anaokoa; hujui? Dini ni ya watu mpendwa.
@hashimumoshi71795 жыл бұрын
Mbona hakuna hoja apo , wayahudi katika diniyao walipewa sabato ,wewe yohana nawenzio ni wakiristo wapi wakiristo mmepewa sabato?
@calvinmchopa2222
5 жыл бұрын
Hashimu Moshi Ni aya gani ktk Quran umeagizwa unswali ijumaa
@kibojewee2710
4 жыл бұрын
@@calvinmchopa2222 : suratil jumaa Soma
@nestarnestar4520
Жыл бұрын
Sabato ilifanyika kwa ajir ya binadam, je we ni binadam au nyoka
@athmanjuma5407 Жыл бұрын
Kafiri hana lolote
@happyarooun60375 жыл бұрын
mbwembwe nyingi leteni andiko linalo sema. ukristo ni dini. niubigaji hela tu nyie kuni wa motoni
@davisrotich116
5 жыл бұрын
dini ni njia, na njia yetu ni Yesu maana yeye ndie njia ya kweli na uzima ila uislamu ni njia ya haki wala siakweli
@bwegelanyakhaido3088
5 жыл бұрын
Davis Rotich apo nimekuelewa kidogo kwamba dini ni njia Na njia ni yesu kwaiyo ukiwa Na yesu bac unadini sasa kunakitu nataka unieleweshe...so nikisikia mtu anasema yeye dini yake ni mkristo bac nijue niuongo cz ukristo sio dini Bali dini ni njia Na njia ni yesu...anatakiwa kusema dini yake ni yesu sio mkristo Kwa sababu umethibitisha ukristo sio dini Ila njia Na njia yenyewe ni yesu so dini yenu ni yesu au sio
@user-rf5tz5ft2y
5 жыл бұрын
The way is Jesus christ no dini so muslims believe is someone is muslim will go heaven yani you believe dini.
@DavisWangodi
5 жыл бұрын
Hata uletewe hutaamini kwahio haina haja
@financialloan9818
5 жыл бұрын
Ww ndo ujitambui kbs ukristo sio dini sisi tunamfata kristo sisi atufati dini maana mbinguni uendi kwa dini imani na matendo yko ndio maana ktk amri awajaweka dini Yan nyinyi mnaangaika na dini wkt matendo mazuri amtendi poleni sana sisi tunafata amri za mungu Kwenye bible na yesu ndo njia ya uzima wa milele iyo inajulikana
@alvinsafi27335 жыл бұрын
Yohana umekuwa lini myahudi? Maana jews ndio wanaoambiwa wafuate jumamosi..Mungu anaombwa kila siku...tena kwa unyenyekevu sio kwa makelele na nyimbo..i Think quran made it clear
Пікірлер: 103
Uislamu ni roho ya mpinga Kristo
@monicabh1668
2 жыл бұрын
Ni wapinga kristo kabisaa
MWALIMU OMARI NA NDACHA AWABARIKI SANAA
Yohana looks like patrick Lumumba.. Good message Yohana. Amen.
Mr Yohana Mungu akubariki na akuhekimishe wafundishe Kwa upendo
Kabisa Bwana Yohani Omari mungu akubariki sana kwa ku wambiya ukweri
Yohana Mungu akubariki sana Amen 🙏
Amen wahubiri wa yesu
Yohana ulinitoa ktk kza ukanipeleka ktk Utakaso wake Mungu Asante sana Mungu akurnde daima milele 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@ansirose5428
2 жыл бұрын
Wao congratulations na ww ulikuwaga uko gizani
AMEEEEEEN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥 barikiwa mchungaji lazima Waislamu wajue ukweli na tuwabatize waokoke woteeeeee
Am happy today Yusffu kapata wakumwambiya ukweli siyo vile unaenda Mahalia mtu hajuwi Bible ama Qur'an ndiyo unajimbembesha YESU Christo ni bwana na mungu apewa sifa
@yussufebrazzy640
4 жыл бұрын
Dada soma vitabu usiamini mtu yeyote sababu utaingia kaburi lako mwenyewe
Waislamu mkubalini yesu mkaokolewe
Day and night, night and day Jesus is Lord!!! My people perish because of lack of knowledge. What this man was speaking was so true. He didn’t spare both sides.
ukweli utasimama hata yote yatimie: amen
Naomba mupange mda mufike ukunda diani kwa kuelimisha wenyeji wa ukunda kuhusu yesu
Iam feeling to love your preaching Mr..Praise God Brethrens Greetings from Diaspora U.S. foreigner lands WE are behind your channel brother worth it Nothing comes easy in life dear Thank you so much for sharing your God giving gift with us.May God cover you under his umbrella You never know who you are inspiring people never learn till they drop dead
@margaretmargaret5744
2 жыл бұрын
People are just People even if you spoon feed them they will hurt you beyond HIV and corona follow such confused people at your own risk 😐🤷
Waislamu kubalini mukabadilike
@omarhassan23
5 жыл бұрын
Caleb Oloo nyinyi watz mna ujinga sana
@hashimmhashim2663
5 жыл бұрын
Ogopeni mungu nyinyi makiristo mutachomwa
@minaminaa1669
5 жыл бұрын
wakrsto ni masito na mioyo yao nimizito 😀😀
Be blessed
Asante kwa kua msabato
Yohana sawa!!!
Amen pasta
Ukitaka kwenda maka mfuate MUHAMAD ukitaka KUENDA MBINGUNI MFUATE BWANA YESU MUISILAMU UTACHAGUWA UNATAKA MAKA AU MBINGUNI
@monicabh1668
2 жыл бұрын
Good point kazi kwa waslamu tutawahubiria mpaka waokoke wote
@mohamedomar2005
Жыл бұрын
Kulingna na bibilia bingu zitatoeka kwa hivyo waislamu tunaenda peponi.
Kazi nzuri mwinjilisti
Amen
Kwa Yesu kuna uhuru tere
True
Amin
Muchungaji wachana na Yusuf yy ni wakupoteza kondoo za MUNGU.
weka video fulll wacheni ujanja ujanja mbona yusufu yueka video full hio video tukitaka tunaenda kwa Yusuf wambugu kila kitu kiko kamili yusufu ni profeser ndio mana unaona ndacha anaweka video fupi fupi za upande wao 😂😂😂
😀😀😀😀 kahama hiyo
kristo ndie haki na ukweli
Mwalimu Yohana Mungu akubariki sana😁😁👍,pia wainjilisti wote Ndacha, wasomaji ,mmenielimisha Sana Biblia,
Nendeni ilimwenguni mkawafanye wote kuwa wanafunzi,,,mkiwabatiza
dini ya kuruhusu kujitoa mhanga cjui Mungu gani wanamwabudu
@sarahwanjala6601
5 жыл бұрын
Nidini ya uongo hakuna ukweli
WEWE NIMUONGO SANA SWALI JE! LEO TUMEAMBIWA WAPI TUISHIKE SABATO KTK AGANO.JIPYA ALAFU NA MM NITAKUPA AYA
Pastor Nina swali mm ni muumin wa kristo wa kwel aliye hai Ila kuna kiumbe kinachanganya kichwa anasema yeye hana dini alafu Anatumia mistari ya biblia tena anasema mashetani watatu katika biblia ni uislam ukristo na uyahudi Msaaada kama ukisoma sms yang Na huyu Prophète Kacou 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Tuma video yote
Waislam ni wazugaji na wababaishaji Ila namshukuru yesu kwa sababu me hakuna muislam wa kunidanganya kwa Quran au kwa hadithi duniani hata wamfufue Muhammad mtume wa uwongo
Tangu lini muislamu anasikia
Je, wakristo wanaovunja sabato na kuelekeza wamini katika ibada ya jumabili wanasikia ama nikutafuta sadaka na kupoteza watu .
@sarahmichael7538
3 жыл бұрын
Cha muhimu ni kumfuata Kristo, siku siyo hoja kubwa, Yesu anaokoa, kikubwa ni kuhakikisha tunafika mbinguni kwa baba, hilo ni tosha sana kwetu ss wakristo
@makisjeremiah288
3 жыл бұрын
@@sarahmichael7538 Unafkaje mbinguni pasipo kuzushika amri za Mungu?
@samuelmussa4809
3 жыл бұрын
@@sarahmichael7538 sara wanawapotosha watu sabato ni amri ya nne! Basi tuzini tuibe? Hapana watu wafundishwe ukweli wote sio kuuma maneno.
@samuelmussa4809
3 жыл бұрын
@@sarahmichael7538 sasa utamfata kristo vip? Yohana 14:15 imasema mkinipenda mtazishika amri zangu 1Yohana2:3 -4 Yeye asemaye nimemjua na hazishiki amri zake ni muongo omba Mungu akufunulie uijue kweli yote uwe huru Yohana 17:17 Neno la Mungu ndio kweli.
@samuelmussa4809
3 жыл бұрын
@@makisjeremiah288 uwongo huwezi
Jamani hizi namba si zinajieleza? Jumamosi, Jumapili, Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamis na mwisho ni Ijumaa. Sabato ni siku ya Saba. Hapo siku ya Saba ni ipi? Mbona tinajitoa ufahamu?Leo tunaifanya moja kuwa saba!!Tena huku tunashangilia!!. Jamaa amewakimbia akina Mazinge Dar amekwenda kijijini Kenya kudanganya watu maana anajua hakuna wahadhiri wenye uwezo mkubwa.
@BIBLIANURUYADUNIA
2 жыл бұрын
Wewe Wacha Uongo..mazinge anatakibiwa ako na nini? Mkindanganywa ndio mtoe pesa ndio mwasema wamekimbia...pole sana...kwaza siku ya sabato ndio siku ya sabato. Quran inakubali 16:124..Sasa wewe na Quran nani Muongo? Sisi tulikuwa tunamaliza mkutano jumamosi...ila juu walimu wenu wanataka kuchangisha pesa lazima wangebaki wasema tumekimbia ndio mtoe pesa..edeleeni kuwa wajinga..wakundangaywa ovyo
Mpendwa mada ni siku
Hakuna Aya ndani ya bibilia inasema " wakristo wataingia peponi"
@nteminkuba1624
5 жыл бұрын
mbingu ni ya watu wote sio waisilamu au wakristo peke yao
@sarahwanjala6601
5 жыл бұрын
Tutaingia peponi kwa kuwa kila mtu atakae mwamini Yesu anao uzima peponi tunaingia kwa jia ya imani tutapo mwamini Yesu peponi tunayo
@financialloan9818
5 жыл бұрын
Sasa peponi unaingia kwa ajili ya maandiko ya Qran au utaingia pindi utamwamini yesu na kuokoka?Kwan yesu alipo sema kama mimi ndimi njia ya uzima na milele mtu aji kwa baba bila kupitia kwangu ilo andiko lina maana gani?sasa ww na wezako mnafikaje kwa mfano wkt amjui yesu poleni sana uko peponi kwenu kuna mito ya walevi kuna bikira 70 kwa kila mwanaume😂😂😂😂😂😂sisi sio wa peponi sisi ni mbinguni peponi kwenu Allah ndie atae weka guu lake
@sarahwanjala6601
5 жыл бұрын
@@financialloan9818 wajuwa sio nyakati zakubishana lakini kubishana kwetu nikwaajili ya Yesu kila kiumbe kifahamu ukweli wa Yesu silikiliza fanya wamuzi wako so kweli Muhammad sio nabii wakweli nikama tu vile kulivyo sasa mtu hajaitwa kufungua kanisa anafungua nipia siwalaumu kabisa kwani utawala wakirumi ndio unaowatawala watu ili mumpinge Yesu nachakushangaza Yesu atahubiriwa kwete ulimwenguni mwote ...Yesu ndie njia na kweli
@financialloan9818
5 жыл бұрын
@@sarahwanjala6601 kbs barikiwa sana Yesu ndie njia na kila goti litapigwa kila jicho litamuona bila Yesu ni bureee kbs.yote yalikwisha pale msalabani waacheni awa wapoteze mda na uyo Allah wao lkn wakae wakijua Allah sio Mungu
Nyinyi ni wazimu kubishania neno la mungu
@caleboloo3438
5 жыл бұрын
Wewe ndiye hujielewi. Tukiwa na imani tofauti na kila mtu anadai kuwa imani yake ndiyo kweli ilhali imani inafaa kuwa moja, huoni inabidi tujadiliane (tushindanie imani) ili ukweli ijulikane tufuate
@omarhassan23
5 жыл бұрын
Caleb Oloo mwenyezi mungu aliteremusha sura moja inajiita kafiruuni,ambapo sura hi inaonya wanao bishana kwa neno la mungu pasi na elimu,sura inasema enye makafiri mna dini yenu nami nina dini yangu,kwa hivyo kuwa na yenu sisi pia tuwe na yetu
@davisrotich116
5 жыл бұрын
@@omarhassan23 wale wasio na elimu kama ww quran yenu yenyewe yasema mkiwa na shaka nadini jadiliyaneni ww ndio elimu yako ndogo
@saitotisapiyo7167
5 жыл бұрын
Unajua maana ya kubishana na kufundishana.😏
@abcdg1995
3 жыл бұрын
@@caleboloo3438 sound like a confused element too dealing Praise God my beautiful SOUL worth it Jesus Christ is the way to God
msihubili siku wewe kama mkristo halisi hubili wokovu wa yesu kristo
@mwanaidikisimba4718
5 жыл бұрын
Tina Joseph amri ya Mungu ndio inahubiriwa
Yohana vipi tena unahubiri siku?
@financialloan9818
5 жыл бұрын
Soma bible utaelewa ingawa umeelewa ila unajikaza tuu apo iyo ndo tabia ya waislam ata yesu aliponya siku ya sabato
@adamkkamar4498
5 жыл бұрын
sio sikubali nimojawapo ya amri za Mungu mnazo zikataa mkidai niza wayahudi lakini swali ni je? amri ya usiue ni dhambi kwenu? na kuiba kwa waisilamu ni dhambi? na kuzini au kudanganya ni dhambi ikiwa ni dhambi basi hata kuvunja sabato ni dhambi,ikiwa hizo zingine zote ni amri hata kwenu hata sabato ni amrisoma yakobo mbili kumi
@kelvinmichae728
4 жыл бұрын
Tunapo kuja kwenye swala la kuwaunganisha waislam na wa kristo Lazima tuweke udhehebu mbali tufuate amri za Mungu. Waislam kwa swala la kuwavuta wakristo waje kwao Hua wanaweka udhehebu mbali wanaungana ili wa wavute wakristo
WAKRISTO MAKAFIRI 2
@samuelmunatta5914
Жыл бұрын
Ndilo unalojua tu. YESU anaokoa; hujui? Dini ni ya watu mpendwa.
Mbona hakuna hoja apo , wayahudi katika diniyao walipewa sabato ,wewe yohana nawenzio ni wakiristo wapi wakiristo mmepewa sabato?
@calvinmchopa2222
5 жыл бұрын
Hashimu Moshi Ni aya gani ktk Quran umeagizwa unswali ijumaa
@kibojewee2710
4 жыл бұрын
@@calvinmchopa2222 : suratil jumaa Soma
@nestarnestar4520
Жыл бұрын
Sabato ilifanyika kwa ajir ya binadam, je we ni binadam au nyoka
Kafiri hana lolote
mbwembwe nyingi leteni andiko linalo sema. ukristo ni dini. niubigaji hela tu nyie kuni wa motoni
@davisrotich116
5 жыл бұрын
dini ni njia, na njia yetu ni Yesu maana yeye ndie njia ya kweli na uzima ila uislamu ni njia ya haki wala siakweli
@bwegelanyakhaido3088
5 жыл бұрын
Davis Rotich apo nimekuelewa kidogo kwamba dini ni njia Na njia ni yesu kwaiyo ukiwa Na yesu bac unadini sasa kunakitu nataka unieleweshe...so nikisikia mtu anasema yeye dini yake ni mkristo bac nijue niuongo cz ukristo sio dini Bali dini ni njia Na njia ni yesu...anatakiwa kusema dini yake ni yesu sio mkristo Kwa sababu umethibitisha ukristo sio dini Ila njia Na njia yenyewe ni yesu so dini yenu ni yesu au sio
@user-rf5tz5ft2y
5 жыл бұрын
The way is Jesus christ no dini so muslims believe is someone is muslim will go heaven yani you believe dini.
@DavisWangodi
5 жыл бұрын
Hata uletewe hutaamini kwahio haina haja
@financialloan9818
5 жыл бұрын
Ww ndo ujitambui kbs ukristo sio dini sisi tunamfata kristo sisi atufati dini maana mbinguni uendi kwa dini imani na matendo yko ndio maana ktk amri awajaweka dini Yan nyinyi mnaangaika na dini wkt matendo mazuri amtendi poleni sana sisi tunafata amri za mungu Kwenye bible na yesu ndo njia ya uzima wa milele iyo inajulikana
Yohana umekuwa lini myahudi? Maana jews ndio wanaoambiwa wafuate jumamosi..Mungu anaombwa kila siku...tena kwa unyenyekevu sio kwa makelele na nyimbo..i Think quran made it clear