Polisi mjini Mombasa wanawazuilia washukiwa kadhaa wa kundi la Wakali Chee
Polisi mjini Mombasa wanawazuilia washukiwa kadhaa wa kundi la Wakali Chee
Жүктеу.....
Пікірлер: 36
@fahadtimimi93354 жыл бұрын
Yani mpka kufikia Leo miaka ya ngapi hyo jina munashindwa kumaliza serikali .,.,....buree kaaabisaaaa.
@faizislam2378
4 жыл бұрын
Bro umebonga bonge la point.lakini angalia muislam yyt aambiwe ni gaidi.utaona roli zima laja hapo.
@charlesrachier5444
4 жыл бұрын
Serikali pia wamekua wapumbavu piga risasi mtu
@aaa64sa134 жыл бұрын
Amna kushika ni kupiga risasi funga file.
@binthassancollection.63084 жыл бұрын
Kumezuka Wakali chee!!!🙆♂️🙆♂️🙆♂️
@khadijaomar8427
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣bado wakali chiii
@charlesrachier54444 жыл бұрын
Pigeni hao risasi wacheni upumbavu nyie polisi pia shenzi kabisa
@faisalmohamed17634 жыл бұрын
majambazi julikana na wajuana na police, police wanashika wahalifu kwa kuchagua wakushika na wakuacha, hongo ndio kula yao police, watashika hata wasio husika ili waonekane kuwa wawajibika kazini, pigeni risasi majambazi wanaohusika kweli kwenye uhalifu.
@Michael-m1234 жыл бұрын
Schools are closed...
@khadijaomar84274 жыл бұрын
Bado wakali chii🤣🤣🤣🤣
@jayramadhan4584
4 жыл бұрын
😂😂🤣
@khadijaomar8427
4 жыл бұрын
@Young Yayoo balaa kidogo
@AliAli-ce9ow
4 жыл бұрын
@@khadijaomar8427 vijana,awataki kufanya kazi washazoeya pesa ya araka ndio mana wanajiita wakali chii mara wakali choo mitiani kweli
@khadijaomar8427
4 жыл бұрын
@@AliAli-ce9ow kweli kumetoea na wengine juzi 🙄
@AliAli-ce9ow
4 жыл бұрын
@@khadijaomar8427 daah mitiani kwetu Kenya maisha magumu sana akuna awataki kazi kukata watu mapanga kuibia watu simu mtu amerauka asubui kwenda kutafuta kazi labda mwenyewe ana Mia tu ama,miambili wamuibia ama simu ya kabambe ati wamuibia alafu vitoto Miaka kumi na sita maisha gani wanayo ishi maisha mabovu mno
@mahmoudmohamed3444 жыл бұрын
Mutahongwa na wazazi wao na mutawaacha tuu.Kesho asubuhi watakuwa wamerudi tena
@njokiwainaina7614 жыл бұрын
Jamani ivi vikundu vyasababisha vijana innocent kuuliwa,wengi wamemalizwa wenye si wahalifu ingawapo waalifu wenyewe wanazurura tu
@didaahabubaz85124 жыл бұрын
Hamna kitu hapo hakuna ata muhuni moja ivi hawa polisi hawajui waunii wanashika tuu vijana kupotezea watu hila hapo hakuna muuni kbsa wauni wenye kiswahili chao wanakijuwa ama wamasema tuu wameshika waunii hakuna kitu hapo
@andallaathman38564 жыл бұрын
Watazidi kabisa Hadi wapindue serikali siwatu wakosa makaxi na hongo Kwa police na majaji wakiachwa so Sisi msa ndio tutaumia tuu
@josephinejosephine1455
4 жыл бұрын
Sasa badala yakukata msitu mpande mahindi wanakata watu kisha watu wetu ujinga kweli
@fatumamwalimu57654 жыл бұрын
Mufanye uchunguzi muwashike waalifu na sio kushika watu wasio na hatia maana police wa Kenya mkifika upande wa mombasa mnataka kuvunja miguu watoto wote wakiume sijui mkoje,alafu sijaona mkishuulikia mungiki hau mungiki walihalalishwa?
Schools have closed... Keep truck of ur kids movement n stop defending them,yes police have there issues bt this is something thay pops up during holidays.....
@fatumamwalimu5765
4 жыл бұрын
@@salmasaid7058 ,mpuuzi ni wewe tena mkunduo,uki reply comment ya mtu uwe na adabu ukianza matusi hapa utoshi,vijana wangapi wa mombasa wanauliwa bure na kwani mtuhumiwa ufunguliwa mashtaka hau kupigwa risasi mbwa wewe,ungekua wamaana ungeshika na mungiki nao,Mombasa siku hizi vijana wanauliwa na police bila uchunguzi alafu unaongea nini wewe!hau vile hakuna mtu wako ameuwawa ndio unaongea upuzi? Jinga wewe ukwende kabisa
@fatumamwalimu5765
4 жыл бұрын
@@salmasaid7058 ,ikiwa hujaielewa comment pita uende sio lazima u reply comment ya mtu
@josephinejosephine1455
4 жыл бұрын
Mungiki walishuhulikiwa hakuna mngiki sasa hakuna kazi unauwa jirani yako ndio iweje
@fauzishma80334 жыл бұрын
Kutoka kwa wa kali wao mpaka kwa wakali chee Kesho sasa litaitwa wakali nani?
@josephinejosephine1455
4 жыл бұрын
Nawashangaa
@mkanyikamwamburi25144 жыл бұрын
Mshomoroni tumezidi kuibiwa akuna patrolling ya mapolisi machafuko imeharibika
Пікірлер: 36
Yani mpka kufikia Leo miaka ya ngapi hyo jina munashindwa kumaliza serikali .,.,....buree kaaabisaaaa.
@faizislam2378
4 жыл бұрын
Bro umebonga bonge la point.lakini angalia muislam yyt aambiwe ni gaidi.utaona roli zima laja hapo.
@charlesrachier5444
4 жыл бұрын
Serikali pia wamekua wapumbavu piga risasi mtu
Amna kushika ni kupiga risasi funga file.
Kumezuka Wakali chee!!!🙆♂️🙆♂️🙆♂️
@khadijaomar8427
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣bado wakali chiii
Pigeni hao risasi wacheni upumbavu nyie polisi pia shenzi kabisa
majambazi julikana na wajuana na police, police wanashika wahalifu kwa kuchagua wakushika na wakuacha, hongo ndio kula yao police, watashika hata wasio husika ili waonekane kuwa wawajibika kazini, pigeni risasi majambazi wanaohusika kweli kwenye uhalifu.
Schools are closed...
Bado wakali chii🤣🤣🤣🤣
@jayramadhan4584
4 жыл бұрын
😂😂🤣
@khadijaomar8427
4 жыл бұрын
@Young Yayoo balaa kidogo
@AliAli-ce9ow
4 жыл бұрын
@@khadijaomar8427 vijana,awataki kufanya kazi washazoeya pesa ya araka ndio mana wanajiita wakali chii mara wakali choo mitiani kweli
@khadijaomar8427
4 жыл бұрын
@@AliAli-ce9ow kweli kumetoea na wengine juzi 🙄
@AliAli-ce9ow
4 жыл бұрын
@@khadijaomar8427 daah mitiani kwetu Kenya maisha magumu sana akuna awataki kazi kukata watu mapanga kuibia watu simu mtu amerauka asubui kwenda kutafuta kazi labda mwenyewe ana Mia tu ama,miambili wamuibia ama simu ya kabambe ati wamuibia alafu vitoto Miaka kumi na sita maisha gani wanayo ishi maisha mabovu mno
Mutahongwa na wazazi wao na mutawaacha tuu.Kesho asubuhi watakuwa wamerudi tena
Jamani ivi vikundu vyasababisha vijana innocent kuuliwa,wengi wamemalizwa wenye si wahalifu ingawapo waalifu wenyewe wanazurura tu
Hamna kitu hapo hakuna ata muhuni moja ivi hawa polisi hawajui waunii wanashika tuu vijana kupotezea watu hila hapo hakuna muuni kbsa wauni wenye kiswahili chao wanakijuwa ama wamasema tuu wameshika waunii hakuna kitu hapo
Watazidi kabisa Hadi wapindue serikali siwatu wakosa makaxi na hongo Kwa police na majaji wakiachwa so Sisi msa ndio tutaumia tuu
@josephinejosephine1455
4 жыл бұрын
Sasa badala yakukata msitu mpande mahindi wanakata watu kisha watu wetu ujinga kweli
Mufanye uchunguzi muwashike waalifu na sio kushika watu wasio na hatia maana police wa Kenya mkifika upande wa mombasa mnataka kuvunja miguu watoto wote wakiume sijui mkoje,alafu sijaona mkishuulikia mungiki hau mungiki walihalalishwa?
@salmasaid7058
4 жыл бұрын
wacha kutetea upuzi hao unawatetea n hao walienda baharni wakarudia ivyo
@Michael-m123
4 жыл бұрын
Schools have closed... Keep truck of ur kids movement n stop defending them,yes police have there issues bt this is something thay pops up during holidays.....
@fatumamwalimu5765
4 жыл бұрын
@@salmasaid7058 ,mpuuzi ni wewe tena mkunduo,uki reply comment ya mtu uwe na adabu ukianza matusi hapa utoshi,vijana wangapi wa mombasa wanauliwa bure na kwani mtuhumiwa ufunguliwa mashtaka hau kupigwa risasi mbwa wewe,ungekua wamaana ungeshika na mungiki nao,Mombasa siku hizi vijana wanauliwa na police bila uchunguzi alafu unaongea nini wewe!hau vile hakuna mtu wako ameuwawa ndio unaongea upuzi? Jinga wewe ukwende kabisa
@fatumamwalimu5765
4 жыл бұрын
@@salmasaid7058 ,ikiwa hujaielewa comment pita uende sio lazima u reply comment ya mtu
@josephinejosephine1455
4 жыл бұрын
Mungiki walishuhulikiwa hakuna mngiki sasa hakuna kazi unauwa jirani yako ndio iweje
Kutoka kwa wa kali wao mpaka kwa wakali chee Kesho sasa litaitwa wakali nani?
@josephinejosephine1455
4 жыл бұрын
Nawashangaa
Mshomoroni tumezidi kuibiwa akuna patrolling ya mapolisi machafuko imeharibika
@njokiwainaina761
4 жыл бұрын
Mungu atustiri, mshomorini wapi
BADO WAKALI KESHO