Watu wanane wanauguza majeraha baada ya kuvamiwa na genge huko Mombasa

Watu wanane wanauguza majeraha baada ya kuvamiwa na genge la wahuni usiku wa kuamkia leo katika eneo la Mikindani eneo bunge la Jomvu kaunti ya Mombasa. Genge hilo linadaiwa kujihami kwa mapanga lilitekeleza uvamizi huo mwendo wa saa saba usiku kabla ya kutoweka. Maafisa wa polisi wanaendeleza msako ambapo inaarifiwa washukiwa wanne wa genge hilo wamekamatwa.

Пікірлер: 47

  • @paulinewangila-cs6ys
    @paulinewangila-cs6ys3 ай бұрын

    Mama ameongea ukweli sanaa,hongo Kenya itaisha lini inaleta kudhohofika kwa inchi

  • @japhetkahindi4791
    @japhetkahindi47914 ай бұрын

    Recently Deputy president Gachagwa warned security chiefs in Mombasa and likoni that watafutwa KAZI due to laxity of security,why Not sack them now

  • @faithowino8363
    @faithowino83633 ай бұрын

    I'm glad I appeared on Citizen TV God is Merciful

  • @patrickmuchiri7480
    @patrickmuchiri74804 ай бұрын

    Riggy G muST go there now,this woman is great and open.

  • @andallaathman3856

    @andallaathman3856

    3 ай бұрын

    Rigi g ni siasa tuu na mdomo Hana lakufanya upuzi mwingi tuu drugs dealers imekuaje mpaka sasa

  • @japhetkahindi4791
    @japhetkahindi47914 ай бұрын

    All security officials in Mombasa must be sacked kazi Yao ni kushika innocent women wanauza mnazi not security matters

  • @mollyoduor

    @mollyoduor

    3 ай бұрын

    Very true

  • @user-rb2pv5mw9x
    @user-rb2pv5mw9x4 ай бұрын

    Hawa majambazi wana faa ku walishwa tyree naa ku chumwaa ni dawa peke yaake 🔥.

  • @japhetkahindi4791
    @japhetkahindi47914 ай бұрын

    Serikali Iko wapi surely if gangs can terrorize pple whole night

  • @georgegg1079
    @georgegg10794 ай бұрын

    County commander, kazi yako nini? Rudisheni nelson marwa

  • @selphineonyango2591

    @selphineonyango2591

    3 ай бұрын

    Marwa arudi mombasa

  • @allynyanje5779

    @allynyanje5779

    3 ай бұрын

    Ushasema

  • @charliemzaeh1704
    @charliemzaeh17043 ай бұрын

    Mikindani has known peace we won't allow goons to distract.wamama waongee na wanao au wawachie ulimwengu

  • @Gorgeousij
    @Gorgeousij3 ай бұрын

    Dp aliongeo hawa wanasiasa wakamuingilia sana,vile mambo inaendelea uko mombasa si vizuli,na ni kama wanalenga watu wa bala

  • @user-mo2iv1xo1g

    @user-mo2iv1xo1g

    3 ай бұрын

    Wacha uongo watu wa bala ndokusema nini?

  • @NeymarMuhammad

    @NeymarMuhammad

    3 ай бұрын

    ​@user-mo2iv1xo1g 😂😂

  • @marymashao2304
    @marymashao23043 ай бұрын

    Mama ameongea point

  • @beirut9750
    @beirut97503 ай бұрын

    Shikeni kiongozi wao Kateni shingo

  • @rosekadzokillian9700
    @rosekadzokillian97003 ай бұрын

    Poleni jamani.. Mupone nyote in Jesus mighty name Amen

  • @duh-yr2lj
    @duh-yr2lj4 ай бұрын

    Siku kenya itaweza ku deal na mihadarati haya yote yatakwisha.

  • @paulinewangila-cs6ys

    @paulinewangila-cs6ys

    3 ай бұрын

    Kabisa mihadarati ishindwee

  • @stephenthuranira5619

    @stephenthuranira5619

    3 ай бұрын

    Hii sio mambo na mihandarati bro they know what they are doing in mombasa hii inakuaga game ya viongozi wachache ....

  • @selphineonyango2591

    @selphineonyango2591

    3 ай бұрын

    Mihadarati si shida,shida ni kuna kiongozi anawaspouser hao vijana

  • @stephenthuranira5619

    @stephenthuranira5619

    3 ай бұрын

    @@selphineonyango2591 Exactly mombasa watu ya mihandarati ni mateja ...teja ni mwizi ya screp na tuwizi kindogo kindogo ya ujinga lkn hiyo kupigana mapanga ni vikosi zinajulikana vizuri tuliokuwa wakati ya Mkubwa Marwa can understand

  • @samuraitrax6597

    @samuraitrax6597

    3 ай бұрын

    Its spelled "CORRUPTION"

  • @IbrahimSalat-ps4ko
    @IbrahimSalat-ps4ko3 ай бұрын

    Kweli

  • @halimaadan3412
    @halimaadan34123 ай бұрын

    Waizi wa njaa si waende wakaibe Bank umbwa hao😢

  • @mwakdesign_45
    @mwakdesign_454 ай бұрын

    Like where is the government😢

  • @engineerrajab9533

    @engineerrajab9533

    4 ай бұрын

    Viongozi wote waajibike

  • @paulinewangila-cs6ys

    @paulinewangila-cs6ys

    3 ай бұрын

    Ndio

  • @mkenyamzalendo4130
    @mkenyamzalendo41304 ай бұрын

    Hao majambazi washikwe ama wauliwe

  • @SabburahSwabra
    @SabburahSwabra3 ай бұрын

    Kwa nn kenya mnazembea hivi kwa mtu alio katika hali mbaya kisa maana n pesa.c mtibu mtu mumuokoe maisha yake kisha pesa ifwatie .au mwataka mtu afe ndio mjidai mlikua mwamsaidia 😭😭.kuhusu hao wezi n bora wakisgukwa wapigwe hadi kufwa .police wakija wachukue mizoga yao. Wakati wa kandingo wezi walinyooka n wakaisha hadi wengine wakaama mombasa coz kulikua kumoto sana.dawa n mwizi kuuwawa tu coz ata yy haonei mtu huruma akiwa anamuuwa 😭😭

  • @nchimbuke7261
    @nchimbuke72613 ай бұрын

    WEKA MSOMALI AKUE MKUBWA WA POLISI AONGOZE HYOO OPERATION

  • @jamessila3219
    @jamessila32193 ай бұрын

    Poleni sana

  • @aliathmani7165
    @aliathmani71653 ай бұрын

    Wanaotowa hongo kwa polisi ni kina nani, hapo ndio shida sasa. Pia nanyi watu wema, vita vya aina hiyo upiganwa hivyo hivyo.

  • @Traveler32
    @Traveler323 ай бұрын

    Human rights my foot

  • @user-qm4ow3vu3m
    @user-qm4ow3vu3m3 ай бұрын

    Quick recovery

  • @andallaathman3856
    @andallaathman38563 ай бұрын

    Huyo human rights hafai hata kua hapo wao ndio sababu kuu wakiuliwa vijana wasema haki zao wanalaumu police wauliwe hao watoto

  • @selphineonyango2591
    @selphineonyango25913 ай бұрын

    Hapa dawa ni marwa arudi mombasa

  • @charliemzaeh1704
    @charliemzaeh17043 ай бұрын

    Serikali nao ikianza operation watu wasilalamike

  • @wyagpaul9130
    @wyagpaul91304 ай бұрын

    aty ngoja wasababishe nkt mapolisi

  • @fnyaruhanga
    @fnyaruhanga3 ай бұрын

    The ambulance driver is bad

  • @nixonlusimba3794
    @nixonlusimba37943 ай бұрын

    Mombasa use be a safest place to live 10 years ago but now for vacation is better we go to Tanzania or South coast.what is nyumba kumi and wazee mtaa doing.

  • @user-ee9ye3qt6l
    @user-ee9ye3qt6l3 ай бұрын

    Very pathetic 😭😭😭

  • @Actor_bad24IK
    @Actor_bad24IK3 ай бұрын

    Hawa ni watoto wa shule..they do this during holidays...they only get locked up maximum 1 week...even after committing horrific crimes.