Wahudumu boda boda Mombasa watishia kurejesha pikipik zao za elektroniki kwa madai ya huduma duni
Wahudumu boda boda za kutumia nguvu za umeme kaunti ya Mombasa wametishia kurejesha pikipiki hizo kwa kampuni miliki kwa madai ya huduma duni pamoja na nyongeza ya malipo
Пікірлер: 166
I really love Kenyans they only change and listen to good advice after facing the problem.
WHEN THE DEAL IS TOO GOOD, THINK TWICE.
@lilian2660
8 ай бұрын
😂😂😂ruto anafanya kenya mambo
Inaitwa uwongo wa hustler,, na badoo mtaliaa sanaa
yaani petroli ipande na nyinyi mshukishiwe...serikali ya usawa kwa kila mtu😂😂😂
Haki ya nani Ruto aliwaingiza kwa box yeye aliunda pesa zake na akaondokea 😂😂
Watu wa boda boda hoeeeh mama mboga hoeeeye na tuliwawarn
The rise in fuel prices was to motivate them to take stima boda for a loan its their time to do business with Kenyans
@domin842
8 ай бұрын
And zakayo is working with the owners of those companies who are from the west,and secondly the rise in fuel prices is something that someone is working on it inorder for us to abandon these fuel vehicles and shift to e-vehicles and bodas
Si hio ni vitu za zakayo si mulikubali kuchukua kitawaramba 😅😅
@peternangiro7105
8 ай бұрын
Hasora anatawara ataware
I said it...😢😢😢😢wacha kiwaramba...
Mtu mwenyewe anamuani ruto kitakacho mkuta asijekulia nasisi
Hustler Nation bottom up
Ruto ooooooooo wa I don’t know how to say everyone crying
Hasola tawaraaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mtu ya boda boda ,mtu ya kihosk,mtu ya mkokoteni😂😂😂😂😂
@lilian2660
8 ай бұрын
All in all si ni hasola🤣🤣🤣
@muindimulwa2102
8 ай бұрын
@@lilian2660 yote imekua vanity😂the worst and useless president ever since independence
@juliamongina6084
8 ай бұрын
Wacha umama you are fooled each and every time😂😂😂😂
@Guest-fm8sb
8 ай бұрын
Pottom hapuuu😂😂😂
@kevg1794
8 ай бұрын
Kubabake...... Mama mboga 😂😂😂😂
All negative vibes about this govt
Kenya was not ready to introduce electric solutions
@ilikepremios.amanofunofhyb4751
8 ай бұрын
World is not ready n it will never. Evs are very inconvenience.
@rydergoode6922
8 ай бұрын
It was seen as a short term solution to hiked fuel prices. Ironically that was also the selling/marketing point
@home9556kefr
8 ай бұрын
@@rydergoode6922 plus IMF expectations
Yani kila kitu ya ruto ni disaster? I think by know kama wewe ni mkenya na waskiza ruto wewe ni mjinga. Eti ruto akupunguzie bei na unamskiza? 😂
Na mvua ya juzi ....zilizima kuzima.... Ndo hasira zote
Poleni niliwawarn
Mambo bado
😂😂😂wah poleni juu itapanda mpende msipende kila kitu kenya....
Why not make it chargeable at home? They should sell us the chargers!!
@wawerukamau1260
8 ай бұрын
Capitalism does not work like that.
@sjsm8578
8 ай бұрын
@@wawerukamau1260 capitalism gani hio na serikali iko involved?
@wawerukamau1260
8 ай бұрын
@@sjsm8578 nimekubaliana na wewe
@cryptoth4n0s77
8 ай бұрын
100% of those bikes are still owned by the company, so for them (company) to get maximum returns they are forced to charge from the company . They can charge from home only that they are still not enlightened. Also what happens with this bikes they are not given chargers but rather they swap batteries.
@sjsm8578
8 ай бұрын
Kwanza solution ni capitalism. Give me Venture capital nianzishe company ya home charging batteries
Wenzao washarudisha kitambo mbona wamechelewa watu wa Mombasa, zakayo anything anapandisha pole pole anapandisha alaf Ana waangalia kma mutaandamana 😂si mafuta,Unga, mambo I'd, passport everything
Warundishe kwani walilazimishwa
Mtajua hamjui, ndio tabia ya wakenya. Maziwa mala kabisa
Mambo ya Ruto achaneni nazo😂
Already Conned. That is Ruto for you.
Kesho rudisheni zote hapo mlipotoa
They were conned😅
😥😥😥 sasa inaturamba imagine
Ruto imagine ni pesa za Kenya anaendelea kuficha,the moment ametoka kiti atakuwa amejaza pesa kila account na zingine amelima mashimo ameekea mpaka kizazi chase cha 50,MUNGU amuone tu na amazing mafikirio yake mbovu katika JINA LA YESU.
😂😂😂😂😂😂😂 mtajua hamjui
ALIZIPELEKA STRONGHOLD YA RAILA, NDIO KIWARAMBE😂😂😂😂ITS punishment for not voting for him😂😂😂😂
@muotinzmultiply88
8 ай бұрын
😂😂😂😂😋
@domin842
8 ай бұрын
Stronghold ya raila na kinaturamba kila mahali ziko hata hapa Nairobi na mi husikia ziko fake sana,kumbe it's true,ati zinazima wakati wa mvua,
Watu wa boda boda pigeni simu China muuziwe charger za hizo pikipiki😅😅😅 kazi rahisi hiyo
😅😅😅😅😅ndio mwanzo
Na Bdo hauthemaa yaani mpaka mseeme 😂😂😂
Kimewaramba heri ya mafuta stima haina nguvu ya kubeba watu wawili
Ruto tialala ruto tibim 😂😂
Leave Zakayo alone kwanza amalize kukula chura, alafu ata wa sort 😔 relax....
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 thank you very important
Ata iwezi beda ngunia moja ya makaa
@wawerukamau1260
8 ай бұрын
Kwani Ina gear ngapi ?
@richardonanda5501
8 ай бұрын
@@wawerukamau1260 trust me bro even more than two passengers 😂😂
Saw this coming from a mile away
Na warengeshe zirudi china hatutaki hatupangwingwi
kimewaramba tena😄😄
Shauri yenu c nyinyi ndio mlichagua
Mlisema bottom up 😂😂😂😂..kitawaramba
Tumieni akili , hizi pikipiki, zililetwa na ruto ndio mwekeza, mkakibilia kama ng'ombe , hizi no toys sa watoto za kushezea, kitawaraba Bado 🤣🤣🤣🤣
Turo uko sawa tenda haki kwa wote mafuta ikipanda pia stima ipande kwani iko nini kama hamtaki rudisheni sisi wazimio tuende tuka zichukue 😅😅😅 tujenge inchi 😅😅😅😅
Huyu ruto hakuna kitu atasema natuamini
The charging time and wait is the big issue 😅😅
@wawerukamau1260
8 ай бұрын
That's not the issue. The battery are swapped but that battery does not belong to you;it belongs to the invester.
@isaiahizzoh9644
8 ай бұрын
@wawerukamau1260 the going to swap time? Distance to the swapping point too
@wawerukamau1260
8 ай бұрын
@@isaiahizzoh9644 you have a very valid point brother.
Why are people in business so motivated to increase prices?
@chickynuggies2739
8 ай бұрын
rising costs my guy. I run furnished apartments and a week ago we got notices to start paying tourism levy. If they eat into my profit, I have no choice but to raise prices.
@erickjuma7643
8 ай бұрын
I get it, the problem is there's no yard stick for determining how much is extra is charged.
@josephmungai1799
8 ай бұрын
People in business do not increase prices. It is money that loses value. Why does money lose value,? Because of government overspending and over borrowing....so that today, with 12trillion in debt, Kenya's wealth TOMORROW, YOUR WEALTH, will be 12trillion shillings LESS.. BLAME the government. Not the traders.
@josephmungai1799
8 ай бұрын
@@erickjuma7643oh, there is a yardstick.....it is called TAX. calculate the amount of tax, and you can tell precisely what is being stolen by government
@domin842
8 ай бұрын
Yet the imf is planning to give Kenya 1.6trillion ksh,wait and see how the ksh will be weaker than even the ugandan shilling
Kazi ya hustler ni kucon watu
Waaaaah
Hasoraaa tano tena 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kimewaramba
Project hiyo
Capitalism at its best.
@josephmungai1799
8 ай бұрын
This my friend is not capitalism. This is Socialism, using government power to engineer society to gain more power and hence more money. In capitalism, you freely provide a service and if it is good I pay for it; willing buyer, willing seller. Government has nothing to do with it.
Sisi tuliwambia kitambo hyo but wakenya niwajinga sana kwanini muende muakanunue pikpik ujinga tuu mwingi mko nao wakenya wapumbavu tuu
@wawerukamau1260
8 ай бұрын
Hizi boda ni za loan ,na vile kulivyo hiyo loan hailipiki Tena.
@andallaathman3856
8 ай бұрын
@@wawerukamau1260 wacha kiwarambe ujinga mwingi
Hustler nation bottom up
Hizo ni story za jaba
kenyans should remember that whatever ruto is doing, he does it for his own benefit. let us analyze him keenly to avoid learning from experience.
1:35 😊
Wacha kiwarambe
Yes
Anything that is proposed by Ruto its ascam you must be careful,,jamaa alikula na contractor yy ameshba,,nldhan atakua akitumia electric cars kumbe ilkua ilkua tu kuingiza wajinga box biashara inoge
Think twice bwanaa😂😂😂
Iyo bei iko sawa apo kwa mia tatu tusifaidike pekeetu pia kampuni ifaidike haiendi ivo tunavyo dhani eti tushinde na battery the whole day bila kueka kwa moto😂😂😂 Hii bike inafaida coz huendi nayo service kazi n kugeuza battery tu.........
Rudisheni 😂😂😂😂😂
Hiyo ni bottom up kwaivo kimewaramba na wakisubutu kuteremsha pia mafuta wateremshe
Msilalamike mlichagua wenyewe Rais sasa vumilieni na chochote atakachowaletea
@eriminahmshai
8 ай бұрын
Uliza chebukati nani alichgua rais maybe wewe ndio ulichagua ulikuwa zikihesabiwa hizo kura ukaona alichanguli msilaumiane pesa kwa pesa ndipo uwe rais sio kwa kuchaguliwa ni pesa itumike
@kadengebenendect6257
8 ай бұрын
@@eriminahmshai najua n chungu kumeza ila madhumuni ya coments yangu nkusema hivi twapenda vya leo leo wakati pesa ikimwagwa ovyo mitaani hamkujua itahitajika kurudishwa ? oooh huyu alilaaniwa na wazazi wake , ooh huyu hafai kuwa rais tulivyo wepesi wakuamin uongo kuliko ukweli ndo sai tumefikia hapa tulipo,tulieni tulisakate goma hili jamani bado mapema
Listen to customers
Musilipe mikopo tu ndio suluhisho
Zakayoooo!
Why would Boda Boda men and women even buy electric piki piki? If they bought them, why rant?
KIMEWARAMBAAAAAAAAAAAAA. Mafita yamepandishwa bei ili wanabodaboda wanunue piki za umeme, hasara kwenu faida kwa Ruto.
That's bulshit Ni what those zakayo aliwadanganya mkafwata😂😂😂😂
WAKENYA WENYEWE PIA NAO SIJUI NITASEMA WANAPENDA SIFA AMA NI VP MAANA UTATUMIA VP BODABODA YA STIMA NA WAJUA VIZURI ZAKAYO ALILETA HIZO BODABODA ZA STIMA ILIAPATE KULA HUKO ANYWAY WANAITWA WA KENYA WANAKASIRIKA SAHII WANASAHAU KILICHO WAKASIRISHA ALAFU WANZE TENA KUONGEA NA HASIRA HAKI SIJUI WALIKOSEA WAPI WA KENYA
Hapo najuwa Kuna njama fiche or ma cartels wako ndani pia,coz sivyema mtu anunue hiyo bike 160k alafu Bado kucharngiwa anawafwata tena watengeze permanent charging Kila mtu awe nayo tosha.
When Ruto says black is white, don't wait to confirm, my friend run and run faster!
Pesa yenu inawaadhibu sasa
🫣🫣🫣🫣😂😂😂😂😂 na bado.
Ati ni bottom up, uliskia wapi ??
Waliingizwa dole la tuuni likaingia saii wanatupigia kelele wakwende kabisa
Hizi ni bonoko
Ndio hio bottoms up yenyu
Taxes ndio wanalenga
Mdomo Tam Tam 😅😂
Rais anasema alikuta kenya ikiwa na madeni mengi sana sasa analipa madeni mbona anapeana pikpik za madeni eti unalipia kidokido na hiyo kidokigo hatutawahi faidika heri ununue yako kiliko kupewa na unakamliwa jamani.
@JophasJohn-oh8zu
8 ай бұрын
Wakenya huwa hawaelewi kabisa kila kitu wao wanakimbilia wacha kiwalambe
Mliambiwa na nani mkimbilie hizo vitu sasa
Ruto, ruto eeeh!!!!😂
Tulipanga,tutafanya,tutatenda,tutahakikisha, ikifika January 2026 kutakua na pikipiki zingine za kutumia maji tu .....na inaenda......kitawaramba...
😂😂😂😂
Why are they increasing the rates
@wawerukamau1260
8 ай бұрын
The Dollar vis-a-vis the weakening Kenya shilling
Ndio mtajuaa hamjui mnafanyi mabonyenye kazi heri tu ujitahidi ununue yako kuliko unasaidiwa na unanyonywa ujana wako tu ukifanyia mtu fulani apate pesa wewe ubaki
@wawerukamau1260
8 ай бұрын
Umenena brother.
Bottom up
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣bottom up economy wacheni kulalamika. Bado.
Warudishe tu
Return those fake things , Ruto created problem he can not solve
Kenyans yawa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ruto 🤣🤣🤣🤣🤣
Foot and mouth disease ndiyo mingi kwa uda. And some people clap like they can't tell lies from the truth. Nani aliroga Wakenya sijui kama atajulikana atusaidie