Wahudumu boda boda Mombasa watishia kurejesha pikipik zao za elektroniki kwa madai ya huduma duni

Wahudumu boda boda za kutumia nguvu za umeme kaunti ya Mombasa wametishia kurejesha pikipiki hizo kwa kampuni miliki kwa madai ya huduma duni pamoja na nyongeza ya malipo

Пікірлер: 166

  • @samsonodhiambo2953
    @samsonodhiambo29538 ай бұрын

    I really love Kenyans they only change and listen to good advice after facing the problem.

  • @sohrabtajadin3402
    @sohrabtajadin34028 ай бұрын

    WHEN THE DEAL IS TOO GOOD, THINK TWICE.

  • @lilian2660

    @lilian2660

    8 ай бұрын

    😂😂😂ruto anafanya kenya mambo

  • @elfuego9117
    @elfuego91178 ай бұрын

    Inaitwa uwongo wa hustler,, na badoo mtaliaa sanaa

  • @Daniel-yi3nm
    @Daniel-yi3nm8 ай бұрын

    yaani petroli ipande na nyinyi mshukishiwe...serikali ya usawa kwa kila mtu😂😂😂

  • @nyaozilnyao8849
    @nyaozilnyao88498 ай бұрын

    Haki ya nani Ruto aliwaingiza kwa box yeye aliunda pesa zake na akaondokea 😂😂

  • @danomolo7365
    @danomolo73658 ай бұрын

    Watu wa boda boda hoeeeh mama mboga hoeeeye na tuliwawarn

  • @walteraudi7536
    @walteraudi75368 ай бұрын

    The rise in fuel prices was to motivate them to take stima boda for a loan its their time to do business with Kenyans

  • @domin842

    @domin842

    8 ай бұрын

    And zakayo is working with the owners of those companies who are from the west,and secondly the rise in fuel prices is something that someone is working on it inorder for us to abandon these fuel vehicles and shift to e-vehicles and bodas

  • @abdirizackadan9230
    @abdirizackadan92308 ай бұрын

    Si hio ni vitu za zakayo si mulikubali kuchukua kitawaramba 😅😅

  • @peternangiro7105

    @peternangiro7105

    8 ай бұрын

    Hasora anatawara ataware

  • @vincentndonye7989
    @vincentndonye79898 ай бұрын

    I said it...😢😢😢😢wacha kiwaramba...

  • @remiomar7154
    @remiomar71548 ай бұрын

    Mtu mwenyewe anamuani ruto kitakacho mkuta asijekulia nasisi

  • @Kengele
    @Kengele8 ай бұрын

    Hustler Nation bottom up

  • @user-pz5wv6tb3e
    @user-pz5wv6tb3e8 ай бұрын

    Ruto ooooooooo wa I don’t know how to say everyone crying

  • @muindimulwa2102
    @muindimulwa21028 ай бұрын

    Hasola tawaraaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mtu ya boda boda ,mtu ya kihosk,mtu ya mkokoteni😂😂😂😂😂

  • @lilian2660

    @lilian2660

    8 ай бұрын

    All in all si ni hasola🤣🤣🤣

  • @muindimulwa2102

    @muindimulwa2102

    8 ай бұрын

    @@lilian2660 yote imekua vanity😂the worst and useless president ever since independence

  • @juliamongina6084

    @juliamongina6084

    8 ай бұрын

    Wacha umama you are fooled each and every time😂😂😂😂

  • @Guest-fm8sb

    @Guest-fm8sb

    8 ай бұрын

    Pottom hapuuu😂😂😂

  • @kevg1794

    @kevg1794

    8 ай бұрын

    Kubabake...... Mama mboga 😂😂😂😂

  • @benmuthee6311
    @benmuthee63118 ай бұрын

    All negative vibes about this govt

  • @home9556kefr
    @home9556kefr8 ай бұрын

    Kenya was not ready to introduce electric solutions

  • @ilikepremios.amanofunofhyb4751

    @ilikepremios.amanofunofhyb4751

    8 ай бұрын

    World is not ready n it will never. Evs are very inconvenience.

  • @rydergoode6922

    @rydergoode6922

    8 ай бұрын

    It was seen as a short term solution to hiked fuel prices. Ironically that was also the selling/marketing point

  • @home9556kefr

    @home9556kefr

    8 ай бұрын

    @@rydergoode6922 plus IMF expectations

  • @MoMo-qw5mp
    @MoMo-qw5mp8 ай бұрын

    Yani kila kitu ya ruto ni disaster? I think by know kama wewe ni mkenya na waskiza ruto wewe ni mjinga. Eti ruto akupunguzie bei na unamskiza? 😂

  • @kevg1794
    @kevg17948 ай бұрын

    Na mvua ya juzi ....zilizima kuzima.... Ndo hasira zote

  • @josephwairimu6222
    @josephwairimu62228 ай бұрын

    Poleni niliwawarn

  • @saitotisapiyo5997
    @saitotisapiyo59978 ай бұрын

    Mambo bado

  • @Oruma487
    @Oruma4878 ай бұрын

    😂😂😂wah poleni juu itapanda mpende msipende kila kitu kenya....

  • @kimrobert2994
    @kimrobert29948 ай бұрын

    Why not make it chargeable at home? They should sell us the chargers!!

  • @wawerukamau1260

    @wawerukamau1260

    8 ай бұрын

    Capitalism does not work like that.

  • @sjsm8578

    @sjsm8578

    8 ай бұрын

    @@wawerukamau1260 capitalism gani hio na serikali iko involved?

  • @wawerukamau1260

    @wawerukamau1260

    8 ай бұрын

    @@sjsm8578 nimekubaliana na wewe

  • @cryptoth4n0s77

    @cryptoth4n0s77

    8 ай бұрын

    100% of those bikes are still owned by the company, so for them (company) to get maximum returns they are forced to charge from the company . They can charge from home only that they are still not enlightened. Also what happens with this bikes they are not given chargers but rather they swap batteries.

  • @sjsm8578

    @sjsm8578

    8 ай бұрын

    Kwanza solution ni capitalism. Give me Venture capital nianzishe company ya home charging batteries

  • @ummuadam2423
    @ummuadam24238 ай бұрын

    Wenzao washarudisha kitambo mbona wamechelewa watu wa Mombasa, zakayo anything anapandisha pole pole anapandisha alaf Ana waangalia kma mutaandamana 😂si mafuta,Unga, mambo I'd, passport everything

  • @mathekarichard1382
    @mathekarichard13828 ай бұрын

    Warundishe kwani walilazimishwa

  • @mohamediddi-xf7dg
    @mohamediddi-xf7dg8 ай бұрын

    Mtajua hamjui, ndio tabia ya wakenya. Maziwa mala kabisa

  • @lenanaH
    @lenanaH8 ай бұрын

    Mambo ya Ruto achaneni nazo😂

  • @Kipash
    @Kipash8 ай бұрын

    Already Conned. That is Ruto for you.

  • @abdurahimabdulkadir3926
    @abdurahimabdulkadir39268 ай бұрын

    Kesho rudisheni zote hapo mlipotoa

  • @rydergoode6922
    @rydergoode69228 ай бұрын

    They were conned😅

  • @markmintila73
    @markmintila738 ай бұрын

    😥😥😥 sasa inaturamba imagine

  • @Vel42
    @Vel428 ай бұрын

    Ruto imagine ni pesa za Kenya anaendelea kuficha,the moment ametoka kiti atakuwa amejaza pesa kila account na zingine amelima mashimo ameekea mpaka kizazi chase cha 50,MUNGU amuone tu na amazing mafikirio yake mbovu katika JINA LA YESU.

  • @mikecarlos7386
    @mikecarlos73868 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 mtajua hamjui

  • @geoffreymuriithi1279
    @geoffreymuriithi12798 ай бұрын

    ALIZIPELEKA STRONGHOLD YA RAILA, NDIO KIWARAMBE😂😂😂😂ITS punishment for not voting for him😂😂😂😂

  • @muotinzmultiply88

    @muotinzmultiply88

    8 ай бұрын

    😂😂😂😂😋

  • @domin842

    @domin842

    8 ай бұрын

    Stronghold ya raila na kinaturamba kila mahali ziko hata hapa Nairobi na mi husikia ziko fake sana,kumbe it's true,ati zinazima wakati wa mvua,

  • @johnonyango6069
    @johnonyango60698 ай бұрын

    Watu wa boda boda pigeni simu China muuziwe charger za hizo pikipiki😅😅😅 kazi rahisi hiyo

  • @josphatongori7414
    @josphatongori74148 ай бұрын

    😅😅😅😅😅ndio mwanzo

  • @bahatilaizer8706
    @bahatilaizer87068 ай бұрын

    Na Bdo hauthemaa yaani mpaka mseeme 😂😂😂

  • @paulwanyonyi8018
    @paulwanyonyi80188 ай бұрын

    Kimewaramba heri ya mafuta stima haina nguvu ya kubeba watu wawili

  • @ochikoja
    @ochikoja8 ай бұрын

    Ruto tialala ruto tibim 😂😂

  • @miriamndungu3126
    @miriamndungu31268 ай бұрын

    Leave Zakayo alone kwanza amalize kukula chura, alafu ata wa sort 😔 relax....

  • @agripinamuhavi5669
    @agripinamuhavi56698 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 thank you very important

  • @richardonanda5501
    @richardonanda55018 ай бұрын

    Ata iwezi beda ngunia moja ya makaa

  • @wawerukamau1260

    @wawerukamau1260

    8 ай бұрын

    Kwani Ina gear ngapi ?

  • @richardonanda5501

    @richardonanda5501

    8 ай бұрын

    @@wawerukamau1260 trust me bro even more than two passengers 😂😂

  • @danielmuriithi8486
    @danielmuriithi84868 ай бұрын

    Saw this coming from a mile away

  • @petermutinda9047
    @petermutinda90478 ай бұрын

    Na warengeshe zirudi china hatutaki hatupangwingwi

  • @pandoraworld442
    @pandoraworld4428 ай бұрын

    kimewaramba tena😄😄

  • @jamalgubo
    @jamalgubo8 ай бұрын

    Shauri yenu c nyinyi ndio mlichagua

  • @peterkariuki5140
    @peterkariuki51408 ай бұрын

    Mlisema bottom up 😂😂😂😂..kitawaramba

  • @Sodea-ej9qg
    @Sodea-ej9qg8 ай бұрын

    Tumieni akili , hizi pikipiki, zililetwa na ruto ndio mwekeza, mkakibilia kama ng'ombe , hizi no toys sa watoto za kushezea, kitawaraba Bado 🤣🤣🤣🤣

  • @yusufgagamuhammad2674
    @yusufgagamuhammad26748 ай бұрын

    Turo uko sawa tenda haki kwa wote mafuta ikipanda pia stima ipande kwani iko nini kama hamtaki rudisheni sisi wazimio tuende tuka zichukue 😅😅😅 tujenge inchi 😅😅😅😅

  • @JanepherMalese-dj5hu
    @JanepherMalese-dj5hu8 ай бұрын

    Huyu ruto hakuna kitu atasema natuamini

  • @isaiahizzoh9644
    @isaiahizzoh96448 ай бұрын

    The charging time and wait is the big issue 😅😅

  • @wawerukamau1260

    @wawerukamau1260

    8 ай бұрын

    That's not the issue. The battery are swapped but that battery does not belong to you;it belongs to the invester.

  • @isaiahizzoh9644

    @isaiahizzoh9644

    8 ай бұрын

    @wawerukamau1260 the going to swap time? Distance to the swapping point too

  • @wawerukamau1260

    @wawerukamau1260

    8 ай бұрын

    @@isaiahizzoh9644 you have a very valid point brother.

  • @erickjuma7643
    @erickjuma76438 ай бұрын

    Why are people in business so motivated to increase prices?

  • @chickynuggies2739

    @chickynuggies2739

    8 ай бұрын

    rising costs my guy. I run furnished apartments and a week ago we got notices to start paying tourism levy. If they eat into my profit, I have no choice but to raise prices.

  • @erickjuma7643

    @erickjuma7643

    8 ай бұрын

    I get it, the problem is there's no yard stick for determining how much is extra is charged.

  • @josephmungai1799

    @josephmungai1799

    8 ай бұрын

    People in business do not increase prices. It is money that loses value. Why does money lose value,? Because of government overspending and over borrowing....so that today, with 12trillion in debt, Kenya's wealth TOMORROW, YOUR WEALTH, will be 12trillion shillings LESS.. BLAME the government. Not the traders.

  • @josephmungai1799

    @josephmungai1799

    8 ай бұрын

    ​@@erickjuma7643oh, there is a yardstick.....it is called TAX. calculate the amount of tax, and you can tell precisely what is being stolen by government

  • @domin842

    @domin842

    8 ай бұрын

    Yet the imf is planning to give Kenya 1.6trillion ksh,wait and see how the ksh will be weaker than even the ugandan shilling

  • @WanjaGitonga-bw1mk
    @WanjaGitonga-bw1mk2 ай бұрын

    Kazi ya hustler ni kucon watu

  • @justinebosire9804
    @justinebosire98048 ай бұрын

    Waaaaah

  • @simonmakacha5810
    @simonmakacha58108 ай бұрын

    Hasoraaa tano tena 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Travelwithfred
    @Travelwithfred8 ай бұрын

    Kimewaramba

  • @salimbilali5174
    @salimbilali51748 ай бұрын

    Project hiyo

  • @wawerukamau1260
    @wawerukamau12608 ай бұрын

    Capitalism at its best.

  • @josephmungai1799

    @josephmungai1799

    8 ай бұрын

    This my friend is not capitalism. This is Socialism, using government power to engineer society to gain more power and hence more money. In capitalism, you freely provide a service and if it is good I pay for it; willing buyer, willing seller. Government has nothing to do with it.

  • @andallaathman3856
    @andallaathman38568 ай бұрын

    Sisi tuliwambia kitambo hyo but wakenya niwajinga sana kwanini muende muakanunue pikpik ujinga tuu mwingi mko nao wakenya wapumbavu tuu

  • @wawerukamau1260

    @wawerukamau1260

    8 ай бұрын

    Hizi boda ni za loan ,na vile kulivyo hiyo loan hailipiki Tena.

  • @andallaathman3856

    @andallaathman3856

    8 ай бұрын

    @@wawerukamau1260 wacha kiwarambe ujinga mwingi

  • @user-nr3yp6sk9k
    @user-nr3yp6sk9k8 ай бұрын

    Hustler nation bottom up

  • @antonyndumia9441
    @antonyndumia94418 ай бұрын

    Hizo ni story za jaba

  • @nathanielmigeni8316
    @nathanielmigeni83168 ай бұрын

    kenyans should remember that whatever ruto is doing, he does it for his own benefit. let us analyze him keenly to avoid learning from experience.

  • @SamuelkimuhuMwangi-pi2rw
    @SamuelkimuhuMwangi-pi2rw8 ай бұрын

    1:35 😊

  • @mititokevin6878
    @mititokevin68788 ай бұрын

    Wacha kiwarambe

  • @EdwardJuma-ji8he
    @EdwardJuma-ji8he8 ай бұрын

    Yes

  • @joykhayega6974
    @joykhayega69748 ай бұрын

    Anything that is proposed by Ruto its ascam you must be careful,,jamaa alikula na contractor yy ameshba,,nldhan atakua akitumia electric cars kumbe ilkua ilkua tu kuingiza wajinga box biashara inoge

  • @cleophasmose9746
    @cleophasmose97468 ай бұрын

    Think twice bwanaa😂😂😂

  • @lukmanali6991
    @lukmanali69918 ай бұрын

    Iyo bei iko sawa apo kwa mia tatu tusifaidike pekeetu pia kampuni ifaidike haiendi ivo tunavyo dhani eti tushinde na battery the whole day bila kueka kwa moto😂😂😂 Hii bike inafaida coz huendi nayo service kazi n kugeuza battery tu.........

  • @eunicejefwa1935
    @eunicejefwa19358 ай бұрын

    Rudisheni 😂😂😂😂😂

  • @faizzimboy9319
    @faizzimboy93198 ай бұрын

    Hiyo ni bottom up kwaivo kimewaramba na wakisubutu kuteremsha pia mafuta wateremshe

  • @kadengebenendect6257
    @kadengebenendect62578 ай бұрын

    Msilalamike mlichagua wenyewe Rais sasa vumilieni na chochote atakachowaletea

  • @eriminahmshai

    @eriminahmshai

    8 ай бұрын

    Uliza chebukati nani alichgua rais maybe wewe ndio ulichagua ulikuwa zikihesabiwa hizo kura ukaona alichanguli msilaumiane pesa kwa pesa ndipo uwe rais sio kwa kuchaguliwa ni pesa itumike

  • @kadengebenendect6257

    @kadengebenendect6257

    8 ай бұрын

    @@eriminahmshai najua n chungu kumeza ila madhumuni ya coments yangu nkusema hivi twapenda vya leo leo wakati pesa ikimwagwa ovyo mitaani hamkujua itahitajika kurudishwa ? oooh huyu alilaaniwa na wazazi wake , ooh huyu hafai kuwa rais tulivyo wepesi wakuamin uongo kuliko ukweli ndo sai tumefikia hapa tulipo,tulieni tulisakate goma hili jamani bado mapema

  • @gorbachev_rs
    @gorbachev_rs8 ай бұрын

    Listen to customers

  • @bausifarouk1798
    @bausifarouk17988 ай бұрын

    Musilipe mikopo tu ndio suluhisho

  • @Timothy_Njoroge
    @Timothy_Njoroge8 ай бұрын

    Zakayoooo!

  • @lynlassiter5033
    @lynlassiter50338 ай бұрын

    Why would Boda Boda men and women even buy electric piki piki? If they bought them, why rant?

  • @sarahkwamboka8190
    @sarahkwamboka81908 ай бұрын

    KIMEWARAMBAAAAAAAAAAAAA. Mafita yamepandishwa bei ili wanabodaboda wanunue piki za umeme, hasara kwenu faida kwa Ruto.

  • @AngelaPrecious-vj9iq
    @AngelaPrecious-vj9iq8 ай бұрын

    That's bulshit Ni what those zakayo aliwadanganya mkafwata😂😂😂😂

  • @user-sc4fu7wd8i
    @user-sc4fu7wd8i8 ай бұрын

    WAKENYA WENYEWE PIA NAO SIJUI NITASEMA WANAPENDA SIFA AMA NI VP MAANA UTATUMIA VP BODABODA YA STIMA NA WAJUA VIZURI ZAKAYO ALILETA HIZO BODABODA ZA STIMA ILIAPATE KULA HUKO ANYWAY WANAITWA WA KENYA WANAKASIRIKA SAHII WANASAHAU KILICHO WAKASIRISHA ALAFU WANZE TENA KUONGEA NA HASIRA HAKI SIJUI WALIKOSEA WAPI WA KENYA

  • @emertonmwakina8593
    @emertonmwakina85938 ай бұрын

    Hapo najuwa Kuna njama fiche or ma cartels wako ndani pia,coz sivyema mtu anunue hiyo bike 160k alafu Bado kucharngiwa anawafwata tena watengeze permanent charging Kila mtu awe nayo tosha.

  • @alfredorek5446
    @alfredorek54468 ай бұрын

    When Ruto says black is white, don't wait to confirm, my friend run and run faster!

  • @yasirshee3152
    @yasirshee31528 ай бұрын

    Pesa yenu inawaadhibu sasa

  • @abigaelchelcy6950
    @abigaelchelcy69508 ай бұрын

    🫣🫣🫣🫣😂😂😂😂😂 na bado.

  • @jesee5470
    @jesee54708 ай бұрын

    Ati ni bottom up, uliskia wapi ??

  • @fredmankaingu446
    @fredmankaingu4468 ай бұрын

    Waliingizwa dole la tuuni likaingia saii wanatupigia kelele wakwende kabisa

  • @abiudcheno2545
    @abiudcheno25458 ай бұрын

    Hizi ni bonoko

  • @japhethnandy8330
    @japhethnandy83308 ай бұрын

    Ndio hio bottoms up yenyu

  • @rosekadzokillian9700
    @rosekadzokillian97008 ай бұрын

    Taxes ndio wanalenga

  • @marvinodhiambo8362
    @marvinodhiambo83628 ай бұрын

    Mdomo Tam Tam 😅😂

  • @eriminahmshai
    @eriminahmshai8 ай бұрын

    Rais anasema alikuta kenya ikiwa na madeni mengi sana sasa analipa madeni mbona anapeana pikpik za madeni eti unalipia kidokido na hiyo kidokigo hatutawahi faidika heri ununue yako kiliko kupewa na unakamliwa jamani.

  • @JophasJohn-oh8zu

    @JophasJohn-oh8zu

    8 ай бұрын

    Wakenya huwa hawaelewi kabisa kila kitu wao wanakimbilia wacha kiwalambe

  • @alverztv6272
    @alverztv62728 ай бұрын

    Mliambiwa na nani mkimbilie hizo vitu sasa

  • @moshe77
    @moshe778 ай бұрын

    Ruto, ruto eeeh!!!!😂

  • @kelvinotalo4306
    @kelvinotalo43068 ай бұрын

    Tulipanga,tutafanya,tutatenda,tutahakikisha, ikifika January 2026 kutakua na pikipiki zingine za kutumia maji tu .....na inaenda......kitawaramba...

  • @fatumaadam4271
    @fatumaadam42718 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @petermutinda9047
    @petermutinda90478 ай бұрын

    Why are they increasing the rates

  • @wawerukamau1260

    @wawerukamau1260

    8 ай бұрын

    The Dollar vis-a-vis the weakening Kenya shilling

  • @eriminahmshai
    @eriminahmshai8 ай бұрын

    Ndio mtajuaa hamjui mnafanyi mabonyenye kazi heri tu ujitahidi ununue yako kuliko unasaidiwa na unanyonywa ujana wako tu ukifanyia mtu fulani apate pesa wewe ubaki

  • @wawerukamau1260

    @wawerukamau1260

    8 ай бұрын

    Umenena brother.

  • @kaykay5605
    @kaykay56058 ай бұрын

    Bottom up

  • @msa3957
    @msa39578 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣bottom up economy wacheni kulalamika. Bado.

  • @janenthiga711
    @janenthiga7118 ай бұрын

    Warudishe tu

  • @reubenabugah2137
    @reubenabugah21378 ай бұрын

    Return those fake things , Ruto created problem he can not solve

  • @sylvesterwanga7839
    @sylvesterwanga78398 ай бұрын

    Kenyans yawa.

  • @dollarbank894
    @dollarbank8948 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ruto 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hillaryopiyo435
    @hillaryopiyo4358 ай бұрын

    Foot and mouth disease ndiyo mingi kwa uda. And some people clap like they can't tell lies from the truth. Nani aliroga Wakenya sijui kama atajulikana atusaidie