Historia ya mji wa Mombasa
Mji Wa Mombasa Ni Mji Wenye Historia Ndefu Na Ya Jadi, Wanahistoria Wakisema Kuwa Mombasa Ilikuwepo Tangu Karne Ya 12. Katika Eneo Hili La Pwani, Historia Ya Kwa Nini Wanaoishi Mji Huu Wameitwa Waswahili Na Hata Kuzungumza Lugha Ya Kiswahili Kwa Ufasaha, Mavazi Na Vyakula Pia Vikiwa Tofauti Na Vya Maeneo Mengine Ya Kenya. Na Kama Anavyoarifu Francis Mtalaki, Mombasa Ilikuwa Bandari Kabla Ya Kuwa Mji Mkuu Wa Pili Nchini Baada Ya Nairobi.
Пікірлер: 20
Mombasa Raha ❤ 001 Historia yake ndefu sana Ibn Batuta alipita Mombasa. Safi kabisa Boss
Nice one Shukran sana kwa historia ya Mombasa
And mwanamkisi was the queen of Sheba, we even have a Swahili calendar by the way called Neiruz
@kevinswahili1991
Ай бұрын
this information should be posted ili kizazi kipya kijue
Hatutaki miraa Mombasa yetu
Miraa itaondoka tu pwani, na iuzwe huko huko kwenye mbuzi. Tumechoka watu wetu kufanywa mifugo. Miraa is one of the getaway drugs. Ukishakula then it'll be easy to do other drugs, some use pills or cannabis ndio walale.
@wambui4590
Ай бұрын
I agree.
Karne ya Saba waswahili tulikuwepo, na makavazi yapo ku backup our claims soma kitabu Cha the peripelous of the Eritrean sea written by a Greek explorer in the 7th century
@stevemendel7161
Ай бұрын
The problem is that our history was written by other people we don't know whether it was edited...
Mombasa has two stages docks and ferry😂😂
@kevinswahili1991
Ай бұрын
ferry
Mombasa ilikua si kenyaaaaaaaaa!!!!!!!!!
Kisauni ni neno la kijomvu
Apo kwa likoni umetudanganya,palikua panaitwa rikoni,inamaanisha mahali pakuvukia kwa lugha ya kimijikenda
Ila hakuna kabila la wachangamwe wala wajomvu
Kisauni ni neno la kijomvu inamanisha kituoni tusau kijomvu maana yake ni tupumzikeni kwa mda mikiwa safarini Nilisau kwa siku chache tulipofika Kilifi yani mulitulia kwa siku chache
Mobaslaseako
Mbona fupi, give it time at least nusu saa
@aaa64sa13
Ай бұрын
Kabisaaaaa