Kundi la sungusungu ladaiwa kuuwa vijana watatu Mombasa

Wasiwasi umetanda mtaani Shanzu Kisauni kaunti ya Mombasa baada ya vijana watatu kudaiwa kuuwawa na kundi lijulikanalo kama Sungusungu wakiandamana na chifu wa eneo hilo. Baadhi ya vijana walitaka kulipiza kisasi hii leo kabla ya viongozi kuwatuliza. Jamaa za waliouwawa wamekana kuwa vijana hao ni wahalifu.

Пікірлер: 105

  • @remiomar7154
    @remiomar71546 ай бұрын

    Watu wa mombasa hawakubali ukisema n waizi mtakosana sana hufichia watoto wao maovu yao

  • @BarbaraPatience-qt9cc

    @BarbaraPatience-qt9cc

    6 ай бұрын

    Umesema

  • @brianlumumba5494

    @brianlumumba5494

    6 ай бұрын

    Njoo mtaani ndo ujuwe ukweli

  • @remiomar7154

    @remiomar7154

    6 ай бұрын

    @@brianlumumba5494 wewe mbona hukuuliwa

  • @Aisha_houses
    @Aisha_houses6 ай бұрын

    Congratulation chief and sungusungu kazi ifanyike kama ya marwa❤❤❤❤

  • @asusasimba9877
    @asusasimba98776 ай бұрын

    Shanzu hawapendi ujinga sungusungu waje Mtwapa

  • @RAJ-R64
    @RAJ-R646 ай бұрын

    good work chief... maliza wao

  • @waywepet6871
    @waywepet68716 ай бұрын

    Hakuna siku Sungusungu wataua mtu bila ukweli.Kama sio Sungusungu kuamka chini 2011 Bokole Changamwe ilikuwa tunakatwa mapanga.Polisi hawawezi hao wahalifu heri Sungusungu.I wish Likoni pia iwe na Sungusungu tumechoka.Mtu anaiba Leo kesho anaachiliwa anarudi mtaani unatarajia wananchi wafanyeje.Nyumba yangu Likoni ilivunjwa twice na wanaiba mpaka Royco aki tu wezi.

  • @nickmumba2170
    @nickmumba21706 ай бұрын

    Kijana alikua mwizi kweli na amehangaisha watu sana ila tu kuwaua pia nayo sio sawa

  • @geoffreykioko3317
    @geoffreykioko33176 ай бұрын

    Kazi safii sana....sungungusu hao wako sawa kabisa...hao watoto hawana huruma na watu wala mali za watu

  • @brianlumumba5494

    @brianlumumba5494

    6 ай бұрын

    Unaongea ujinga maana huju kilichotokea naomba mungu kwa family yako nayo itoke

  • @piusnyaboga903

    @piusnyaboga903

    3 ай бұрын

    ​@@brianlumumba5494ww tulia hawa vijana wanasumbua sana

  • @Guest-fm8sb
    @Guest-fm8sb6 ай бұрын

    Wamama wamezoea kutetea watoto wao wahalifu

  • @juliusjamanda7313
    @juliusjamanda73136 ай бұрын

    Good work watu wa Shanzu mkuje huku mshomoroni na Barsheba pia

  • @BarbaraPatience-qt9cc

    @BarbaraPatience-qt9cc

    6 ай бұрын

    True

  • @user-nw5cl1jz8h
    @user-nw5cl1jz8h6 ай бұрын

    Kazi nzuri chifu

  • @juliusjamanda7313
    @juliusjamanda73136 ай бұрын

    Afadhali hvyo...JU hamjui vile Hawa vijana wamefanya watu walemavu na kuuwa...

  • @lucymwai7645
    @lucymwai76456 ай бұрын

    Oh my God, sasa hii ni maneno gani jameni wooiyie Kenya yetu 😢😢

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc6 ай бұрын

    Sungu Sungu hawezi ua mtu hovyo kabisa!!! Hao vijana ni wahalifu na niwaizi kabisa!!! Eti walifatwa nyumbani kama wamelala hiyo sio sababu sio wahalifu.....hao vijana wakikupata njiani ndio utaelewa maana ya uhalifu.....good job sungu sungu

  • @user-dv7vg1wm9c
    @user-dv7vg1wm9c6 ай бұрын

    Ni vizuri mwizi anafaa kukufa kuenda uko

  • @mufush
    @mufush6 ай бұрын

    Welldone chief

  • @SmasherBee
    @SmasherBee6 ай бұрын

    Mtalaki aendelee kuripotii tu akiwa coast..his swahili is just fluent😊

  • @AffectionateCabin-fp6qs
    @AffectionateCabin-fp6qs6 ай бұрын

    I remember when i was attacked by two armed robbers i managed to disarm one of them and caught one of them took him to nyali police station with his armed knice but later the ocs released him its useless to take thieves to police station because they are the same guys who are self armed

  • @jamesngalahinzano3464

    @jamesngalahinzano3464

    6 ай бұрын

    Thieves/robbers , gangsters,and maggers are threat to the community.

  • @abigaelmokandu8978
    @abigaelmokandu89786 ай бұрын

    Hao vijana ni wanaua watu Mombasa ukipatwa usiku wakatwa mapnga

  • @omodesigner
    @omodesigner6 ай бұрын

    Sheria kwa wananchi.

  • @Sodea-ej9qg
    @Sodea-ej9qg6 ай бұрын

    Siku za mwizi ni arobaini, next ni mungiki sasa, mulisikia maneno ni matatu mukafikiria ni mchezo🤣🤣

  • @jackymonga6971
    @jackymonga69716 ай бұрын

    Kwani sungusungu wako kote nchini? Before I thought they only discipline until my husband was killed ndio nilielewa. Uzuri we were separated already. Wazazi wengine wanapalilia uchafu wa wanao bila kujali matokeo baadaye. 2004 Oct was the year!

  • @marykinuthia6067
    @marykinuthia60676 ай бұрын

    😢😢😢😢crazy villagers.

  • @BABAGIFTBOY
    @BABAGIFTBOY6 ай бұрын

    Wakati wakipora na kuwaua watu wengine nyinyi mkiletewa pesa na haukuulza mtoto wako anatoa wap pesa na Hana kazi kumbe sai mkonna uchungu nanyi

  • @nassernasser1457
    @nassernasser14574 ай бұрын

    Police plz don't bother to investigate, naibu kamishna good statement

  • @janendegwa5462
    @janendegwa54626 ай бұрын

    Rogue Chief

  • @husainsmith3103
    @husainsmith31036 ай бұрын

    Wauliwe tu vipanga vimezidi mtaani

  • @charlesbii6749
    @charlesbii67496 ай бұрын

    Hawa ni wahalifu waliuliwa

  • @USDisdoomed
    @USDisdoomed6 ай бұрын

    Sungusungu hua wamefanya uchunguzi wakapata uthibitisho,,,,,,,wazazi wamombasa wanaficha wahalifu hao watoto wao

  • @allanmwangoma4925
    @allanmwangoma49256 ай бұрын

    The sad part is that wahalifu wanashtakiwa, askari wanakula pesa na wanawaacha tu 😢hii Kenya sijui inatakaje

  • @user-jk4od9vv3c
    @user-jk4od9vv3c6 ай бұрын

    Sungusungu kuna wakati waliua watu sana kongowea maweni, walikuwa wakishika mmoja kabla auliwe anataja wenzake nao wanafuatwa wanatolewa nje usiku walikuwa wanachomwa, mwingine alikuwa yuaitwa ball chini alichijwa mchana kama kuku

  • @BABAGIFTBOY

    @BABAGIFTBOY

    6 ай бұрын

    Hiyo ndio dawa yao kwa sababu ukikutana nao Kona mbaya hautaamini vile wakikufanyia

  • @katebelver4707
    @katebelver47076 ай бұрын

    Ni sawa huo mtindo ulikuw kisauni mama zao walikuwa wanakataa

  • @PatrickKihugi-vu3ki
    @PatrickKihugi-vu3ki6 ай бұрын

    Wapelekwe jela wote

  • @vincentndonye7989
    @vincentndonye79896 ай бұрын

    Welldone sungusungu

  • @susanaseyonyundo9689
    @susanaseyonyundo96896 ай бұрын

    Why this 😢😢😢😢😢😢😢 this is our Kenya so sadness

  • @evanschaedirectoreffortcon6264
    @evanschaedirectoreffortcon62646 ай бұрын

    Fanya kazi, wahalifu wamalizwe. If you had embraced this Idea long ago we wouldn't be having even jihadist

  • @afandehassan1
    @afandehassan129 күн бұрын

    Ka Betty Masha

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi17846 ай бұрын

    Nkubaya

  • @salimbilali5174
    @salimbilali51746 ай бұрын

    Inaletwa na pale mzazi unaona kijana wako anajieka mhuni but haumwambii matatizi mengine n hayo

  • @raphaelmurage5527
    @raphaelmurage55276 ай бұрын

    Is that a real or quak doctor😂😂😂

  • @kevinodhiambo9243

    @kevinodhiambo9243

    6 ай бұрын

    .... I also asked though in silence.😂 😂

  • @awuorfaith3001

    @awuorfaith3001

    6 ай бұрын

    Asking too🤓

  • @AliceNyangau-lh3sv

    @AliceNyangau-lh3sv

    6 ай бұрын

    Daktari wa mateja .. stupid

  • @nassernasser1457
    @nassernasser14574 ай бұрын

    Afya chifu, afya ni sawa ulivyo fanya

  • @abigaelmokandu8978
    @abigaelmokandu89786 ай бұрын

    Mombasa tunateseka sana hao vijana ni hatari sana walai huwezitembea usiku wakikupata mapanga utasikizia mwilini they don't talk akiua Kwa panga atakufa Kwa panga

  • @andallaathman3856
    @andallaathman38566 ай бұрын

    Wazazi hawakubali kabisa makosa ya watoto wao

  • @alzubarapark3736
    @alzubarapark37366 ай бұрын

    I have never ever heard this pple accepting, that those pple are thieves, so when thieves invade you stop complaining, just keep quiet,

  • @abigaelmokandu8978
    @abigaelmokandu89786 ай бұрын

    Hongereni

  • @Bets_Blaxxin

    @Bets_Blaxxin

    6 ай бұрын

    Hizi ni gani?

  • @user-uf4ke7dl9v
    @user-uf4ke7dl9v6 ай бұрын

    Stop menicide 😂😂😂

  • @taifakali1981
    @taifakali19816 ай бұрын

    Uwa

  • @jamessila3219
    @jamessila32196 ай бұрын

    Ulimwengu itawafuza nyinyi waalifu

  • @bestofbothworlds4990
    @bestofbothworlds49906 ай бұрын

    Watoto Mombasa huiba kisha kuwaletea wazazi. Ndio maana wazazi wao huwaficha.

  • @evanschaedirectoreffortcon6264
    @evanschaedirectoreffortcon62646 ай бұрын

    Huyu medic ni fake

  • @ammonkipkoech3027
    @ammonkipkoech30276 ай бұрын

    Huyo chief anafaa ashikwa

  • @estheragiza161

    @estheragiza161

    6 ай бұрын

    Wewe cheza na hao vijana hawana huruma mkikutana na WA mama wa coast huficha maovu ya watoto wao ju wanawaletea

  • @sankara8939
    @sankara8939Ай бұрын

    Kuna Rasta pale nyuma…. Mjomba asinzia mbaya mbovu

  • @victoriashiko7172
    @victoriashiko71726 ай бұрын

    Why watu wakukukataa na kuchukua hatua

  • @user-cg3vf2bl6b
    @user-cg3vf2bl6b6 ай бұрын

    Ghai gordon omwenga ,ndio dactari?waaaa,anakaa sungusungu

  • @user-pn1dp2ee9x

    @user-pn1dp2ee9x

    6 ай бұрын

    Ati anakaa sungusungu?Hapo ni ukweli kabisaa

  • @user-cg3vf2bl6b

    @user-cg3vf2bl6b

    6 ай бұрын

    @@user-pn1dp2ee9x 🤣🤣🤣🤣

  • @user-cg3vf2bl6b

    @user-cg3vf2bl6b

    6 ай бұрын

    @@user-pn1dp2ee9xyes the doctor himself is more scary than sungusungu 🤣🤣🤣

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio40546 ай бұрын

    CHIFU FAMILY YAKE HIWAWE NAYO NDIO KUKOMESHA MACHIFU WENGINE 🇹🇿 🇹🇿 😢😢

  • @margaretnamubi4565
    @margaretnamubi45656 ай бұрын

    Wezi wame zidi kisauni

  • @b.3940
    @b.39406 ай бұрын

    Mimi nilivamiwa na kijizi kimoja usiku wa manane nikakipiga kichwa na shoka kikakufia papo hapo. Hakuna haja ya kuita polisi. Mara nyingi wa mtaa huniita mwanashoka siku hizi. Sipendi ujinga.

  • @aplokimo405
    @aplokimo4056 ай бұрын

    Kwani wameanza kuuwa leo...

  • @silviamwaura1570
    @silviamwaura15706 ай бұрын

    Ruto chief, what do we expect

  • @MuhammadAhmad-ie8dl
    @MuhammadAhmad-ie8dl6 ай бұрын

    Hii ndio mambo inaendelea huku kwetu vikwatani, wanapouwa watu hakuna anaeongea, wanapouwawa wawakilishi na wazazi wanawakania watoto wao, shame on the leaders MCA are same arrogant human beings awaiting for a chance to strike siasa....wakiuwa wauwawe!

  • @MuhammadAhmad-ie8dl
    @MuhammadAhmad-ie8dl6 ай бұрын

    We want sungu sungu waamke vikwatani, it's becoming too much, mali za watu zinapotea,uchumi mbaya, vijana chini ya Miaka 18 wanafanya uharibifu,

  • @lookbabes8710
    @lookbabes87106 ай бұрын

    If mungiki can't dare eldoret town, what is sungusungu

  • @antibiotic7238

    @antibiotic7238

    6 ай бұрын

    Slow learner hushikanishi rada hapa

  • @shabbyofficial_

    @shabbyofficial_

    6 ай бұрын

    ​@@antibiotic7238😂

  • @felixthuranira7995
    @felixthuranira79956 ай бұрын

    Kabisa wauwawe

  • @SirmeDon
    @SirmeDon6 ай бұрын

    Sungu sungu wamerudi walikuwa wameisha kongowea waliua wakikuyu wengi sana

  • @user-jk4od9vv3c

    @user-jk4od9vv3c

    6 ай бұрын

    Walisaidia sana wakati huo, waizi walichomwa sana na kuuliwa

  • @SirmeDon

    @SirmeDon

    6 ай бұрын

    @@user-jk4od9vv3c wapi washenzi waliua watu wa bara pekee..kibaki disbanded it imerudi na zakayo itvwas powerful wakati wa moi

  • @user-yn7ix9vi5n
    @user-yn7ix9vi5n6 ай бұрын

    Nimakosa lakini

  • @japoshjuma1957
    @japoshjuma19576 ай бұрын

    MWIZI AKIKUPATA ANAKUPELEKA POLISI? MKO NA UJINGA SANA

  • @gulfmusic254
    @gulfmusic2546 ай бұрын

    Wezi nao wamalizwe TU juu wananeza ma tap tap time wanakuibia hawana remorse kuku ua ni pap bila kufkiria Hawa Wacha wapambane vile wanajua

  • @amanihenry7981
    @amanihenry79816 ай бұрын

    Nyinyi watu ni washenzi saana mnatetea hao vijana ambao ni waizi na hawana huruma wakipatana na watu mtaani,kumbavu zenu

  • @user-rz4bg7bt9w
    @user-rz4bg7bt9w6 ай бұрын

    Sungusungu ni nini?

  • @KevinMahare
    @KevinMahare6 ай бұрын

    Kwendeni uko mwizi auliwe wakikata mapanga hamsemi....sungusungu uweni kabsa nyongeni na waya za stima wakufr

  • @user-pd3im1ir2t

    @user-pd3im1ir2t

    6 ай бұрын

    Hapo sasa niwabaya sana hawa vijana na mama zao wanawafunikia hio ndio daw yao

  • @Kissbaby267
    @Kissbaby2676 ай бұрын

    Yaani in 2 weeks kila siku hakuna news zinasomwa bila killings? Tumerogwa nini? Chief that was wrong!

  • @radicalljinari3863
    @radicalljinari38636 ай бұрын

    Ni wezi chifu kafanya poa

  • @halimaadan3412
    @halimaadan34126 ай бұрын

    Huyo chifu ni shetani anafaa akamatwe

  • @Hamisi8465
    @Hamisi84656 ай бұрын

    Wakipiga watu mapanga ni sawa pia ushenzi tu

  • @steuerveronicah9676
    @steuerveronicah96766 ай бұрын

    Washikwe. Na police

  • @janaleokesho8374
    @janaleokesho83746 ай бұрын

    Crazy killings in Kenya

  • @user-wq9ij3oc5t
    @user-wq9ij3oc5t6 ай бұрын

    Huyo chifu Afwatwe achomwe

  • @user-ng1ks9lx5o
    @user-ng1ks9lx5o6 ай бұрын

    huyo chifu shoga na hao sungu sungu wote masenge ati hakuna kulipiza kisasi huyo chifu akamatwe Kisha achinjwe kama kuku msenge huyo

  • @evansmahate
    @evansmahate6 ай бұрын

    uyo chifu afutwe kazi

  • @user-nw5cl1jz8h
    @user-nw5cl1jz8h6 ай бұрын

    Na ni kina mama ndio watetezi, huku ni kuaribu watoto

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala73836 ай бұрын

    Watoto wakiiba mnawatetea wakiuliwa mnabweka

  • @dickersonkorir865
    @dickersonkorir8656 ай бұрын

    Mwizi ni mwizi awaji uwizi solution ni kuwawa tu