Kundi la sungusungu ladaiwa kuuwa vijana watatu Mombasa
Wasiwasi umetanda mtaani Shanzu Kisauni kaunti ya Mombasa baada ya vijana watatu kudaiwa kuuwawa na kundi lijulikanalo kama Sungusungu wakiandamana na chifu wa eneo hilo. Baadhi ya vijana walitaka kulipiza kisasi hii leo kabla ya viongozi kuwatuliza. Jamaa za waliouwawa wamekana kuwa vijana hao ni wahalifu.
Пікірлер: 105
Watu wa mombasa hawakubali ukisema n waizi mtakosana sana hufichia watoto wao maovu yao
@BarbaraPatience-qt9cc
6 ай бұрын
Umesema
@brianlumumba5494
6 ай бұрын
Njoo mtaani ndo ujuwe ukweli
@remiomar7154
6 ай бұрын
@@brianlumumba5494 wewe mbona hukuuliwa
Congratulation chief and sungusungu kazi ifanyike kama ya marwa❤❤❤❤
Shanzu hawapendi ujinga sungusungu waje Mtwapa
good work chief... maliza wao
Hakuna siku Sungusungu wataua mtu bila ukweli.Kama sio Sungusungu kuamka chini 2011 Bokole Changamwe ilikuwa tunakatwa mapanga.Polisi hawawezi hao wahalifu heri Sungusungu.I wish Likoni pia iwe na Sungusungu tumechoka.Mtu anaiba Leo kesho anaachiliwa anarudi mtaani unatarajia wananchi wafanyeje.Nyumba yangu Likoni ilivunjwa twice na wanaiba mpaka Royco aki tu wezi.
Kijana alikua mwizi kweli na amehangaisha watu sana ila tu kuwaua pia nayo sio sawa
Kazi safii sana....sungungusu hao wako sawa kabisa...hao watoto hawana huruma na watu wala mali za watu
@brianlumumba5494
6 ай бұрын
Unaongea ujinga maana huju kilichotokea naomba mungu kwa family yako nayo itoke
@piusnyaboga903
3 ай бұрын
@@brianlumumba5494ww tulia hawa vijana wanasumbua sana
Wamama wamezoea kutetea watoto wao wahalifu
Good work watu wa Shanzu mkuje huku mshomoroni na Barsheba pia
@BarbaraPatience-qt9cc
6 ай бұрын
True
Kazi nzuri chifu
Afadhali hvyo...JU hamjui vile Hawa vijana wamefanya watu walemavu na kuuwa...
Oh my God, sasa hii ni maneno gani jameni wooiyie Kenya yetu 😢😢
Sungu Sungu hawezi ua mtu hovyo kabisa!!! Hao vijana ni wahalifu na niwaizi kabisa!!! Eti walifatwa nyumbani kama wamelala hiyo sio sababu sio wahalifu.....hao vijana wakikupata njiani ndio utaelewa maana ya uhalifu.....good job sungu sungu
Ni vizuri mwizi anafaa kukufa kuenda uko
Welldone chief
Mtalaki aendelee kuripotii tu akiwa coast..his swahili is just fluent😊
I remember when i was attacked by two armed robbers i managed to disarm one of them and caught one of them took him to nyali police station with his armed knice but later the ocs released him its useless to take thieves to police station because they are the same guys who are self armed
@jamesngalahinzano3464
6 ай бұрын
Thieves/robbers , gangsters,and maggers are threat to the community.
Hao vijana ni wanaua watu Mombasa ukipatwa usiku wakatwa mapnga
Sheria kwa wananchi.
Siku za mwizi ni arobaini, next ni mungiki sasa, mulisikia maneno ni matatu mukafikiria ni mchezo🤣🤣
Kwani sungusungu wako kote nchini? Before I thought they only discipline until my husband was killed ndio nilielewa. Uzuri we were separated already. Wazazi wengine wanapalilia uchafu wa wanao bila kujali matokeo baadaye. 2004 Oct was the year!
😢😢😢😢crazy villagers.
Wakati wakipora na kuwaua watu wengine nyinyi mkiletewa pesa na haukuulza mtoto wako anatoa wap pesa na Hana kazi kumbe sai mkonna uchungu nanyi
Police plz don't bother to investigate, naibu kamishna good statement
Rogue Chief
Wauliwe tu vipanga vimezidi mtaani
Hawa ni wahalifu waliuliwa
Sungusungu hua wamefanya uchunguzi wakapata uthibitisho,,,,,,,wazazi wamombasa wanaficha wahalifu hao watoto wao
The sad part is that wahalifu wanashtakiwa, askari wanakula pesa na wanawaacha tu 😢hii Kenya sijui inatakaje
Sungusungu kuna wakati waliua watu sana kongowea maweni, walikuwa wakishika mmoja kabla auliwe anataja wenzake nao wanafuatwa wanatolewa nje usiku walikuwa wanachomwa, mwingine alikuwa yuaitwa ball chini alichijwa mchana kama kuku
@BABAGIFTBOY
6 ай бұрын
Hiyo ndio dawa yao kwa sababu ukikutana nao Kona mbaya hautaamini vile wakikufanyia
Ni sawa huo mtindo ulikuw kisauni mama zao walikuwa wanakataa
Wapelekwe jela wote
Welldone sungusungu
Why this 😢😢😢😢😢😢😢 this is our Kenya so sadness
Fanya kazi, wahalifu wamalizwe. If you had embraced this Idea long ago we wouldn't be having even jihadist
Ka Betty Masha
Nkubaya
Inaletwa na pale mzazi unaona kijana wako anajieka mhuni but haumwambii matatizi mengine n hayo
Is that a real or quak doctor😂😂😂
@kevinodhiambo9243
6 ай бұрын
.... I also asked though in silence.😂 😂
@awuorfaith3001
6 ай бұрын
Asking too🤓
@AliceNyangau-lh3sv
6 ай бұрын
Daktari wa mateja .. stupid
Afya chifu, afya ni sawa ulivyo fanya
Mombasa tunateseka sana hao vijana ni hatari sana walai huwezitembea usiku wakikupata mapanga utasikizia mwilini they don't talk akiua Kwa panga atakufa Kwa panga
Wazazi hawakubali kabisa makosa ya watoto wao
I have never ever heard this pple accepting, that those pple are thieves, so when thieves invade you stop complaining, just keep quiet,
Hongereni
@Bets_Blaxxin
6 ай бұрын
Hizi ni gani?
Stop menicide 😂😂😂
Uwa
Ulimwengu itawafuza nyinyi waalifu
Watoto Mombasa huiba kisha kuwaletea wazazi. Ndio maana wazazi wao huwaficha.
Huyu medic ni fake
Huyo chief anafaa ashikwa
@estheragiza161
6 ай бұрын
Wewe cheza na hao vijana hawana huruma mkikutana na WA mama wa coast huficha maovu ya watoto wao ju wanawaletea
Kuna Rasta pale nyuma…. Mjomba asinzia mbaya mbovu
Why watu wakukukataa na kuchukua hatua
Ghai gordon omwenga ,ndio dactari?waaaa,anakaa sungusungu
@user-pn1dp2ee9x
6 ай бұрын
Ati anakaa sungusungu?Hapo ni ukweli kabisaa
@user-cg3vf2bl6b
6 ай бұрын
@@user-pn1dp2ee9x 🤣🤣🤣🤣
@user-cg3vf2bl6b
6 ай бұрын
@@user-pn1dp2ee9xyes the doctor himself is more scary than sungusungu 🤣🤣🤣
CHIFU FAMILY YAKE HIWAWE NAYO NDIO KUKOMESHA MACHIFU WENGINE 🇹🇿 🇹🇿 😢😢
Wezi wame zidi kisauni
Mimi nilivamiwa na kijizi kimoja usiku wa manane nikakipiga kichwa na shoka kikakufia papo hapo. Hakuna haja ya kuita polisi. Mara nyingi wa mtaa huniita mwanashoka siku hizi. Sipendi ujinga.
Kwani wameanza kuuwa leo...
Ruto chief, what do we expect
Hii ndio mambo inaendelea huku kwetu vikwatani, wanapouwa watu hakuna anaeongea, wanapouwawa wawakilishi na wazazi wanawakania watoto wao, shame on the leaders MCA are same arrogant human beings awaiting for a chance to strike siasa....wakiuwa wauwawe!
We want sungu sungu waamke vikwatani, it's becoming too much, mali za watu zinapotea,uchumi mbaya, vijana chini ya Miaka 18 wanafanya uharibifu,
If mungiki can't dare eldoret town, what is sungusungu
@antibiotic7238
6 ай бұрын
Slow learner hushikanishi rada hapa
@shabbyofficial_
6 ай бұрын
@@antibiotic7238😂
Kabisa wauwawe
Sungu sungu wamerudi walikuwa wameisha kongowea waliua wakikuyu wengi sana
@user-jk4od9vv3c
6 ай бұрын
Walisaidia sana wakati huo, waizi walichomwa sana na kuuliwa
@SirmeDon
6 ай бұрын
@@user-jk4od9vv3c wapi washenzi waliua watu wa bara pekee..kibaki disbanded it imerudi na zakayo itvwas powerful wakati wa moi
Nimakosa lakini
MWIZI AKIKUPATA ANAKUPELEKA POLISI? MKO NA UJINGA SANA
Wezi nao wamalizwe TU juu wananeza ma tap tap time wanakuibia hawana remorse kuku ua ni pap bila kufkiria Hawa Wacha wapambane vile wanajua
Nyinyi watu ni washenzi saana mnatetea hao vijana ambao ni waizi na hawana huruma wakipatana na watu mtaani,kumbavu zenu
Sungusungu ni nini?
Kwendeni uko mwizi auliwe wakikata mapanga hamsemi....sungusungu uweni kabsa nyongeni na waya za stima wakufr
@user-pd3im1ir2t
6 ай бұрын
Hapo sasa niwabaya sana hawa vijana na mama zao wanawafunikia hio ndio daw yao
Yaani in 2 weeks kila siku hakuna news zinasomwa bila killings? Tumerogwa nini? Chief that was wrong!
Ni wezi chifu kafanya poa
Huyo chifu ni shetani anafaa akamatwe
Wakipiga watu mapanga ni sawa pia ushenzi tu
Washikwe. Na police
Crazy killings in Kenya
Huyo chifu Afwatwe achomwe
huyo chifu shoga na hao sungu sungu wote masenge ati hakuna kulipiza kisasi huyo chifu akamatwe Kisha achinjwe kama kuku msenge huyo
uyo chifu afutwe kazi
Na ni kina mama ndio watetezi, huku ni kuaribu watoto
Watoto wakiiba mnawatetea wakiuliwa mnabweka
Mwizi ni mwizi awaji uwizi solution ni kuwawa tu