No video

Makali Ya Gen Z: Kizazi cha Gen Z chasimama kidete na kuikosoa serikali

VIJANA WA KIZAZI CHA GEN - Z WAMESHANGAZA ULIMWENGU MZIMA KWA MAANDAMANO YAO ULIOSABABISHA SERIKALI KUWASIKIZA NA HATA RAIS KUWAFUKUZA KAZI MAWAZIRI WAKE WOTE. VIVYO HIVYO MSUKUMO WAO UMEMFANYA ALIYEKUWA MKUU WA POLISI JAPHETH KOOME KUJIUZULU. TOFAUTI NA MAANDAMANO YALIYOWAHI KUFANYIKA KENYA HAYA YALIHUSISHA SIMU NA MITANDAO LAKIN MATUNDA YAKE NI MENGI. PAUL NABISWAANAANGAZIA MBINU WALIZOTUMIA VIJANA HAWA AMBAO HAWANA KIONGOZI WALA SIFA ZA UKABILA NA TABAKA KATIKA MAKALA MAALUM YA MAKALI YA GEN-Z.
#KTNNews #KTNNewsDigital #ktnkenya #KTNTV #KTNHome #KenyaNews #genz
Welcome to the 24/7 KTN Kenya News Channel on KZread - your trusted source for the latest news and updates in Kenya and beyond. Stay informed with our comprehensive news coverage, breaking stories, in-depth analysis, and exclusive reports. Our live-streaming service brings you real-time updates on current affairs, politics, business, technology, health, entertainment, and much more. Join us and be a part of the conversation, and don't forget to subscribe for the latest news and updates. Stay connected with KTN Kenya News, your reliable news partner. #KTNKenya #NewsChannel #BreakingNews #KenyaNews #ktnprime #livestream #livenews
SUBSCRIBE to our KZread channel for more great videos:
/ ktnnewskenya
Follow us on Twitter: / ktnnewske
Like us on Facebook: / ktnnewskenya
KTN News is a leading 24-hour TV channel in Eastern Africa with its headquarters located along Mombasa Road, at Standard Group Centre. This is the most authoritative news channel in Kenya and beyond.
Watch KTN Live www.ktnnews.com...
Watch KTN News www.ktnnews.com
Follow us on / ktnnews
Like us on / ktnnews

Пікірлер: 212

  • @user-if6iw4ir9h
    @user-if6iw4ir9hАй бұрын

    High school teachers, college & university lecturers should start teaching students on their constitutional rights as our future leader.

  • @Eagle7-nl4bu3wh8c

    @Eagle7-nl4bu3wh8c

    Ай бұрын

    True but also teach them to excise their rights without violating the constitutional rights of other peaceful Kenyans and not to support Goons thugs and looters to trespass private property and to burn private property, houses and businesses. And also teach them not to be seduced by foreign powers to distabilize our democratically elected government and to remove our democratically elected president from power.

  • @mfululizowak9899
    @mfululizowak9899Ай бұрын

    Thank you KTN for staying true and patriotic! 🙌🏾🙏🏾❤️

  • @the_gamer_kinda
    @the_gamer_kindaАй бұрын

    This is why they wanted to ban TikTok

  • @magimuturi7489
    @magimuturi7489Ай бұрын

    OUR BROTHERS AND SISTERS SHOULD COME HOME IMMEDIATELY FROM HAITII,, LET AMERICA SEND THEY OWN THERE!!!

  • @VERONICA-o7n
    @VERONICA-o7nАй бұрын

    Huyu mzee nmemchukia kwa kweli wakiomba kura wanajificha kwenye kivuli cha MUNGU wakipewa nafasi wanakengeuka. Ee MWENYEZI MUNGU simama na Kenya ❤

  • @karutyericscomedies2783
    @karutyericscomedies2783Ай бұрын

    This must reach the Icc

  • @stephenouda3509
    @stephenouda3509Ай бұрын

    RUTO IS AN ANIMAL NOT HUMAN 😢

  • @musaandre

    @musaandre

    Ай бұрын

    babako angekua rais basi

  • @Eagle7-nl4bu3wh8c

    @Eagle7-nl4bu3wh8c

    Ай бұрын

    Liar! Dr William Ruto is a human being. Your unreasonable disrespect for him mean you are not humane. God bless you.

  • @musaandre

    @musaandre

    Ай бұрын

    mnajua mahali ruto yuko na mnasumbua watu.fikeni uko tuwatambue.maandamano yenu ni ya kuleta njaa

  • @mwendapoleee

    @mwendapoleee

    Ай бұрын

    @@musaandre jinga ww would you want to be dead for demontrating ?Shenzi type huyo ruto ss ndio tulimweka hapo.Ashuke contract imekwisha.

  • @musaandre

    @musaandre

    Ай бұрын

    @@mwendapoleee nyinyi ndie tunaona mkiendelea kushuka na kufa

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645Ай бұрын

    We salute you our children, Ingalaa tumepoteza maisha ya watoto wengi. 😢😢

  • @Eagle7-nl4bu3wh8c

    @Eagle7-nl4bu3wh8c

    Ай бұрын

    Watoto wetu wakiendellea kuharibu mali za wakenya wengi zaidi watapoteza maisha Yao. Ni vizuri Gen Zs wafanye maandamano kulingana na Sheria bila wizi na uboraji wa mali za wakenya.

  • @yusufmwangichannel6692
    @yusufmwangichannel6692Ай бұрын

    Mtuletee pia na makala ya askari walio husika kwenye mauwaji ya Gen Z

  • @teresiamusyimimusyimi5484
    @teresiamusyimimusyimi5484Ай бұрын

    Ruto is very inhuman and not fit for public role as president please get Ruto out of office at once

  • @firstviolin596
    @firstviolin596Ай бұрын

    I am a baby boomer, Gen Z are my grandchildren. I support you whole heartedly with full understanding where you are coming from. We the boomers had all the advantages of the period after independence free schooling, boom at college/uni, free food in the messes, free accommodation each with their room and employment waiting even before graduation. That was our kenya then! those who went to college/uni were rich,comfortably middle class. Educating our children GenX was easy. And then Moi came, things changed, the river changed course but the river went out of course completely with Ruto. As true as it can be, only Gen Z can change Kenya, return the river to its course!! we support you 100% with all that we have, we are your #1 cheer leaders Go Go Goooooo🎉

  • @marlenewanjiku
    @marlenewanjikuАй бұрын

    Right now when we send money back to Kenya we are being deducted,,,we pay back in NHIF & also fill KRA return what does he want from the little we are getting????we went there because he could not give us work back in our country.... kindly let him leave alone our money he is taking it by force

  • @andbeckerchallenge8347

    @andbeckerchallenge8347

    Ай бұрын

    Yes dear too much deductions and yet tulikosa Kazi Kenya tukaamua kuwa wa tumwa Nchi za wenyewe, Kwanza inaniuma sana hawa wenye wameuliwa kware 😢😢

  • @paulinenjeri2316

    @paulinenjeri2316

    Ай бұрын

    Not forgetting our salary is very poor here,,,

  • @cassyrex2023
    @cassyrex2023Ай бұрын

    Amani haiji bila ncha ya upanga. Mungu wanusuru watoto dwetu na uwape ajira👊👊👊👊👊😎

  • @cassyrex2023

    @cassyrex2023

    Ай бұрын

    *Watoto wetu*

  • @wifematerial8943

    @wifematerial8943

    Ай бұрын

    Allahuma aamiin 🤲

  • @hannahndungu211
    @hannahndungu211Ай бұрын

    Ruto must go

  • @JacksonMutinda-jw5qw
    @JacksonMutinda-jw5qwАй бұрын

    Ruto must go!!!

  • @davidkinyua-br7pt
    @davidkinyua-br7ptАй бұрын

    Ruth must go 🚶‍♀️

  • @donaldouma7225
    @donaldouma7225Ай бұрын

    Ruto alichoma watu kwa kanisa remember that

  • @baloz8974

    @baloz8974

    Ай бұрын

    Watu wamesahau naona huyu jamaa hana huruma kabisa mushawahi muona akijutia lolote tangu awe madarakani au kubeba lawama.

  • @picsandvidstv1348

    @picsandvidstv1348

    Ай бұрын

    We Wil never forget that, EVER!

  • @user-pj7ng8il4t

    @user-pj7ng8il4t

    Ай бұрын

    God protect Kenyan from this difficult perioy. I love Kenyan❤️🇰🇪

  • @sellyraps2057

    @sellyraps2057

    Ай бұрын

    Aliua musando wakati wa Election na amexoea kidnaping officials na sai Gen z akiua round hii siku zake ninafika

  • @musaandre

    @musaandre

    Ай бұрын

    mkicheza na ruto mtakiona.

  • @johnshavanji3257
    @johnshavanji3257Ай бұрын

    Ruto confessed to being a murderer. He 'sends people to heaven' according to his own language.

  • @mumbocaroline1172

    @mumbocaroline1172

    Ай бұрын

    Wachana nae yuko na njaa men

  • @mumbocaroline1172

    @mumbocaroline1172

    Ай бұрын

    Pharao na zakayo

  • @mumbocaroline1172

    @mumbocaroline1172

    Ай бұрын

    Zakayo shuka

  • @musimamonziga4967

    @musimamonziga4967

    26 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤😢🎉🎉🎉🎉we will voteeee for h E kalonzo musyokaaaa 😢😢😢😢😢🎉🎉 in 2o27 year rrrr ❤❤❤❤❤❤for presidential candidate electionsssss in gods willllll he will succeed and penetrateeee in godsssss mercy he will win in the name ❤❤❤❤❤❤of Jesus Christ 😂😂😂😂😂😂🎉 Amen 💖💖💖💖💖💖 🙏🙏💖 amen

  • @abdiaziztwahir5120
    @abdiaziztwahir5120Ай бұрын

    Ruto must go😢😢😢😢😢😢😢

  • @jamesmarumbo6820

    @jamesmarumbo6820

    Ай бұрын

    Utaondoka wewe ruto yupo sana

  • @mfululizowak9899

    @mfululizowak9899

    Ай бұрын

    ​​@@jamesmarumbo6820 Toka inje useme hivyo.....☺️

  • @dostovan5142
    @dostovan5142Ай бұрын

    Tanzanian, i love Kenya Gen z fighting spirit. They're taking it there and they want the smoke

  • @conceptaakinyi
    @conceptaakinyiАй бұрын

    Please there is nothing we are negotiating with goon so called ruto let us done with him once and for all,because tukimuacha atatumaliza so Gen z tuamue tuesday tumalizane na huyu jangili mara moja atoke kwa Afisi

  • @mfululizowak9899

    @mfululizowak9899

    Ай бұрын

    💯💯💯💯

  • @Eagle7-nl4bu3wh8c

    @Eagle7-nl4bu3wh8c

    Ай бұрын

    You raise accusations and you refuse to appear for a hearing and dialogue. Unjust and immoral accusers.

  • @user-xq5ui9cp9m
    @user-xq5ui9cp9mАй бұрын

    Social media is more important

  • @ChumanaSusi
    @ChumanaSusiАй бұрын

    Tumetenga kiasi hiki na kile. Useless. Umetenga makende yako ama nini wewe ruto?

  • @teresiamusyimimusyimi5484
    @teresiamusyimimusyimi5484Ай бұрын

    Oh we now get it this how the Attorney General was removed from office Gachagwa speech

  • @mercyachieng2554
    @mercyachieng2554Ай бұрын

    May God intervene 😢😢

  • @blaquecinderella3560
    @blaquecinderella3560Ай бұрын

    That Parliament occupation looks like a movie scene manze

  • @androidtv4286

    @androidtv4286

    Ай бұрын

    True that. God save Kenya.

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatshaАй бұрын

    Mapinduzi ni kama mimba. Ukifika wakati wa kuzaliwa itazawaliwa iwe ni kwa nja ya kawaida, upasuaji, hata kuondoa maisha ya mjamzito. Lazima mimba itoke tumboni.

  • @baloz8974

    @baloz8974

    Ай бұрын

    Dah ushasema bro mapinduzi hayapatikani kirahisi uchungu mipasuko kumwagika kwa damu ila utapatikana tu

  • @nikkitokke8162

    @nikkitokke8162

    Ай бұрын

    Ndio sisi revolutionists tunavyofanya, tuue tu, haki itendeke

  • @roselynekwamboka6869
    @roselynekwamboka6869Ай бұрын

    Oh God remember our people and our country we have only you now😪

  • @VERONICA-o7n

    @VERONICA-o7n

    Ай бұрын

    @@roselynekwamboka6869 Amen 🇹🇿

  • @laurachepchumba6364
    @laurachepchumba6364Ай бұрын

    speechless, weeee it is bad my people.

  • @jamesmuriithi7137
    @jamesmuriithi7137Ай бұрын

    How do you negotiate with a murderer?

  • @user-uz9mw1ie6z
    @user-uz9mw1ie6zАй бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥💔💔💔💔💔 haki lazima isimame ktk TAIFA na hakuna amani km hakuna HAKI.... EAST AFRICA country mnayo mengi ya kujifunza from GENZ - KENYA..... GOOD STEP

  • @dostovan5142

    @dostovan5142

    Ай бұрын

    Nchi zingine east Africa hakuna Gen z

  • @danielchege3535
    @danielchege3535Ай бұрын

    We shall never forget

  • @yusuphlazaro
    @yusuphlazaroАй бұрын

    🇰🇪Kenya inamwaga dam ya vijana waoo ambayoo niwazaoiwa je wewe unaee uwaa auna mtoto au autozaa mtoto 😭kumbuka kwamba uchungu wa mzazi wa mtoto uliee muwaa inakutafuna na mtoto wako

  • @teresiamusyimimusyimi5484
    @teresiamusyimimusyimi5484Ай бұрын

    Kwani kutoa Rais kwa kiti ni ngumu aje Ruto expect to to address those who lost their kids in police brutality kidnapping etc in future and they listen to him as president of Kenya?!!!!

  • @monicaakinyi2284
    @monicaakinyi2284Ай бұрын

    ruto must go

  • @Jashon911
    @Jashon911Ай бұрын

    Bravo Gen-Z 🎉🎉

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645Ай бұрын

    Please Ingalaa police wetu sio wazuri, Tunaomba wenye alipelekwa ( Haiti warundishwe nyumbani

  • @wabannah9009
    @wabannah9009Ай бұрын

    "No to "Dialogue"!![Hii ni serikali ya Majambazi;ama tuseme kwa "Lugha ya Kimombo"[Gangster Government]"!!!.

  • @JacksonMutinda-jw5qw
    @JacksonMutinda-jw5qwАй бұрын

    Lazma kuna mahali kuna watu wengi wiouwawa wametupwa ju kwa bunge kuliuawa watu wengi sana,soon there is something going to happen here kenya

  • @suegreg8040

    @suegreg8040

    Ай бұрын

    @@JacksonMutinda-jw5qw i hear others were cremated at the barracks

  • @JacksonMutinda-jw5qw

    @JacksonMutinda-jw5qw

    Ай бұрын

    @@suegreg8040 na hayo Dio mambo yanafanya siku moja ruto ajute sana Tena ata karibuni tu..

  • @kanyijoel159

    @kanyijoel159

    Ай бұрын

    Did u say this b4 kwale massacre? coz now its has been revealed.

  • @bonifacekimani1640

    @bonifacekimani1640

    Ай бұрын

    ​@@kanyijoel159 Even in kware they are hiding bodies!

  • @kanyijoel159

    @kanyijoel159

    Ай бұрын

    @@bonifacekimani1640 Thats true

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5skАй бұрын

    President Ruto must be taken accountable for his actions and authority for what transpired in kenya aftermath of finance bill 2024.

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fbАй бұрын

    Jamaa kama wakenya wako na huruma basi waipeleke serikali ya UDA nyumbani Halafu wafunguliwe mashtaka na wafungwe wote

  • @steveodhiambo13
    @steveodhiambo13Ай бұрын

    The government is guilty as charged on their part. For failing to protect the lives of innocent people.

  • @isaacmuigai537
    @isaacmuigai537Ай бұрын

    Gz wameongea

  • @shadrackmasigaTV
    @shadrackmasigaTVАй бұрын

    Kweli makaraoo waliuo 😢😢😢😢, president anaita wasee criminals that's very sad

  • @bernardomondi2632
    @bernardomondi2632Ай бұрын

    😢😢😢thangs ruto must gooo

  • @user-gp5wx1ev9f
    @user-gp5wx1ev9fАй бұрын

    Tumeanza kuongeza makali kwa kujifinza tykondo na carate, police wakicheza tupambane nao. We are fighting even for them and they kill our people niwajinga sana. Kusikiza kindiki na koome kuanza kuuwa vijana wetu

  • @None-d4f

    @None-d4f

    Ай бұрын

    Polisi wa Kenya ni washenzi. Hawana vichwa hao watoto wa ibilisi. Ng’ombe sana.

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5skАй бұрын

    Kenya leadership must change immediately and hopefully if not now then sooner.we must leave with dignity,morals and values, constitution must be sdhere with everyone regardless of social status and political class.

  • @baloz8974

    @baloz8974

    Ай бұрын

    We must change it the man in power is crazy of power and goon criminal just like kumpa mwenda wazimu rungu ataua kila mtu kisa madaraka .

  • @JacksonMutinda-jw5qw
    @JacksonMutinda-jw5qwАй бұрын

    Naona ruto aneaza kuogea ogea lakini kuna kitu aogei,,nani ao walikua wanapiga risasi na kuua vijana,nani ao waliua watu na kuwatupa kwa quare?

  • @baloz8974

    @baloz8974

    Ай бұрын

    Hilo ni jambo muhimu sana angetaka suluhu na amani na raia ni awakamate polisi wote waliohusika na mauaji ya raia ila kwa vile yy ndie anaewatuma kuua hawezifanya hilo ,ruto hajutii chochote

  • @pastorannneema
    @pastorannneemaАй бұрын

    I remember the ICC court in Hague 😭 It is still at work 😭

  • @blessedramsey396
    @blessedramsey396Ай бұрын

    Kuna wengine wanasema we should give him time...

  • @MuneneMwangi-yl8ug
    @MuneneMwangi-yl8ugАй бұрын

    Ruto and Rachel rejoicing on seeing these videos No democracy for Kenya

  • @Nyakundielizabeth-fk8cq
    @Nyakundielizabeth-fk8cqАй бұрын

    Ruto mst go😢

  • @user-zc2im1xv6l
    @user-zc2im1xv6lАй бұрын

    Gz congratutions myay God pro❤tect us

  • @samuelnyale2580
    @samuelnyale2580Ай бұрын

    Let's rethink as Kenyan if we love this our dear country

  • @MartinMwandiku-ps9vx
    @MartinMwandiku-ps9vxАй бұрын

    Nice job gen z

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fbАй бұрын

    Serikali olio madarakani iondoke hii ni aibu kubwa sana

  • @MartinMwandiku-ps9vx

    @MartinMwandiku-ps9vx

    Ай бұрын

    Kabisa

  • @johnmichael7712
    @johnmichael7712Ай бұрын

    Hatutachoka zii ,...ruto ametuzoea

  • @Mbaruokabed-ci3hn
    @Mbaruokabed-ci3hn29 күн бұрын

    Dah hatari sana hiyo🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @user-qh4iz9us3t
    @user-qh4iz9us3t26 күн бұрын

    what a great shame! I really hate the current government, no need for negotiations, tunapigania haki yetu, no positivity to be seen till Ruto steps down and leave the office!!

  • @afrakanaswahilitv5520
    @afrakanaswahilitv5520Ай бұрын

    Nashindwa serikali na maofisa wa idara ya uchunguzi wa makosa ya jinai na wale wa ukurungezi wa huduma ya kitaifa ya ujasusi nchini (NIS) wamekuwa wakifanya nini wakati mambo yalianza kwenda kombo. Wasimamizi wote wa hizi taasisi wajiuzulu. Asante!

  • @monixmoni5307
    @monixmoni5307Ай бұрын

    Ruto is this one who caused all those killings blame no one else

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5skАй бұрын

    Kenya is a great country deserve good governance, accountability, respect for human rights,equal justice rule, political stability and economic growth for better kenya.

  • @nikkitokke8162
    @nikkitokke8162Ай бұрын

    Nasemajee ndugu zetu waliouliwa na Zakayo tutaanguka naye. Kiendee

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fbАй бұрын

    Wakubwa WA usalamalazima wawajbishwe hata kama wamefutwa kazi

  • @felixmutuma6866
    @felixmutuma6866Ай бұрын

    Ruto is Disaster and he's a Real Killer, he must resign immediately.

  • @JohnTunje
    @JohnTunje17 күн бұрын

    Mm Gnz Nko Bampa Na Serikali Hii Sitapotezamda Hatakidogo.

  • @stevenjenga506
    @stevenjenga506Ай бұрын

    No dialogue

  • @baloz8974

    @baloz8974

    Ай бұрын

    Hakuna ajiongeleshe mwenyewe

  • @salomeatieno1127
    @salomeatieno1127Ай бұрын

    So chilling 😢. May The Almighty God deal with the killers

  • @eddynaingasian2813
    @eddynaingasian2813Ай бұрын

    Ruto said it "bottom up" the current situation in our country is really bottoms up...😢😢😢only God has the answers

  • @georginajilani8934
    @georginajilani8934Ай бұрын

    24:53 huyo koome anafaa kushikwa kwa mauaji ya Genz

  • @abdullahkazungu4025
    @abdullahkazungu4025Ай бұрын

    Hii kauli ya Rais niya kusikitisha kwa kweli

  • @baloz8974

    @baloz8974

    Ай бұрын

    Ni mshenzi na wala hajutii kauli zake anakurupuka tu

  • @tituskimeu2933
    @tituskimeu2933Ай бұрын

    Its shameful to our leaders l regrets having them in our parliament we love our country but this types we can't accept themselves at all

  • @marymasika3736
    @marymasika3736Ай бұрын

    Good reporting

  • @ruzindazajonas8506
    @ruzindazajonas8506Ай бұрын

    Lakini mtu anaweza kujihuliza! Mbona wakenya hivyo! Nidhamu na elimu na hekima viliokuepo vimeibiwa labda na shetani! Hivyo hamuone jinsi shetani anavyowapangia genocide mbayaa! Kuweni macho.

  • @alexwafula9161
    @alexwafula9161Ай бұрын

    Ruto must be accountable

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2imАй бұрын

    Please, PLEASE Ruto MUST GO.HE CANNOT CONTINUE TO GOVERN. SHAMEFUL . RUTO MUST GO

  • @simonmbuthia7281
    @simonmbuthia7281Ай бұрын

    Wazazi Walia. Wauaji wanaenda kwa makanisa, waahidi watasaidia kukamilisha ujenzi wa kanisa, na makasisi na waumini wanawapigia makofi.

  • @peacemusembei5553

    @peacemusembei5553

    Ай бұрын

    It's sad sad sad sad😢😢😢😢😢😢

  • @bernardomondi2632

    @bernardomondi2632

    Ай бұрын

    😢😢😢😢very very sad and indeed higher hypocrites

  • @BoazOtollo
    @BoazOtollo26 күн бұрын

    I can see people going to the Hague!

  • @briankhalushi2063
    @briankhalushi2063Ай бұрын

    Kudos our young GenZ❤❤❤❤❤❤

  • @Remmykammokoywo
    @Remmykammokoywo7 күн бұрын

    Ossba tarli Hahar r Haienar tar uwar uwar

  • @nikkitokke8162
    @nikkitokke8162Ай бұрын

    We must liberate youths. Our people have been murdered brutally, mpaka Ruto astep down, aluta continua. Na nyie Rwanda na UG mnatuangusha. Liwalo na liwe, wamettuzoea sana vijana. Mtu umesoma Taxes every where. Kutuua kama panya tukipaza sauti. So tell us, what did a 12 yrs old do to deserve this 😢😢😢. Nasemajee moto ndio kwanza umewaka.

  • @donaldouma7225
    @donaldouma7225Ай бұрын

    Noma very nonsense president fack

  • @w4058
    @w4058Ай бұрын

    Kuweni na Subra wenzetu inauma tena inauma sana makhabithi wakubwa Viongozi mijahil

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1upАй бұрын

    Wakenya acheni upumbavu. Kweli mnatawaliwaje na Gen Z?!!!

  • @loreenmwambinguloreen7373
    @loreenmwambinguloreen737327 күн бұрын

    Hio gari ya polis sidhani kama ni polis walikuwa ndani na basi kama ndio,ni wa private sector sio wa government juu vile hio gari ilipelekwa ata mtoto akiwa njian anagongwa,apana this is too much in my country..we can't keep this going on,some of us we are single mother,we have been suffering to rise our kids,allot of kids have been growing without,parents both sid,because there mothers like me as a mother i have been out of country for more than 10 yrs,then hearing that kids are dying missseriouly

  • @Joelomondi-r2x
    @Joelomondi-r2xАй бұрын

    Mungu okoa Kenya

  • @bryanmurono4707
    @bryanmurono4707Ай бұрын

    Those police who were deployed in Haiti should get back home and also fight for there rights..... Heri tukufie kwetu kuliko kwa wenyewe viva!!

  • @mumbocaroline1172
    @mumbocaroline1172Ай бұрын

    Nilikosa job mpaka nimekuja saudia kuteseka

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526Ай бұрын

    Maskini inauma Mama amtafuta Mtoto wake alipotea wakati wa Maandamano mpaka leo Amani ni muhimu kwetu wote

  • @musaandre
    @musaandreАй бұрын

    Na tunangoja wafike uko kwa ruto na hatuoni.kai zetu ndio wanaharibu.bure kabisa.wamalize kunyonya kwanza

  • @lukemusiga4
    @lukemusiga4Ай бұрын

    So so so Sad 😢😢😢😢😢, hakuna kujivunia kua mkenya

  • @BoazOtollo
    @BoazOtollo26 күн бұрын

    Malipo ya wongo, bottom up ,kumbe walimaanisha,watu wafiri kwa matako sio kichwa?

  • @GeorgeMuchemi-cd5xg
    @GeorgeMuchemi-cd5xgАй бұрын

    Someone please 🥺 like my comment for future reference 🥺🥺🥺

  • @fredricklemiso6191
    @fredricklemiso6191Ай бұрын

    Balaa, alafu upate walitupwa kwaree, 😢😢 Kenya imekua uchungu sana

  • @zamani33
    @zamani33Ай бұрын

    The woman crying probably voted ruto

  • @nikkitokke8162
    @nikkitokke8162Ай бұрын

    Ruto unapata faida gani kuua, watoto, wanawake na vijana? Money hungry much? Evil dictator

  • @fr.andrewwerungaflp2910
    @fr.andrewwerungaflp2910Ай бұрын

    Ilikuwa tuanze chini kuwaua

  • @w4058
    @w4058Ай бұрын

    Wameshangaza kweli lakini na yeye Ruto aende huko

  • @mumbocaroline1172
    @mumbocaroline1172Ай бұрын

    Remmember Ruto use to burn people on church walahi

  • @antonyndinki302
    @antonyndinki302Ай бұрын

    The mistake kenyan did for choosing ruto

Келесі