Mombasa Cement yatishia kuondoa mapambo jijini Mombasa na kuyahamisha hadi kaunti ya Kilifi
Uamuzi wa serikali ya kaunti kusitisha misaada inayotolewa moja kwa moja na kampuni za kibinafsi kwa walalahoi umechukuwa mkondo tofauti. Hasukh Patel mmiliki wa kampuni ya Mombasa Cement sasa anatishia kuondoa mapambo ya jiji la Mombasa na kuyahamisha hadi kaunti ya Kilifi. Baadhi ya mapambo ambayo yanatazamiwa kuondolewa hii leo ni vinyago vilivyoko katika mzunguko wa makupa ambayo yamekuwa kivutio cha kitalii.
Пікірлер: 176
Sasa mnataka misaada ipelekwe kwa County government ndio muibe...yaani hamtosheki 😮
@edu-pw7hu
Жыл бұрын
Hakuna investigate mombasa cement are very corrupt they grabbed 700acres of kilifi beach plot. When taken to court they started csr.. Wanting favours from the same government. Msa cement is corrupt kabisa Importi g workers from India..hawalipi tax..fully let the publish all transactions workers do veryong hours
@chrispinmdachi551
Жыл бұрын
Wanatakuiba nn
@kabuthakabutha9472
Жыл бұрын
Hawatosheki hawa😠😠
@kadoditsa3805
Жыл бұрын
Mashogaaa sanaaaa Hao Jamaa
Mombasa cement amesaidia watu wengi sana kwaiyo abdswamadi achane nayeye kabisa maana county haina nguvu yakusaidia watu wote ambao mombasa cement alikua anasaidia
Afadhali I agree with Patel action if someone does not value your presence move away
Nooo😮😮😢 Mombasa will never be the same
Mombasa cement amesaidia kuliko serikali sote
@edu-pw7hu
Жыл бұрын
Hakuna investigate mombasa cement are very corrupt they grabbed 700acres of kilifi beach plot. When taken to court they started csr.. Wanting favours from the same government. Msa cement is corrupt kabisa Importi g workers from India..hawalipi tax..fully let the publish all transactions workers do veryong hours
Mombasa Cement Paid Half of my late brother's hospital bill so I can't imagine what l am hearing. . Yaani it's still like a dream.
Nassir I never imagined you can be this petty.aibuuu action.
@chrispinmdachi551
Жыл бұрын
Nassir ameangusha watu Sasa kwani wao wakisaidiaga hupitia kwa office za county
@josphatthuo7105
Жыл бұрын
Hatutaki dictatorship
@elvinawakio
Жыл бұрын
Ameishiwa hiloooo
Magi ofuo brukenge number one...nkt...County government isaidie kivyake na private sectors isaidie kivyake period
Yani msaada upitie government, government ambayo inapesa ya serikali na haisaidii leo hii msaada wa ubinafsi pia wanataka hao ili maskini wasipate😢😢
They feel threatened by patel this person has done allot # musiogope hatagombania kiti chochote tusisahau kibarani alifanya allot be bless mr patel
Waliomchangua Swamad haya ! Uwizi mtupu ! Pesa ziende kwenye mfuko wake na Joho. Joho controls swamad .
I’m convinced humility might be the most attractive leadership quality there is these days. Philippians 2:3 says "Don’t be selfish; don’t try to impress others. Be humble, thinking of others as better than yourselves." FOOLS LEADERS ONLY FIGHT. Galatians 6:9 says "So let’s not get tired of doing what is good. At just the right time we will reap a harvest of blessing if we don’t give up."
@rizikinassor5618
Жыл бұрын
Anataka share apawe yeye na project Abdul SWAMAD wanata hongoooo😂😂😂😂haaaaaaaaaamu kulaaa huuiiiiiiii haooooooo
Wakifunga hiyo tunaandamana tulipue hii County tuhame 😠 😡
Impeach that governor!😢😢
@edu-pw7hu
Жыл бұрын
Hakuna investigate mombasa cement are very corrupt they grabbed 700acres of kilifi beach plot. When taken to court they started csr.. Wanting favours from the same government. Msa cement is corrupt kabisa Importi g workers from India..hawalipi tax..fully let the publish all transactions workers do veryong hours
Abdswamad anataka kupora sasa
sasa ni petel after Ezakiel
Mombasa cement karibu sana kwetu kilifi,ata jina uchange ukuwe kilifi cement kwani ni kesho
Wachane na Mombasa cement kabisa huyo mtu walai anasaidia two weeks ago my brother alikufia makadara na alisaidia bill ya mochary na tikapeleka mwili western 😢😢😢wachene na huyu jamaa abagui mtu
@edu-pw7hu
Жыл бұрын
Hakuna investigate mombasa cement are very corrupt they grabbed 700acres of kilifi beach plot. When taken to court they started csr.. Wanting favours from the same government. Msa cement is corrupt kabisa Importi g workers from India..hawalipi tax..fully let the publish all transactions workers do veryong hours
@kabuthakabutha9472
Жыл бұрын
Ehhh pole Sanaa.
We should standup for hasu we all need him 😢
Basi aitikie laana kwa watu aseme amin amin
Yale amekua akiyafanya kwa miaka yote hii ameshinda hata serikali zote zilopita na zilioko kusaidia wananchi wenye shida na maskini. Kusitisha hizo huduma eti kuelekezwa senti kwa kapu la serikali ya kaunti hizi ni dhulma kwani wanaoumia ni maskini na yeye anafanya mengi bila ubaguzi wa Aina yoyote ila bora uwe Mkenya tu ndio kibali chako hicho.
Nairobi= Ruto vs Ezekiel Mombasa= Swamad vs Patel😳😳
Hehehe....ati msaada lazima ipitie county government? Abdulswamahd has some very uda policies. Question is, does mombasa cement pay taxes? If they are doing all this and still pay they taxes, surely they are better managers than the county government.
Wenyewe hamsaidii...mtu akitaka kusaidia pia apitie kwenu...mbona mnapenda kudhalilisha maskini kiasi hiki...
@rizikinassor5618
Жыл бұрын
Wsnataka hongggoooooooo
@rizikinassor5618
Жыл бұрын
Wanataka hongo
@rizikinassor5618
Жыл бұрын
Pia maji likoni yako na kona zotee wanataka hongo kwendaaaa hukooo governor project
The governor and leaders feel threatened by Patel. So petty
@edu-pw7hu
Жыл бұрын
Hakuna investigate mombasa cement are very corrupt they grabbed 700acres of kilifi beach plot. When taken to court they started csr.. Wanting favours from the same government. Msa cement is corrupt kabisa Importi g workers from India..hawalipi tax..fully let the publish all transactions workers do veryong hours
@mariamkerre3110
Жыл бұрын
There fame is from the suffering of the poor. Now the poor are not coming to them there fame is not on them and they feel threatened
@nahasonmatheri5751
Жыл бұрын
@
@nahasonmatheri5751
Жыл бұрын
@@mariamkerre3110 aa
@nahasonmatheri5751
Жыл бұрын
@
Ushogaaaa tu
@kabuthakabutha9472
Жыл бұрын
Wasema polepole🤔
Wezi wakubwa...sijui watashiba lini
Mombasa cement yuko Sawa sanaa
@edu-pw7hu
Жыл бұрын
Hakuna investigate mombasa cement are very corrupt they grabbed 700acres of kilifi beach plot. When taken to court they started csr.. Wanting favours from the same government. Msa cement is corrupt kabisa Importi g workers from India..hawalipi tax..fully let the publish all transactions workers do veryong hours
Wala hawata tosheka hata wakitiwa kaburini pia wataiba hasbuna llah wanima lwakil
Wapumbavu hao viongozi kwan sisi maskini tukisaidika ni vibaya..mombasa cement anasaidia watu sana..tutaandamana shenz
@edu-pw7hu
Жыл бұрын
Hakuna investigate mombasa cement are very corrupt they grabbed 700acres of kilifi beach plot. When taken to court they started csr.. Wanting favours from the same government. Msa cement is corrupt kabisa Importi g workers from India..hawalipi tax..fully let the publish all transactions workers do veryong hours
Abduswamad mwache bwana patel aendelee ametusaidia sana sisi wa lala hoi
This company should paY tax waache kujificha kwa kujifanya wanasaidia tumisaada ndogo ndogo mwanzo wanahide illegal indian foreigners kwa hiyo kampuni wafinywe
@fatimaabubakar719
Жыл бұрын
Do you have Prof to your accusations.mjiga wewe . Can you even feed 5 neighbours . Do you even know there names 🤔. Uliza hao maskini wanao fadhiliwa on what the feel and go through. Kenya ni democracy country and the is every ways possible to hand such issues. Sio ati uthalilishe maskini to prove stupid point. Nasser need to grow up
@imaraimara4975
Жыл бұрын
Do you know how many kenyans Mombasa cement is employing?? Instead of yapping. How many people have you helped??
@EVILWARNS2023
Жыл бұрын
Sasa kuna kitu umeongea au ni kuwashwa unawashwa utategemea kupewa hadi lini,wakati unaibiwa kuliko hiyo makombo unpewa
"Aibu! Aibu! Serikali kuu imeshindwa kujenga kituo kipya cha police taangu miaka 60 iliyopita,sasa mtu binafsi ndiye mwokozi wetu,anajenga ukuta wa kuzuiya watu wasione hiyo aibu,kisha tunaambiwa: "Najivunia Kuwa Mkenya"!! Hii kenya igawanye kila mtu aende kwao!
@edu-pw7hu
Жыл бұрын
Hakuna investigate mombasa cement are very corrupt they grabbed 700acres of kilifi beach plot. When taken to court they started csr.. Wanting favours from the same government. Msa cement is corrupt kabisa Importi g workers from India..hawalipi tax..fully let the publish all transactions workers do veryong hours
@hkmeme5437
Жыл бұрын
Basi Gawanya
@husna34562
Жыл бұрын
@@hkmeme5437 ikigawanywa niite😂
@kabuthakabutha9472
Жыл бұрын
@@husna34562 mipia niiteni jamaa munisahau😂😂
Na si huyo governor ni wa azimio, he is from ODM...
Good
saidikika ni nini?
Kenyans must stop worshiping politicians and instead embrace those who stand and support them.
@elvinawakio
Жыл бұрын
True!
Abdulswamad kura yangu ushaikosa...
Hiii Kenya walayi
Mombasa cement iko kilifi south.
Mombasa county should stop bothering mombasa cement he's a good guy
ODM semeni pia Ruto ndie alie sababisha haya...kama mombasa cemement ako na record mbaya au uhalifu semeni na ithibati sio mutake pesa mikononi mwenu
I blame ruto
I agree with patel
Bwana Govornor kifupi ume saliti maskini wote wa Mombasa kwa jumla na vitu Mombasa Cement ame fanyia watu wa mombasa hata robo huwezi fanya
As they should. The company itself is in kilifi county.
@edu-pw7hu
Жыл бұрын
Hakuna investigate mombasa cement are very corrupt they grabbed 700acres of kilifi beach plot. When taken to court they started csr.. Wanting favours from the same government. Msa cement is corrupt kabisa Importi g workers from India..hawalipi tax..fully let the publish all transactions workers do veryong hours
No political leader in this country Kenya can volunteer to assist many Kenyans who living in poverty life and this is unfair at all why hiyo pesa iende kwa county this is corrupt leaders who are insisting on this
@elvinawakio
Жыл бұрын
Siku hizi viongozi wale wako uongozini Kenya wao wanaona pesa tuuu hawaoni umhimu wa mwanadamu haibu kwako ww kiongozi wa count shame on you!! Una mpango Gani na hiyo missada??? Ziwekwe Kwa serikali ndio uzikule wenye watahitaji msaada uwanyanyase??? Afadhali ihamishwe ukose Kila kitu mlafi ww kiongozi
@elvinawakio
Жыл бұрын
Yaani viongozi wa Kenya mtu akitaka kusaidia mna muonaje?? Mwaanza kumfuatiliaaa yaani haja ya hii serikali mtu mnyonge aendelee kufinyiliwaa tuuu Mungu atawalaani afadhali Moi na kibali ndio walikua viongozi wa busara
sasa maisha ya mekua magumu,halafu mnatoa msaada haki Ruto unafaa ufe kabisa this is so sad umelaniwa na mungu atakutosha wewe
@edu-pw7hu
Жыл бұрын
Hakuna investigate mombasa cement are very corrupt they grabbed 700acres of kilifi beach plot. When taken to court they started csr.. Wanting favours from the same government. Msa cement is corrupt kabisa Importi g workers from India..hawalipi tax..fully let the publish all transactions workers do veryong hours
@kabuthakabutha9472
Жыл бұрын
Ni Ruto ama ni Governor abdulswamad mwenye ametoa hio amri????? Get your facts right
@sheehamadnganzi8317
Жыл бұрын
Sasa kwani ruto ndie gavana wa Mombasa,kweli wewe ulizoea kurusha mawe
@sheehamadnganzi8317
Жыл бұрын
Tafuta kazi ufanye wachana na vitu vya bure
Toaaa peleka mapambo kilifi wanataka hongoooooo ni johooooo amemtuma kiproject wake
Tuliwambia ni johooooooo
Tafuta wenyeji wa Mombasa uwaoji please
@adnanmash9089
Жыл бұрын
Very true hakuna locals wa Mombasa wenyewe wahojiwe sijui why.
@kabuthakabutha9472
Жыл бұрын
Mombasa is a cosmopolitan City. Hakuna mwenyeji
@sheehamadnganzi8317
Жыл бұрын
@@kabuthakabutha9472 wewe hujielewi ,eti hakuna wenyeji,unawazimu wewe
@kabuthakabutha9472
Жыл бұрын
@@sheehamadnganzi8317 staki MATUSI..kama huwezi toa hoja Yako basin Wacha.
@winnieagawo6723
Жыл бұрын
Alshabab wew.useless.hapo ni kwenu ndio mana hukusoma
Stop being petty Mr. Governor, usitukoseshe mazuri tafadhali
Sitabia hiyo abdl uswamad
Leteni Ali kiba awapigie mziki tu
Huyu Abdul swamad asituletee uchoko wake achana na Mombasa Cement ye ndo ywafanya mji WA Mombasa leo una muonekano
@edu-pw7hu
Жыл бұрын
Hakuna investigate mombasa cement are very corrupt they grabbed 700acres of kilifi beach plot. When taken to court they started csr.. Wanting favours from the same government. Msa cement is corrupt kabisa Importi g workers from India..hawalipi tax..fully let the publish all transactions workers do veryong hours
Mtu kama nimzuri wamuaje na anafanya kazi vizur wamuaja
@edu-pw7hu
Жыл бұрын
Hakuna investigate mombasa cement are very corrupt they grabbed 700acres of kilifi beach plot. When taken to court they started csr.. Wanting favours from the same government. Msa cement is corrupt kabisa Importi g workers from India..hawalipi tax..fully let the publish all transactions workers do veryong hours
Wanataka kuiba
CHOKORAA WAMEZIDI NA WANAPORA WATU NA KUIBA VYUMA. WAONDOLEWE WOTE.
@edu-pw7hu
Жыл бұрын
Hakuna investigate mombasa cement are very corrupt they grabbed 700acres of kilifi beach plot. When taken to court they started csr.. Wanting favours from the same government. Msa cement is corrupt kabisa Importi g workers from India..hawalipi tax..fully let the publish all transactions workers do veryong hours
Joho huyooooo mwanA hizaya
😂😂😂😂😂😂😂😂wacha wavutane ila Mombasa Kuta Baki mavi tu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂na maji taka
Kwani yeye huyo gavana zake za county anataka kupeleka wapi awachane na Mombasa cement kabisa huyo jamaa amesaidia sana tena sana kwani sisi wenye tulikuwa hatuna maji yakanjoo lakini yeye anatuletea na tunashukuru je county inasaidia nini wakati hata chakula kinachukuliwa na machifu wakipeleka madukani wauziwe wapewe pesa wakati walala hoi wanalala njaa hakuna kitu kama hiyo wanashindwa kufatilia ufisadi anasumbua Mombasa cement kwa nini.
It's ni johoo
Nchi yetu ya ajabu..
Watu wa mombasa mnafaa kuandamana juu ya huyu gavana wenu mjinga
Serikali itoe mchago waenda wasaidi bila kuagalia wasidiane na hao hii wasiwafunje moyo wa is a nina wengine watajitoa waweze kusaidia pia
Dada kutokea Nyanza ongea kiswahili maana kingereza tumeshasahahu ila naomba rutu akufe ni mateso yale ameletea wakenya
@kabuthakabutha9472
Жыл бұрын
Dua za kuku hazimpati mwewe!!!!
Sasa wanataka pesa za msaada zingie kwa serikali kwani serikali pia inataka kusaiwa kama mayatima na wajane?? Ww unae sema ati pesa za msaada wataka ziingie kwa kapu la serikali ndio mjue ni nani amesaidiwa nyinyi wenyewe kama serikali mmesaidia wangapi??? Acheni tabia ya ZAKAYO!!!!
Serikali imelaniwa huo ndio ukweli
@edu-pw7hu
Жыл бұрын
Hakuna investigate mombasa cement are very corrupt they grabbed 700acres of kilifi beach plot. When taken to court they started csr.. Wanting favours from the same government. Msa cement is corrupt kabisa Importi g workers from India..hawalipi tax..fully let the publish all transactions workers do veryong hours
What is wrong with Mombasa Cement helping the people? Yani hii County hawaoni Mazuri na utu patel anao fanya
. Mljimo
Huu ni upuzi .. He has only 4yrs to leave
Wacheni kuwekea watu vikwazo
Kenya has lot of opportunities but the politician make it worst. Politician doesn't want people to get educated, health and happiness. They use different tactics to make them against great work like Mombasa cement.
Aty mmsaada upitie kwake 😂😂😂😂😂😂😂
I supported Nassir but on this I dont agree with him
Si ni CSR TU Community Social Responsibility ama county inaskia wivu?😂
Kama kweli anasaidia afunguliye watu kazi, chakula ya bure imejaza machokoraa imelemaza vijana wasifanye kazi.
Aongoze 5 years aende Mvita hafai
Tuliona tumpe kura zetu atakuwa mwenzetu kumbe fisadi mkubwa eti ni sharifu atakuwa mwema ni mtu hasidi wa kisharifu
The so called leaders we have are very selfish. What harm is he causing by helping the poor people?? Mombasa cement should also consider moving his cement company elsewhere where he's appreciated as a philanthropist.
@harriestv8276
Жыл бұрын
The company is in Kilifi not even mombasa. He only stretches a helping hand there.
@elvinawakio
Жыл бұрын
Yes akihamisha vinyago kilifi,next ahamishe com yake ya cement kilifi ndio huyo anajiita serikali ya count afungue hiyo com yy alafu pesa za msaada aeke Kwa serikali upo!
😂😂😂😂ACHA nicheke
Someone is expressing their Psychopathic traits.....sad that it disturbs them imaging and seen struggling person get helped.
Selikali ya kaunti wivu mtupu
Mr Govenor started na miraa now anataka kuiba msahada. huna aibu gavana, uogopi karma wewe.
Kenya kwisha 😭😭😭😭
This is madness
They really are behaving like Gachagua ..who thinks everything should be channeled to the Govt
Hawa masanamu ni waungu wao wame wajaza ķuanziya kibarani mpaka msa yote, nakumatt ilikuwa alama yao ndovu, mash bus alama yao na huyu alama yake maana ya mungu wao, naatowe masanamu yake mji utwahirke malaika wateremke na rehema zake Allah
Mombasa governor should stay very far away from Mombasa cement . Nobody wants to imagine how Mombasa would look like without the Boss Mombasa .
@elvinawakio
Жыл бұрын
Very very very far indeed!
@elvinawakio
Жыл бұрын
Huyo kiongozi Hana maana kabisa kwanza aondolewe madarakani haraka sana anarudisha Msa nyuma ashindwe sana na kutokuelewa kwake
The rise and fall of Abdhuswamad Sharif Nasir
Stress za mAfuto
Abdusamad awache upuzi hebu
@edu-pw7hu
Жыл бұрын
Hakuna investigate mombasa cement are very corrupt they grabbed 700acres of kilifi beach plot. When taken to court they started csr.. Wanting favours from the same government. Msa cement is corrupt kabisa Importi g workers from India..hawalipi tax
@edu-pw7hu
Жыл бұрын
Hakuna investigate mombasa cement are very corrupt they grabbed 700acres of kilifi beach plot. When taken to court they started csr.. Wanting favours from the same government. Msa cement is corrupt kabisa Importi g workers from India..hawalipi tax
@husna34562
Жыл бұрын
@@inchiyangu8094 😂😂😂😂😂
@andallaathman3856
Жыл бұрын
@@husna34562 afreen huyu niyule ni.mjuae ama mwengine hahhaha 🤣😀
@husna34562
Жыл бұрын
Ndio yeye 🤣
Mombasa cement ameharibu mombasa kabisa akwende mbali NA msadaa yake mombasa imerudi kukuwa chokara town KWENDA nairobi or india KWENDA kabisa chukua sana u ZAKO
@edu-pw7hu
Жыл бұрын
Hakuna investigate mombasa cement are very corrupt they grabbed 700acres of kilifi beach plot. When taken to court they started csr.. Wanting favours from the same government. Msa cement is corrupt kabisa Importi g workers from India..hawalipi tax..fully let the publish all transactions workers do veryong hours
@athmanamourjuma1461
Жыл бұрын
Tueleze ameharibu,na anasaidia
@kabuthakabutha9472
Жыл бұрын
Staki kutukana lakini wewe hauko sawa.
@edu-pw7hu
Жыл бұрын
@@athmanamourjuma1461. Hawa jama ungilinanisha na favours wanazopata . Waindi importation. Taxes am not very sure. Cement poor quality. Kilifi land gone. Free adverts in Mombasa. EVERYWHERE. ALL MANAGEMENT WAINDI. LOCALS BLACKS KAZI ZA CHINI. LONG HOURS DICRIMINATION OF EMPLOYMENT POLICIES.
@alibai4051
Жыл бұрын
Naomba serikali ya county waachane na Mombasa county, Mombasa county ametusaidia Sana tena Sana Sisi WA maskini upande WA kutusaidia hospitali bill, pamoja na shida kubwa za ugonjwa na chakula na Majid ya kunywa katika jiji la mbsa
governer is fully corrupt and useless, some report also say that governer ask for money from mombasa cement but mombasa cement refuse to give money to governer thatsway they turn against mombasa cement. this is shameful.
Mombasa sio mahali yaku abudu sanamu na vinyago apeleke factory takaungu
Usikubali kukaa nao wanata hongo hana mishahara kulipia kampuni zake wafanyi kazi project 😂😂😂😂
Kenya siku hizi imekua inch ya macatoons