Historia ya mapembe ya Mombasa
Eneo la Mapembeni katikati mwa Jiji la Mombasa ni mojawapo ya maeneo yanayotoa taswira na mandhari ya Pwani kwa wanaozuru mji huo wa Kitalii. Na japo wengi wanaofika pale hutaka kupiga picha kuashirikia kufika mwambaoni, wengi hawana ufahamu kuhusu historia ya mapembe haya.
Пікірлер: 30
Natembea hapa kila siku Alhamdulilah
MaSha Allah TabarakaLlah Mungu Akuhifadhi Shukran for Sharing.
@jamalsaid7475
Жыл бұрын
Ameen
Niice
Yes
Perfect
Mjombangu aliniambia hii story
Barabara nyingi za mji wa Mombasa zilibadilishwa majina zikapachikwa Majina mengine.Mfano hai Salim Road ikaitwa Digo Road na nyengine nyingi nk.
@jamalsaid7475
Жыл бұрын
Shukran sana Boss Mfano pia Ati Mama Ngina Drive? Kutoka lini ? Hio sehemu siku zote ni Lighthouse na Sio Mama Ngina ! Majina mengi ya Mombasa ambayo ndio Original,Wamefanya Unyama kubadilisha majina Original. Very 😥 sad 😥
@jamalsaid7475
Жыл бұрын
Kwani Majina Original ya Pwani lazima Kubadilishwa? Lakini pia Viongozi wetu pia wako kimya kabisa.
Why change the name from original KILINDINI ROAD To MOI ROAD ? BETTER TO RENAME IT AS IT USED TO BE CALLED BEFORE AS IT IS PART OF HISTORY KILINDINI ROAD
@baloz8974
4 ай бұрын
I know it's kilindini road until when did they change it
Ungewaambia hio barabara inaenda mpaka liwatoni floating bridge
❤❤❤❤❤🙏🙏🙏
Bomoeni izo UJINGA zenu,,, mueke picha ya mekatilili.. Queen Elizabeth ni wa uzunguni, jameni TUACHE kuabudu vya WAZUNGU
Beautiful i feel to be your lover dear
@muonlinetv1879
Жыл бұрын
Lgbtq
M inasimamia mansions
Tunasema katikati ya sio katikati mwa. Wanahabari mnatuaibisha
@gracerehema5070
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 ni "mwa" kwasababu ni mji wa mombasa kihusishi kimilikishi katikati mwa mji wa mombasa si ya mji cjui umeelewa
@Wastara001
Жыл бұрын
@@gracerehema5070 kasome vihusishi kwa kina. Acha kukurupuka
@gracerehema5070
Жыл бұрын
@@Wastara001 nmevisoma n ndomana nmekurekebesha kitu cha kwanza km unajifanya unajua nambie vihusishi n nini n unipe mifano n ngano zake
@yussufhassan6341
Жыл бұрын
Umechemsha kaka😂😂😂... Na ulivokuja kwa pupa
@Wastara001
Жыл бұрын
@@yussufhassan6341 vunja hoja kwa kutoa hoja...tena ushahidi wa kiisimu sio makeke na vishindo
Waarabu walikuwa wakishurutisha waafrica kupepesha pembe mpaka kilindini. Huo ndio ukweli.
@Khalid-mf3iu
Жыл бұрын
Jitu lenye chuki detected
@kibalakishundundu2904
Жыл бұрын
Waarabu ya wahusu nini na hapo NI kulikuwa KITOVU cha wakilindini MPAKA mzimle kule mama ngina wata chuki uliza wanati
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
Kama wazungu walivyo tupora mashamba na sasa wanatuletea ushoga na usagaji, sijui hathari kubwa hapo ni ipi
@jamalsaid7475
Жыл бұрын
@@fatumamwalimu5765 Kweli kabisa sister Kiswahili kitukuzwe! Kutoka lini Halambe ikawa Harambee? Kutoka Lini Lighthouse ikawa Mama Ngina Drive? Kilindini Road ikawa Moi Road? Bure kabisa. Wajaribu kubadilisha Historia ya Mombasa. Mungu Atawashinda kwa Njama zao.