No video

Kijana Eric Nyairo wa Nyamira atengeneza ndege

Ubunifu ni mojawapo ya ajenda kuu za serikali ya Kenya Kwanza na vijana wametakiwa kujibidiisha kwa sekta hii ya ubunifu. Msukumo huu ni mojawapo ya juhudi zinazofanywa na kijana mmoja kwa jina Eric Nyairo kutoka eneobunge la Mugorango West kaunti ya Nyamira ambaye ametengeza ndege! Kwa Eric, japo ndege hii ya muigo haijaweza kupaa, ana imani siku moja ubunifu wake utakamilika.

Пікірлер: 365