Genge la Wakali Kwanza lawashambulia wakazi wa Mombasa
Washukiwa watatu wamekamatwa kufuatia tukio la hapo jana katika maeneo ya Bamburi na kwa Bulo, Kaunti ya Mombasa ambapo watu tisa walijeruhiwa vibaya kwenye shambulizi lililotekelezwa na vijana wanaodaiwa kuwa wa genge la wakali kwanza #SemaNaCitizen
Пікірлер: 52
Hao watatu wakisha wasema wenzao wako wapi wapigine risasi mkendelea na kutafuta hao wengine
Hao waloshikwa wapewe kibano paka wataje wenzao.
NELSON MARWA TU,....ndio dawa la vikundi kama hivi
@willywilson3442
5 жыл бұрын
Alienda wapi?
@naomiakoth2958
5 жыл бұрын
We're did he go by the way
Muhuri wako wapi ? Mbona wako kimya ama mpaka mtu apigwe risasi ndio wajitokeze vizabi zabina !!!
SUBHANNALLAH!! Inasikitisha lkn.
Tena waulizwe wafanya hivyo Kwa nini? mbone wajiite wakali Kwanzaa? Yaani shetani amevamia Kenya na kila njia... likiisha hili latokea hili.. Hebu shetani wa uhalifu tupe break pls in Jesus Name..
ujinga ni pale mnawashika majambazi na kuwaachilia mtapambana nao hadi kufa Sasa
Mimi ningependelea hao watatu walishikwa waojiwe kisha wakishasema wenzao waliobaki pliz wasipelekwe mahakamani wauliwe wote
@ernestlaiza9489
5 жыл бұрын
kweli wauwawe
@aminaadam9914
5 жыл бұрын
Ili iwe funzo kwa wengine
@irenekish7551
5 жыл бұрын
An eye for an eye
@pendosammy5984
5 жыл бұрын
kbsaaaa wanyongwe
@charlesrachier5444
5 жыл бұрын
Wanjongwe naunga mkono wapumbavu sana
Mbona umjeruhi kiumbe na umuibie iba mwachie roho na afya zke wanadamu mumezidi hata wanyama hawawezi Fanya hayo
Huu ni mtihani mkubwa sana
@aminaabdallah3644
5 жыл бұрын
Tena sana wallahi
Watu wapunguze kuzaa kama hawawezi lea kuzaa inekuwa fashion now ur kids wanafunzwa na ulimwegu sad 😞
Wapigwa risasi
@mariambakari8041
5 жыл бұрын
Nautapata mtu akipigwa risasi wataona wameonewa Mimi ninge wajuwa ninge taja hata naomba niungane kuingia jeshi ili wanitambue
Gangs need to be dealt with accordingly. Terrozing other civilians is just unacceptable
Na Waulizwe nini Wanataka,Umpige mtu Mapanga halafu Umuibie why,Si Uibe tuu Umuache Akatafute vingine.Jamani roho mbaya.
mtangazi mhhh bado
Wau Good... Binu zisisemwe... juu hawa majambazi wako Fb na wako you tube.. na hawapitwi na habari.... So serikali ifanye zii ziii.. yani kimia kimia..Mungu awalinde police wetu Kenya....
@charlesrachier5444
5 жыл бұрын
Kwa Facebook wajiita chafu ya bamburi wengine waishi mtwapa na bamburi
Aki it's so sad kuona Kisauni jinsi ilivyo kuwa hio sio Mombasa 😥😥
@pichunakichuna2111
5 жыл бұрын
Wapunguze kuzaa kama hawawezi lea
@aminaabdallah3644
5 жыл бұрын
@@pichunakichuna2111 sisi mbona tumezaliwa
wale activist wako wapiii
Swala hili linasikitisha Sana. Natumai maafisa WA usalama wadhibiti Hali ya utulivu huko bamburi
Poor intelligence how can such a gang raid and butcher innocent people while no member of Mombasa county security was aware.First and foremost such gangs should not exist...
Mikakati na matakwa ndio nini na wakenya wameumia....some of those thugs si wa kupelekwa kotini😡😡😡tandika hao gun powder wakasumbue shetani
@fatimakahindinyale3938
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣eti matakwa ndio nn
Watetezi wa haki zakibinadamu wako wapi au wanangoja wakali kwanza wakishikwa nakupigwa risahi hapo ndio wajitokeze wakijifanya wanalia kwa kuwahurumia waizi wasio kuwa na hatia kwao shame on them there job is always criticising the police wacha mmoja wao aje apatane na haya magenge.i wish I could given a chance to command the police for one week I can flash this gung out of kisauni.
🇰🇪🇰🇪🇰🇪👏👏👏
NAAAAM
Mpaka wakenya waumie ndio police wafanye kazi. Na mko apo Mombasa daily hamuwaoni hao vijana wanaosumbua .
Pia hao wakatwe na panga wasipelekwe jela.
Tunonesheni walioshikwa surat zao maana Facebook page wajiita chafu ya mombasa tuone kama ndio walewalioko Facebook
Wapiwe rizasi
Kwa ushauri wangu ao mulo washika mutafute n ao wenzao mukiwakamata wote muwapeleke mbuga za wanyama wakapambane n simba uko
We need police patrolling full time or police post in ghettos wacheni mchezo
Wabunge kina mohamed ali wakowapi jamani??
these are human rights groups pets they fight for them
Why should we be employing and paying so many policemen and women when they cannot offer any protection to the people of Kenya?
@dinnerlojah6168
5 жыл бұрын
Ask human Rights
Nelson malwa alienda wapi?