Genge la Wakali Kwanza lawashambulia wakazi wa Mombasa

Washukiwa watatu wamekamatwa kufuatia tukio la hapo jana katika maeneo ya Bamburi na kwa Bulo, Kaunti ya Mombasa ambapo watu tisa walijeruhiwa vibaya kwenye shambulizi lililotekelezwa na vijana wanaodaiwa kuwa wa genge la wakali kwanza #SemaNaCitizen

Пікірлер: 52

  • @thuvakonde2584
    @thuvakonde25845 жыл бұрын

    Hao watatu wakisha wasema wenzao wako wapi wapigine risasi mkendelea na kutafuta hao wengine

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.63085 жыл бұрын

    Hao waloshikwa wapewe kibano paka wataje wenzao.

  • @kennykids804
    @kennykids8045 жыл бұрын

    NELSON MARWA TU,....ndio dawa la vikundi kama hivi

  • @willywilson3442

    @willywilson3442

    5 жыл бұрын

    Alienda wapi?

  • @naomiakoth2958

    @naomiakoth2958

    5 жыл бұрын

    We're did he go by the way

  • @basheemohamed3334
    @basheemohamed33345 жыл бұрын

    Muhuri wako wapi ? Mbona wako kimya ama mpaka mtu apigwe risasi ndio wajitokeze vizabi zabina !!!

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.63085 жыл бұрын

    SUBHANNALLAH!! Inasikitisha lkn.

  • @agneskadzo6105
    @agneskadzo61055 жыл бұрын

    Tena waulizwe wafanya hivyo Kwa nini? mbone wajiite wakali Kwanzaa? Yaani shetani amevamia Kenya na kila njia... likiisha hili latokea hili.. Hebu shetani wa uhalifu tupe break pls in Jesus Name..

  • @samueljr9105
    @samueljr91055 жыл бұрын

    ujinga ni pale mnawashika majambazi na kuwaachilia mtapambana nao hadi kufa Sasa

  • @dianaachieng2664
    @dianaachieng26645 жыл бұрын

    Mimi ningependelea hao watatu walishikwa waojiwe kisha wakishasema wenzao waliobaki pliz wasipelekwe mahakamani wauliwe wote

  • @ernestlaiza9489

    @ernestlaiza9489

    5 жыл бұрын

    kweli wauwawe

  • @aminaadam9914

    @aminaadam9914

    5 жыл бұрын

    Ili iwe funzo kwa wengine

  • @irenekish7551

    @irenekish7551

    5 жыл бұрын

    An eye for an eye

  • @pendosammy5984

    @pendosammy5984

    5 жыл бұрын

    kbsaaaa wanyongwe

  • @charlesrachier5444

    @charlesrachier5444

    5 жыл бұрын

    Wanjongwe naunga mkono wapumbavu sana

  • @ramahmariam8905
    @ramahmariam89055 жыл бұрын

    Mbona umjeruhi kiumbe na umuibie iba mwachie roho na afya zke wanadamu mumezidi hata wanyama hawawezi Fanya hayo

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.63085 жыл бұрын

    Huu ni mtihani mkubwa sana

  • @aminaabdallah3644

    @aminaabdallah3644

    5 жыл бұрын

    Tena sana wallahi

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna21115 жыл бұрын

    Watu wapunguze kuzaa kama hawawezi lea kuzaa inekuwa fashion now ur kids wanafunzwa na ulimwegu sad 😞

  • @rahmaaliamin7930
    @rahmaaliamin79305 жыл бұрын

    Wapigwa risasi

  • @mariambakari8041

    @mariambakari8041

    5 жыл бұрын

    Nautapata mtu akipigwa risasi wataona wameonewa Mimi ninge wajuwa ninge taja hata naomba niungane kuingia jeshi ili wanitambue

  • @brianwattanga1814
    @brianwattanga18145 жыл бұрын

    Gangs need to be dealt with accordingly. Terrozing other civilians is just unacceptable

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili96795 жыл бұрын

    Na Waulizwe nini Wanataka,Umpige mtu Mapanga halafu Umuibie why,Si Uibe tuu Umuache Akatafute vingine.Jamani roho mbaya.

  • @marrymotez3591
    @marrymotez35915 жыл бұрын

    mtangazi mhhh bado

  • @agneskadzo6105
    @agneskadzo61055 жыл бұрын

    Wau Good... Binu zisisemwe... juu hawa majambazi wako Fb na wako you tube.. na hawapitwi na habari.... So serikali ifanye zii ziii.. yani kimia kimia..Mungu awalinde police wetu Kenya....

  • @charlesrachier5444

    @charlesrachier5444

    5 жыл бұрын

    Kwa Facebook wajiita chafu ya bamburi wengine waishi mtwapa na bamburi

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah36445 жыл бұрын

    Aki it's so sad kuona Kisauni jinsi ilivyo kuwa hio sio Mombasa 😥😥

  • @pichunakichuna2111

    @pichunakichuna2111

    5 жыл бұрын

    Wapunguze kuzaa kama hawawezi lea

  • @aminaabdallah3644

    @aminaabdallah3644

    5 жыл бұрын

    @@pichunakichuna2111 sisi mbona tumezaliwa

  • @lukanu9428
    @lukanu94285 жыл бұрын

    wale activist wako wapiii

  • @brianwattanga1814
    @brianwattanga18145 жыл бұрын

    Swala hili linasikitisha Sana. Natumai maafisa WA usalama wadhibiti Hali ya utulivu huko bamburi

  • @mohasworld2426
    @mohasworld24265 жыл бұрын

    Poor intelligence how can such a gang raid and butcher innocent people while no member of Mombasa county security was aware.First and foremost such gangs should not exist...

  • @billalphilip5776
    @billalphilip57765 жыл бұрын

    Mikakati na matakwa ndio nini na wakenya wameumia....some of those thugs si wa kupelekwa kotini😡😡😡tandika hao gun powder wakasumbue shetani

  • @fatimakahindinyale3938

    @fatimakahindinyale3938

    5 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣eti matakwa ndio nn

  • @paulmwangi5659
    @paulmwangi56595 жыл бұрын

    Watetezi wa haki zakibinadamu wako wapi au wanangoja wakali kwanza wakishikwa nakupigwa risahi hapo ndio wajitokeze wakijifanya wanalia kwa kuwahurumia waizi wasio kuwa na hatia kwao shame on them there job is always criticising the police wacha mmoja wao aje apatane na haya magenge.i wish I could given a chance to command the police for one week I can flash this gung out of kisauni.

  • @husnamajeed9882
    @husnamajeed98825 жыл бұрын

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪👏👏👏

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.63085 жыл бұрын

    NAAAAM

  • @daprince7545
    @daprince75455 жыл бұрын

    Mpaka wakenya waumie ndio police wafanye kazi. Na mko apo Mombasa daily hamuwaoni hao vijana wanaosumbua .

  • @tunumadanji6824
    @tunumadanji68245 жыл бұрын

    Pia hao wakatwe na panga wasipelekwe jela.

  • @charlesrachier5444
    @charlesrachier54445 жыл бұрын

    Tunonesheni walioshikwa surat zao maana Facebook page wajiita chafu ya mombasa tuone kama ndio walewalioko Facebook

  • @munalook4477
    @munalook44775 жыл бұрын

    Wapiwe rizasi

  • @sjfamily8121
    @sjfamily81215 жыл бұрын

    Kwa ushauri wangu ao mulo washika mutafute n ao wenzao mukiwakamata wote muwapeleke mbuga za wanyama wakapambane n simba uko

  • @salimmachila5736
    @salimmachila57365 жыл бұрын

    We need police patrolling full time or police post in ghettos wacheni mchezo

  • @salmaali7080
    @salmaali70805 жыл бұрын

    Wabunge kina mohamed ali wakowapi jamani??

  • @beirut9750
    @beirut97505 жыл бұрын

    these are human rights groups pets they fight for them

  • @jarednovel
    @jarednovel5 жыл бұрын

    Why should we be employing and paying so many policemen and women when they cannot offer any protection to the people of Kenya?

  • @dinnerlojah6168

    @dinnerlojah6168

    5 жыл бұрын

    Ask human Rights

  • @stevekanja6318
    @stevekanja63185 жыл бұрын

    Nelson malwa alienda wapi?