Gen Z wamepokea kwa bashasha na furaha hatua ya Rais kulivunja baraza lake la mawaziri

Nao Vijana wa Gen Z wamepokea kwa bashasha na furaha hatua ya Rais kulivunja baraza lake la mawaziri. Vijana kutoka kaunti mbali mbali wakimtaka rais William Ruto kuendeleza marekebisho haya katika idara na taasisi mbali mbali za umma ili kuimarisha uongozi bora

Пікірлер: 62

  • @MaroaStephanie
    @MaroaStephanie20 күн бұрын

    Big up baba Charlene,,,,👊👊👊👊,,,;lakini ambia kipchumba mulkomen arudishe pesa za wakenya,,,

  • @charlessiguna859
    @charlessiguna85920 күн бұрын

    Wamesalimiwa indirectly😂

  • @kaytwok2345
    @kaytwok234520 күн бұрын

    We want matiang'i apewe kiti kilichokuwa cha kidiki then kidiki achukue ya duale coz kidiki amejaribu kidogo

  • @user-ch9ei7hp4c

    @user-ch9ei7hp4c

    20 күн бұрын

    Who are you?

  • @JacksonMutinda-jw5qw

    @JacksonMutinda-jw5qw

    20 күн бұрын

    Akwede na uko akileta majeshi mtaani,all are rotten ata ruto,mashetani

  • @mueniSteve-ov4yr
    @mueniSteve-ov4yr20 күн бұрын

    Tuko waangalifu sana afanye makosa tena , mukromen aende kabisa

  • @user-nl9ss4jl9z
    @user-nl9ss4jl9z20 күн бұрын

    tunashukru Sana rais wetu kwa kusikia wito wa vijana wetu gen z mana Leo watu wamerambwa,

  • @timothyonyango9
    @timothyonyango920 күн бұрын

    Ukiona Baba mahali kuna moto jua kuna jambo !!!!. Otherwise i said the Gen G wave was from God and nobody can stop it and im happy its bearing fruits. Kudos Gen Zs.

  • @derrickmacharia7969
    @derrickmacharia796919 күн бұрын

    Karen nyamu atolewe kabisa

  • @christinenjeri2575
    @christinenjeri257520 күн бұрын

    New faces mr.president allow kenyans to drop cvs

  • @mulicharlesmuli
    @mulicharlesmuli19 күн бұрын

    Sasa ni kuchagua baraza ya mawaziri wapya

  • @johnmuthee3175
    @johnmuthee317519 күн бұрын

    He should fix the CEOs list as well

  • @williammutiso4340
    @williammutiso434020 күн бұрын

    We don't want them all

  • @steuerveronicah9676
    @steuerveronicah967619 күн бұрын

    Wao. Hio. Ni. Better. Juu ya Nation. Wizard ya Power,na Security,Agriculture, na Ya Ujenzi wa ya barabara. ,Education,hio yote. Ilikua na Shida Hope. OUR President amesikia ukweli. Uko Mungu ampe Hekima.

  • @annenjuguna6778
    @annenjuguna677820 күн бұрын

    The bigggest thing prezooo angekua anapingana nalo n korrruption kenya hiii mnyonge hana haki tena

  • @jamesmwongera5334
    @jamesmwongera533419 күн бұрын

    Buri kapisa wote waende period 😂😂

  • @Mieye788
    @Mieye78820 күн бұрын

    Kwanza murkomen aende kabisa na arudishe pesa za wakenya zenye ameimba

  • @christinenjeri2575
    @christinenjeri257520 күн бұрын

    Na Mr.president angalia pande ya mishahara ya mp's ifike 200,000/

  • @ahmedsuleiman2949
    @ahmedsuleiman294920 күн бұрын

    Nice step 👍

  • @user-nl9ss4jl9z
    @user-nl9ss4jl9z20 күн бұрын

    kindiki hukuna Yale yametufanyia mzuri,hio nafazi ya kindiki hawezi apewe katoo

  • @johnichangai3216
    @johnichangai321619 күн бұрын

    Waende wote hakuna mtu mzuri hapo

  • @AfricansInGulf
    @AfricansInGulf20 күн бұрын

    Next we will deal with Nyayo House

  • @paulinekamunya863

    @paulinekamunya863

    19 күн бұрын

    The comment i was looking for....

  • @dugulemuse4458
    @dugulemuse445819 күн бұрын

    KINDIKI, DUALE,OWALO irudishwe

  • @user-ch9ei7hp4c
    @user-ch9ei7hp4c20 күн бұрын

    Kindiki/Murkomen/still my heroes

  • @steuerveronicah9676
    @steuerveronicah967619 күн бұрын

    Sheria,.Police kuua watoto onions bure

  • @dee-lz7rk
    @dee-lz7rk19 күн бұрын

    Musalia amebaki akifagia huko😂

  • @user-ch9ei7hp4c
    @user-ch9ei7hp4c20 күн бұрын

    Azimio goons and conmen calling themselves Gen Z

  • @LukaOsiemo
    @LukaOsiemo20 күн бұрын

    Great our president

  • @gee2638
    @gee263820 күн бұрын

    Musalia mudavadi sasa ni yeye next

  • @Agro_nomad
    @Agro_nomad18 күн бұрын

    Just selected few ....

  • @MohamedNoormohamed-lc4rg
    @MohamedNoormohamed-lc4rg20 күн бұрын

    U mean these minister wil never be apointed some of them again,,,,, ooooh my god brother aden duale

  • @noelatsole5552
    @noelatsole555219 күн бұрын

    Yaaa,but kunawale waliofanya kazi bora wapewe kazi

  • @AbdallahKatana

    @AbdallahKatana

    19 күн бұрын

    Kumupotosha rais ndio ilikua kazi bora?

  • @philemonkorio9867
    @philemonkorio986720 күн бұрын

    Tunashukuru rais kwa kufuta baraza la mawaziri ila tunaomba wale wenye hawana shida kama Ababu Namwamba michezo na Kindiki warudishwe kazi juu hii imewapata tu ila walikuwa wanawajibika nakazi please prezo.

  • @getandaondieki5152

    @getandaondieki5152

    19 күн бұрын

    They can work somewhere else, we want everything fresh

  • @user-ju5jz3rj9y
    @user-ju5jz3rj9y19 күн бұрын

    Joseph itaaba more inforce profile picture update,

  • @salimbilali5174
    @salimbilali517418 күн бұрын

    Kindiki n nani

  • @carolineawinja8044
    @carolineawinja804420 күн бұрын

    Kazi bado

  • @mainakihurusia6380
    @mainakihurusia638020 күн бұрын

    Only kindiki Duale & Owalo warudushwe penye walikua apo too

  • @shadrackndoro2739

    @shadrackndoro2739

    19 күн бұрын

    Pia Ababu na Mwamba usimsahau amengangana

  • @janepherkhamali1057
    @janepherkhamali105719 күн бұрын

    Bado madivid

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj20 күн бұрын

    😂😂😂Duale Murkome kindiki and etc,

  • @jumak.ismail2504
    @jumak.ismail250419 күн бұрын

    Musalia amebaki hata yeye toa yeye

  • @animusanomaly
    @animusanomaly20 күн бұрын

    Kama mudavadi bado hatujashiba

  • @susanrobinson8622
    @susanrobinson862220 күн бұрын

    What people, bloody joke.

  • @mimimusembi3669
    @mimimusembi366920 күн бұрын

    Akimaliza kuwafuta,pia aende home

  • @fadhililuttah1631
    @fadhililuttah163120 күн бұрын

    Duale pia amefutwa ama 😊

  • @justinebosire9804

    @justinebosire9804

    20 күн бұрын

    wote

  • @vincentndonye7989

    @vincentndonye7989

    19 күн бұрын

    Wacha aendeleza biashara ya ngamia samburu

  • @uniqueuniformsunique9107
    @uniqueuniformsunique910720 күн бұрын

    Since kindiki is performing let him stay then matiangi apewe education

  • @user-ch9ei7hp4c

    @user-ch9ei7hp4c

    20 күн бұрын

    Who’s is matiangi shenzi weee

  • @Msemaukwelikweli
    @Msemaukwelikweli20 күн бұрын

    Am very disappointed by Ruto to say the least and here is why, how can a leader surely be shaken by a passing cloud (Gen Z) to do unthinkable? I Mean Duale for instance won his parliamentary seat then resigned so that he can help Ruto deliver then he was fired? Come on bro, that's the greatest betrayal I have ever seen, unastuliwa na watoto then you do as they say? Uwoga ni mbaya aki to say the truth! I might not vote for Ruto next time, I mean I thought he was a warrior a no nonsense leader but how wrong I was, a president should be a leader who mean business a leader who never cower so that should the country be faced by uncertainty pioneered by some fellas that leader will have the the thrust, the fist to crush them but cowardice? That's a pretty worse way of leadership, am completely convinced Ruto will fail terrible going forward because hawa watoto wameona huyu we can twist him to do or say what we want him to do or say! Will Ruto be able to do anything substantive be it out parliament passing motions to help him? No! Will he go borrowing to help Kenya No because the same kids who made him cower will be on his case! Expect Kenya to be worse from today hence forth,.2027 I will not vote for Ruto naaa uwoga naaa I need a law and order president si mwoga.....

  • @en.onyangooloo4252
    @en.onyangooloo425220 күн бұрын

    Heee! Sasa wamebaki watatu pekee.

  • @user-gp5wx1ev9f
    @user-gp5wx1ev9f20 күн бұрын

    Hapo amefanya vizuri, lakini zaidi tunataka apige vita corruption kwa kuleta Sheria ya kila atakaye patikana na ufisadi lazima auwawe hapo wataogopa kupora Mali za umma. Na atimize matakwa yote tuliyoyaomba akifanya hivyo tutamuacha aendelee hadi 2027. La sivyo ataenda. We are waiting the IEBC commissioners to be in place tuwapeleke nyumbani wabunge wote waliotusaliti wakenya kwa mswada wa fedha 2024

  • @AbdallahKatana

    @AbdallahKatana

    19 күн бұрын

    Owen Baya😢

  • @williammutiso4340
    @williammutiso434020 күн бұрын

    Duale kwenda uko wewe,jeshi hata Sio ya mtu Wa mdomo kama wewe

  • @Cwa254
    @Cwa25420 күн бұрын

    Wrong news

  • @estheranneclea4064
    @estheranneclea406420 күн бұрын

    🙈🙈🙈🙈🙈🙈🐒🐒🐒🙊

  • @babueric5768
    @babueric576820 күн бұрын

    Joho apewe kakitu naye😂 kakangu

  • @user-Hillaa77
    @user-Hillaa7720 күн бұрын

    Kindiki arudishwe kazini please

Келесі