PART 1: JESCA MFINANGA ATUA DAR, ASIMULIA UNYAMA WALIOFANYIWA AFRIKA KUSINI, MACHOZI YATAKUTOKA...

Спорт

PART 1: JESCA MFINANGA ATUA DAR, ASIMULIA UNYAMA WALIOFANYIWA AFRIKA KUSINI, MACHOZI YATAKUTOKA...
Hatimaye Bondia Jesca Mfinanga amefanikiwa kurudi nchini akitoka Afrika kusini alipokwenda kucheza na kupata matatizo ya Promota kuingia mitini bila ya kuwalipa yeye na mwenzake Egine Kayange .
Bongo Boxing Safari tumepiga stori nae akiwa Uwanja wa Ndege ambapo ameelezea mkasa mzima.

Пікірлер: 7

  • @AminJuma-fb2pn
    @AminJuma-fb2pn5 күн бұрын

    Pole san champion never let down boxinglife ✊✊

  • @AWADHIHEMED-y1c
    @AWADHIHEMED-y1c4 күн бұрын

    polesana dada huyomama ana lombaya

  • @muhsiniissa8151
    @muhsiniissa81514 күн бұрын

    Washenzi sana,,wakija kwetu itabidi tuwafanyie figisu

  • @PeterDeus-i9u
    @PeterDeus-i9u5 күн бұрын

    Pole sana ndio tujue kwamba alichosemaga Dullah Mbabe kuwa watanzania hatupendani ndo apo muone mkienda nchi za watu tunachofanyiwa lakini sisi tunawakandamoza mabondia wetu wakiwa kwenye ardhi yao tuache chuki za sisi kwa sisi

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v5 күн бұрын

    Kama utani jesca amekua bondia mkali sana.Aliyaendea mazoezi ya sanaa ya mapigano kareti na boxing ili kucheza filamu za Action.Hatimae akajikuta amekua Bondia

  • @user-ze8hp1ls6t
    @user-ze8hp1ls6t5 күн бұрын

    Dah ila dada nimependa ujasili wako

  • @AminahassanSaidi
    @AminahassanSaidi5 күн бұрын

    Tatizo ni Lugha tu ndio nimemkwamisha dada

Келесі