PART 1: JESCA MFINANGA ATUA DAR, ASIMULIA UNYAMA WALIOFANYIWA AFRIKA KUSINI, MACHOZI YATAKUTOKA...
Спорт
PART 1: JESCA MFINANGA ATUA DAR, ASIMULIA UNYAMA WALIOFANYIWA AFRIKA KUSINI, MACHOZI YATAKUTOKA...
Hatimaye Bondia Jesca Mfinanga amefanikiwa kurudi nchini akitoka Afrika kusini alipokwenda kucheza na kupata matatizo ya Promota kuingia mitini bila ya kuwalipa yeye na mwenzake Egine Kayange .
Bongo Boxing Safari tumepiga stori nae akiwa Uwanja wa Ndege ambapo ameelezea mkasa mzima.
Пікірлер: 7
Pole san champion never let down boxinglife ✊✊
polesana dada huyomama ana lombaya
Washenzi sana,,wakija kwetu itabidi tuwafanyie figisu
Pole sana ndio tujue kwamba alichosemaga Dullah Mbabe kuwa watanzania hatupendani ndo apo muone mkienda nchi za watu tunachofanyiwa lakini sisi tunawakandamoza mabondia wetu wakiwa kwenye ardhi yao tuache chuki za sisi kwa sisi
Kama utani jesca amekua bondia mkali sana.Aliyaendea mazoezi ya sanaa ya mapigano kareti na boxing ili kucheza filamu za Action.Hatimae akajikuta amekua Bondia
Dah ila dada nimependa ujasili wako
Tatizo ni Lugha tu ndio nimemkwamisha dada