Dudubaya tunakupenda mashabiki zako jaribu kutengeneza muonekano wako kama kitambo rudi gym kaka. Ahsante sana kwa maarifa
vipindikama ivi niadimsana safi sana blaza nimependa sana👏👏👏
Maadili ya Tanganyika..sio Tanzania.. Zanzibar wanatamaduni zao!!!!!
Kama ukweli utawaua, nawafe. Asante kwa maneno magumu yasiyopendwa
Huyu jamaa anaongea fact sana
Lazima nijiunge nitowe sapot kwa Mambaz24
Mambaaz oil chafu sasa tuna media yetu
Konki master big up
😂😂😂😂aisee he gat a point though
humeona mbali mambaz maneno yenye maana sn
Upo vizuri sana ndugu yangu
Siku nikikutana na wewe, nina mengi ya kukuuliza. Kwa maceleb wa hapa Bongo, ni wewe tu na Sugu ndo huwa nawaelewa.
😂😂 konk 3
Dudu baya wewe noma Sana hongera zako mamba
shukurani sana
Niko nawe MAMBA24🎉
Niko nyuma huko Dudubaya
Wambie mamba wewe ndie oil chafu nakukubali
Sawa kaka
Ndioo baba
Tutakusaport
Sauti boost to be clearer
Logic
Sjawah kukuta inteview ya dudu baya halafu nisisikilize maana kila akihojiwa ni madini matupu katika wasanii wenye akili Tz dudu ni raisi wao
ww ni Putin mtupu
Пікірлер: 25
Dudubaya tunakupenda mashabiki zako jaribu kutengeneza muonekano wako kama kitambo rudi gym kaka. Ahsante sana kwa maarifa
vipindikama ivi niadimsana safi sana blaza nimependa sana👏👏👏
Maadili ya Tanganyika..sio Tanzania.. Zanzibar wanatamaduni zao!!!!!
Kama ukweli utawaua, nawafe. Asante kwa maneno magumu yasiyopendwa
Huyu jamaa anaongea fact sana
Lazima nijiunge nitowe sapot kwa Mambaz24
Mambaaz oil chafu sasa tuna media yetu
Konki master big up
😂😂😂😂aisee he gat a point though
humeona mbali mambaz maneno yenye maana sn
Upo vizuri sana ndugu yangu
Siku nikikutana na wewe, nina mengi ya kukuuliza. Kwa maceleb wa hapa Bongo, ni wewe tu na Sugu ndo huwa nawaelewa.
😂😂 konk 3
Dudu baya wewe noma Sana hongera zako mamba
@mambaz24tv
Ай бұрын
shukurani sana
@inaciobernardo6491
Ай бұрын
Niko nawe MAMBA24🎉
Niko nyuma huko Dudubaya
Wambie mamba wewe ndie oil chafu nakukubali
Sawa kaka
Ndioo baba
Tutakusaport
Sauti boost to be clearer
Logic
Sjawah kukuta inteview ya dudu baya halafu nisisikilize maana kila akihojiwa ni madini matupu katika wasanii wenye akili Tz dudu ni raisi wao
ww ni Putin mtupu