#EXCLUSIVE
Спорт
#EXCLUSIVE: SAID BWANGA Ajibu KUCHEZA na SAID CHINO, AWATUPIA LAWAMA MAPROMOTA - "ANANISAIDIA NINI?"
BAADA ya kumaliza pambano lake na kuibuka mshindi dhidi ya Said Mkolla, bondia kutoka Mbagala Said Bwanga amefunguka kuhusiana na ombi la mashabiki la kumtaka ampige na Said Chino.
Пікірлер: 50
Dogo yupo vizuri sana. Allah atakufanyia wepesi
Bwanga nomaaa
Umeongea point sana champion,, Lazima uwe na focus maana hyo ndio ajira Yako, lazima uwe na malengo juu ya ndoto zako. Mungu aendelee kubariki kazi za mikono Yako.
Huyu dogo atakuja kuw bondia mkubwa sana km atajitunza na akipata wa2 sahihi wa kumsimamia ana nizamu sana hata anavyoongea unajua huyu ni bondia kwl big up kwke hiki ni kipaji sahh cha nhumi😮😮😮😮
@InnertraderGreyson
7 күн бұрын
Hakika kabisa champ
@InnertraderGreyson
7 күн бұрын
Hakika kabisa champ
@InnertraderGreyson
7 күн бұрын
Hakika kabisa champ
@user-fq6xx4ww4c
7 күн бұрын
Kwa style iyo utakaa mwaka mzima ndio utacheza game
@manoramatv858
7 күн бұрын
Haropoki anapanga maneno pia ana future.
Sure focus mbele mkali nani haina maana kwasasa
SAFI SANA BWANGA
Dogo anaakili sana anajua malengo yake anataka kwenda wapi. Big up Bwanga Boy keep moving forward 💪💪💪
Safiii bwanga......Mejaa SEMUNYU KASIKIAA.....mabondia wakubwa hawana mabadiliko mpaka xaxa.....Mda wenu kubadilishaa maisha kwenye mchezo wa ngumi.....STOP.......MKALI NANI
Ukimskiliza dogo kwa skio la uteam lazma utachukia nikama anajikweza ila huyu dogo anaongea ukweli na yuko sawa. Malengo yake ni boxing iwe na watu wakubwa kidunia na sio kitanzania au Africa mashaliki no.
We mtegemee allah2 one day yes kua nasubra
Nimependa sana ameongea fact tupu
Safi champion
champion boy nakubar Sana dog
UYU MTANGAZAJI MTU WA KULOPOKA SANA
Saf sana bwanga fact
Bwanga nibondia mwenyekipaj kikubwasana
Umeongea point bwanga mkali nan hazina faida kwa mabondia wetu
Kikubwa dogo atafute kochi wenyeuweled mkubwaaa
Baada ya hii imesha potea kwenye gem 😅😅😅 dogo
Mm namkubari sn huyu dogo Ana nizamu sn
Safi 26 umengea yamoyoni nahayo uliyongeea kila bondia inabidi awe nakauli kama izo ili mpate maendeleo juu yaichokipaji sio mnawatajilisha maplomotar.26 alalali nanjaa anachelewa kula tu subra na misimamo inshallah utafika kwenye malengo salute
Mdogo angu bwanga umeongea point kubw sn lzm ifikie mahali maboxer wetu waje kuwa na mafanikio makubw kupitia kipaji walicho sio kuwanufaisha mapromota tu na hizi comments zetu zifanyiwe bc kwa wadau wa ngumi
Bwanga umekua mdogowangu acha Nana mkalinani chezea hela jina taali ambae hajakujua aache
Maneno hayo ya mkali Nani apewe gari akiyaongea Mwakinyo utawasikia akina Mfaume na taarabu zao za vidole juu😂😂
Bwanga mtu mbayaa
Dogo komalia humo humo lazima kuna maisha baada ya ngumi.
Ninakukubali bwanga
Bwanga mdogo wangu mshukuru Mungu kupata Ile knock down maana Saidi Mkola alikuzidi round zote bila ubishi yeye ndiye angekuwa bingwa kwa maana nyingine umebahatisha.
@Basagamp4
7 күн бұрын
Ndio mchezo mzee....ndio maana hua tunasema HAIJAISHA MBAKA IISHE😅
@ogenylaurent7961
7 күн бұрын
Kiufupi amebebwa Bwanga
@user-ze8hp1ls6t
7 күн бұрын
Ww macho yako kengeza eee😂
@ramsootz
6 күн бұрын
wewe mchezo unaatokeo matatu Tu kaka so akuna cha kubahatisha apo
@saidseif941
4 күн бұрын
Hizo ngumi ulianglia peke yako
Chino umuwezi huyo class tu amepewa juu ya chino ila amepigwa sana
@OsmanDembele-z7h
3 күн бұрын
Daaa we broo we yani utopolo wako chino ndo ampige class
@user-uv8eg1ye4t
3 күн бұрын
Kama hujui ngumi na namna zinavyohesabiwa point zake usizungumzie huyo chino ni bondia wa kawaida sana tena kapigika round zote
@ogenylaurent7961
3 күн бұрын
@@OsmanDembele-z7h Kolo wewe kaangalie pambano tena
@ogenylaurent7961
3 күн бұрын
@@user-uv8eg1ye4t Tulizeni vishundu hvyo
Dogo yupo vizuri sana. Allah atakufanyia wepesi