#EXCLUSIVE

Спорт

#EXCLUSIVE: SAID BWANGA Ajibu KUCHEZA na SAID CHINO, AWATUPIA LAWAMA MAPROMOTA - "ANANISAIDIA NINI?"
BAADA ya kumaliza pambano lake na kuibuka mshindi dhidi ya Said Mkolla, bondia kutoka Mbagala Said Bwanga amefunguka kuhusiana na ombi la mashabiki la kumtaka ampige na Said Chino.

Пікірлер: 50

  • @NandoliHabiby
    @NandoliHabibyКүн бұрын

    Dogo yupo vizuri sana. Allah atakufanyia wepesi

  • @patrickmfundiri8669
    @patrickmfundiri86692 сағат бұрын

    Bwanga nomaaa

  • @saidmlali8559
    @saidmlali85594 күн бұрын

    Umeongea point sana champion,, Lazima uwe na focus maana hyo ndio ajira Yako, lazima uwe na malengo juu ya ndoto zako. Mungu aendelee kubariki kazi za mikono Yako.

  • @zamuga1991
    @zamuga19917 күн бұрын

    Huyu dogo atakuja kuw bondia mkubwa sana km atajitunza na akipata wa2 sahihi wa kumsimamia ana nizamu sana hata anavyoongea unajua huyu ni bondia kwl big up kwke hiki ni kipaji sahh cha nhumi😮😮😮😮

  • @InnertraderGreyson

    @InnertraderGreyson

    7 күн бұрын

    Hakika kabisa champ

  • @InnertraderGreyson

    @InnertraderGreyson

    7 күн бұрын

    Hakika kabisa champ

  • @InnertraderGreyson

    @InnertraderGreyson

    7 күн бұрын

    Hakika kabisa champ

  • @user-fq6xx4ww4c

    @user-fq6xx4ww4c

    7 күн бұрын

    Kwa style iyo utakaa mwaka mzima ndio utacheza game

  • @manoramatv858

    @manoramatv858

    7 күн бұрын

    Haropoki anapanga maneno pia ana future.

  • @makambaally6317
    @makambaally63177 күн бұрын

    Sure focus mbele mkali nani haina maana kwasasa

  • @fadhilially7357
    @fadhilially73577 күн бұрын

    SAFI SANA BWANGA

  • @thabitgoboss3715
    @thabitgoboss37157 күн бұрын

    Dogo anaakili sana anajua malengo yake anataka kwenda wapi. Big up Bwanga Boy keep moving forward 💪💪💪

  • @MoosaMzinga
    @MoosaMzinga7 күн бұрын

    Safiii bwanga......Mejaa SEMUNYU KASIKIAA.....mabondia wakubwa hawana mabadiliko mpaka xaxa.....Mda wenu kubadilishaa maisha kwenye mchezo wa ngumi.....STOP.......MKALI NANI

  • @ismailmwekilinga1203
    @ismailmwekilinga12035 күн бұрын

    Ukimskiliza dogo kwa skio la uteam lazma utachukia nikama anajikweza ila huyu dogo anaongea ukweli na yuko sawa. Malengo yake ni boxing iwe na watu wakubwa kidunia na sio kitanzania au Africa mashaliki no.

  • @HatibuRajabu-p5q
    @HatibuRajabu-p5q7 күн бұрын

    We mtegemee allah2 one day yes kua nasubra

  • @ramadhaninassoro3445
    @ramadhaninassoro34457 күн бұрын

    Nimependa sana ameongea fact tupu

  • @msemakweli243
    @msemakweli2436 күн бұрын

    Safi champion

  • @ahadjuma8356
    @ahadjuma83563 күн бұрын

    champion boy nakubar Sana dog

  • @fadhilially7357
    @fadhilially73577 күн бұрын

    UYU MTANGAZAJI MTU WA KULOPOKA SANA

  • @FarajiFundi
    @FarajiFundi7 күн бұрын

    Saf sana bwanga fact

  • @EyshaAlly-bo6fn
    @EyshaAlly-bo6fn5 күн бұрын

    Bwanga nibondia mwenyekipaj kikubwasana

  • @muckyamos5433
    @muckyamos54337 күн бұрын

    Umeongea point bwanga mkali nan hazina faida kwa mabondia wetu

  • @EyshaAlly-bo6fn
    @EyshaAlly-bo6fn5 күн бұрын

    Kikubwa dogo atafute kochi wenyeuweled mkubwaaa

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin9413 күн бұрын

    Baada ya hii imesha potea kwenye gem 😅😅😅 dogo

  • @user-gg3qe3sj1x
    @user-gg3qe3sj1x7 күн бұрын

    Mm namkubari sn huyu dogo Ana nizamu sn

  • @user-vv3nc7pn9x
    @user-vv3nc7pn9x7 күн бұрын

    Safi 26 umengea yamoyoni nahayo uliyongeea kila bondia inabidi awe nakauli kama izo ili mpate maendeleo juu yaichokipaji sio mnawatajilisha maplomotar.26 alalali nanjaa anachelewa kula tu subra na misimamo inshallah utafika kwenye malengo salute

  • @user-yq7gz7qo6d
    @user-yq7gz7qo6d7 күн бұрын

    Mdogo angu bwanga umeongea point kubw sn lzm ifikie mahali maboxer wetu waje kuwa na mafanikio makubw kupitia kipaji walicho sio kuwanufaisha mapromota tu na hizi comments zetu zifanyiwe bc kwa wadau wa ngumi

  • @issagym8615
    @issagym86157 күн бұрын

    Bwanga umekua mdogowangu acha Nana mkalinani chezea hela jina taali ambae hajakujua aache

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid83267 күн бұрын

    Maneno hayo ya mkali Nani apewe gari akiyaongea Mwakinyo utawasikia akina Mfaume na taarabu zao za vidole juu😂😂

  • @SalumkifuLukwe-wk7sp
    @SalumkifuLukwe-wk7sp6 күн бұрын

    Bwanga mtu mbayaa

  • @tonnyelias9454
    @tonnyelias94547 күн бұрын

    Dogo komalia humo humo lazima kuna maisha baada ya ngumi.

  • @user-ho8op4rs8q
    @user-ho8op4rs8q7 күн бұрын

    Ninakukubali bwanga

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid83267 күн бұрын

    Bwanga mdogo wangu mshukuru Mungu kupata Ile knock down maana Saidi Mkola alikuzidi round zote bila ubishi yeye ndiye angekuwa bingwa kwa maana nyingine umebahatisha.

  • @Basagamp4

    @Basagamp4

    7 күн бұрын

    Ndio mchezo mzee....ndio maana hua tunasema HAIJAISHA MBAKA IISHE😅

  • @ogenylaurent7961

    @ogenylaurent7961

    7 күн бұрын

    Kiufupi amebebwa Bwanga

  • @user-ze8hp1ls6t

    @user-ze8hp1ls6t

    7 күн бұрын

    Ww macho yako kengeza eee😂

  • @ramsootz

    @ramsootz

    6 күн бұрын

    wewe mchezo unaatokeo matatu Tu kaka so akuna cha kubahatisha apo

  • @saidseif941

    @saidseif941

    4 күн бұрын

    Hizo ngumi ulianglia peke yako

  • @ogenylaurent7961
    @ogenylaurent79617 күн бұрын

    Chino umuwezi huyo class tu amepewa juu ya chino ila amepigwa sana

  • @OsmanDembele-z7h

    @OsmanDembele-z7h

    3 күн бұрын

    Daaa we broo we yani utopolo wako chino ndo ampige class

  • @user-uv8eg1ye4t

    @user-uv8eg1ye4t

    3 күн бұрын

    Kama hujui ngumi na namna zinavyohesabiwa point zake usizungumzie huyo chino ni bondia wa kawaida sana tena kapigika round zote

  • @ogenylaurent7961

    @ogenylaurent7961

    3 күн бұрын

    @@OsmanDembele-z7h Kolo wewe kaangalie pambano tena

  • @ogenylaurent7961

    @ogenylaurent7961

    3 күн бұрын

    @@user-uv8eg1ye4t Tulizeni vishundu hvyo

  • @NandoliHabiby
    @NandoliHabibyКүн бұрын

    Dogo yupo vizuri sana. Allah atakufanyia wepesi

Келесі