NJE YA ULINGO 02/07/2024 | Juma Choki na mbinu alizotumia kumpiga Nasibu Ramadhan

Спорт

Bondia Juma Choki ndani ya kipindi cha Vitasa Njye Ulingo siku tatu baada ya kushinda pambano lake dhidi ya Nasibu Ramadhan kwenye #DarBoxingDerby
Choki akiwa na Aidan Mlimila amefunguka jinsi alivyoshinda pambano hilo na mbinu alizotumia
#VitasaNjeYaUlingo ni kila Jumanne saa 1:30 usiku #AzamSports3HD

Пікірлер: 21

  • @allychilinga1958
    @allychilinga1958Күн бұрын

    King 👑 of the Ring Juma Choki ananidhamu sana..aendelee hivyo hivyo Allah atamfikisha mbali..👊👊👊

  • @user-xy5fl9zy2h
    @user-xy5fl9zy2h5 күн бұрын

    Lkin nawapngza sana azam tv kwa kuiborsha ngumi n kuifnya ifike hapa n kuipa eshima kama michzo mingine ila serikali ingewekza kweli kwenye ngumi 2ngepta matji mengi sana n nnchi ingetmbulika zaidi kimataifa kuliko hata mpira

  • @dullasabuni7189
    @dullasabuni71898 күн бұрын

    Yaani mungu kubariki kwa uongeaji wko hakuna atakae kuchukia Mimi nilikuwa upande wako lkn nilikuwa natetemeka hujawahi cheza game kama hii,kaza unasimama na yeyote

  • @shabanimara5449

    @shabanimara5449

    8 күн бұрын

    Sema ulipigika Sana Ila tu Loki dauni na kutokua siliasi Sana nasibu ramazani

  • @shabanimara5449

    @shabanimara5449

    8 күн бұрын

    Wewe umuwezi nasibu bila Lok daun ulipigwa ilipambano

  • @MuniniAdrien
    @MuniniAdrien7 күн бұрын

    Choki siku zote

  • @user-xy5fl9zy2h
    @user-xy5fl9zy2h5 күн бұрын

    Choki ni bondia mzuli sana ila kunki2 cha kujifunza hapa kwa mbondia wnaofnya michzo kma uwadui n usela n akiendelea n nizamu atfika mbali sana

  • @strongfighternal6512
    @strongfighternal65127 күн бұрын

    Nasibu on fire 🔥

  • @giftprosper2355
    @giftprosper23557 күн бұрын

    Champion

  • @TalkTella
    @TalkTella7 күн бұрын

    King chok

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa72157 күн бұрын

    💥💥💥💥💥💥

  • @barakawiseman5073
    @barakawiseman50738 күн бұрын

    iwepo rematch... uyu jamaa atoboi

  • @paulmwangoka
    @paulmwangoka6 күн бұрын

    dogo choki alijiandaa sana maana nasibu ramazani si mtu wa mchezo

  • @fadhilially7357
    @fadhilially73577 күн бұрын

    NOCK DOWN IMEKUBEBA KWENYE ZILE ROUND 7 NASSIBU ALIKUWA ANAONGOZA ROUND 5 WEWE ULIKUWA NA MBILI PEKEE NA ZINGEFIKA NANE NASSIBU ANGEKUWA ANAKAMILISHA SABABU ALIKUWA AMASHINDA BILA UBISHI

  • @mliwakhatib9457
    @mliwakhatib94578 күн бұрын

    Bro kama sio ile lockdown nasib ramadhani alikua mshindi ila ile ngumi moja tu ndo ilimgharimu ila ukiomba rematch nasib anakumaliza

  • @moisemsanga9081

    @moisemsanga9081

    8 күн бұрын

    Knockdown ✅ lockdown ❌

  • @shabanimara5449
    @shabanimara54498 күн бұрын

    Ulipigwa pambano ili ila lok daun imekubeba

  • @MoosaMzinga

    @MoosaMzinga

    8 күн бұрын

    Hujui kitu pimbi weww

  • @moisemsanga9081

    @moisemsanga9081

    8 күн бұрын

    Knockdown ✅ lok daun ❌

  • @EmmanuelZenda-ji5gc

    @EmmanuelZenda-ji5gc

    8 күн бұрын

    Sasa iyo knockdown si ilikuja sababu alijipanga au ilikuja from nowhere fuatilia ngumi mkuu mtu anaweza kucontrol fight round zote akaja akapigwa ngumi moja tu akapotea mfano Tony rashid alipigwa ngumi moja tu round ya mwisho akakaa ku uache kuropoka😂

  • @HatibuRajabu-p5q
    @HatibuRajabu-p5q7 күн бұрын

    Acheni ushubwad nyie mtu kama kapigwa kapgwa2 iwe nokidown au iwe pwenti nassibu kasha chezea akajifue tena2 ila amuezi dogo

Келесі