NJE YA ULINGO 02/07/2024 | Juma Choki na mbinu alizotumia kumpiga Nasibu Ramadhan
Спорт
Bondia Juma Choki ndani ya kipindi cha Vitasa Njye Ulingo siku tatu baada ya kushinda pambano lake dhidi ya Nasibu Ramadhan kwenye #DarBoxingDerby
Choki akiwa na Aidan Mlimila amefunguka jinsi alivyoshinda pambano hilo na mbinu alizotumia
#VitasaNjeYaUlingo ni kila Jumanne saa 1:30 usiku #AzamSports3HD
Пікірлер: 21
King 👑 of the Ring Juma Choki ananidhamu sana..aendelee hivyo hivyo Allah atamfikisha mbali..👊👊👊
Lkin nawapngza sana azam tv kwa kuiborsha ngumi n kuifnya ifike hapa n kuipa eshima kama michzo mingine ila serikali ingewekza kweli kwenye ngumi 2ngepta matji mengi sana n nnchi ingetmbulika zaidi kimataifa kuliko hata mpira
Yaani mungu kubariki kwa uongeaji wko hakuna atakae kuchukia Mimi nilikuwa upande wako lkn nilikuwa natetemeka hujawahi cheza game kama hii,kaza unasimama na yeyote
@shabanimara5449
8 күн бұрын
Sema ulipigika Sana Ila tu Loki dauni na kutokua siliasi Sana nasibu ramazani
@shabanimara5449
8 күн бұрын
Wewe umuwezi nasibu bila Lok daun ulipigwa ilipambano
Choki siku zote
Choki ni bondia mzuli sana ila kunki2 cha kujifunza hapa kwa mbondia wnaofnya michzo kma uwadui n usela n akiendelea n nizamu atfika mbali sana
Nasibu on fire 🔥
Champion
King chok
💥💥💥💥💥💥
iwepo rematch... uyu jamaa atoboi
dogo choki alijiandaa sana maana nasibu ramazani si mtu wa mchezo
NOCK DOWN IMEKUBEBA KWENYE ZILE ROUND 7 NASSIBU ALIKUWA ANAONGOZA ROUND 5 WEWE ULIKUWA NA MBILI PEKEE NA ZINGEFIKA NANE NASSIBU ANGEKUWA ANAKAMILISHA SABABU ALIKUWA AMASHINDA BILA UBISHI
Bro kama sio ile lockdown nasib ramadhani alikua mshindi ila ile ngumi moja tu ndo ilimgharimu ila ukiomba rematch nasib anakumaliza
@moisemsanga9081
8 күн бұрын
Knockdown ✅ lockdown ❌
Ulipigwa pambano ili ila lok daun imekubeba
@MoosaMzinga
8 күн бұрын
Hujui kitu pimbi weww
@moisemsanga9081
8 күн бұрын
Knockdown ✅ lok daun ❌
@EmmanuelZenda-ji5gc
8 күн бұрын
Sasa iyo knockdown si ilikuja sababu alijipanga au ilikuja from nowhere fuatilia ngumi mkuu mtu anaweza kucontrol fight round zote akaja akapigwa ngumi moja tu akapotea mfano Tony rashid alipigwa ngumi moja tu round ya mwisho akakaa ku uache kuropoka😂
Acheni ushubwad nyie mtu kama kapigwa kapgwa2 iwe nokidown au iwe pwenti nassibu kasha chezea akajifue tena2 ila amuezi dogo